DORAH KWA HUZUNI ASIMULIA NDUGU WALIVYOMNYANYAPAA “WALINIONA MKOSI"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2021
- Ni mahojiano na Mwigizaji Dorah aliyepata umaarufu kupitia tamthilia ya Kapuni na baadae kufanya vizuri zaidi kupitia tamthilia ya Jua Kali ambayo Dorah amesema sehemu ya maisha anayoigiza hivi sasa aliwahi kuyaishi akiwa mdogo baada ya Ndugu kumtenga.
Mtangazaji uko vizuri sana. Ukichanganya na kipaji cha Dorah, imefanya hii interview kuwa moja ya interview bora sana. Big up Dorah, big up mtangazaji
Kweli 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyu binti ana hekima na kipaji cha hali ya juu. Hongera sana dada yetu Dorah, changamoto ulizopitia zilikuwa za kukuandaa kuja kuwa star kama leo. Usife moyo, kaza mwendo na vipaji vyako vyema na Mungu aendelee kukujalia afya njema na kukuza kipaji chake
Ndugu zetu waafrika wakikutupa pata hela tu uone watavyopenda looh. Sasa Dora ana ngara kama Nyota ya asubuhi Mungu akupe kila hitaji la moyo wako, utaolewa mwakani akuchagulie Mume🙏🏾
Be blessed dada Mungu yupo na wewe mapito ndio pia yamekufikisha hope ulipo songa mbele ukimshukuru Mungu wako.
Hongera sana doraha na pole kwa yote yalio kukuta na mwenyenzi Mungu akutie nguvu zaidiii❤❤
Najifunza kitu kweli maisha nikukazatu, hakunakukata tamaa zaidi Mungu ndomuwe wa yote
Waooo...
I love the girl...
Keep it up...👏👏👏👏👏
Forah mashaallah mungu azidi kukupigania kw kazi ya mikono yako akuongeze kipaji zaidi
God bless you Dorah❤️
Haya makucha tooooa
Masha Allah, May God sustain you Dorah, We love you and thanks to this s media👏👏👏
Kwakweli kila nikiangalia hii interview huwa nalia sana kwakweli naumia mno,hongera sana Dora nakupenda sana
Mungu ni mwema siku zote
Nakupenda sana Dora kutoka Kenya keep up
Mashaallah naamekuwa kanono mashaallaah nampenda dora 🥰🥰🥰
You are an excellent actress...much love from kenya
Vizuri
No 1 Msingida mwenzangu na Mnyiramba mwenzangu huwa na kukubali sana mdogo wangu Dorah
WaleilaYani
Dora uko vizur na mungu azid kukupigania
Hongereni kwa interview nzuri
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 🔥🇹🇿🙏🔥*
Yaan wew kaka kila mirrard akipost kitu lzm ufanye vitu siyoooo khaaaa unaboaaa😡😡
Singida Juu Tunakupenda Pia sisi WANYATURU
Woyooo wasindaore mbuyane
🤣🤣🤣🤣 kuanzia leo mimi ni mshabiki wako dorah
I love you dorah
Woooow congratulations Dora...umenifanya nimegongesha kengele...mob love Dora...from Kenya..... interview Safi Sana ..hongereni
Yaani Dora anaongea kwa kujiamin Mungu akupe hitaji la moyo wako
God bless you Dora❤️❤️❤️
Mungu ndo kila kitu kwako na siyo binadamu mwenzio
Umesema vema kwa kweli
Nimungu tu kaweka uwe hivyo ili Maisha yaendelee mungu akupiganie akupe hitajila moyo wako
Nampenda Dora jamani
I appreciate you sister
Your a good girl try hard you are a good one keep it up girl
Nakupenda sana dorah Nakuombea Mungu akupe maisha marefu unaujasili sana hongera sana
Nakupenda dora ww ni mkristo tumefundishwa kusamehe wasamehe hao ndugu
Hata wewe uko sawa Dora kazi ya Mungu haina makosa
Interview imekaa poa sana... hongera dorah na kila la kheri kwako ❤😍😍
Dora hizo kucha hapana. Jamani ariye kubandika usirudi tena khaaa
Nakukubali sana mungu akujalie maisha malefu
Yaani huyu binti jamani Mungu amutetee nakupenda Sana dorah
Safi sana Dora nakupenda sana .by vero from moro
MASHALLAH.M/MUNGU AKUFIKISHE UPATAKAPO WEWE DORA NA KWA UWEZO WAKE INAWEZEKANA
Dora hizo kucha mbona haziko proportional na wewe?
Mimi umemuuliza swali zuri htamie nilitaka kumshauri siyokilakitu uishi kisanii some times ajiweke Kama mm bora kwabadae lakin ukibandika kamahivo nahisi nikama uchafu pindipo anapokwenda choon inakuwaje atakua hajitawazi
Karembo jmn kadorah mung akubark
Dah huyu dada ase anajua kujielz vizr nimekupenda Dora uckate tamaa Mungu wetu haangalii jinsi ulivyo akiamua kukuinua anakuinua kwelikweli much 💕 tu yu
Interview imekaa vizuri sana. Dorah, may all your wishes come true 🙏🙏
Vizuri kabisa
Nakapenda karembo mwaaaaah 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🥰
kanahekima sana Mungu akujalie dorah
Kunenepa nayo jmn nakapend jmn uko vzr kweny kazi yko ❤️❤️❤️❤️❤️😍😍
Love her
Kadola kazuri nakapenda 😘😘😘🥰
sura yake nzuri sana
Very good interview 💯💯💯💯❤️❤️
My favourite media AYO TV
Wale wasiowakubal washamba wanaonyanyapaa ndugu zetu wenye ulemavu atupie like yake hapa.
Umepitia mengi lkn umeinuliwa mungu Ni wetu sote Safar ya maisha Ni ndefu Sana
Huyu dada Ni Kama nishawahi kumwona pale Bassotu Kama sikosei
safi sana Dorah.
Vidox naomba yko unipigiege tu cmu naipenda sana sauti yko❤❤🥰
Dora hizo kucha banaaaa khaa!
Love you!
Napenda unavyojielezea
😍😍😍dorah strong woman
Dora Nakupenda sana
Kanenepa mashallah
Yaani Dora unawezaaaaaaa 👏👏👏👏💪💪💯😄😄😄😄😄
Jmn. Tunakupenda. Sana forah
Congrats kwa nice interview
A genius Cute girl🥰
Hongera Kama unajikubali mmwenyew nip na we
Nakupenda doraaaaaa💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗
nimeipenda.
Kumbe ulikuwa Singida
I wish ninge bahatika kukuta nawe
Jamani D umekua kibonge kweri mungu akulinde
Hpo kwenye kuchambana sasa jmn mecheka wallah 🤣🤣
Ulikuwa siyo excited? What do you mean about that?.
Dorah ' Nakukubali sana Unakofidesi sana 🤣🤣🤣🤣
keep it up love
Mimi ninavyo penda kuigiza jamn😪😪
Mungu akubariki Dora
Mungu nimwema wakat wote leo sna meng ila ningependatu kusema ya kwamba wakat mwema uandaliwa na changamoto
Dora Sasa amekuwa amejitambua anajibu kwa point tofauti na interview zake za nyuma
🙏🙏
Nampenda snaa Dora na sijui ata kwanini najikuta nampenda tu
Nakupenda Dorah
Mungu akupe guvu
Nakupenda sana dora kwanza unajiamini sana
Dorah mungu🙏🙏
😢😢😢😢😢😢
Nakupendaga dora
Nimependa Dora unavojieleza
Ana sauti nzuri sana👍
Makini Sana 💯✍️
Nice doraa
Toka kitambo nilikuwa najua huyu ni mwanaume nilikuja jua juzi tu ni. Mwanamke,kisauti ni cha kiume na sura
Good mamii
hahahhahhahha love you dorah
Penda Sana Dora ❤️❤️
😄😄😄 Dorah nimependa hapo kwenye kuchamba
Dory usiwaseme ndugu zako kwa ubaya wao samehe nyie ni ndugu tyuuu sahau
Nyie huy kaka alivyoact😂😂😂
Wazazi Tuhimize watoto wetu wakiwa na vipaji mbalimbali
Mmmh iyo mikuchaaaaaa😂💦😂💦😂💦😥💦😂💦💦😂💦😂💦😥😂💦😂💦😂Loooh ujaapendaza
Wew 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Njooo maximum TV 🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu akujarie ktk Maisha yako yawe na kheri siku zote.
Ni haki yenu kuchukua tuzo.Ayo Tv
Kwakwer Dada unaweza