Mwenyezi Mungu Mtukufu mwingibwa Rehma akuoneshe njia njema ww na kizazi chako na wengine wote waliokuwa na nia ya kuingia na waliopo kwenye mambo mabaya awaondoe Inshallah.
Mtangazaji unazinguaaaaa umeganda tu kumuwekea mike huulizi maswali me nlitegema utauliza wakati anapigwa izo pesa na simu bado ulikua nazo lakn we umekaa tu mpaka ye mwenyewe ndo anatafsiri maana ya pauni ni elf 20,000 daaah kweli waandishi ma professional ni wachache sana Tanzania
Huyu jamaaaaaa endapo angedema nılsema YESU ...... nıkanusurıka bas wenzetu wangeshamchukua makanısan na kumfanya Ushuhuda yesu anaponya n.k Allah ukımuomba anakunusuru kabsaaa kabsaaa İbrahim alinusurka na moto !
maashaallah maashaallah unajua kabisa aya za Allah inshaallah mungu atakufanyia wepesi
Aisee pole kaka kwakweli Mungu anatulinda
MashaAllah MashaAllah Allah akuongoze njia njema naupate tooba kabla ya Umauti
Mwenyezi Mungu Mtukufu mwingibwa Rehma akuoneshe njia njema ww na kizazi chako na wengine wote waliokuwa na nia ya kuingia na waliopo kwenye mambo mabaya awaondoe Inshallah.
Inshaallah mwenyezi mungu atakufanyia wepesi mazito akuondoleeni mepesi akumiminieni atakupa rizik halali zielemee mikononi mwako
Huyu mtangazaji jau sana akili anazidiwa na teja😂😂😂😂Oya mirrad mpe kazi huyu teja
Dahhhh mungu mkubwa aisee ilikuwa kupoteaa mtuu aisee wananzengoo...wanagongaa🔥🔥🔥🔥
Ova ova, ALLAH atulinde wote!
😪😪😪nilijiisi machozi ila mwenyezi mungu amsahe amruzukie shufaa insha'Allah
Huyu jamaa hatari sana na elimu Yarabi Mungu amtoe kwenye shimo la giza INSHAALLAH
Mashekh wamshikilie huyu Mungu anaweza kumuonekania. Ni kijana mwerevu tu...sad
Wapiga unga wana maneno matamu utafkiri kisha kuwa Mufti lkn wee😂
@@hilalalhabsi2047 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe unawajuaee we mtizame kwenye interview ya 1 kavaa taiti ndani na taiti ni ya kike
@@aisharamadhani1948 🤣, nishakaa nao haswa. Wapo walonihusu. Ogopa wakikutongoza utatoa tu pesa, halafu watiifu kama wao hakuna. Pwesa tu uone dharuba yao, utajiuliza nguo uliovaa ndani walii vua vipi wakaiiba, 🤣
@@hilalalhabsi2047 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Masha Allah tabaraka Rahman Mwenye Enzi Mungu akuhidi wewe pamoja na sisi na jamii Islam ALLAHUMMA AMEEN YAARAB JAMIAN
Allahumma amiin
Mtangazaji kwenye Quran kuna aya co rakaa..... rakaa ni kwenye sala.... Allahuyaalam
watu wengi hawajui Dini yao
Sio dini yake maaana hata kama dini hajui vitu kama ivyo muhimu atakuwa anafahamu tu
Kaka ni mkweli hukwepeshi maneno mungu akucmamie daima na akupe kauli thabt duniani mpaka akhera amin
P
Mungu akuongoze wewe na sisi wengine allah atuongoze sote
Mashallah Allah atufikishe salama inshaallh uachane nayo
Mtangazaji unazinguaaaaa umeganda tu kumuwekea mike huulizi maswali me nlitegema utauliza wakati anapigwa izo pesa na simu bado ulikua nazo lakn we umekaa tu mpaka ye mwenyewe ndo anatafsiri maana ya pauni ni elf 20,000 daaah kweli waandishi ma professional ni wachache sana Tanzania
Kafanye wewe
Ni ngumu kuwaza yaliyokichwani mwa mtu,yapo mengi ya kumuuliza sio lazima ya kwako.
#hao ndio watangazaji mavii
Miradi ndo mtangazaji mwenye kipaji pekee
Kaka millard ayo muwezeshe huyo mfungulie madrasa
inshallah allah akupe wepesi.
Allah akuongoze
Mungu akulinde kaka,
Yaani nimecheka sana eti akakurupukia kwenye defender 😃😃😃😃
Allahu akbar
Kk fanya toba
Simamisha ibada ushukuru aliyekuumba amekuokoa ktk mtihani mzito
Msimulizi mzuri, akili kubwa,. Bro kibe yupo vizuri
Kufa hukufa... ILa kitimbo cha kunenepa mtu ulipata.... Acheni hizo tabia za ukwapuaji
Do not say that bro 😒 muombee kwa mungu aepukane na hii ishu then kumbuka km si wewe bas kizaz chako kinapita njia aliyepita
Ila huyu Kijana ni mkweli, ila nimecheka sana
MashaAllah mashaAllah Allah barik. Dua ya mama jamani musajabu tuwaombee sana dua nzuri watoto wetu. Allah atakupa mwisho mwema .
Gl
Allah muweza na muokoz wa kila palipo shindkana
Ety shonaaaa ivoivo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Kushonwa bila ganz umekoma🤣🤣
Nauki rudia wakikushika ume kwisha ubadiruke kama niwakubadirika maana nynyi sio rafiki kabisa
Leo nimecheka sanaaa hahahahhaa ovaova
Nikaona kwel huyu mzee sio mtu mzur 😂😂😂😂😂😂🙌🖐️👆👆
Kwani yeye alikuwa zuri😂😂😂
Uchungu wa kuibiwa anaujua muibiwaji😂😂😂
mtaalamu kibe master kibelela mzee wa triangle ilikua ukikuta dirisha limekatwa triangle ni yy
😆😆😂
Kibe boy mwana
Masha'allah mungu akutoe ktk hizo pombe... Akuna mkamilifu isipokua Allah...pekee ..
Allah ukuruzukie shufaa naisi visha wishi ndiyo vilivyo mfanya aingie kwenye ilo dimbwi mwenyezi mungu atakuokoa insha'Allah
Masknii polee snaah usirudie tenaah
Dah mwamba yupo vzr sana allah kakulinda
Allah akuxamehe hakuna dgamb isio xameheka
Pole Sana aisee..
Maskini eti hakupigwa hata ganzi wakati anashonwa
Hadi huruma
Mashaallah Allah akujaalie nimefurahishw na wee kwa kur Ann uliyoisoma imenivutia mashaallah Allah akujaze kherii
Mashallah Allah akufanyie wepesi inshallah kwakila hitaji lako aameen yarabbi
Kweli bongo Raha kuna Rais wamateja🤣
😄😄😄😄😄😄
Ilala yupo Rais wa walala nje😂
Wapili huyu anaongopa kondakta
Huyu Mwanetu Sana wa kitaa pale Magomeni Kagera njia panda maeneo ya popo bawa
Hahahaha et wanaroho mbay kushonwa bila ganz😂😂😂
🤣🤣
Hahaha eti mamaa nakufaaa, "KUFAA" 😃😃😃😃 washonaji hao sasa 😀😀
Washonaji hawana huruma eti hapa unaima mama yako eti unakufa kufa
eti shona lijizi hili
Daaa hatari mbaya hilo janga hapo bro Kibe fanya kuokoka umjue Mungu tena ukashuhudie matendo makuu ya Mungu utawafany na wengine waokoke
Jaman ally kibelelo mtoto wa mama yangu mdogo khadija
Et over over kwa mbaaali,akaona usalama 😂😂wakt akiiba anawakimbia,ila siku hiyo aliona msaada huu hapa
🤣🤣🤣
ALLAH AKUNGOZE
Mpelelezi akupe hela tu ili akuchkue maelezo! Atakuwa hajitambui
Haya magazeti yetu haya kwa kuripoti wasichojua ..🤣
Magomeni iyooooooooo so powa
Majiz mnazingua sana
Qur an ndio ilio kuokoa na kifo isome sana
Mm nina wasawasi Sana Atarudia hiyo kazi yake maana hata hapo alipo Amesizi
Kbsaaa
Mwizi hawezi Acha wizi sababu hana nafsi, nafsi yake imechukuliwa na shetani
Huyu bado anakula unga ila inaonyesha anayachukia hayo maisha ya madawa
Kibe master 🔥🔥🔥🔥
Jamani Kuna watu wanamoyo.
Watoa comment wote mnahurumia mwizi daah nahs hamjawahi kuibiwa
Masha Allah mungu akupe mwisho mwema
Amina rabbil alamina
Daaah inasikitisha sana
Allah akujalie kheri kaka
Tena mashaallah lakini mungu ndiye anaejuwa siri yake
Mashaallah
King KIBE
Masha'Allah alye'k
Masha Allah
Okoka ndiyo salama yako,Mkubari Yesu anabadirisha.
Hahaha
Uyu m uislam ataokokaj wakat allah anamjua awez mtu km uy allah kareem tup uamrish mwema ishaalah
Uyo yesu mwambie akubadilishe we huyu jamaa muislamu mungu yupo pamoja nae%
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi nimemsikiliza kwa makini ila nilichoona mm ni taiti ya kike au wenzangu amjaona
Ukipatana na huyu kona mbaya
Simu inapotea
Pesa inapepea
Roho yako mkononi
Mbaba haikuwa petrol labda mafta taa petrol usogeze pemben
Mash Allah
Kibe..unastor
Kibelela triangle 🔺
Ata Mm nilikuwa nikijiuza na Kila nlipo ambiwa sikuskia ila nilipata matatzo Mpk Nikamrudia mola Wangu 😭🙏
Pole sn yote mapito
Dah pole sana bect,bora umebadilika mwenyez akusimamie maisha yako
Masereption, mngu akubadilishe shehe amen
Allah awe nawe
Mungu akuongoze
Bila kunusurika kifo huyu angeendelea kuwaibia watu pia angeendelea na madawa
Kbsaaa
Mashaallah nimejikut nalia
Huyu unga kaacha ila sijapenda anaswali huku kalewa bwi
anatoa alosto kwanza wampongeze maana unga ameaxha mwenyewe na ameweza kubalanze bila pombe haez angeshindwa
@@ibraton4071 kabsa yani
Hajalewa uyo
Hata usipopenda kwani we Nani?, Kikubwa kamkiri Muumba inatosha we penda familia yako
Muombee dua so wasema hivyo muumba ndio anajua kikubwa tuombe mwisho mwema
Kwenye maponaji sio kwenye unga...😅😅
Limekufa kweli😅😂😂😂
Anafurahisha nacheka tu hapa
Kiberelo 😁😁😁
Hicho ulichovaa ndani ni nn broo 😂😂😂
Okoka mpe Yesu Kristo Maisha Yako
Mungu akubariki Sanaa.
Huyu jamaaaaaa endapo angedema nılsema YESU ......
nıkanusurıka bas wenzetu wangeshamchukua makanısan na kumfanya Ushuhuda yesu anaponya n.k
Allah ukımuomba anakunusuru kabsaaa kabsaaa
İbrahim alinusurka na moto !
Umeona eeh 😄🤣
Sasa kanisa hapo linaingiaje?!...inaonekana unachuki za kijinga sana 😶
Kabisaaa
2024
Kweli chamoto ulikipata umeshatubu dhambi zako
Chamsingi aachane namarafiki zake wasimtembelee wana mshawiswi
Kaka atakuwa ameacha wizi ila mengine sidhani
Vip utatubu au utaendelea
Jamani na anajua kuruan vizur sana
Hahahaha apo alipo yupo vzr bwiiila bwagsii kiainaa.. allah amsaidie kwa iman juu ya iman yke
Yaani anasimulia hadi nacheka..eti huyu mzee sio mtu mzuri🤣🤣🤣
Allah Akbar