Kazi za ndani Dubai | Malipo ni Mazuri | Kunyanyaswa? Tunavumiliana | Agents walikuwepo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Yusra ni mmoja wa Watanzania wanaofanya kazi Dubai. Kazi yake ni Msaidizi wa kazi za ndani kwenye familia moja ya Wazawa hapa Falme za Kiarab. Anaweka wazi baadhi ya mambo ambayo hayajulikani kwa wengi na kuondoa wasiwasi kwa wale ambao huwa wanasikia taarifa tofauti kuhusu watu kutoka Afrika mashariki wanaofanya kazi kwenye nchi za Kiarab.
@Wasafi Media @cloudsmedia @Ikulu Tanzanial
@ITV Tanzania @kitenge @Citizen TV Kenya @Azam TV @mpoki @Joti TV @tbconline
Mimi nimekaa miaka 8 kwa boss mmjo saizi ndo namalizi namshukuru Mungu kwa kweli siyo rahisi kihivyo ni kuvumiliana tu na vitu nimekuwa navizuia sana ni kukaa kimya akiwa ananifokea atafoka na akiona simjibu anaondoka ,kunasiku akasema kwanini nikikusemesha mbona hujibu nikamwambia wewe umenizidi na siwezi kujibizana na wewe toka siku hiyo hajawai nifokea anasema kwa usitaarabu, kila kitu ni kumtanguliza Mungu akukutanishe na watu sahihi .
Mambo
Sasa iv kwa madam wangu namiaka 8
Ni kweli pia hata mm pia Niko miaka kumi na 16 na Boss uyu uyu pia kuvumiliya ndio kikubwa nakuomba mungu akupe Afya na subira
Mimi nipo oman mwanzo nikuwa kwa mamake sahivi nipo kwa mwanawe niko na mika 4 kwa mwanawe wala sibadilishi nyumba hana shida tunavyumiliyana kila mtu na mapungufu yake alhadulilah🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Hongera mpambanaji mwenzangu. Kwakujitambua na kuwa mvumilivu .... hakuna kukata tamaa mpaka kieleweke inshaallah .... Asante kwa maoni yako
Yas
@@yusraally7264Hongereni Dada zetu ila msifanye ile michezo ya kuwategemea ndugu wadogo au wengine hata wazazi wetu kwa kuwaamini kuwatumia hela nyumbani kwajili ya kujenga nyumba ili kesho na keshokutwa unasema unarejea nyumbani ukatulie sehem nzuri kwa mapambano ya miaka yote hiyo maana wengi wamelia kwa kuwaamini ndugu na wazazi mwisho wa siku unakaa miaka Mungu bila mafanikio wakija kukagua vituko tupu kilio au plesha nakupelekea kifo Mungu awabariki awalinde na kuwaongoza Dada zetu
namimi naomba unitafutie kazi
Mambo
Kazi yoyote Ni uvumilivu
Sawa
Ardhi ya wajukuu wa mtume😊. Asante Kwa kunielimisha.
Kazi yoyote ni kuvumiliya na kujiamini na pia eshima ndio muhimu mnooooooo kwenye kazi mm pia Niko kitambo Sana hapa Dubai ivyo tuko pamoja mnooooooo mpendwa wetu dada yusra
Shuhuda kama hizi zinabeba maana sana kwa wale wenye kutafuta taarifa ili wapate kufanya maamzi. Shukurani kwa kutoa ushihuda huu
Mm Nina miaka Kumi nyumba moja nashukru mungu 👏
Hongera sana Moambanaji! Ikawe heri katika yote
Umepata muajir mwema2 ni jambo la kushkuru mungu
Yusra good
Napenda sana dubai kujakufanya kanzi
Ni kweli ninaomba mungu anikutanishe na watu sahii
Allahmdulilah Nina miaka9 HP Dubai ktk nyumba 1
Ivi mnawezaje kukaa sehem moja mda mrefu ivyo !?
Mm kwa kweli kama kuna ya kuajiriwa hata hotelini kuosha vyombo niko radhi kuliko hiyo ya kulala kwa mtu miaka miaka siwezi jmn
Mungu atubaliki wapambanaji wote ti. Galfu wake na wakiume
Ikawe heri na kwao wote tunaowapigania
Kama Una passport nijulishe
Ni kuvumilia tu, na kuweka malengo yako kichwani, mimi miaka 18 omni Alhamdulilah nyumba moja na sasa niko Tz nimepumzika
Mashaallah jiyo kweli jata mimi pia
Nikweli kabisa hata mimi pia nimo miaka Kazaa nimo njumban 1
Kweli kabisa
Ruga sasa ndo tatizo mnawezaje
Naipateje kax
Samahanini jamani Dubai sio nchi ya wajukuu wa mtume sala Allah walehi wasallm hio sio makka wala Madina ni Dubai hahusiki namtume s A alehi wasallm
Sawa. Tumepokea rekebisho
Habari mm nna mdogowangu ana passport ila ajapata chansi ya kazi na anataka kutoka aka fanya kazi naomba msaada
Nitafte
Vigezo sio tatizo tatizo hata kwa ajenti laki tano juz tu mtu katoa ,kazi kupata kazi ndio mtihani kama kuna maajenti fungukeni watu waje wapambane
❤❤❤
Na mm naomba nafasi plz
Dada na mmnaitaji kazi huko naomba kampan yako dada niko tanzania
Swahiba napataje kazi dubai
Naomba kazi dubai
Naomba namba mwandishi
Watanzania tutafute fursa popote pale, wakenya wanatoka lkn sisi tunabung'aa bung'aa,tu!!
Dada na mimi naitaji kazi huko naomba kampani yako dada
habari
Naomba namimi nafasi uko jamn
Daake naomba namba
hongera Sana mpambanaji mwenzangu nipo Oman mwaka wa 4 boss mmoja kikubwa ni uvumilivu na uturivu na kujuwa nini kilicho kutoa kwenu na kustahamir hisia za kimapenz hapo utapetaa❤❤❤❤
Hongera na iendelee kuwa heri. Uzidi kutenda yaliyo mema na mavuno utakayotoka nayo huko yalete neema kwa wapendwa wako unaowajali na kuwatakia mema
Hongera sana kwa kuendelea kupamba na kujitafuta. Kila kazi ina changamoto yake, kila binadamu ana namna yake jinsi alivyo na wengine wanavyomuona. Ikawe heri kwako na wote wenye kupambana nje ya maeneo yao ya asili.
@@hatua123 Ahsante dada kz njema
Dada na mimi natafuta kazi nitakupataje
Namimi naomben locetion uko
Naomba namba za uyo dada
Nimekaha mpaka passport yangu imeisha miaka kumi hapa dubai na nimefanya mpya uku uku dubai namshukuru sana
Hongera. Iendelee kuwa heri kwako na wapendwa wako
Unajua. Tatizo mtu akipata tatizo kwa mtu mmoja. Anasema waarabu wote wabaya. Hakuna sehemu yenye wabaya watupu. Wala wazuri watupu. Kl binadamu ana mapungufu yake. Mimi nipo Oman. Nna dada amemaliza miaka 7. Mwezi wa 5 anaenda livu na atarudi. Na tupo vizuri tu.
Kila kazi ina changamoto zake. Basi yafaa kujiandaa kuzikabili
Dada nifanyie mpango na mm nimesha fanya kazi oman miaka 4 nahitaji nije nipambane na dubai
Dada nisaidie natafuta kazi Dubai jamani
Wengine wetu japo sio wote haawajui nn kilicho Watoa kwao wanataka Uhuru ili watoke nje wakatafute mabwana Asa huku hizo mambo hamnaga huku kz Tu mapenzi kwenu Asa Una kuta mtu akikutana na hizo mambo kula anakula mapenz hapat hapo utasikia waarabu wanatunyanyasa wanatufungia ndani hakuna lolote ttz ni hapo ktkt ndo Pana mtihan ukivumilia hisia ukazieka pemben aaaah kwa nn usitobowe?sie kz mabebe nooo
Hi
Dubai au huko Omani watu wanachukuliwa mwisho umri gani kufanya kazi?
Dada naomba namba zako
Natoa Nafasi ya wanawake wa5.. mwenye kuwa interested anicheck.
Toa namba ya mawasiliano mmi nataka kazi
Hata Mimi niko tayari kufanya kazi
Tow namba
Keep it up 🔥💕
Thanks my dear ❤
Nami nataman kuja uko naomba namba
@@Ann-z6q1e Una passport kuna mtu naweza kuunganisha naye akakufanyia mpango
Mimi namiaka 15 sasa hapa dubai
Mashaallah
No yako dear tupate usaidizi
Hi
Ongera namba namba yako
Mh