ALINITIMUA NYUMBANI KWAKE | NILITEMBEA KWA MIGUU KUTOKA MASAKI MPAKA KINYEREZI | WIVU NI MWINGI SANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 มี.ค. 2024
- Judith ameeleza safari yake ya mahusiano kutoka kwa wabongo ambao alifumania mara kadhaa mpaka kutumiwa video ya utupu ya aliekua nae kwenye mahusiano na mwanamke mwengine.
Alikutana na mume wake wa Kireno kazini lakini changamoto ya wivu ilikua ni kubwa sana.
Mahusiano yakivunjika na kurudi baada ya misukosuko lakini waliweza kurudi sawa.
Kwasasa anaishi Portugal na ameelezea wareno na nchi yao na changamoto za kufunga ndoa.
Unaweza mpaka kwenye mitandao ya kijamii na TH-cam kwa jina la Adeltaeta
Thank you Judith for allowing this to be online
www.oda.international
Mwafrika yeyote aliye na. ndoto za kuishi ughaibuni futa mawazo ya kuhudumiwa na mwanamme kwa kila kitu. Jipange kisaikolojia kufanya kazi uwe na kipato chako ata kama utaolewa na mwafrika mwenzako hatakubali uwe mama wa.nyumbani la sivyo ndoa itavunjika kirahisi uking'ang'ana uwe mama wa.nyumbani ughaibuni. Mimi naishi ughaibuni nasema ninachokifahamu
Mimi naishi ughaibuni na nahudumiwa kila kitu na family yangu pia, sio wote wako ivyo,.wanaume waislam wanahufumia kila kitu mpaka sanitary pads
@@ameeranassor1619 ninaishi na msjirani zangu waislam kibao marekani mke na mume wote wanafanya kazi na wanalipa bills ni wachache hufanya ivyo wengi wanapambana na maisha labda iwe umeolewa na Tajiri
Hongera sana Bi Harusi kwa kupata Mtoto na kufunga Ndoa.
Asantee
Jmn views muwe mna like basi 😢views laki nane like hata elf moja hasifiki sio vizuri
Thanks dear kwa ukumbusho.. 🙏
Wananinyina likes kweli jamani 😁😁
Dada judith ongeza sauti
Jamani mwenzenu eti nahisi kuchoka kusikiliza haiko motroo sana bwana😢
Kwelie
Hapana bana kila mmoja anauelezeaji wake😂wengine ni story teller wazur na wengine sio hahah
@@nicekweba9920 me sijamaliza Yani hata shena huwa anafurahi usoni lakini hii kapoa inaboa bwana
Jamani mwanzoni nilisoma komment za baadhi ya watu humu sijui kama huwa wanasikiliza video mpaka mwishoni, Jamani huyu dada anajielewa tena yuko humble sana,
Well said 📌
Kuna watu wanapenda zile Story zenye mapito magumu.. wanasahau maisha ni maisha na kila mtu na safari yake ya maisha…
Asante sanaaa
Kidogo nkaangalie nyingine😊😂😂😂
Shukran Sana da shena nice interview 💐
Ramadan Mubarak Habibty 🙏🏼🌹
Huyu dada uongeaji wake aupo vizuri historia ykee aiererweki
Yupo vizuri sana naona wewe ndo hujamwelewa
Ana mambo mengiii ila anashindwa kusema anajaribu kukwepa ila hajajipanga
Sio muadithiaji mzuri ,,,,Story yake nzr lkn sio muadithiaji mzuri
Nice story
Hongera Sana dada Judith ❤️❤️
Asanteee sana
Natamani sana kula chapati zako natuongee Kiswahili 😊.Kesho nitawasiliana na
Counsellor, Tanzania Embassy.Akutafute .
Mtafute hutajutia anajua kupika chapati nzuriii
😊
Sheha mimi penda Sana wewe kwa kutupa taarifa mzuri kila siku.
Thanks kaka 🙏
@@OfficialDatingAssistanceda sheina mbn unajibu comment uogopi kifungiwa account yako mm sitaki nikukose😢
Heee kumbe wakijibu comment wanafungiwa😮😮😅@@RosemaryKidiro-wz3ux
Mbona uzungu nwingi sana
Ndiyo ujifunze lugha shida afrika wavivu kujifunza na kubadlika
Jamani ameolewa na mzungu
Nime Kuelewa Sana Dada Yangu Judith
We appreciate this program, as we learn a lot . I JACKLINE do accept it as in intermarriage get to learn different cultures and country. Thanks you so much the presenter of this program
Our pleasure!
nipo south Africa nataka nikupe yangu dada shena
Naifikiria Kinyerezi tuu
Mungu akutangulie Daughter ❤
Asanteee mom
Judith nitafute niko Portugal pia nimefurahi sana kukuona kwani hapa Portugal hakuna watanzania wengi .Ninaishi Santarém.
Woow amazing
Vamos vamos😂
Ongea kiswaili
Bonsoir ❤❤
🙏🙏
Karibu sana Judith
❤
Girl🔥🔥🔥Mungu akutangulie in you're marriage 🥰ubarikiwe shena❤
Amen dear
Nakutafuta mwanangu@@OfficialDatingAssistance
Likes km zote
Leo naangalia live nimefurahi sana hongera dada sheila kwa kazi nzuri❤
Shukran kaka
Ahsante sana
Dada tuliza kichwa ukiwa unahojiwa pia hayo mapozi ambayo haya make sense achana nayo unaboa kuwa straight ukiwa unaongea 😢😅huoni dada shena hapo katulia 😊
Sio kila mtu anaweza kukaa kwa Camera kuzungumza na jamii kwa mara ya kwanza.. So lazima atafute comfort ya kuweza ku navigate, just subscribe kwa TH-cam channel yake kujifunza maisha ya Portugal 🇵🇹 you will love it 😍
Wow! Kumbe ulikuwa mkulima na mfugaji napenda sana hongera.Nikweli wengine wanaongea na body pia yani wanaongea na mwili unaongea atajifunza tu taratibu nikama kula na uma na kisu sio wote wanashiba kula ivo au kuweza sio rahisi 😂😂😂
jamani Judy wangu,ndivyo anaongea hivyo hivyo hehehhhe....yaan watu wanahisi anaringa,hamna jamani hahahah
She is amazing 🥰
Tell them Mimi ni wakawaida tuuu
Mmmh kinge kinge
Yaani wanaboa kwa kweli,shenna mwenyewe yupo vizuri
@@twiseghekisilu8845 kumbe na wewe umeona na penda shena anaongea kiswahili vizuri
Portugal miji yao Mizuri Ila life ni ngumu
Da shena,I love you
❤️❤️
My dear Shena video zako ni nzuri na kuelimisha. Ila ninaomba zifanye ziwe za dakika za chini ya saa moja. Ni long sana na wakati mwingine unaowahoji waambie watulie na kuwa na focus kwa mada. Yaani wapunguze maneno ambayo hayana msingi sana.
We nae khaaa😅😅😅
Huyu dada ni mimi kabisaaa
Shukrani
Ila hizo temper za huyo shem ziweke kwa maombi aisee, zisije geuka kitu kingine. Tunaomba mrejesho after 5 years
Kwakweli, maana dalili za mvua ni mawingu...ni kuomba Mungu sana
Judth nakuona . Bibi kutoka Arusha
samaki Samaki niko hapa....Shena kama umegundua wateja wako wengi unaowahoji hapa,first date zao ni samaki samaki..hehehehehheheh.....
🥰🥰 itabidi mtupe kipindi ubalozi 😁🥰
😂😂😂😂
Dada jude namfananisha na dada moja site ya kinyerezi power plant
Ooooh no Mimi
Nilipata mzungu yupo Portugal, japo hatukufika mbali na English alikua anajua yeye
Leo uji wa muhogo
Kwanin jaman hahah
Hahaha
Story yake kama haiko sahihi,.sujui anadanganya 😢
😅😅
Danganya na ww😂😂
😂😂maisha ya Ester why mimi???
Nilisoma comment kabla ya kusikiliza kidogooo niache,but nikasema Dada shena hawezi niangusha♥️🙏
Interview nzuri saaana
Thanks dear 🙏
Shukrani
😂😂😂😂😂
Mwambie amsalimie Ronaldo
Acha kuongea huku ukitingisha kichwa tulia ok
😂😂😂😂 eeh
I m sorry huyu dada anavyoongea amenifanya nishindwe kuangalia hii interview
Kwa nini unatafuta shuhuda za wanawake2 hata sisi wanahume tunahushuda wetu wa kimahisha
Angalia vizuri kaka utaona Video za wanaume nyingi tu
Pia Karibu sana kwenye kipindi na ahsnate kwa Support
😂😂😂
Huyo Bora huachane nahe tuhu😂
Hila pahula humenichekesha 😂ahachane nahe kwakweli😂😂
Itakua umemjua leo mbona huwa anahoji watu wa jinsia zote
Ongea kiswahi bwana