ANAJALI MBWA NDIO MTOTO WAKE | KUISHI NA MZUNGU KUNAHITAJI KUJISIMAMIA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ส.ค. 2023
- Pungua kwa Afya (Aneth) ameeleza mengi kuhusu wazungu na maisha ya Marekani kiujumla
Tofauti ya utamaduni na jinsi gani ya kuishi na Mzungu.
Namba ya kujua kujisimamia wewe mwenyewe hata kama upo kuishi nchi ya mbali ambako sio kwenu.
Pia anasaidia watu wanaohitaji kupungua kwa afya, unaweza mcheck kwa Instagram @pungua_kwa_afya na atakusaidia.
Thank you Aneth for allowing this to be online
www.Oda.international
Mimi na mwanangu yani tunastaili kuishi huko marekan bcs tunapenda sana wanyama hususan mwanangu anapenda sana wanyama anapenda sana paka yan analia sana paka akifa or akiteswa..so inshallah we deserve to live there in America inshallah one day yes
Dada anaeleza ukweli,,hata Tanzania maisha yapo tena mazuri tu,zaidi unakuwa huru,,,,tufanye kazi,,,,,
Shena naomba namba ya huyo dada nahitaji kupunguza uzito
Jidanganye
Mi nipo Uingeleza nimeipenda sana hii chanel.
Jamaniiiii weee huyu dada TUMTUNZE hahahahahahaha yani vigeregereeeee!!!! Wacha weeee yani huyu marekani ni YAKE!! I am tell y’all she’s going places wa marekani wanavyosema “she’s going places for sure” yani me nayajua haya yote kwakukaa kuhu na kulelewa huku sababu nimelelewa kwenye lifestyle ya kimarekani miaka 19 yeye anayajua haya kwa muda mfupiiii sana. I am blowing away. Mana wabongo ni sugu kwa kutotaka kujifunza. Ila huyu dada I am so so PROUD OF HER.
Dada Shema huyu anatudanganya bwana kazaliwa huku
She is amazing 🥰😁
Yaaan najifunza vitu vingi kupitia dada yangu shukran sijutii mb zangu
Shukran sana
Huyu dada nimempenda sana anaelezea ukweli ❤
Daaaaah umejua kunifurahisha Madam Aneth😅 Umejua kusema yoteee wanasema Jasiri haachi Asili😅 umejua kusimama ki Africa hutaki masihara🙌😂
naomba umlete tena huyu dada...mweeeh❤❤ i just love her kwakwel..😂😂 n mkwel mpk raha
Dada huyu anaeleza vizuri sana hongera
Nimeenjoy hii interview na mimi nimerelate na mambo mengi kweli wamarekani unaweza kuwageneralise kwa kusema wanapenda sana immediate family members and their pets.
Waoooh! Huyu dada namjua na mzungu wake hata haringi alikuwa mteja wangu wa popcorn nime furahi kusikia historia yao.
Aiseeeh hii interview ni nzuri sanaaa tena mnoooo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Was a nice pet you know,nimecheka sana
Shena mtafute huyu dada for part 2 nmempenda jmn story nzuri❤❤❤
Ukweli mtupu hata huku uarabuni yani vipaka wanavifanyia manunuzi ya vyakula.
Me Mkenya naishi Croatia,na nafurahia hii channel yako,nimeiona si mbali but nikipata nafasi hua nasikiliza izi simulizi ni nzuri na za kuelimisha kwa sisi tuliopo huku na ambao wapo kule makwetu Afrika wanapata uelewa,big up siz!.
L0lpl0
Thank you very much 🙏
I appreciate
@@AnnaKisongoro samahani Dada kama unaniuliza mm sijui jinsi ya kujiunga na izi official dating,nilipata wangu nikiwa kwetu kenya alikuja kama mtalii ivo ndo tulikutana.
❤❤❤❤
Dada hongera.umesema ukweli.wazungu maisha yao ni ghali lazima awe ba bajeti ambayo imenyooka.Ni utaratibu wao.Halafu mambo ya extended family kwao sio kihivyo.Hata ukiwa na hela yako mo hela ya familia lazima ibajetiwe
Shena sichoki kuangalia video zako,zinatufundisha mambo mengi
Anayosema ni kweli hata huku dubai wazungu wanapenda mbwa balaa ukienda kufanykz kwao lazima umpende mbwa mie ndio maana Siwez fanya kazi kwa mzungu wanalipa Mshaara Mzr Mashaa Allah lakin tatizo ni mbwa wana wathamin mbwa kuliko sisi
Jamani mimi huyu dada nime MPENDAAAAAA!! Nipo marekani 19yrs sasa na haya anayoongea ni ukweli wa hasilimi zuri sababu ana explaining vizuri sanaaa. Kwa muda aliokuwa nao huku na kujua haya yote yani inaonyesha ni jinsi gani yupo observe na life ya huku everyday. Haweki macho juu juu tuu nyani anaangalia mambo kiundani I AM SO PROUD OF HER WE ACHA TUU. Kuna watu wanakuja miaka na sio wa Tanzania or African tuu hata inchi zingine na hawajua mambo anayojua huyu. Hata wazawa wa huku ni ZERO hawajua kuelezea kufafanua life na situations na ku handle haka anavyojua huyu dada. Tunasema wa Dar wajanja naaah huyu dada ni prove of that statement ain’t 100% true 😂
Nimeona videos za hii channel juzi tuu. But this lady gonna keep on learning about America in & out so well....ain't no doubt about that! Hahaha nothing will shake her or get on her way
Nice
Mko sawa
Huyu dada nimempenda SANA amenipa funzo asante SANA mdada
Umesema vizuri kabisa, wafundishe hao wanaotafuta wazungu kwa desperate . Wajifunze
❤❤❤❤Aneth
Wote mwasikika sasa vizuri
Tunakusikia vizuri
Habari za huko, wow napenda sana kipindi
Nice interview yaaan madini kama yotee😂😂
Huyu dada kaua interview nzuri balaa❤
Somo limeniingia asante sana
Hii nimeipenda kuangalia machoni 🥰🥰🥰
Tunasikia
Nimempenda uyu dada anaongea ukweli. ❤
Shida kwa Dada Aneth
Muko sawa
Nampenda uyo mdada mpk anajua nisalimie watoto wako
Mi kweri mzungu namtaka haka akiishi uko African nipo nitainjoyi kabsa wala staki mapesa 😂❤
Umeongea ukweli mtupu bora mm najua kusuka namshukuru mzungu
Habari gani. Jamanini..
👍
Nawasikia wote
Hahaha nakaa TABATA pia mmi 😍😍😍😍😍
V.,l
Nipenda sn maongezi yk nitumie no ya huyu Dada napenda kupungua.
Tunakusikiaa
Jamaniiii weeeee yani hii video hata haija isha i hato to comment again. Huyu dadaaaa heee yani arudi tena experience yake ikiwa kubwa so we can witness the new growth and more experience. Katika video zote yupo top 5 anayejua kuelezea the REALISTIC ya nchi, maisha na hawa wanaume dada zetu wanao pata huko kuja huku. Mimi nilikuja nikiwa 13yrs old na familia yangu that why ananifurahisha sana nipo 32yrs old sasa
Dada umesema kweli haswa
Huyu dada nimemupenda bure jamani 😂😂😂😂
Sawasawa....mambo ni mazuriii sana.
Wote mnasikika dada shena
Ni kupungua tu na je ukitaka kunenepa kidogo
Mbwaaaa😂😂😂😂😂😂
Ati tunapiga na mawe mbwa daaa😅😅😅😅😅😅
Mom H mwambie desire kafa huku Ili alie vzr😆😆😆😆😆
Hii program nahitaji nakupataje
Tunamsikia
😂😂😂Huyu dada anawajua vilivyo
Habri shenna ,tuunganishe na huyo mtaalamu wa lishe.
Din vipi aisumbui
Tupo😂😂
Na sisi pia
Tunawasikia wote
Tunakusikiya
Tunakusika shena
Wazungu Wana mambo ya ajabu sana
😂😂😂
Tunawasikia
Wewe ni mkweli saana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂yani nimecheka
Ahh nimependa hiyo program yake,Naomba No yake ya Whatsup
Na siku akikuchoka , anakuambia anataka divorce na hakina discussion 😅😅
Naomba namba plzz I need kupunguza weight
Mh hatari
Nope contact zako madam Aneth ili nipungue
Ndo maana sipendi MTU anaependa mbwa,paka ,no thank you!
Asimchukie ila niwe kawaida tu
Ninawapata
Wote mnasikika endeleeni kurupa story
Hi
Hasikiki
Uko mji gani marekani?
Wote mnasikika
Nimecheka sana 😂😂
😂
Mambo shela nitumie number yako
Hi hello shena ni kweli yule kijana Ely hiyo egent ameanzisha kusaidia watanzania kwenda Canada ni kweli, sbb naogopa matapeli wengi
Hi Beatrice, Mimi nafanya mahojiano ya mahusiano lakini wageni wangu wananafasi ya kusema wanafanya nini endapo watapenda kushare na wengine wanachokifanya.
Kuhusu hilo naomba umtafute Elly mwenyewe ili uamue kufanya nae kazi kuendana na wewe mwenyewe ulivyojiridhisha. Mimi nilikuja Austria kwa ndoa na sio Agent. So sijui chochote kuhusu agents
Thanks 🙏
Kiukweri dada yangu nisaidie nipate namba yako naitaji kupunguaaa
Sawa fursa zipo,je elimu niya ngazi ngani?
@@OfficialDatingAssistance huhuhu mbavu zangu jamani,😂😂
Unqàsikia shena
Duh huyu Dada ameniweza kweli kabisa kuwa wewe ni muhimu sana natamani hata waafrika wangeelewa hivyo
Dear wee ni wa kwetu Geita nini?
Mnasikika
Tunakusikia
Wazungus huwa sana udungu
Tunakusikia
Tunakusikia