MTANZANIA ALIYEPEWA KESI na BOSI WAKE OMANI - AJIKUTA KWENYE MIKONO HATARI ya 'AGENT' WANAOSAKWA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 520

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  8 หลายเดือนก่อน +5

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @SANJA0693
      @SANJA0693 8 หลายเดือนก่อน +2

      mtafteni na agent hawa waongo sana madem 😂😂

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 8 หลายเดือนก่อน +1

      Global tafadhali muwe mnatuletea watu wenye shida na uhitaji kweli na si huyu dada, tafadhali muwe mnachuja watu KABLA hamjawaleta hewani.

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 8 หลายเดือนก่อน

      Kwahayo aloelezea ni kweri mm nilikuwepo ila muendelexo ndiyo nausubili na mm nipohuku huku na pambana Ajenti wetu mmoja ​@@SANJA0693

    • @usher_bambi94
      @usher_bambi94 8 หลายเดือนก่อน +1

      Haswa huyo mdada jaman hapan Oman hakun asomfham kwa ukorof na kuwachamba watu😂😂😂😂😂😂

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 8 หลายเดือนก่อน

      @@SANJA0693 kwaaliongeahapo kuhusu Ajenti nikweri mm nilikuanae pale ajentiwetu mmoja ilatu. Nasikiaaliolewa huku na babu kwakujitzmba sijuikimemkuta nini kurudi tz. Naalikua anauza mikirim huku

  • @aminaabdulghanim8256
    @aminaabdulghanim8256 8 หลายเดือนก่อน +1

    Pole mama Allah akuhifadhi.

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 8 หลายเดือนก่อน +4

    Dada Mkubwa umebarikiwa, umeshafika home Allahamdulilah

  • @WanuOman
    @WanuOman 8 หลายเดือนก่อน +3

    Poroja sis tunapig kaz tunainhiz kila mwez😂😂😂

  • @SamiHamood-x3b
    @SamiHamood-x3b หลายเดือนก่อน

    Jaman wew mukifanikiwa shinda zenu ndo munaasema kusema uongo acha kuchafua mjin ya watu kama umeshindwa kaz baki kwenu si hata tanzania kuna kaz fanya huko huko wee mama

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 8 หลายเดือนก่อน +8

    Pole Sana dadangu hata mm Niko uwarabuni NI kweli anacho sima sister
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 8 หลายเดือนก่อน +2

    Pole tupo pamoja zanini ❤❤❤

  • @LeylatHemed-bb9di
    @LeylatHemed-bb9di 8 หลายเดือนก่อน +1

    Udugu adi interview 😊atar sna nimekumis ludi oman bn❤🎉

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 🎉🎉🎉🎉 Simjui illa nimempendaaaaa

    • @MohamedOmari-wb4oy
      @MohamedOmari-wb4oy 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @Dafetty
    @Dafetty 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kama na wew umesikia anasiku 3 tu toka atoke Omwan gonga like apa tuendelee na kipnd 😂😂😂

  • @hafsa05adil32
    @hafsa05adil32 8 หลายเดือนก่อน +1

    Umenishindaaa tabiyaa

  • @jkzcr7z
    @jkzcr7z หลายเดือนก่อน

    Mdomo hyuu ww ulikuwa unajiuza tunalujuwa ss wa Tanzania wenzako😢😢😢

  • @kilungumsabaha3891
    @kilungumsabaha3891 8 หลายเดือนก่อน +1

    Aweeeeeh mzaramo wangu pole mpambanaji mwenzetu tupo Pamoja!

  • @Khairatibeka
    @Khairatibeka 8 หลายเดือนก่อน +1

    ngoja nilicheke kwanza hili limalaya la mbagala 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @saudalilingani9264
    @saudalilingani9264 8 หลายเดือนก่อน

    Pole sana sana saaana mdogo wangu

  • @flowerqq1280
    @flowerqq1280 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dah pole sana zanin

  • @Khairatibeka
    @Khairatibeka 8 หลายเดือนก่อน +3

    wee sematu upwiruuu ulikuzidi acha kutuharibia wenzako 🤐

  • @SarahSarah-jj6us
    @SarahSarah-jj6us 8 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂acha nicheke tu

  • @HaniffaOmary-v5r
    @HaniffaOmary-v5r 8 หลายเดือนก่อน +8

    Mm nilikuja mwaka huo nampaka leo nipo 😅😅oman oyeeeeeee

    • @Zainab-sq1tc
      @Zainab-sq1tc 8 หลายเดือนก่อน

      Na mm yaan cjarud hata bongo

    • @zainabchumu8559
      @zainabchumu8559 8 หลายเดือนก่อน +2

      Na mimi mwaka huohuo nimebadilisha boss lkn home sijarudi

    • @HaniffaOmary-v5r
      @HaniffaOmary-v5r 8 หลายเดือนก่อน

      @@zainabchumu8559 mm sasa sijabadiliaha hata nyumba navyoogopa nimetulia hapa

    • @MamaMama-xp4nk
      @MamaMama-xp4nk 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@zainabchumu8559wajina nenda kasalimie

    • @FatimaAo-r9p
      @FatimaAo-r9p 8 หลายเดือนก่อน

      Oyeeee

  • @ZaituniOmary-g8o
    @ZaituniOmary-g8o 8 หลายเดือนก่อน

    Mkija kufanya kaz fanyen kazi achen tamaa yakiwashinda mnalaumu pole

  • @usher_bambi94
    @usher_bambi94 8 หลายเดือนก่อน +9

    Cha ajabu anatamba anasema anataka kwend had kwa dida kuanika ubaya wa ubarozin eti watz walokuw Oman anaend kutusemea tunayopitia huku...TUMEKUTUMA????😂😂😂😂 mnaotoroka kwa maboss zenu ndio mnaotesekq sabb ya kwend kukaa magheto na kufny umalaya mbon tunaotulia kweny mikataba hatuna hizo mambo😂😂😂😂shame on you😂😂😂😂😂😂

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 8 หลายเดือนก่อน

      Una hasira na huyu kwani alikubebea mume uko au 😂😂😂😂? Acha kila mtu ajisemeee nafsi yake, kwani akijigamba ww kinakukeraa nn kwa mfano? Naww nenda kwa Didah ukatoa ushuhuda wa uzuri wa warabuuuu mpenz tuache chuki za ovyooo apo unajikuta mzawaaaa wa Oman

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@dorcaskidoti249Kwanza ungelinyamaza tu maaan hyo unaesema hpa ana ndoa na muarabu. Aseme ukweli wke lakn si apange uwongo

    • @morjanoman5181
      @morjanoman5181 8 หลายเดือนก่อน

      Pumbavuzake ana lolote mnafikitu amemaliza mkataba kwa jashola Meno eti nikitakakuogeza mkataba ukiona mwazo mambosio manzuri ludi kwenu sio kukimbilia ubarozi wakupe nini au mimba 😂😂😂 ukatabikenayo

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 8 หลายเดือนก่อน

      @@morjanoman5181 angalia part,3

    • @morjanoman5181
      @morjanoman5181 8 หลายเดือนก่อน

      @@RitbayRitbay poa

  • @Florencemahuwa
    @Florencemahuwa 8 หลายเดือนก่อน

    Sorry sorry my iron lady am still here in oman because of you you are the one who you were encouraged me when was in difficulties times in oman be blessed my sweetheart

    • @faumarley5707
      @faumarley5707 8 หลายเดือนก่อน

      Then the are people who bring hatred to the truth.

  • @hashilalkharusi4680
    @hashilalkharusi4680 8 หลายเดือนก่อน +19

    Kinachoshangaza mkija Omani mnateswa sasa mnakuja kufata nini haaaa bakieni makwenu msichafue miji ya watu

    • @HusnaSharifu
      @HusnaSharifu 8 หลายเดือนก่อน +2

      Yaani kwakweli hata aibu hatuja

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 8 หลายเดือนก่อน +4

      Sikilizenikwanza mjue anaitajinini msimlaumutu. Kwani. Wabaya si wote na waxuri siwote Dunianzima.

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 8 หลายเดือนก่อน +2

      😊😊😊😊😊 ata mtume kasema today ukatafute ww kama mwarabu usingejuwa kiswahili imeisha iyo

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 8 หลายเดือนก่อน +4

      Wabaya kote wapo kuna wabaya na wazuri ninamiaka uku lakini kwa mwarabu mswahili sitaki

    • @MamaMama-xp4nk
      @MamaMama-xp4nk 8 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@HanifaOman-oo4plyanajiropokea tu

  • @PiliKhamis-mb6ty
    @PiliKhamis-mb6ty 8 หลายเดือนก่อน

    Pole zanin nakupenda dada

  • @SaidiCharahani
    @SaidiCharahani 7 หลายเดือนก่อน

    Kwenye maisha kunachangamoto, wewe nimwanamke mpambanaji, usikate tamaa kwamaneno yawatu , mungu ndio kirakitu, mungu atafanya wepesi utarudi kwa mumeo

  • @salmafrancis6689
    @salmafrancis6689 8 หลายเดือนก่อน +2

    Pole zanini far kumbe umesharud bongo pole sana

  • @WanuOman
    @WanuOman 8 หลายเดือนก่อน +4

    Wew sindoulokuwa ukijishauwa ulipochukuliwa mzig ukajirikod inahashukw ww usituharibie jiongelee pek yak sis tupo tunasak rial ww tafut umaaruf 😂

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hamna fadhila wala shukran kazi zenu hizo kuchafua nchi za watu

    • @ashuraramadhani1943
      @ashuraramadhani1943 8 หลายเดือนก่อน

      Sasa wanawafadhili nini wkt mnanyanyasika

  • @zainaabdallah809
    @zainaabdallah809 8 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana udugu wangu

  • @Ashsultana
    @Ashsultana 8 หลายเดือนก่อน +2

    Nchi za watu ukienda hakikisha unafata kilichokupeleka, ikitokea mmepishana tu na kilichokupeleka, mateso ndo huanza, hivyo tamaa wakati mwengine si ya kufuata
    Na wengi wanatoka kwenye maboss walio na mikataba nao kwa kufuata au kusikiliza maneno ya walioko nje kuwa huku kunamshahara mkubwa

  • @OmanBahla-d2p
    @OmanBahla-d2p 8 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa visa ukatiwe na mwingine na uwende kwingine😮😮

  • @abdulwahidalismaili8836
    @abdulwahidalismaili8836 8 หลายเดือนก่อน +6

    Huyo ana matatizo mengi sana na muongo.

  • @WahidaHilaly
    @WahidaHilaly 8 หลายเดือนก่อน

    Pole sana Dada angu ❤️

  • @SaadiyaMohammad-og5bg
    @SaadiyaMohammad-og5bg 8 หลายเดือนก่อน

    Poli dadangu mitehania tumiumbiwa ss binadamu mungu Yuko na ww

  • @b52saif96
    @b52saif96 8 หลายเดือนก่อน +3

    Ukimsikiliza tu unajua shida ipo wapi, naona hata reporter amekuwa confused. Story haina mwanzo wala mwisho

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 8 หลายเดือนก่อน +2

      Huyu dada ukimsikiliza ni pumba tu na ni mswahili mno

  • @maryamshija566
    @maryamshija566 8 หลายเดือนก่อน +1

    kazi ambao siiwezi ni.kutoroka kwa Boss

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 8 หลายเดือนก่อน +2

      Hayajakukuta kaakimya

    • @faumarley5707
      @faumarley5707 8 หลายเดือนก่อน +1

      C ndo nyie wazeee wa kubuluzwaa kama mizoga

    • @MamaMama-xp4nk
      @MamaMama-xp4nk 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@HanifaOman-oo4pl😅😅kabisa

    • @faudhiasalum7279
      @faudhiasalum7279 8 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@faumarley5707😅jamn sasa tuki toroka.. Passport je mi nawaza had na umwa 😢😢

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 8 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@faumarley5707BASI YUPO KWAO SASA HATABURUZWA TENA

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 8 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂😂😂😂sema mapenzi yamekushinda usipige zogo na pia umependeza shukuru

    • @faumarley5707
      @faumarley5707 8 หลายเดือนก่อน +2

      Punguza chuki ufanikiwe ukizembea unaenda kufa na umaskini wako 🥴

    • @MamaMama-xp4nk
      @MamaMama-xp4nk 8 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@faumarley5707😅umeniwahi vijitu vingine vinaropokwa kwa kuwa havijapatwa na matatizo

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 8 หลายเดือนก่อน

      Ungeliskia matus aliyonayo huyu mwanamke na hpo anapolia ndio utamjua alivo

    • @faumarley5707
      @faumarley5707 8 หลายเดือนก่อน

      @@RitbayRitbay af atukani uyo anahofu kubwa ya mungu sio kama wwe mnafki mnafki

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@faumarley5707 hofu ya mungu na zle voice zinazosambaa ni nan kwanza ww ndio hyo mwenyewe watu wameshakujua

  • @RayaRashid-dc2hn
    @RayaRashid-dc2hn 8 หลายเดือนก่อน +1

    Pole dada ndo maisha

  • @AishaJuma-yu6yq
    @AishaJuma-yu6yq 8 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana zanini.undg wangu..lkn sikihiz block hazina nguvu...kaaa mwez tu kama unahitaji kurud rud ru mama hakuna kipingamiz...na waliataka kukomoaaaaa sana

  • @AghHh-v3f
    @AghHh-v3f 8 หลายเดือนก่อน

    We mama mwogo hunayibu unatafuta Kiki 😮😮😮

  • @AwzaMstafa
    @AwzaMstafa 8 หลายเดือนก่อน

    Oman amani tu huyo dada miongo sana

  • @usher_bambi94
    @usher_bambi94 8 หลายเดือนก่อน +4

    Cjui nicheke ana vip kifup kimekuramba 😂😂😂😂

    • @Nash-o8q
      @Nash-o8q 8 หลายเดือนก่อน +2

      Dyadyaaah mbaya weuweeeeeee 😂😂😂😂😂😂😂

    • @usher_bambi94
      @usher_bambi94 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@Nash-o8qwho are you my wang😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn 8 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂

    • @faumarley5707
      @faumarley5707 8 หลายเดือนก่อน

      Roho zaifuu ndomana utoki na usipo badiriaka umaskini unaenda kukutesa adi uzeeeni kwako

    • @WahidaHilaly
      @WahidaHilaly 8 หลายเดือนก่อน +1

      Wanaocoment ujinga hawamjui vizur huyu mdada

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 8 หลายเดือนก่อน +3

    Zanini maashaallah nakukumbuka kipenzi tulikua wote kwa joha. Kumbe umerudi Bongo. ❤❤

    • @husnathabiti4114
      @husnathabiti4114 8 หลายเดือนก่อน

      Joha wako wawili bi joha au joha

    • @SalmaUmmuhussain
      @SalmaUmmuhussain 8 หลายเดือนก่อน

      Mm wangu bijokha mabella

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@SalmaUmmuhussain ndiyo huyohuyo

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 8 หลายเดือนก่อน

      @@husnathabiti4114 bijoha

    • @rahimarahima630
      @rahimarahima630 8 หลายเดือนก่อน +1

      Bibi jokha si mpendi yule Bibi ana roho mbaaya ana zulma kubwa sana malipo ni hapa hapa dunian

  • @HabibaHussein-vb1ir
    @HabibaHussein-vb1ir 8 หลายเดือนก่อน +1

    Zanin km zanin😂😂😂ushindwi kitu

  • @UmmyAliy
    @UmmyAliy 8 หลายเดือนก่อน

    Jaman acheni maneno makali kwa mwezenu kila mtu ana matatizo yake kama halija kukuta ww bas sema alhamdulilah so kwa kumsakata mwezenu kwa uzushi na kumtukana mujielewe bwana mbona munapenda unafiki yie kama huwezi comment tulia tu punguzen jaman unafiki na yy binadamu anaogea yalio mkuta ulikuwepo unapo muogelea kuweni na adabu haiuzwi

  • @AgyHassan
    @AgyHassan 8 หลายเดือนก่อน +11

    Mzunguko mrefuuuuu point no😮 sijaelewa chochote yaan....

    • @faumarley5707
      @faumarley5707 8 หลายเดือนก่อน

      Apo uwezi kuelewa mpaka uwe na A mbili

    • @auntmakochela4202
      @auntmakochela4202 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 sijaelewa anataka nn

    • @auntmakochela4202
      @auntmakochela4202 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@faumarley5707😂😂😂😂😂😂

    • @faumarley5707
      @faumarley5707 8 หลายเดือนก่อน

      @@auntmakochela4202 utaelewa tu sibado upo

    • @MamaMama-xp4nk
      @MamaMama-xp4nk 8 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@faumarley5707hayajamfika ataelewa nn😅

  • @AmenaMm-r5t
    @AmenaMm-r5t 8 หลายเดือนก่อน

    Daa pol san mtian kwakwel yan oman uwe na moy wa subrat nauvumilivu mm nip uk ila najitaid kua mvumiliv kwannay pitia namuomb mung kil mda anafanyie wepes nitimiz maleng yang nirud tz nikiwa salam

  • @Khairatibeka
    @Khairatibeka 8 หลายเดือนก่อน +2

    Oman hamuna mateso huyo anataka 2 sifa mitandaoni iliajulikane mushenzi sana nakomwe lake kama la mangekimambi

  • @DxbYae
    @DxbYae 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ushafika home aza upya maisha popote ndugu yng ukiona mpk umeshindwa kwenda tena omani kwa huyo mumeo jua kabisa sio ridhiki yako

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mjengoni ndo ulikuwa ukijiuza Mungu akushinde Kwa kusema uongo mtupu

  • @GharibAlrasdy
    @GharibAlrasdy 8 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo muongo namjuwa vizuri sana na Ana haribu ndowa za watu na mchawi mkubwa

    • @Shuu.A
      @Shuu.A 8 หลายเดือนก่อน

      Kwanza upemba si kabila pumbavu huyu

    • @Husnasalim-f2g
      @Husnasalim-f2g 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kwel kabisa me nimeon sehem hap kwenye vissa 😂😂😂 me sio mgen hap ndo nimeona muong na unga wake aliojimwqgia uso kma tope😂😂😂

  • @Husnasalim-f2g
    @Husnasalim-f2g 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 kublockiwa wanaejua njooo hapa eti kujivua 😂😂😂 kublockiw uwezi ingia oman na uwezi kufanya kaz hap oman😂😂

  • @saidmarjibi6130
    @saidmarjibi6130 8 หลายเดือนก่อน

    Please please please

  • @WanuOman
    @WanuOman 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mdomo ndounaponz kichw 😂😂😂😂😂😂😂

  • @AMINASAIDI-mx7rs
    @AMINASAIDI-mx7rs 8 หลายเดือนก่อน

    Pole San my

  • @zubedamohammed1777
    @zubedamohammed1777 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekupenda.dada.zanni

  • @zakiakondo2849
    @zakiakondo2849 8 หลายเดือนก่อน

    Naomba kujua dada umepitia agent wangapi 😢

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 8 หลายเดือนก่อน +1

    Wadada wasiotulia kwa mabosi zao ndio wanaoteseka wanataka pesa nyingi za nje na ndio zinazowaponza wanajikura wamefiiika poleni sana

    • @FatimaAo-r9p
      @FatimaAo-r9p 8 หลายเดือนก่อน

      We usimalize maneno hakuna mtu anataka kuhangaika funika kombe mwanaharam apite omba mungu ivoivo apo ulipo uishi kwa amani ndio lakuomba

  • @Husnasalim-f2g
    @Husnasalim-f2g 8 หลายเดือนก่อน

    Mwaka huo kwel hat me nilipita South maan boss alinikatia ticket 🎟 2 alitengeneza visa ya matembezi nilipofika Airport wakanigomea ticket zote zilienda na maji nikapita uko😂😂

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 8 หลายเดือนก่อน

    Watu uku tunaishi na mshaara tunalipwa riare 90. Na maisha yanasonga

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 8 หลายเดือนก่อน

    Hayo majungu si mnayapeleka wenyewe waTz ndo kwa maana nchi nyingi watu wanaogopa midomo mirefu na roho mbaya ila kazi hampendi wavivu sana na wahuni

  • @KhadijaPozzy
    @KhadijaPozzy 8 หลายเดือนก่อน

    Pole ndugu yangu kwa mitiani

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kama kweli hamna kheri hata kidogo mpaka mchanga wa kaburi. Omani mmefungiwa viza kwa mambo yenu ya uongo na kutukana wenzenu. Balozi pia wamemichoka wanaofanya kazi Vizuri wamejenga kwao sio nyinyi wambea mnayosema uongo. Bibi usidanganyike wenzako kivipi upate ajeti mpya bila kupelekwa police. Nakama kweli ulipata tabu vipi unataka kurudi. Viza brock

  • @omantimes9699
    @omantimes9699 8 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe Dada Acha uwongo utafanya tufungiwe Kwenda Omani tunalisha family Natunajenga Kama ulikutana Namshashi Mbaya niwewe Ebu Tuache Tufanye Kaz Mashaara Milioni Kwa Mwenyewe Tz Tutaipata wapi Kidhaba Mkubwa wewe

  • @rahmangurupi2917
    @rahmangurupi2917 8 หลายเดือนก่อน +3

    malaya tena fisadi mkubwa huyu kama alikuja kufanya umalaya hayo yaliomkuta ni madaogo mnafiki mkubwa domo lomekishuka kwa unafik na limi limekupolomoka kwa uongo mbwa wewe acha kuongelea mambo yasiokuepo unatafuta kk vua chupi utembee uchi utakua maarufu nyoozako uso umekupaukaaa kwa uwongo

  • @prettynayally2177
    @prettynayally2177 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanza kusema kulifugwa kuja nchi zan kiarabu muogo 😂😂😂😂mbakuja njia za panya

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 8 หลายเดือนก่อน

      Magufuli alikataaa baada ya video kusambaa wtt wanateswa ughaibuni kote sio Oman tu, Kwahiyo lazima upitie south Africa nasio yeye tu watu wengi walipitiswa uko

    • @prettynayally2177
      @prettynayally2177 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@dorcaskidoti249 sio kweli bwN mm naoge nikiwa middle east tuache kudanganyana bwana labda kama mnapitaga njia za panya 2019 nlikuw bongo ma nikapota hapo Airport na 2020 niakrudi na nikapita na 2022 nilikaja tena 2024 iddi nimekula tz nanapita hap hapo mbona sijawah zuiliwa nyy tatzo lenu mnadangaywa na kuoitishwa bila kujua mnakuja wapi huku

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa wanarogana wakifika nje ya Africa ndio wanarushiana mikosi kisha wanasema kuna mateso ughaibuni

  • @Shuu.A
    @Shuu.A 8 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu bibi jisura lake tu linaosha la uongo na la kichawi unazuwa tu kwani alikwita aende kule nani mjinga tu

  • @MariyamMohamedi
    @MariyamMohamedi 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mkwe wangu wee MZARAMO HALIS MUKE YA MUSHASHI❤❤

    • @usher_bambi94
      @usher_bambi94 8 หลายเดือนก่อน

      Mshashi yupi?????? Watu mnapend kukuza mambo

    • @faumarley5707
      @faumarley5707 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@usher_bambi94wwe ndo kama ujui ulizaaa uambiwee

    • @ShugweHusna
      @ShugweHusna 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@usher_bambi94mwanasheria sijapenda 😅😅😅😅😅😅

  • @HinduSaid-t4m
    @HinduSaid-t4m 8 หลายเดือนก่อน

    Nyooooooo 120 mpka 150 kwa lipi ulikuwa nalo? We umenunuliwa mnawahoji hao mnaowapa pesa....we unaenda obalozi wakati ulipita njia za panya? Msiwachafulie wenzenu..we Rudi uendelee na maisha yetu tz

  • @zubedamohammed1777
    @zubedamohammed1777 8 หลายเดือนก่อน

    Umewenza.sana.udugu

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 3 หลายเดือนก่อน

    Hawo madada kila mtu huku wanamuita mpemba Omani wengiwetu kutoka bara na kisukuma tunakijua

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 8 หลายเดือนก่อน +3

    Uongo mtupu subhanallah halafu mwataka kuja jamani msiharibie wenzenu

    • @faumarley5707
      @faumarley5707 8 หลายเดือนก่อน +1

      Aongope ili apate afaida gani kwa vile wwe muongo unazani kila mtu na weza kuongopaa,uo ndo ukweli tulia subili party 2 ili uelewe vizur

    • @MissabubakarMhina
      @MissabubakarMhina 8 หลายเดือนก่อน +2

      Kweli asituharibiye kabisa

    • @HabibaHussein-vb1ir
      @HabibaHussein-vb1ir 8 หลายเดือนก่อน +1

      Unaujua uongo wake km haumjui nyamaza sie tunaejua tunaelewa nn kimetokea

    • @faumarley5707
      @faumarley5707 8 หลายเดือนก่อน

      @@HabibaHussein-vb1ir ujui kitu tulia wanao jua na wana uwezo wa walumbano wamenyama usijifanye unamjua kumbe ujui chochote tenaa ujui kitu tulia kama una nyolewaa kipala

    • @MamaMama-xp4nk
      @MamaMama-xp4nk 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@faumarley5707siku yakimkuta atajua huyu dada anamaanisha nn

  • @AshelyMbegu
    @AshelyMbegu 8 หลายเดือนก่อน

    2019 tulikuwa wote South Africa

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kimekucha huku jaman Team Strong mukuje mukuje Mama kakaribishwa mjengo mpya watorokaji mtajiju🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 8 หลายเดือนก่อน

    Sio wabeba 2 niwote zanziba wana vijimambo wakifika ila mee nashukuru mungu nilitumia akili yakumshaweshi nimepata kazi ynye pesa kubwa inabidi tuondoke kwda mascat kwli akakubali nikamwabia inabi tundke tafaut akadagaya mam yeke mgojo akakatiwa tkt akaondoka kutk salalah kwda masecat kaedakw rafikiza nikashukur mana kwaza alikuwakiburi kwng akiwa na maboos mashaallah mara wakajuwa kuwa hakupadageg wanirudia mm kaedawapi huy nikawabi znz kwn alikata tikt ya dar nikwawabia jui wakafugia kisha alieda kwaajit naka rudishwa znz na unafiki ukaishia hapo nikashukru mung kaz inasuga

  • @rayaabdul-gm3hc
    @rayaabdul-gm3hc 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka sisi wenyewe .wafanyakazi ndio wakorofi..wewe umekuja kufanya kazi za ndani ..unafika huku unaharibu ndoa za watu .yani mijitu kama hiii wapo wengi oman ..yakiwakuta .wanasema .ohoo.bosi kanipiga.bosi kanimwagia maji ya moto..uwongo tu .muache umalaya wenu .huko huko tz

  • @WahidaAlharthi
    @WahidaAlharthi 8 หลายเดือนก่อน

    Unasema saanna
    WALA hayaeleweki

  • @mimahnywage9245
    @mimahnywage9245 8 หลายเดือนก่อน

    Jamaniii 🤣🙌

  • @sabrahnibuka1211
    @sabrahnibuka1211 8 หลายเดือนก่อน +1

    Daah weee nakukubari imeisha hiyoooooo

  • @sabrahnibuka1211
    @sabrahnibuka1211 8 หลายเดือนก่อน

    Pole sana udugu wng

  • @HafsaShekigenda
    @HafsaShekigenda 8 หลายเดือนก่อน

    Pole dada wote tupo oman anaesema nimuongo allah atamlaani hayo nimagumu nikweli yatatokea

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 8 หลายเดือนก่อน

      Watu wanasema uongo kwa kuwa hayajawakuata naona

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 8 หลายเดือนก่อน +1

      Ww ungelimjua vzr ungelinyamza maaan ana matus na hyu kaolewa huku oman

  • @AminaSendekwa
    @AminaSendekwa 8 หลายเดือนก่อน +4

    Mimi ni mtanzania ila watu wako tofaut hivyo asizungumzie wingi awake umoja katika historia yake

  • @Faraja-k1e
    @Faraja-k1e 11 วันที่ผ่านมา

    Mie nashaur tufungiwe na serikal tusije Oman bas!! Walokuwepo ndo washakuwepo wakimaliza mida yao warud tz,

  • @NaimahKhalifasalim
    @NaimahKhalifasalim 8 หลายเดือนก่อน +2

    MAKUBWA SIBULIOLEWA WW UKASEMA PICHA ZAKO ZISISAMBAZWE 😂😂😂😂

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kajisambaza😢

    • @faumarley5707
      @faumarley5707 8 หลายเดือนก่อน

      Acha presha andika taratibuu tukuelewe af tukujibu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 8 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@faumarley5707SAWA KUWADI 😂😂😂

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 8 หลายเดือนก่อน +4

    Hamkulazimishwa kuja oman msichafue nchi ya watu

    • @MunguMwema-m4l
      @MunguMwema-m4l 8 หลายเดือนก่อน

      Acha kujitoa ufaham ukishawahi kuona wao wanaokuja kwetu wanafanyiwa vitu vibaya tulia huko kama huwez kuwa namaneno yahekima

    • @ayoubmwamwaja
      @ayoubmwamwaja 8 หลายเดือนก่อน

      Mkisha pewa majina ya walabu Bax nanyie mnajikuta walabu koko kiasi kwamba mpo tayari kusimama kama machawa pare wanapo halibu mbwa nyie

  • @rqiyaabdallah840
    @rqiyaabdallah840 8 หลายเดือนก่อน

    Mimi mama Angu Alifariki mwaka uouo nanilirudi kumzika Ilikua mwezi wa 4 mwe ziwa 6 nikwarudi nanipepita hapo hapo tatizo lenu nyinyi mliokua wengi Munapenda Kuja kwa njia za panya nazima muzuiliwe

    • @prettynayally2177
      @prettynayally2177 8 หลายเดือนก่อน

      Nd hat mm nashanga

    • @rqiyaabdallah840
      @rqiyaabdallah840 8 หลายเดือนก่อน

      @@prettynayally2177 uyu simanyaji Kwakazi ukimuonatu unapata jibu macho yapo juuyautosi Amijichuna mpaka anatisha Ana taka Ashindane rangi na wala u watu dizaini kama hii lazima wapate tabu sana maana Awajaja na jambo Moja sisi wafnyakazi wachuku ndo tunajua

  • @nunniznurcky9724
    @nunniznurcky9724 8 หลายเดือนก่อน

    Yani kama kuna warabu wapole watulivu ni wa Omani .. hi hadithi anapiga hakika haijipangi kwakweli huyu balaaa tuu

  • @jkzcr7z
    @jkzcr7z หลายเดือนก่อน

    Mungo ww wa zanzibari walikuwa wana kuja kama kawaida wa zanzibari hawana shida kabisa na wa pemba hawana tatizo nn wabara ndiyo muliyo fungiwa unaona ni muongo hakuna mushahara 150 muongo umbwa hyuuu 😢😢😢😢

  • @fatmahraseid7019
    @fatmahraseid7019 8 หลายเดือนก่อน

    Allah kareem

  • @SaidMkapa
    @SaidMkapa 8 หลายเดือนก่อน

    Muongo uyo alikuja kudanga sisi tupo nnamiaka 6 Sasa m muongo Omani safiii

  • @HinduSaid-t4m
    @HinduSaid-t4m 8 หลายเดือนก่อน

    Ss jamani unaujuzi wote huo si ungetulia kwenu

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 8 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu anaonekana anamdomo na mjuwaji ndomana umeshindw na wamekushindwa .hata kama nimme atashindwa hapo pagumu .mbele yakulaumu mabos labda mjichunguze na nyiye tatizo lenu .

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn 8 หลายเดือนก่อน +1

      Jeur sio kidgaesana ty tunamjua huyu 😂😂

    • @faumarley5707
      @faumarley5707 8 หลายเดือนก่อน

      Ndo mana mna buluzwa kwa kuogopa kuongea mtaonekana mna midomo na wajuaji una buluzwa leo adi kwa mungu uba buluziwa kwenye moto kwa ajili ya nizamu ya uoga

    • @faumarley5707
      @faumarley5707 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@Muslim-gs6rnimeeekuumaa eeh poleee ndo ukubwa uo itapoa

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn 8 หลายเดือนก่อน

      @@faumarley5707 mie iniume nini sasa umeelewa lakini

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 8 หลายเดือนก่อน +1

    Muwongo huyo anaongea uwongo katoroka kwa boss wake tunamjuwa kila kitu wakishafika nchi za kiarabu

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 8 หลายเดือนก่อน +1

    utulivu kwenye kazi kwako ilikuwa ziro plus usitake kutia watu hofu

  • @saidmarjibi6130
    @saidmarjibi6130 8 หลายเดือนก่อน

    Naomba huyu kaka aliye fanya hii interview aje kututembelea Oman,, na atakuwa mgeni wangu siku 5 , tkt na hoteli

  • @OmanOman-fr5hl
    @OmanOman-fr5hl 8 หลายเดือนก่อน +1

    Tangu lini mnapewa 120 huku mnanzGa rial 80

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 8 หลายเดือนก่อน +1

    Sio kwamba palifungwa Kuna vitu ulitakiwa ukamilishe kama mfanyakaz, Tanzania mpaka leo kama hauna vilivyokamilika uwezi kupita kwaiyo magumashi ya eirpot kwa dar miaka yote yapo

  • @JamilaMohammed-n8n
    @JamilaMohammed-n8n 8 หลายเดือนก่อน

    mtihani

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 8 หลายเดือนก่อน

    Chakwaza ulimaliza mkataba WA kwaza ukaitaji kulinyuu mkata mwingine mkashindana malipo kwanini usiludi tz ubalozi wakusaidie nn sasa

  • @مريم-ظ9س6ن
    @مريم-ظ9س6ن 8 หลายเดือนก่อน

    Uyu dada namjua nimekaaa nae mjengon