Broo umetisha xana one day yes apo kambini kitambo natamani Sana kuja kupata Koz sema mda mchache Sana na hiz harakat zetu ,ila cjakata tamaa nitakuja kikubwa dua na uhai tu🙏🙏
Namani na nimependa sijawahi kumsikia kwa intaviw hii ya ayo imenivutia Sana ila mazingira ya kupata pesa hali ya uchumi mungu nisaidie Nami nijifunze kingeleza hata kianzio tu kidokidogo Nia ni kujua kingeleza
Degree hitambuliki why?? Sisi tunashida mahali Ngugi wa Thiongo, et al wanadegree moja lakini ni maproff na wanafundish vyuo vikuu tunawanyma watoto/ Na kizazi chetu ujuzi muhimu sana ambao kunabadhi ya watu wanao Mfumo mbovu
Ras tukubali Mchango wako, lakini kitu kimoja sikubsliani na hiyo point, baada ya Mungu ni Rais si kweli wako Watumishi wa Mungu Manabii, Mitume nk S Uriyo
Rasi simba: sitoi siri ya wateja Baada ya dakka 1 Rasi simba: dogo janja nilimfundisha mimi, nilimpa hela badae akarudi tena bla bla 😀😀😀 Its jokes guys
@@ambermodotz408 alaaa kumbe,kuku amebaki nakazi hiyo-hata Ras Simba miaka ile pia alikuwa mchoraji, pamoja na Ras Alex,Ras Alex pia alikuwa na genge Pale mbele Yao.kipindi Toyota Corolla new model zinatoka Nakumbuka hawa maras waliletewa mpyaaaa toka kwa ndugu zao huko Duniani 😊😊
Huyu hafundish anawapa watu izo kanuni zake,watu ndo wanaenda kuzitumia kwa jina lake,me nilienda magomen mapipa ofisini kwake kabisa ata sikufundishwaga na yeye na watu wengine
@@tukukajr2721 ni kweli ukiwa serious na wanachofundisha unajua mie nlikuwa cjui kitu ila sikumalizaga kusoma nliishia 52, nilipata pata nahisi nngemaliza nngeelewa,kitin mwisho 70
Kuna walimu walikujaga kutuchukua wale wajanja kutuelekeza mfundishe hivi hivi wanawapa na vitabumnapewa tena mnaenda fundisha watu wakubwa nanyie mjasoma tukasema kunakuwaga na maswali tuache2 tutakuja fungwa🤣😂🤣
Safi sana mzee shujaa majaliwa akisoma vizuri itakua sawa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪✍
Waoo nimesoma kwa Ras simba magomeni mapipa mwaka 2014 saiv naimba nyimbo za kiingereza fasaha Asante Sana Mr Ras simba
Bei gan full course?
Hongera zako
Sawa shabiki
Una elim gani?
Wow!!
uyu jamaa yupo vizuri sana anajiamini mwenyezi mungu amjalie sio kila rasi lazima avute bangi 💪💪💪💪
Umeona eeh, ameen
Nakubalii brother Simbaaa 🦁🎉
Broo umetisha xana one day yes apo kambini kitambo natamani Sana kuja kupata Koz sema mda mchache Sana na hiz harakat zetu ,ila cjakata tamaa nitakuja kikubwa dua na uhai tu🙏🙏
Jaman nipo Mara wilaya ya Tarime nimefurah sana kumuona Ras Simba mkuu wa kingereza Yan nime kumbuka had 2019 pale majumba 6
this guy is competent than all my english teachers in high school
Thanx millard 4 this interview
Nimependa confidence ya rasi ✌️✌️✌️✌️✌️
Your voice 👌👌
Nawakubali sana marasta
Km unamkumbuka teacher HABASI. MARK. HABIBU. MOI magomeni mapipa sea boys gonga like
Hili jitu maywere hayo je likifa lazikwaje
@@mwanakhatib5825 swali la kipumbavu sana . Kwani nywele zimeumbwa na nani ?
Mwlm wangu huyo nimesoma kwake mwaka 2011 magomen hataki utani kwenye kusoma akikuuliza swali ukajichanganya weeeeeeee
teach simba mwalim wanfu nimesoma sanaa airport kituo posta kwakwe
Namani na nimependa sijawahi kumsikia kwa intaviw hii ya ayo imenivutia Sana ila mazingira ya kupata pesa hali ya uchumi mungu nisaidie Nami nijifunze kingeleza hata kianzio tu kidokidogo Nia ni kujua kingeleza
Nipigie ntakusaidia kuanzia February 2023 mungu akijalia
Umetishana sana kaka
Nimefurahishwa sana na iyi interview
Ningekuwa niko Tanzania ningekuja kusoma English kwa RAS, love him from 🇧🇮🇧🇮
Nakubali sana miradi
Degree hitambuliki why?? Sisi tunashida mahali
Ngugi wa Thiongo, et al wanadegree moja lakini ni maproff na wanafundish vyuo vikuu tunawanyma watoto/ Na kizazi chetu ujuzi muhimu sana ambao kunabadhi ya watu wanao
Mfumo mbovu
Nimesoma magomeni mapipa Kwa rasi Simba alhamdulilah nipo vzr
Ras Simba!
safi sana simba
Ana vibe kama la Mandonga ingependeza amfundishe mandogo mtukazi yani 🤣🤣Ras simba na Mtukazi..
🤣🤣🤣🤣
Naomba number ya Ras Simba
nimependa sana jamani.
Nitakuja kusoma, niko mwanza nitatafuta kituo chako
Nahitaji kujifunza online. Kuna njia yoyote ya kufanya?
Ndio nenda Instagram kwa jina hilohilo utapata maelekezo na namna ya kulipia.
Hapo sasa nimeelewa, hizi centers zilikua nyingi mno, kiasi unajiuliza aliwezaje kujigawa ?
Makin San brother Ras simb
Nilkuwa cjui English language but now mung mwema🤞 hongera Ras
💙
Trouble deh deh 🔥
Good
asante kaka uko poa sana one love
I think tanzanian artist should support him by joining his English classes
including diamond
@@barakamshiu7146 period
@@davidwalalason7630 what?? including david also...
@@barakamshiu7146 kwani diamond hajui kiingereza bro anajua mistake zinatokea sababu sio lugha mama na mwalimu anaye bado anazidi imarika
Kwa huku mbali unafundisha from oman
Safi sana mzee Rs simba
Man of GOD
Great teacher, i got it from him
Jamaa anafundisha kwa ada ya shilingi ngap kwa mwezi natak nijue nikajifunze
Nikitaka kujifunza bila kufika darasani inawezekana?
Jamani nami natamani sana kujifunza kingeleza ila maisha magumu sana naomba mungu anisaidie nipate helahata laki mbili
Jifunze tu mwenyewe taratibu taratibu online me mwenyewe ndo najifunza
@@SADEE._ anatoa mafunzo online!
@@SADEE._app gani dada
Naomba namba ya simu yako nipo mkoani shinyanga wilaya yakahama natamani nijue
Yeah ndo leo namjua nilisoma pale morogoro masika walimu walikua poa sana ila malaya 🤣🤣🤣🤣😂😂😂 kikubwa nimejifunza thanks
Walikufanya nn
Robina
Wamekumega kiaina cyo?😁
@@fanuelsulle8144 dah kwann lkn hapana ila walikua watongozaji sana ,.... 😁😁😁
Kaka mimi nipo Tabora nina hamu saana kusoma kwako nifanyeje?
Ras tukubali Mchango wako, lakini kitu kimoja sikubsliani na hiyo point, baada ya Mungu ni Rais si kweli wako Watumishi wa Mungu Manabii, Mitume nk S Uriyo
Na ww pia tukurekebishe hakuna manabii sasa hiv manabii wote hawapo saiv nabii wa mwisho alikua ni muhamad( s a w)
@@sammotv6920 hayo ni ya kwako! Usilazimishe kila mtu afuate yako! Heshimu imani za watu
Mbona wewe hueshimu ya rasta aliyo sema😃
Hiyo ni kibiblia kabisa hajakosea maana hata mamlaka ya juu huiweka Mungu mwenyewe
baada ya mungu ni mzazi halafu ndio mitume
Rastar big up
Rasi simba: sitoi siri ya wateja
Baada ya dakka 1
Rasi simba: dogo janja nilimfundisha mimi, nilimpa hela badae akarudi tena bla bla 😀😀😀
Its jokes guys
Usimuhukumu..ameulizwa ishu ya Dogo moja kwa moja hakupaswa kuikwepa kwa taratibu za mahojiano kwa hapo yupo sahihi hajatoa siri bali amejibu hoja
Nyie ndo mnaokurupuka... Je! Uliifuatilia mahijiano vizuri au ilimladi na wewe umeweka maandishi yako?
dogo janja mwenyewe alitoaagaa siri 😂😂😂😂 so haikuwaga siri tenaaa ndo maana ukisikiliza swali vizuri limekuwa direct kashindwa kulikwepa
Ada beigani nataka niipate hiyo luga.
N + S + T RASTA.
naomba namba
Namba
tumekuelewa sana mkuu
Vip unaweza kumfundisha mtu aliye mbali?
Ndakutafuta rasi mimi nataka kwenda ulaya nakupata brother
Mm kanichangany xehemu moja tu " slave triangular trade" ndio nin?
Ada sh ngapi
Kuna watu wengi Sana wanatumia Jina lake alaf wanamchafulia kwa kutapel watu
Mimi mwalimu wangu sir dile tuu
💯💯
Mwamba saana
Safii
Mim nataka kujifunza nafanya utaratibu gan
Duu nilikuwa skujui hongera
Yes Raster
Bado lugha yake iko chini sana na uwezo mdogo kuna watu wanajuwa zaidi yake alafu wapo shamba tu
Og sanaaaaaaaa
Mimi nahitaji nionane na rasi Simba je nitampataje
Kazi kubwa Sana Rastafari
Unamfundisha mtu aliye nchi jilani, na ada bei gani
kuna mwanangu mmemwajiri now mwez wa tatu mnampa nauli na msosi tu.. fanyen kumlipa
kitabu chako Ras bado kipo?nakiitaji maana nilipoteza
Ras Simba ningeenda ukuje huku mkosa WA Kilimanjaro wilaya flani hivi ikohyoshida Sana huku
Patwaa hujui kaka maana sababu ya kuongea patwaa cio kuwa rasta kama ulivyosema inahusiana na ukanda tu.
Watu tulio soma linguistic tuna jionea maajabu tu hapa...
Jamani naitaji kujifunza kiingereza napataje mawasiliano na mwal mm nipo canada
Nataka kusoma online itawezekana mpendwa yaan ufungue darasa la online
2004 nlisoma kwake airport still namkumbuka Ras kuku😁😁
Daaah kweli unawajua vizur Sana hawa jamaaa, walikuwa wa3 Ras Simba ras kuku na yule mwingine
Ahaaaaa Ras kuku airport kalibu na posta 💪💪💪
Ras kuku asaivi ni mchoraji
@@ambermodotz408 alaaa kumbe,kuku amebaki nakazi hiyo-hata Ras Simba miaka ile pia alikuwa mchoraji, pamoja na Ras Alex,Ras Alex pia alikuwa na genge Pale mbele Yao.kipindi Toyota Corolla new model zinatoka Nakumbuka hawa maras waliletewa mpyaaaa toka kwa ndugu zao huko Duniani 😊😊
Kabaki ras makombe tall mnyama
Nililicho mkubali lasi hana ulimbukeni wakuongea kiingereza maana wangekua wengine hapo ungeskia but but pamoja ni coz coz 2
Aisee wamsaidie aweze kuongea kiingereza
Mzee umetisha huna baya🙌🏽🔥
Nipe namba zake
Litambue hili th-cam.com/video/iYjijfV-YRw/w-d-xo.html
Eti Majaliwa Mwokozi
Muulize Ras kuku yupo?
Kaka ada shingapi au si vyema kutamka hadharan?
Na mm jamani natamani sana nijue kuongea kingereza maana ulimi wangu mzito sana naomba msaada
Kuanzia 14:17
Chuo hicho cha marekani cha international Law ambacho hakitambuliki NAOMBA JINA NI GOOGLE NIONE.tushachoka UONGO NCHI HII
Huyu hafundish anawapa watu izo kanuni zake,watu ndo wanaenda kuzitumia kwa jina lake,me nilienda magomen mapipa ofisini kwake kabisa ata sikufundishwaga na yeye na watu wengine
Kweli huyu jamaaa kama vile kweli tapeli mwambie ataje chuo hicho
@@joycembawala1948 ila ni kweli hyo miezi 3 unakuwa umeshajua ukiwa serious?
@@tukukajr2721 ni kweli ukiwa serious na wanachofundisha unajua mie nlikuwa cjui kitu ila sikumalizaga kusoma nliishia 52, nilipata pata nahisi nngemaliza nngeelewa,kitin mwisho 70
😂😂mamae hizo kingereza 3 ndio umeniacha hoi😂we ni mtu mbad sana ras
Kuna walimu walikujaga kutuchukua wale wajanja kutuelekeza mfundishe hivi hivi wanawapa na vitabumnapewa tena mnaenda fundisha watu wakubwa nanyie mjasoma tukasema kunakuwaga na maswali tuache2 tutakuja fungwa🤣😂🤣
Tatzo sasa hv wengi wanamlipa kutumia jina lake halafu ukienda hamna kitu .
Mbona sasa ada ajatuambia ni kiasi gani kwa hyo miezi mitatu
Bangi bwana
Rasta men ni watulivu sana
Namkaribisha nyabing hiyo ruf sio kitu bado hawaja simama
No maraaa waaa 😀😀😀
Nahitaji
Je yeye ndo Anafundisha?au ye kaja na idea tu ??
Hafundish yeye anawalimu anawapa hizo njia au kanuni zake za kufundisha,hao walimu ndo wanafundisha watu ila hafundish
Nakuja Rasi simba
Ras simba tunaomba msaada arusha
Arusha yupo makao mapya karibu na Davio Hotel, Mtoto alisoma Kingereza hapo baadala ya pre- form one na anafanya vizuri shuleni
Jamani mm namtoto wangu mwakani from 1naitaji
Ninakipenda ila bs tu
Naomba namba yake
Mashallaha
Kwa nin mnapenda bendera ya watu nyie hamna uzalendo hiyo nguo ulio vaa
Tupe madin big nakubar sn