MIILI ZAIDI YA 200 KUFUKULIWA VINGUNGUTI, MEYA AFUNGUKA "MIILI MINGI IMESOMBWA NA MAJI "
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ธ.ค. 2021
- Miili zaidi ya 200 imefukuliwa katika makaburi ya Vingunguti Mkoani Dar es salaam na kuhamishiwa makaburi ya Mwanagate.
Meya wa Jiji la Dar es salaam, Kumbilamoto, amesema uamuzi wa kuhamisha makaburi unakuja kufuatia Mto kupanuka na kusomba miili.
Aisee ndugu zangu tumche Mungu ktk maisha yetu ,ona miili ya ndugu zetu tuliozoea kula nao kucheka nao Leo hii miili iko Kama mnavyoiona
😭😭
Wee acha tu
Sana Allah atuongoze lnshallah
Kwan hakuna mwana mke WA kufanya hiyo kazi chezea pesa wewe
Wanaume popote ulimwenguni mungu awalipe mema daaa kz ngumu masikini ila huo ndio uwanaume. 🤲🙏😥
asante🙏
kweli asee Allah awalipe na awajalie kheir kubwa wanamoyo sana
yaani hususani wanaume wa tanzania wanamoyo na ushujaa nakujituma si wange ajili wahindi waeze kufukuwa ika wanaume wa africa wanasimama wawo masha allah
Na bado mnatuletea zarau asee
@@samwelimoshi5614 😃😊
Nawaheshimu nakuwapenda sana wanaume nijasiri wakufanya mambo mengi magumu kuliko sisi wanawake viumbe zaifu,big up oll men for Tanzania
Asante kulitambua
Kweli Asha asha
Nguvu ya pesa ingekuwa bule wangefanya??🏃🏃
Beautiful girl 😘
Mwana mke unae tambua Hilo wenine hawajuhilo
Wanaume woote Mungu awape hitaji la mioyo yenu..... Hakika kazi ngumu Sana😭😭😭
MUNGU awape nguvu hawa wanaume wanaofanya kazi hii 😭 na pia MUNGU awatie nguvu ndugu wa marehemu maana wanapata maumivu tena ya ndugu zao😭
Si mngewapea barakoa jamani
Ndugu zangu wanawake wenzangu kokote mliko Dunian ,,,,,naomba tukumbushane kuhusu swala zima lakuwaheshimu wanaume,,,,wanawajibika na mazito tusiyokuwa na ubavu wakuwajibika nayo,jaman hata kama umeolewa na mw,namme Hana uwezo wa kifendha lakin jaman ndio nguzo hio ya nyumba,pia,kukitokea lolote tatizo ktk nyumba yenu anawanza kuwa chambo nimwanamme ndiye ndie anaejitoa kwa ubavu nakukubal kufakupona,,,💪💪
Kuna yule dada kakatwa maskio yote nayeye unamwambiaje? Avumilie au aondoke asije katwa koromelo🤣
Usiusemee moyo ndugu...
😂😂😂Wambie wenzio
Nawanaume wana haki yakuwaheshimu wanawake . Mwanamke ni nguzo ya familia vile vile na bila ya mwanamke mwanamme hafiki popote na hiyo kazi ngumu ipi uloiona wewe kuliko uzazi ? kuna kaburi ya mwanamme alokufa uzazi ?
@@kiri5807 hapo sasa eti uvumilie hajapata jangili huyo
Mungu awalaze wapendwa wetu peponi amina
Kutoka kenya, salute kila mmoja kujitolea, mungu awazidishie
Tuache kiburi,majivuno,dhulma,nk....binadamu ni kama maua tu angalia leo hii wenzetu si kitu,hata mm na wewe kesho itakuwa hivyo,so tuishi kwa upendo na hofu ya Mungu.
Amen 🙏
Kabisa Yani hapa ndio tuzid kujifunza zaid kama duniani tunapita
Kwakweli
Amina
Sana yani umeongea pwenti nasi tu naelekea huko kikubwa nikujipinda tywe watu wema ndiyo salama yetu
Mwanadamu aliezaliwa na mwanamke Siku zake zakuishi ni chache mno nikama maua anachanua asubuhi na jioni hunyauka Yesu tupe mwisho wema.
Amaaa kwel DUNIANI sio kwetu Eee mwenezi mungu tu nusuru na tujalie mwisho mwema 😭😭
Amina
Waah😫am speechless to be alive is just miracles..thankful dear God🙏🙏
Mmh..kila mtu hufa kwa siku yake. Hamna cha miracle. Nikujiandaa tu, siku ikifika safari unayo.
@@Fauzia2090 not me wewe
Subhannallah😥😥😥
@@franklinkarani8031 mimi sawa, nitakufa siku yangu ikifika. Wenye miracles yenu mtabaki mlinde dunia 😀😀😀.
@@Fauzia2090 umenena kweli ndugu
Tumuombe Allah atupe mwisho mwema tu
Wanaume waheshimiwe jmn 😭 😭 😭 Mungu awalipe kwa Kaz mnayofanya🙏
Wanaume ni viumbe jasiri sana mungu abariki kila uzao WA kiume🌹🌹
Subhana llah ktk Jambo la kaburin NI kubwa na nigum mno ikiwa ndo una mzazi ndo waona afukuliwa kawa kifurushi lailaha ila llah maumivu makali moyoni,,Allah atupe mwisho mwema
inshallah 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kaak inauma ni kilio kingine kipya
Ni kazi ngumu kwa kweli hao wanaofanya hiyo kazi walipwe hela za kutosha
Yaani mbona KAZI hatari hiyo wameshindwa kuwapa mavazi mazuri yenye kinga ya Kutosha?
Hata gloves
@@daveme9180 wale wanaobeba wanazo groves
Kila wakifukua kaburi moja malipo ni elfu hamsini
@@hemedisalim5522 hapo ni poa wanapiga pesa maana kazi ni ngumu sana unaweza kupata ndoto za ajabu usiku kwa hiyo kazi
Allah awape nguvu wanaume wenzangu wote wenye roho ya kiume
Wewe yako yakike
Aameen
@@aishaarusha894 kichwa yako ina maji mahali
@@azizawadh5973 wewe yako ina matope mahali pole
Najisikia vibaya sanaaa but Mungu awatie nguvu waliokuwepo hapo,pamoja na ndugu.
Kuanzia leo nitawaheshimu wanaume wote Dunia,hata awe mtoto mdogo
Asante na ubarikiwe sana
Ameen
Safi kwa kulitambua hlo
Mimi Nina mtoto wangu hapa ni mdogo ila mwenzio namwonaga kimbilio et😂😂😂😂
Hao walikuwa kama sisi😥😥 Tujifunze kuish kwa wema dunia ni starehe ya muda mufup
Wazo zuri, Kongole kwa Meya wetu na kamati yako ya utendaji
DUU LEO NDO NIMEJUA WANAUME WANAKAZI NGUMU HAPA DUNIANI,ASEE
Ni Kwel Ndugu Yangu Hapo Yataka Moyo?
wale kwenye anasa na ufisadi tu mkuu
Inalilah wainailahi rajuun Allah Kareem
Daaaa jamani😭😭kweli duniani tunapita ukiangalia ndg zetu leo hii wamekufa wanafukuliwa na kubebwa kama wanabeba gogo jamani😭😭😭 Mungu atupe mwisho mwema dharau, kiburi majivuno tuviache maana kifo hakina wakati.
Thamani ya Mwanadamu ni ndogo,eeh Mungu tukumbuke utavyoludi kwa mara ya pili 🙏
Kazi ngumu Sana, Hongera Meya kwa Upendo na kutimiza majukumu yako, Poleni ndugu jamaa na marafiki kwa kutoneshwa vidonda..Pia tuache dhambi tumrudie Mungu majivuno na Jeuri havisaidii kitu ona ndugu zetu wamebebwa na viroba, Mungu atusaidie atupe hofu yake tuishi kwa kumcha yeye, ili siku ya mwisho atufufue kwenda kuishi maisha ya milele Mbinguni. Amen
Huwa tunasema haki sawa kati ya mwanamk na mwanaume, haya wanawake tungeweza kufanya kazi hii? Mungu awatie nguvu wanaume wa Tanzania ni wanaume wa nguvu
Kazi ngumu mnoo
Wanaume ndo maan wanakufa mapem kliko wanawake 😭🙌 .jmni mungu atunusuru na majang mungu ibariki tz ma watu wake
Subhanallah kazi nzito kuona binadam kabaki kama kifurushi
Allah atupe mwisho mwema
@@husna34562 Amiin Thumah Amiin
Wanaume popote mlipo Allah awawekee wepesi katika maisha yenu
Ameen
Asante Mungu kwa uhai hug, thamani ya uhai Na kifo ni tofauti
Uliyekua nae jana akiondoka tu basi
Thamani aipo
Mungu atukuzwe
Allah maghfirahum warahamh waskalafil jannah.
Amiin
Allahuma ghfirlaha warahamha wamaskana filjanna.
Noana kiongizi umeenda kwa wanaume nikaona nkusaidie kwa wa awake 🤣
@@saidsalum9587 Asante ndgu
Mungu awabariki nyote mnaofanya hiyo kazi ya kufukua makaburi, duuuh 😥😥 siyo kazi ndogo huyo
Innaalillah wainnaa ilayh raajiun....huu ndio mwisho wetu..Allah awawepesishia safar yao na awatilie nuru ktk nyumba zao za milele nass tupo nyuma yao na atupe husnul khatima Amiin
AMIIIN
Ni Sahihi sana na Mungu awasaidie, Lakini pia Mnakosea Mngevaa Barakoa pia.. Mungu ni Wetu Sote, Tumuombe Atujaalie Mwisho Mwema.
Innah lilah wainnah illah rajiun.Allah awarehemu wote walotangulia .maajabu hapo lazima wayaone Allah awanusur
Jamni mh wanaume mungu awasaidie mnaona mengi kuliko sisi wana wake mnakazi ngumu muheshimiwe popote mlipo kazi ningu namnamiyo yaujasili kuona hizo mahith mh mungu tusaidie hatujuwi wap tunaenda tukifa mh lakini daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaamhhhhhh
Hapo umefanya jambo la busara sana a nyie mnaofukuwa mungu akulipeni pepo sikuya yahesabu nikazi nzito sanaa hiyoo shukrani
😭😭😭😭😭😭 maumivu yamerudi upyaaa Mungu awatiee nguvu wanaume wote mnaohusika na awapatieee mioyo hiyo hiyo
Wanaume Mungu awape umri mnakazi ngumu sana🥺🥺🥺
haki sawa iko api hapa, wale wanaodai 50 kwa 50 wako wapi jamani, acheni wanaume waitwe wanaume.
Kufa na kuzikana Daaaa
Duniani sio nyumbani kwetu
Tumuogope Allah ndugu maisha si kitu angalia ndugu zetu wlikuwa kama sisi
Serekali ifanye hima ijenge mawe ili kuzuia maji yasizidi kusambaa la sivyo kutaliwa pote hapo mji utakuwa maji matupu.Hili ni jambo la kufanywa haraka sana Serekali ifanye hima kwa kweli.
Mto huo unazidi kukuwa kila mwaka jamani nyumba nyingi zimeondoka na maji
Kazi kama hii alafu urudi nyumban umfumanie mkeo na muuza genge
Achana na kufumania wao wanalilia haki sawa ila kwenye picha siwaoni wakiwa wanafukua
Wanaume kuanzia Leo nitawaheshimu mpaka kufa kwangu😭😭😭😭
Safi sana mea umejieleza vizur hiyo ndio sifa ya uongozi
Hacha mungu haitwe mungu binadamu thamani yako nipale unapokua hai ukifa kwisha habari yako bas tusisahau kumwabudu maana yeye ndio kila kitu
Nimesisimka endeleeni kupumzika kwa Amani marehem wote poleni ndugu zangu mliohusika kuwahamisha ndugu zetu kwa kazi ngum
Daaah Aisee Ila Hii Dunia Inamambo Sana Mungu Baba Tunusulu 😓😥😢😭😭😭🤲👏🙏
Dhambi itakayo wapeleka wanawake jehanamu Ni pamoja na kuzalau wanaume
Jamani mwaka gani, poleni wafiwa wotee,pia wanaume wotee milifanya hiyo kazi mwenyezi mungu awape wepesi katika maisha yenu, kila mnachokifanya kiwe cha kheri
Huu mtihan. Bora uzike tuu kwenye kjj chako sio mjini
Hongera Sana bakari kwa kazi nzuri kule mtwara tulikuzoea kwa jina la beka
Dah.! Pongez kwa haw wanaume sio kazi rahis, marehm Mungu awalz mahl pem pepon
Barakoa jamani mgewapa hawa majedari, poleni sana ndugu zetu inahitaji moyo mkuuu
Subahnallah, allah awape kila lenye khery daiman
😭😭😭😭😭😭😭Mungu awalipe kheri wanaume😭😭😭😭😭
Binadamu sisi tukishakufa ndobasi aaalllah atupe mwishomwema yarab subhannalllah
Kuna watu wana roho kumu jaman inna lilalhi wainahilahi raajiuwn
kama wewe usingeweza?
Kazi ngumu inshaallah mtaimaliza salama marehemu wetu wawekwe mahali salama sote njia ni moja.
Wanaosemaga hamsini kwa hamsini mbona hapo siwaoni mwanaume ni mwanaume tuuu
Wallah binadam tunaringia hii pumzi ila hatuna thamani mbele ya mwenyez mungu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭eh mungu wangu nijaalie mwisho wangu uwe mwema yarabbii..😭
Amiin amiiina Inshaallah
Ila wanaume Mungu cjui aliwapa moyo gani Aiseeeeee,!!!!
Neema mambi
Upo wapi
Ndio kazi hiyo lazima ifanyike
Halafu mnatudharau mwanaume gani!! Mwanaume suruali mnaona kazi hiyo
@@abdallahsuleimani7416 nawew ufyate mdomo huenda ata huwez kufanya kama hao
Namuona shemej etu kumbi la moto
dah poleni sana, kwa kweli mtihani
Kwakwel hata kama wamepewa pesa,hapana jaman huu ni ujasir wa Hal ya juu sana,,Tena hauna mfano,,mungu atawalipa heri na aman Dunian na ahera wote waliosaidia kaz hio inshaalah🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲☝️
I love it thats my work
Mungu awalaze wapendwa wetu mahala pema pepon amina 🙏🙏
Kazi ngumu iyo jmn mungu awayie nguvu
Mungu awape nguvu ndugu zangu wote mnao fanya hii kazi sio rahisi ila mmejitoa Sana hii kazi Ni ngumu Ni zaidi ya malipo ya duniani amen so sad😭😭😭😭😭
Mungu atupe kheri wanaume
Innalilah wainna ilayihi rajiun subhanna llah 😭😭😭
Nimelia kiasi mpka kichwa kina uma 😭😭😭 Mungu naomba tusamee pale tunakosea Tz plz Mungu anahitaji kusema nasi
Wanaume wa napitia magumu sna
Tusipowavumilia jaman lzm. Tulaaniwe😭😭😭lkn wakikosa kidogo tunawasalit jaman tu muogope Allah wanawake tu heshimu waume zetu, kaka zetu zbaba , wajomba
Kufukua mait si jambo Dogo
Yaraby barik waume wote
Huyu Meya ndiyo anapaswa kuwa MBUNGE JIMBO LA ILALA NA SIYO ZUNGU.
HONGERENI SANA wanaume wenzangu kwa Kazi hiyo ngumu .
Hakikisheni mnashinda ili wanaume Tuendelee kuwa JUU.
Da! Wenye marehemu wao nahisi maumivu yamerudi upya
Daaah😪😪😪
Kabisaaa
Sana
😢😢😢
Subhana Allah
MUNGU AWAFANYIE WEPESI INSHAALLAH 🙏🙏😥😥
Mmh mie nisingeweza kuangalia hapo waliokuwepo wana moyo roho yng ndogo ningekuwa nalia hd kiza kinaingia kwakweli Mungu awape mioyo mnaofanya hiyo kazi Subhannah 😭😭
Hongereni na poleni hiyo kazi ngumu na inatisha uuuwiii Jamani muwalipe vizur ili pia wakatibiwe maana
Mhhh kazi ngumu Sana, kweli tumche Mungu Sana jaman dahh
Duh ukifa unakua kenge tu kumbe ukipata bahati ya kula bata kula kabisa maana kesho yako huijui
Mmm pata hiyo chamtoto kimbembe siku dunia itakapo lipokua kutiwa kwenye giza nene baba hamjui mwana hapo waliyo kufa mifupa yao inabwebwa pole pole siku ya mwisho si mbio hizo si yowe hizo si giza hilo sikimbuka hicho NDUGU YANGU KULA BATA POLE POLE USISAHAU SENT YA KESHO KUFA SIO MWISHO KWANZA KWA IMANI YANGU HAPO ROHO HAIPO MIFUPA TUPU
Sio kula Bata My dear Ni huo Muda wa kula Bata utafute Uso wa Mungu, Omba Rehema ,utubu..Jenga mahusiano yako we na Mungu wako ndio mema yatakujia yakula Bata
Acha kutumia pesa vibaya kwa kisingizio cha kifo, kifo kipo tu tuliza roho ishi kawaida tu kifo nikawaida kwa binadam ndo mungu kashapanga no way.
@@selemanihussein7873 🙏🙏
Daaah kaz ngum san hyo ntapokea unakachonip ukikosa ntakuelewa na kukuombea pia
Kazi ngumu sana
Nimependa sana
Hongeren viongoz
Subhanallah...dah mauti hebu angalieni binadamu tulivyo dhaifu
Ni ngumu Sanaa , Mungu awape nguvu
Mubarikiwe Sana tena Sana kwa kuliona hilo
Innalilahi wahina rilahi rajun allah ampe kauli thabit alie TANGULIA ncc 2lio back Allah atujarie mwisho mwema 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭
Jifunze quran kusoma na kuandika gusa picha yangu
Eti Watu Nawakubali Sana Wanaume Lakini Nyinyi Wanawake Utasikia Eti Kisa Mapenzi Mwanamke Utasikia Akisema Wanaume Wote Mmbwa Cha Ajabu Yeye Baba Yake Ni Mwanaume Pia Lakini Utasikia Wanaume Wote Mmbwa Kisa Mapenzi Wanaume Sisi Ndio Wapiganaji Hata Tukichanganyika Vitani Jinsia Zote
Subhanna Allah, huo si msiba upya jamani 😭😭
Inna lillahi wainna ilayhi raajiun
Unaezajua ni movie dah
Aiseh!
Mie nashukulu kwa mahamuzi mazuri nawapongeza walio jadiri swala ili
Salute to Vidume Wote Duniani
Re funeral hiyo inakua yaani pale unakua umesha sahau majonzi Mara pah! Maiti ina fukuriwa upya tena so painful 🥲🥲🥲🥲🥲
Polen kaka zng kwa kazi ngum😭😭😭😭😭
Kweri sisi binadamu ni maua tu tusijidai mana tunasinyaaa ....poleni kwa kazi ngumu........
👏🙏
Hongera kwa wanaume hao w anao chimba hayo makaburi