NILIKUA MPIGA DEBE TARIME |SASA NINA DEGREE YA UUGUZI SWEDEN |NILIANDAA NDOA HATA SIJUI KAMA ATANIOA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ม.ค. 2024
- Rhoby ameeleza Safari yake ya maisha kutoka Tarime mpaka kufika Sweden, kutoka kwenye familia ambayo kusomesha mwanamke ni hasara mpaka kupata elimu yake ya degree ya nursing.
Ametoa mafunzo mengi.
Thank you Rhoby, for allowing this to be online
www.oda.international
Hongereni sana Shena na Robby kwa hii interview ya aina yake!
Niko na simu mbili na account tofauti! Natumia zote ili zizoeleke, naona moja haitoshi kwa hizi mishe za mtandaoni! Napambana kuondoka kwa hii hali ya maisha niliyonayo kwa sasa! Pia nazitumia kuongeza likes! Na kuwaongezea subscribers! Tuwaunge mkono hawa wanaotupa info na tuzitumie kujiongeza!
Tatizo la binadamu anaweza kukuonyesha njia ila akiona upo serious na anachokwambia anakasirika maana anahisu utamzidi
Kwa kweli maisha ni kupambana yaani inahitajika ujasiri 😂
Ahsante sana Shena kutuunganisha na Robby.
Robby hongera sana kwa kuonyesha Rangi zako mwenyewe ( Your true colours) Ulikataa kukidhi matakwa ya Wazazi na ndugu zako! Ukayatafuta maisha ya ndoto zako! Wewe ni Malkia wa Nguvu.
Tupambane na maisha, baadaye inawezekana.
Maua yako yanakuja.
❤❤❤❤❤❤❤❤
Nimefurahia mahojiano yako na Robhi, ameeleza ukweli ambao watu wengi huwa hawausemi na wengine hawatski kuusikia, ni kweli kabisa maisha ya ulaya ndivyo yalivyo, hata hapa United Kingdom ni sawa kabisa na aliyoeleza Rhobi
Umenipa moyo Dada Roby nina 41 nipo Germany naenda kujiandikisha Shule nilikuwa najiona nimezeeka
Tujuane wa jerumani
@@eusterchacha9799upo sehemu gan
41,hujazeeka bhanaa
Umejielezea vizur sana Tanzania nio kwenye maisha na raha zote
mdada anaitwa Rhobi alikua rafiki yangu tarime mpaka nakula kwake wakati naendesha bus kwa zakaria
Asante sana Dada Robi,kwaujasiri wako,mpaka kusoma na kupata degree.Congratulations.
Shukran sana Shena , na dada Rhobi . Mahojiano haya ni yenye manufaa mno kwa mtu ambaye siku zote yuko tayari kujifunza . Kuna mafundisho mengi tu , ambayo ukiyafanyia kazi unaweza kunufaika .
Nimekupenda bure unaongea kiswahili safi angekuwa mwingine pua na kiingereza kingi
😂😂😂
Ni kweli 😂
Rhobi I am proud of you. Ukiwa Binti mkurya na kutuonyesha kuwa watoto wa kike tunafaida kwa Jamii yetu wazidi kuwasomesha. Ubarikiwe sana.
Asante dada kwa kututia moyo
She is real and i appreciate her alot
Umejikaza mama unabidii sana ya kupambana na maisha uko mfano kwa kila mwanamke ulaya ni ngumu maisha nikutoka jasho niko 7 years lakini nimeshindwa kupata muda wakusoma nurse tu amerika iko kazi mingi sana hata ukiwa hujuwi kusoma kwaandika unapata kazi
My dia naomba mwongozo,maana nimepambana sana kimaisha,nitoke nje ya Tz Sina mtu wa kunisaidia
From zero to hero big inspiration ❤
Yaani Dada hongera sana umeongea ukweli mtupu Mimi nimeishi unachokisema na ni muumini wa hayo unayoamini good luck sn
Hongera sana dada Rhobi, nimekupenda sana na kuipenda shuhudi Yako. MUNGUBABA AZIDI KUKUPA HEKIMA na Upendo mwingi.
Wewe Robby ni fighter kweli, kuna watu wameishi miaka 30 hapa Sweden hawajasoma cho chote .wako tu na kupaty. Ongera sana. 🇹🇿🇹🇿🇸🇪🇸🇪😁😁
Rhobi,niliwahi kuwa na ww trm mjini..baadaye ukapotea ila nimefurahi kusikia ulivyojiendeleza..hongera kwa kupambana Mungu aendelee kukupgania
Sijawahi kuona mwanamke jasiri na mwenye focus kama wewe Rhobi.
Hongera sana sana na Mungu azidi kukuinua.👏🏽
Yani natamani huyu mama yetu ni JAMANI ANAFAA KUWA MTOA MADA ZA KUHAMASISHA WANAWAKE NA VIJANA , NA YUKO POSITIVE, SIMPLE NA DIRECT I LOVE HER STORY IS REALLY.
48:05 hongera Robby wewe ni mfano Kwa wanawake
Uyu dada tunaishi pamoja inchi moja Munge nipa simu yake anipe ushawuli ana exeperiance mu maisha
Yani hii ya kusaidiwa ukifika ukatoboa kuliko yeye sijui kwa nini inatuleteaga shida, kwa nn watu hawaelewi kua mungu anaweza kuwatumia kama daraja kwetu acheni chuki na wivu❤
Hiyo chaty ni nzuri. Imefanya vizuri. 🇸🇪🇸🇪🇹🇿🇹🇿
Interview nzuri sana inainspire.ubarikiwe dada rhobi❤
The best interview mwanamke anaejielewa kujieleza safi sana kwa kujielewa maana wanawake wa Tanzania 🇹🇿 yuko radhi kwake kusiwe na maendeleo lakini hela yake aifiche akanunue makorokocho badala ya kushea na mumewe watengeneze maisha wao wanawaza wakimpa hela mwanaume anaenda kuhonga ndio akili zao zilivyo lakini kushea pamoja kunasaidia kufanya maisha yako pamja na mwenzio kutakua na maendeleo lakini ubinafsi wa wanawake kutegemea mtu mmoja ningumu sana kutoboa watu wabadilike
Daah nmejifunza kitu kikubwa sana kutokukata tamaa,,hata udharaulike vip,pia ndugu ndio wanaongoza kudharauliana sana
Wow raha yakuweka notification on chapu habari hewan😂❤ love you sister shena🎉
Thank you dear 🙏
Alijitoa Muhanga 😂
Sisi Waafrika Wazazi tuna mila Potofu kwa watoto wa Kike jamani, Pole Sana Robby
Inaumiza sana sana😢😢
Asante 😊
“Malmo” ni mji mmoja mwisho wa dunia kaskazini Kabisa mwa Norway. Kuzuri sana lakini baridi. Robby usirudi Huku Africa kuja kusaidia . Waafrica hawana shukrani sana sana utajuta kwa nini umefanya hivyo. Watakukatisha tamaa na wivu mwingi . Tafuta pesa zako ufurahie Maisha na familia yako. Kweli Afrika Ina raha zake ukiwa na pesa lakini Huwezi kuzitengeneza bila figisu figisu na makodi kibao
@@rhobyanderberg1101 musubahti nimekupata vizuri sana hongera kwa kujitambua thamani yako na kufanta kile unachotaka. Wa Tarime hapa tuko pamoja
@@rhobyanderberg1101 musubahti nimekupata vizuri sana hongera kwa kujitambua thamani yako na kufanta kile unachotaka. Wa Tarime hapa tuko pamoja
Mama yuko vizuri sana. Asanteni shena na mgeni wetu.
Jua ruuuga...dada Robi mkurya haswa!!.. I am also Robi.. my dad born and bred in Tarime. I know uncle Zakariah.
Ruth salama? Uko wapi siku hizi
@@Mtanda. nipo
Nimependa story yako halafu ni mkweli Sweden nawajua hao watu vinzuri
😂😂😂
Huyu dada ni mimi kabisa nilimuacha mzungu huku tz tukiw kahama kisa maua mimi nataka pesa yeye ananipa maua😂
😂😂
Robby nimekupenda sana you speak trueth. You look good Mungu azidi kukubariki na moyo wako Mkuu.
Na ni kweli,maisha mazuri yapo nyumbani.
If you know, u know
Shena asantee Kwa kuendelea kutu elimisha
Safi sana wengi huwa hawaelewi kuwa waminifu nimtaji mkubwa kuriko fungu la pesa ❤❤
Hongera Rhobi kwa kuelimisha jamii. Umekuwa muwazi kwa kuongea maisha katika uhalisia wake. Wewe ni kichocheo cha watu kujituma na kufanya kazi kwa bidii ili wafanikiwe. Unaamini na kuishi katika falsafa hiyo. Nadiriki kusema kwamba ufunuo wa Shajara yako inaelimisha mno jamii katika nyanja mbalimbali. Wewe ni mpiganaji na unastahili nishani ya mwaka kama Dada, Mama au Bibi wa mwaka. Nikutakie maisha marefu na yenye siha njema.
❤❤kwakweli Mungu akubariki saaana Dada Robby!!niko apa Stockholm Sweden yote umeongea kwakweli kabisa nimejifunza mengi sana kupitia kipindi kizuri kama iki.
Dada Robby Mungu akubariki Sana maneno yako yamenibariki Mimi . Hata zote ulizozipitia kuanzia nyumbani Hadi kufika ulaya ukweli ni kwamba uliwa ni mpango wa Mungu.
Woow mama Roby…a very great story…tusen takk 🙏🏿
Huyu Dada ni fighter kweli, namjua , nilikua namuona pale ESSO tarime kwa Peter Zacharia ,Mungu akuinue zaidi .
Rhoobhi hongera sana kwa kujinasua na kujitoa kimasomaso. Funzo kubwa sana kwa wanawake wa siku hizi kuacha kujibwetesha na kutegemea miteremko. Hongera sana sana sana!
Hongera sana roby wewe ni mfano wa kuigwa kwa wananawake wapambanaji africa kwa kweli umenitia moyo sana kumbe inawezekana mtu akitambua kusudi lake
Kusema ukweli sipendi Scandinavian States due to racism regime ambayo iko very discreet. Pamoja na weather. Anyway anatetaka kuishi ajaribu. Welfare zao nzuri.
Hongera Rhobi, umepambana. God Bless you
Asante mdogo wangu kwa ujasiri wako hongera sana big up
Asanteni sana nice interview watching from Dubai
Okole bhuya for your explanation ! ntolache kubhona obhung'aini.
I'm so excited about your efforts, may God bless the work of your hands always 🎉
Very inspiring story dear 🙏
Boke from Kenya watching
Sister rhobi kiukweli umenivutia sana. Natamani nipate namna ya kuja ulaya. Mimi ni nurse nafanya kazi ila natamani kuja ulaya.
Hongera sana kwa kupambana
Hongera sana big up, u a real fighter, and superwomen.
Hongera sana umetoka mbali sana, acha Mumgu aitwe Mungu😘enjoy your self😢
Hongera Mama Rhobi , wapendeza jinsi unavyo eleza ,roho Safi
Marafiki wengi wakikuunganisha wanataka utumike sio mfikie ndoa
Mama ni mependa ushauriwako kwa vijana wanaopenda kupambana, na vimetuige mazuri ya wazungu
Very very nice story
Size Robi nimekuelewa kumbe ndipo ilkuwa target yako sister mungu akupe maisha marefu pambana nimekuelewa mm bro wako (njoroge)
Nice story
Hongera Sana una madini mazuri
Hongera Rhoby nimependa ulivyopambana.
Nice story woww
Hongera sana Mungu azidi kukubariki
Nimejifunza kitu dada, umetufundisha kuwajibika. Hongera dada Roby
❤❤❤❤ nmekupenda mkurya mwenzangu.Rhobh wajina.
Toka nimeanza kufatiliya story hiyi nimeyipenda sana hongera sana mungu akupe afia😅
Strong and focused woman congratulations
Ningeomba sana kupatanishwa na dada Robi,i live in Germany but nimezaliwa Tarime
Nimeipenda sana huyu ndio strong woman
Ok tuachane na story zote, mbona huyo dada ndo kama kwanza ana 35 au mwenzetu ana genes zipoje? Kiukweli anapendeza mno hongera kujitunza vzr
Big inspiration
Rhobi Asante Sana kwa elimu, naomba unisaidie NAMI nisome ufundi VETA huko
Hongera Dada Robhi
Hongera sana Robi, nitafutie na mimi rafiki nataka kuja huko Sweden
I never give up really thankful dada robi😊
Hongera sana mama I wish ningepata connection Ya kufika walau nijifunze kidogo
Huyu dada anapendeza sana, hongera kwake 👍
Nimempanda Sana Dada jamaani hongera sana
Asante Robby naitwa ester toka Tarime
Waoooo Robi wewe ni wifi yangu jamani
Hongera sana Kwa interview nzuri.unesahau tu kuliiza swali la hao watoto aliongeza kama ni wa kizungu or wa Africa
Hongera dear robby❤️💕❤️💋
Hongera mwanamke wa shoka ❤
My lovely mom i love her❤
Mm mama siki umenifanya nikukumbuke sana Rhobi kweli maisha ni popote
Congratulations dada kazi mzuri sana
Umetisha, Mungu akutunze
Robby Mashaallah!
Hongera sana .Ila hakika wema hulipwa wema.Hi Robi am Dorcas.Am yet to find a lot from you sis
Hatimae mkoan wetu umefikia😊😊
Hongera sana
Ni Mungu tu Alikusaidia hongela na pole
Thanks Robby
You give us hope
Robby has Golden heart❤
Jaman WA kwetu Peter Zacharia namfaham
Hongera sana.
Nimekupenda sana dada...alfu nimepata ujasiri mkubwa sana kuusu
Yaan ningepata neema ya kwenda kwenye nchi za wenzetu ningefanya kazi kwa uchungu sana ili wanaonidharau wote siku moja wauone ukuu wa Mungu kupitia mimi ipo siku tu
Ukishafika utaona kawaida tu
Utafanikiwa kama ukipambana ukifika pambana mwaya rafiki kama unahitaji msahada niambie nikupe connection