Kazi za ndani Dubai | Malipo ni Mazuri | Kunyanyaswa? Tunavumiliana | Agents walikuwepo

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • Yusra ni mmoja wa Watanzania wanaofanya kazi Dubai. Kazi yake ni Msaidizi wa kazi za ndani kwenye familia moja ya Wazawa hapa Falme za Kiarab. Anaweka wazi baadhi ya mambo ambayo hayajulikani kwa wengi na kuondoa wasiwasi kwa wale ambao huwa wanasikia taarifa tofauti kuhusu watu kutoka Afrika mashariki wanaofanya kazi kwenye nchi za Kiarab.
    ‎@Wasafi Media @cloudsmedia ‎@Ikulu Tanzanial
    ‎@ITV Tanzania @kitenge ‎@Citizen TV Kenya ‎@Azam TV @mpoki ‎@Joti TV @tbconline

ความคิดเห็น • 86

  • @marymwapiya1274
    @marymwapiya1274 8 หลายเดือนก่อน +16

    Mimi nimekaa miaka 8 kwa boss mmjo saizi ndo namalizi namshukuru Mungu kwa kweli siyo rahisi kihivyo ni kuvumiliana tu na vitu nimekuwa navizuia sana ni kukaa kimya akiwa ananifokea atafoka na akiona simjibu anaondoka ,kunasiku akasema kwanini nikikusemesha mbona hujibu nikamwambia wewe umenizidi na siwezi kujibizana na wewe toka siku hiyo hajawai nifokea anasema kwa usitaarabu, kila kitu ni kumtanguliza Mungu akukutanishe na watu sahihi .

    • @ZolfaZolfa-hu9oc
      @ZolfaZolfa-hu9oc 6 หลายเดือนก่อน

      Mambo

    • @RozRoz12-d4d
      @RozRoz12-d4d 5 หลายเดือนก่อน

      Sasa iv kwa madam wangu namiaka 8

    • @salmaebrahim2058
      @salmaebrahim2058 4 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli pia hata mm pia Niko miaka kumi na 16 na Boss uyu uyu pia kuvumiliya ndio kikubwa nakuomba mungu akupe Afya na subira

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 11 หลายเดือนก่อน +16

    Mimi nipo oman mwanzo nikuwa kwa mamake sahivi nipo kwa mwanawe niko na mika 4 kwa mwanawe wala sibadilishi nyumba hana shida tunavyumiliyana kila mtu na mapungufu yake alhadulilah🙏🏽🙏🏽🙏🏽

    • @yusraally7264
      @yusraally7264 11 หลายเดือนก่อน +3

      Hongera mpambanaji mwenzangu. Kwakujitambua na kuwa mvumilivu .... hakuna kukata tamaa mpaka kieleweke inshaallah .... Asante kwa maoni yako

    • @noely-A
      @noely-A 7 หลายเดือนก่อน

      Yas

    • @BertinaCharlie
      @BertinaCharlie 7 หลายเดือนก่อน

      ​​@@yusraally7264Hongereni Dada zetu ila msifanye ile michezo ya kuwategemea ndugu wadogo au wengine hata wazazi wetu kwa kuwaamini kuwatumia hela nyumbani kwajili ya kujenga nyumba ili kesho na keshokutwa unasema unarejea nyumbani ukatulie sehem nzuri kwa mapambano ya miaka yote hiyo maana wengi wamelia kwa kuwaamini ndugu na wazazi mwisho wa siku unakaa miaka Mungu bila mafanikio wakija kukagua vituko tupu kilio au plesha nakupelekea kifo Mungu awabariki awalinde na kuwaongoza Dada zetu

    • @pendoEmmanueli
      @pendoEmmanueli 6 หลายเดือนก่อน

      namimi naomba unitafutie kazi

    • @ZolfaZolfa-hu9oc
      @ZolfaZolfa-hu9oc 6 หลายเดือนก่อน

      Mambo

  • @felisterndeule-oc3yv
    @felisterndeule-oc3yv 5 หลายเดือนก่อน +6

    Kazi yoyote Ni uvumilivu

  • @jovithajoel7296
    @jovithajoel7296 11 หลายเดือนก่อน +4

    Ardhi ya wajukuu wa mtume😊. Asante Kwa kunielimisha.

  • @salmaebrahim2058
    @salmaebrahim2058 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kazi yoyote ni kuvumiliya na kujiamini na pia eshima ndio muhimu mnooooooo kwenye kazi mm pia Niko kitambo Sana hapa Dubai ivyo tuko pamoja mnooooooo mpendwa wetu dada yusra

    • @hatua123
      @hatua123  4 หลายเดือนก่อน

      Shuhuda kama hizi zinabeba maana sana kwa wale wenye kutafuta taarifa ili wapate kufanya maamzi. Shukurani kwa kutoa ushihuda huu

  • @MonadiNadi-j6s
    @MonadiNadi-j6s 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mm Nina miaka Kumi nyumba moja nashukru mungu 👏

    • @hatua123
      @hatua123  14 วันที่ผ่านมา

      Hongera sana Moambanaji! Ikawe heri katika yote

  • @KassimAbdalla-vl6jw
    @KassimAbdalla-vl6jw 11 หลายเดือนก่อน +6

    Umepata muajir mwema2 ni jambo la kushkuru mungu

  • @shamimucollectiondubai9727
    @shamimucollectiondubai9727 5 หลายเดือนก่อน +2

    Yusra good

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 9 หลายเดือนก่อน +3

    Napenda sana dubai kujakufanya kanzi

  • @FARAJIFADHILI-v6x
    @FARAJIFADHILI-v6x หลายเดือนก่อน

    Ni kweli ninaomba mungu anikutanishe na watu sahii

  • @ConfusedClipperButterfly-rk1gz
    @ConfusedClipperButterfly-rk1gz 5 หลายเดือนก่อน +2

    Allahmdulilah Nina miaka9 HP Dubai ktk nyumba 1

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft 4 หลายเดือนก่อน

      Ivi mnawezaje kukaa sehem moja mda mrefu ivyo !?

  • @EddahBure-te7ft
    @EddahBure-te7ft 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mm kwa kweli kama kuna ya kuajiriwa hata hotelini kuosha vyombo niko radhi kuliko hiyo ya kulala kwa mtu miaka miaka siwezi jmn

  • @halimapwagu3091
    @halimapwagu3091 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu atubaliki wapambanaji wote ti. Galfu wake na wakiume

    • @hatua123
      @hatua123  5 หลายเดือนก่อน

      Ikawe heri na kwao wote tunaowapigania

    • @sospeteralex378
      @sospeteralex378 3 หลายเดือนก่อน

      Kama Una passport nijulishe

  • @sadasaid4408
    @sadasaid4408 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kuvumilia tu, na kuweka malengo yako kichwani, mimi miaka 18 omni Alhamdulilah nyumba moja na sasa niko Tz nimepumzika

    • @TatuTatu-f1v
      @TatuTatu-f1v 3 หลายเดือนก่อน

      Mashaallah jiyo kweli jata mimi pia

    • @TatuTatu-f1v
      @TatuTatu-f1v 3 หลายเดือนก่อน

      Nikweli kabisa hata mimi pia nimo miaka Kazaa nimo njumban 1

  • @LucyTesha
    @LucyTesha 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli kabisa

  • @kashurusho863
    @kashurusho863 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ruga sasa ndo tatizo mnawezaje

  • @PaskaziaJohn-c3k
    @PaskaziaJohn-c3k 7 หลายเดือนก่อน +1

    Naipateje kax

  • @noors7030
    @noors7030 5 หลายเดือนก่อน +5

    Samahanini jamani Dubai sio nchi ya wajukuu wa mtume sala Allah walehi wasallm hio sio makka wala Madina ni Dubai hahusiki namtume s A alehi wasallm

    • @hatua123
      @hatua123  5 หลายเดือนก่อน

      Sawa. Tumepokea rekebisho

  • @SadahMohammed-c3e
    @SadahMohammed-c3e 5 หลายเดือนก่อน +2

    Habari mm nna mdogowangu ana passport ila ajapata chansi ya kazi na anataka kutoka aka fanya kazi naomba msaada

  • @pillyseleman8090
    @pillyseleman8090 5 หลายเดือนก่อน +1

    Vigezo sio tatizo tatizo hata kwa ajenti laki tano juz tu mtu katoa ,kazi kupata kazi ndio mtihani kama kuna maajenti fungukeni watu waje wapambane

  • @wardasaston
    @wardasaston 11 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤❤

  • @AminaYassin-y5r
    @AminaYassin-y5r 5 หลายเดือนก่อน +1

    Na mm naomba nafasi plz

  • @JeskaBayege
    @JeskaBayege 8 หลายเดือนก่อน +3

    Dada na mmnaitaji kazi huko naomba kampan yako dada niko tanzania

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk 4 หลายเดือนก่อน +1

    Swahiba napataje kazi dubai

  • @felisterndeule-oc3yv
    @felisterndeule-oc3yv 5 หลายเดือนก่อน

    Naomba kazi dubai

  • @JaneWalter-m7l
    @JaneWalter-m7l 4 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba mwandishi

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 4 หลายเดือนก่อน +3

    Watanzania tutafute fursa popote pale, wakenya wanatoka lkn sisi tunabung'aa bung'aa,tu!!

  • @rehemayuda6822
    @rehemayuda6822 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dada na mimi naitaji kazi huko naomba kampani yako dada

  • @HajiMnyambwa
    @HajiMnyambwa 8 หลายเดือนก่อน

    habari

  • @LightnessUrio-fo7mq
    @LightnessUrio-fo7mq 5 หลายเดือนก่อน

    Naomba namimi nafasi uko jamn

  • @Gamil-r9o
    @Gamil-r9o 4 หลายเดือนก่อน +2

    Daake naomba namba

  • @hawamafuru6791
    @hawamafuru6791 5 หลายเดือนก่อน +1

    hongera Sana mpambanaji mwenzangu nipo Oman mwaka wa 4 boss mmoja kikubwa ni uvumilivu na uturivu na kujuwa nini kilicho kutoa kwenu na kustahamir hisia za kimapenz hapo utapetaa❤❤❤❤

    • @hatua123
      @hatua123  5 หลายเดือนก่อน

      Hongera na iendelee kuwa heri. Uzidi kutenda yaliyo mema na mavuno utakayotoka nayo huko yalete neema kwa wapendwa wako unaowajali na kuwatakia mema

    • @hatua123
      @hatua123  5 หลายเดือนก่อน +1

      Hongera sana kwa kuendelea kupamba na kujitafuta. Kila kazi ina changamoto yake, kila binadamu ana namna yake jinsi alivyo na wengine wanavyomuona. Ikawe heri kwako na wote wenye kupambana nje ya maeneo yao ya asili.

    • @hawamafuru6791
      @hawamafuru6791 5 หลายเดือนก่อน

      @@hatua123 Ahsante dada kz njema

  • @rebeccajaphet6032
    @rebeccajaphet6032 4 หลายเดือนก่อน

    Dada na mimi natafuta kazi nitakupataje

  • @HabibaIdany
    @HabibaIdany 5 หลายเดือนก่อน +1

    Namimi naomben locetion uko

    • @HabibaIdany
      @HabibaIdany 5 หลายเดือนก่อน

      Naomba namba za uyo dada

  • @RozRoz12-d4d
    @RozRoz12-d4d 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekaha mpaka passport yangu imeisha miaka kumi hapa dubai na nimefanya mpya uku uku dubai namshukuru sana

    • @hatua123
      @hatua123  5 หลายเดือนก่อน

      Hongera. Iendelee kuwa heri kwako na wapendwa wako

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 5 หลายเดือนก่อน +1

    Unajua. Tatizo mtu akipata tatizo kwa mtu mmoja. Anasema waarabu wote wabaya. Hakuna sehemu yenye wabaya watupu. Wala wazuri watupu. Kl binadamu ana mapungufu yake. Mimi nipo Oman. Nna dada amemaliza miaka 7. Mwezi wa 5 anaenda livu na atarudi. Na tupo vizuri tu.

    • @hatua123
      @hatua123  5 หลายเดือนก่อน

      Kila kazi ina changamoto zake. Basi yafaa kujiandaa kuzikabili

  • @timesaid5504
    @timesaid5504 5 หลายเดือนก่อน

    Dada nifanyie mpango na mm nimesha fanya kazi oman miaka 4 nahitaji nije nipambane na dubai

  • @ShemsaKiobya
    @ShemsaKiobya 5 หลายเดือนก่อน

    Dada nisaidie natafuta kazi Dubai jamani

  • @hawamafuru6791
    @hawamafuru6791 5 หลายเดือนก่อน

    Wengine wetu japo sio wote haawajui nn kilicho Watoa kwao wanataka Uhuru ili watoke nje wakatafute mabwana Asa huku hizo mambo hamnaga huku kz Tu mapenzi kwenu Asa Una kuta mtu akikutana na hizo mambo kula anakula mapenz hapat hapo utasikia waarabu wanatunyanyasa wanatufungia ndani hakuna lolote ttz ni hapo ktkt ndo Pana mtihan ukivumilia hisia ukazieka pemben aaaah kwa nn usitobowe?sie kz mabebe nooo

  • @ZolfaZolfa-hu9oc
    @ZolfaZolfa-hu9oc 6 หลายเดือนก่อน

    Hi

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 3 หลายเดือนก่อน

    Dubai au huko Omani watu wanachukuliwa mwisho umri gani kufanya kazi?

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 9 หลายเดือนก่อน +2

    Dada naomba namba zako

  • @ogdosho93
    @ogdosho93 5 หลายเดือนก่อน

    Natoa Nafasi ya wanawake wa5.. mwenye kuwa interested anicheck.

    • @toor8984
      @toor8984 5 หลายเดือนก่อน

      Toa namba ya mawasiliano mmi nataka kazi

    • @MgeniAkilimali
      @MgeniAkilimali 4 หลายเดือนก่อน

      Hata Mimi niko tayari kufanya kazi

    • @rebeccajaphet6032
      @rebeccajaphet6032 4 หลายเดือนก่อน

      Tow namba

  • @RukhsanaOfficial_rukhy-ru7gn
    @RukhsanaOfficial_rukhy-ru7gn 11 หลายเดือนก่อน +1

    Keep it up 🔥💕

    • @yusraally7264
      @yusraally7264 10 หลายเดือนก่อน

      Thanks my dear ❤

    • @Ann-z6q1e
      @Ann-z6q1e 9 หลายเดือนก่อน

      Nami nataman kuja uko naomba namba

    • @marymwapiya1274
      @marymwapiya1274 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@Ann-z6q1e Una passport kuna mtu naweza kuunganisha naye akakufanyia mpango

  • @RozRoz12-d4d
    @RozRoz12-d4d 5 หลายเดือนก่อน

    Mimi namiaka 15 sasa hapa dubai

  • @ZolfaZolfa-hu9oc
    @ZolfaZolfa-hu9oc 6 หลายเดือนก่อน

    Hi