th-cam.com/users/liveeAK_nhSHqQA?si=67dyP2OiC9zWp2Nf Link ya video ya kwanza th-cam.com/users/liveMkjaVOyGynA?si=avHGUZlDYy8kzjx8 Link ya video ya pili
Wow ! Maombi yaendelee ili aimalike zaidi huyo ana mapenzi na upendo wa dhati ipo siku mtaishi pamoja mmlee mtoto wenu don't give up Mungu yupo na anatenda
Mlioko huku Ulaya mnajua huyu Baba anapitia hali gani... Angekaa na mkewe miezi 6 tuu angebadilika sana... Mama yake anazidi kumtia ugonjwa... Kila saa ni kelele na hamsaidii kwa mazoezi wala nn.... Wamama wa huku ni wachache sana wenye upendo wakuwapigania watoto wao.... Wengi ni kelele na kukuona huna faida tena... But huyu Angekaa na Mama mtoto wake angepona mapema sana..... 😢
But what I’ve learned from this story Fridge zetu zisiwedondoshe Barafu to everyone and Pia kumtegemea Mungu mana katika kila jaribu kuna Mlango Mwingine wa Kutokea
aww for really nimelia machozi ya furaha 😢🙌😒😭😭KWELI MUNGU YUPO GUYS😢❤sis shena your more than a shoulder to cry and learn on 😢❤always proud to know you May God keep you for us ❤❤❤
mwenyezi mungu mkwabwa uyu dada nlikua nafatilia historia yake am happy naamini kwa uwezo wa Allah ataungana na mumewake na mtoto wao na wataishinkwa pamoja .kikibwa usiwahi kukata tamaa kwa umtu unaempenda hata itokee changamoto gani muamini mwenyezi mungu na amini kua mda sahihi u akuja zidi kusali na kuomba mungu
Dada shena tunaomba utuletee mwana dada anaitwa @Amina kupila anatumia hivyo kote hapa TH-cam TikTok interesting kote yeye yupo finland naye pia hua anatoa mafunzo mbali mbali ya ki maisha kwa ujumla
Jamani mungu ni mwema kwakweli huyo baba kama angekaa na mke wake angepona, kwa sababu ulaya kuna stress upweke ni mwingi mno na kuumwa anatakiwa watu wakumsemesha, mama mkwe ndio anazidisha ugonjwa wa mwanae.
Dah'!! Mungu alijionesha.mpk nimelia,nimemuona,namsifu sana huyo Binti,pia mamake kushikamana,naye Kwa Kila hatua.dah.Mungu atasimama juu yenu Hongera sana
Yani huyo mama wa Kuti angejali furaha ya mtoto wake kama kweli anampenda, angewachukua Chendwa na mtoto wake ili wakaishi huko Austria pamoja. I hope one day Chendwa ataungana na mpendwa wake
Hongera pia pole maana bado ni safari ndefu sana ila kikubwa mtoto kakutana na baba ake na kingine Next time nenda ubalozi wa ujerumani hapo ndani kuna ubalozi wao na ni haraka zaidi haina haja ya kupiga simu sijui nchi jirani na ni rahisi hata kuelewana lugha ya mzazi wa mumeo na watu wa ubalozi wa ujeruman and maybe unaweza pata visa ya ujeruman then unaingia Austria wanaweza fanya hivyo pia kama unabahati mtoto anapatiwa sponsor kutoka Krankenkasse ya baba ake kwa 90 days na lawyer bure
Yaani mungu siwezi mtafakari mgonjwa kapewa visa na akafika Tz na akakutana na familia yake waaa ashukuriwe mungu yote yatakuwa mazuri shetani Hana ushindi wataishi pamoja, hayo ndio maombi yangu
Pole dada yo have to get Urania wa mtoto wa kwa baba yake ,Naya Tanzania , dual citizenship, German, and Tanzania, you son to learn Germany Swahili in English is going to help me future when she decide to go to school in Europe do that tomorrow thank you
Shena, huyu.dada hadithi yake ina funzo kiroho na kimwili. Mimi ninahaja ya kumuunganisha bint yangu ni mwalimu awe na mazoea na hili zoezi lako. How will I get you your phone number etc.
Naanza na huyu bibi hwazi kuwa yeye bibi akifa nani atamuugiza kuti! Maana uzeeni hatoweza. High level of selfishness kwa bibi. Hii inamuumiz sana Kuti maana ana uhitajibambao mamake hawezi mpa. Pia mamake kuona utupu wake.ni bora mkewe. Atakuwa anaumia sana. Nimelia sana wakati ninaangalia. Ninamba Mungu akamtendee muujiza ambao watu hawataamini.
Daah ila vibibi vya kizungu na vya kiarabu sijui hua vipoje jmniiiiiiiiii 😅😅😅🙌🙌ila Chendwa ana moyo wa pekee sana Mungu akubariki kwakweli Yan una mapenzi ya dhati ww dada sijapata kuona nakupenda dada Mungu awe nawe ktk kila hatua upigayo ❤❤❤
Anatakiwa specialist wa language awe anafanya mazoezi ya kuongea na kuandika..chendwa utafute kazi huko uende na visa ya kazi ukaishi peke yako na mume wako. Ata improve.
Wajeruman sina hamu nao...nilipitia mengi +vituko vya ndugu...+watu tuliowaajiri kunivuruga kiakil mpaka nikazika mume wangu aliyenithamin mfano wa malkia sisi waswahil baadh ni shida
th-cam.com/users/liveeAK_nhSHqQA?si=67dyP2OiC9zWp2Nf
Link ya video ya kwanza
th-cam.com/users/liveMkjaVOyGynA?si=avHGUZlDYy8kzjx8
Link ya video ya pili
Huyo mama angemfanyia mpango huyu dada na mtoto waende, huyu baba baada ya mwaka angekua vizuri sana,
Huyo ajuza hataki family ya kijana yake😮
Nahisi Shida Ipo Kwa Mama
Weeee hatimaye kuti kapatikana jamani nimefurahi sana mana alijua kutusikitisha😢😢
God is always good aisee part 1 nililia lkn jmn kweli mungu hamsahau aliye mlilia hajawai kachwa ❤❤❤..Glory to God
Nimekupenda dada Mungu akupigania huyo kaka ni wako ni swala la muda tu
Shena hongera mwaya kwa kuwa sehemu ya maisha ya huyu dada
Mbona nalia machozi ya furaha nikikumbuka huyu dada alivyokuwa 1st interview wacha Mungu abaki kuwa Mungu
Jamani jamani. Aise Mungu yupo jaman and true love never dies. Am happy for her
MUNGU Akutunze Zaidi Dear Shena Interview zako zina Mafundisho mazuri Sana ❤❤
🙏🙏
Saaana shena anasaidia mie kaniponya mno uyu dada Mungu ampe maisha marefu
Wow ! Maombi yaendelee ili aimalike zaidi huyo ana mapenzi na upendo wa dhati ipo siku mtaishi pamoja mmlee mtoto wenu don't give up Mungu yupo na anatenda
Mashaa Allah nimefurahi kumuona tena jaameni nilikuwa na muwazia Sana na kumuombea duwaa na shukuru Allah ameirejesha furaha yake Allah Kareem
Natafuta intaview yake ya kwanza siiyoni jaman .Hakika Mungu ni mwema
Dada uko vzr mwenyezi mungu akutie nguvu subira na uvumilivu
yaani huyu mama angeataka maisha ya mwanae yabadilike angeruhusu huyu dada akaenda kumuhudumia kutti yaani angeacha ubishi tu
Jamani huyu dada mungu kasikia maombi yako hakika usiahe kuiomba
Mlioko huku Ulaya mnajua huyu Baba anapitia hali gani... Angekaa na mkewe miezi 6 tuu angebadilika sana... Mama yake anazidi kumtia ugonjwa... Kila saa ni kelele na hamsaidii kwa mazoezi wala nn.... Wamama wa huku ni wachache sana wenye upendo wakuwapigania watoto wao.... Wengi ni kelele na kukuona huna faida tena... But huyu Angekaa na Mama mtoto wake angepona mapema sana..... 😢
But what I’ve learned from this story Fridge zetu zisiwedondoshe Barafu to everyone and Pia kumtegemea Mungu mana katika kila jaribu kuna Mlango Mwingine wa Kutokea
aww for really nimelia machozi ya furaha 😢🙌😒😭😭KWELI MUNGU YUPO GUYS😢❤sis shena your more than a shoulder to cry and learn on 😢❤always proud to know you May God keep you for us ❤❤❤
Ooh Chendwa Wang nimefurai sana kukuona adi machozi yamenitoka MUNGU ni mwema sana ipo siku utaenda kuishi na baba mtoto wako in Sha Allah
Mungu ashukuliwe chendwa usiache maombi mungu yupo
Glory to God , Mungu amutupi mja wake…
mwenyezi mungu mkwabwa uyu dada nlikua nafatilia historia yake
am happy naamini kwa uwezo wa Allah ataungana na mumewake na mtoto wao na wataishinkwa pamoja .kikibwa usiwahi kukata tamaa kwa umtu unaempenda hata itokee changamoto gani muamini mwenyezi mungu na amini kua mda sahihi u akuja zidi kusali na kuomba mungu
Shena mungu akubariki kwa ushauri wako kwa watu wengi hasa huyo dada alikutana na watu kutia wewe, mungu azidi kukuinua maana unamsaada kwa watu wengi
Pole Kendwa usichoke kuomba .Mungu atazidi kukusimamia .
Kwasasa amani ipo mungu ashukuliwe and dada yetu shena ubalikiwe sana unatusaidia umeletwa duniani na mungu kwamakusudi usituchoke amen
Dada shena tunaomba utuletee mwana dada anaitwa @Amina kupila anatumia hivyo kote hapa TH-cam TikTok interesting kote yeye yupo finland naye pia hua anatoa mafunzo mbali mbali ya ki maisha kwa ujumla
Mungu amfanyie wepesi waungane kama familia jamani
Harafu mtt wake angeishi maisha malefu kuishi na huyu Dada da hongera sana mrembo
Jamaanina mkumbuka huyu dada hatimaye Mungu ni mwema
Kweli Mungu ni mwaminifu sana. Naamini shendwa siku moja mtaishi wote na baba wa mtoto wako.
Jaman nimefurahi kumuona Tena huyu dada Mungu ni mwema
Mungu nimwema Kwa kuwa mumeo anaendelea vizuri
Mungu akubariki sana wewe dada, unampenda Mungu na yeye amekuonyesha upendo mkubwa sana.
Mungu Nimwema kwakweli na huyo Binti mvumilivu
Jamani mungu ni mwema kwakweli huyo baba kama angekaa na mke wake angepona, kwa sababu ulaya kuna stress upweke ni mwingi mno na kuumwa anatakiwa watu wakumsemesha, mama mkwe ndio anazidisha ugonjwa wa mwanae.
shena naomba ulete tena ya mary mswidesh yule mama wa mapacha
Dah'!! Mungu alijionesha.mpk nimelia,nimemuona,namsifu sana huyo Binti,pia mamake kushikamana,naye Kwa Kila hatua.dah.Mungu atasimama juu yenu Hongera sana
Masha Allah ame change sana nimefurahi sana kumuona tena Mungu azidi kumsimamia Inshaa Allah
Ooh Hallelujah endelea na maombi mpendwa usiache Mungu anaishi.😊
Yani huyo mama wa Kuti angejali furaha ya mtoto wake kama kweli anampenda, angewachukua Chendwa na mtoto wake ili wakaishi huko Austria pamoja. I hope one day Chendwa ataungana na mpendwa wake
Mama huyu kuting anachangia kumuua mwanae mapema raiti angemruhusu huyu dada kuwa pamoja na mmewe angepona na maisha yangeebdelea
Unafanya vizuri sana Shena. Pia naomba link ya interview ya yule kijana alienda US kwa kupitia Brazil
aisee pole sana Shendwa na mungu akufanyie wepesi katika mambo yako licha ya changamoto kubwa zinazokukabili
Pole.sana dada
Mungu Ni mwema sana shena ubarikiwe sana unawagusa watu
Hongera pia pole maana bado ni safari ndefu sana ila kikubwa mtoto kakutana na baba ake na kingine Next time nenda ubalozi wa ujerumani hapo ndani kuna ubalozi wao na ni haraka zaidi haina haja ya kupiga simu sijui nchi jirani na ni rahisi hata kuelewana lugha ya mzazi wa mumeo na watu wa ubalozi wa ujeruman and maybe unaweza pata visa ya ujeruman then unaingia Austria wanaweza fanya hivyo pia kama unabahati mtoto anapatiwa sponsor kutoka Krankenkasse ya baba ake kwa 90 days na lawyer bure
Mama mkwe hapo kalenga mali. Shindwe kabisa
Hasikiki!lakini all in all God is good always!
Hörgerät sasa shena hongera pia dada mungu ni mwema mashallah ❤❤❤❤
Mungu awatunze Sanaa na mtoto
Da shena ulivyonitumia link ya part one mnimeangalia zote na nimeelewa..stor nzur japokuwa yakusikitisha..mungu atamsaidia
Shena ubarikiwe sana kipenzi umekuwa baraka sana kwa maisha ya wengi. Mungu akutunze dear
Mungu wa upendo,Amina mno fanikiwa sana sijui niseme nini usirudi nyuma,songambele Chendwa.Mungu atakuona ndugu wengi wa upendo
Jamani uyu dada ongera kwa kumrudisha Shena na Mungu akujalie kipenzi
Yaani mungu siwezi mtafakari mgonjwa kapewa visa na akafika Tz na akakutana na familia yake waaa ashukuriwe mungu yote yatakuwa mazuri shetani Hana ushindi wataishi pamoja, hayo ndio maombi yangu
Mtu yoyote WA ulaya hapewi visa kusafiri kokote duniani visa wanakata wakishafika nchi husika
Mwenyezi Mungu ni Mwema wakati wote
Chendwa wetuu😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
POLE sana dada, Mwenyezi Mungu akusimamie
Pole dada yo have to get Urania wa mtoto wa kwa baba yake ,Naya Tanzania , dual citizenship, German, and Tanzania, you son to learn Germany Swahili in English is going to help me future when she decide to go to school in Europe do that tomorrow thank you
Sio nchi zote zina duo citizen dear.
Pole sana chendwa mungu akupiganie ❤ l love love you my dear friend
Hongera sana dada na Mungu akubariki dada Shena
Shena mungu akubariki sana mungu akufungulie milango mikubwa zaidi
Am happy for this sure ❤❤
Daaaah part 1 sijaiona
Kabla sijaanza ata kutizama... Nimefurahi jmn maana nilitizama sehem ya kwanza 😊❤
Mungu ni mwema sana
❤️
@@OfficialDatingAssistanceshena hongera sana kichwa cha Habari story yake ya kwanza uliandikaje
Utukufu kwa Mungu🙌🙌🙌
Sad story but God is faithful
Àmina
Mungu yu mwema ❤
Nilianza kufatilia kipindi chako kupitia huyu dada
Chendwa nina furaha ss kusikia ulionana na kuty..mnapendana japo changamoto ni nyingi.Mungu akusaidie
Praise lord❤❤❤❤❤❤
❤shena mungu akubariki
True love
Shena, huyu.dada hadithi yake ina funzo kiroho na kimwili. Mimi ninahaja ya kumuunganisha bint yangu ni mwalimu awe na mazoea na hili zoezi lako. How will I get you your phone number etc.
Dah!❤
🙏🙏
Ongera saana shena inasaidia saana mpenzi
Thanks beautiful 😍
Mungu wa mbinguni akubariki sana shena ila tuletee felista wa china jamani msukuma mwenzangu
❤❤❤
Mungu aendelee kumpa afya njema
Shena ubarikiwe saaaaaaaaaana❤
Naanza na huyu bibi hwazi kuwa yeye bibi akifa nani atamuugiza kuti! Maana uzeeni hatoweza. High level of selfishness kwa bibi. Hii inamuumiz sana Kuti maana ana uhitajibambao mamake hawezi mpa. Pia mamake kuona utupu wake.ni bora mkewe. Atakuwa anaumia sana. Nimelia sana wakati ninaangalia. Ninamba Mungu akamtendee muujiza ambao watu hawataamini.
Mungu anaweza kila kitu
❤
Yaaaani Maisha haya Kama Move 🥹
Daah ila vibibi vya kizungu na vya kiarabu sijui hua vipoje jmniiiiiiiiii 😅😅😅🙌🙌ila Chendwa ana moyo wa pekee sana Mungu akubariki kwakweli Yan una mapenzi ya dhati ww dada sijapata kuona nakupenda dada Mungu awe nawe ktk kila hatua upigayo ❤❤❤
Zidi kumkabidhi mungu klaktu
Mungu ni Mwema sana 🙏🏼
Sana sana ❤️😘 tusichoke kumuomba yeye 🙏
Nasubilia interview zako nianze kuwatch me apa 😊
Dahh alipatashida
Shena nimekupenda bure, unatoa msaada kwa wageni wako mwingine hapo ni contents tu apate kusaidia aah. Keep it up darling utafika mbali sana
🙏🙏🙏
Da shena uwo ndo upendo wakwel ..uwo ndo kupendana kwenye shida na raha...ila ndugu ndo wamemsababishia matatizo..ila yataisha
Nimefurahi kimpata huyu dada jamni
Mungu ni mwema sana
❤❤❤❤❤
Dada umerud tena😊
Dada Naomba unitafute
+4367764790884 tuwasiliane WhatsApp
Anatakiwa specialist wa language awe anafanya mazoezi ya kuongea na kuandika..chendwa utafute kazi huko uende na visa ya kazi ukaishi peke yako na mume wako. Ata improve.
Endelea na maombi usiache,
🙏🙏
Nimefurahi sana
Naomba kichwa cha habari cha interview ya kwanza ya chedwa
th-cam.com/users/liveeAK_nhSHqQA?si=67dyP2OiC9zWp2Nf
Wajeruman sina hamu nao...nilipitia mengi +vituko vya ndugu...+watu tuliowaajiri kunivuruga kiakil mpaka nikazika mume wangu aliyenithamin mfano wa malkia sisi waswahil baadh ni shida
Pole sana
Karibu sana kwa kipindi +4367764790884
Dear tuekee link ya video yake ya kwanza please 🙏
Naweka dear
Amen Amen amen