TULIKUTANA ONLINE | DEPRESSION BAADA YA UZAZI NILIKAA HOSPITALINI MIEZI 3
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 พ.ค. 2024
- Winifrida ameeleza Safari ya maisha yake kutokea Tanzania mpaka Canada
Namna alivyokutana na mume wake kupitia Online
Maisha ya Canada na changamoto zake, Ndoa haikua nyepesi kabisa lakini waliweza kuvuka.
Ametoa darasa kwa vijana la kujichunga na sio kulala na mtu haraka haraka
Thank you Winifrida for allowing this to be online
www.oda.international
Ubarikiwe sana ndugu yangu. Uko m wazi na mkweli. Shena barikiwa sana kwa kazi yako nzuri
Winfrida Hongera wewe ni mrembo na una sauti nzuri sana.
Hongera sana kwa kipindi kizuri
Hadi raha mwenyezi mungu awatangulie katika ndoa yenu
Nimependa mahojiano yenu kazi yako ni nzuri Shena Mungu akuzidishie zaidi.
Hongera sana dada kwa nimekupenda hasa kumkatalia Mara ya kwanza kumkatalia mzigo👏🏻hukujirahisisha
Tuna like kipenzi
Winifred I AM so proud of you! Nimependa sana misimamo yako. Maana hawa wanaogawaga vitu ovyo ovyo huwa sipendi
Dada mkweli kabisa ni wachache can say such a wonderful story like her,nimefuarhi sana kusikia story yake.
Beautiful story, beautiful lady Winnie. Mvumilivu sana, pole kwa postpartum depression na kupambana na marafiki wa kuvunja moyo. Mwenyezi mungu awasimamie ktk ndoa yenu.
Hongera dada Winnie na nimempenda sana ana msimamo hasa na pole kwa depression Mungu akufanyie wepesi na akusimamie kwenye maisha…dada Wa kizanzibari nipo na urojo na mishakaki pia😂
Hongera sana dada. Nmekupenda sana sana wewe ni muwazi na si mchoyo wa ushauri. Ubarikiwe sana.❤
Good story Mungu awatunze na familia yako
Nikweli nivizuri kujawana. Ulipata mwanaume mzuri... Nikweli watu wengi wanasema Canada ni watu wanzuri sana. Wanaupendo sana.
Tena kaza buti, atabadilika, na umuombe Mungu akubariki
Uyo dada mzuri sana kweli
Nzuri sanaaaa
Hongera sana
Canada is my favorite country ❤❤❤❤❤
Me too
Karibu
Napend sana canada jaman @@tanzcanmediatv4473
Usikate tamaa ipo siku utafika karibu sana 😊
Canada, Sweden, Norway I love them
Msukuma mwenzangu ❤
Sitori nzuri sana dada yangu
Winne uko vizuri sana na hongera
Amina mungu yu mwema barikiwa sana
Ahsante sana,nimejifunza habari ya kunyoa O
Asanteni sana kwa story tamu.
Nashukuru sana Kuna kitu nimejifunza na nilipolisikia neno nimebarikiwa
Nimepanda dada anavoongea taratibu nakuelezea vzr hakika tunajifunza zaidi
Hongera sana sana ❤
Ongela sana dada shena kwa kuleta watu wenye story zenye mafundisho mazuri sana
❤asante sana
Nimempenda sana Winny ❤
Ooh jamani!!! Hongera sana,ila minimependa hukuurahisisha mwili wako kwaharaka,ndomaana naye alikuamini,aliona hili sio danga
Nice interview da shena na da winifrida🥰🌹💐❤️
Hongera sana Winnie na pole kwa matatizo
Thanks for being open
Umeongea kweli dada watu wana maendeleo sana nyumbani
Unajua mambo ya ku date niya kudanganyana tu mtu anakua haoneshi his/her true colours ukisha owana ndio ukweli wa mambo huanza kuonekana coz tayari uko kwenye ndoa uta act mpakalini haiwezi lazima uwishi vile ulivyo kwa hivyo huyu dada kapata mtu mzuri sana mungu awadumishe nimkarimu na hana ubinafsi kushare kila kitu na mwenzako ni kitu kikubwa sana kwa hivyo kimaoni yangu mambo ya kudate kwa muda mrefu sipendelei ukisha juana na mtu bora tu muhalalishe penzi lenu mutasomana tabia ndani ya ndoa inakuwa hakuna cha kudanganyana
Interview was 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nipenda sana
Mungu akubariki sana Shena, pia asante kwa interview nzuri
We kiboko dada duh unafurahisha et Ana O😂😂nikaongeza chumnvi Anataka kunioa😅😅
Mambo mazuri hayo
Hahaha ni kweli mtiu anaetoka nje ana harafu tofauti hata rangi pia japo akiwa mweusi unakuwa watofauti
Story tamu jamani nimeipenda
Wewe ni mrembo sana
Very bombastic
❤
Nimekupenda dada una hofu ya MUNGU.
Ila Winnie😂😂😂 ,eti nikamnusa,kumbe Ulaya kuna kiharufu chakeee
Me nimempenda wine yuko open ❤
Hatari Winnie 😂😂😂😂 harufu ya Ulaya 😅😅😅 Shena hiyo ni kweliii 🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisa😂😂
❤❤
Dada winnie ni wise sana. Asante kwa opnness yako
She is amazing 😍
Hongera sana vipi unajishughulisha na nini jamani.
Wao nimependa story yako dada natamani mzungu ila one day yes
Congratulations 🎊 👏 💐
Nicheck ni kweli hii movie
Winni anakastory amazing muda wote nilikuwa natabasamu mpaka story imeisha😅😁😂😅❤❤❤❤❤
Yani very amazing 😍
Ooh, home girl...
Hongera besti
Ni kweli mi ni Bemba , origin from Zambia
Kiukweli tunajipenda umeongea ukweli 😂
Mashaar Dada Uko poa Sana ❤❤❤❤
Tuna like mpenzi
Umeisha jifunza mengi
Mi kabla sijaangalia na LIKE
Hacha urafi
😂😂kwahiyo ulikuwa unakula chakula chote peke akoo we noma
Wow
Hello Wilfred tutafutane basi. Mimic ni jirani yako. Ila tu kama hutajali.
Da Shena kuna Mtanzania alievuka boda la Mexico yupo Marekani mtafute Ana story ya kusisimua sana please mtafute
Waafroka tuache hisi akili za amechelewa
43 mbona ndo safi kabisa😂
Msukuma mwenzagu wabeja sana
harufu ya ulaya😂😂
Omba interview na Mariam trela wa Poland
One day nije hata canada kutembea tuu
Nimependa sana ukweli nimejifunza mengi ombi km unaweza kunipa fursa nimependa kufika Canada kutafuta maisha
Winnie is pretty
🎉🎉🎉
41:55 Story nzuri !!
muda wa kukutana na watu mtaani haupo,yan kama ulikosa mpenzi kutokea chuo,saiv ni bora dating app tu.
Well said 📌📌📌
Bahati ya mwenzio usiilalie mpango wazi" kuna waliopigwa matukio ya ajab wengine hadi kuuwawa..Bora kama unaenda uende ukijua utajilindaje na vitu kama hivyo
Uko sahihi kabisa
Natamani kumuona shemeji naye kama ni mzuri kama wewe
O ya kisharobaro😅
tujifunze kuwa wakweli kupitia dada winnie na kuwa wavumilivu siku zote maana kuna njia sahihi ipo mbele
Well said
😅😊@@OfficialDatingAssistance
Nampenda uyu anajiamini kweli
Iki kipindi kimejua kunipa furahaa
Nimegundua wengi tulioamua kugeukia upande mwingine tumepigwa sn matukio😂
Inawezekana mpango wa Mungu ulikuwa mtu uoleww nje ya nchi yako ila unakuwa unang'sng'ania tu ,inabidi tupigwe matukio kwanza akili Ikae sawa😂
🤣🤣 inawezekana eti
Hi shena nakungoja kwa hamu tupate elimu
Thanks dear
Mimi nitafikaje huko jamn yaan natamn san san kufika Canada
Kaka ndoto moja mimi pia nataman san siku moj na mimi nifike huk
@@Formula_Tzhata mm jmn napapenda sana
@@jescanicodemus nikupambania ndoto tu itimie
😂😂😂Yaan Nmefurahi mnavyo hamasishan
@@user-th8bo9lu8n 😂😂🙌🙌
Hata nakumbuka mama angu mdogo alikuwa akitoka Nairobi alikuwa ananukia vizuri😂
Hata ukienda kijijini Kuna harufu ya kijijini
TUPO PAMOJA SHENA
🙏
Me mwanaume nimkute tuu amenyoa O Au vile wanavochongaga nywele za uso me NDUKI NENE... 🤦♀️🤦♀️
😂😂😂😂
Lakini huyu dada ameongea ukweli ukitoka ulaya unakiharufu flani ivi
Kumbe 😁
Washamba nyie hakuna chochote , wananuka deodorant tu kuzuia kikwapa Cha kutooga Kwa sababu ya baridi . I'm 25 years in Europe.
Kiharufu gn jmn mbona wananukia vizuri tu
😅😅😅acha makasiriko @@marykennedymarwa1641
Waafrika mkitoka afrika , mko na tabia tofauti , sisi wa ulaya tuna share kila kitu na hatuli sana kama nyie .😅😅😅😅
Nini Maan ya kazin
Binamu(motto wa shangazau uncle)
Cousin
Tuna like kipenzi
Msukuma mwenzangu ❤
Hee jamani kuna wa ulaya wana harufu zao na hamsemi😂😂
🤣🤣hatari
Mahi unaijuwa vzr shower gel wewe ni fire 🔥