WAITALIANO NI KAMA WAZARAMO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 พ.ค. 2023
- Pendo anakwambia wewe kama unahitaji kuishi Ulaya basi simamia ndoto yako kwani inawezekana kabisa.
Utamaduni wa waitaliano na changamoto za kua mrs Mzungu Bongo.
Thank you Pendo for allowing this to be online.
www.Oda.international
Shena leo pendo kaongea vizur sana ,me sipendi kuishi ulaya mana kupelekeshwa staki😅 labda waje bongo na uyo rich me simtaki nataka mtu mwenye utu 😅 😂😂
Inatengemea Mme wako anatokea mkoa upi,Wataliano wako tofauti sana,wazuri na wabeya sana pia wapo wazee ni wazuri wanapenda waafrika wengine wanatusema tuko nyani.Nipo Italia nawashauri muwe makini kupata mtaliano Wa uhakika,wanachija wake sana akiwa na hasira anaua wote.Dada salini sana kutafuta mchumba ili kuepuka mateso.
Hii dunia kila sehem kuna watu wazur na wabaya ( uamuz wa mtu mwenyewe) huku Tanzania sasa hiv ukianza kuhesabu nani kachinja mkewe utaishia kusema watanzania wabaya tena wanachinjana wenyewe, kuna nchi ina. Kuna nchi ina crime scenes zinahusiana na mahusiano kama America? Je utasema ni wabaya wote ? Tusiwatetee ila tusiwaogepeshe watu wakat sisi tunaowaambia hawa watu wabaya tupo huku hatuondoki 😅....
Kama hutojali, naomba siku moja nifanye interview na wewe.. +4367764790884
Well said Pendo
Daah ndiyo nasikia mbona Mimì nipo Italia miaka zaidi ya miaka 16 na nimeolewa Italy hayo mambo sijaona. Mauwaji yapo ni kidogo siyo km Tz sheria inabana sana ukimpiga mwanamke unafungwa
Makubwa 😊
Dada pend nimempend bure tu amesem ukweli ajatukatisha tamaa km mwengin wanasom ulaya akuna uzur wwt yy amesem ukwl wt Mungu akupe maisha marf ww na family yk ❤️
She is amazing 🥰
Very Smart guest you have🙂👍🏽
Jambo Dada mimi ni mkongo penda siku moja tu zugumzee, ila swahili lenu ngumu
Utaeleweka tu usiogopi😊
Kwel kabisa yaan ❤❤❤
Shena unafanya kazi nzuri Sana congrats
Dada yangu umewezaa pendo ❤❤❤. Good to see you here
Ameweza sana 🥰
Kwakweli ulaya ni kuzuri hongereeni tuna ona nyuso zenu zina pendeza saana.
Mungu ni mwema
Ahsante
Asante. Kama tunapendeza 😅
Hongera dada zangu
Ahsante sana 🙏
Hongera sana endelea kutupa habari 👏👏👏
Ahsante sana
Good information Thank you Pendo
Ameeleza vizuri sana 🥰
Nimeipenda hii 😂😂😂😂😂
Your doing a wonderful job na huyo dada yupo very openly 😘
Thank you so much
Be bless sll
Amen 🙏
Am so glad for conversation but i hope I will learn more experience about to get married online am a Tanzanian but am working in Nairobi Kenya am jewelry artisan
For sure
Karibu sana
❤
WA ITALIAN WENYE UPENDO HALI YA JUU
Asante sana tunaedea kujifuza
Karibu sana
Wataliano hapana
Nimempenda huyu. Somo zuri.,hana makuu. Thats me.
Sana
Uko sawa
Ahsante
Story nzur sana
I Hope umeenjoy na kupata kitu fulani
@@OfficialDatingAssistance sana
❤❤❤❤❤😂😂
Wazaramo watoto wamjini og awaigi
Story za wataliano sipendi kusikia kabisa hao wanageuza nyuma sorry kama nimekosea kesi nyingi ni hizo 🤲🤲🤲🤲🇹🇿🇦🇹
Pole amina nahisi umekutana na upande mmoja wa watu wachache ,hakuna jamii ina watu clean peke yake labda malaika wa mbinguni, Italy iko na watu zaid ya 40' s millions.hizi ni person habits sio country character,kama tukisema hivyo basi kila mtu atakuja na nchi yake ya kwanza hapa.ila Pole kwa experience history mbaya ila 🇮🇹 kuna watu bora sana 😊
Pole kwa changamoto Amina, Ila hizo ni tabia za watu binafsi hata nyumbani Tanzania kuna watu wa hivyo.. je utasema wanaume wa Tanzania wanapenda kwenda kinyume?
Well said kabisa
@@OfficialDatingAssistance hizo kesi nasikia sana kwa rafiki zangu hao ni mila yao 🤲🤲🤲
@@pendoclement6672 sijawahi kutana nazo ni rafiki zangu wanaongea simjui umenielewa lv
Hiyo nikweli washa zoweya kudanganywa hawa watu
😂
Lol
Find me a white, girl,name nmechoka na black
Pole sana
Wanapataje mm nimejarbu apps kibao hazina mkwel how can l get the one for me .Ni app gani hio ina watu honestly
Apps zote zinawatu serious na watu wasioeleweka
Kikubwa ni kujua mbinu za kufanya mtandaoni
Sitaki umbea, Shennah ni mrembo sana,na tunashukuru kwa madini jaman.
Naomba kuukiza ata wanaume wanawekutumia izo ap@@OfficialDatingAssistance
Dada naomba namba yako ya wasp kuna kitu nataka unishauri
Karibu
Tuandikie office@oda.international
Interview nzuri