WAMAREKANI WAISLAM WANAOA AFRIKA WANAFICHA WAKE ZAO WA USA | TULIKUTANA ONLINE | WENGI HAWANA UTU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 มี.ค. 2024
- @aromaofzanzibar ameeleza Safari yake kutoka Tanzania mpaka India halafu Dubai na kupata mume wa kimarekani mpaka kuishi Marekani.
Ameeleza Safari yake ya kuingia kwenye biashara ya chakula, changamoto alizokutana nazo Marekani kutoka kwa ndugu jamaa na watoto, changamoto ya kujifungua na malezi.
Ametoa darasa kubwa kuhusu wamarekani wa kikslam namna wanavyoongeza wake Africa na wake hao wanakua hawana haki yoyote ile kwenye sheria Marekani.
Subscribe to her TH-cam channel @aromaofzanzibar ili kujifunza mapishi mbalimbali
Thank you Fathiya for allowing this to be online
www.oda.international
Finally tumemuona, she is so humble n she replies to all questions. Mashallah.
Shukran ❤
Ahsante sana Shena kwa kunipa fursa kwenye platform yako. Ubarikiwe sana❤
Shukran sana Sister, nimefurahi sana kukaribia na kutoa darasa zuri 🥰
Aroma of za Zanzibar
Thanks so much dada fatya nimejifunza pakubwa sana umeongea kwa wazo sana barikiwa mno na mwenyezi mungu akupe heri wewe na familia yako .ameen
Dada shena thank sana unaleta watu wenye hekima barikiwa
Mm pia nilikufalia sana
Aaaaaaawwwww, Leo nimemuona.... okay.... in her voice. Aki I love da Fathiya... yani Saudi yake ile ile..... love you a lot
Nimeipenda interview na nimejifunza mengi. Asante dada mhoji na mhojiwa, mungu awabariki sana
Mashaallah shena unapendeza sana uvae hivyo siku zote hata ikiisha Ramadhan,kwani nikiskiliza interviews zako namskiliza mhojiwa ila nakuangalia ww kwa ulivyopendeza😊
Maa Shaa Allah nimefurahiii saaaana maana ndio mdau wa kwanza kumpenda katika kufuatilia mapishi online na yy ndo alinivutia ila dada Shena umependezaaa saana na mtandio
What a wonderful story mashaAllah. I'm one of your fans and subscribers of aroma of zanzibar for many years. Maisha ya Marekani inafanana tu kama ya Nairobi maoni yangu. This is a good platform.
MashaaAllah, mimi ni mmoja wapo wa subscribers wa aroma of Zanzibar,napenda mafundisho yake huyu dada Fathiyah najisikia raha na sichoki kumsikiliza...Allah akujaalie heri nyingi zaidi @aroma of zanzibar🎉❤
Shukran sana ❤
Wawoo mie naonaga mapishi na leo nimemuona mpishi ❤❤❤ masha Allah ❤❤❤ Asante sana shena.
She is a lovely kind hearted woman.. Mash Allah. Am subscribed to her channel.. Thank you for being honest about your life experiences...
Shukran ❤
❤@@aromaofzanzibar
Masha Allah sauti Tu nimekujua ❤ kipenz changu nimejua mapishi kupitia wewe,Allah akuhifadhi Madam Fathia
Ahsante sana nashkuru❤
Mgeni huyu ni wa shoka mpambanaji haswa maana hii story ya maisha mapya unakuta mume gerezani na unatakiwa maisha yaendelee😢
Hakika huyu dada ni mpambanaji
Wow wow thank you so much Shena kwa kuniletea my childhood sister and am loving your channel so much! Keep up the good job. This channel is so informative!
Thanks dear nani kakuleta huku😂
Mashalla tabaraka rahman tumejifunza dadaetu shuuukraaaan mungu akujaze yarabbb
Mashallah dada nimekupenda bure kwa subra yako na upambanaji wako
Atakaeoa mwanaye aweza kuwa kapata mke mwema kulingana na uvumilivu wa mama yake.nimempenda sana.
MashaAllah tabarakallah fathiya nakupenda sana ndugu yng
Your interviewing skills are superb, journalism in your veins, Congrats Shena.
Thanks to your guests also
Shukran sana 🙏
Mashallah...dada umeelimisha wengi kwa hii interview ❤
Aroma nimependa historia yako upo vizuri kwani wewe haswa nimwanamke shupavu hongera sana kwa majalibu yaliyo kukuta nahiyo ndio maisha na hiyo ilikuwa ni shule kwako nimependa sana kwa dababu umeweza kuji simamia hongera mimi niko mwanza tanzania endelea kupambana nandowa inayo dum ni ile yenye mikwa luzo kwani hupata kuelekezana asante
Dada kwa kweli umetufungilia mengi tusiyoyajua. Asante sana kwa ushauri. Mwenye masikio na asikie.
Kweli kabisa
Ndugu na dada yetu umeonesha ukarimu na utu usiomithilika. Hongera sana kwa kuishi kama wewe na utanzania wako!
Sauti tuu nimemjua Aroma Zanzibar. Nimejifunza Sana from her videos.
Me too nilikua kwa group ya WhatsApp 😊
So beautiful and funny story awwww Aunty Fathiya😅❤
Mashalah aroma zanziber allah akuhifadhi nakupenda sana kwa ajili ya allah na pia napenda mapishi yako nimejifunza mengi sana
Shukran ❤
Safi dada nimeipenda hiyo ya kuupeleka uswahili ndani ya USA.
MashaaAllah aroma Zanzibar nimekuona leo❤❤❤❤
Naam
Mashaallah Dada aroma zanzibar nilijua kupika kupitia ww haswa birian Allah akupe umri mrefu ❤
Amin kwetu sote
Nakupenda sana Fathiya, ua the best dia
Shukran ❤
MashaAllah. madada zangu. Nafurahi Sana kuona Umoja wenu🎉🎉🎉.
Interview nzuri, napenda umekuwa muwazi, kazi kwetu kujifunza.
Pole oroma of zanzibar . Una moyo mzr ma sha Allah. Lkn kwa kweli tumejifunza.. kama mimi nadhani ningerudi nyumbani kwetu Dubai .nisingeweza kustahamili..mhh
Sikufikiria kurudi lakinj sio nyumbani nilikua nakaa kwa viza ya kazi ambayo nilikua nimesha cancel
Tumejifunza sana shukran sana Abla @aromaof zanzibar God bless you
aroma of Zanzibar ni mama hazina katika maisha ALLAH amzidishie umri na afya njema na amuhifadhie kizazi chake inshaaa ALLAH...
Amin kwetu sote 🙏
Masha Allah tabaraq Rahman
Ma Shaa Allah nimependa Vedeo yako na it's 1st time, Subhana Allah I really enjoyed to listen to you
She is amazing 🥰😍🔥
Baraka Llah ...FAT-HIA
Amin ya Rabb
Subhanallah maskini fathiya ulipata tabu mpk nimeona huruma lkn kitu kikubwa kimekusaidia Allah alikujaalia ulisoma mashallah unamaarifa na kikubwa zaidi una dini na utu pia ndio mana umefika ulipofika Hamdilah Allah azidi kukustiri na sote inshallah
Alhamdulilah❤
Wallahi yani ingekua mtu hana mbele wala nyuma angepata tabu sana kwanza tu pale airport km kakako hakuja na ndo hujui kitu pengine hata lugha huijui lkn alhamdilah mungu alikuletea kakako
@@salmafaraj6544alhamulilah laugha najua ningepsnda taxi lakini Mungu mwenyewe alipanga
Waoo MashaAllah wajina majina ya Fathiyah ni wachesh na wakarimu sana nakupenda sana wajina❤
Jazzak llahu khayra ❤❤❤❤
Ma shaallah shena
Umependeza
Hii story nzur sana mashaallh twaomba nyingine
Manshallah tunakufatiliaga miaka mingi
Story yangu unajifungua unapambana nchi za watu hizi ahsante kwa interview nzuri sana
MashaAllah sauti yake nimeijua tu alipoanza kuzungumza,Allah kamjaalia ucheshi na tabasamu na pia ufasaha wa kuzungumza habani maneno yake... Hongera sana Aroma of Zanzibar ooooh Fathiyyah❤
Shukran sana❤
MashaAllah TabarakkahAllah
Shukurani sana mmy kasimulizi zuri
MashaAllah Shena wallah endelea kuvaa Hijab unapendeza MashaAllah Watching from UAE
Woooooow aroma of Zanzibar nimefurahi saaana kukuona sauti yako haiba yako MashaAllah ❤❤❤❤🎉🎉
Shukran ❤❤❤
MaashaAllah. Ninashukuru kukufahamu dada aroma of Zanzibar. Pia Ninashukuru kwa uzofu wako pia historia ya maisha yako mungu akubariki sana dada Insha'Allah Aamiin yaa rabbi 💯🤝🙏@aromaofzanzibar
Shukran Amin kwetu sote 🎉
Allah akupe maisha marefu utujuze mambo mazuri ktk maisha yetu
Waooo nafatiliaga mapishi na sauti yako ya kipekee hongera leo nimekuona live asante Shena big up.😊
Shukran 🙏
Nimefurahi kukuona aroma of Zanzibar
Mashaa llah habibty
Nimekupenda sana
Nice interview 💐
Mashaallah tabarakallah
Nimependa sana interview yenu Hadi Raha nimependa ulivyoishi katika uvumilivu.Npo Tanzania Cost region,Rufiji
Manshaa Allah ❤
MaashaaAllah nakupenda sana dada aroma au dada mapishi❤
Ndomana mm nasema kilasiku akikupenda mume shukuru hawa wengine ni mtihani tu jua jinsi yakudili nao
Kweli kabisa kudeal na wakwe na familia ya mume ni kutumia busara na akili
Hawa ndiyo wetu wakualika
Lots of love from Kenya 🇰🇪.... aroma zanzibar
always love you my best❤
Thank you for the love and support.
Masha allah aroma mama wa mapishi
Shukran
We mdada mungu akujalie niipenda story yako Kuna SoMo nimejifunza
Kila siku najifunza vitu vipya God bless you shena ❤
Yaani kila mara nakusikia lakini ndiyo mara ya kwanza kukuona❤❤❤
Rahma hujambo
Nimefurahi kumuona Fat hiya Aroma of Zanzibar
MashaAllah story nzur sana ❤❤❤🎉
Nice to meet you aroma of zanzibar. Iam one of your subscribers from mombasa
Mashaallah may allah akujaze kheri mama zanzibar oroma
Arudi tena..she is very wise
She is amazing 🥰😍
That's good
Interview nzuri sana na ina mengi ya kujifunza!
Nawapendaa❤
Mashaa Allah mmependeza dada zangu
lugha yake inavutia sana
iz elim wanazotowa watu hapa ni kubwa sana Mungu awabariki maana wengi ni wakweli na wawazi sana
Shukran kaka
Aroma very brave girl .... 👍
Asante sana
Aroma of Zanzibar jamanu leo nimekuon ❤nilikua nafatilia mapishi yako tu leo nimekuona
Ahsante sana kwa support
Nayapenda mapishi yake huyu dada
Ahsante sana kwa support
Ahsante Dada naitwa Zahir Ally ibn Zorro. Nimeihifadhi Aroma of Zanzibar. Ahsante Pole misuko suko ya Ndia
Shukran tushapoa
Nimeipenda, u kweli na uwazi wako
Dada Aroma nimejifunza na nimekupenda Sana.
Jamani nimemfollow anajua kupika sana sana,nilivyokuwa namsikiliza nilidhani ni mtu mzimaaa sana kumbe ni mdada manshallah mzuri sana sana ❤
Shukran kwa support,
Yaani mm mapishi yko napenda hauna mambo mengi unapika mwenyeo vzr .
Mashallah aroma mrembo sana mungu akupe maisha marefu inshallah
Amin kwetu sote ❤🙏🏽
Mashallah hongera sana Roma
Interview nzuri sana.mafunzo mazuri.
Yaan huyu dada ana inspire ❤❤
Hadi rahaa jamanii hongera sanaa
Ahsante sana
Nimefurahi kukuona nimejifunza upishi aina nyingi ya vyakula kutokana na aroma zanzibaa
Very rich interview, experience. Hakika nimewapenda both. Aroma of znz kitambo nilikua nafuatilia nimekufurahia sana historia yako.
Ahsante sana kwa support ❤
Shena umependeza sana ukivaa ushungi unakuw vizuri Zaid mashallah
Acha udini
Ss udini gani kapendeza kweli Kwan nyie mmeambiwa msijistiri tutokee hapa
Mashallah mam aroma ukiona kimegara ujuwe kimegaramikiwa umetufunza
Shukran ❤
Mimi na mwana mama kutoka Burundi napenda kufatiliya sana mpishi yako na nimejifunza mengi kupitiya wewe na ni nakupenda Sana
Ahsante sana nadhkuru kwa support ❤
Masha'allah Tabarakallah, mpishi wetu wa mwezi wa ramadhani huyo.
Ahsnate sana
Ukipata mume muislamu yupo marekani hakikisha hana mke. Huku hakuna ndoa mbili inshort utapotezewa muda tu dada fatiya kaelezea vizuri. Akili kichwani 😊
Ikiwa unamaanisha ndoa mbili halali, ndiyo; huwezi kufanya hivyo. Ni “ndoa” moja tu Lakini unaweza kukuta Mwislamu ambaye angefunga ndoa moja inayojulikana kisheria pamoja na ndoa nyingine isiyo rasmi (lakini inakubalika kisheria katika sharia kwani Waislamu wameruhusiwa kuoa hadi 4!). Wa pili anaweza kuwa kama rafiki wa kike “Girlfriend “ 😅).
Disclaimer : usianguke katika kitengo hiki kwa sababu mke wako wa kwanza anaweza kuwasilisha kesi dhidi yako.
❤ hakika nimejifunza mengi ya kutosha .
Elimu yako ni ya maana sana katika maisha pokea maua yako mama unastahili
Shukran ❤
Huyu mdada mzuri kweli
Ahsante
Mashaallah dada
❤❤❤ mungu akupe Subra zaidi na zaidi mjasiria Mali mungu akueke
Nampenda aromaofzanzibar na mfuatilia muda mrefu
Nashkuru kwa support
THANKS FOR SHARING🙏GOD BLESS U TO 2 N BLESS ALL OF US THE CREATIONS OF GOD" IN THE WORLD AMEEN🤲 I LOVE U ALL❤"
Same to you!
nimekupenda sana yaani unajielewa sana ❤