Anaishi Makaburini:Ameishi na wafu kwa Miaka 15 |HADITHI ZISIZO ZA KAWAIDA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 เม.ย. 2022
- Hii ni Historia Ya Mzee Alieishi Makaburini Kwa Miaka 15
Kumbuka :Asili ya Video Hii Iliundwa Kwa KISWAHILI&KIFARANSA Chini Ya Afrimax Ltd,Ikimaanisha Tunamiliki Haki Yake kwa 100%,Hili Ni Toleo La Kiswahili,
#afrimaxswahili #truly #historiaisiyoyakawaida #trending #watuwaajabu #extraodinarypeople
Usisahau Kubonyeza Alama Nyekundu (Subscribe)kisha Alama Ya Kengele ili Uwe Wa Kwanza Kupata Video Zetu AFRIMAX SWAHILI
Waah
Hawa wa awake Acha tu ndo maana mimi siowi tena ila naishi nao tu kwa starehe tu, mana nilioa akatoroka
mbna kama nimempenda mm yan bonge moja la gentlemen alaf hata ajazeeka uyu kijana khabisa...anaweusi mzuri sio kama vijana wa sasa wanaojichubua....yan nikimpata uyu namuingiza saloon alaf mampiga maji ya moto ya kuoga..
ila ww jamani 😂😂😂