NDOA INAMIAKA NANE | KILA SIKU NIVIPIGO | NALALA NJAA | HANA VIBALI VYA KUISHI | TUNAISHI GESTI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2023
- Editha ameeleza mwanzo wa safari yake ya mahusiano na mwanaume raia wa Uholanzi ambae walifunga ndoa na mpaka sasa ndoa yao ina miaka 8.
Wame adopt watoto wawili ambao wanawalea lakini maisha yamekua magumu sana baada ya muholanzi huyo kubadilika na kutafuta wanawake wengine na kuishia kushinda Kigogo - Dar es salaam
Pia amekua akimpiga mara kwa mara na Editha ni mgonjwa kwasasa.
Thank you Editha for allowing this to be online
www.oda.international
wewe ushaharibu maisha yako palipobaki ondoka ukamaliziye maisha yako kwa mbele
Ushauri tu huyo mzee hakufai acha nae dunia ya sasa ivi usipokuwa makini utapoteza maisha kwa kuendekeza mapenzi mfano iko mingi uhai wako na uzima wako ni muhimu sana kwako na ndugu zako please move on tena nenda mbali kabisa na huyo mtu tena m block hakufai kabisa muache atesekee mwenyewe atakuja akupatie maradhi bure acha nae
Mimi sijui ni mshamba wazungu nawaogopa sana kingine awezi nipiga kwenye nchii yangu
Sio ushamba ni kujihami tu, ila binadamu yeyote hapaswi kuogopwa 😂 my aunty aliniambia zamani enzi za 70's akiwa morogoro, alikuwa na mzungu yani kuna baadhi ya watu walidhani ananyonya damu, wengine wakimuona wanakimbia hatari uoga 😂 zama zimebadilika siku hizi wazungu ni rangi tu ila wote ni sawa tu tena nahisi wametuzidi uwendawazimu, vichaa haswa huyu wa leo 😢
Weee usiseme hivyo niulize mm nilikuwa nabutuliwa nikimpeleka police anahonga wanamtoa
@@swahiliwithZita😂😂😂
@@aminakawawa5800😂😂😂pole sana na wazungu wenu mweeee 😂
Wee mm sijawahi kuwa na wazungu njaa na sasa hivi niko Austria 🇦🇹 labda yy fala mshamba wa wazungu pole yake 🤣🤣🤣🤣
Mimi ningemshauri huyu dada yetu Editha aende ubalozi wa Holland awaeleze ili wamrudishe huyo mwanaume kwao kama ndoa imekuwa chungu. She has the right to enjoy her life.
Kwani hapo si anaongea akiwa Tanzania?.
Ana Umwa kwa kweli wa tz tumsaidie ina huzunisha sn
Tanzania hawezi kukaa na mzungu utapokonywa tu pole sana story yako inataka kafanana na yakwangu dah mtihani sana 😢🙏🙏🙏
Hii story jamani, Huyo mzungu Kama wasanii wa Bongo movie kabisa
😂😂 nacheka ka mazuri vile
Shena, this woman has been abused physically and mentally. You can see from all the explanations she made , she has been more than what she said.when a person get extremely abused, they can't even think what to explain, too much scenarios n desperado.Someone need to help this woman to navigate the situation n open her eyes to see the worst world she is living, before divorce she need to live separate from this monster at least the money she get from good samaritans won't fall in the hand of this abuser, unless otherwise it will be difficult to free her from this bizarre situation, her mind is in dark circle. We can send little we have, but if she isn't free herself from this old man, mh!
Definitely
True..anatesekaje kwa nchi yake huyo mzungu anatakiwa ashikwe kabisa
Sio mahaba alijua mzungu anacho kazi yako ndio mumeo numbet moja . Me nilitoka Bongo kuja Ujerumany na visa ya kazi kwa hiyo huku namshukuru Mungu nilitririka Soma lugha piga unesi wangu aka napaa pesa yangu mume mjeru number 2 mme wangu number 1 ni kazi yangu.
Nenda kwenu dada. Alafu watanzania tuache akili ngumu. Yaani ndugu zake eti hatuwezi kukusaidia wewe mke wa mtu? Kweli!! Tuache akili mbovu kwa hiyo mpk mtu afe. Ndugu tuache roho mbaya.
Dada omba sana huyo baba ni pepo lilikuja kukuvurugia maisha. Omba sana si kawaida hii. Yaani upo nchini kwako unatendewa haya na kuendelea kumfuata huyu mnyang'anyi. Let him go dada na uendelee na maisha yako
Alafu ngozi nyeusi mtoe msaada akikwamaga hana msaidizi,hii sijui ni kwnn jamani. Tukumbukage fadhila basi hata kidogo ndugu zangu,yaani tunakosa aibu sana sisi. Nimeona kwingi wanaosaidia wakikwama kinachobaki ni majungu. Duuuh
Nenda kwenu kwa nini uteseke kwenu cio kwa mahaba hayo utakufa kwenu
Upo Tanzania inakuwa vp mgeni akusumbue maaajabu
Jiondoe kwa mzu gu .huyo ni mzungu uchwara
Pole...ila upo kwenye nchi yako haina haja ya kuteseka...fanya mpango.. divorce..uwe na amani bana...uhai muhimu sana
Asante na shukuru kwa mchango wa mawazo
Me hapo die nashangaa nyumbani mzungu anitese jamani . Afrika ni sheeda tunaendekeza hawa wazungu nawaambia hivi huku ulaya sisi ni bidhaa ya mwisho kwa haki na kila kitu
Si ndo hapo.
Samahani Sana mdogowangu Editha. Au ungepunguza Familia hapo nyumbani ili mbaki tu wewe na yeye na wstoto. Maana kwa wazungu maranyingi hawapendi kuishi nyumba moja na kundi kubwa la watu. Wazungu wanapenda muwe wewe na yeye tuu. Wanaweza kukutembelea, lakini siyo kuishi wote .. labda hiyo ingewasaidia.
Huyo anajielewa Sanaa tuu. Huyo ni muholanzi bwanaa.
Kwa kweli pole sana Aunty. Mimi Nina Watoto wa Nne lkn niliachia ngazi and am happy Camper. Nimepiga hatua 2000 toka maisha niliyotoka. Kinachokuumiza ni kwa sababu unamtegemea anaona huna nguzo.
Mm naon bora utoke wende ujipange maisha yko unatesek na uko kwenu panga chumba kimoja pika ata mandazi mungu yuko pamoj na ww
Inaoneshea kuwa wanawake wetu ni ving'ang'anizi wa Wazungu
Aende kwao ,Kuna shida gani!???
Du pole sana ndugu yangu mpendwa maisha ni hatar sana viatu vyako ni vizito sana mtu kuvaaa
Mwanamme akiona huna nguzo eti yeye ndio anashikilia maisha yako wafwaaa!!!
Usise hivyo mda huu na tatizo la afya ndo maana sifanyi kazi
@@NeemaAbdon lakini Aunty alianza drama mapema kulingana na mazubgumzo yako sema tu Wanawake huwa tunavumilia na ndio kinachotuumiza.
Kah hii ya leo kali. Huruma sana. Mbona maisha mafupi sana kuishi hayo maisha. Dada, Mungu akusaidie akupe hekima, maarifa na uelewa. Anza upya tu
Asante Mamdogo. Ubarikiwe kwa kazi nzuri.
achana nae kwanza sio raiya muache atateseka sana
Inaumiza Sana Mungu akufanyie wepesi Editha wetu
Shena nakupata toka Ireland. Hongera kwa kazi nzuri na yenye uvumilivu
Pole sana ndg
Mungu atakusaidia. Wanaume ni mbwaaaaaaa
Mwenzangu we bint achana nae
ungejua wazungu wengi wanamaradhi ya ukichaaa msingewapenda kabisa
Pole sana
Foreigner anakua tapeli, halafu anaendelea kuishi nchini jamani, daaahh😢😢😢😢
Pole dada bora umove on mzungu ameshakuvuruga
Pole Sana Dada! Naomba urudi nyumbani kwenu kwani hujafukuzwa Kwa nn usifanye Maamuzi Tu mana usiwe mjinga na ww mana shida zote umeshaziona. Ondoka Acha ujinga
Mmmh pole dada, ila wanawake tunajua kuvumilia jmn, lakini pia tujifunze kupitia huyu dada, SI kila mzungu anamapenzi ya kweli, na kama unamuona anakuzingua ni Bora mapema ujiupushe nae.
Upo nchini kwako sidhani kama unaruhusu aendelee kukutesa, in my opinion ningemshtaki kwanza anaishi bila kibali pili anakupiga na afya Yako si nzuri kwa sasa. Mungu akufanyie wepesi dada.
Pole sana Mungu atakupigania kiuchumi na kiafya
duh jamn! dada aachane na huyo mzungu tu! atamletea shida kwake na uhamiaji!tafuta kaz ufanye maisha mengine yaendelee!
Pole sana mpenzi mwache tu wazungu wakichirt wana zarau sana anaonekana dadaangu anaumwa pili naomba kuuliza Tanzanian huoewi uraia mwanaume akifunga ndoa na mtanzania hapewi uraia
Huyo mzungu kiboko,utadhani ni mzungu kokooo,Mungu amfanyie wepesi aondoke kwenye ndoa ya mateso na pia aende kwenye maombezi atakuja na shida kubwa sana,mambo mengine ni ya rohoni sana,aongeze maombi sana
Pole sana Editha
Dah. Dada ondoka na maisha yako
Pole Mungu akufungulie njia daah
Asante kwa ushauri wako wa kunitia moyo
Pole sana 😢😢😢
Waaaaa whattttt
Msaada wangu kwangu kwako tafuta kazi au biashara yoyote yenye mtaji mdogo achana nae atakupotezea muda wako na atakuumiza ki saikolejia
Njoo Mozambique 🇲🇿 tutakupatia kazi kabisa bila shida
Wazungu rangi pole dear
Pole dada apo ulikutana na mswahili mwenzetu mwenye rangi nyeupe
Yaaani huyo mzungu mfano wake sijaupata
Pole sana nenda kwenye maombi kwa mwamposa mambo yatakaa sawa
Broo wtf
Hahaha hahaha hahaha 🤣😂🤣 pole kwakweri asa mtu mzee Ivo ulifata dudu la yoyo😂😂
Story inahuzunisha. Huyo mzungu ingekuwa mimi ningempeleka polisi akanyee debe. Huyo nchini kwao atakuwa kashindikana. Kwanza wadachi ni kosa kumpiga mwanamke sasa anakuja Tz kupiga mwanamke hebu achana nae maana hana msaada wowote kwako.
Mimi ningeshampeleka ubalozini kwao. Mzungu mshenzi huyu
Acha polic nawez mtafutia wahuni WA mtaa wamfundishe adabu
Du pole Sana mpenzi
Pole sana Dada huyo mume hakufai kabisa Ila Mimi nakushauri nenda kwenye maombi mungu atafanya kitu juu yako
Aende kwenye maombi
Dada Nyumbani ni Nyumbani Tu nakushauri urudi Tu achana na maisha hayo pia usione Aibu Rudi Tu nenda ukaanze mwanzo lkn nenda Temeke ukafungua kesi ombi Talaka.
kwa mateso hayo na bado umemungangania embu achana huyo ni pepo kabisa.
Tamuu
Huyu dada mjinga,ajielewi na hajiamini unawezaje kuvumilia ujinga kwenye nchi yako
😢😢😢hivi ni vituko kweli
Hawawezi kumsaidia chochote kama ndoa yao ilifungwa Tanzania na hakuwahi kuishi Uholanzi akapata Parmit ya kuishi Uholanzi. Kutokana na ndoa kufungwa Tanzania watamwambia aende Mahakama za hapa Tanzania. Pia inawezekana huyo Mzungu hana njia yeyote ya kipato kutoka kwao hivyo sidhani kama kutoka Holland atapata msaada kwa maisha ya huyo yanavyojionyesha.Pole sana kwake
Ukifunga ndoa Tanzania na mzungu weeeh taraka chap tu kutoka n mbaya saba kufunga ndoa kwenye nnchi za watu
Kwanza watoto wasingepaswa kusikiliza haya Mazungumzo
Mzungu yeyote anaenda Africa uyo hana kitu
Pia Achana nae maisha yaendelee uko kwenye nchi yako asikunyanyase
Jamani kama kuna watu wa ubalozi hapa na uhamiaji tafadhali tumsaidie huyu dada, haiwezekani hilo gume gume la kidachi litunyanyasie ndugu yetu tena hapa nchini kwetu! Halafu jamaa linaishi halina vibali wala nini, kweli??? Hii ni aibu kwa taifa kulikumbatia hili jambazi hapa nchini
Kbs hili.lishikwe kbs lihukumiwe mbwa huyu
Sijaipenda hii interview yaani unipige kwenye Nchi yangu tena na kibabu thubutuuuuu
Pole sana umekutana na Mzungu chokoraa 😊
iii nayo kali ata kujielezea ni kaz pole yake sana
Bint nilikuwa kama ww omba likupate ndo ujue kujieleza vizuri mungu akupe upendo kwa binadam mwenzio mwenye shida kama hizi
dada mbona umewekeza maisha yako kwa mzungu mzee ondoka haraka sana mpendwa anakuchelewesha
Afunge huo mlango sijui dirisha haonekn vzr
Nenda kwenye mahombi Dada mungu akutangulie
Samahani dada lkn hata sikuelewi sorry, yaani mwanaume akunyanyase ivyo wakati upo nyumbani TZ kweli? Au kwa sababu ni mzungu😢? Najiuliza maswali mengi hata sipati jibu. Pole
Wewee dada mbona hata weusi wanateswa tena sana lakini watu washaharibiwa psychology ni ndoa kaa kwenye ndoa
Huyu pia sio mtanzania
Mungu akimsaidia uje utupe mlejesho tujue maendeleo yake
Dada huyu kaathirika kisaikolojia kabisa tumsaidie
Jaman mm nawaogopa wazungu pole dada kakupotezea muda wako afu ndugu bana ivi ndugu yangu anaumwa afu mm nimwambie eti ww c umeolewa ha ndugu tupendane tukiwa hai pole dada
Huyu mama anashida ya maamuzi, hapa Kuna tatizo😢😢😢.Yuko Tanzania anakutesa hivyo sababu ni ndoa. Ningemtoa mbio angepanda ndege tu arudi kwao kwa Masada polisi wa uhamiaji
Polesana 😢
Nawaomba msimcheke, wanawake tunatofautiana. Please, hujafa hujaumbika. Kuna vitu vingi hapa huyu dada anahitaji msaada wa kisaikolojia, maombi, huyu shemeji aliletwa maishani kwa dada editha na shetani. Dada wa watu mpole.
Yaani unateswa na mzungu nchini kwenu, achana na yeye uangalie maisha mengine
Mtihani kweli jmn 😢
Pole sana mdada kwa kuanzia dada anahitaji msaada wa afya ya kimwili na.pia kisaikolojia kuhusu msaada kama mke halali wa mholanzi kuna maswali je ndoa yake iko registered uholanzi?Ana international marriage certificate? Aliwahi kuishi Holland mfululizo bila kuhama for at least 5 years?Aliwahi kuwa na residence permit ya muda mrefu Holland?Unyanyasaji hapa Holland ni kosa la jinai kwanini huyu mdutch asishtakiwe hapo hapo Tanzania kwa kuanzia?
Shena kwa umoja wetu tumchangie huyo dada na watu waliopo mgodini waangalie jinsi ya kumpatia ajira huyo dada
wadachi komesha!!!!!!!!!!! wabahiri hawa watu wewe acha tu.
Sasa siumuache mtu hata hujazaa naye pesa Hana halafu hakueshim yanini kuishi naye mwisho wasiku atakupiga bastola ufe nayeye akafungwe cz huyo nimzungu kichaa
Karagwe kwerwa sehem gan
Maadamu upo nyumbani tayari hiyo ni hatua, achana nae pambania maisha yako maana ungekuwa ugenini hapo ndio ingekuwa balaa.Mi niko nchini kwangu najua kona zote ndio ningempiga chini dakika sifuri silei ujinga mimi.
Kwa ushauli ndugu yangu fungasha uende nyumbani ujipange maana bora ungevumilia sehemu amabayo inafaida lakini uko gest bado unavumilia daa pole sana.ila uyo mzungu hana kitu cha kusema utavumilia kwakweli duu kweli changamoto zinatofautiana
Pole Sana Dada lkn nakushauri ufanye utaratibu Wa kuvunja Ndoa kisheria mana Huyo mtu ni Hatari Sana kwako
Morocco sehemu gani yupo
It's never too late dada Bado uko mrembo jipange huyo asha rogwa huko
Mwanzo tu wa stori huyu ni tapeli. Yaani mtu anakupigia kwenu ukienda kwao atakuua. Yaani huyo kiumbe peleka migration na upuuzi wake alafu achana nae. Kiumbe mzito huyo asiye na ramani akutese ?! Mxiuuuu. Yaani yaani. Mungu niepushe na balaa hili.
Please achana na hiyo ndoa. Mbona upo Tz endelea tu na maisha yako achana na huyo tapeli
Dada ulikutana na mzungu kichaaaa
Pole Sanaa dada home ni home
Jack nimeisha poa my dear
Mzungu mweusi!!!!!!
Huyo ni mzungu tapeli.
Anamtesa akiwa Tz akiwa ulaya je itakuwaje siatamtesa sana
Kuna familia wana asiri ya kuvumilia kwenye ndoa. Hila kwa hili waachane haraka. Hakuna mtoto alafu huyu mwanaume ni mshenzi alishawatesa wanawake wengi. Na ana spirit of death. Muache dada, utazoea kuwa mwenyewe.
Hivi kweli unapigwa kwenu,je ungekuwa kwao si ungeuwawa wewe?Acha kutudanganya we unapenda kuteseka.
Leo heka heka kweli😅😅😅ila pole dada angu
Jamani kweli upo nchini kwako unanyanyasika na mgeni???upo serious kweli?????hapana
Ninachojua jinsi unavyojiweka na kujithamini ndio utakapota thamani yako lkn huyo mwanaume pengine kashajua mwanamke aliyenae ni wa aina gani na ndio mana ana mtreat hivyo na utakaaje kwenye ndoa miaka yote hiyo unachakazwa na bado unaendelea nae ukiuliza nini mzungu mzungu wa nyoko.....kwanini asiachane na huyo mpuuzi mfyuuu nimepata hasira utadhani ni ndugu yangu
😎🙄😂😂😂 Uwiii eti mzungu wa Nyooko nimecheka jamaniii km mazuri kuna mdogo wangu anapenda kusema kauli hii daah
Nimecheka hako kamsemoo nilikuwa ni ka huku usukumani,kwakweli huyo mzungu ni mzungu wa nyoko
Huyo mzungu kiboko kabisa anajua hadi kigogo na kwenda kulala juu😂 kha dada Editha hebu achana na hicho kizee chenye stress hayo mambo ya kuvumilia utakuja kufa siku moja uache watoto. Let him go for good 😕
Nenda kwenye maombi Ndugu yangu
Live kwa network za bongo ni mshikemshike tu.,bora uwe unarekodi.
🤣🤣🤣 ukunga wa kutosha
Hivi mzungu anawezaje kukunyanyasa kiasi hicho kwenye nchi yako? Umevumilia muda wote huo kweli manyanyaso yote hayo? Kisa ionekane umeolewa na mzungu?muda umefika wanawake tujitambue, kusema ukweli bado unampenda ungekua humtaki ungeishafanya maamuzi mzungu anakutesaje upo nchini kwako inakuaje? Sielewi,kwakifupi mzungu ikiishinae unatakiwa ukisema no unamaanisha no ,ukiesema yes unamaanisha yes, kuwa mwangalifu anaweza kukuletea magonjwa, huku ulaya hawapigi wanawake kabisa ni mwiko. Nashangaa huyo sijuwi ni mzungu gani.
Labda huyo mwanaume ni kichaa Ila hawajakiweka wazi
Khaaswaaaa. Chizi