Mwanangu joel God bless you nimekua nikifatilia vipindi vyako nimegundua kuwa mungu anakusudi kubwa kwako ili kuwaokoa wana wa israel wa kizazi hiki sasa, joel wanangu mungu azidi kukulinda wazushi,natamani npate mawsiliano yko wanangu,kuna neno unisaidie,
Asante sana professor Joel nakumbuka 2013 nilikua nafatilia passport ili naende zangu Oman 😅nikawa namwambia sister nikifanikiwa nataka kujenga nyumba nitanunua gari tutaishi km watu wengine vile wanaishi😅😅😅alinicheka wakati huo mshahara ilikua laki 2.5 tu bac imechukua muda kufika kununua kiwanja nikaanza kujenga na now tunaendea kumalizia ujenzi sasa hivi yy alieye nicheka ile siku namwambia kuhusu kujenga ndio ananihamasisha kumalizia nyumba haraka so kukataliwa tunakataliwa hata na watu wetu wakaribu maana hawaamini kile ambacho unataka kujifanya akifikiria kazi yenyewe ni kazi ya ndani sikukata tamaa kutoka kwenye shahara wa laki 2.5 mpaka sasa napata mshahara ambao kuna watu wamesoma na wapo oficn wanaringa bado lkn hawapi mshahara ninao pata na sina hata mtu wakunipa maneno mazuri ila huwa najifariji mwenyewe nikijiangalia kwa kioo najiambia never give up 😂😂😂zulfa
Hongera Zulfa kwa ushuhuda wako huu, inatia moyo na inathibitisha kuwa kama mtu hatakatishwa tamaa na maneno ya watu wengine, basi anaweza kutimiza ndoto na malengo yake.
@@joelnanaukaasante sana kaka Joel Mwenyezi Mungu akuoe umri mrefu INSHAALLAH na afya iliyo njema umri mrefu afya njema ni bure nimekuwa nikijifunza mengi na kufarijika kila nisomapo vitabu vyako natama kuoaza sauti ili kila mtu asome vitabu vyako nimesoma juzi kati katabu cha mkombozi wa family kuna page ya mahusiano na family yani ni km umeniandikia mimi jmn km watu wanaweza bac wengenunua hiki kitabu na wakakisoma Mwenyezi Mungu akubariki sana hii video imenigusa sehem nyingi ni vile cwezi kueleza yote ❤❤❤❤❤
Sijawahi juta toka nikufarilie,nilikua natamani nisome lakini nilikatishwa shule nikiwa darasa la nne kutokana na maisha yetu,nikawa nafanya kazi za ndani nilichoka nikaolewa mume akanitesa sana nikaachana nae akanipokonya watoto ,Mungu akanijalia nikapata kazi ,omani hivi sasa nipo nchini Dubai hakika ni kwaneema ya Mungu nimeweza jenga na kumjengea mama yangu ninahitaji siku nifungue mgahawa mkubwa Dodoma naamani inawezekana kwa neema ya Mungu. Mungu akubariki sana @Joel Nanauka
Mimi niliambiwa na fundi wangu alokuwa akinifundisha kushona , alinambia we hauwez kufanya chochote kwa hii kazi bora ukalime nyumbani , ila sikukata tamaa nimesimama na mpaka sasa nimekuwa fundi bora kumshinda
Kujiamini ni nguzo muhimu sana.Maisha ni mtihani usiyoisha maswali.Tunatakiwa kuwa imara Sana kiakili Ili tuweze kufanikisha malengo yetu.Mungu azidi kukubariki Joel Nanauka,Great Inspiration.
Kwaza na mushukuru mungu kwa kuzidi kunipa nafasi na ya ku endeleya kuku sikiliza Niliwayi kuwambiwa kuwa Sito weza kununuwa viwaja wala ku jenga vikanitiya hasira nikapeka hasira zangu kwenye ku pambana aliye nambiya ni ndungu ni kapata nafasi ni kasafiri Saudi Arabia mwaka 2019 nikaaza kazi ni liyaza kuku sikiliza siku nyingi ni ka tuma mtu aniwuziye vitabu byako akaniyagiziya sikujali garama ili binifikiye nili hakikisha na bipata nikaza kusoma Kwa Sasa nina viwaja na manyumba na byashara niliyo iyazisha aliye nambiya siwezi chochote ndiye niliye muwajiri na Sasa mimi joo boss wake na account ina soma vizuri I'm 26 years alhamdulillah never give up Mungu azidi kuku bariki ume nikuza ki akili ❤🇧🇮
Siku zote nikikusikiliza napata nguvu umebadili maisha yangu toka 2019 nilipo maliza chuo nikiwa Sina mtaji nikakusikiliza ukanipa nguvu na Leo nimejiajiri Asante sanaaaa
I lost my parent at a young age, and the people I expected them to lift me up don't show. Now, I have 26 years. Indeed, I have a mental toughness, but I still wanna be extraordinary and wanna improve on these 7 tips . Life never goes easy but we human beings get tough. Thank you Joel 😊 this story made me cry. Let me know which seminar of yours can i join I really like your speech.
Kaka, sina la kusema. Hongera kwelikweli. Umeletwa na Mungu. Twende mbele. Kanyaga twende ndugu yangu. Bado hujafika nyumbani. Kwa kazi hii nzuri, bado unalala chini kabisa. Na godoro bado huna. See you kuleeeeee KING
Naam ndugu, nashkru siku moja moja unatuzawadia dakika za kutoshaa..Kama hii leo dk. 71. Somo la leo nalipokea Kama zawadi ya Krismasi & Mwaka mpya 2024. Salaam toka 🐟 Mwanza. "Usisubiri kila mtu aone unachoona ndipo uanze Safari yako"(spiritual toughness)
Maumivu ya kukataliwa ni madogo sana kuliko maumivu ya kutofanya ulichotakiwa kukifanya.KUKATALIWA MAANA YAKE HUJAELEWEKA KABORESHE TENA ULICHO LETA.When you learn more you earn more.
Ahsante MUNGU wangu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo,na shukrani za kipekee zikuendee ww kaka Joel Ahsante sana Kwa mafundisho Yako yanazidi kuniimarisha kuwa Bora kila iitwapo Leo mungu akubariki sana nd I appreciate you ❤❤❤
Brother joel nilikutana na wewe karibu na mwaka tower z o office, nilisau kukuomba picha Am so excited to see One day i will meet you again if god wish
Bro Joel, hongera Sana, kila niangaliapo kazi zako, napata hamasa ya kuongeza bidii katika kuboresha kuyafanya yaleambayo ni kwa ajili ya wengine kupata kufungu nguliwa kwa uzuri wa kuyafikia malengo yao kadhalika na Mimi katika yangu, mwenyezi Mungu mwenye Rehema akuongoze na kukupigania daima katika kutimiza kusudia alilo kutuma
Wafanya kazi za ndani hasa mlioko nje nawapenda Sana Sana sana hongereni Kwa ujasili japo mwanzo sio kitu chepesi lakini Kwa msaada wa Mungu Maisha yetu ni sawa na wasomi maana tuna alama za kuonyesha ktk utendaji kazi wetu tuzidi kupambana tu Mimi nimwenzenu Mungu hajatuacha labda tumuache sisi
Mungu akubariki kupitia masomo yako nimevuka vipindi vigumu na leo mm ni mama mshindi hakika nitaendelea kuamin yote ninayoyaona moyoni mwangu na ninaiman yanatokea.
Joel Arthur Nanauka...Top Academy safi, ila plan kufungua Chuo kabisa, ili hizi shule ziweze kuwa na mtaala rasmi, ambao hautakufa na kuondoka na wewe...Thanks for sharing this with us.
Nina jitaidi sana kukufatilia agarau kile nilicho kosa darasani agarau nipate ata kidogo kwako ninacho oba mungu akulinde akupe afya jema ware tulio nahamu nashauku ya kujifuza kwako tuederee kunifuza
Nilikata tamaa nakujiona sistahili kabisa . Ila kuanzia Leo nyanza kujiona mimi ni bora zaidi naninaweza kufanya mambo makubwa pia najiona ni mtu mwingine
no retreat no surrender!! it is not over until its over !I feel impowered impressed with your strongest and fruitful speech!! in my journey to my future endeavour!! thank you in advance!!!!!
😂 mimi nawaambia familia yangu kwamba mimi ni tajir wanacheka na kunikosoa lkn nawaambia nyie subilini na napambana kweli kwel na kumuomba mungu kile ninacho kitaka na nina lmani nitakuwa boss lady soon watanisalimia kwa heshima never give up
Huyu ndo mentor wangu kitambo,,ndo kanifanya nafanikiwa...huyu jamaa anapaswa...akupe maisha marefu sna
Mwanangu joel God bless you nimekua nikifatilia vipindi vyako nimegundua kuwa mungu anakusudi kubwa kwako ili kuwaokoa wana wa israel wa kizazi hiki sasa, joel wanangu mungu azidi kukulinda wazushi,natamani npate mawsiliano yko wanangu,kuna neno unisaidie,
Asante sana professor Joel nakumbuka 2013 nilikua nafatilia passport ili naende zangu Oman 😅nikawa namwambia sister nikifanikiwa nataka kujenga nyumba nitanunua gari tutaishi km watu wengine vile wanaishi😅😅😅alinicheka wakati huo mshahara ilikua laki 2.5 tu bac imechukua muda kufika kununua kiwanja nikaanza kujenga na now tunaendea kumalizia ujenzi sasa hivi yy alieye nicheka ile siku namwambia kuhusu kujenga ndio ananihamasisha kumalizia nyumba haraka so kukataliwa tunakataliwa hata na watu wetu wakaribu maana hawaamini kile ambacho unataka kujifanya akifikiria kazi yenyewe ni kazi ya ndani sikukata tamaa kutoka kwenye shahara wa laki 2.5 mpaka sasa napata mshahara ambao kuna watu wamesoma na wapo oficn wanaringa bado lkn hawapi mshahara ninao pata na sina hata mtu wakunipa maneno mazuri ila huwa najifariji mwenyewe nikijiangalia kwa kioo najiambia never give up 😂😂😂zulfa
Hongera Zulfa kwa ushuhuda wako huu, inatia moyo na inathibitisha kuwa kama mtu hatakatishwa tamaa na maneno ya watu wengine, basi anaweza kutimiza ndoto na malengo yake.
Mamboo
@@joelnanaukaasante sana kaka Joel Mwenyezi Mungu akuoe umri mrefu INSHAALLAH na afya iliyo njema umri mrefu afya njema ni bure nimekuwa nikijifunza mengi na kufarijika kila nisomapo vitabu vyako natama kuoaza sauti ili kila mtu asome vitabu vyako nimesoma juzi kati katabu cha mkombozi wa family kuna page ya mahusiano na family yani ni km umeniandikia mimi jmn km watu wanaweza bac wengenunua hiki kitabu na wakakisoma Mwenyezi Mungu akubariki sana hii video imenigusa sehem nyingi ni vile cwezi kueleza yote ❤❤❤❤❤
@@lutherngoma1270poa
Mashaallah 😘🦋
Sijawahi juta toka nikufarilie,nilikua natamani nisome lakini nilikatishwa shule nikiwa darasa la nne kutokana na maisha yetu,nikawa nafanya kazi za ndani nilichoka nikaolewa mume akanitesa sana nikaachana nae akanipokonya watoto ,Mungu akanijalia nikapata kazi ,omani hivi sasa nipo nchini Dubai hakika ni kwaneema ya Mungu nimeweza jenga na kumjengea mama yangu ninahitaji siku nifungue mgahawa mkubwa Dodoma naamani inawezekana kwa neema ya Mungu. Mungu akubariki sana @Joel Nanauka
Hongera sana sana, Pole kwa mapito magumu na hongera kwa ujasiri wa kuchukua hatua.
Keep it up, Mungu aendelee kukupigania.
@@joelnanauka🎉
Hellow sir@@joelnanauka
Nimeongeza kitu kikubwa sana leo
Big respect Mr nanauka kiukweli bila kuficha unajua already I transform my mind because of you!!!!
Nguvu ya imani kiroho katika Mungu wetu ni msaada mkubwa na Ushindi thabiti .
Bro Tokea nianze kukufuatilia January 24 hii Maisha yangu yamebadilika Sana MUNGU akupe Maisha malefu kwa lengo LA kukomboa hiki kizazi Amen
Tuko wengi tunao mfatilia Kwa mwaka 2024
Yani wewe Joel ulizariwa kwa ajiri yetu naamini kila anaekufatilia lazimaaaaa atoke atua hi nakupanda atua nyingine Mungu akubariki sanaaa❤❤❤
Mimi niliambiwa na fundi wangu alokuwa akinifundisha kushona , alinambia we hauwez kufanya chochote kwa hii kazi bora ukalime nyumbani , ila sikukata tamaa nimesimama na mpaka sasa nimekuwa fundi bora kumshinda
Believe in what you do and be yourself i
God bless you, it's very powerful speech
Kujiamini ni nguzo muhimu sana.Maisha ni mtihani usiyoisha maswali.Tunatakiwa kuwa imara Sana kiakili Ili tuweze kufanikisha malengo yetu.Mungu azidi kukubariki Joel Nanauka,Great Inspiration.
Hivi mna uhakika Joel nanauka ni mtu wa kawaida?????? Kama ni mtu wa kawaida basi mungu kampendelea sana 😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎄🎊🎊🎊🎊
Nani kasema wakawaida😅huyu n malaika mbona mwenye vityu vyake
51:42 Ninachokipata kwenye speech zako kinanipa nguvu sana. Mungu akubariki maana nimebadirika na kujifunza mengi.
hakika unaishi kusudi lako bro, maana kupitia wewe mimi nahamasika nikiamini na wengine pia wanahamasika! 🙏🙏🙏🙏
Kwaza na mushukuru mungu kwa kuzidi kunipa nafasi na ya ku endeleya kuku sikiliza
Niliwayi kuwambiwa kuwa Sito weza kununuwa viwaja wala ku jenga vikanitiya hasira nikapeka hasira zangu kwenye ku pambana aliye nambiya ni ndungu ni kapata nafasi ni kasafiri Saudi Arabia mwaka 2019 nikaaza kazi ni liyaza kuku sikiliza siku nyingi ni ka tuma mtu aniwuziye vitabu byako akaniyagiziya sikujali garama ili binifikiye nili hakikisha na bipata nikaza kusoma
Kwa Sasa nina viwaja na manyumba na byashara niliyo iyazisha aliye nambiya siwezi chochote ndiye niliye muwajiri na Sasa mimi joo boss wake na account ina soma vizuri I'm 26 years alhamdulillah never give up
Mungu azidi kuku bariki ume nikuza ki akili ❤🇧🇮
Shukhani Sana
Hongera sana sanaaaaaa👏🏻👏🏻👏🏻
Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu Mr.....💪💪💪
Siku zote nikikusikiliza napata nguvu umebadili maisha yangu toka 2019 nilipo maliza chuo nikiwa Sina mtaji nikakusikiliza ukanipa nguvu na Leo nimejiajiri Asante sanaaaa
I lost my parent at a young age, and the people I expected them to lift me up don't show. Now, I have 26 years. Indeed, I have a mental toughness, but I still wanna be extraordinary and wanna improve on these 7 tips . Life never goes easy but we human beings get tough.
Thank you Joel 😊 this story made me cry.
Let me know which seminar of yours can i join I really like your speech.
Asante kaka kwa elimu bora na maarifa unayotupatia,mungu akupe maisha marefu,kwani elimu unayotupatia huwezi kuipata sehemu nyingine bali ni kwako tu.
Amen, ahsante sana kwa mrejesho🙏
Kaka, sina la kusema. Hongera kwelikweli. Umeletwa na Mungu. Twende mbele. Kanyaga twende ndugu yangu. Bado hujafika nyumbani. Kwa kazi hii nzuri, bado unalala chini kabisa. Na godoro bado huna. See you kuleeeeee KING
Bro najua mungu amekuwekaa kwaaajili ya watu wengi sana🎉
Thanks Dr Joel. Nilikta tamaa ya kusoma zaidi lkni now na desire ya sku moja kuwa na Dr kma wwe now na BA ya utalii, one day ntakuwa proffedsor kbisa
Unachokipata nijuhudi zako,ili kiwasidia wazazi wako,mwenyezi Mungu atupe nguvu na uimamara wa kuwajengea nyumba.
Hakika nimejikuta mpyaaaa baaada ya hili somo MUNGU wangu akutunze saaana kwaaajili ya utukufu wake
Ameen Ameen
Mungu akubariki. Mungu amekutuma kuongea nami asanti mumy
Joel Joel Joel you're special one nadhan inabidi serikali ikupe heshima inayo stahili
Naam ndugu, nashkru siku moja moja unatuzawadia dakika za kutoshaa..Kama hii leo dk. 71. Somo la leo nalipokea Kama zawadi ya Krismasi & Mwaka mpya 2024. Salaam toka 🐟 Mwanza. "Usisubiri kila mtu aone unachoona ndipo uanze Safari yako"(spiritual toughness)
Sawa sawa nashukuru sana, nimepokea pia na ushauri wako🙏
Ahsante Sana Mr.Joel Mungu akupe Umri Mrefu ili tupate Elimu zaidi
Ninashukuru sana, Mungu akubariki sana, umenipa akili mpya.
Maumivu ya kukataliwa ni madogo sana kuliko maumivu ya kutofanya ulichotakiwa kukifanya.KUKATALIWA MAANA YAKE HUJAELEWEKA KABORESHE TENA ULICHO LETA.When you learn more you earn more.
Good 👍
Ahsante MUNGU wangu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo,na shukrani za kipekee zikuendee ww kaka Joel Ahsante sana Kwa mafundisho Yako yanazidi kuniimarisha kuwa Bora kila iitwapo Leo mungu akubariki sana nd I appreciate you ❤❤❤
Historia ya familia yangu na historia yangu huwa kila siku nikiifikiria inanifanya niiue kweli Mungu anaishi
Akuna mafanikio mazuri kama Yale uliambiawa Ayawezekani barikiwa sna kaka joel
Asante professor. Very pure words. Filled by wisdom. Live long brother. As a society, we need your teachings. Keep going!
Ahsanteeee
Kiukweli kaka Joel nlikuwa nimekata tamaa mimi ila hii clip imenipa nguvu na naamin ntafanya vilivyobora zaidi na sintokata tamaa kamwee
Mungu hakulinde
Umenitoa mbali maneno yako ni zaidi ya faraja.
Ameen Ameen, nashukuru sana🙏
As long as I breathe I’ll never give up in my life 🙏
No giving up💪🏼
As long as breath I'll never give up in my life.
Barikiwa sana mentor wangu🙏✅
Leo ndio nimepata bahati ya kusikiliza kiongoz wangu live 🙏🙏
Nashukuru sana🙏
@@joelnanauka🎉
Brother joel nilikutana na wewe karibu na mwaka tower z o office, nilisau kukuomba picha
Am so excited to see
One day i will meet you again if god wish
What a powerful presentation God bless you bro uwa natulia lisaa na zaidi kupata masomo yako hapa TH-cam
Asante sana Nimejifunza kitu kupitia hili
Kaka joeli uko vizuri Nina tamani kuwa kama wewe kwenye misimamo
Tuendelee kujifunza🙏
@@joelnanauka amina
GOD bless you uncle this is all about me...from now on am changing
1:02:57 "Kuwa na furaha ni maamzi yako wewe mwenyewe ". Nimeipenda.
Bro Joel, hongera Sana, kila niangaliapo kazi zako, napata hamasa ya kuongeza bidii katika kuboresha kuyafanya yaleambayo ni kwa ajili ya wengine kupata kufungu nguliwa kwa uzuri wa kuyafikia malengo yao kadhalika na Mimi katika yangu, mwenyezi Mungu mwenye Rehema akuongoze na kukupigania daima katika kutimiza kusudia alilo kutuma
Wafanya kazi za ndani hasa mlioko nje nawapenda Sana Sana sana hongereni Kwa ujasili japo mwanzo sio kitu chepesi lakini Kwa msaada wa Mungu Maisha yetu ni sawa na wasomi maana tuna alama za kuonyesha ktk utendaji kazi wetu tuzidi kupambana tu Mimi nimwenzenu Mungu hajatuacha labda tumuache sisi
Mungu akubariki kupitia masomo yako nimevuka vipindi vigumu na leo mm ni mama mshindi hakika nitaendelea kuamin yote ninayoyaona moyoni mwangu na ninaiman yanatokea.
Tunaweza semaa wewe nkama malaika hapa dunian kazi yako nkutoaa ukomashimonii kwenye frikaa finyuu i will never go down
usikufuru
Amen be blessed 🙏🙏🙏
Suala la emotional toughness. Asante sana🙏🏽. Emotional situation ina affect hadi uvaaji na muonekano pia🙌🏽. Ubarikiwe mno Joel Nanauka
Amen Amen, nashukuru sana
Umenigusa san dr Joel
Be Blessed..😇😇😇
🎉🎉🎉maua yote ndio yakupasayo mentor of all mentors
Mimi nikijana ila nimejifunza vitu vingi sana kwako Joel nanauka na nitaendelea kujifunza❤❤
Knowing you at my Fifties 😂nabaki kusema "It is never late"my success is in my mind.
May God keep you for this generation.
Keep going no matter the age🙏
JOEL MUNGU AKUINUE SANA NA MAFANIKIO YAKUANDAE KWA AJILI YA KUSIMAMA KWA UPANDE WA MUNGU UWABARIKI WENGINE SANA
Mungu akubariki sana kaka Joel certified life coach.
Kaka nakushukuru sana kwa mafundisho hakika wewe ni mtu wa mhimu sana kwangu hakika sijutii kukufatilia Mungu akubarik umenifundisha mengi
Joel Arthur Nanauka...Top Academy safi, ila plan kufungua Chuo kabisa, ili hizi shule ziweze kuwa na mtaala rasmi, ambao hautakufa na kuondoka na wewe...Thanks for sharing this with us.
Joel Joel Joel nmekuita Mara tatu saut yako Ni mwangaza mungu ambaliki mama ako🌟🌟🌟
Amen Ameen
Tunabarkiwa sana na elimu yako brother Mungu akupe maono zaid na zaid 🎉🎉🎉
Nina jitaidi sana kukufatilia agarau kile nilicho kosa darasani agarau nipate ata kidogo kwako ninacho oba mungu akulinde akupe afya jema ware tulio nahamu nashauku ya kujifuza kwako tuederee kunifuza
Amina
POWERFUL MESSAGE (NAKUMBUKA KISA CHA SEVEN UP)
Mafundisho mazuri saana
Hata mimi nilishawahi kukataliwa,lakini sasa niko vizuri sana.
Mungu akubariki kaka . Mume wangu aliniambia nikishindwa kuish na yy hakuna mwanaume anaeweza kuish na mimi.
Asante umeinipa nguvu yaku songa mbele.
Successful people always seek mentorship ,to me Mr Joel Nanauka you're my mentor
Chenye napenda zaidi nikuwa tunachambuliwa kwa lugha ya mama tunanauka vizuri kabisa mbali lugha za kigeni hongera sana mkuu..
❤
Umenifunza kuwa imara mungu akubariki sana bro
Nimepata nguvu ya kusimama tena kwenye malengo Yangu kupitia somo hili hakika nimejifunza mambo Mengi
Ubarikiwe sana Mwalimu
Nakupenda sana kaka Joel MUNGU akuinue zaidi MUNGU akuzidishie
Nimejifunza kitu kipya,asante sana
Nilikata tamaa nakujiona sistahili kabisa . Ila kuanzia Leo nyanza kujiona mimi ni bora zaidi naninaweza kufanya mambo makubwa pia najiona ni mtu mwingine
🙏🙏🙏leo nimepata nguvu mpya kabisa😀😀kuanzia leo sitoogopa tena rejection
no retreat no surrender!! it is not over until its over !I feel impowered impressed with your strongest and fruitful speech!! in my journey to my future endeavour!! thank you in advance!!!!!
😂 mimi nawaambia familia yangu kwamba mimi ni tajir wanacheka na kunikosoa lkn nawaambia nyie subilini na napambana kweli kwel na kumuomba mungu kile ninacho kitaka na nina lmani nitakuwa boss lady soon watanisalimia kwa heshima never give up
Ubarikiwe San mungu akulinde akupe afya uzima umri mrefu nizidi kujifunza 🙏🙏🙏
Ubarikiwe
Powerful teaching barikiwa sana mutumishi wa MUNGU ❤
Je suis 🇰🇪 kenyan et j'adore vos cour.
Namshukuru Mungu kwa ajili yako,🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Asnte kakaangu wewe ni watofaut sana Mungu akutunze uzidi kutuamsha
Joel..nitakuja kutoa ushuuhuda live 💪💪❤❤barikiwa kaka
Thanks bro Nanauka
kwakweli nimejifunza mengi sana kutoka kwako, Mungu akutanguliye katika safari hii, umetusaidiya wengi kwakweli
Joel! Nice having u
Mungu akulinde kaka Joeli tunajifunza mengi kupitia wewe
Be blessed brother 🙏
22:31 very uplifting🙏
Mungu akupe maisha malefu sana
Funzo zuri sana ktk maisha. Jitahidi sana kuifikia new generation taifa litapona
Shukrani sana kiongozi hakika kuna kitu hapa nimejifunza, Mungu akubariki sana.
Nmejifunza kitu kikubwa Ubarikiwe sana❤
Ubalikiwe sana kaka,yananijenga sana mafundisho yako.
Mungu azid kukubaliki
Ameenn
Daima sitakata tamaaa💪
Nmeikuta hii leo live nmefurahi sana nipo pamoja na wewe kaka joel