ASSLAMALAKUM MZEE FROM ZANZIBAR I AM LIVING IN 🇬🇧 UK LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA MY LET PARENTS THEY FROM ZANZIBAR SO I AM PROUD OF PEOPLE OF ZANZIBAR ALLAH BLESSED THEM AMEEN AMEEN AMEEN REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM 🇬🇧 LONDON ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante babu nakuangalia ktk muscat oman Kweli maneno uliyosema kama kuna mganga kwa nini hajifanyii dawa akapat pesa ndio hayo hayo ninayowaambia wenzangu.... Kiswahili full babu
Nakumbuk asubuh moja nlipat nafasi ya kuagizwa chakula na huyu mzee wakat nikiwa mwanafunzi wa shule ya kiponda jirani tu nyumb yke # Alhamdulillah Allah amjaze katik mema yke na ampe firdaus kama zawadi yake ya milele 🙏
Kwa kweli.. huyu mzee ana hekima na busara sana, Inshallah M/Mungu atazidi kumbarik na.kumfanyia wepesi wa kila jambo ampe afya njema na umri mrefu Ameen I... 🙏🧡
Masha allah mzee Mohd mungu akuweke huyu mzee alikuwa rafiki mkubwa wa marehemu baba angu wallahy ana historia na mambo mazuri tu na akili yake timamu tu
WALLAH WABILLAH IYUMZEE NAMJUA NA NIMKARIM SANA NANIMNUENYEKEV SANA MFANYA IBADA NA KUNAMUDA NAPITA BARAZANI KWAKE NATAMANI ANIITE ANITUME POPOTEPALE ILI NIRDHIKE
Millard Ayo mmetisha sana kwakweli, Huyu mzee namfahamu vzr sana amekuwa ni mtu ambaye hana shida ni mkarimu pia kwa namna moja ama nyingne tumezoeana na anapenda sana story, Ninapata nafasi ya kuonana nae karibia mara tano au sita kwa wiki sababu makazi yake yapo njiani
@@salimselemani4861 Hapo labda nifanye utaratibu wa kuonana nae then nimuulize endapo kutakuwa na possibility hyo... Lakini pia kama itafaa zaidi ungenipatia mawasiliano yako
Kwa fikra zangu na maadishi ya hapa,nli Dhani pengine mzee ni mshirikina,lakini kumbe mzee ana pambana,na kutafuta rizki ya Halal,Inshallah mungu amkutanishe na,Rais Mama Samia 🤲
Ndiyo sababu vijana wengi wanakuwa vichaa kwa kupenda kuiba je huyu mzee akimuibia akiomba kwa Mungu kila aliyeniibia Mungu mpe kichaa je wewe uliyemuibia utapona hacheni wizi pumbavu nyinyi
Juzi tuu nilipita hapo kwenda kunywa chai lukman karibu kabisa kwa huyu mzee. Kwa uzoefu wake akajua cc ni wageni lkn kidesturi yetu ukimwona mtu amekuzidi umri unamwamkia kumpa heshima yake. Ndipo akatuuliza nyiye ni wageni hapa? Nasi tukamjibu naam akatuchangamkia nasi tukafurahi nikatamani kununua kitu lkn sikuona cha kunivutia. Kwa kuwa ni mzee na bado anajitegemea kuliko kuomba omba nikamwachia hela mkononi ngapi siri yangu. Akaniombea dua Alhamdullilah.
ASSLAMALAKUM MZEE FROM ZANZIBAR I AM LIVING IN 🇬🇧 UK LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA MY LET PARENTS THEY FROM ZANZIBAR SO I AM PROUD OF PEOPLE OF ZANZIBAR ALLAH BLESSED THEM AMEEN AMEEN AMEEN REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM 🇬🇧 LONDON ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mzee umri huo anapiga kazi,vijana umri mdogo mara teja,shoga,kibaka,jambazi,free mason,Mungu azidi kukubariki mzee wangu.
Amiin yarrab
hawataki kazi vijana kazi kuomba na huo uongo wanaumbe wa siku hizi waongo na kukaa chini ya wanawake
Amiin yaraby
@@nadyasalim7956 kweli kabisa
Kweli kabisa kazi yao kubwa ukuwadi kutaka hela haraka pumbaaaff
Mashallah huyu mzee namjuwa sana
Nimejiskia vizuri Leo kuona anahoniwa na ayo TV
Asante babu nakuangalia ktk muscat oman
Kweli maneno uliyosema kama kuna mganga kwa nini hajifanyii dawa akapat pesa ndio hayo hayo ninayowaambia wenzangu....
Kiswahili full babu
Aaahh kumbe tunacheza sana.. Sisi tour guider wa Zanzibar twende tukavune historia ya Zanzibar kwa huyu mzee. Mungu akueke mzee wetu akupe afya njema
Amin
Alhamdulillah masha Allah tabarrak Allah m.mungu awahifadh Ampe umri mrefu wenye afya na kheir mzee wetu
Babuyako uyu mmefanana😀
😊😊Amiin
@@binbarwan7401 yes mzee wangu 😄
😂😂
Maa Shaa Allah, tuna history lakini hatufwatilii kama kwa nchi za wenzetu.
Nnakupenda mzee kwa ajili ya Allah, Mungu akupe umri mrefu In Shaa Allah.
Mwenyeez Mungu akuzididhie umri mrefu na afya njema mzee nimekupenda sana, hongera kwa kujituma.
Nataman angekuwa mzee wangu nimtunze aache kazi atulie....umr umekwenda apumzike 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Mtunze tu baba
Babu wetu Mashaallah Mungu akupe afya na Umri mrefu Inshaaallah.
Amiin yarrab
Amiin
Umri mrefu upi tena apo alipo pumzi hazipat unamuombea umri mrefu ateseke #allah akampumzishe kwa aman
@@malikshafii8431 kwanza ni Afya sio umri!
Baadaye ndio umri
Nafkiri umeelewa .
Amina
😘❤️ duuuh Babu kumbe unaongea hivi nikipita chechei Babu sauti ya chini
Godbess you mashalah we are proud of you in zanzibar 🤗🤗🤗💥
Nicee
Its my uncle mze mohammad..😘🥰proud of him
Mariam sulaiman albrashdi here
una uhakika ?
@@menalikechildren8836 yup 100%how i wouldnt know my own uncle😰🤣
hahah na mm ni uncle yangu bc mm na ww ndugu
@@menalikechildren8836 ndugu wa islam maybe not real
not jas in case of Islam but he's my real uncle
Hawa ndio wazee wenye hekma sio wapumbavu kukaa vibarazani kunywa kahawa kusubiria Pensheni tujitume Kama babu yetu Mashaa Allah
Kweli kwa ndo wazee,muhimu kua nao,mbali na biashara,Ana ijua history vzuri sana
Umesahau na kutongoza vibinti vidogo yaan hawana heshima kabisaa
Moja katika kumbukumbu nzuri Asanteni sana ayo tv
Ma shaa allah.. babuu yetu fahari ya mjii wetu allah atuekee mzee wetu huyu na wengine wotee In shaa allah
sasa babu hapo anaona kweli? love you baby msalimie bibi, miaka mingi kwako babu,🙏🙏🤲
😁😁😁keep left
Nakumbuk asubuh moja nlipat nafasi ya kuagizwa chakula na huyu mzee wakat nikiwa mwanafunzi wa shule ya kiponda jirani tu nyumb yke # Alhamdulillah Allah amjaze katik mema yke na ampe firdaus kama zawadi yake ya milele 🙏
Kwa kweli.. huyu mzee ana hekima na busara sana, Inshallah M/Mungu atazidi kumbarik na.kumfanyia wepesi wa kila jambo ampe afya njema na umri mrefu Ameen I... 🙏🧡
www vbs
tb
Masha allah mzee Mohd mungu akuweke huyu mzee alikuwa rafiki mkubwa wa marehemu baba angu wallahy ana historia na mambo mazuri tu na akili yake timamu tu
Mashallah, hongera sana Babu kwa kufanya kazi.
Hapo ni kweli mungu ndie mganga wetu dunia hii mpaka ahera
Vijana tuchape kazi…babu ni kioo tosha kwetu! Tumtegemee Allah tuache mganga na ramli
Kwa wale wanaoenda forodhani kupiga makachu huwez kufika bila kumpita huyu mzee pale maeneo ya skuli ya kiponda.
Tujuane wapiga makachu hapa
WALLAH WABILLAH IYUMZEE NAMJUA NA NIMKARIM SANA NANIMNUENYEKEV SANA MFANYA IBADA NA KUNAMUDA NAPITA BARAZANI KWAKE NATAMANI ANIITE ANITUME POPOTEPALE ILI NIRDHIKE
Niltumzur mwanawe tunakaa jirani kweli anasema anaibiwa sana sahv
huyu mzee ana akili sana hiyo biashara angepata advertisement angejulikana kwa wazungu wana nunua sana hizo ela za zamani
Ni kweli kabisaa. Angekuwa ngambo hizi atapapata mamillioni kadhaa.
A nakaa mji mkongwe
bongo zozo naye ananunua
Niliwahi kusikia bongo zozo ananunua pesa za zamani.. Ayo Msaidieni Mzee
Tena anazitafuta sana
Allah akupe umri mzee wetu ameen 🥰🇴🇲🇴🇲🇴🇲🌹
Ameen
Amiin yarrab
Millard Ayo mmetisha sana kwakweli, Huyu mzee namfahamu vzr sana amekuwa ni mtu ambaye hana shida ni mkarimu pia kwa namna moja ama nyingne tumezoeana na anapenda sana story, Ninapata nafasi ya kuonana nae karibia mara tano au sita kwa wiki sababu makazi yake yapo njiani
Mzee wetu story anazipenda kweli Allah ampe afya
Yeah kabsa
Assalamu alaikum naweza vipi kupata kuongea nae huyu mzee nitashukuru sana kama utanijibu
@@salimselemani4861 Hapo labda nifanye utaratibu wa kuonana nae then nimuulize endapo kutakuwa na possibility hyo... Lakini pia kama itafaa zaidi ungenipatia mawasiliano yako
@@salimselemani4861 njoo nikupeleke
Masha alla industrious Sana huyu mzee Allah atukubari
Much love mzee wngu
Inalillahwainailayhirajiun we will miss mzee Muhammed Allah akupe kauli thabit na akulaze mahala pema peponi babu yangu 😭💔
Eti Tusharudi Tena Mwana Kwerekwe ila Watu Weusi Sio Waoga Kabisaaa 😂😂😂😂😂
🤣🤣
😂😂😂😂 watu hawana huruma jaman
Kweli kabisa
Kwa fikra zangu na maadishi ya hapa,nli Dhani pengine mzee ni mshirikina,lakini kumbe mzee ana pambana,na kutafuta rizki ya Halal,Inshallah mungu amkutanishe na,Rais Mama Samia 🤲
Amin inshallah
Hahahaaaa jirani yangu vijana wamemzowea sana
My best friend
Mzee anaonekana alikuwa tajiri sanaaa enzi Hizo..
Daah watyu weusii tumepinda hatarii mzee kaandika na badala yake kaibiwa daah
Inshaallah
😂😂😂😂Tusharud mwanakwerekwe eka tena
Huyu mzee Mohammed nilimuona zamani sana,nafurahi kumuona tena
in shaa Allah m.mungu akujulie uonane nae tena kwa furaha
@@samiaalriyami3488 Amin, hawa ndio wazee wetu wa Kiponda
Zamani maekiti anakuepo sana anampiga story sahv hawezi tena kutembea ndo yupo tu hapo
@@fatmamansour676 Ndio wameshakua wazee
Salam zimfikie mama awasali znz kwa mzee mohd stone town kiponda znz
Jaman wasimuibie jaman
Awesome 👌🏽💜
😂😂🤣🤣🤣 Babu Riyami asante waganga ni waongo wangejifanyia wao kwanza wakawa matajiri. Tulipita karibu tukakusalimiya...Mashaalla kumbe maarufu.
Hahaha...mzee wangu uyo huwa ananipa stry nyingi sanaa...nimepata faida nying sana kutok kwake
Na vijana waache kumuibia mzee wetu
Safi Sana Mzee wetu nakumbuka nilisha wahi ongea naye hapo kwenye biashara yake .
anapatikana wapi?
tusharudi mwanakwerekwe tuwekee tena 😅😅😅😅😅😅😅😅duuh aisee mutu nyeusi noma sana
😂😂😂😂😂 mzee nimempenda sana eti niliwatisha watu na wakaniibia na ujumbe juu akapewa tumesharudi mwanakwerekwe.
😂😂😂
🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
😁😁😁nimecheka Sanaa asee
Hahahahaha
Aisee Mungu atujalie umri mlefu
Amiin
Allah akupe umrimrefu inshaAllah
Amezidi kuzeeka sasa na mpk leo mwnyew anaendelea na biashara yke
Mungu amueke mzee huyu na ampe umri mrefu kwa biashara yake ya kaiza na ampe wateja wenye kukunua kwa bei ya juu manaks sio rahisi kupata pesa hizo
Hahahahahaha, eti nsharud mwana kwerekwe!!
maziwa ya nyokaa 🐍 duh 🙄🙆♂️😂😂😂😂😂😂
Mandhari ya hiyo sehemu ameitengeneza ni nzuri sana.
Huyu mzee namjua sana
Mashallah Allah
Naomba namba za uyo babu
Tusha rudi toka mwana Kwerekwe 🤣🤣🤣🤣🤣wahuni sio watu wazuri
Nimempenda sana babu 😍😍❤
Babu kachangamka mashallah
sana masha Allah tabarrak Allah ungekaa nae kwa muda dakika 5 kama ulikuwa na stress zingeondoka
mashallah sio vijana wa siku hizi
Apo ndo utaelewa kama halbadiri ni uganga au dua
Aunganishwe na Bongo Zozo,huwa anazitafuta Sana fedha za zamani
Mashallh Babu
😆😆😆😆😆eti tusharud mwana kwerekwe wezi bhana
Noma
Home sweet home kiponda zanzibar
Mzee mohd Allah akulipe kila la kheri
My Nina shida namba zake nitazipataj
nitakupatia subir
Kweli hufungilawa ktk kitovu kurudisha
Mashallah huyu mzee ni mcheshi anaongea vzr
Nikajua haoni kumbe anaona!
The guy was very handsome those dayz
Daah
Nilimuonaga💓💓💓
Subhana ALLAH mtihan eti tusharudi 🤭wala siakucheka
😀😀😀
@@sakinat2527 Hatari lkn salama
@@Awatee 😃😃😃😄KWELI SI YAKUCHEKA
Huyu mzee White Sana
Mwarabu huyo
Babu mjanja umeandika na wameiba😂
Innalillahi wa inna ilayhi raijun amjalie kauli thabit 🥺
Ndiyo sababu vijana wengi wanakuwa vichaa kwa kupenda kuiba je huyu mzee akimuibia akiomba kwa Mungu kila aliyeniibia Mungu mpe kichaa je wewe uliyemuibia utapona hacheni wizi pumbavu nyinyi
Tumesharud mwanakwerekwe weka tena😁😁😁😁 nimeipenda hii
@bongozozo aje kununua Pesa apa
Home sweet home!
🔥🙏🙏🙏 Nime jifunza kiti kutoka kwa babu..
😂😂😂😂eti tusharudi mwanakerekwa
Watu hawamuogopi Mungu waje kuogopa maandishi 😣
Hahahhahah babu pole sana watuwabaya!
Mie ninaxo NOTE ZA KUMI NA ZA TANO ZA K8ZAMANI KWA ANAYEMYEZITAKA KUNUNUA.
Et tusharud mwanakwerekwe weka Tena tuibe 🤣🤣🤣🤣🤣 watu wamevurugwa
Mzee huyuu TOKEA nasoma yupo mpk sasa na huyooo ata ugongi unamkuta mlango njia y KUELEKEA msikiti wa malindi njia ya kipondaa
mzee hana tabu kabisa ila wanamuibia sanaa sana lakin yeye anamshukuru mungu anasema hata kama wamenibia m.mungu ataniletea zaid ya ile
@@samiaalriyami3488
Samiya uko wapi
Juzi tuu nilipita hapo kwenda kunywa chai lukman karibu kabisa kwa huyu mzee. Kwa uzoefu wake akajua cc ni wageni lkn kidesturi yetu ukimwona mtu amekuzidi umri unamwamkia kumpa heshima yake. Ndipo akatuuliza nyiye ni wageni hapa? Nasi tukamjibu naam akatuchangamkia nasi tukafurahi nikatamani kununua kitu lkn sikuona cha kunivutia. Kwa kuwa ni mzee na bado anajitegemea kuliko kuomba omba nikamwachia hela mkononi ngapi siri yangu. Akaniombea dua Alhamdullilah.
Hongera kupata Baraka ya mzee
Oldman 🔥🙏
Hata hiyo hela yenye tundu ninzur kwa maradhi ya nyongo
Mzee comedian huyu😂😂😂
Namuona hapa mji mkongwe dukani kwake
Heheheheheheheh mzee kashamaliza hakunaga uganga