UJue watu hawajielewi cz mnapenda kumuona shekhe yuko kwenye jumba bovu anaendesha basikeli ndio museme mungu awajalie sio poa allah awajalie mashekhe wt wafike mbali inshallah
Mnamsifia tu huyu ndyo anawakashifu sana akina mwamposa je huu utajili alionao yy kaupata wap? C humo humo kwenye dini? Kama yy yupo kwenye kweli na Akina mwamposa pia wapo kwenye ukweli kikubwa kila mtu adili na upande wa dini yake
@@ndogoroedson199 Bro wanaadam tuna sir kubwa sana ktk utafutaji wetu kikubwa Sisi sio watoa hukumu hata sisi hasa Mm personal ninamatatizo yangu(mapungufu) Kikubwa ni kuombeana DUA au kufanyiana Maombi 🙏
Mganga wa kienyeji anaetumia mgongo wa dini. Aqida ya ahlu sunna wal jamaa3ah hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Wewe sule mche Allah
Simba ndo simba anamahusiano na binadamu na watu wanafuga kama kawaida sasa jini inashindikanaje? Oxygen yenyewe haionekani na watu wanaitengeza kama kawa na wanamsaidia mgonjwa
Katika uislam sisahihi mtu kuongea kitu hana ujuzi nacho.unaleta mifano ya Simba na oxygen unadhani dini hii haijakamilika katika kila nyanja? قال تعالى ما فرطنا فى الكتاب من شيئ. Hatujaacha chochote katika kitabu ( yani Quran) then anakuja mtu na mifano ya simba na oxygen. Narudia kusema hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Na if yapo leteni dalili katika kitabu na SUNA au kauli ya wanazuoni wema. قل هاتوا برهانكم إن كنتم صادقين
Nili wai kukupigia cm nilikua na mgonjwa anatapika damu ukanielekeza dawa ...nikaona kama umenizalau kumbe ilikuwa dawa kweli .... inshallah Mungu akuzidishie na akupe maisha malefu
Ni kweli katika Quran Allah amesema amewaumba binadamu na majini lengo ni kumuabudu kama ilivyo kwa viumbe vingine ambavyo hatujui wanaabudu vipi nao ni waislam ila jini lolote likiungana na binadamu tayari hakuna lolote isipokuwa ni uovu tu maana hakuna ushirika wa jini na binadamu kisheria, wao wanaabudu kinamna yao nasi kinamna yetu. NB yoyote ambaye yupo karibu na viumbe hawa mara nyingi wote wanakuwa ni waasi na niwashirikina. Na hakuna mwislam yoyote ambaye ni Sheikh atakuja na hadith au aya ambayo ina ruhusu sisi kufungamana na majini.
Ni kweli kabisa maneno yako.lkn tunapaswa kuchunguza kabla ya kujitenga hayo Maji na mafuta.ili tuweze kufuata dini ya kweli.kwani tukisubiri Hali hiyo mpaka itokee itakuwa Ni too late.hapo litakalofuata Ni moto tu.hivyo tuchunguze na kusoma Kwa undani zaid vitabu.tusijetukachelewa.mara nyingi kwenye viwili.kimoja kinakua wrong.nayo Ni dini ya kikristo.tubu mapema kabla ya kifo
Mungu wako hakujua kuwa atauliwa na binadamu wake, mission ya Mungu imefeli maana Bado tunaendelea kutenda dhambi...ukristu ni rubbish in the rubbish pit.
Mashallah Barakah ALLAHU fiiqum hbbi shekh wangu doctor sule kwn ss wa kenya tunakupenda kwa minajili y Allah swt akulinde na kila aina husda na balaa na akupe mwisho mwema aaamiin
ANOSEMA KINATAKIWA CHANO NI MGANGA! ANAJIDAI KUPANDISHA SHETANI KICHWANI KWAKE STI SHETANI ANATAKA CHANO! WAKATI SIO SHETANI NI HUYO MGANGA ONLY NDIE ANOTAKA KILE CHANO! WALA SIO JINNI AU SHETTANI NI MWANA ADAM NDIE ANACT TUU HUYU ANA PALACE LIKE KING! KAZIPATIA WAPI PESA HIZO KUWA YEYE AWE NA JUMBA HILO!? HUYU SHEIKH!? OR MGANGA ONLY!
Wamebarikiwa vipi watumishi wa Kikristo ambao wanaamini na kuhubiri Uungu wa Yesu,Utatu mtakatifu haya mambo 2 ni makubwa ni laana kumshirikisha Mungu na viumbe
Allah akuongoze kaka ,wew una elimu nzuri ila hapa hatupo pamoja mche allah , hakuna mfungano wa muislam na majini kufanya hvyo ni kujiingiza katika ushirikiano.
Kwa upande wa majini, umeusemea uislamu uongo jambo usilo na ilimu nalo, unataja aya za uongo, nawanasihi waislamu na wasiokua waislamu wajifunze uislamu kwa watu sahihi watu wenye ilmu sahihi ya dini. Wasikilizen mashaykh wakisalafy Shaykh Qassim mafuta, Abdallah humeid, Abuukhaulah Mbwana Abdi Allah awahifadhi
@@bassambashirou4604 Kaka jini na Shetani wote walimuaasi MUNGU na hakuna Hapo mzuri ....Mzuri NI malaika haooo wengine walimuaasi MUNGU na wamelaaaaaniwa
Dr sule me ktk masuala ya Dini ya ukristo upo vizur sana lakini kwenye Quran tukufu sio saana but all in all nakupa big up sana ktk kazi zako za biblia
@@Omaryactor01 mpuuzi mim au wew mtume awezi kua na mrith tajir ktk inchi ya kafir hakuna muumin wa kweli akainjoi ktk inchi ya kitwaahud nenda madrasa kwanza
@@muhsinihassani2805 ahaa kama unajua hukumu nikazi ya mungu hao mashekhe wako wa mchongo wanachofanya kwa harmonize ni sahihi?hao ni matapeli tu kutwa mtandaoni
Shekh hyo aya siyo neema za kidunia Neema za duniani ukizitangaza unatengeneza hasadi kwa wasio nacho. Na ni riya. Na ndiyo maana haifai kuzungumzia furaha ya wazaz kwa kwa yatima atajisikia vibaya. na mengne mengi yasiyo kuwa hayo.
Shida tunapenda kumuona Paster anaendesha V8 lakini shekhe akiendesha inakuashida kwa watu kuna watu maostadhi wanafundisha watoto wa ma boss ila kanzu imefubaa 😢😢😢 ndio tunasikia furaha si ndio tuache kujishusha waislam tuwaombee sn kwa allah
Ukisikia kufuru kwa Mungu ndio hiyo sasa, Unaamini Miungu kuwa ina Mali nyingi, lakini binadamu ndie ananguvu kubwa zaidi kuliko huyo Jini kwasababu jini lolote limelaaniwa, ndugu zetu wanakufuru sana bila kujijua,
Ndio tatizo la kutosheka mapema yaani nyie hamutaki kusoma mkidhani kwamba mnajuwa.weye acha ujinga tafuta elimu ujuwe uumbaji wa Mungu hautasema tena eti majiini yote ya melaaniwa
Kuhusu swala la kumuona Mungu haimaanishi kumuona kwa macho ya nyama, bali ni kumuona kwa roho. Tunaita ufunuo ama kufunuliwa. (Revelation) Na kitabu cha ufunuo katika biblia kinaeleza haya.
UJue watu hawajielewi cz mnapenda kumuona shekhe yuko kwenye jumba bovu anaendesha basikeli ndio museme mungu awajalie sio poa allah awajalie mashekhe wt wafike mbali inshallah
Ewaaa watu wengi ndio fikra zao
Amen
Binadam mawazo yao mabovu sana majin viumbe kama viumbe vingine kuna majini wapotovu kama binadamu kunawema wanaomumcha mwenyezi mungu
MashaALLAH mwenyezmungu azidi kukufanyia wepec kwenye na kheri nyingi za Dunia na akhera mm nakukubali Sana sheikh. Doctor SULE.
Mambo! Naomba namba ake please!!!
Doctor Sule unadunisha dini pia unatukana dini,Allah mpenda haki atakudhalalisha mbele ya watu InshaAllah
Nilianza kumkubali huyu bwana tokea miaka ya 2003 nikiwa Mbeya, alisilimisha watu wengi pale, Allah ampe wepesi
Kawaunganisha Kwa majini majini wote wamemuasi Mungu
Interview nzurii sana big up...MTANGAZAJI UNAJUA
Nnachompendea dr sele.ni mfasaha wa mazungumzo kupita kiasi.humshiki kirahisi kwenye mazungumzo.huyu mtu Allah kampa kipaji kikubwa.mashallah
Mungu anisaidie kupata jini mwema
Allah gani wewe,hakuna Cha Allah Wala nn,mshirikina mtupu
@@YamunguMuhasiku ukimjua Allah ndio utajua makosa yako
Nyie wabongo si mnapenda watu wanaongea sanaaa ndy marole model wenu
@@Famao-dg3ul kabisa yani.👍👍.hajamjua Allah Nani mpaka siku ya Kufa ndo atamjua.Allah ajaalie aslkm kabla ya mauti yake.hajitambui bado
Allah akuzidishie kira raheri kwa kuokoa nafsi za wajawake Allah kwa kuamrisha heri na kukataza mabaya
Kichwa cha stori ulicho andika hapo ni tofauti na alivyo ongea Dr Sulle. Sio vizuri kupotosha watu muogepeni Mwenyezi Mungu.
Huyu muandishi sio mwislamu
Umekosea maana ya haram na halali
Kasome tena maana hiyo ya halali na haramu
Kweli kabisa
Allah anajua zaidi ..... Allah tupe mwisho mwema waislam wote tulioko kwenye mgongo wa ardhi... Allah humma ameen🤲🤲
Amiin
Uoj kisomi zaid nimependa uko vzr xan allah akujalie ❤
Dr. Sule, Nakuombea kwa Allah(SWT) akulinde, na akupe Maisha Marefu yenye Afya Kamili, Ili uzidi kuelimisha Umma. Shukran.
Allah akupe afya,Siha,na kila hitajiko lako na Allah aweke barka ktk harakati zako
Dr sule Allah amekujaalia hakika.
Mnamsifia tu huyu ndyo anawakashifu sana akina mwamposa je huu utajili alionao yy kaupata wap? C humo humo kwenye dini? Kama yy yupo kwenye kweli na Akina mwamposa pia wapo kwenye ukweli kikubwa kila mtu adili na upande wa dini yake
@@ndogoroedson199 Bro wanaadam tuna sir kubwa sana ktk utafutaji wetu kikubwa Sisi sio watoa hukumu hata sisi hasa Mm personal ninamatatizo yangu(mapungufu) Kikubwa ni kuombeana DUA au kufanyiana Maombi 🙏
No coment bro🙏
Huyu mtangazaji nimemkubali sana anajua sana kutengeneza maswali
Mganga wa kienyeji anaetumia mgongo wa dini. Aqida ya ahlu sunna wal jamaa3ah hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Wewe sule mche Allah
Soma ujue kama una muweza mfate ilala ustake kiki
Kwahio mtu akikomenti anatafuta kiki sindio?
Hahahahaha ضعف الطالب والمبطلوب
Simba ndo simba anamahusiano na binadamu na watu wanafuga kama kawaida sasa jini inashindikanaje? Oxygen yenyewe haionekani na watu wanaitengeza kama kawa na wanamsaidia mgonjwa
Kweli bro naanza kuwa na tashwishi naye
Katika uislam sisahihi mtu kuongea kitu hana ujuzi nacho.unaleta mifano ya Simba na oxygen unadhani dini hii haijakamilika katika kila nyanja?
قال تعالى ما فرطنا فى الكتاب من شيئ.
Hatujaacha chochote katika kitabu ( yani Quran) then anakuja mtu na mifano ya simba na oxygen. Narudia kusema hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Na if yapo leteni dalili katika kitabu na SUNA au kauli ya wanazuoni wema. قل هاتوا برهانكم إن كنتم صادقين
Dr Sule mimi nakuombea kila la kheri duniani na akhera
Mashaallah tabarika allah mungu akubariki zaidi sheikh
Allahu Akibar Allah akupe hidayat kama unataka kufaidi nakujuwa mengi kuhusu ilimu ya dini watafute Wana ilimu ya dini
Bro una maswali critical sna umefit kabisa kuwa presenter Allah akufanye bora zaid ufikie ndoto zako❤
Very true Daktari Kindly pray for my sons Brian and Raymond to excell in life .Thank you
Are they islamic?? How can he pray for non Muslim??
I like this interview, you did bro.
Mtangazaji big Up sana
Mtangazaji ana maswali mazuri sana.. watching from Kenya
Mtangazaji uko vizuri unauliza ukijitoa big up for that kwasababu uislamu unauchawi wingi 😢😢😢😢 Bali ulipotea sana kwenye mada
Uisilam hakuna uchawi were punda mtu
MashaAllah shkh Allah bless you
Docteur Sule nakukubali sana Sheikh wangu
Nili wai kukupigia cm nilikua na mgonjwa anatapika damu ukanielekeza dawa ...nikaona kama umenizalau kumbe ilikuwa dawa kweli .... inshallah Mungu akuzidishie na akupe maisha malefu
Kwanini ulozani kakuzarau au dawa ilikua ya ajabu
Ndugu naomba namba yake
Ilikua daw gn hyo jamn
Daw gn alikupa
Naomba namba ake
Dr Sule Allah akupe umri ugekuwa Rai's ugedelesha Ichi Sana vizuri Sana mashaallah
We unauliza swali moja.mwamba anakujibu majibu kumi.aaa weee.asante Allah kwa kutupa huyu mtu.dr.sule nchini tz.alhmdulillah
Jini ni jini Tu hapaswi kuishi na binadamu
Mbona kuna watu wanaishi na simba?
😂😂😂😂acha uoga,mbona Paka Mbwa tunaishi nao ndani
Sule nakupenda bro
Asante sana Sheikh wangu , WE mkweli kabisa
Allah akulinde kwa Kila Shari uzidi kutangaza elimu ya dini❤
Huyu ni Mganga tu wa Kienyeji aliyechangamka, mkiambiwa Waislam mnafuga majini mnakasilika.
na nyie hamuabudu mpka muonyeshwe miujiza😮
Dr. sulle nakukubali unajua kunyoosha maneno adi raha
Dini yenu hiyo ya mashetani
@@samwelmatemu8873
Kwa maono yako
@@samwelmatemu8873kwa nn
@@samwelmatemu8873yenu yakishoga sio
Kwa kufuga mashetani sio
Dr. Sule ni MTU NA NUSU. Allah akulinde Sana🤝🙏
Salaam Aleikum Dr. Sule,
Nakuomba unipatiye number ya Clinic yako Mombasa, jazakallahul kheir
Daah hapo kazi kweli kweli, Masheikh wanatakiwa wasome tawd sana wanapotosha watu haswa wale ambao wanataka kuingia kwenye uislam
kwann unasem ivo
ndo ukweli huo wa Doctor Sule ndugu
@@DOCTORYKAGUFAAnaogopa tumejua ukweli ndani ya Uislamu
Ni kweli katika Quran Allah amesema amewaumba binadamu na majini lengo ni kumuabudu kama ilivyo kwa viumbe vingine ambavyo hatujui wanaabudu vipi nao ni waislam ila jini lolote likiungana na binadamu tayari hakuna lolote isipokuwa ni uovu tu maana hakuna ushirika wa jini na binadamu kisheria, wao wanaabudu kinamna yao nasi kinamna yetu. NB yoyote ambaye yupo karibu na viumbe hawa mara nyingi wote wanakuwa ni waasi na niwashirikina. Na hakuna mwislam yoyote ambaye ni Sheikh atakuja na hadith au aya ambayo ina ruhusu sisi kufungamana na majini.
Misunderstandings tupu
Mungu Tusaidie sana Hizi zama ni Hatar Sana
Sana walai...
Fitna kila kona, Allah atujaalie uongofu na tufe ilhali tupo katika uongofu
Mungu ni mwaminifu pia mvumilivu sana,siku moja maji na mavuta yatajitenga kuhusu Imani zetu
Ni kweli kabisa maneno yako.lkn tunapaswa kuchunguza kabla ya kujitenga hayo Maji na mafuta.ili tuweze kufuata dini ya kweli.kwani tukisubiri Hali hiyo mpaka itokee itakuwa Ni too late.hapo litakalofuata Ni moto tu.hivyo tuchunguze na kusoma Kwa undani zaid vitabu.tusijetukachelewa.mara nyingi kwenye viwili.kimoja kinakua wrong.nayo Ni dini ya kikristo.tubu mapema kabla ya kifo
Yameshajitenga tayari, Uislamu ni haki na ukristo ambao Mungu ameuliwa na akasulubiwa ni batili. Mungu amezaliwa na binadamu? Lol
Hizi dini tumeletewa watu wengi sasaivi wamerudi kwenye asili zao, jamani turudi kwenye asili zetu 😂😂😂 jamani hivyo vyote vyawezekana
@@Rmkh88 dini za majini na mapepo na mizimu zimekuwa haki. Ama kweli hekima ya mwanadamu kwa Mungu ni upumbavu
Mungu wako hakujua kuwa atauliwa na binadamu wake, mission ya Mungu imefeli maana Bado tunaendelea kutenda dhambi...ukristu ni rubbish in the rubbish pit.
Simu yako alete nani sasa Dr.Sule wakati simu unayo mwenyewe?😂😂🙌
😅
@@frankmichael411 Bhana weeee watu tunambwembwe kwenye mgongo wa ardhi hatari sana😂😂
Mashallah Barakah ALLAHU fiiqum hbbi shekh wangu doctor sule kwn ss wa kenya tunakupenda kwa minajili y Allah swt akulinde na kila aina husda na balaa na akupe mwisho mwema aaamiin
Ameen
Audhu Billah huyu Dr sule ...Allah ndio ajuaye
Nipe ya ndani
Upo vizuri hujakosea.
Mwenyezi Mungu aki kubariki ,jivunie na utangaze,mbone wenye watatoa kwa jina zengine wanatangaza!?
Dr mungu akubariki sana
Kama unamkubali doctor sule gonga like hapa
Doctor sule amemutapeli babangu mukwe alimudanganya atamutumia dawa akadanganya hadi akafa hadi mbele akateroho akaomba wakutane kiama
ANOSEMA KINATAKIWA CHANO NI MGANGA! ANAJIDAI KUPANDISHA SHETANI KICHWANI KWAKE STI SHETANI ANATAKA CHANO! WAKATI SIO SHETANI NI HUYO MGANGA ONLY NDIE ANOTAKA KILE CHANO! WALA SIO JINNI AU SHETTANI NI MWANA ADAM NDIE ANACT TUU HUYU ANA PALACE LIKE KING! KAZIPATIA WAPI PESA HIZO KUWA YEYE AWE NA JUMBA HILO!? HUYU SHEIKH!? OR MGANGA ONLY!
WEYE SIO SHEKHEE! ABADAN!
@@hanifamasudi9732 huyu ni mganga wa majini ya Muhammad ndiye mnayemsifu ....
KUMKUBALI KWA LIPI?KWA UCHAWI AMA KWA LIPI?HAWO WOTE MOTO WA JEHANNAM UNAWASUBIRI
Mungu ni mmoja tu na asili yake niyeye mwenyewe,Ametuumba kwa mfanano wake
Unaposema mungu katuumba kwa mfano wake hayo ni mawazo potofu mungu hafanani na chocho wala hana mfano
Kwa hiyo yupoje? @@salimsaleh9354
MashaAllah,wanyumbani wazee walikunyima ubunge wa CCM,kule kwetu Rufiji,umetoboa kwa njia nyengine
Nimekupendaaaaa
Mungu akuhurumie Sheikh!
Uhurumiwe wewe ambaye huna akili
@@erastoshedrackhaule9211 huna akili wewe unayetaka kumiliki Hela za majini!
Mungu wako katailiwa na binadamu wake, biblia inasema.
Sjui unanielewa❤❤❤❤
Hongereni sana hakuna mkamilifu
Shekh upo sawa najua unajua kuwa nivigumu kumshawi mtu kupata kitu ambacho (mhamasishaji,) huna.uko sawa tujifunze kwako
Watumishi wa Mungu wamebarikiwa bhana wanadamu sisi tuache maneno
Wamebarikiwa vipi watumishi wa Kikristo ambao wanaamini na kuhubiri Uungu wa Yesu,Utatu mtakatifu haya mambo 2 ni makubwa ni laana kumshirikisha Mungu na viumbe
@@nassoroyahaya821 mwenyezi mungu anawarehemu wema na waovu hapa duniani, ata uwe kafiri vipi mwenyezi mungu anakubariki2
Huyo Dr sule ni mganga wa Kienyeji
Nakupenda shekh kwaajil ya allah
Allah azidi kukubariki Dr Sulle ama kweli neema za Allah zitangazwe
Huyu magumashi si ndio allkiuwa anatoa hukumu juzi juzi kwa msanii
Bwanaweeh
Uzuri doctor sule anaongeaga na kutoa ushahidi kama kuna kitu kakosea mkanushe kwa ushahidi sio kwa kubwabwaja
Wew una sapoti ujinga tu basi
Allah akuongoze kaka ,wew una elimu nzuri ila hapa hatupo pamoja mche allah , hakuna mfungano wa muislam na majini kufanya hvyo ni kujiingiza katika ushirikiano.
Sulle yuko vizuri...
Kwa upande wa majini, umeusemea uislamu uongo jambo usilo na ilimu nalo, unataja aya za uongo, nawanasihi waislamu na wasiokua waislamu wajifunze uislamu kwa watu sahihi watu wenye ilmu sahihi ya dini. Wasikilizen mashaykh wakisalafy Shaykh Qassim mafuta, Abdallah humeid, Abuukhaulah Mbwana Abdi Allah awahifadhi
kweli kabisa huyu ni dr wa nguvu za kiume sasa ukimfanya ni sheikh unapotea
Baarakallah fiyk.
Sawa na swali dogo kwake Dr.SULE iyo PETE inamaana gan?
Uganga tu huoo
@@odilomwemeziernest646 🤣🤣🤣🤣🙌
Pete si kawaida bro au wewe huvai ??
Sema mdaa mwingine Sule Biblia anaiamini vizuri tu.. Nabii hakubaliki kwao ni maneno ya kwenye Biblia sema mdaa mwingine anaiponda
Mm napenda tu huyu mtangqzaji anamasqali mafupi ya hekima yenye point yaani hajakutupuka amejipanga hongera sana
Sawa mganga wa kienyeji tumesikia
Tatizo la makafiri wakisikia jini tu wao wanawaza vitisho uchawi Habari na mambo mabaya tu
Ndio walivyokarorishwa kuwa hakuna jini mwema na wanashindwa kujua nini shetani na nini jini
Hao ni malaika walio mias Mungu,wakatupwa hata pande za chin za nch,, lakin unyakuo ndio utatoa majibu ya muabudu wa kwel ni yupi.
@@bassambashirou4604 Kaka jini na Shetani wote walimuaasi MUNGU na hakuna Hapo mzuri ....Mzuri NI malaika haooo wengine walimuaasi MUNGU na wamelaaaaaniwa
Dr sule me ktk masuala ya Dini ya ukristo upo vizur sana lakini kwenye Quran tukufu sio saana but all in all nakupa big up sana ktk kazi zako za biblia
Majini tuu. Huyu majini ya kuiba pesa. Uongo majini ndio yanampa mali
Dah vibaya kijana
Mnapenda sana waisiraamu majini Sisi tunashamga
Na mwamposa ni mwislam anaetapeli watu kuwaombea ?
@@uwimana6533Mwamposa ndio kiboko yenu nyinyi na Majini yenu kuiba Pesa, kuloga,maradhi n.k
Waisiraamu ndo kina nani. Inaonyesha ww zuzu mmoja usojijua
@@uwimana6533 Mwamposa ndio kiboko yenu Wafuga Majini na Majini yenu
Haya nyie mnae sema mlimoona Mungu amuoni kuwa mnamkufuru Mungu sikiliza maneno mjielew mlipoteya kiasi gani nyie
Muongo wewe Suleiman mungu alimuongoza sio jin
Huyu shehe namwonea mbali Kwa maneno yake
Ohoo hapo kwa suleiman ni kweli unajua lile hekalu ni kweli lilijengwa nq majini tena wakubwa wenye nguvu hapo amepatia
Namkubali sna sheikh doctor sule
Mungu akuhidha sheikh.
Hamna shee umo
We mwislam gani hawa ni warith wa mtuma acha upuuzi
@@Omaryactor01 mpuuzi mim au wew mtume awezi kua na mrith tajir ktk inchi ya kafir hakuna muumin wa kweli akainjoi ktk inchi ya kitwaahud nenda madrasa kwanza
@@ahmedalfan8075kuwa nahaya ww we unaona raha gn kuona masheikh wanakuwa maskini yaan sheikh akiwa napesa wee unachukizwa!
You're talking too much nonsense.... idiot
Shekhe ni Baba ako2
Sule ni mchawi anachificha kwa dini
Fanya taratibu sasa umuhangushe akiruka hewani kwenye ungo tumshangile ndo tujuwe ni mcawi ama laa.
😮😮
Dah bro sio fresh jamaa ana familia na ana watoto na ana wafuasi pia kwaio samahan usimtusi bana mzee
MashaAllah suleee
Mungu akubariki sana shekhe
Salam aleykum shekhe napataje no ya sule ninataka nimpe zawadi atakayo itumia kwenye mizunguko yake nipo urambo
Naomba pia hiyo zawadi nami inisaidie,,,,,nipo Dodoma
Unataka umuongeze jini au
MAZINGE ,SULLE SHEKHE MWAIPOPO SHEKHE MAJINI NK WOTE NI JEHANNAM INAWASUBIRI MATAPELI NA WANAPOTOSHA UMMA
Kwa chuki zako tu
Duuh Mungu ndiye anaehukumu
Kwaiyo wewe una pepo na una moto wa kuwapa watu duu Pole sana tubia mda bado unao
We kama nani mpaka umuhukumu mwanadam mwenzio kua ni wa motoni acha habari zako bwn hiyo ni kazi ya mungu mwenyewe si binadam
@@muhsinihassani2805 ahaa kama unajua hukumu nikazi ya mungu hao mashekhe wako wa mchongo wanachofanya kwa harmonize ni sahihi?hao ni matapeli tu kutwa mtandaoni
Shekh hyo aya siyo neema za kidunia Neema za duniani ukizitangaza unatengeneza hasadi kwa wasio nacho. Na ni riya. Na ndiyo maana haifai kuzungumzia furaha ya wazaz kwa kwa yatima atajisikia vibaya. na mengne mengi yasiyo kuwa hayo.
Jamani naombeni mwenye Yuko na namba ya Dr sule anisaidie Jamani naombeni please
Doctor tuzidi kutuelimisha na tuna zidi kukupenda sana ❤
Shida tunapenda kumuona Paster anaendesha V8 lakini shekhe akiendesha inakuashida kwa watu kuna watu maostadhi wanafundisha watoto wa ma boss ila kanzu imefubaa 😢😢😢 ndio tunasikia furaha si ndio tuache kujishusha waislam tuwaombee sn kwa allah
Haahaahaahahhahha
Ya majini
Ndy Majin walijenga
Mash'Allah...
Tapeli Tu huyu anatuma dini kuibia watu
Natamani nisome kwako na nifanye kazi ya Allah unaniispare sana
Mkweli mungu tu ata wewe tapeli
Kweli au unamdharirisha2 kaka
Kwan naww umeibiwa
Anakera uyu baba😢😢😢
Anakera aje, nafasi ya kutongozwa na yeye uliikosa, hahahaaaa
Kakukera kw lipi au wew ndo jini mbaya roho mbaya tu😅😅😅😅😅😅
😅😅😅😅😅😅
@@sadihashimu4664😂😂
Qur an 9:26 haisemi hayo aloyasema...Mungu atupe uongofu
Interview nzur sana
Haya huyo apo shehe wenu anasema kuna majini mazuri na mabaya, yan unaeza kuyatumia yakuletee pesa, tukisema uislam ni dini ya majini mnakataa
Anaongelea majini na sio uislamu.
Njoo nikufunze bilbilia
Nabii Suleiman kwenye ukristo hayupo!?
Soma na utafiti kwa kina, inavyoonekana una imani ya kukaririshwa
Kuna majini waristo
Na wanaokusapoti ni wenzio
Mtangazaji big up sana unajua
Exactly doctor sulle
Hakuna shekhe hapo.
Wewe ni Sheikh?
Ukisikia kufuru kwa Mungu ndio hiyo sasa, Unaamini Miungu kuwa ina Mali nyingi, lakini binadamu ndie ananguvu kubwa zaidi kuliko huyo Jini kwasababu jini lolote limelaaniwa, ndugu zetu wanakufuru sana bila kujijua,
Binadamu mwenyewe kalaaniwa ndomana tunakufa
Vizuri nawe njo hapa utupe ya kwako tukuskie utatafsir vipi hayo maswali.
We mwenyewe umelaaniwa
Ndio tatizo la kutosheka mapema yaani nyie hamutaki kusoma mkidhani kwamba mnajuwa.weye acha ujinga tafuta elimu ujuwe uumbaji wa Mungu hautasema tena eti majiini yote ya melaaniwa
Huna unachojua ......Kwa kifupi ww ni mjinga
Kuhusu swala la kumuona Mungu haimaanishi kumuona kwa macho ya nyama, bali ni kumuona kwa roho. Tunaita ufunuo ama kufunuliwa. (Revelation) Na kitabu cha ufunuo katika biblia kinaeleza haya.
Ila dokta sule anajua kujibu maswali
Mmi nakukubali sana Dr sure, even though am a Christian
Unasubur nn😂
Nampenda sana YESUKRISTO mimi jamani nampenda kuliko maelezo
Muongo wewe , unampenda mtu usimuona, na hakujui, eti kuliko maelezo,🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa tukusaidiaje na huyo ndiyo bwana yako uliyomchagua.
Kuna siku utang'ata kidole
Endelea kumpenda ila elimu haina mwixho soma ujiue njia sahihi❤
Kumpenda ni huko kumwita mwana wa Mungu ndio Kumpenda
❤mungu akubariki
#sulle usifiche haki haifai kusema eti mwislam akivutiwa na Imani ya upande wa pili aende
Hapa umeteleza sawa ni mtu afate tu uislamu
Dr Sule safi sana watu wamezowea kuwaona mashekhe wanamaisha ya chini sana lkn ww umeweka wazi safi sana
Doctor Sulee you vzr sanaa Allah akuzidishie elmu na ufahamu