MIAKA 16 YA NDOA NA MZUNGU NI MATESO MAKUBWA | STRESS NA KUFUNGIWA NDANI | SIRUHUSIWI KUFANYA KAZI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2023
- Ester ambae anaishi Milano - Italy, ameolewa na muitaliano ambaye alitoka jela bila ya yeye kujua na akamchukua kuishi Italy ambapo ndani ya miaka 16 ni mateso juu ya mateso, amekua akipitia kukabwa, kutishiwa kifo na kutoruhusiwa kufanya kazi wala kuchukua watoto wake waliopo Tanzania.
Amekua akikaa ndani tu na haelewi ni wapi aanzie ili kupata msaada.
Thanks Ester for allowing this to be online
www.Oda.international
Uko na busara na Akili ndefu ..kujenga nyumba pole pole si kitu rahisi.ongera👏👏👏👏
Ester Shogaangu pole sana, lkn umepambana vya kutosha. Rudi nyumbani kumenoga tuendeleze maisha yetu kama zamani. Mambo ni 🔥🔥 Najua hutarudi kuanza utarudi kuendeleza. Wewe ni mpambanaji, Mzungu asikupotezee muda.❤❤
Pole Dada Esta, najiuliza kama hamuendi Kanisani hata Siku moja. Mwombe Mungu awape Neema ya Wokovu.
Ushaskia mtu ni mvuta UNGA hapo Kuna kanisani kweli😢😢😢
Da Estar shukrani sana yani umenifunza vitu nilikuwa nina maswali mengi sana kwenye kichwa changu nakushukuru yote umenipa majibu kupitia story yako Mungu akubariki sana na atakuvusha kwenye hilo
Mbona ma sley Queen hawalet story kama hizi jamn
Sisi wengine tunapenda sana video zako zikiwa ndefu. We get the whole story and we are very happy to listen up to the end🤣🤣🇰🇪
Thanks Jirani 🥰🥰
Huyu dada yuko depressed I can understand her feelings, ukiwa unaishi ugenini halafu mtu wako wakaribu anakutreat kama mzigo hata psychological amekuwa affected. Ningeshauri tu arudi nyumbani halafu asilimia kubwa wanawake wengi walioolewa na waitaliano wanateseka sana especially sicily tribe wabaguzi sana aisee
Mnoo Jamani yaan niejikuta naogopaaaa,😢😢😢😢😢😢
Sishauri arudi nyumbani ili asaidie kuachana na huyo bwana ila aende mbali naye kabisa atafute ka,I hukohuko apate hata mtaji ili akisema kurudi asirudi mikono mitupu
Kuna dada apa kwenye interview na Shena sikumbuki jina lake, alisema wazungu wengi wanaokuja Africa kutafta wake huwa wanakuwa wana matatizo uko kwao… hasa criminal record, na hakuna watu wanaotaka kuolewa nao huko kwao, so the easiest way huwa wanaona bora kuja Africa, sab wanajua waafrica ni wakarim… girls be careful…
Tunamsikia
Aendelee tunamsikia
Hapana dada endelea tu tunataka live tunajifunza mengi
Je kwa nini usichike ujitegemee
Story huwezi kuifupisha. Kazi iendelee
Rudi dada Tanzania pazuri njoo tupambane wanawake tunaweza
Vipi usafiri mnao
Pole sana kwa matatizo yasio na mfano. Lakini hongera kwa ustahamilivu mkubwa na akili uloiweka juu yakujijenga ki maisha nyumbani. Mie naona nikuondoka Italy kama unakwenda likizo tu alafu usirudi tena kwa huyo mume. Anaweza kukudhuru apo atakapoona unataka divorce. Ni bora kuepukana nae kwa haraka. Mungu akulinde na kila baya. 😢
Shena Mungu akuinue juu zaidi ya hapo,zamani watu wenye TH-cam channel walikuwa wanaongea tu kuhusu Visa maisha mazuri lakini wewe Shena umeleta kitu watu wanafunguka kabisa yani mpaka mtu anaelewa yani hata kama mtu hajuwi kusoma basi picha anaona Yani kama Kuna mtu haelewi basi hatokaa aelewe maisha yote🙌
Ahsante sana
Dhumuni ni kusaidiana na kufunguana upeo
Shout out kwa wageni wetu ambao wanakuja kutuambia Situation zilivyo
@@OfficialDatingAssistance..African we are beautiful
Yes
Dada umewahi kukutana na watanzania au Wakenya?
Mungu amekusaidia sana Ester. Mshukuru sana umuombe akupe jinsi ya kurejea kwenu kwa amani. Hao wenzetu hawajawahi kuwa wazuri. Ni waongo wanafiki nawauaji kiuhalisia. Mungu na akutetee Ester
Miaka ni mingi sana sepa hata nchi nyingine Ila ulipochapia kutokupata uraia,dada chukua uraia ni rahisi kuishi nchi nyingine.kama utaweza pata uraia😊
Rudi Tanzania my dear Ester. Huyo mzungu mvuta unga ipo siku atakuua ondoka kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
Sana sana dada zetu wa bongo kuolewa na mzungu sio kushinda lotto...mnachukuliwa tu virahisi sana....
POLE SANA Dada ila dada ESTER ungemshilikisha Mungu angekupa majibu mazuri muombe Mungu akuepushe na haya magonjwa iliuzidi kuishi miaka mingi
Hongera dada Ester kwa kutuwakilisha maana cc wengine tunaogopa kutoka hadharani kuongea yanayotukuta km yako ijapokuwa hali ni mbaya. Hongera tena kwa ujasiri wako
Umetuwakilisha....!!!👏👏👏
Hapana
kabisaaa
Your Doing an amazing Job Shena ❤❤❤
Pole sana dada ester 😢 Rudi nyumbani usiogope kuanza upya
Mimi niko rome najua africans wameolewa na wazungu maskini ni rangi wanafuata hapa wengi wanaunza drugs wakitoka jela kupata kazi ni ngumu
Mungu akufungulie mlango urudi nyumban
Pole ndugu yetu ila ningekushauri umuone social worker akupe msaada
Pole sana da Esther Mungu alishakuonya siku ya kwanza kabisa any way Mungu atakusaidia.
Nampa Pole dada Ester,ila nimependa alivyo jenga nyumba nyumbani,alafu ninaomba umtafute tena ili tujue amefikia wapi atua zake za kurudi nyumbani
Kwenye haya maisha ... uki lose time ukaja ku stuka una 45 halafu umetoka kwenye ramani ni ngum mno ... unazidi kufa kiundani... yaaani Maisha haya ni kuwa na akili na kusoma kujifunza kujichanganya tu
Dada Ester kwanza nakupa hongera kwa ujasiri. Ila naomba urudi kwetu Tanzania usije akakuua Bure.
Ester nimesikia maneno yko umenifunza kitu masha allah mungu akupe nguvu❤❤❤
Sometimes money is nothing kama huna amani ya moyo. Imagine 16 years na mtu anataka kurudi nyumbani.
Ni kweli kabisa Hakuna kitu kizuri kama kuwa na Amani ya moyo
Y
Tumesikia
Dada mbona sheria zipo ? Mim niko italy miaka 27? Kuna ubalozi na vyama va watanzania wanasadia ujui nitafute nikupe sheria za italy wanawak awateseki
God bless you my dear msaidie mwenzetu awe free na atafute pesa kurendeleza home.🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Y
Tuelekeze hapa
Dada huko ni Italy ogopeni warabu waisram hao namanyag,ao
Nchi za Kiarabu na na waisramu niwakuogopa sana
Nenda UK hapo sawa
Hilo ni kweli kabisa wako hivyo wataliani huwa wanajifanya wazuri wakiwa kwetu lakini mdaa tu ukifika kwao ndio wamekugeuka pia mimi naishi roma Italy hali ni hiyo dada pole sana kwetu nikuzuri tupambane tu kwetu africa ❤❤
Dada Esther amesema kweli maisha mazuri yapo popote pale.
Basi Rudi chanika kuna Maisha MAzuri... Huyu Mjinga 16yrs angejifunza chochote hata ususi WA nywele😢
Dada assistance msaidiye uyo Dada ni vizuri Sana nyinyi ndio watu ambao mnaishi uko mumushauri na kumsaidia vingi Sana sabu naona Dada naye piya akujiongeza njo tatizo naye piya ALICHANGIYA kuwa Katika iyo Ali
Kuna mtu alisemaga sometimes wazungu waloshindikana kwao au ana historia ya matukio hakuna anaetaka kuolewa nao wanakuja huku kutafta sijui nikweli 😢 Mungu akusimamie dada
Nikweli
Hii ni kweli wa nakuja huku kujifanya wazuri
mungu akutoe huko dada ester
Aise rudi nyumbani, kikubwa umesha chuma.
Dada Esther pole sana. Heri urudi nyumbani tu. Maisha ni popote.
Nimesikiliza interview yote, nimeogopa sana. Kuna ukweli mwingine hausemwi. Dada Esther amefunguka mno sasa vipi huyo mzungu wake akiona hii interview anaweza kumfanya chochote. Inabidi dada Esther aondoke kabisa kwenye hiyo nyumba yake maana naona mzungu atakuwa mwekundu mno. Pole sana dada Esther na Mungu akusaidie ila ondoka tu. Wewe si wa kwanza wala wa mwisho, utashake kidogo but utaweza tu. Amani ya moyo muhimu mnooooo!
😊😊😊😊p
Ppp
P
Pp
Pp
Dada Ester pole mpendwa. Ushauri wangu kipenzi rudi tu nyumbani kwetu ni kuzuri sana tu. Ila nimekupenda sana kwa ujasiri.
Hongera sana Ester kwa kupambana hadi kujenga nyumbani
Kwa vitisho hivo mpendwa Bora urudi nyumbani ndugu yangu huyo bwana atakuzuru siku Moja, mwenyezi mungu akutetee
Mimi naishi italy nina miaka 20 huku.dada esther ana moyo sana anastahili pongezi.mimi miaka 20 yenyewe nimeowa mtanzania mwenzangu mke wangu ni mchagga. Maisha huku ni magumu nyumbani ni bora kuliko huku tu.
Hongera sana, natamani nipate interview na wewe
Tupate kusikia maisha ya Ughaibuni na wote mkiwa watanzania
Kama hutojali Naomba tuwasiliane +4367764790884
Safi
Pole Mark
Daaaah nimeumia, imenikumbusha story yangu, acheni tu anayoyasema huyu dada ni ukweli na unaweza dhani labda anatunga au labda hayuko making kutafuta solution ila ni mjanja kwani amejijenga ,wengine hata kujijenga hatukuweza, ila Mungu alituponya kama Daniel kwenye Tundu la simba
Pole sana, Naomba nifanye interview na wewe tupate somo.. ni wengi wanateseka lakini hawajui pa kuanzia wala kumalizia +4367764790884
High level of GBV. Welcome home
Habari@@OfficialDatingAssistance
53:07
yaan dada ester hii ni story yangu kabisaaa😂😂😂😂
Asante sana dada Ester upo open sana nimekupenda
Hongera sana kwa kujiongeza umejenga nyumba na biashara kidogo.
Mwanaume humuelewielewi
Dai talaka rudi nyumbani uangalie watoto wako.
Pole dada Esta karibu nyumbani na hongera kwa kujiongeza
Anaingia na kutoka na hasikiki vizuri
Nakupenda Sana ❤❤
Pole sana da Esther kwa unayopitia…Mungu atafanya njia yatapita tuu na kila kitu kitakuwa sawa tena.
Pole sana...
Mimi Nashauri uondoje hapo kwake ukaanzishe maisha sehemu Yako.
Utafute kazi upate kipato chako.😊
Nenda ustawi na asome kwenye motandao na aingie kwenye magroup y watanzania huko
Wazo la kwanza siku zote huwa sahihi-nafsi ikiwaaza kituu hata ukiipotzea hutokea tu.Nakumbuka nilichowaza pindi naanza mahusiano nilimweleza mpenzi wangu but miaka mitatu badae kilinitokea
Tafauti ya wa Kenya na Tanzania wakipata fursa za kuishi ughaibuni wakenya huchukuwa fursa ya kujiendeleza kimasomo na kujiendeleza kimaisha kwa kufanya kazi iliajitegeme tofauti na watanzania japo siote wao hutafuta tuu hela ya mzungu ... sasa kisa cha huyu dada nitchakusikitisha nikama anaujinga nauoga mana anatumiwa tu na hao waume alio wapata hakupata funzo akiwa zanzibar sasa baada ya kujulishwa kuwa huyu bwana ni muhuni jambazi vipi hutafuti njia yakujitowa kwenye mahusiyano ya vitisho kama hivyo ..huyu bwana keshamsoma kuwa nimuoga ndio anastasia hivyo niafanye tuu marina ya kumrekodi pale anapo mtishia huko niuwe naushahidi tuu utasaidika akienda polisi huko ni bora uwe na ushahidi wakutosha napia atafute watanzania kwenye mtandao walioko huko italia.
Malaya wengi kutoka Tanganyika wanakwenda Zanzibar kutafuta kuolewa na Wazungu.
Wewe nawe boga hata wakenya wengi tu wapo hivyo ndio maana wanadhalilika mitandaoni. Umesikia Ester amesoma huko na anatafuta kazi mume anazuia una masikio kweli na unamsikiliza huyu dada vizuri? Kwa maelezo yake amepoteza fursa ya kazi zaidi ya mara tatu mwanaume amem cage she is not free at all. Watanzania sio wavivu ni hard workers sio ofisini wala mashambani. Fuatilia chanel yangu. Utajifunza sasa mtu alishafungwa ni mwenzio huyo? Mmezoea kushambulia watanzania wakenya mbadilike.🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@@allthingdranabeauty Edward elia. ni kweli dada ester. kwa nini asingeweza kujifunza kutoka na tikio la Zanzibar?ila pia mapenzi hayana macho.vumilia hayo ni majaribu katika ndoa
Eti miaka yoote hiyo mtu hujuongexii?.😂😂😂. Watakutisha mpakaa usiogope tenaa.
@@EDWARDELIABAGWIZA kwa kazi Tanzania sio wavivu kwanza ulaya kam ulaya huwezi kukaa kam ni mvivu atakama ni ndoa lazima ujishulishe kinachofanya watanzania wengine wanaofu ya uoga na dini nikimwacha mume itakuwaje ndoa tunaeshim sana
Asante Sana darling kwa maelezo yako
This woman is very wise all she needs is spiritual strength
What I like about shena video unagonga pote yani unaelimisha watu kabisa kila mtu mwenye akili ataelewa ...sio tu ulaya pazuri wazungu ..
Kila kitu Kina uzuri na ubaya
Ni bora watu wajue ili wakiingia waingie na plan nzuri tusaidiane
Nimeipenda sana
Shoga angu msimuliaji utakonda kwa kukosa upendo. Embu jiangalie vizuri aisee!
Muda nawe hana!
Hayo malengo yako haujafikisha bado huko nyumbani?
Nice video @Shena
Dadangu ester mungu anakupenda sana pia alikupa taarifa kuhusu huyu jamaa ilitakiwa ufanye maombi Kwanza ila ukatumia akili yako mwenyewe huyo mtu sio ni shetani msaada mkubwa na wakweli upo kwa mungu so piga goti fanya maombi ya siku 3 mugu atakufanyia njia na majibu pia majibu yote ya maswali yako atakupa mludie mungu bado anakupenda.
Never ever take medication without drs advice
Ndio funzo hilo
Kuna watu wanawaamini wapenzi wao mpaka wako tayari kwa lolote Kumbe ndio mtihani mkubwa wallah
Dada usirud home wew chukua uraia alafu tafut divorce
Am a citizen not easy kama huyu mzungu wake alikua hata jela ni ngumu kapata good conduct yake itaonyesa na kama ufanyi kazi uwesi pata nilipata sababu nilikua nafanya kazi na ni karudi kenya kuchukua good conduct
Dada shena vidio ziwe ndefu tunajifunza sana asante
Mh pole sana jamn mungu akusaidie tu dada urudi nyumbni tz binadamu wapo tofauti wazungu nao ni watu kama sisi
Hello My dear.Huyo MTU NI narsisti mbaya sana.Inabidi kuwafuata watu wa social.Huenda Dawa hizo zilikuwa contraceptives.😢
Story ndefu ndiyo mzuri
Asante sana dada Esta kwa fundisho kubwa,
I like this, big up Shena
Mm cjaona tatizo cos mwanamme anampenda na anapenda atokea nae maana ni km wanawake tu wakizanzibar kwa waume hauruhsiiwi kufanya kaz km umepata mume mwenye dini saana au anawivu lkn mm cjaona shida,bt km unauwezo wa kurud tz unakaa mda mref mwanaume anakuachia why umerud tena uko uko,na ukifika sehem km izo kuna wtz why ulipata mda kufanya interview ukose kuwasiliana na wenzako walioko uko,wakakupa ushaur km unahitaji divorce,m2 akusomeshee watoto ambae sio wake uku tz nani anafanya ivo? Tunapenda attention sisi wanawake sometimes,cos km ww umeshaona anashida why usirud home?
Pole sana Da Esta mwenyezi mungu akupe wepesi
Ila umesema ukweli. Miaka 16? Bado upo tu?😂
Mefanya makosa kukataa kuomba uraia ikiwa anaweza kwa sasa na aombe tu kisha amkimbie bila talakaaje hata uingereza
Nimejifunza mengi kupitia da Ester.
Well said🙏
Mtangazaji hongera kwa kazi mzuri ubarikiwe sana .
Nimejifunza mengi kwakweli pole sana Dada yangu mungu akusimamie
Amina kipenzi changu
Wazungu wambea watanzania tunq subiri
Dada nyumba 2 umejenga ,watoto umesomeshewa na biashara umefungua.sasa si utulie uendelee kula na kipofu😮mi sioni inacholalamika hapo,ukija nyimbani miezi 8 hiyo simamia mambo yako ukirudi italy kusanya kidogo kidogo hivo hivo maisha yaende.ukiona umechoka mwambie unarudi kusalimia hapo ndo moja kwa moja haurudi.shukuru tu hakupigi na unakula na watoto wako anasomesha.
Dada usijikakamue kuwàpa.pesa au kujitahidi kumaliza kila tatizo la nduguzo. Fanya kwa kiasi jijenge zaidi. Kubali ubali ubaya kuliko fedheha. Utapofilisika HAWATAKUJALI NA WATAKUCHEKA SAANA. Kama unabisha utayaona japo sikuombei baba.
Asante shena hakika unatufunza mengi change changamoto za maisha ni nyingi mno
Kwa mala ya kwanza acha ni coment apa dada ester pia ulikua mzembe sorry kusema ivi. Mimi pia naishi nje huu mwaka wa tatu. Ila mwanaume. Hawez kunizuia mimi kuijua nchi ninayo ishi not matter what kama anaweza kwenda kazini ule mda unashindwa kwenda kuzulula yani kutembea kuona nchi ilivo ulikua mzembe kwenye hiyo ndoa miaka 16 ni mingi sana umepoteza mda mwingi sana kama una nauli rudi bongo kajipange upya. Kashakupa na tatizo la kushika mimba. Unakunywa dada huumwi unawezaje? Yani anipe
Dawa tu bila sabbau na siumwi ninywe ? Lol hapana. Ila hamna shida. Bado unauwezo wa kusimama tena. Mungu akutangulie.
Nakubaliana na wewe kabisa.Kwanza mtu anakupaje dawa tu unakunywa hujui za nini??Pili miaka 16 kweli umestuck tu hapana…Sema watu tunatofautiana sana..Mwanaume kama huyo hata kulala ndani unaogopa unahisi atakunyonga..Weee..Mungu ampe ufahamu na ujasiri wa kutoka hapo..😢
Makosa ni me gi sana kafanya dada etu ila ndo ivo hatuwez kumhukumu. Aazne upya maana umri unaenda sana. Angekaa kwa mpango. Mwanaume ambae hataki ufanye kazi kwanza iyo ni red flag ya kwanza kwenye ndoa .
Uyu mimi kabisa. Sema yake yamezidi ni fundisho tosha.
Pole sana Ester Mungu mwema umevumilia Sasa mimi kwa mawazo yangu
Muombe huyo mme wako hela ya nauli mwanao akimaliza form six utasema unaenda kwenye Graduation ukirudi Tz hawezi kukuweza ukiweza fanya mchakato hapo Tzili akirudi ukute umejiandaa ndoa yenye shida na hivi mlifunga serikalini serikali inaruhusu kuachana
Ungekuwa umefungia huko ltaly angeweza kukuwekea ngumu
Omba Mungu tu atakusaidia
Pole pia kwa uongo tubu kwa Mungu akurehdmu
This is very interesting to listen and watch. Have learnt a lot from these videos. Kudos to you and these brave ladies🧡
So glad!
Hata ukiwa DSM watu wa mikoani hufikiria kuwa una hela 😢
Na piya ukiona auta ishi Italy unafanya process za kuamia inchi nyingine ya yurope acha Woga Dada yangu pambania family yako
Daah pole sana dada Ester 😢 plz rudi Tanzania .
❤❤❤❤❤❤pole sana dada esta
Bora hukuchukua uraia wa huko dada angu, maana kama hukufanya kazi ulaya uzee wako utakuwa wa shida sana kumbuka hautopata Rente,nyumbani wanasema pensheni sijui,ungeishi kwa aibu sana,sema una watoto na huyo bwana unge divorce ukapata Uhuru wako wa kufanya kazi na kuendeleza maisha yako,wazungu pia wako wabaya sana na wazuri sana,raha ya ulaya hata ukipata mzungu tajiri ufanye kazi ndiyo utaipenda ulaya,kitu anachokifanya mumeo ni kukutengenezea uoga kichwani, na kwa hali hiyo unatakiwa upate msaada wa haraka maana ukianza kupata Depression kali wataweza kukufunga kwenye hospital wakijua wewe ni mgonjwa wa akili😢😢.
True!!
Kabisa umesema yote.
Ushauri mzuri Sana, inabidi a divorce ili awe na Uhuru wa kufanya kazi
Ukiolewa na wazungu jiongeze especially sisi waafrica jiongeze
Story nzuri Sana lakini pole da ester
Da pole sana dada yangu japo sijaimalizia story
Dada esta chukua uraia fastaaa alafu omba talaka then hamia sehemu nyingine hata u.k au schengen country yoyote
Ushauri mzuri
Inategemea uraia kupata km mume akikataa upati?na uraia unapata km unafanya kazi na resident miaka Kumi
Naitwa Catherine ngeleja natamab Cna kuja ulaya Ila dada ester kaniogopesha
Hatumsikii
Tupe uhondo.,hakuna cha video ndefu. Wasio na bando wasituvuruge. Story ziendelee,asiye na mda ajigawie mwenyewe mda wakuangalia roborobo.
Pole sana dada ester
Pole sana mmy mungu atakusimamia kila kitu kitakaa sawa
Kama story ikiwa ndefu sio lazima umalize siku hiyohiyo kuiskiliza me naskilizaga hata siku tatu
ongeza muda wa video ziwe ndefu aisee dadaa,woi mi nikikosa live nasubiri rekodedi halafu kunapahala huwa naenda sehem kama tatu hivi nimehack wifi nainyonya nikimaliza naangalia nikiwa nimetulia😅
y
Namuuliza Dada Ester kwani na huyo mwenzake naye anateseka kama wewe?
Kwani hawezi kupata usaidizi ubalozini?
Pole sana dada rrudi nyumbani utafanikowa Inshallah! Usinganga'niie kukaa na jambazk huyo utakuja kujuta. Akili yake haiko sawa.
Wataliano Wana hizo tabia I have a friend also who was treated the same. Phyllis from Kenya
Watanzania mlioko Itali tunaomba mumsaidie dada Ester
Mimi nzpenda iwe ndefu story ndio unaelea ntu
Sawa nitamcheki
Mimi Nipo Milan but mbona kuna changamoto za watu zinaogopesha mno 😢 Yaani Mungu aniepushe
@@ladymacollection yaan mwenyezi mungu atuepushie mitihani kwakweli
@@mukeshimanataussi6939😮
Jifunze kutengeneza batiki hata online uuze huko
Pole sn dada Esta,rudi nyumbani kaa na wanao uzur ushajijenga kwenu
Hongera sana dada shena kwa kazi
mie ninasikia
Wazungu wazuri wapo ila siyo rahisi kuwa nao sababu wanatuona wagonjwa. Wazungu wanaokuja kuoa Africa wengi wana matatizo kiafya, wanatafuta kampani.
Nimeamini hilo kabisa na sio wote wakorofi
Ndio wengine sio wakolofi
😂😂😂
@@fettyrashid9042 wao si wanapimwa akiwa mdogo hivyo anajijua kama ana autism, bipolar, diabetic, sasa akikuangalia usoni tu anagundua huyu mgonjwa sitaki mzigo,
Wengine wanatafuta caregivers wakuwatunza uzeeni coz hawataki kupelekwa nyumba za wazee😂it has happened to Kenyan girls wenye wanaolewa na tubabu twa German 😅
Ndio wazungu wana hasira wanapenda kutupa vitu wakiwa na hasira
Pole sana dada yangu, yatosha Sasa bora uondoke. sasa
Nikweli kabisa nandio niko ktk mchakato huo
Bora ss unaongea ukweli maana watu wanahisi maisha ni mazuri ughaibuni
Huyu dada anasema ukweli.ulays siyo paradiso.Tanzania kunamaisha mazuri kuliko Ulaya
😢leo adi nimejikuta nalia wanaume awa hapana kwakweli Shena ama umtafute Hani labda atamsaidia
kwa noni usitafute watu milano wako wangi sana
DADA ESTA HUYO BWANA NI MZUR SANA.MPAKA ANA KUSOMESHEA WATOTO.MANENO YA MAMA YAKO MZAZ YANA UKWELINDOA NI UVUMILIVU.
Pole sana dada Esther
Pole sana dada esta ushauri wangu ludi nyumban
This is a Human Trafficking case. Hii inaweza kuingia Kwenye kesi ya human Trafficking !!! Kwa huku ulaya kufungiwa ndani kunaleta msongo wa mawazo “ depression “ akipata human right Lawyer watamsaidia
Ndio sheria hipo ? Hyu mtaliano kwangu wangefurahi sheria zoote najua ? Nitafute
Tunamsikia vizuri
Yes
Video ziwe ndefu ili tupate story yote tuzidi kujifunza
Tumesikia vizuri
Mdogo wangu Esther naomba sana usikate tamaa.