Manshallah Manshallah Manshallah ALLAH akulipe kila la kheri inshaallah yani ume zungumzia maisha yangu huja kosea.huwezi kuprndwa na ote wew ni kisu ni jembe wew una kila sifa wajinga waso tambuwa ufafanuzi wa maisha wanayo ya ishi ndio watangao pinga huwezi kupendwa na ote ALLAH akuhifadhi❤❤❤❤ mim sijui nita kupataje nipo Dubai
Subhanallah..😮Yaarab wewe umefikia hatua ya kupiga FalaQ,,..sulee usijisahau sule.... Sheh yahaya husen alikuaga handsome saana lakn kwa falaq zake sura yake ilikua kama ya nyani..naimani umenielewa.. Sule wewe umefikia hatua yakufanya falaq... Kioo cha jamii unatufundusha shirk? Inna lillahy wainna ilayh rajiun
Najua kuna wengi watakupiga na silimi 90% maisha yao niya kupapasa mimi nazani kama unaelimu ya kitu aho ukifaham basi usikiaramishi mimi nasema ivi Dr Sulle mungu azidi kukubariki nakukuzidishia elimu maan toka nimeishi mda sasa sikuwai kumpata mtu alie sema ukweli kuus nyota hii hivi sasa nimekubali mimi nyota yangu niya Ngo'mbe 100% sababu nina uwezo wote ulio utamka ujaacha kitu Allahmdulilah namshkur mwenyezi kwa uwezo alonipa
Doctor Sule !! Hicho unachofundisha kinawapoteza wengi sana,, hakuna katika uislam elimu hiyo,, na hiyo ni elimu ya kishirikina,, hakuna fungamano la majina na riziki,, kwa hujui sule kwamba Allwah anakadiria riziki tangu kiumbe kipo tumboni kabla hata ya kuumbwa kwake
sub-haana malikinnaas...!!! alafu hii group yote inayotoa mawaidha masjid mtoro na islaah TV iko na bid'ah kupitiliza hadi kufikia shirki...wako na upekuwaji mwingi sana wa i'lmu ghaib huku wakisingizia Allah na mtume wake.... Allaahulmusta'aan... yaani ule upotovu walio uleta kwenye mujtama'ah una uharibifu mara dufu ya kile wanachoita ujenzi
allahu akbar muogope allah dr sule allah ameziumba nyota kwa kazi tatu ..moja kuupamba ulimwengu..mbili..kuwapopoa(kuwapiga mashaytwaan( Shooting stars)...Tatu..kuwaongoza wasafiri(For navigation)...Waislam msitii huyo dr sule unawafungulia milango ya shari(moto)
Yaan sheikh sule mungu akubariki baba akueke miaka ming uzd kutuletea vitu mambo ambayo hatuyajui🙏ila umepita mule mule umenizungumzia mm kabisa, asante sana🙏❤❤❤❤❤❤
Mimi naitwa Ben na hiyo namba sita naipenda sana ata kuisikia tu pia nikiwaza jambo haichukui mda linatokea nikipata dalili za kuumwa naota nisipotumia dawa au kutafuta njia yoyote yakujitibia takufa .. Nimekuelewa sana ujakosea ata kimoja
Asante sana sana dr sulle, asilimia 85 ya ulichokifundisha ni kweli kabisa nimeyaona na ninaishi nayo. Yani ndugu hapa umenipatia kabisaaa aisee kumbe ni kweriii!!!
Kweli kabisa Sheikh maan niko kwenye ndoa miaka kumi na mbili ss mwanaume nilikua simtak laki namvulia sana tu na kila ulicho kiongea kweli kabisa kabiss mm haswaah
Asalam alaikum Dr Sule. Wallah mm pia naanz n N na n unavyosema n kwel ustadh na usemayo unazungumzia maisha yang aky but kwa kwel life yang inaenda vbaya.... sa nauliz uyo mtu mweny her N je, anaenda na mtu mwemye heruf O au M?"
Subhaallah unanizungumzia mimi kabisa mpka nakosa majibu naona vitu kabla havijatokea au naota na kweli au jambo nikiwa na wasi wasi nalo juwa kuna kitu tofauti na mtu akiniendea kinyume najuwa kama naambiwa fanya ivi
Pleas usiwe hivyo hawa ni waingo usiwaskize mtegemee Allah..mambo yako yatakaa sawa wao wenyewe njaa zinawararua ndo maana wanaishia kua waganga..hakika sheikh Natamani awache Mambo hayo inaniumiza saana😢😢😢
assalaam alaikum Dr sule? mimi naomba kupata dawa za asili mambo Yako yote ni kweli. wasio kubaliana na wewe, shauriyao. nielekeze kwenye tiba inayo nifa tafadhali
Yan Shekh Wang Hap Kw Upand Wang Hujakosea Hat Kimoj Ktk Uliy Yasim Nikwely Ndivy Nilivy Na Ndy Tabia Yang Kweny Maumiv Naumia Kwely Na Kweny Furah Nafurah Ila Aizid Ya Maumiv Allah Akuzidishie Bakary Kw Jin..
Daaa kwenye uponyaji😢😢 duu boss wangu niliota watu wanataka kuumu uwaa badae aliumwa sana ila nili muombea kapona kwakweli😢 ila. Ilikuwa hatari😢 jamani
Samahan dokta natak nikuulize kwamba tarehe yangu ya kuzaliwa inaonesha nyota tofauti na jina langu, yani tarehe ya kuzaliwa inasema vyengine na jina linasema vyengine, kwann
Waosema haupo sawa wao ndio hawapo sawa mi nimekuelewa na herufi yangu ni B na yote uliyozungumza ni sahihi Yani kama ulikuwa unasimulia history ya maisha yangu.
Nyota uwongoo na uzushi,kwanza ukiangalia herufiji nyota nyengine,taree nyota nyengine,ukipiga iyo hesabu sjui iyo nyota engine wizi wizi tu na utapeli shee unapotea Muhammad ajafafanua ayo mambo Wala kuran iyo elimu ya shetani amnaaa
tukisema nyota inabeba mfumo wa maisha ya binadamu... hapa Allah tunamueka wpi jamani...Allah akulinde miezi 9 mpaka unazaliwa hadi unakua..hapo Allah ana mfumo wa maisha kwako mpaka iwe nyota...hii ya leo kali...turudini kwa Allah jamani
Hilo unaloongea ni kweli swali linakuja wapi hiyo elimu uliipata wapi au ulisoma wapi kwani kwenye vitabu vitakatifu hakuna sehemu hiyo labda Mimi sijasoma
Umesema kweli mmi niko hiyo na jina langu linaaza N mimi naeza kusikia mngurumo katika shikio langu la mkono wakushoto nikajua nitasikia kitu kimbaya na kweli baada nitasikia kitu kimbaya hata kama sio kwangu kwa mwingine naikiwa nitapa habari jema nitasikia shikio la kulia paka saangine naogopa kusema ansatee sheik sule mungu akulipe
Maureen this is very true mm nlidhani at first maybe nko na shida aki..my name is BADI yni naeza feel kitu chaniongelesha like kuna kitu inahapen just few minutes nione imehapen yni Sjui mbona nakua Ivo or naeza think kitu a minute nione mtu nathink aniongelesha
Kweli kabisa doctor sule mmi nime kuelewa sana vyote ulivyo sema niko ivyo ivyo mungu akulipe shekhe wanao kutukana pole zao allah akuhifdhi❤❤❤❤❤❤❤
Amiin Kwa kweli, hata mm pia kapita mule muleee, wallah mung amueke azd kutuelimisha mtumish wa mung❤❤❤❤❤❤❤❤
Umengea ukweli mtupu mungu akupe maisha marefu🎉
Shukrani sana shekh wetu.....Allah akupe umri mrefu wenye baraka tuweze kunufaika na ww inshaaallah...❤❤❤
doctor sisi tunaishi kwa qadara ya Allah
Manshallah Manshallah Manshallah ALLAH akulipe kila la kheri inshaallah yani ume zungumzia maisha yangu huja kosea.huwezi kuprndwa na ote wew ni kisu ni jembe wew una kila sifa wajinga waso tambuwa ufafanuzi wa maisha wanayo ya ishi ndio watangao pinga huwezi kupendwa na ote ALLAH akuhifadhi❤❤❤❤ mim sijui nita kupataje nipo Dubai
Ukitapeliwa uje kutulilia apa tunakusubiri
Mimi ni zainabu shehe upo vizuri upo sahihi kabisa kama umeona shukran allah akulinde
Mung akupe maisha malef insshaalha
Subhanallah..😮Yaarab wewe umefikia hatua ya kupiga FalaQ,,..sulee usijisahau sule....
Sheh yahaya husen alikuaga handsome saana lakn kwa falaq zake sura yake ilikua kama ya nyani..naimani umenielewa..
Sule wewe umefikia hatua yakufanya falaq...
Kioo cha jamii unatufundusha shirk?
Inna lillahy wainna ilayh rajiun
Shekh we kiboko dah unavyosema ndio hivyo hivyo tunakupenda from uk 🇬🇧
th-cam.com/video/l2vAJ4TCI2g/w-d-xo.htmlsi=lHjQR_A8R1f0pF29
Najua kuna wengi watakupiga na silimi 90% maisha yao niya kupapasa mimi nazani kama unaelimu ya kitu aho ukifaham basi usikiaramishi mimi nasema ivi Dr Sulle mungu azidi kukubariki nakukuzidishia elimu maan toka nimeishi mda sasa sikuwai kumpata mtu alie sema ukweli kuus nyota hii hivi sasa nimekubali mimi nyota yangu niya Ngo'mbe 100% sababu nina uwezo wote ulio utamka ujaacha kitu Allahmdulilah namshkur mwenyezi kwa uwezo alonipa
we dada soma dini yako acha kufata mashehe matapeli wa dini
Hawezi kupotea isipokua alie angamia.
Uislamu unachafuliwa na watu wajinga katika dini.
Masuala ya nyota katika dini سبحان الله
Shekh muogope mungu uislamu haujafundisha mambo hayo
Acha ujinga elimu za nyota ni ukafiri ule waislam wengi mnakua wajinga wajinga kwa kupenda mtelemko
Acha kuamini ukafiri
More of this Sir please
Elezea kuhusu herufi zote❤❤❤
Am in love in this
Asante sana sheh nikweli mungu akuweke amina inshaalaah❤❤
Doctor Sule !! Hicho unachofundisha kinawapoteza wengi sana,, hakuna katika uislam elimu hiyo,, na hiyo ni elimu ya kishirikina,, hakuna fungamano la majina na riziki,, kwa hujui sule kwamba Allwah anakadiria riziki tangu kiumbe kipo tumboni kabla hata ya kuumbwa kwake
😂 hahahahaha subhanallah poleeeee
sub-haana malikinnaas...!!! alafu hii group yote inayotoa mawaidha masjid mtoro na islaah TV iko na bid'ah kupitiliza hadi kufikia shirki...wako na upekuwaji mwingi sana wa i'lmu ghaib huku wakisingizia Allah na mtume wake.... Allaahulmusta'aan... yaani ule upotovu walio uleta kwenye mujtama'ah una uharibifu mara dufu ya kile wanachoita ujenzi
Sawa kabisa sheikhe sule mungu akubariki sana na mimi naitwa zuhura
Imeniamsha nilipo lala mungu akujalie sana
Nineshindwa na mume kwa sababu ya ubishi lo from kenya
allahu akbar muogope allah dr sule allah ameziumba nyota kwa kazi tatu ..moja kuupamba ulimwengu..mbili..kuwapopoa(kuwapiga mashaytwaan(
Shooting stars)...Tatu..kuwaongoza wasafiri(For navigation)...Waislam msitii huyo dr sule unawafungulia milango ya shari(moto)
😂😂😂dah Kwa kua kàongea kiboko yenu, laiti angeongea yule alikinasa mtafit wa majina na nyota mungeamin ahahaha viumbe wazittooo
😂😂😂 hahahahaha subhanallah poleeeee
Shukran dr sulle
May the Almight God bless you,Dr Sule!I don't see how to thank you😢.
Yaan sheikh sule mungu akubariki baba akueke miaka ming uzd kutuletea vitu mambo ambayo hatuyajui🙏ila umepita mule mule umenizungumzia mm kabisa, asante sana🙏❤❤❤❤❤❤
Mimi nimelia sana kwani Kila alichokiaema kwangu nikweli na nikweli kabisa dah mwenyezi mungu ambaliki sana
dr sulle mm jina langu linaanzia na S. hivi hii ni nyota ya nn na inamaanisha nn .na siku ya bahati lini
Endelea kutupa elimu doctor sule 🙌🙌🙌🙌
Shukran san dr.sulle
Mashaallah Dr wetu
Kweli kbx dr sule mashaallah
Hatuishi kwa mpango wa nyota . Tunaishi kwa mpango wa Mungu.
Huo ni uganga Kama uganga mwngine
Mashallah leo ndio umenifunguwa akili shekhe vyote ulivyovisema vinanitokea sana mungu azidi kukubariki shekhe
th-cam.com/video/l2vAJ4TCI2g/w-d-xo.htmlsi=lHjQR_A8R1f0pF29
Ww muongo sana na mshirikina wadanganye wapunbavu kama soma surat maidan (5:90)
Hizo tabia ninazo zote😂😂😂 mume wangu anapata tabu kila akijaribu uhusiano mpya namkamata loooh😅😅😅😅
Mimi naitwa Ben na hiyo namba sita naipenda sana ata kuisikia tu pia nikiwaza jambo haichukui mda linatokea nikipata dalili za kuumwa naota nisipotumia dawa au kutafuta njia yoyote yakujitibia takufa .. Nimekuelewa sana ujakosea ata kimoja
Mungu akubariki mzehe una juuua
Mimi hapo kwenye kusaidia watu saa nyingine nasema leo sitaki kumsaidia mtu lakini nashangaa najikuta nishamsaidia
Naomba unisaidie na mm
Hata mim nipo hivo saingine mpaka najikasirikia
Huu ni uwongo sio uislamu!!! Hizi ni mambo za kishirikina na waganga
Nikweli kabisa hudanganyi asante sana
Asante sana sana dr sulle, asilimia 85 ya ulichokifundisha ni kweli kabisa nimeyaona na ninaishi nayo. Yani ndugu hapa umenipatia kabisaaa aisee kumbe ni kweriii!!!
Drkt .kweli kabisa nikihis kitu lazima kitokee.na Huwa tunatabia ya kusikilizwa .na mtu yeyote yule .
Kweli docter ..nime kukubali
Shukran kama hujaelewa jikaze
Kweli kabisa Sheikh maan niko kwenye ndoa miaka kumi na mbili ss mwanaume nilikua simtak laki namvulia sana tu na kila ulicho kiongea kweli kabisa kabiss mm haswaah
Nashukuru shekhe umenigusa naomba nikijaaliwa uhai ntakutafuta.
Masha Allah yani umenisema jinsi nilivyo kbs😊
Subhana'allah yaani kila ulichoongea hapo kwangu ni kweli kabisa hujakosea. Lakini nilikuwa nataka kujua jinsi ya kutumia namba
Walh walah haya maneno ni kwel na mm nina Heruf N na nikwel km anav sm Dokt sule naona yot anay sema
Kulingana na herufi yangu ni z uliyoeleza ni kweli kabisa ila mojatu hiyo ya mafanikio
Na hio upande wa kmapenz pia n kwel Dr Sule most huw naota ndoto mbay na za kimapenz na kw kwel n shida Wallah ki maisha aky
mcheni Allah na musiwaamini wanajimu hata punje 🤌... itakuwekeni mbali na mila yenu... mtume alishakataza hili
Asalam alaikum Dr Sule. Wallah mm pia naanz n N na n unavyosema n kwel ustadh na usemayo unazungumzia maisha yang aky but kwa kwel life yang inaenda vbaya.... sa nauliz uyo mtu mweny her N je, anaenda na mtu mwemye heruf O au M?"
wee dada hebu wacha kujiuza imani yako kwa thamani ndogo wee 🫵... yaani ukipata mitihani unakimbilia wananyota na wanaramli
Ushaanza uganga wewe, mche Allah kaka heshima yako uliyokuwa nayo isiharibike. Allah atusamehe sote atupe fahamu ya manabii na atupe mwisho mwema
kwa maneno haya Sule ni mshirikina wa wazi. Watahadharisheni waumini na waislamu kwa kanga hili
Uganga mwache enderee na ayo ni moja ya mahalifa ya mwenyezi mungu
@@mfalmenjozi8902 sio maalifa ni maarifa, sio aenderee, ni aendelee.. Soma Kwanza kisha ujue kuandika uzuuri ndio ujibu comments za watu, sawa mkuu?!?
Wwe sule acha uganga... hakuna ajuaye ghaib
😂😂😂😂 hahahahaha subhanallah poleeeee
Dk. Suley emu watowe watu ktk giza waelezee iv kufata nyota ni ushirikina waeke wazi please 🙏
Wewe akili yako tu ya kawaida huwezi kujua mambo ya nyota ni ushirikina yaani mafala wengi cjui akili huwa mnabebewa na nani
Hili swala la nyota shekhe kwakwel hapana,, mbona unarud kwenye njia za ushirikina,, mtume alifanya hiyo kitu ya nyota 😢
😂😂😂❤❤❤B doo mimi jamani kipenzi changuZ love❤❤waooo
Dr sulle uko nje ya Qur’an na suna
Shekh mrejee mola wako huko unakokwenda unatafuta mwisho mbaya Allah akuepushe na hayo nakunasihi shekh achana na mambo ya nyota
Subhaallah unanizungumzia mimi kabisa mpka nakosa majibu naona vitu kabla havijatokea au naota na kweli au jambo nikiwa na wasi wasi nalo juwa kuna kitu tofauti na mtu akiniendea kinyume najuwa kama naambiwa fanya ivi
Pleas usiwe hivyo hawa ni waingo usiwaskize mtegemee Allah..mambo yako yatakaa sawa wao wenyewe njaa zinawararua ndo maana wanaishia kua waganga..hakika sheikh Natamani awache Mambo hayo inaniumiza saana😢😢😢
Kila mtu anayo hiyo hali dada na wewe lako una masheytwan % kubwa ya wanawake yanawasumbua
Mh..mm naitwa blessing lkn maisha yangu nimagumu balaa
Shukurani ustadh chenye umesema mm niko ivo san
Asante Mwalimu wangu
😊😊mm Nurdin unachokisema ni kweli ni mm mtupu
Nurdin anasemaje
assalaam alaikum Dr sule? mimi naomba kupata dawa za asili mambo Yako yote ni kweli. wasio kubaliana na wewe, shauriyao. nielekeze kwenye tiba inayo nifa tafadhali
Yan Shekh Wang Hap Kw Upand Wang Hujakosea Hat Kimoj Ktk Uliy Yasim Nikwely Ndivy Nilivy Na Ndy Tabia Yang Kweny Maumiv Naumia Kwely Na Kweny Furah Nafurah Ila Aizid Ya Maumiv Allah Akuzidishie Bakary Kw Jin..
Daaa kwenye uponyaji😢😢 duu boss wangu niliota watu wanataka kuumu uwaa badae aliumwa sana ila nili muombea kapona kwakweli😢 ila. Ilikuwa hatari😢 jamani
NAKUOENDA KWA ajili ya Allah huu ni ushirikina,, Rudi kwa Allah
Samahan dokta natak nikuulize kwamba tarehe yangu ya kuzaliwa inaonesha nyota tofauti na jina langu, yani tarehe ya kuzaliwa inasema vyengine na jina linasema vyengine, kwann
Ni kweli kabisa kwa upande wangu
Aslam Alykum cheikh.
Mashallah ❤
Waosema haupo sawa wao ndio hawapo sawa mi nimekuelewa na herufi yangu ni B na yote uliyozungumza ni sahihi Yani kama ulikuwa unasimulia history ya maisha yangu.
Nakubaliana na wewe asilimia 💯
Alooh hii ni kweli tupu haki😊🙌
Kwenye kupendwa nakuwa watumwa wa mapenzi😢😢Huyu ni mimi ijumaa nikiomba mambo yanaenda ukweli kabisa duuu aisee duuu jamani kama unaniona jamani
Shukran
Wallahi ni kweli kabisa mimi niko ivo ivo kama unavyo sema
Ninaapa kwa mungu mimi naitwa zai ulio ongea ni sawa kabisa,wanao sema unakosea achana nao kwani binadam hatufanani,
Nyota uwongoo na uzushi,kwanza ukiangalia herufiji nyota nyengine,taree nyota nyengine,ukipiga iyo hesabu sjui iyo nyota engine wizi wizi tu na utapeli shee unapotea Muhammad ajafafanua ayo mambo Wala kuran iyo elimu ya shetani amnaaa
Anaelewa basi ashakuwa na rleim kuliko mtume 😂
Uchawi huoooo, umesha urithi kwa shekhe yahaya....😂😂😂
Sule wewe ni mshirikina kwa 💯%... Ulaaniwe kwa kuupotosha ummah vinginevyo tubu kabla hujafa
Mimi Ni Kenya..na nikienda Tanzania siwezi kusali kua msikiti yao sababu Ni washrikina. Kurani IMEKATAZA MAMBO YA UTABIRI NA NYOTA.
Kweli kbsaaa
Nikweli kabisa huyu mimi kila kitu
Exactly Walai
Katika usilamu hakuna masuala ya nyota elimu za nyota ni ushirikina ulio wazi
Dr Sulley .upo sawa .una akili nyingi sana .Jina langu Beirut .kwa hayo unayoyosema kwangu yote yanatokea. .
Mungu anakuona
Pumbav zakoo
@@nahlahassan-fd6le za kwako wewe
😅
Asante
Kweli kbsa
Kweli kabisa nipo hivo
tukisema nyota inabeba mfumo wa maisha ya binadamu... hapa Allah tunamueka wpi jamani...Allah akulinde miezi 9 mpaka unazaliwa hadi unakua..hapo Allah ana mfumo wa maisha kwako mpaka iwe nyota...hii ya leo kali...turudini kwa Allah jamani
Dk.sule❤
Nakubalian n ww doctor n ntakutafut inshallah
Wallahi huyu akifa bila kutubu kuhusu elimu zake za nyota ni motoni moja moja na waislam wote bi idhn llah tutakuwa mashahidi
Wew umesoma wapi au ndio ulikimbia kama mie
Msikilize tena kisha ùtajua kuwa yuko sahihi wew umeropokwa tu
Allymwandama,jitahd Sanna Na. Jua nn unaongea , kunaa waat2 saayyaar. Hii. Wnatabr mamb Mbal,Naa waapoo knyume na Din,Hta Ww unayafuata.yye Allchofanya. Kzungumzia,, Maisha yaa. Mfummo. Wwaa. Wanaadamu. Ktk Mienendo yaa. Uhalcia wake,,Tena aakaaaseema kw idhhn yaa. ALLAH,mfno mm nawweezaa. Semaa. Kesho nnatabr Mvuaa Mazao mvuua yennye. Rutba kw Idhn. Ya ALLAH,,Jua. Cjaakufuru,bal nmeleza kt2. Fula knachotaakaa Kutokeaa. Nchin kw Uwezo waaa Allah,kwn kutabr. Ngapp tunambiwa. Na. Haijatokeea hht Mmoja c. Mpaka. Allah amuuruu,,Achen kueleewaa vbya,,RAMLI HAMSEM KM GHARAAM,Hta Na Maswahba. Waltabrn. Kw. Njia Ya Allah,DR. Sule Yupo Sahihi. Nna Mkatutie moton,medhal hakufur. Tuuunaffaaidkka na elimu. Allah azrdhie. Eellmmuuu. Hzzii
😂😂😂 hahahahaha subhanallah poleeeee
Zaman nlikula naota kitu kinatokea lakin saiz sio hvo
Innalillah wainna ilaih rajiuunn
Njaman sija tengemea dar😢😢😢
Docta sure akiamung mung kakujalia jamn kila unachokisema apo saw kabsa jamn kam unanijua
Hilo unaloongea ni kweli swali linakuja wapi hiyo elimu uliipata wapi au ulisoma wapi kwani kwenye vitabu vitakatifu hakuna sehemu hiyo labda Mimi sijasoma
Yotte yalio semwa hapo Niya kwelli hamna aliko pindisha sheikh sulle upo Vizuri
Nataka nyota 😊saidia,,,herufi M ,, Musamali
Sasa hapa ndo unaanza kugundua utapeli wa baadhi ya watu wanao jiita masheikh.
Kumbe matapeli.
Na الله Anatuonyesha sasa watu مبتدع katika dini.
huyu ni Mushriki na mzushi mtahadharisheni waislamu wajue wamuepuke
Iyo moja elimu kama unavyoona elimu nyingine uliyo yasomea
❤❤❤
🙏🙏🙏
Kweli
Umesema kweli mmi niko hiyo na jina langu linaaza N mimi naeza kusikia mngurumo katika shikio langu la mkono wakushoto nikajua nitasikia kitu kimbaya na kweli baada nitasikia kitu kimbaya hata kama sio kwangu kwa mwingine naikiwa nitapa habari jema nitasikia shikio la kulia paka saangine naogopa kusema ansatee sheik sule mungu akulipe
Maureen this is very true mm nlidhani at first maybe nko na shida aki..my name is BADI yni naeza feel kitu chaniongelesha like kuna kitu inahapen just few minutes nione imehapen yni Sjui mbona nakua Ivo or naeza think kitu a minute nione mtu nathink aniongelesha
Yani niko hvyo kabxa
@@zuhurakarani8047 kuelewa hii kitu yataka mtu mwenye kama cc wenye inatufanyikia yni Chenye sheikh yuaongea it's 100% true kbsa kwangu