HAKUNA NDOA ISIYOKUA NA CHANGAMOTO | WATU WAKIFIKA NG’AMBO WANAKATAA KISWAHILI |NYUMBA ZA IBADA USA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ส.ค. 2023
- @jkizondoswahilibites434 ametupa darasa kubwa sana Leo kuhusu utamaduni wetu waswahili, tamaduni za watu wengine na maisha ya Marekani.
Uislam ambavyo unaheshimiwa nchini Marekani, malezi ya watoto na changamoto zake na jinsi yeye anavyokabiliana nazo.
Ametupatia darasa la ndoa kwa kiasi lakini ni maneno mazuri ya kutia akilini ambapo mwenye akili atayaelewa kwa kina.
Please subscribe to her TH-cam channel kujifunza Mapishi na mengi zaidi @jkizondoswahilibites434
Thank you Jimila Kizondo for allowing this to be online.
www.Oda.international
Jamila mdogo wangu nakupënda wewe ni zaidi ya mwalimu na mwanamke mswahili unayejitambua jazakha allah kheir
Jamani hadi raha kumsikiliza uyu dada, nimempenda ni mpambanaji sana.
That's Our Sis...
Wamombasa Tujuane 👋🏾👋🏾👋🏾
Asante sana dada zangu kwa somo zuri na mungu awabariki sana na mwenye kuelewa ameelewa
Woow nafurahia kuona mmoja wetu akituwakilisha vizuri Mombasa ❤🇰🇪🇰🇪
Asante kwa kutukumbusha kama Wakenya,ila haya yote yanatokana na utafutaji,huwezi enda nchi za wazungu uongee Kiswahili na hawakifahamu,tafadhali tukiwa nchini mwetu tunaongea Kiswhili❤
Nampenda huyu dada mrembo mwenyewe na ana akili namfuatilia kwa kurasa zake na jinsi anavyowafundisha Kiswahili watoto wake mpaka raha❤❤❤❤
Namuomba Allah ajaalie mama jamila niwe mkwe wako nimuoe bint yako
Nakupenda jamila na mimi napenda unavyojidai na tamaduni yako ipo siku nami nitaanza kuonyesha tamaduni yangu ya kitanzania nikiwa haapa oman
Kumbe ilikuepo hii asee🔥
I love my sister jamillah
Ampenda Jamila anavyoishi na familia yke...huwanacheka sana anapo Fanya utani na familia yke. Na mapishi yke..nafuatilia sana ❤❤
She is amazing 🥰
Nimekupenda sana dd , MashaAllah mungu akuzidishie
Nakupenda pia kwa ajili ya Allah ❤❤ Ameen
Amiin
Nimekunda bure dada tunaendelea kupata madini
Ubarikiwe 🙏
Mashallah dadangu wewe ni mama bora kwa watoto allah akuogoze inshallah nahasiliyako Alhamdulillah
moja kati ya interview bomba sana African kabisa chawa wa wazungu nyie ndio kiboko yao big up
Dada shena hongera sana kwa hiki kipindi chako huyo dada anafundisha sana watu wajue maisha mazuru yakuwaje ili uwe nayo , wewe mtu!. Dada Asante sana hapa Kila aliekuwa na sikio asikie na kufunguka😊
Masha Allah nimejifunza kitu leo🥰🥰🌹🌹😘thank you jamila. Allah akuhifadhi. 🌹Allah akulipe kwa faida nilioipata kupitia wewe🌹🌹
Hakika tumejifunza wengi
Wengi wakifika nchi km hizi hubadili maadili lkn ww na mimi na wengine bado twajistir ingawa ni changamoto twaonekana washamba ila tupambane dunia na akhera
Nzuri sana asante dada jamila ❤
Umenifurahisha kwa suala la hao hawataki kusema wao Africans
Masha Allah tabarakaallah Allah awazidishie kwa kila kheir Kwa juhudi zenu mumetupa mafunzo mazuri na maneno kuntu nawapenda bure ❤❤❤
I wish insha Allah namm nitaenda USA na napenda sana nikaishi Atlanta Georgia au Minnesota miniepolis
Dada umenifurahisha sana na umenipa sababu ya kupambana maana na mm napenda kupika sana na ninatafuta fursa Ili niitumie vizuri
Shukran sana nafurahi kusikia hili❤
Vizuri dadangu hongera kwa sanaa
Shukran sana ❤
MashaAllah tabara Rahman
Umesema neno mzuri SAANA Iyo Ni funzo Kwa jamii
Wewe una SoMo mawaidha tosha
Dashena leo pua mbona km unataka tuletea odo hivi😂😂au macho yangu tu jmn
MashaAllah sister Jamila umetupa sote sote hata waarabu hujatuacha umetupasha....😂😂😂
Jamila kizondo air line😂😂inshaallah mola akujalie
Amiin
Asante sana dada Jamila kuwa kutusaidia watu tunaokaa nje umejibu maswali mengi sana ❤❤❤❤
Manshallah jazakalahu khail ❤❤❤❤
Shukran sana
😂😂😂😂😂nimefurahi.....mpaka....nacheka wakati wote....Mashallah Dada Jamila...........Allah akuongoze.....akupe maisha...marefu.............
Asante Dada Jamila Blessed
Nampenda huyu Dada❤❤❤❤❤ ananifurahisha Sana, anachekesha😂😂😂😂
Uko vizuri sana dada Jamila. MUNGU akubariki!❤
Mpishi mwenzangu. Asante sana kwa hii video Nimejifunza kitu.
Love her so much ❤ 💕 💗
Asante kwa funzo la ndoa dada❤❤❤❤❤
Good job dadaetu Shena ubarikiwe sana
'alhamdulillah'
umeongea kweli yako,allah akuongoze wewe
na familia yako.
ameen
Ameen Shukran sana❤
Nakupenda sana jamila mdogo wangu nakupenda sana vituko vyako vyanikocha🎉
MashaAllah da Jamila umeongea vizur Sanaaa Allah akulipe kher InshaAllah nakufuatilia sana na ninakupenda sana kutokana na jins unavyoish ktk missing ya din pamoja na familiar yako Allah awalinde Amin yarrab 🤲 ❤❤❤❤
Dada nimekupenda buree umetujibia maswali vizur❤❤❤
Da Jamila Kizondo ana kiswahili kizuri sanaa sanaa
Kiswahili cha mombasa
Dah dada jamila umenifumbua macho vitu vingi sana, nmekuelewa sana sana mungu akubariki leo dunian na akhera🙏
Jamila umenifunza vitu vingi hapa shukran Nakupenda dadangu
Safi dada
Mimi ni msomi pia. Nina degree mbili. Napenda kupika . Anna nianze napi kutumiz kipaji change. Inspiring story.
Mashallah Mungu akuhifadhi
Mashaalah hachoshi kumzikiliza
Mashallah
Wallah huyu dada napenda sana hasa nilianza kumfuatilia kwenye ile clip yake yeye na mumewe ya Vitombuaaa vitombuaaa heeey mahamriii mahamrii anajitahidi sana kuendeleza utamaduni wake na kujivunia kiswahili
Mwenyezi mungu akutangulie
Kweli dada uko sawa kabisa wewe dadangu yani masha allah tabarakaallah
Dada mzuri Safi Sana
Shukran sna dada Jamila nimekupenda bureee nimejifunza vitu hapa
Jomani Nakupenda Ww Dada... I wish I wish Tuonane
Jamila leo umenikosha kwa ukweli wa watu wanaokataa kwao hasa wale wa Arabuni ♥️
Aaah da Mkubwa ni hasara hizi za ndugu zetu kujikataa watokako, wanajidhalilisha mno aisee! Shukran kwa comment dadangu ❤️
@@jkizondoswahilibites434 interview nzuri mashallah nimejifunza mengi tu..Take care
@@jkizondoswahilibites434 nakupenda
Nakupenda dada kwa mapishi mashallah
Nafurahi sana na hiz Elimu ❤
❤️❤️❤️❤️
❤❤❤
Shukulan Sana darling ❤❤❤❤
Dada Jamila
Kweli kabisaa dadaa
❤❤❤❤
Very informative interview. Ahsante.
Glad you enjoyed it!
We love u jamila
Kishingo-shingo 👍👍
Dada salami alakumu 😊
Jmn nimekupend dada jamila
Hapo kweny kujipendekeza na lugha za watu nilikutana na mtazania mwezangu zubalaa nakwambia ni kiarabu tu ndio anaongea adi nikamwambia mimi ni mswaili ivyo tuongee tu kiswahili kama uwezi kwaher 😂😂 wapo kama malimbukeni yaani
😂😂😂 aaiih
Mwingne ukiwa mgeni anaongea na waarabu wanakutetaa uwiih, imenikuta hyo😂😂
Tumejifunza mengi leo..❤❤
😂😂😂uswahili tumeuacha uwanja wa ndege
Jamila kanifurahisha sana. Mimi mwenyewe nipo huku miaka 25. Yaani kasema ukweli tu.
Mashallah nakupenda sana dd jamila Allah akupe Kila laher ❤❤❤❤
Wow darasa zurii Mashaallah ❤❤
Alhamdulillah Shukran ❤😊
Hahaha 😄😄😄😄 hapo Kwa kulia
Shukurani dadangu wewe yani kama mimi na mume wangu
Tena Wakenya wamezidi kujifanya popote walipo wanajua Kithungu kuliko kiswahili au kilugha chao. Utumwa uliwakamata wakakamatika
Wananikera sana Basi tu
Sio wakenya tu ni wengi hata watanzania niko nao hapa hawataki Kiswahili
Wananichoshaga Mie mnooo Hawa jiran zetu aise
@@jkizondoswahilibites434⁹i
Shena mdgo wangu tunaomba Fili back ya Yule dada ambae aliomba msaada akamuone Mzungu wake Alie kuwa mgongwa
Nitarudi na Feedback kuweni na subra tu
Mume wa Jamila ni mislamu au mkristo
Hahaha nakusikiliza nafurahi yani hacha tuu
Shukran sana ❤❤❤ dadangu
Aunty Jamila tunakupenda❤❤❤ mimi ni rafiki yake Fatma Swaleh yule mtoto wa dadako
@@halimamfaume1925 nakupenda pia!! Sasa wewe pia ni mwanangu basi ❤️
Mashallah dada nakupenda sana allah azid kukuhfadhi umenipa darasa kubwa sana
Dada wa kwetu huyo kasoma Na mdogo wangu
Ha ha haaaa hatar et nimeukung'uta air port
Je.mumeo ni Muslim asili au alibadili
Wapashe
Kweli kabisa hata mimi sitaji siri za nyumba yangu kabisa
Hapo kwa Jamila airline nime cheka 😂😂😂😂
Hey wanachanganya hahahhaha
uku Saudia piya nihivyo yani mutu hataki kuzugumuza kiswahili
Tusitupe asili zetu za kimila na kidini popote tulipo umekuwa kiigizo chema dadangu Allah akuhifadhi wewe na family yako
Dada una akili sana hawa watu weupe ni masikini Wa kutupwa sema ukweli wote wasfrica wakina mtu yuko nje wanafaidi wenyewe wanalala na njaa mm Niko Italy maisha ni magumu kuliko Africa
Ndoa ya Mjumbe wa agano pekee haina changanoto, toka nimeoa sijaona changanoto. Ni mpya Kila siku. Nialike nifundishe,
Yaaan nimejisikia raha mwanzo mwisho 😅😅😅
Sanaaa❤
Asslama Alaykum vipi hali ukhti shana vaa mtandio
Wacha weeee
Yani umenikosha
Jamila maneno sadata watuwengine wanaogopa kusema nawatoto nawanaharibu kwa gemu dio malezi yao mtoto wa nahifadhi gamu kushinda dini zao makosa ya wazee
Ni kwer
Dada Shena unamuona mwenzio Anavaa Hijab na anajivunia na yuko Marekani?
Na anajivunia tamadani zake wee unashindwa nini?
Kutokuvaa Hijab hakumaanishi sijivunii nilivyo.. Stop judging, stop comparing na kujifanya unanijua sana, kwani hivi pia sio katika mambo yanayompendeza Allah.
@@OfficialDatingAssistance Hiv unajua kama kuvaa Hijab it's a Command from Allah NOT a choice? (Quran 33:59)
Na Hiv unajua umebeba jukumu la kumuonyesha Uislam kwa vitendo huyo alosilimu akakuowa?
Na hiv itakuaje mfano ukifa kama leo NA ukiwacha videos kichwa waz kama ulivyo Duniani?
Be proud of your Religion wacha kujitoa fahamu
#May_Allah_guide_us_all
But why live inanipita why
ht mm pia imenipita roho imeniuma sn yn nilikiw biz vby mno i miss you dayana
Mi pia mweeee
@@ruuhbakarymiss too love 🥰
Mashallah
❤❤❤❤
tena hawa wazungu weusi ndio hatari sana wana sema usilete tabia za kiswahili