NILIJIFANYA MZIMBABWE ILI NIZAMIE ULAYA | NILIDHANIWA UGAIDI | WAZUNGU WAKO VIZURI KWENYE MAPENZI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 เม.ย. 2024
- Norbert ameeleza Safari yake ya maisha kutoka Tanzania mpaka Sweden
Namna alivyoamua kuzamia na kujilipua ukimbizi..
Changamoto alizokutana nazo, alijificha miaka miwili anakimbiaapolisi.
Mahusiano yalivyompa Chance ya kuishi Sweden na changamoto za mahusiano
Changamoto za kulea familia na kujitafuta Ulaya
Thank you Norbert for allowing this to be online
www.oda.international
Novati ulikuwa na bahati ya mtende! Mwenzako alikuwa na mapenzi ya kweli.
Nice interview da shena na kaka Robert ❤️❤️❤️💐
Hizi experiences ukizikusanya zinatosha kutengeneza kitabu kizuri kwa vijana wetu
Kabisa
Novati ni bora sana uliweza kupambania maisha ya ndoto zako!
Kaka yangu bora maisha nimapambano sana❤
Good experience brother
Jamani pateni passport za nje then jinsi tutajenga Nchi yetu ya Tanzania .anayepata tu passport ya nje anione kupitia shena
Hii interview 🔥🔥🔥,God bless you guys
Kawewe umeongeyaa ukweli lakinii alokuwa hajakaa ulayaahuwa hayajuwii
When you come to Europe, and you Luke to have boyfriend or girlfriend both of you get baby is easy to have a stay. But watu ingine wakitaka enjoy only diyo wengine warudishwa home.
Point ya kurudi nyumbani uzeeni nimeipenda naogopa sana kuzeekea ulaya
Mimi pia naogopa sana kuzeekea ulaya .
Bro Mungu akubarki sana 😂😂😂😂😂
Nimependa joins unovoogea kiswahil.vzuri wangekua fulani hp pangekua yes no
Hii inteview nzuri sana
Best interview
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mi sio mzimbwabwe mie Mrundi 😂😂
😂😂😂😂😂Mimi siyo mrundi ni Mtanzania🤣🤣🤣🤣 yaani ningekuww Lawyer wake ningezimia
Nimesikiliza muda mrefu lakini nimemuona huyu jamaa ni mimi kabisa mie mzungu mwanzo mwisho kwa hili nimekuelewa mno 😂😂😂
Mchanaki, it is good to see you. Karibu Finland
Ht mimi akitoka mzungu ataingia mzungu❤
Sema kaka lizuri ili
😅😅😅 UMEUAAAAAAA
😂😂😂
Sauti ya kaka iko na mikwaruzo sana shena
Hongera kaka Robert.
Mbona bado mdogo tu jipange uende shule.
Hapo sawa
Tunakuskia vzr
JAMAA KAELEZA POA SANA HASWA KUHUSU
GHARAMA
WATOTO
KAZI
LUGHA
NA PIA KUFANYA KAZI KWA BIDII, NA SWALA LA KUISHI ULAYA MDA MREFU NI KUVURUGA NDOTO SANA ZA NYUMBANI YAAANI UKIAMUA KUISHI ULAYA MDA MREFU USIRUDI NYUMBANI KIZBE😂 UTAAABIKA SANA😊
Hapo sawa sawa
Stan bwana etii hili lishenzii 😅😅😅
Yaani is a hustle maisha ya Ugaibuni especially kwa Sisi ambao tumeishi muda mrefu huku mbele
Bro umeongea madini ambayo mtu wa nyumbani hawezi kukuelewa
Hongera umepambana
Lekebsha spikaa atuskii vizuri Sheena stori Hy mkaka
Mwanaume anaongea vzr..ingekua mwanamke hapo mh mashauz kibao
Wamama wote❤ 🎉
❤❤❤
I hope ajamaliza all Trapia fish 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Aaaah Bro bhana miyeyusho kweli yani dah! huko mwisho umemalizia kwa hisia 😂😂😂😂😂😂
Brother, you are too funny. Jirani wetu sverie 😂😂😂😂
Shena eid mubarak
Mimi narudi nyumbani,.... Tena mapemaaaa.....
😂😂😂😂😂😂😂Haki Mzee wako alikuwa mtata
Hii interview tamu sanaaa😂😂😂
Mtani wangu kumbe 😂
Bado mimi sikubaliani na kauli ya wanaosema kuzeekea ulaya ni mateso. Ninawajua wazee wengi sana Africa wanateseka hata huo ugali wao hawauoni. Mtu anaweza kutesekea popote. Cha muhimu nikujipanga tu. Tafiti zikifanywa za wazee wanaoteseka Africa ni wengi sana sana. Na wako kwenye mji wao.
Yes kuna ukweli, mimi ninachoona, ukiwa mzee magonjwa yanakuwa mengi sasa kwa Africa kupata check up za bure mara kwa mara ni mtihani lakini ulaya wazee likija suala la matibabu automatic wanapata huduma, ila sasa ulaya kuna upweke ukizeeka si ndio itazidi mahesabu ni magumu ngoja tuone.
Kaka kajua kugunguka ukweli mtupu
Inkaza sana
Akula kod 😂😂😂😂
Awww my brother mchanake
😂😂😂😂 nimecheka hapo kwenye kupangisha nyumba ya Mzee
Mtani wangu, kaka angu aliyatimba🤣🤣🤣
Samahani sauti sio Zuri
Sauti inakwaluzika
Zipuuziee simu kaka mambo yatakuwa hayaendi hap tupo ulaya kaka
Eid mubraj
First comment mua❤❤❤
You're the best!
Duu ulaya kutamu, ngoje Nije na mimi ijapo kilometa zimesoma
Tunasiki sasa
Niko turky hatuskii
Ina kwama kwama
Hivi kwanini winter tunapata depressed?
@Yaani hapa umepata wakuinterviw ni chapu kwa haraka 🤭
Shenna sauti ya kaka yetu inakwaruza
Stanley😂😂
😂😂😂😂
Dada please nitafutie na mm mzungu
Akutafutie vipi kwani hamumsikiii kila siku anawaelekeza namna ya. Kupata wazungu
Thanks dear
Manake hilo swali linachosha jamani
Bora mswahili mwenzio uishi kwa raha kuliko kupata mzungu akakutesa na kukuuwa
Ingia darasani kwa shena ujifunze kupata huyo mzungu,au jiunge na website kafungua
Mimi nitafutie mtanzania mwenzangu huko na mimi nikutafutie mzungu huku UK 🇬🇧
Bado mnaishi pamoja kama make ?
Yes
20 years
Ila wanaume wa Tanzania wanapenda mterezo sana
Musoma kubwa kwenu wapi?😂
Majimoto