EXCLUSIVE; MCHUNGAJI RASTA ANAYEDAIWA KUMZIKA MTOTO WAKE AFUNGUKA ILIVYOKUWA, KAZI YAKE, MUONEKANO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 เม.ย. 2024

ความคิดเห็น • 124

  • @alexandernyambo7739
    @alexandernyambo7739 หลายเดือนก่อน +8

    Mtumishi mnyenyekevu, anahekima na uelewa mkubwa sana
    Mungu anamtunza mtumishi wake...
    Utumishi wa kumtumikia Mungu unatakiwa kuwa hivi
    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @MonaJuma-cp3jg
      @MonaJuma-cp3jg หลายเดือนก่อน

      Yani yupovizuri kweli adiraha anajuakujielezea❤

  • @deusoden3614
    @deusoden3614 หลายเดือนก่อน +15

    Mimi naomba namba zake za simu inayopokea pesa mtangazaji tafadhali sana.

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya หลายเดือนก่อน +3

      UBARIKIWE SANA kwakweli kwa kuguswa Hilo kwa huyu . Nami ntaiangalia namba ukipewa

  • @rev.edwinwanzaginyerere7300
    @rev.edwinwanzaginyerere7300 หลายเดือนก่อน +2

    Kila jambo lina kusudi lake . Mungu anakusudi lake katika hili. Na sikila lenye mfano wa maumivu ni adhabu kuma maumivu mengine Mungu huyaleta ili kupitia hayo upate mlango wa neema yake.
    Pole sana mtumishi wa Mungu. Ubarikiwe sana.

  • @NuruJara
    @NuruJara หลายเดือนก่อน +13

    Wow what kind of man are you mumewangu angelikuwa ivi ningeshukuru anasaidia mkewe kufuwa mm hata nikiwa na shindano mkononi napika na nafanya kazi zangu inauma😊

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya หลายเดือนก่อน +4

      Wewe ni mimi kabisa

    • @Darian2550
      @Darian2550 หลายเดือนก่อน +2

      Pole sana!

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah หลายเดือนก่อน +3

      Tupo wengi

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 หลายเดือนก่อน

      hee pole😊

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂 hatar

  • @irenekasambala4094
    @irenekasambala4094 หลายเดือนก่อน +3

    Pole sana mtumishi kwa likuwa na mtoto ni mapito ni mtihani mtumaini MUNGU

  • @fhugghi4109
    @fhugghi4109 หลายเดือนก่อน +5

    Subuhhallaah 😢Allah atunusuru Na matukio mabaya 🤲

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 หลายเดือนก่อน +1

    Mume bora ndio huyu anajua majukumu yake mkewe akijifungua sio wale bora mume ila majiran nae wana yao baba wa watu mstaarabu ❤❤❤

  • @theresiagnganyagwa9153
    @theresiagnganyagwa9153 หลายเดือนก่อน

    Ila huyu mtumishi siyo siri nimempenda sana,kauli zake na hekima zake pia,Mungu amtunze ❤️❤️

  • @eunicegerminus193
    @eunicegerminus193 หลายเดือนก่อน +2

    Mubaba anajieleza vizuri safi kabisa nimempenda sana

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp หลายเดือนก่อน +7

    Mtumishi Yuko Vzr Anajibu Vile Alivo Ulizwa

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n หลายเดือนก่อน +11

    Jmn muacheni aishi maisha yake tatizo watanzania wamezoea umbea na unafki

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya หลายเดือนก่อน +1

      Kweri kabisa wa bongo Ni wanafiki naebes Tena Wana ushamba sana

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya หลายเดือนก่อน +1

      Kweri kabsa watanzania Ni wanafiki wambea pia ni washambia

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc หลายเดือนก่อน

      Kweli ni wanafki sana bwana na umbeya ndio kazi kubwa Tanzania

  • @user-et4ny5gj3p
    @user-et4ny5gj3p หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi uko vzr naimani hata uduma Yako Iko vzr sana.Pole sana kwakuondokewa namtt

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md หลายเดือนก่อน

    Pole Sana mtumishi mungu akutie nguvu

  • @innocentmlay5703
    @innocentmlay5703 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana mungu akutanguliy

  • @valentinamjindo5374
    @valentinamjindo5374 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana kwakufiwa pia pole na jaribu Hilo binadam tunamengi

  • @Rich-wo
    @Rich-wo หลายเดือนก่อน +4

    Very Humbled man

  • @user-kd9oy8cz9f
    @user-kd9oy8cz9f หลายเดือนก่อน

    Pole mtumishi

  • @Tiku197
    @Tiku197 หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi yupo vizuri. Naomba Mungu anijalie niwezekumpa sadaka siku moja. Iwekwe number yake.

  • @mamuurobert
    @mamuurobert หลายเดือนก่อน +1

    Naomba nsaidie no zake please

  • @maggyvan8992
    @maggyvan8992 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 หลายเดือนก่อน

    Very humbled men❤

  • @cecilianyirenda3377
    @cecilianyirenda3377 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 หลายเดือนก่อน +5

    Mtu amefiwa na mwanaye badala ya kumfariji na kumtia moyo wanaendeleza malumbano.

  • @user-ov5ot1rv5l
    @user-ov5ot1rv5l หลายเดือนก่อน

    Mtumishi unajibu vema,hongera sana,wewe ni mtumishi kweli,usijali wanachoongea walimwengu.

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 หลายเดือนก่อน +2

    Pole Baba 😢

  • @sarahwawuda5164
    @sarahwawuda5164 หลายเดือนก่อน +4

    Una hekima sana mtumishi umejibu vizuri sana

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan2971 หลายเดือนก่อน +1

    Ishi maisha upendayo ras majirani wambea wambea sana hasa hapa , Tanzania ukiibiwa usiku watu wanajifanya hawajui lkn ingiza mwanamke usiku asubuhi majirani wambea wote wayasema tumemuona mwanamke kaingia hii ndio Tanzania yetu

    • @user-ks7bs8yk3p
      @user-ks7bs8yk3p หลายเดือนก่อน

      Hahika hivi huwa 7bu ni nin haswa

  • @shanishani6371
    @shanishani6371 หลายเดือนก่อน +3

    Bwana yesu akutie nguvu wachawi hawataki maombi

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 หลายเดือนก่อน

      Siyo wote wanapenda hayo maombi watu tuna Imani tofauti. Usipende sana kuhukumu

    • @easternyerembe7271
      @easternyerembe7271 หลายเดือนก่อน

      Umenena vyema

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 หลายเดือนก่อน

      Kwani hiyo Imani tofauti tunamzungumzia ibirisi au wote tunamzungumzia Mungu huyohuyo mmoja? Wewe utakuwa na mapepo hata Azana hupigwa alfajiri ya KIARABU wakristu tunajua NI Mungu huyohuyo haitukeli wewe unakerwa na maombi kaombewe Pepo atoke​@@edsonnelson4464

  • @scorahkuyava1834
    @scorahkuyava1834 หลายเดือนก่อน +1

    Hatareeeee

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl หลายเดือนก่อน

    Inalillahi wainailahi rajuun..mtihani Tz Arusha kuna babapia kazika mwanae na huyopia. Aya heri

  • @furahaabonga6642
    @furahaabonga6642 หลายเดือนก่อน

    Mambo ya Walawi 21:5 Haifai. Wala wasifanye kipara juu ya vichwa vyao, wala wasinyoe ncha za ndevu zao, wala wasifanye kipara.

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 หลายเดือนก่อน +25

    Huyu ni mtumishi ukimsikiliza kwa makini na ukamtazama kwa makini utauona unyenyekevu wa utumishi ndani yake. Watu wa bibilia hatumshangai yeye kuwa na rasta maana hata Samsoni alikua na rasta

    • @petertemu6431
      @petertemu6431 หลายเดือนก่อน +1

      Maradhi ya kawaida ni ya namna gani?

    • @LeylatVlogs
      @LeylatVlogs หลายเดือนก่อน

      Ayo Tv they are going beyond and very professional AAAA+

    • @user-ye1dt2eb8u
      @user-ye1dt2eb8u หลายเดือนก่อน

      Ni mnadhiri wa Mungu, kama Samson, Kwa hivo kuwa na raster sio issue kua haezi kua mtumishi wa Mungu

    • @paschalpaul3862
      @paschalpaul3862 หลายเดือนก่อน

      Samson hakuwa mchungaji

    • @gaspeldaniel1140
      @gaspeldaniel1140 หลายเดือนก่อน

      @@paschalpaul3862 alikua Mnadhi ri.. wa mungu na alikua na Rasta kama zingekua hazifai mungu angemwamuru atoe

  • @Its_Goodluck
    @Its_Goodluck หลายเดือนก่อน

    Wanadamu wanapenda sana kuhukumu

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 หลายเดือนก่อน

    Mke wake yuko wapi

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 หลายเดือนก่อน

    Tunaitaji namba ya mtumishi

  • @KukuWaMayai
    @KukuWaMayai หลายเดือนก่อน +3

    Punguza maneno ya mwanzo, ww mtangazaji vp

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana kakayngu binadam wanapenda kuhukum mtu na Kila mtu anaiman yake na jamii yetu wanapenda ujichanganye Kwa Kila kitu wengne hawako hivyo endelea kk na maisha Yako ila ktk misiba shiriki na ya binadam waachie wenyewe.

  • @LukaNyagenda-pb9eo
    @LukaNyagenda-pb9eo หลายเดือนก่อน +1

    Wabongo siziku zote wanakuwaga wanafiki sana kushabikia vitu ambavyo hawavijui kiundani na kumsema mtu vibaya, tubadilike,

    • @user-mq4qc2jw4v
      @user-mq4qc2jw4v หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa 😢ndugu manake watu wanajua tu kuhukumu mtu hawajui undani wa mtu ukoje ,hakuna mtu anaependa kuzika mwanae ama 😢ama baba ama mama 😢inauma kwakweli nakila kifo kina sababu zake 😢si kwa wa isilam ama wa kristo 😢

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 หลายเดือนก่อน

    ATA MIMI NAWEZA KUWAMINI MCHUNGAJI UMEMTOA KAFALA MTOTO UDUMA ZAKO ZIFANIKIWE ZA U.PASTOR AYA POLE 😢😢😢

  • @christophermwashiozya5178
    @christophermwashiozya5178 หลายเดือนก่อน +1

    Mtu wa Mungu utamsikia kwa kuongea kwakwe sio watu wote wanaweza kukupenda ktk jamii, Ikiwa Mungu amekuita usiache kumtumikia yeye alie kuita ndie atakupa watu huduma ya kiungu ina changamoto zake hongera kwa Mahojiano mazuri.

  • @samirhumud7408
    @samirhumud7408 หลายเดือนก่อน

    Duu Kazi ipo.Sasa hata kama kamzika mwenyewe shida ipo wapi?Mbona watu wana mambo ya ajabu hivi lini tutajitambuwa sisi ?

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd หลายเดือนก่อน +1

    ila mtumishi yuko faster kafiwa jana halafu jana iyo iyo kamaliza kila kitu leo mtu akipita nikama hakujatokea kitu vile Yani yeye asha sahau teali AYO ndio kama kamkumbuka machungu

    • @AnneHarold
      @AnneHarold หลายเดือนก่อน +1

      sidhani kama ameshasahau, huenda anaumia sana ila hawezi sasa kuendelea kukaa tu na kuhuzunika wakute analia muda wote maisha lazima yaendelee

  • @user-qb4cv7hs1o
    @user-qb4cv7hs1o หลายเดือนก่อน +1

    Watu bwana Moto wao hakuna hata mmoja alejitolea kumchangia ata panadol ila mnataka kumpangia mtu

  • @allyomary2271
    @allyomary2271 หลายเดือนก่อน

    Allah y'allm

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 หลายเดือนก่อน

    Lakini anajieleza vizuri kwakweli ilatu zip lasta asinge suka

  • @MarryKuzenza
    @MarryKuzenza หลายเดือนก่อน

    Kila mtu na aishi kwa imani yake.
    Cjaona kosa lake

  • @furahaabonga6642
    @furahaabonga6642 หลายเดือนก่อน

    Apo zamani walikuwa manabii hawakunyowa kama wakina Noah na wengineo

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya หลายเดือนก่อน +1

    Watanzania ni washamba sana wambea wanafiki

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo mfiwa hana ndugu namaanisha mama wa mtt hata ndugu zake hawakuhudhuria msibani maana kweupe km hakuna msiba

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q หลายเดือนก่อน

    Sasa hivi usipotoka kwenye misiba ya wenzio na ww watu wanakususa aache hiyo tabia

  • @user-ov5ot1rv5l
    @user-ov5ot1rv5l หลายเดือนก่อน

    Majirani jamani!! Wamtambue ili nini,acheni basi.

  • @agnessjohn1222
    @agnessjohn1222 หลายเดือนก่อน

    Uyu niwale wenye imani kama soloamu ukiumwa huendi hospital msmuhukumu

  • @shabanimaijo9148
    @shabanimaijo9148 หลายเดือนก่อน

    Sio dunia kuwazoea watu wa aina moja, Biblia inasemaje kuhusu mwanaume kuwa na nywele ndefu?ni aibu na wala maandiko hayaagizi hivyo,nyoa nywele

  • @user-jc6dk2fe8g
    @user-jc6dk2fe8g หลายเดือนก่อน

    Muandishi unarudiarudia sana maswali. Interview inaboa

  • @ommythetruth5449
    @ommythetruth5449 หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi muache mtu amalize kueleza kabla haujauliza swali jingine ,,Sasa mtu hajamaliza kujibu tayari umeuliza jingine mamae

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 หลายเดือนก่อน

    Kweli ni mipengo ya mungu pole

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 หลายเดือนก่อน +1

    Wachawi hawataki maombi.

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 หลายเดือนก่อน

    MTUMISHI WA kanisa Gani ??? Makaniasa ya ajabu yanachipua Kama uyoga.mmmh!!

    • @joshualazaro1641
      @joshualazaro1641 10 วันที่ผ่านมา

      We kanisa lako limethibitishwa na nani mpaka uyaite ya wenzio ya ajabu, mbona mnapenda sana kujihesabia haki nyie watu!!??

  • @vero57
    @vero57 หลายเดือนก่อน

    Huyo atakua na kitu hii sio kawaida.
    Alafu anafua yeye mweyewe kheee hii mutakuja kujua ukweli

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 หลายเดือนก่อน +1

      Kufua nguo za mkewe ni shida?acha ujinga wewe hujitambui nyinnyi ndio majirani wambea sana mtaani

    • @AnneHarold
      @AnneHarold หลายเดือนก่อน

      wewe vero jamani ina maana mumeo akikusaidia kufua ana kitu? Mungu atusamehe wanadamu tukisaidiwa maneno tusiposaidiwa hali kadhalika

    • @user-cv7vm1mx9d
      @user-cv7vm1mx9d หลายเดือนก่อน

      Ni gaidi huyu na watoto wakiumwa hawapeleki hospital

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md หลายเดือนก่อน

      Huko hospitality mbona kuna mochwali NI ya nini Ile cha kujua kifo hakizuiliki iwapo mungu kaamua​ atakufa popote Hata mbele ya daktali atakufa mungu aliamua @@user-cv7vm1mx9d

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 หลายเดือนก่อน

    Mungu tuhurumie 😢

  • @irenekasambala4094
    @irenekasambala4094 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kufiwa...

  • @user-sy1qw7nv3j
    @user-sy1qw7nv3j หลายเดือนก่อน

    Rasta amemtoa mwanae kafara afanikiwe marengo yake

    • @MonaJuma-cp3jg
      @MonaJuma-cp3jg หลายเดือนก่อน

      Naww mtowewako ufanikiwepia kimaisha

  • @user-cv7vm1mx9d
    @user-cv7vm1mx9d หลายเดือนก่อน

    Wanafiki wengi

  • @user-cv7vm1mx9d
    @user-cv7vm1mx9d หลายเดือนก่อน

    Mtumishi na mi rasta kichwNi

  • @lovepipy4811
    @lovepipy4811 หลายเดือนก่อน

    Mwamba anajibu kama SAM RASTA 😂😂

    • @machakuroger7068
      @machakuroger7068 หลายเดือนก่อน

      Rasta man wote wako hivyo, wanajibu kwa utulivu sana

  • @sakinajuma4208
    @sakinajuma4208 หลายเดือนก่อน

    Jamani muacheni baba wa watu Dunia imekuaje jamani

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 หลายเดือนก่อน +1

    Mtoto hakuwa mgonjwa😢 kwa hiyo umemuowa?? Kuna stofahamu hapa , mama wa mtoto yuko wapi. Alafu nikimuangalia huyu jamaa anaonekana mgonjwa . Amemtowa mtoto kafara . Achunguzwe huyu vizuri. Na ifuatiliwe

    • @katherinasamwel3937
      @katherinasamwel3937 หลายเดือนก่อน +3

      Samiraabdimahamed4449 basi unaonaje uende wewe ukamchunguze MTU anamachungu ya kufiwa halafu unasema ujinga wako

    • @samwelnaal7952
      @samwelnaal7952 หลายเดือนก่อน +3

      Ww ni mgonjwa😂
      Kwa kuangalia tu TH-cam umeshatoa hukumu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah หลายเดือนก่อน +1

      ​@@samwelnaal7952 mijitu mengine hovyo kweli 😢😢😢

    • @snico2275
      @snico2275 หลายเดือนก่อน +1

      Kuhukumu wengine ni dhambi

    • @Juke995
      @Juke995 หลายเดือนก่อน

      Urudi shule sasa dada samira ukasome ujue kuandika vizuri kaone kwanza

  • @user-mc5xg5zi2z
    @user-mc5xg5zi2z หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @theresiagnganyagwa9153
    @theresiagnganyagwa9153 หลายเดือนก่อน

    Ila huyu mtumishi siyo siri nimempenda sana,kauli zake na hekima zake pia,Mungu amtunze ❤️❤️

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli umekosea huenda umemuua huyu mtoto wafukue huyo mtoto wachunguze mwili kama wamembana pumzi

    • @sakinajuma4208
      @sakinajuma4208 หลายเดือนก่อน +1

      Hapana jamani

    • @iantussa9064
      @iantussa9064 หลายเดือนก่อน +5

      Si vzr kutoa comment mbaya na ya kichongezi wakat huna uhakika
      😢

    • @pendoyese4452
      @pendoyese4452 หลายเดือนก่อน +1

      Jamani daa hakuna mtu anapenda kufiwa

    • @GraceMadondola
      @GraceMadondola หลายเดือนก่อน

      Ila binadamu bwana sijui mpoje loh

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah หลายเดือนก่อน +2

      Waanze kukuchunguza wewe huna utimama wa akili