JUMBA LA KIFAHARI LA DR SULLE "NDANI YA NYUMBA KUNA JINI LINAMUENDESHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 เม.ย. 2024

ความคิดเห็น • 1.1K

  • @ramadhanimussa2625
    @ramadhanimussa2625 2 หลายเดือนก่อน +65

    UJue watu hawajielewi cz mnapenda kumuona shekhe yuko kwenye jumba bovu anaendesha basikeli ndio museme mungu awajalie sio poa allah awajalie mashekhe wt wafike mbali inshallah

    • @issakobakimanga7738
      @issakobakimanga7738 2 หลายเดือนก่อน +2

      Ewaaa watu wengi ndio fikra zao

    • @SuzyMarroch
      @SuzyMarroch หลายเดือนก่อน

      Amen

    • @ismailabdallah7853
      @ismailabdallah7853 หลายเดือนก่อน +1

      Binadam mawazo yao mabovu sana majin viumbe kama viumbe vingine kuna majini wapotovu kama binadamu kunawema wanaomumcha mwenyezi mungu

  • @user-qe3fs1xc3b
    @user-qe3fs1xc3b 2 หลายเดือนก่อน +20

    MashaALLAH mwenyezmungu azidi kukufanyia wepec kwenye na kheri nyingi za Dunia na akhera mm nakukubali Sana sheikh. Doctor SULE.

    • @UwayezuJosee
      @UwayezuJosee หลายเดือนก่อน

      Mambo! Naomba namba ake please!!!

  • @maciaali3698
    @maciaali3698 29 วันที่ผ่านมา +3

    Doctor Sule unadunisha dini pia unatukana dini,Allah mpenda haki atakudhalalisha mbele ya watu InshaAllah

  • @abasssuleiman6149
    @abasssuleiman6149 2 หลายเดือนก่อน +15

    Nilianza kumkubali huyu bwana tokea miaka ya 2003 nikiwa Mbeya, alisilimisha watu wengi pale, Allah ampe wepesi

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 หลายเดือนก่อน

      Kawaunganisha Kwa majini majini wote wamemuasi Mungu

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um 2 หลายเดือนก่อน +10

    Interview nzurii sana big up...MTANGAZAJI UNAJUA

  • @mwanaikaomar8628
    @mwanaikaomar8628 2 หลายเดือนก่อน +30

    Nnachompendea dr sele.ni mfasaha wa mazungumzo kupita kiasi.humshiki kirahisi kwenye mazungumzo.huyu mtu Allah kampa kipaji kikubwa.mashallah

    • @MisheckSiame-si1yo
      @MisheckSiame-si1yo 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu anisaidie kupata jini mwema

    • @YamunguMuha
      @YamunguMuha 2 หลายเดือนก่อน +2

      Allah gani wewe,hakuna Cha Allah Wala nn,mshirikina mtupu

    • @Famao-dg3ul
      @Famao-dg3ul 2 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@YamunguMuhasiku ukimjua Allah ndio utajua makosa yako

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 2 หลายเดือนก่อน

      Nyie wabongo si mnapenda watu wanaongea sanaaa ndy marole model wenu

    • @mwanaikaomar8628
      @mwanaikaomar8628 2 หลายเดือนก่อน

      @@Famao-dg3ul kabisa yani.👍👍.hajamjua Allah Nani mpaka siku ya Kufa ndo atamjua.Allah ajaalie aslkm kabla ya mauti yake.hajitambui bado

  • @niyongiraidi7242
    @niyongiraidi7242 หลายเดือนก่อน +6

    Allah akuzidishie kira raheri kwa kuokoa nafsi za wajawake Allah kwa kuamrisha heri na kukataza mabaya

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 หลายเดือนก่อน +14

    Kichwa cha stori ulicho andika hapo ni tofauti na alivyo ongea Dr Sulle. Sio vizuri kupotosha watu muogepeni Mwenyezi Mungu.

    • @aishathabit3732
      @aishathabit3732 หลายเดือนก่อน +2

      Huyu muandishi sio mwislamu

    • @aishathabit3732
      @aishathabit3732 หลายเดือนก่อน +1

      Umekosea maana ya haram na halali
      Kasome tena maana hiyo ya halali na haramu

    • @user-dl4mr4bu8w
      @user-dl4mr4bu8w 14 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli kabisa

  • @aminabdalla7824
    @aminabdalla7824 2 หลายเดือนก่อน +10

    Allah anajua zaidi ..... Allah tupe mwisho mwema waislam wote tulioko kwenye mgongo wa ardhi... Allah humma ameen🤲🤲

  • @MusaCleophac-bs9fk
    @MusaCleophac-bs9fk หลายเดือนก่อน +4

    Uoj kisomi zaid nimependa uko vzr xan allah akujalie ❤

  • @maryamkombo2039
    @maryamkombo2039 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dr. Sule, Nakuombea kwa Allah(SWT) akulinde, na akupe Maisha Marefu yenye Afya Kamili, Ili uzidi kuelimisha Umma. Shukran.

  • @muhidinsultan2049
    @muhidinsultan2049 2 หลายเดือนก่อน +15

    Allah akupe afya,Siha,na kila hitajiko lako na Allah aweke barka ktk harakati zako
    Dr sule Allah amekujaalia hakika.

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 2 หลายเดือนก่อน

      Mnamsifia tu huyu ndyo anawakashifu sana akina mwamposa je huu utajili alionao yy kaupata wap? C humo humo kwenye dini? Kama yy yupo kwenye kweli na Akina mwamposa pia wapo kwenye ukweli kikubwa kila mtu adili na upande wa dini yake

    • @muhidinsultan2049
      @muhidinsultan2049 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@ndogoroedson199 Bro wanaadam tuna sir kubwa sana ktk utafutaji wetu kikubwa Sisi sio watoa hukumu hata sisi hasa Mm personal ninamatatizo yangu(mapungufu) Kikubwa ni kuombeana DUA au kufanyiana Maombi 🙏

    • @muhidinsultan2049
      @muhidinsultan2049 หลายเดือนก่อน

      No coment bro🙏

  • @omariaman7818
    @omariaman7818 2 หลายเดือนก่อน +9

    Huyu mtangazaji nimemkubali sana anajua sana kutengeneza maswali

  • @IbrahimMahmoud-em1np
    @IbrahimMahmoud-em1np 2 หลายเดือนก่อน +43

    Mganga wa kienyeji anaetumia mgongo wa dini. Aqida ya ahlu sunna wal jamaa3ah hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Wewe sule mche Allah

    • @fatumaomary6110
      @fatumaomary6110 2 หลายเดือนก่อน +3

      Soma ujue kama una muweza mfate ilala ustake kiki

    • @IbrahimMahmoud-em1np
      @IbrahimMahmoud-em1np 2 หลายเดือนก่อน +6

      Kwahio mtu akikomenti anatafuta kiki sindio?
      Hahahahaha ضعف الطالب والمبطلوب

    • @VukaRails-jp6mf
      @VukaRails-jp6mf 2 หลายเดือนก่อน +2

      Simba ndo simba anamahusiano na binadamu na watu wanafuga kama kawaida sasa jini inashindikanaje? Oxygen yenyewe haionekani na watu wanaitengeza kama kawa na wanamsaidia mgonjwa

    • @heriabudu3207
      @heriabudu3207 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli bro naanza kuwa na tashwishi naye

    • @IbrahimMahmoud-em1np
      @IbrahimMahmoud-em1np 2 หลายเดือนก่อน +13

      Katika uislam sisahihi mtu kuongea kitu hana ujuzi nacho.unaleta mifano ya Simba na oxygen unadhani dini hii haijakamilika katika kila nyanja?
      قال تعالى ما فرطنا فى الكتاب من شيئ.
      Hatujaacha chochote katika kitabu ( yani Quran) then anakuja mtu na mifano ya simba na oxygen. Narudia kusema hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Na if yapo leteni dalili katika kitabu na SUNA au kauli ya wanazuoni wema. قل هاتوا برهانكم إن كنتم صادقين

  • @muhammadally393
    @muhammadally393 2 หลายเดือนก่อน +7

    Dr Sule mimi nakuombea kila la kheri duniani na akhera

  • @user-hu3sc4kg1f
    @user-hu3sc4kg1f 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah tabarika allah mungu akubariki zaidi sheikh

  • @IbrahimNtirenganya
    @IbrahimNtirenganya 2 หลายเดือนก่อน +3

    Allahu Akibar Allah akupe hidayat kama unataka kufaidi nakujuwa mengi kuhusu ilimu ya dini watafute Wana ilimu ya dini

  • @saloom4902
    @saloom4902 2 หลายเดือนก่อน +14

    Bro una maswali critical sna umefit kabisa kuwa presenter Allah akufanye bora zaid ufikie ndoto zako❤

  • @MavisMunyiva
    @MavisMunyiva 2 หลายเดือนก่อน +1

    Very true Daktari Kindly pray for my sons Brian and Raymond to excell in life .Thank you

    • @MansourKabuhaya
      @MansourKabuhaya 2 หลายเดือนก่อน

      Are they islamic?? How can he pray for non Muslim??

  • @ShomaryGango
    @ShomaryGango 2 หลายเดือนก่อน

    I like this interview, you did bro.

  • @kennethjunior6071
    @kennethjunior6071 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mtangazaji big Up sana

  • @benjaminlisi6097
    @benjaminlisi6097 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mtangazaji ana maswali mazuri sana.. watching from Kenya

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 หลายเดือนก่อน +1

    Mtangazaji uko vizuri unauliza ukijitoa big up for that kwasababu uislamu unauchawi wingi 😢😢😢😢 Bali ulipotea sana kwenye mada

    • @mwashumkigoda
      @mwashumkigoda หลายเดือนก่อน

      Uisilam hakuna uchawi were punda mtu

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 หลายเดือนก่อน +2

    MashaAllah shkh Allah bless you

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o 2 หลายเดือนก่อน +9

    Docteur Sule nakukubali sana Sheikh wangu

  • @saiddigogogo8218
    @saiddigogogo8218 2 หลายเดือนก่อน +57

    Nili wai kukupigia cm nilikua na mgonjwa anatapika damu ukanielekeza dawa ...nikaona kama umenizalau kumbe ilikuwa dawa kweli .... inshallah Mungu akuzidishie na akupe maisha malefu

  • @RamadhanKarim-el6tv
    @RamadhanKarim-el6tv หลายเดือนก่อน +1

    Dr Sule Allah akupe umri ugekuwa Rai's ugedelesha Ichi Sana vizuri Sana mashaallah

  • @mwanaikaomar8628
    @mwanaikaomar8628 หลายเดือนก่อน

    We unauliza swali moja.mwamba anakujibu majibu kumi.aaa weee.asante Allah kwa kutupa huyu mtu.dr.sule nchini tz.alhmdulillah

  • @MatildeBjelland
    @MatildeBjelland 2 หลายเดือนก่อน +9

    Jini ni jini Tu hapaswi kuishi na binadamu

    • @VukaRails-jp6mf
      @VukaRails-jp6mf 2 หลายเดือนก่อน

      Mbona kuna watu wanaishi na simba?

    • @user-gt8fw9vk4c
      @user-gt8fw9vk4c หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂acha uoga,mbona Paka Mbwa tunaishi nao ndani

  • @bashirmahero7021
    @bashirmahero7021 2 หลายเดือนก่อน +5

    Sule nakupenda bro

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o 2 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana Sheikh wangu , WE mkweli kabisa

  • @SeifHamad-vn6bo
    @SeifHamad-vn6bo หลายเดือนก่อน +1

    Allah akulinde kwa Kila Shari uzidi kutangaza elimu ya dini❤

  • @thomasgogomoka6404
    @thomasgogomoka6404 2 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu ni Mganga tu wa Kienyeji aliyechangamka, mkiambiwa Waislam mnafuga majini mnakasilika.

    • @solissereeh7913
      @solissereeh7913 หลายเดือนก่อน

      na nyie hamuabudu mpka muonyeshwe miujiza😮

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 2 หลายเดือนก่อน +7

    Dr. sulle nakukubali unajua kunyoosha maneno adi raha

    • @samwelmatemu8873
      @samwelmatemu8873 2 หลายเดือนก่อน +1

      Dini yenu hiyo ya mashetani

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 2 หลายเดือนก่อน

      @@samwelmatemu8873
      Kwa maono yako

    • @IbrahimMwinyi
      @IbrahimMwinyi 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@samwelmatemu8873kwa nn

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@samwelmatemu8873yenu yakishoga sio

    • @samwelmatemu8873
      @samwelmatemu8873 หลายเดือนก่อน

      Kwa kufuga mashetani sio

  • @allymwinja2693
    @allymwinja2693 2 หลายเดือนก่อน +5

    Dr. Sule ni MTU NA NUSU. Allah akulinde Sana🤝🙏

  • @abdallahsalem8499
    @abdallahsalem8499 หลายเดือนก่อน +1

    Salaam Aleikum Dr. Sule,
    Nakuomba unipatiye number ya Clinic yako Mombasa, jazakallahul kheir

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina3893 2 หลายเดือนก่อน +4

    Daah hapo kazi kweli kweli, Masheikh wanatakiwa wasome tawd sana wanapotosha watu haswa wale ambao wanataka kuingia kwenye uislam

    • @DOCTORYKAGUFA
      @DOCTORYKAGUFA 2 หลายเดือนก่อน +1

      kwann unasem ivo

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 หลายเดือนก่อน

      ndo ukweli huo wa Doctor Sule ndugu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@DOCTORYKAGUFAAnaogopa tumejua ukweli ndani ya Uislamu

    • @anthonymgina3893
      @anthonymgina3893 2 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli katika Quran Allah amesema amewaumba binadamu na majini lengo ni kumuabudu kama ilivyo kwa viumbe vingine ambavyo hatujui wanaabudu vipi nao ni waislam ila jini lolote likiungana na binadamu tayari hakuna lolote isipokuwa ni uovu tu maana hakuna ushirika wa jini na binadamu kisheria, wao wanaabudu kinamna yao nasi kinamna yetu. NB yoyote ambaye yupo karibu na viumbe hawa mara nyingi wote wanakuwa ni waasi na niwashirikina. Na hakuna mwislam yoyote ambaye ni Sheikh atakuja na hadith au aya ambayo ina ruhusu sisi kufungamana na majini.

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 หลายเดือนก่อน

      Misunderstandings tupu

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu Tusaidie sana Hizi zama ni Hatar Sana

    • @user-sh3tr8cm1v
      @user-sh3tr8cm1v 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sana walai...

    • @user-rq9hb7hl3g
      @user-rq9hb7hl3g 2 หลายเดือนก่อน +1

      Fitna kila kona, Allah atujaalie uongofu na tufe ilhali tupo katika uongofu

  • @PaulMsema
    @PaulMsema 2 หลายเดือนก่อน +17

    Mungu ni mwaminifu pia mvumilivu sana,siku moja maji na mavuta yatajitenga kuhusu Imani zetu

    • @mwanaikaomar8628
      @mwanaikaomar8628 2 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli kabisa maneno yako.lkn tunapaswa kuchunguza kabla ya kujitenga hayo Maji na mafuta.ili tuweze kufuata dini ya kweli.kwani tukisubiri Hali hiyo mpaka itokee itakuwa Ni too late.hapo litakalofuata Ni moto tu.hivyo tuchunguze na kusoma Kwa undani zaid vitabu.tusijetukachelewa.mara nyingi kwenye viwili.kimoja kinakua wrong.nayo Ni dini ya kikristo.tubu mapema kabla ya kifo

    • @Rmkh88
      @Rmkh88 2 หลายเดือนก่อน +2

      Yameshajitenga tayari, Uislamu ni haki na ukristo ambao Mungu ameuliwa na akasulubiwa ni batili. Mungu amezaliwa na binadamu? Lol

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 2 หลายเดือนก่อน

      Hizi dini tumeletewa watu wengi sasaivi wamerudi kwenye asili zao, jamani turudi kwenye asili zetu 😂😂😂 jamani hivyo vyote vyawezekana

    • @ELIASFELIX-bq2nc
      @ELIASFELIX-bq2nc หลายเดือนก่อน

      @@Rmkh88 dini za majini na mapepo na mizimu zimekuwa haki. Ama kweli hekima ya mwanadamu kwa Mungu ni upumbavu

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 หลายเดือนก่อน

      Mungu wako hakujua kuwa atauliwa na binadamu wake, mission ya Mungu imefeli maana Bado tunaendelea kutenda dhambi...ukristu ni rubbish in the rubbish pit.

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 2 หลายเดือนก่อน +3

    Simu yako alete nani sasa Dr.Sule wakati simu unayo mwenyewe?😂😂🙌

    • @frankmichael411
      @frankmichael411 2 หลายเดือนก่อน

      😅

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@frankmichael411 Bhana weeee watu tunambwembwe kwenye mgongo wa ardhi hatari sana😂😂

  • @ArafaSuleiman-db9pw
    @ArafaSuleiman-db9pw 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mashallah Barakah ALLAHU fiiqum hbbi shekh wangu doctor sule kwn ss wa kenya tunakupenda kwa minajili y Allah swt akulinde na kila aina husda na balaa na akupe mwisho mwema aaamiin

  • @oklahommy9838
    @oklahommy9838 2 หลายเดือนก่อน +5

    Audhu Billah huyu Dr sule ...Allah ndio ajuaye

  • @uwimanajustine7313
    @uwimanajustine7313 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenyezi Mungu aki kubariki ,jivunie na utangaze,mbone wenye watatoa kwa jina zengine wanatangaza!?

  • @user-dp8hr7ex5p
    @user-dp8hr7ex5p หลายเดือนก่อน +2

    Dr mungu akubariki sana

  • @user-MRTSLONLINE
    @user-MRTSLONLINE 2 หลายเดือนก่อน +113

    Kama unamkubali doctor sule gonga like hapa

    • @hanifamasudi9732
      @hanifamasudi9732 2 หลายเดือนก่อน

      Doctor sule amemutapeli babangu mukwe alimudanganya atamutumia dawa akadanganya hadi akafa hadi mbele akateroho akaomba wakutane kiama

    • @bas2823
      @bas2823 2 หลายเดือนก่อน

      ANOSEMA KINATAKIWA CHANO NI MGANGA! ANAJIDAI KUPANDISHA SHETANI KICHWANI KWAKE STI SHETANI ANATAKA CHANO! WAKATI SIO SHETANI NI HUYO MGANGA ONLY NDIE ANOTAKA KILE CHANO! WALA SIO JINNI AU SHETTANI NI MWANA ADAM NDIE ANACT TUU HUYU ANA PALACE LIKE KING! KAZIPATIA WAPI PESA HIZO KUWA YEYE AWE NA JUMBA HILO!? HUYU SHEIKH!? OR MGANGA ONLY!

    • @bas2823
      @bas2823 2 หลายเดือนก่อน

      WEYE SIO SHEKHEE! ABADAN!

    • @JumOnyancha
      @JumOnyancha 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@hanifamasudi9732 huyu ni mganga wa majini ya Muhammad ndiye mnayemsifu ....

    • @stevensosipita
      @stevensosipita 2 หลายเดือนก่อน +2

      KUMKUBALI KWA LIPI?KWA UCHAWI AMA KWA LIPI?HAWO WOTE MOTO WA JEHANNAM UNAWASUBIRI

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes3596 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu ni mmoja tu na asili yake niyeye mwenyewe,Ametuumba kwa mfanano wake

    • @salimsaleh9354
      @salimsaleh9354 หลายเดือนก่อน

      Unaposema mungu katuumba kwa mfano wake hayo ni mawazo potofu mungu hafanani na chocho wala hana mfano

    • @godfreydavid6847
      @godfreydavid6847 24 วันที่ผ่านมา

      Kwa hiyo yupoje? ​@@salimsaleh9354

  • @MustaphaKiluke
    @MustaphaKiluke หลายเดือนก่อน

    MashaAllah,wanyumbani wazee walikunyima ubunge wa CCM,kule kwetu Rufiji,umetoboa kwa njia nyengine

  • @user-ci1hf6fm7t
    @user-ci1hf6fm7t 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nimekupendaaaaa

  • @ELIASFELIX-bq2nc
    @ELIASFELIX-bq2nc 2 หลายเดือนก่อน +8

    Mungu akuhurumie Sheikh!

    • @erastoshedrackhaule9211
      @erastoshedrackhaule9211 หลายเดือนก่อน

      Uhurumiwe wewe ambaye huna akili

    • @ELIASFELIX-bq2nc
      @ELIASFELIX-bq2nc หลายเดือนก่อน +1

      @@erastoshedrackhaule9211 huna akili wewe unayetaka kumiliki Hela za majini!

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 หลายเดือนก่อน

      Mungu wako katailiwa na binadamu wake, biblia inasema.

  • @kambiyusufu2776
    @kambiyusufu2776 2 หลายเดือนก่อน +3

    Sjui unanielewa❤❤❤❤

  • @user-ou2og1ze9d
    @user-ou2og1ze9d หลายเดือนก่อน +2

    Hongereni sana hakuna mkamilifu

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv8380 2 หลายเดือนก่อน +1

    Shekh upo sawa najua unajua kuwa nivigumu kumshawi mtu kupata kitu ambacho (mhamasishaji,) huna.uko sawa tujifunze kwako

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 2 หลายเดือนก่อน +2

    Watumishi wa Mungu wamebarikiwa bhana wanadamu sisi tuache maneno

    • @nassoroyahaya821
      @nassoroyahaya821 2 หลายเดือนก่อน

      Wamebarikiwa vipi watumishi wa Kikristo ambao wanaamini na kuhubiri Uungu wa Yesu,Utatu mtakatifu haya mambo 2 ni makubwa ni laana kumshirikisha Mungu na viumbe

    • @vesper2548
      @vesper2548 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@nassoroyahaya821 mwenyezi mungu anawarehemu wema na waovu hapa duniani, ata uwe kafiri vipi mwenyezi mungu anakubariki2

  • @patsonkyando1732
    @patsonkyando1732 2 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo Dr sule ni mganga wa Kienyeji

  • @user-wf4vp6zu2y
    @user-wf4vp6zu2y 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda shekh kwaajil ya allah

  • @fatmahussein1238
    @fatmahussein1238 2 หลายเดือนก่อน +3

    Allah azidi kukubariki Dr Sulle ama kweli neema za Allah zitangazwe

  • @ahmadifataha6677
    @ahmadifataha6677 2 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu magumashi si ndio allkiuwa anatoa hukumu juzi juzi kwa msanii

    • @khamisyahya7703
      @khamisyahya7703 2 หลายเดือนก่อน

      Bwanaweeh

    • @omariaman7818
      @omariaman7818 2 หลายเดือนก่อน

      Uzuri doctor sule anaongeaga na kutoa ushahidi kama kuna kitu kakosea mkanushe kwa ushahidi sio kwa kubwabwaja

    • @SumaiaIssa-px4pl
      @SumaiaIssa-px4pl หลายเดือนก่อน

      Wew una sapoti ujinga tu basi

  • @mmeagroup-TV
    @mmeagroup-TV หลายเดือนก่อน

    Allah akuongoze kaka ,wew una elimu nzuri ila hapa hatupo pamoja mche allah , hakuna mfungano wa muislam na majini kufanya hvyo ni kujiingiza katika ushirikiano.

  • @user-nu4qn4ep4z
    @user-nu4qn4ep4z 2 หลายเดือนก่อน

    Sulle yuko vizuri...

  • @abdullahmsuya665
    @abdullahmsuya665 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kwa upande wa majini, umeusemea uislamu uongo jambo usilo na ilimu nalo, unataja aya za uongo, nawanasihi waislamu na wasiokua waislamu wajifunze uislamu kwa watu sahihi watu wenye ilmu sahihi ya dini. Wasikilizen mashaykh wakisalafy Shaykh Qassim mafuta, Abdallah humeid, Abuukhaulah Mbwana Abdi Allah awahifadhi

    • @hajihaji123-lp5lx
      @hajihaji123-lp5lx 2 หลายเดือนก่อน

      kweli kabisa huyu ni dr wa nguvu za kiume sasa ukimfanya ni sheikh unapotea

    • @jayabdy7273
      @jayabdy7273 29 วันที่ผ่านมา

      Baarakallah fiyk.

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 2 หลายเดือนก่อน +3

    Sawa na swali dogo kwake Dr.SULE iyo PETE inamaana gan?

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 2 หลายเดือนก่อน

      Uganga tu huoo

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@odilomwemeziernest646 🤣🤣🤣🤣🙌

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube 2 หลายเดือนก่อน

      Pete si kawaida bro au wewe huvai ??

  • @HubertMaleko86
    @HubertMaleko86 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sema mdaa mwingine Sule Biblia anaiamini vizuri tu.. Nabii hakubaliki kwao ni maneno ya kwenye Biblia sema mdaa mwingine anaiponda

  • @annakattoa7502
    @annakattoa7502 หลายเดือนก่อน

    Mm napenda tu huyu mtangqzaji anamasqali mafupi ya hekima yenye point yaani hajakutupuka amejipanga hongera sana

  • @amanimanase8799
    @amanimanase8799 2 หลายเดือนก่อน +3

    Sawa mganga wa kienyeji tumesikia

  • @RamadhanMohamed-jz6xm
    @RamadhanMohamed-jz6xm 2 หลายเดือนก่อน +4

    Tatizo la makafiri wakisikia jini tu wao wanawaza vitisho uchawi Habari na mambo mabaya tu

    • @bassambashirou4604
      @bassambashirou4604 หลายเดือนก่อน

      Ndio walivyokarorishwa kuwa hakuna jini mwema na wanashindwa kujua nini shetani na nini jini

    • @user-sp7cm8pm4w
      @user-sp7cm8pm4w หลายเดือนก่อน +1

      Hao ni malaika walio mias Mungu,wakatupwa hata pande za chin za nch,, lakin unyakuo ndio utatoa majibu ya muabudu wa kwel ni yupi.

    • @ChoiceSportstv
      @ChoiceSportstv หลายเดือนก่อน

      ​@@bassambashirou4604 Kaka jini na Shetani wote walimuaasi MUNGU na hakuna Hapo mzuri ....Mzuri NI malaika haooo wengine walimuaasi MUNGU na wamelaaaaaniwa

  • @bashirbaruan3969
    @bashirbaruan3969 หลายเดือนก่อน

    Dr sule me ktk masuala ya Dini ya ukristo upo vizur sana lakini kwenye Quran tukufu sio saana but all in all nakupa big up sana ktk kazi zako za biblia

  • @DakorTrony
    @DakorTrony 2 หลายเดือนก่อน +2

    Majini tuu. Huyu majini ya kuiba pesa. Uongo majini ndio yanampa mali

  • @ClementinaHabineza
    @ClementinaHabineza 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mnapenda sana waisiraamu majini Sisi tunashamga

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 2 หลายเดือนก่อน

      Na mwamposa ni mwislam anaetapeli watu kuwaombea ?

    • @RemyDuma-db5fd
      @RemyDuma-db5fd 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@uwimana6533Mwamposa ndio kiboko yenu nyinyi na Majini yenu kuiba Pesa, kuloga,maradhi n.k

    • @susanejd7775
      @susanejd7775 2 หลายเดือนก่อน +2

      Waisiraamu ndo kina nani. Inaonyesha ww zuzu mmoja usojijua

    • @RemyDuma-db5fd
      @RemyDuma-db5fd 2 หลายเดือนก่อน

      @@uwimana6533 Mwamposa ndio kiboko yenu Wafuga Majini na Majini yenu

    • @KSJ6569
      @KSJ6569 2 หลายเดือนก่อน

      Haya nyie mnae sema mlimoona Mungu amuoni kuwa mnamkufuru Mungu sikiliza maneno mjielew mlipoteya kiasi gani nyie

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 2 หลายเดือนก่อน +4

    Muongo wewe Suleiman mungu alimuongoza sio jin

    • @heriabudu3207
      @heriabudu3207 2 หลายเดือนก่อน

      Huyu shehe namwonea mbali Kwa maneno yake

    • @3leggedbird222
      @3leggedbird222 2 หลายเดือนก่อน

      Ohoo hapo kwa suleiman ni kweli unajua lile hekalu ni kweli lilijengwa nq majini tena wakubwa wenye nguvu hapo amepatia

  • @DhaharaniJongo-gt2un
    @DhaharaniJongo-gt2un 2 หลายเดือนก่อน

    Namkubali sna sheikh doctor sule

  • @hajikomora703
    @hajikomora703 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuhidha sheikh.

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 2 หลายเดือนก่อน +18

    Hamna shee umo

    • @Omaryactor01
      @Omaryactor01 2 หลายเดือนก่อน

      We mwislam gani hawa ni warith wa mtuma acha upuuzi

    • @ahmedalfan8075
      @ahmedalfan8075 2 หลายเดือนก่อน

      @@Omaryactor01 mpuuzi mim au wew mtume awezi kua na mrith tajir ktk inchi ya kafir hakuna muumin wa kweli akainjoi ktk inchi ya kitwaahud nenda madrasa kwanza

    • @user-kd6xn7ux4v
      @user-kd6xn7ux4v 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@ahmedalfan8075kuwa nahaya ww we unaona raha gn kuona masheikh wanakuwa maskini yaan sheikh akiwa napesa wee unachukizwa!

    • @silvanusjeremiah8256
      @silvanusjeremiah8256 2 หลายเดือนก่อน

      You're talking too much nonsense.... idiot

    • @safarsafari68
      @safarsafari68 2 หลายเดือนก่อน

      Shekhe ni Baba ako2

  • @Blessedboi8019
    @Blessedboi8019 2 หลายเดือนก่อน +5

    Sule ni mchawi anachificha kwa dini

    • @diagfinamix1861
      @diagfinamix1861 2 หลายเดือนก่อน

      Fanya taratibu sasa umuhangushe akiruka hewani kwenye ungo tumshangile ndo tujuwe ni mcawi ama laa.

    • @heriabudu3207
      @heriabudu3207 2 หลายเดือนก่อน

      😮😮

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube 2 หลายเดือนก่อน

      Dah bro sio fresh jamaa ana familia na ana watoto na ana wafuasi pia kwaio samahan usimtusi bana mzee

  • @Jabaman207-ue6sk
    @Jabaman207-ue6sk หลายเดือนก่อน

    MashaAllah suleee

  • @muktarikwangaika1857
    @muktarikwangaika1857 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana shekhe

  • @salimkocha7396
    @salimkocha7396 2 หลายเดือนก่อน +2

    Salam aleykum shekhe napataje no ya sule ninataka nimpe zawadi atakayo itumia kwenye mizunguko yake nipo urambo

    • @laurentsichalwe286
      @laurentsichalwe286 2 หลายเดือนก่อน

      Naomba pia hiyo zawadi nami inisaidie,,,,,nipo Dodoma

    • @12322879
      @12322879 2 หลายเดือนก่อน

      Unataka umuongeze jini au

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 2 หลายเดือนก่อน +6

    MAZINGE ,SULLE SHEKHE MWAIPOPO SHEKHE MAJINI NK WOTE NI JEHANNAM INAWASUBIRI MATAPELI NA WANAPOTOSHA UMMA

    • @Rmkh88
      @Rmkh88 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa chuki zako tu

    • @user-tg5ru7cb9b
      @user-tg5ru7cb9b 2 หลายเดือนก่อน +1

      Duuh Mungu ndiye anaehukumu

    • @princessmakwega2444
      @princessmakwega2444 2 หลายเดือนก่อน

      Kwaiyo wewe una pepo na una moto wa kuwapa watu duu Pole sana tubia mda bado unao

    • @muhsinihassani2805
      @muhsinihassani2805 2 หลายเดือนก่อน +1

      We kama nani mpaka umuhukumu mwanadam mwenzio kua ni wa motoni acha habari zako bwn hiyo ni kazi ya mungu mwenyewe si binadam

    • @stevensosipita
      @stevensosipita 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@muhsinihassani2805 ahaa kama unajua hukumu nikazi ya mungu hao mashekhe wako wa mchongo wanachofanya kwa harmonize ni sahihi?hao ni matapeli tu kutwa mtandaoni

  • @salumngakonda2182
    @salumngakonda2182 2 หลายเดือนก่อน +1

    Shekh hyo aya siyo neema za kidunia Neema za duniani ukizitangaza unatengeneza hasadi kwa wasio nacho. Na ni riya. Na ndiyo maana haifai kuzungumzia furaha ya wazaz kwa kwa yatima atajisikia vibaya. na mengne mengi yasiyo kuwa hayo.

  • @AhmedyIsmail
    @AhmedyIsmail 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani naombeni mwenye Yuko na namba ya Dr sule anisaidie Jamani naombeni please

  • @CKMO
    @CKMO 2 หลายเดือนก่อน +3

    Doctor tuzidi kutuelimisha na tuna zidi kukupenda sana ❤

  • @ramadhanimussa2625
    @ramadhanimussa2625 2 หลายเดือนก่อน +11

    Shida tunapenda kumuona Paster anaendesha V8 lakini shekhe akiendesha inakuashida kwa watu kuna watu maostadhi wanafundisha watoto wa ma boss ila kanzu imefubaa 😢😢😢 ndio tunasikia furaha si ndio tuache kujishusha waislam tuwaombee sn kwa allah

  • @SangaleSugume
    @SangaleSugume 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ndy Majin walijenga

  • @user-qp5my5ju6u
    @user-qp5my5ju6u 2 หลายเดือนก่อน

    Mash'Allah...

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf 2 หลายเดือนก่อน +5

    Tapeli Tu huyu anatuma dini kuibia watu

    • @hamzarangi7989
      @hamzarangi7989 2 หลายเดือนก่อน

      Natamani nisome kwako na nifanye kazi ya Allah unaniispare sana

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 2 หลายเดือนก่อน

      Mkweli mungu tu ata wewe tapeli

    • @sulleymanselenge4975
      @sulleymanselenge4975 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli au unamdharirisha2 kaka

    • @user-sn2wz8zs8y
      @user-sn2wz8zs8y 2 หลายเดือนก่อน

      Kwan naww umeibiwa

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt 2 หลายเดือนก่อน +3

    Anakera uyu baba😢😢😢

    • @user-nr3uw7bq1r
      @user-nr3uw7bq1r 2 หลายเดือนก่อน

      Anakera aje, nafasi ya kutongozwa na yeye uliikosa, hahahaaaa

    • @sadihashimu4664
      @sadihashimu4664 2 หลายเดือนก่อน

      Kakukera kw lipi au wew ndo jini mbaya roho mbaya tu😅😅😅😅😅😅

    • @user-lc3ho9uy5h
      @user-lc3ho9uy5h 2 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😅

    • @omariaman7818
      @omariaman7818 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@sadihashimu4664😂😂

  • @user-rq9hb7hl3g
    @user-rq9hb7hl3g 2 หลายเดือนก่อน +1

    Qur an 9:26 haisemi hayo aloyasema...Mungu atupe uongofu

  • @sturbbornvideoz8547
    @sturbbornvideoz8547 2 หลายเดือนก่อน +1

    Interview nzur sana

  • @nestarnestar4520
    @nestarnestar4520 2 หลายเดือนก่อน +7

    Haya huyo apo shehe wenu anasema kuna majini mazuri na mabaya, yan unaeza kuyatumia yakuletee pesa, tukisema uislam ni dini ya majini mnakataa

    • @bobsalim4285
      @bobsalim4285 2 หลายเดือนก่อน

      Anaongelea majini na sio uislamu.

    • @savesadgeneration
      @savesadgeneration 2 หลายเดือนก่อน

      Njoo nikufunze bilbilia

    • @swahililyrics4635
      @swahililyrics4635 2 หลายเดือนก่อน

      Nabii Suleiman kwenye ukristo hayupo!?

    • @hassanmitayo1875
      @hassanmitayo1875 2 หลายเดือนก่อน

      Soma na utafiti kwa kina, inavyoonekana una imani ya kukaririshwa

    • @yassinwafula692
      @yassinwafula692 2 หลายเดือนก่อน

      Kuna majini waristo

  • @Magemria
    @Magemria 2 หลายเดือนก่อน +3

    Na wanaokusapoti ni wenzio

  • @PtransJulius
    @PtransJulius หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji big up sana unajua

  • @OmaryIssa-uk4zh
    @OmaryIssa-uk4zh 2 หลายเดือนก่อน

    Exactly doctor sulle

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hakuna shekhe hapo.

  • @octaaalyiii9539
    @octaaalyiii9539 2 หลายเดือนก่อน +33

    Ukisikia kufuru kwa Mungu ndio hiyo sasa, Unaamini Miungu kuwa ina Mali nyingi, lakini binadamu ndie ananguvu kubwa zaidi kuliko huyo Jini kwasababu jini lolote limelaaniwa, ndugu zetu wanakufuru sana bila kujijua,

    • @swahililyrics4635
      @swahililyrics4635 2 หลายเดือนก่อน +3

      Binadamu mwenyewe kalaaniwa ndomana tunakufa

    • @diagfinamix1861
      @diagfinamix1861 2 หลายเดือนก่อน +1

      Vizuri nawe njo hapa utupe ya kwako tukuskie utatafsir vipi hayo maswali.

    • @jumaalhadi4274
      @jumaalhadi4274 2 หลายเดือนก่อน +3

      We mwenyewe umelaaniwa

    • @EmmmaTembo
      @EmmmaTembo 2 หลายเดือนก่อน +5

      Ndio tatizo la kutosheka mapema yaani nyie hamutaki kusoma mkidhani kwamba mnajuwa.weye acha ujinga tafuta elimu ujuwe uumbaji wa Mungu hautasema tena eti majiini yote ya melaaniwa

    • @tahiyasaidi6532
      @tahiyasaidi6532 2 หลายเดือนก่อน +2

      Huna unachojua ......Kwa kifupi ww ni mjinga

  • @muhituchristian5621
    @muhituchristian5621 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuhusu swala la kumuona Mungu haimaanishi kumuona kwa macho ya nyama, bali ni kumuona kwa roho. Tunaita ufunuo ama kufunuliwa. (Revelation) Na kitabu cha ufunuo katika biblia kinaeleza haya.

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ila dokta sule anajua kujibu maswali

  • @kennethjunior6071
    @kennethjunior6071 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mmi nakukubali sana Dr sure, even though am a Christian

    • @Itsblackghost
      @Itsblackghost หลายเดือนก่อน

      Unasubur nn😂

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 2 หลายเดือนก่อน +14

    Nampenda sana YESUKRISTO mimi jamani nampenda kuliko maelezo

    • @znaqmumeja2678
      @znaqmumeja2678 หลายเดือนก่อน +2

      Muongo wewe , unampenda mtu usimuona, na hakujui, eti kuliko maelezo,🤣🤣🤣🤣🤣

    • @user-nb2ql7zw3i
      @user-nb2ql7zw3i หลายเดือนก่อน

      Sasa tukusaidiaje na huyo ndiyo bwana yako uliyomchagua.

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 หลายเดือนก่อน +2

      Kuna siku utang'ata kidole

    • @user-yu1zo9pf4o
      @user-yu1zo9pf4o หลายเดือนก่อน +1

      Endelea kumpenda ila elimu haina mwixho soma ujiue njia sahihi❤

    • @jumamwacharodzikowa523
      @jumamwacharodzikowa523 หลายเดือนก่อน +1

      Kumpenda ni huko kumwita mwana wa Mungu ndio Kumpenda

  • @user-og6qz2ht6e
    @user-og6qz2ht6e 2 หลายเดือนก่อน

    ❤mungu akubariki

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 หลายเดือนก่อน

    #sulle usifiche haki haifai kusema eti mwislam akivutiwa na Imani ya upande wa pili aende
    Hapa umeteleza sawa ni mtu afate tu uislamu

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 2 หลายเดือนก่อน +8

    Dr Sule safi sana watu wamezowea kuwaona mashekhe wanamaisha ya chini sana lkn ww umeweka wazi safi sana

    • @HalimaSuleiman-ks8md
      @HalimaSuleiman-ks8md หลายเดือนก่อน

      Doctor Sulee you vzr sanaa Allah akuzidishie elmu na ufahamu