Bangi, Ganja, Marijuana ni kitu moja. Salamu toka Kenya. Ningependa kupata namba ya huyu Rastaman ama nijue vile nitamfikia. God bless you Rastaman. This is a touching story.
Irie selasie I Jah Rasta farai Akuongoze na akulinde na akufanikishie hitaji lako na yale unayoyapambania kwaajili ya familia yako na maisha ako kwa ujumla...JAH BLESS KING MAGODA
Amenifurahisha sana hana give up nahajioni km msononekaji anapambana na anahtaj kupmbana nahaaitaj kuachia watoto wake waende niko nje ya nchi Ila naahid ntakuja kumtembelea mungu amtangulie #jah rasta fara
Na mwenye kujiepusha na kuacha njia ya mungu atapata maisha magumu, na atafufuliwa kipofu Siku ya Kiyama na atasema mungu kuwaambia hao mlizisahau Aya zetu ukumbusho na Leo tunawasahau
Hipo idadi lukuki ya Waislamu ni omba omba huku mtaani hivyo acheni kujifanya mnaijua dini au Imani yenu ndo thabiti kama we kakujaria uko nacho ka na umushukuru sio kuwabeza watu kwa Maneno uliyo-notes kwenye kitabu Cha wakoloni:
Huu ni unyanyasaji. Hakuna sheria ya Rais inayoruhusu ati watu wa haki za binadamu wanapewa uwezo wa kukonga mtu. Hawa utakuta walikuwa mamelewa na wanaendesha ghari kwa kiburi maana wanalipwa pesa nyingi. Hakuna mtu aliyejuu ya sheria. Tatizo hao wanasheria walipewa pesa wakaamua kunyamaza. Mahakama ndiyo inauwezo wakuamua kesi na kutoa maelezo sahihi. Rasta alionewa tu. Afu hawa wanasheria wa TZ yaaani ni takataka. Wao wanaangalia tu ni wapi kunalipa pesa afu wanatupa kesi. Mimi binafsi situmiagi mwanasheria yoyote hata huku ughaibuni. Na kesi zote nilizojisimamia mwenyewe nilishinda. Kesi nilizoweka wanasheria nilishindwa. Kwa hiyo hao wanasheria sio watu wakuamini. Hukiamua kupigania haki yako fanya utafiti kuna njia nyingi ya kushinda kesi bila kutumia hawa wanasheria feki. Rasta kaonewa. Afu marasta ninawakubali sana maana hata hapa Jamaica, marasta ndiyo wanaoneka wana upeo wa juu sana katika kuelewa maisha na kupambana na maisha. Dunia ingekuwa na amani sana kama binadamu wote wangekuwa marasta. Jah Rastafari. Mungu ni mwema matatizo yako Rasta yatakwisha. Mungu akubariki sana ndugu yangu🙏🙏🙏🙏
Yeah Rasta me dey wha gwaan allting irie ? Rasta yuko strong sana mentally and spiritually halalamiki anapambana . Give thanks and praise to the most i Jah rastafari !
@@devothasimbi1055 kweli na ulaya ukipata ajali hela inalipwa serekali, serekali inakulipa kufuatia bima la afya.Hata ulaya hamna la maana hivyo.bora kwetu ukipambana kisheria wapata haki yako.tatizo sisi wavivu kufuatilia haki zetu.jamani wakenya wenzetu kwa mambo kama haya wana changamka balaa
Rasta ni shemeji yangu ila nilikua naomba ayo tv Kama inawezekana mngemtafuta mdogowangu ili kubalance story mjue na upande wa pili ktk ndoa Kuna mengi please
Hayu jamaa nilianzaa kumjua ni kiwa na miaka 19 hapo makaburi ya ufi shekilango,na ni mtu safi mkarini sana huyo ni jirani yetu Wana shunga shunga wa ubungo maziwa,pole sana Rasta magoda
Ina fikia kipindi inabidi uridhike ila sisi kama sisi ambao tuna muona hiyo Hali na Ana watoto sijui kwanini hatumsaidii kwa chochote japo ni kidogo. Mungu Atupe Imani
Innallilah wainna ilaih rajiun sina budi kusema Allhamdullah alaa niiymatil Islam ninamshukuru Allah kwa neema ya uislamu Allah akuongoze umjue mungu wa haki ambae ni Allah
OKAY world, In Tanzania, we have been using CBD all along for many years. GANJA is CBD! Wake up! America just discovered CBD! I am 56, I knew about GANJA but I did not know it will be this valuable!
@@mrh2812 NI KWELI LAKINI KUNA WENGINE HUWA WANAUWELEWA TOFAUTI NA KUPOTEA KUTOKANA NA MANABII WANAOWAAMINI NDIO HUWAAMINISHA HIVYO UKIMULIZA WAPI ILIANDIKWA KUWA YESU NI MUNGU HATOKUJIBU SISI WA KATHORIC HUWA TUNAAMINI YESU NI MWANA WA MUNGU SIO MUNGU
@@mrh2812 wana kichaa hawa mbona rasta hawamsemi ashakwambia rastafari ndio mungu wake......dini zipo kama million kumi dunian kuanza kubishana ni kichaa
Ungepata mwanasheria mzuri angekusimamia na ungelipwa fidia nzuri na hilo shirika.. pamoja na kwamba hilo shirika la umoja wa mataifa linakinga halipaswi kuvunja sheria na kunyanyasa mtu..
Daaah nmemuelewa Sana huyu Rasta kama umemuelewa kama Mimi like twende sawa
Bangi, Ganja, Marijuana ni kitu moja. Salamu toka Kenya. Ningependa kupata namba ya huyu Rastaman ama nijue vile nitamfikia. God bless you Rastaman. This is a touching story.
Daah Mungu nirehemu nilikufuru kwa kusema sina maisha mazuri😥😥😥😥😥😥
Hongera sana babu ipo sku itapita hapo napafaham nikuachie hata kila ya mchele
😓it's so emotional duh kweli HUJAFA HUJAUMBIKA ..!ALLAH ATUJALIE MWISHO MWEMA 🙏
Amin
amin
Amiin
Asante kwa ujumbe nzuri mpaka hapa nimeamini bora uhai mengine ni ziada tu Mwenyezi Mungu awe nawe Rasta ufanikishe Marengo yako Amen
🇹🇿 Nchi hii ngumu jamqn
Hata kulipwa wameshindwa mungu akubarik rasta
Nchi ya dhulma sana hi
Mungu akupe nguvu na
kulinde we na familia yako ❤
Dah pole rasta nimebain mambo mawili yanakuvuruga mapenz maisha pole sana
Irie selasie I Jah
Rasta farai
Akuongoze na akulinde na akufanikishie hitaji lako na yale unayoyapambania kwaajili ya familia yako na maisha ako kwa ujumla...JAH BLESS KING MAGODA
Amenifurahisha sana hana give up nahajioni km msononekaji anapambana na anahtaj kupmbana nahaaitaj kuachia watoto wake waende niko nje ya nchi Ila naahid ntakuja kumtembelea mungu amtangulie #jah rasta fara
Fanya hivyo kaka. Mungu atakulipa. Rasta ni watu wema sana
Once bunny wailer said they used to go to the grave site at night to gather carriage to face the obstacles on there journey ahead. Jah bless
Sisi hatutumii Bangi(Dawa ya Kulevya).Sisi tunatumia GANJA.I and I!😊
Yaaaaah
Man
Live up natty root's
🤣🤣🤣
Rastafarian never die
Bangi haijawahi kumuacha mtu salama
Rasta Goda Unaongea sanaa Yaani,
Swali Moja Majibu Elfu 1
Mungu ni mwema ckuzote daima atakutia nguvu👏Imani yako itakuponya.
Na mwenye kujiepusha na kuacha njia ya mungu atapata maisha magumu, na atafufuliwa kipofu Siku ya Kiyama na atasema mungu kuwaambia hao mlizisahau Aya zetu ukumbusho na Leo tunawasahau
Sahihi kbsa Allah is only one
Hipo idadi lukuki ya Waislamu ni omba omba huku mtaani hivyo acheni kujifanya mnaijua dini au Imani yenu ndo thabiti kama we kakujaria uko nacho ka na umushukuru sio kuwabeza watu kwa Maneno uliyo-notes kwenye kitabu Cha wakoloni:
@@pillautv1677 nikupenda bure Yani umeona ukweli na kwa usahihi
Rasta anaakili sana,kapoza ukali wa neno BANGI kasema GANJA,wahgwan rastafarai never die😀😀😀😀
God bless this Man
Mungu amkumbuke amfanyie wepesi katika Hali yake 🙏🙏.
Huu ni unyanyasaji. Hakuna sheria ya Rais inayoruhusu ati watu wa haki za binadamu wanapewa uwezo wa kukonga mtu. Hawa utakuta walikuwa mamelewa na wanaendesha ghari kwa kiburi maana wanalipwa pesa nyingi. Hakuna mtu aliyejuu ya sheria. Tatizo hao wanasheria walipewa pesa wakaamua kunyamaza. Mahakama ndiyo inauwezo wakuamua kesi na kutoa maelezo sahihi. Rasta alionewa tu. Afu hawa wanasheria wa TZ yaaani ni takataka. Wao wanaangalia tu ni wapi kunalipa pesa afu wanatupa kesi. Mimi binafsi situmiagi mwanasheria yoyote hata huku ughaibuni. Na kesi zote nilizojisimamia mwenyewe nilishinda. Kesi nilizoweka wanasheria nilishindwa. Kwa hiyo hao wanasheria sio watu wakuamini. Hukiamua kupigania haki yako fanya utafiti kuna njia nyingi ya kushinda kesi bila kutumia hawa wanasheria feki. Rasta kaonewa. Afu marasta ninawakubali sana maana hata hapa Jamaica, marasta ndiyo wanaoneka wana upeo wa juu sana katika kuelewa maisha na kupambana na maisha. Dunia ingekuwa na amani sana kama binadamu wote wangekuwa marasta. Jah Rastafari. Mungu ni mwema matatizo yako Rasta yatakwisha. Mungu akubariki sana ndugu yangu🙏🙏🙏🙏
Umeongea vzr sn Kaka,inauma sn Ila hakuna mwenye haki ambae Mungu alimuacha,ipo cku haki yake ataipata tu.
Nimemuelewa... Uyu... Lasta... Jomny... Anaongea... Kwa... Uchungu😢
Rasta never give up !! We are one in God Almighty !! May Jesus hear your cries Rasta !! 🙏🙏
Ni majani tu kama mboga mboga zingine daa pole sana kaka ila mpe mungu maisha na mtie mungu moyoni Kwa mungu yooote yanawezekana
Allah atuongoze katika njia ilionyooka sote InshaAllah🙏
Amini_imani_alo_kuwa_nayo_mpaka_kuishi_makaburin_ingekuwa_ni_ya_ALLAH_angekwenda_peponi
Rasta man never die Jah bless rasta
One love 🇨🇬🇨🇬 rasta! Acha maisha yaendelee time will tell!
His in this situation lakini bado haja give up anapambana na maisha yake na ya watoto wake, God bless him🙏🙏
Jah is his God
POLE SANA MR. MAGODA MUNGU ATAJALIA HATIMA NJEMA . IMANI ULIYONAYO NI KUBWA DHIDI YA FAMILIA YAKO HASA WATOTO WAKO🙏🙏🙏
Dah!😓 huruma aiseee dunia ina mengi sana kikubwa ni Imani na kumuomba Mungu kama anavyosema rasta
Blessed rastafarians
*rasta never loose hope
*rasta never give up
Jah blessed your works rasta
Pole sana
@@tamimuomulungi2102 awe pole ya kweli kweli si ya mzaha
Omg,,,never give Rasta man,,one day ur life will never be the same again some day,,keep the faith n God wl left up,,much 💞💞💞 frm Mombasa ukunda ☑️☑️☑️
nimekuelewa Rasta MUNGU atakuinulia mtu wa kukusaidia anaweza kuwa hata mtoto wako wa kuzaa
Daaaah jaah bless rastafarai 🙏🙏...
Mungu amenipa akili Mungu amenipa plan siitaji kuomba omba maneno makubwa sana haya💪
May God bless this man 👨 🙏
if at all ningekuwa tu na uwezo 😢 sorry for this determined father,,
❤️from 🇰🇪
Bless! Rasta Inna God zion
Hii interview itafanya watoto wa miaka ya 2010 kuja juu wawe marasta
🤣🤣🤣🤣
Yeah Rasta me dey wha gwaan allting irie ? Rasta yuko strong sana mentally and spiritually halalamiki anapambana . Give thanks and praise to the most i Jah rastafari !
Only jesus who can give peace
@@lucymuthoni8203 that’s your own opinion some dem believe on Jah Rastafarah
Mungu umufanyie uwepesi
Jah Rastafarian Selassie I know me nah feeling Di Maria Columbia whhaaw gwaanhhnn man
Kisa Cha kutia moyo, licha na kuwa mlemavu hajadiriki kuwa omba omba may jah be with you 🇰🇪🇰🇪
Namjua Rasta kitambo alikua anaendelesha guta rastar mgosi
Sellasie I, rasters never die they only faint, 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Kwa kweli Mungu atakupa faraja, atakubariki. Kitendo cha kujitegemea kimenifurahisha sana.
Jah bless
Ahahaa Rasta anatumia Ganjaaaaaa.. heshima yako mzee
Daah ingekua ulaya angelipwa pesa kibao kwa maisha yake, nchi yetu jamani uonevu mtupu
Mh kwa kweli gari ya raisi ndio nafikir ingekuwa ni mstari wa mbele na haki wamemgonga wao...mungu ni mwema.yatakwisha ipo siku.
Sio kweli unachosema ikiwa angeishi ulaya angelipwa pesa kibao.ulaya unalipwa pesa ukiwa na vigezo sio kulipwa pesa tuu.
@@devothasimbi1055 kweli na ulaya ukipata ajali hela inalipwa serekali, serekali inakulipa kufuatia bima la afya.Hata ulaya hamna la maana hivyo.bora kwetu ukipambana kisheria wapata haki yako.tatizo sisi wavivu kufuatilia haki zetu.jamani wakenya wenzetu kwa mambo kama haya wana changamka balaa
Ana machuguuu maisha shikamooo
Ni Rafiki yangu mno yeye na mkewe na watoto wao, Wana upendo Sana, nawapenda sana❤️❤️
Vp maisha yake uyo mwamba
Ndo umbembelezee mkewe arudi
Si ndy katombewa au
Wameiba mke
Mambo
This faith is BIG..
Rasta never tired
Pole sana rasta magoda pc $ love God is jaa
Rasta, nimekuelewa sana. Mwenyezi MUNGU akutangulie.
Namkumbuka huyu Ras kitambo sana alikuwa na watoto wadogo wana Rasta na kibajaj
I have learnt something new here ...big difference between 'GANJA' & 'BHANGI'!!! Otherwise Rasta man we are proud of you !!!
Jar Rasta gari eti Ina Kinga ya rais mungu akusaidie
Amuoe huyo Mama anayemsaidia kupika maana wana Imani sawa
Nimeumia kutoka moyoni atupe namba tumrushie chochote
Kabisaa tupe number tumchangie chochote ni mchacharikaji masikini
Rasta kasema haitaji msaada wowote
Rasta ni shemeji yangu ila nilikua naomba ayo tv Kama inawezekana mngemtafuta mdogowangu ili kubalance story mjue na upande wa pili ktk ndoa Kuna mengi please
Uyu mwamba anampenda sana mke wake
kila nikimsoma nimpate kwenye plan simpati .yaani hiyo plan ilikua sio ya mchezo 😅😅.pole magoda
Hayu jamaa nilianzaa kumjua ni kiwa na miaka 19 hapo makaburi ya ufi shekilango,na ni mtu safi mkarini sana huyo ni jirani yetu Wana shunga shunga wa ubungo maziwa,pole sana Rasta magoda
Namjuaaa huyuu mwanaeee mzuri sana ilaaa anakulaaaa bangi mnooo
@@chichasam9032 Mwanae ana umri gani kwa makadilio
@@chichasam9032 wakike au
Mm naona tungemchangia baba wawatu sidhani kama kuna mtu anapenda kuishi makaburini
jah blessing rasta man never give up jah rasta
Huyu anashida anatakiwa kusaidiwa ila Imaani ndio inamfanya aridhike nahali alionayo bila kuomba msaada ila uhalisia unaonyesha
Ina fikia kipindi inabidi uridhike ila sisi kama sisi ambao tuna muona hiyo Hali na Ana watoto sijui kwanini hatumsaidii kwa chochote japo ni kidogo. Mungu Atupe Imani
Jaaaah Rasta falaaah jaah bless Rasta Magoda
Perfect request, Rasta anajitambuwa sana.
Something to learn in Life
Mikadamba huwaga Yuko vizuri sana kwenye update za mahakamani
Jah love brother
Kilichoniumiza kwamba amegongwa na gari la W H O. Ajalipwa chochote
Tatizo lako ww unaimani ya tofauti mrudie Allah toka uko kwenye Imani potofu matatizo yatapungua
Yah man
Waaaaa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Much love from 254 ✌️
Dakika 13:20 sisi Rasta hatuvuti Bange ila tunavuta Ganja kwani Bangi ni madawa ya kulevya🙌
Innallilah wainna ilaih rajiun sina budi kusema Allhamdullah alaa niiymatil Islam ninamshukuru Allah kwa neema ya uislamu Allah akuongoze umjue mungu wa haki ambae ni Allah
Allah Akufanyie wepesi baba yangu hakuna lisilowekekana kwa mungu kikubwa pumzi tu
AMEEEEEEEN !..🙏🙏🙏
Nimesikia story yake ila bangi etii sio ganja
Bali bangi madawa ya kulevya ala ganja ndio inaliwa nimecheka kifala😂😂😂
Ungeweka namba yake ya simu 🥺 sio wote wenye uwezo wa kumnunulia bajaji lakini tungetuma hizo elf 2 zingemsaidia na watoto 😔
Kabisa
Kweli
ndio mjue wanawake hawana msaada katika maisha bora peke yangu
Mungu akupe umli baba
Mze unaakili Sana mngu akusaidie
Aristotle says There is one good knowledge and one evil ignorance
OKAY world, In Tanzania, we have been using CBD all along for many years. GANJA is CBD! Wake up! America just discovered CBD! I am 56, I knew about GANJA but I did not know it will be this valuable!
Rasta pole hao ndio wanawake
Usalama huyu 🙌
Kushi Kama kushi💪💪🔥🔥
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
Never give up
Jmn imani hii kidogo inanishangaza!!! Ila labda niseme hivi, Bwana Yesu Mungu wangu, Mungu wa wote wenye mwili akusaidie. Sote tumwombee!!!.
Yesu sio mungu ni mwana Wa mungu hacha kukufuru
@@superherocolin7564 mkianza kubishana kuhusu dini hamtamaliz saiv kila mtu aamini anachoamin
@@mrh2812 NI KWELI LAKINI KUNA WENGINE HUWA WANAUWELEWA TOFAUTI NA KUPOTEA KUTOKANA NA MANABII WANAOWAAMINI NDIO HUWAAMINISHA HIVYO UKIMULIZA WAPI ILIANDIKWA KUWA YESU NI MUNGU HATOKUJIBU SISI WA KATHORIC HUWA TUNAAMINI YESU NI MWANA WA MUNGU SIO MUNGU
Yesu umungu kautoa wap wewe binadamu wa hovyoo
@@mrh2812 wana kichaa hawa mbona rasta hawamsemi ashakwambia rastafari ndio mungu wake......dini zipo kama million kumi dunian kuanza kubishana ni kichaa
Anampenda mke wake, na watoto anajielewa kinoma namkubali broo
Mungu umbariki huyu baba na family yake
Uko vizuri Sana unaongea point
Lasita mngu attendee miujiza ufanikiwe mngu akubrasi maisha yawemazuli
Mtangazaji naomba u translate Kwa English Kwani Kuna watu wanaweza kumsaidia wakaguswa na huyu ndugu tatizo wakawa hawaerewi lugha kinacho ongeerewa
JAH JAH BLESS 🙌 🙏
Ungepata mwanasheria mzuri angekusimamia na ungelipwa fidia nzuri na hilo shirika.. pamoja na kwamba hilo shirika la umoja wa mataifa linakinga halipaswi kuvunja sheria na kunyanyasa mtu..
Kweli kabisa, kikubwa ni Imani.
Mmmh
Inalilah