MTANZANIA ALIYEPEWA KESI na BOSI WAKE OMANI - AJIKUTA KWENYE MIKONO HATARI ya 'AGENT' WANAOSAKWA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- MTANZANIA ALIYEPEWA KESI na BOSI WAKE OMANI - AJIKUTA KWENYE MIKONO HATARI ya 'AGENT' WANAOSAKWA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
mtafteni na agent hawa waongo sana madem 😂😂
Global tafadhali muwe mnatuletea watu wenye shida na uhitaji kweli na si huyu dada, tafadhali muwe mnachuja watu KABLA hamjawaleta hewani.
Kwahayo aloelezea ni kweri mm nilikuwepo ila muendelexo ndiyo nausubili na mm nipohuku huku na pambana Ajenti wetu mmoja @@SANJA0693
Haswa huyo mdada jaman hapan Oman hakun asomfham kwa ukorof na kuwachamba watu😂😂😂😂😂😂
@@SANJA0693 kwaaliongeahapo kuhusu Ajenti nikweri mm nilikuanae pale ajentiwetu mmoja ilatu. Nasikiaaliolewa huku na babu kwakujitzmba sijuikimemkuta nini kurudi tz. Naalikua anauza mikirim huku
Kinachoshangaza mkija Omani mnateswa sasa mnakuja kufata nini haaaa bakieni makwenu msichafue miji ya watu
Yaani kwakweli hata aibu hatuja
Sikilizenikwanza mjue anaitajinini msimlaumutu. Kwani. Wabaya si wote na waxuri siwote Dunianzima.
😊😊😊😊😊 ata mtume kasema today ukatafute ww kama mwarabu usingejuwa kiswahili imeisha iyo
Wabaya kote wapo kuna wabaya na wazuri ninamiaka uku lakini kwa mwarabu mswahili sitaki
@@HanifaOman-oo4plyanajiropokea tu
Dada Mkubwa umebarikiwa, umeshafika home Allahamdulilah
Cha ajabu anatamba anasema anataka kwend had kwa dida kuanika ubaya wa ubarozin eti watz walokuw Oman anaend kutusemea tunayopitia huku...TUMEKUTUMA????😂😂😂😂 mnaotoroka kwa maboss zenu ndio mnaotesekq sabb ya kwend kukaa magheto na kufny umalaya mbon tunaotulia kweny mikataba hatuna hizo mambo😂😂😂😂shame on you😂😂😂😂😂😂
Una hasira na huyu kwani alikubebea mume uko au 😂😂😂😂? Acha kila mtu ajisemeee nafsi yake, kwani akijigamba ww kinakukeraa nn kwa mfano? Naww nenda kwa Didah ukatoa ushuhuda wa uzuri wa warabuuuu mpenz tuache chuki za ovyooo apo unajikuta mzawaaaa wa Oman
@@dorcaskidoti249Kwanza ungelinyamaza tu maaan hyo unaesema hpa ana ndoa na muarabu. Aseme ukweli wke lakn si apange uwongo
Pumbavuzake ana lolote mnafikitu amemaliza mkataba kwa jashola Meno eti nikitakakuogeza mkataba ukiona mwazo mambosio manzuri ludi kwenu sio kukimbilia ubarozi wakupe nini au mimba 😂😂😂 ukatabikenayo
@@morjanoman5181 angalia part,3
@@RitbayRitbay poa
Wew sindoulokuwa ukijishauwa ulipochukuliwa mzig ukajirikod inahashukw ww usituharibie jiongelee pek yak sis tupo tunasak rial ww tafut umaaruf 😂
Pole Sana dadangu hata mm Niko uwarabuni NI kweli anacho sima sister
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ukimsikiliza tu unajua shida ipo wapi, naona hata reporter amekuwa confused. Story haina mwanzo wala mwisho
Huyu dada ukimsikiliza ni pumba tu na ni mswahili mno
Pole mama Allah akuhifadhi.
Nchi za watu ukienda hakikisha unafata kilichokupeleka, ikitokea mmepishana tu na kilichokupeleka, mateso ndo huanza, hivyo tamaa wakati mwengine si ya kufuata
Na wengi wanatoka kwenye maboss walio na mikataba nao kwa kufuata au kusikiliza maneno ya walioko nje kuwa huku kunamshahara mkubwa
malaya tena fisadi mkubwa huyu kama alikuja kufanya umalaya hayo yaliomkuta ni madaogo mnafiki mkubwa domo lomekishuka kwa unafik na limi limekupolomoka kwa uongo mbwa wewe acha kuongelea mambo yasiokuepo unatafuta kk vua chupi utembee uchi utakua maarufu nyoozako uso umekupaukaaa kwa uwongo
Mzunguko mrefuuuuu point no😮 sijaelewa chochote yaan....
Apo uwezi kuelewa mpaka uwe na A mbili
😂😂😂😂 sijaelewa anataka nn
@@faumarley5707😂😂😂😂😂😂
@@auntmakochela4202 utaelewa tu sibado upo
@@faumarley5707hayajamfika ataelewa nn😅
Aweeeeeh mzaramo wangu pole mpambanaji mwenzetu tupo Pamoja!
Pole zanini far kumbe umesharud bongo pole sana
Sorry sorry my iron lady am still here in oman because of you you are the one who you were encouraged me when was in difficulties times in oman be blessed my sweetheart
Then the are people who bring hatred to the truth.
Pole tupo pamoja zanini ❤❤❤
Mm nilikuja mwaka huo nampaka leo nipo 😅😅oman oyeeeeeee
Na mm yaan cjarud hata bongo
Na mimi mwaka huohuo nimebadilisha boss lkn home sijarudi
@@zainabchumu8559 mm sasa sijabadiliaha hata nyumba navyoogopa nimetulia hapa
@@zainabchumu8559wajina nenda kasalimie
Oyeeee
Mimi ni mtanzania ila watu wako tofaut hivyo asizungumzie wingi awake umoja katika historia yake
Sadakta
Kama kweli hamna kheri hata kidogo mpaka mchanga wa kaburi. Omani mmefungiwa viza kwa mambo yenu ya uongo na kutukana wenzenu. Balozi pia wamemichoka wanaofanya kazi Vizuri wamejenga kwao sio nyinyi wambea mnayosema uongo. Bibi usidanganyike wenzako kivipi upate ajeti mpya bila kupelekwa police. Nakama kweli ulipata tabu vipi unataka kurudi. Viza brock
Mjengoni ndo ulikuwa ukijiuza Mungu akushinde Kwa kusema uongo mtupu
Wamama wazima miziwa mpaka kitovuni hukute niwake zawatu hafu wamelewa kaka hawa musiwahoji nimalaya hua wanajua omn ukifika kulalatu kumbe nikufanya kazi
Huyu inatakiwa kupelekwa police akahojiwe vzuri tumewachoka watu kama hawa tena kwasasa anae sema omn wanateswa kuna kamati tunaiunda sisi viongozi waaze kukamatwa ukishindwa wewe wezio wanaweza
Huyu bibi jisura lake tu linaosha la uongo na la kichawi unazuwa tu kwani alikwita aende kule nani mjinga tu
Kaka sisi wenyewe .wafanyakazi ndio wakorofi..wewe umekuja kufanya kazi za ndani ..unafika huku unaharibu ndoa za watu .yani mijitu kama hiii wapo wengi oman ..yakiwakuta .wanasema .ohoo.bosi kanipiga.bosi kanimwagia maji ya moto..uwongo tu .muache umalaya wenu .huko huko tz
Udugu adi interview 😊atar sna nimekumis ludi oman bn❤🎉
😂😂😂😂😂 🎉🎉🎉🎉 Simjui illa nimempendaaaaa
😂😂😂😂😂😂
Pole sana udugu wangu
Pole sana zanini.undg wangu..lkn sikihiz block hazina nguvu...kaaa mwez tu kama unahitaji kurud rud ru mama hakuna kipingamiz...na waliataka kukomoaaaaa sana
Anarudi kufata nini wakati kunamateso
La l
ngoja nilicheke kwanza hili limalaya la mbagala 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂sema mapenzi yamekushinda usipige zogo na pia umependeza shukuru
Punguza chuki ufanikiwe ukizembea unaenda kufa na umaskini wako 🥴
@@faumarley5707😅umeniwahi vijitu vingine vinaropokwa kwa kuwa havijapatwa na matatizo
Ungeliskia matus aliyonayo huyu mwanamke na hpo anapolia ndio utamjua alivo
@@RitbayRitbay af atukani uyo anahofu kubwa ya mungu sio kama wwe mnafki mnafki
@@faumarley5707 hofu ya mungu na zle voice zinazosambaa ni nan kwanza ww ndio hyo mwenyewe watu wameshakujua
Wadada wasiotulia kwa mabosi zao ndio wanaoteseka wanataka pesa nyingi za nje na ndio zinazowaponza wanajikura wamefiiika poleni sana
We usimalize maneno hakuna mtu anataka kuhangaika funika kombe mwanaharam apite omba mungu ivoivo apo ulipo uishi kwa amani ndio lakuomba
Mkija kufanya kaz fanyen kazi achen tamaa yakiwashinda mnalaumu pole
Tunaomba upande wa pili wa story..
Tunaomba atafutwe Agent na pia kwa sababu alipitia Ubalozini pia watafutwe desk la malalamiko la Ubalozi .. mtatusaidia sana..
Kisha pia tupate information zaidi za kwa nini asafirie kupitia South Africa na asisubirie mpaka wafubguliwe.. na utaratibu uliotumika hadi kufika Oman kupitia njia za panya..
😂😂😂😂😂😂😂 mnachuki watanzania ndg yangu Magufuli alifunga Airport haruhusiwe kusafirisha watu kwenye ughaibuni, Wengi tulipitia South Africa nilifikka Oman nikapelekwa obalozi kuandikishwaaa, Nimerud Tz nimepita Airport Tz vzr wakati narudi
Kimekucha huku jaman Team Strong mukuje mukuje Mama kakaribishwa mjengo mpya watorokaji mtajiju🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tupoo
Muwongo huyo anaongea uwongo katoroka kwa boss wake tunamjuwa kila kitu wakishafika nchi za kiarabu
Pole dada wote tupo oman anaesema nimuongo allah atamlaani hayo nimagumu nikweli yatatokea
Watu wanasema uongo kwa kuwa hayajawakuata naona
Ww ungelimjua vzr ungelinyamza maaan ana matus na hyu kaolewa huku oman
We mama mwogo hunayibu unatafuta Kiki 😮😮😮
Pole sana Dada angu ❤️
Acheni kushashadia mambo musoyajua anae teseka asiende ugaibuni tuacheni sisi tufanye kazi malaya ndo huhalibu nchi zawenzao mtu kajichubua hivo unategemea kunamfanya kazi hapo acheni ujinga mimi nimekaa omn miaka 7 changamoto zipo natu nazipitia lkn tuna angalia maokoto maokoto
Pole zanin nakupenda dada
Sio kwamba palifungwa Kuna vitu ulitakiwa ukamilishe kama mfanyakaz, Tanzania mpaka leo kama hauna vilivyokamilika uwezi kupita kwaiyo magumashi ya eirpot kwa dar miaka yote yapo
kazi ambao siiwezi ni.kutoroka kwa Boss
Hayajakukuta kaakimya
C ndo nyie wazeee wa kubuluzwaa kama mizoga
@@HanifaOman-oo4pl😅😅kabisa
@@faumarley5707😅jamn sasa tuki toroka.. Passport je mi nawaza had na umwa 😢😢
@@faumarley5707BASI YUPO KWAO SASA HATABURUZWA TENA
Zanini maashaallah nakukumbuka kipenzi tulikua wote kwa joha. Kumbe umerudi Bongo. ❤❤
Joha wako wawili bi joha au joha
Mm wangu bijokha mabella
@@SalmaUmmuhussain ndiyo huyohuyo
@@husnathabiti4114 bijoha
Bibi jokha si mpendi yule Bibi ana roho mbaaya ana zulma kubwa sana malipo ni hapa hapa dunian
Hayo majungu si mnayapeleka wenyewe waTz ndo kwa maana nchi nyingi watu wanaogopa midomo mirefu na roho mbaya ila kazi hampendi wavivu sana na wahuni
Huyu anaonekana anamdomo na mjuwaji ndomana umeshindw na wamekushindwa .hata kama nimme atashindwa hapo pagumu .mbele yakulaumu mabos labda mjichunguze na nyiye tatizo lenu .
😂😂😂
Jeur sio kidgaesana ty tunamjua huyu 😂😂
Ndo mana mna buluzwa kwa kuogopa kuongea mtaonekana mna midomo na wajuaji una buluzwa leo adi kwa mungu uba buluziwa kwenye moto kwa ajili ya nizamu ya uoga
@@Muslim-gs6rnimeeekuumaa eeh poleee ndo ukubwa uo itapoa
@@faumarley5707 mie iniume nini sasa umeelewa lakini
GABI PLEASE TUNAOMBA MUENDELEZO MAANA WENGINE TUMEKAA SANA UKO OMAN ZAID YA MIAK 6 so tuna experience sana nasubilia part tu ndio nije kikucomment vizul
Yani kama kuna warabu wapole watulivu ni wa Omani .. hi hadithi anapiga hakika haijipangi kwakweli huyu balaaa tuu
Wewe ulikuja kufanya umalaya sio Kazi za nyumbani nyie Malaya mumekuja danga mpaka mumekuwa mkiwashawishi wafanyakazi wengine wataifa jengine wala hawapewi mshahara 120 au 150 ww ulitoroka na huyo wakala ndo akikuwa akikuparamia acha uongo huna Jambo
Chakwaza ulimaliza mkataba WA kwaza ukaitaji kulinyuu mkata mwingine mkashindana malipo kwanini usiludi tz ubalozi wakusaidie nn sasa
Wa TZ wakienda huko wakikosa wanachotaka wanatunga uongo!!
Umalaya tuu ndio ulikupeleka oman sasa hutakiwi tena unaanza kusema uwongo na kutia sifa mbaya watu tulia bora
Daa pol san mtian kwakwel yan oman uwe na moy wa subrat nauvumilivu mm nip uk ila najitaid kua mvumiliv kwannay pitia namuomb mung kil mda anafanyie wepes nitimiz maleng yang nirud tz nikiwa salam
2019 tulikuwa wote South Africa
Umewenza.sana.udugu
Uyu dada namjua nimekaaa nae mjengon
Nyie ndio mnafanya wa tz tushushiwe mshahal wa tz
Sijajua analia nini sasa wakati ni story ambayo ishapita na sio mauhaji wala msiba bali ni kumbukizi asilia.
Watu uku tunaishi na mshaara tunalipwa riare 90. Na maisha yanasonga
Please please please
Umekataa 95 bongo hata 60 unasota kuipata jamani 😢😢 nyie ndo mnaharibia wengine kaaa kwenu usiende kuteseka
Elewa somo af ndo ujibu,utafeli
@@faumarley5707sio kuelewa tu kasema kweli uko mwalimu haipati hyo pesa na kusoma kwake yy ameipata analalamika
@@faumarley5707 SOMO LA UMALAYA 😂😂😂 MWACHE ATOMBWE KWA BUKU BUKU MBILI MBAGALA.
Naomba kujua dada umepitia agent wangapi 😢
Huyu muongo sasa si umejipakazia ubaya block kote utakuwa uluhusiwi kuingia nchi za uarabu
Hana akili😢
Kwa nn aongope yan ili angundue nni,
@@Muslim-gs6rnwwe ndo una akili akili kifuniko cha maji ya uhai
@@faumarley5707USICHOKE KUMTETEA HONGERA 😂😂😂😂
Wadada wanaokwenda omani sio wakuamini!
Tatizo unaongea sana...km charahani
Yah ndomana amepaza sauti ili tu msaada ukufikieni wotee,ujumbe utakapo fika kwa walengwa
@@faumarley5707walengwa gani kwanza
@@faumarley5707MALAYA ANA MSAADA GANI?? BWEGE WEWE MLETENI TENA BAADA YA MWEZI TUMUONE ALIVOCHAKAA CHEZEA MBAGALA WEWE 😂😂😂😂😂
Ungeenda kwa Mange tungegawana fulus mkwe wangu
Maisha popote Yana mapoto
Nyooooooo 120 mpka 150 kwa lipi ulikuwa nalo? We umenunuliwa mnawahoji hao mnaowapa pesa....we unaenda obalozi wakati ulipita njia za panya? Msiwachafulie wenzenu..we Rudi uendelee na maisha yetu tz
Oman kuwekewa block sio rahisi wew dada muogo
N muongo kweli at iyo y kusikilizw wafany kaz jumanne n jumatano imeanz saiv mwanzo ilikua hamn mda wote wote wanakuskuliz n muongo kwel
Ni kweli kuna watu nawajua wametiwa block achen kusema uongo wakat hamna mlijualo
@@ruqaiamohammed345BLOCK SI KWA WALE ANAOTOROKA MABOSI ZAO?? HUWEZI EKEWA BILA SABABU.
Na maboss wengine wanakuwekea block hata kama hujatoroka mkikorofishana ukitaka kuhama nyumba hakati ataka urud kwenu na block atakuwekea ht police aweza kukupeleka na kec ya uongo akakupa ili ufungwe tu
@@ruqaiamohammed345 BILA YA KUTOROKA HAWEZI
S kwl mia n 120 mpya s kwl mpya n 90
Naomba huyu kaka aliye fanya hii interview aje kututembelea Oman,, na atakuwa mgeni wangu siku 5 , tkt na hoteli
Malaya mukubwa wewe huna mbele walanyuma kenge wewe
Mbona una mtukana wewe kama haya kukupendeza nyamaza
Huyo ndio zanini tunamjuwa sana anaongeya kama mzaramo uyoo alafu nimjuwaji nimuongoooo
Uongooooo mtuuuupu
Ohk kabla ya kucomment kwnza nisikilize hii interview
Uyu dada anaongea uongo kabisa mt Mbaka ufike ubalozi afu aseme alikua anapata tabu dada nyosha maelezo vizuri 😂😂😂 omani kupo swali sana Watu tuna miaka zaid y’a 5
Wew ayajakukuta tulia kma unanyolewa
@@faumarley5707TULIYA WEWE UNAE PINGANA NA WATU AMBAO WAPO HUKO BWEGE WEWE.😂😂😂
@@faumarley5707ANDIKA VIZURI UNYOLEWE 😂😂😂
Mnafuataga nini huko, mbona wao wanag'ang'ania huku kwetu kama kwao kuzuri hasa bala la asia, Kifupi kote hakufai tu
Njaaa za huko anganganie nan ama weye uko dunia gn.
Njaa akili yako tu, wenyewe hawawataki huko kwanini kujipendekeza
Nasubir muendelezo ndo nije kuweka comment yangu apa 😂🤣
Jamaniii 🤣🙌
Oman silele mama siopowa
Hivi munajua kama omn tunatukio limetokea juzituy kweli wanawake wakiaarabu wakianza kututukana tutasema tunasingiziwa kuna video chafu jaman aibu nakuiangalia
Adui wa mwana mke ni mwanamke Kuna mdada ana koment kwa hasira kila mara, sijui ana matatizo gani na huyu dada, sasa mm niko mwaka wa 8 Omn na simjui?!
Huyu dada alikua anatafuta mtu amzagamue tu atuache tupo tunapiga kazi tunaingiza maokoto
😢
Mimi hua nashangaa wewe umeshindwa kazi acha kuwasemea wote kunawatu wanamika 15 wengine 10 wengine 9 hawaja ondoka tz tena omn kuna watu wana enjoy
Nikweli Hawa watu wanaroho mbaya
Mmmmh ukwel unajuwa ww ila ila kunawatu wanakuja oman kwaniaba ya kudanga tu natamaa zao zakutaka kuolewa puka.
Muongo yaani nyie mnapoteza time yenu kuzikiliza uwongo ku block kiwa kazi ndio nini Mungu awa block maisha yenu Msiende Oman wajinga
Msiende huko kwa hao magaidi🙌
Koma wee, siyo watu wote wanafanana. Hata huko kwetu kuna watu wabaya sana. Mm nilishaa waambia hata nikifa wasipate shida wanizike tu hakuna shida.
Omani hakuna shida Hawa wadada wanachanganya kazi wanadanga ndio inakuwashida
Shika Adabu zako kuna watu wanaendesha family zao uko tuliza mdomo.uwo.
Unajua nini?? Aseme kilichomrudsh apungz kuongea utumbo
Punguzeni khadhabu wenzangu, huyu dada huenda kweli kapitia yote haya. Ila ndo narudi pale pale, kuna watu wazuri sana na kuna watu wabaya sana. Mm nimepita ktk nyumba 4 ila hazifanani kitabia. Naambayo niko sasa ni bora zaidi kati ya hizo 4.
mushenzi sana huyo dada asituharibie jina
Kwa sura tu ni malaya
Hahha umeona ee hawa ndo wanafanya watanzania tusifike kwa sifa mbaya
Malaya mamako mzazi kabulini na bado watu wakamstiri una taka kusema nni
@@africanfood_zanzibar4863inavouma ndo inaingia ivooo
@@faumarley5707MALAYA NA WEWE UNAE MTETEA MALAYA PIYA
@@africanfood_zanzibar4863KWA HIYO KAMA MALAYA WATU WASISEME???
Muongoooo huyooooooo tunamjuwa malaya tuuu aliokotwa na kizeeee lakishashi babu kamshindwaaa😅😅😅😅
Sasa na mimi nicoment wap
Huyo boss wake Anaitwa Asha mpemba maarufu kwa kukusanya watanzania wanao toroka kwa ma boss wao na huyo Aisha sio Raia wa Oman Hana passport ya Oman ana wadanganya watu kama ana uraia wa Oman na mume wake ni mpishi na Raia wa Tanzania anaitwa Abdull mume na mke wote mataperi kwa kuwadhurumu watanzania wenzake na wanaishi sehemu inaitwa AlMawalehe
Ujaelewaa rudia kuangalia interview Vizur af njoo upya
Ajent wake anaitwa Bibi johna si uyo Asha na uyo johna Ndio alikuwa boswake na Ndio alie m block ajent fisad tapeli ana zurumu mpka wafanyakaz ana wa peleka kazini pesa ana kula yeye
Ajent jokha akuna mfanyakazi alie fika ubarozi asimjue uyo Bibi ana zulma kubwa sana
Daaaah jamaniii huruma Sana inabidi tumsaidie huyuuu dada😢😢 Sio vizur kbsa Yan najikuta nalia sana 😭😭😭
Umsaidie mgonjwa kwan wkat kaolewa kwa tamaa
Tumsaidie nini,mtu cream imekubali hivyo na nguo za gharama!😮
Wewe lia tu uy twamjua sisi uku
@@bikeymmaka2589 anaonekana tu MCHARUKO ULIOSHINDIKANA,BORA 500 YANGU NIITUPE CHOONI KULIKO KUMSAIDIA HUYU DADA,WATANGAZAJI NA NYIE MUWE MNATULETEA WATU WENYE SHIDA KWELI,TUSAIDIE SIYO KARUMBEMBE KAMA HUYU.
wewe unalia sisi tunamjua😂😂😂
Warabu vigeugeu
Muongo asituaribie hyo malaya tu alifata wanaume kimemramba tamaa tu ovyo
@@iamnas95komaa kitobo ujaitwa hapa punguza shobo utafirimbwa
@@iamnas95unaleta shobo kwenye ligi za wanaume mtoto wakiume utapakatwa
Ww kama ujapitia uwezi kujuwa chochote
@@iamnas95Kweli huyu mwanaume waajabu anachamba kama mashoga achana nae
@@iamnas95😂😂😂kafirimbwe huko kwahyo we hap unaona me mshamba wa kuzunguka hap oman nina 10 years na hyu unayemuona hapo namjua live sio wew unamuona hp kwa simu kuku wew
Tupe part too bhana wewe hatutaki kucomment kwanza tusikie kama atasema kaolewa ndy kubwa hapo😂😂😂😂 yaan
😂😂😂 😂😂
Kuolewa nisheria af akufanya sili kama ulikua ujui na akuolewa muajalaa upooo
@@faumarley5707😂😂😂 wa comment mweyeo naona
@@RitbayRitbay 🤣🤣🤣🤣 yah
@@faumarley5707 unajua kukaa kmy ni kuzur lkn zaid kma kutukanana na watu kuna maisha baada ya mtandao
Mimi najiuliza nini kazi ya ubalozi wa Tanzania kwenye hizi nchi katika kuwasaidia wanchi wake kupata haki na ushauri ili kuepukana na ukoloni mambo leo.
Kama ukikidhi vigezo unasaidiwa vizur tu lakin uyu alikua na maajent wa mtaani
@@bintmrisho3526 vigezo gani hivyo? Ubalozi unatakiwa kumsaidia mtanzania yoyote yule pasipo kuangalia vigezo au ameingiaje kwenye hiyo nchi.
Af watu awataki mtu aseme ukweli yani mtu ana taka yakukute unyamaze kimya ayo mmbo ssa yamepitwa na wakati watu wan sema taarifa ziwafikie walegwaa ili tatizo litatuliwe ,af wanao comment matope ni ao ao wadda wa kazi za ndan uko arabuni,
@@faumarley5707 ina kera sana kupita maelezo, hizi balazi zetu za nchi za nje zinawanufaisha hao wanao fanya kazi kwenye hizo balozi na sio wananchi. Ilitakiwa balozi iwe ni kimbilio la kila mwananchi ambaye yupo ugenini pale anapo hitaji msaada wa haraka
Ubalozi wa Tz unawasaidia hao madada lkn wengi wao wamekuja na kazi mbili ndio tatizo huku hufui kwa mkono kama bongo mnavyotumwa na wahidi haendi sokoni yeye usafi wa nyumba na kupika aliumwa bosi anampeleka hospitali akisafiri tkt bure jee huko bongo mfanyakazi wa ndani anapata hizo huduma
Usije huku muongo kenge wewe sifahamu kama ipo shida nenda nchi zingine
Kenge wwe na ukoo wako wote tena kenge poli mtumwa wa miaka nenda rud usie jielewaa utatumwa adi unakufa maskin wa akili ulokosa future
Sababu hayaja kukuta
Huyo nimhuni amefuata waume
Apana. Weujui duniani walabu. Wanaloh mbaya sana ukokwetu tuna wapenda lakini awafai
Mie mwenyewe nnakesi ipo makamani
Koma
@@yussufmohamed5120 sio kweli warabu wanaroho nzur tu ila ukianza kumzingua mnazinguana tena anakuonyesha roho mbaya kwel
@@yussufmohamed5120anajua anajipa moyoo
Sasa mume wako je
Atafika uko kotee
Mama samia chunguza sana hizi barozi hakuna watu wenyewe moyo wa kusaidia watanzania wezao wana roho mbaya sana fukuza hao watu
UNAONAJE WEWE UKAPELEKWA HUKO UWE BALOZI.