UBAHILI WA WA DUTCH |NAMNA YA KUCHAGUA MWENZA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 เม.ย. 2023
- Dorice, ametoa mtazamo wake kuhusu wanaume wazungu wa Uholanzi, na namna gani unaweza kupata mwenza.
Pia ametuambia, ni lazima ujue unahitaji nini kutoka kwa mwenza.
Ni sawa upo kwa fundi cherehani umeenda kushona nguo, utachagua mtingo wa nguo unaoutana na details zake.
I Hope Video hii itakupa mafunzo mazuri.
Enjoy and Learn
Singles = Date with INTENT
Thank you to Dorice for allowing it to be online
Nimekupenda sana Doris,ni mchangamfu sana, from Netherlands,mama boys
Yaani ni Kwamba ukianza Online dating hakuna kukata Tamaa mpaka uchukue National World Cup 😂😅
Inaonekana lazima uchukue kombe😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂 kwakweli
Mitandao lazima ulipie
Mdada mcheshi na pia yuko real.... Was good to watch
She is amazing
Hapo kwenye mikate 😂, kuna siku nilienda kigamboni tulialikwa kwenye party ya wadutch my God nilihisi tumetembelea bakery now I get it
Umenichekesha, utadhani umeenda bakery 😂😂😂😂ungenijua ningekupa hints zao nimewahi kuishi kwao sana.
Nakupenda mbena mwenzangu
Tunawapenda jamn
Doris ni mrembo kweli❤alafu sauti Daaah😊😊:Alafu wengine wanatamani wazungu mjitume pia kujifunza kizungu .
She is amazing
@@OfficialDatingAssistanceyou are amaizing too❤😊mmependeza
Hahaha Doris umenichekesha asante kwa stories nzuri, God bless you Shania kwa kumleta Doris kwenye show
Nimechelewa kuona hii Interview jamani Nampendaga huyu mdada jamani namuonaga Instagram tu ni Mrembo sana alaf very classy! Na tunaishi nchi moja sema mini tofauti
She is amazing 🥰
Jamani Hadi laha
Honger Sana dada mnaendelea kututia moyo Sisi wengine ❤
Ahsante sana
❤❤❤❤😂😂😂😂😂kama mchina vile 🎉🎉🎉
Mashalla Mashalla Mashalla
Mzungu Hana Shida anaheshimu ukisema kitu 😂😅
Good story, you never get tired of listening...... ☺️😍
Ahsante
Aardappellen, umenichekesha viazi na mikati typical dutch trot....😂😂😂 Uzuri tu kimombo utaishi nacho mpaka vijijini.
Asante tunajifunza
Wao❤❤❤
Beautiful story
Sana
Doris mrembo mcheshi mashallah ❤❤❤❤
Hongera kwa Interview nzuri. 😍
Ahsante dear
Hiki kipindi nimekipenda sana.,kinaelimisha vizuri.,na kupatia watu upande wa pili wa shilingi. Big up sana
Ahsante sana.. shukran 🙏
Dorice she beautiful 🎉🎉🎉
Ihi stories nimeipenda sana...nimecheka sana...
🥰🥰
Ukiwa na ndoto yako usikubali kukata tamaa maana ule uwa ndiyo uhalisia wa safar ya maisha yako issue kubwa watu ukata tamaa mapema ndiyomaana wanaofanikiwaga kufikia ndoto na malengo yao ni wale wapambanaji wasiokata tamaa Big up wapambanaji wote
She is a good story teller ❤
Yes and lovely
@@OfficialDatingAssistance ALOOH
Doris haboi wala hapoi🥰😘
Sana
Sauti mashallah
You're truly nice ❤❤❤
❤️❤️
@@OfficialDatingAssistance naomba no yako ya simu
My dia mzima
Mzima dear
Muko vyemaaa tuna wachek from Tz
Ahsante sana
❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂🙌 mashem shem
😁
Dada anachekesha 😂😂😂 nimempenda
From Amsterdam Nederlands,
Nikipenda kipindi powa ❤
Nipokee nakuja January 24
❤
Nimekupenda dada unasimulia vizur
She is sweet
Kwa hiyo kumbe wazungu unahusstle kuwatafuta yaan Hadi ww ndio uhangaike kuwapata Sasa sijui unakuwa ni mpango wa MUNGU wa kufosi😂😂😂😂
Wallah nimechaka vibaya mno😅😅😅😅😅😅😅😅
Enjoy dear
Doris Your So Beautiful.... Your husband is One Lucky Man... I think angechelewa tuu... Ningekubeba mzima mzima... Ur so beautiful na bando langu umemalizaaa ... Tigo wzi sna.... Real talk I enjoy you
Abednego umetisha 😁🤣
😂😂
Stop simping
Samaki wabichi na vitunguu 😂😂😂😂
Nime cheka saana lakini upo vizuri.
Enjoy 😉
@@OfficialDatingAssistance asante kipenzi
Nimekipenda kipindi chako dada,halafu kidogo umetaka kufanana na Joyce Kiria
Ahsante sana
Uwiii usiniambie 😁😁
Yani wamefanana sana sana
😂😂😂😂 ngoja niingie mtandaoni
Doris....you are so charming babe❤
She is amazing
Frog😅😂😅
Shennah wangu
😍
Mnajiungaje
Karibu darasani
Mgeni ana vidole vizuri mnoo
😁😁 she is cute
amestacki
Wa Swiss pia wabahili sijapata kuona but tuko nao tunapambana nao hivyo hivyo 😜🇨🇭
Weee usiniambie 🤣
Punguzen kingeraeza hatuwaelew banaaaa
Pole na karibu sana i hope itakusaidia pia ku improve kingereza mdogo mdogo.. darasa ni popote 😁
Nivizuri pia kujifunza kama unatamani kuolewa na mzungu : don't limit yourself in one language jifunze jifunze
Dadaa D yuko na stor poa sana
Sana
@@OfficialDatingAssistance nahitaj kujiunga naanzaje dear!
miaka 9 naangaika kutafuta wazungu nasijapata jmni unafika atua unakata tamaa
Mm ninayependaga kutunzwa kwa kila kitu mbn hapo pagumu.kweli kila mtu na mtuwe.
tunaomba hiyo list ya mitandao na sisi
Amestuck
Endelea alirudi hewani
Ukipata bahati wewe shukuru Mungu usipate zambi za kumuangamiza mtu
Kabisa
Mimi natafuta mke model,flani,kutoka,UK,Marekani,na,mholanzi
Wapo wanejaa tele kwenye mtandao
Online dating ukiwa mvumlivu unafanikiwa mie jamani nilikuw nahahakisha daily sikoni Elfu moja ya vocha.
Amen
Inasaidia sana mitandao mimi nilivyofika Usa nilihakikisha napata mume haraka nilikuwa na dating site karibu 6 mume wangu nilimpata baada ya mwezi mmoja tangu nijiunge dating site mmarekani wangu nikajipatia
Huyu dada yaani kma Gigi money vile aiseee daaah 😁
Atatuma makavu live.. she is amazing
@@OfficialDatingAssistance nlipenda alivyo kuwa anaongea yaani kma Gigi money 🙌
Anawasha Moto wa Gas ⛽️
Jmn nimempend hy dada 🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣 anatumia jn gn inst nikamuone
Queen4realeddy
Naomba unielekeze uwe menta wangu tafathali
Karibu darasani kipenzi
@@OfficialDatingAssistance sawa naomba muongozo
Jmn mm natamani kujiunga lakn sijui naanzaje amestak
Tuandikie office@oda.international
Ndio
Amestak
Amestaki
Kipindi kinaondoa stress.
Amesck
Wee dorice mweu kweli, eti mbagala uwezi kukutana nayeee, nikweli nimeipenda
Karibu 😁
Naomba namba yako
Because kopo la deodorant 🤣🤣🤣
Mimi nina ability ya ki afrika ila nina uraia ya dutch national holland nina ishi amasterdam netherlands
Nafurahi kusikia.. Karibu tufanye interview kama hutojali
Jmn mm natamani kujiunga lakn sijui naanzaje
Karibu darasani
Mm mwenyewe nimeshindwa
Apps zipo nyingi tu. Download my dear
Ukishadownload unajisajili
AMESTACK
Shena natamani kusikia na wewe love story yako na your husband kama huyojali😃
Ipo story yangu kwa videos za chini
Hili neno la UBAHILI kwa kila mwanamke linakera sana yaani wimbo ubahili kwa maana hiyo kumbe huwa mnatakaga wanaume incase of money sio? Kwa vile wanawake mnalizungumzia sana nadhani ndo mwapenda pesa sana kuliko mhusika mwenyewe
Me naweza kusema wazungu wa Netherland wanaume ni mfano wa kuigwa Wana care sana na utu wanao.najivunia Kwa hili
Hongera sana
Unaongea lugha nzur ya mama samia twakusiliza uongee twaomba
Nawish niwape na story yangu😢 mjifunze kitu
Karibu Adillah +4367764790884 tuwasiliane whatsapp
Ni wa ngapi huyo sasa
Kufanyaje?
Bundle in Tz is worse than anywhere in the World.mzungu Mbagala😂😂
Dada naomba namba yako
Acheni hizo mie nimeenda bongo kifurushi cha elfu thalathin nimetumia karbu mwez mzim
Kama unatumia watsapp tu unategemea nini😂😂😂😂
@@zaydelabay9776 music TH-cam
dada uko vzuri na sr yupo open sana sasa tnataka tips na experience za wanaume kupata wanawake wakizungu so wadada tu🤣
Ipo video na mkaka na zinaendelea kuja zingine
My dream also
Amen
Amestck
Muwe,mnajibu,mesege,zetu,pia
Tunajibu kaka
anaweza tutajia hiyo dating site.
Zipo Video niliweka na nitazidi kuwawekea
Naskia wazungu wa ulaya mashariki Hawana shda sana
Shida Zipi kipenzi ?