Nimeishia USA zaidi ya miaka 25. Financial Education ni kitu nilichelewa kukijua
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 มี.ค. 2024
- How to Claim Your Free Consultation: YOU MUST RESIDE IN THE USA
1. Visit our dedicated page: ebmscholars.com/finance/
2. Fill out the form with your details to schedule your consultation.
3. Sit back and relax - a financial expert will reach out to you to arrange your free session
Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.locals.com/
Watu wengi wa tanzania wana uelewa kuhusu mikopo kuliko waishio marekani.. watanzania wengi wamesoma kwa sasa kuliko hao watanzania waliokimbilia marekani miaka ya nyuma walikimbilia tu maisha lakini ELIMU wengi wao hawana wameishia F 4...
Ame sema yote 🙌🏾, financial literacy na financial planning ni muhimu si kwa hapa Marekani tu hata nchi zingine mbali na kwamba kila nchi ina system yake.
Tuishi katika kiwango chetu, tuwekeze kwa kiwango chetu for baby steps can lead you to mile stones.Mungu azidi kutu ongoza katika kila hatu 🙏🏾.
Asante Kaka EBM na JAJOJO kwa kutuletea madini adimu kabisa na bure ambayo kuyapata wengine wana yalipia haya.
Eiffel Tower Paris, Big Ben London, Statue of Liberty New York big cities trade marks. Tatizo la elimu ya fedha ni tatizo la dunia nzima kusema kweli. Elimu ya fedha maskuli haifundishwi watu wengi tumefunua macho kwenye mitandao ya kijamii na hasa TikTok. Asanteni kwa kushea
Nawashulu sana kwa ushauli mzuri sana. kwakweli unajenga ki fikla.
Mungu akubariki sana EBM
Hii elimu inasaidia hata sisi tulioko huku TANZANIA
safi sana EBM somo zuri sana yani!
Asante sana Kaka EBM na mgeni wetu wa leo🎉🎉🎉🎉 hakika nimejifunza
Unajuwa sasahivi siwezi angalia sana video, kwasababu si unajuwa mabando ya Tz ya mawazo,so ila nikirudi Bahrain by next month Mungu akipenda kama kawa
Samahani uncle ebm,mimi naomba huduma ya kufanya application ya community college,na gharama zake
Kweli munanifundisha kabisa Asante Sana.
Hi bro nina swali nataka kuuliza mmi ni photographer naishi uganda ila mmi natokeya burundi.nina mke na mtoto wa mwezi umoja wana ishi yues sasa nini rafiki yangu ambaye anaishi yues ana wedding August Kani tumiye invitation letter niende uko niwe photographer wa wedding yake nimesha jaza ds160 nimesha lipiya na appointement.ila mmi na mkewa wangu tumeshaka jaza i 130 form ina myezi misita kwa sasa bado tunasubiri.sasa Nina swali kuna uwezekano wakunipa iyi B1 B2 nawakati nina already i130 ambayo nasubiri.na je watanipa kweli wakati mke wangu na mtoto wako kule siwatafikiriya nikifika kule sitorudi kwasababu nina mke na mtoto kule?plz naomba ushauri wako
Habari yako mkuu..vipi Ramazani imefika huko?
Ebm tunaomba utuambie jina la uyo jamaa anayefundisha maswala ya financial nasisi tujifunze please 🙏🙏🙏
Kaka EBM one day yes Unakoishi nitafika wewe ukiwa kama host
Kk mbona mzito kutoa no Yako ya whps please 🙏🙏 nitumie sir
Kwa shule hii mlionipiga ni umrigani usiofaa kuendelea kutafuta NAFASI ya Kwenda kuishi ughaibuni (say USA)?
Ebm tunaomba ututajie channel ya uyo jamaa mwanzo kabisa mliosema anaelezea mambo ya financial cjui rams
Anaitwa Dave Ramsey