@@charlesgatunzi kweli brother hapa hamna ukweli, kama Suleimani kakosa mali zake vipi kuhusu bibi zake. Ina maana huyo jini alikua akiishi nao kama wake zake, astaghfirllah
Sule si utoe dalili ktk quran na sunna, wengi wanaomfata majahili weupeee hawana elimu km yeye, sule muongo na nyinyi wafuasi tamaa ya pesa kwa ushirikina, hata upate pete hupati chochote lkn mpaka Allah akubali, Dr sule ni mshirikina tu.
katika makanisa tuna washirikina wakuu wanatumia vitambaa mafuta navmiujiza za kishetani pia waisilamu Wana madoctor na mashehe washirina kweli hizi ni nyakati za mwisho yesu okoa hiki kizazi
Hadithi za Sungura na Fisi😂😂😂 kwaiyo Jini kabeba Pete na Mungu akaruhusu Jini abebe Utawala Wa suleman na Unabii wake😂😂😂 na majini wenzake hawakushituka😂😂
Haya yooote yapo kwenye Quran ila Dr. Sule akiyaongea mashekhe uchwala wanaanza kumpinga. Binafsi nampongeza sana Sule kwa kutudhihirisha na kutuonyesha wazi ni namna gani majini na Uislamu vilivyoungana pamoja.
Jidanganye Ivo Ivo toka huko kwenye majini ndugu yangu hakuna kitu km hicho hizo ni hadithi tu. Majini wote ni malaika walioasi(mashetani) na ndio chanzo cha uchawi na mateso mbalimbali duniani.
soûle anaongeya maneno yake kwa akili yake sababu hajatoa andika hata moja la coran sasa hakuna huisiano wa binadam n'a jini ..... sule ni njaaa ya ki maicha atafute kazi afanye apate ugali n'a sio jini sababu jini wana ulimwengu wao n'a sisi wa nadamu tunaulimwengu wetu acha chuki n'a roho mbaya tafuta elimu .....
@@osmundmtavangushetani ni jini wala sio malaika malaika hakoseyi anamti mungu ila jinni kaais kaitwa shetani mana shetani ni sifaaa kicha mwanadamu akiaswi naye anaitwa shetani
Hayo yapo ndio ndani ya quraan,lakin ni mambo maalum kwa mtu,hiyo pete ilikuwa ni maalum kwa nabii suleiman sio kwa kila muislam,hapo ndipo wanapompinga dr sule
Ila waislam wengi ni wajinga sana mnafurahi mnavyodanganywa na huyu MCHAWI anaongea maneno matupu bila uthibitisho kutoka kutoka kwenye Qur'ani na Hadithi Yani ni muongo sana huyu jamaa
Muandishi ukiwa na sule mbona unakosaanga maswali kama wale wengingi wenye wanatoa prove zote kutoka kwa vitabu kubwa, huyuniwakuchanga watu akili akiwafundisha njia za ushirikina
Aki huyu mtu niwahadithi tu alisikia wapi hiyo stori yote imeandikwa wapi?? Atuoneshee hiyo stori , story teller huju utafikiri alikua hapo, mchongo tu
Nabii suleiman aliomba ufalme ambao hauto tokea baada yke na allah alimkubalia hio dua. Sasa kuhusu uyo shetani aliechukua ufalme wa suleiman kitu hicho hamna, na shetani au jinn yyte hawez kuchukua sura za mitume.
Dini Yetu Ya Kiislamu Ina Misingi Yake...Quran Tumeihifadhi, Hayo Maneno Dr. Umeyatoa Wapi?? Hizo Habari za Pete Hazipo Na Kwa Yule Anaemfuata Huyu Shekhe Atoe Ushahidi Katika Quran...Kisa Kilichopo cha Nabii Suleiman Ni Chengine Na Kinaongelea Mambo Mengine Kabisa... Hizi Habari Za Pete Umetoa Wapi??
Swali; Uislamu uko na version ngapi? Dr. Ako na elimu yake , wengine waislamu wako na elimu yao. Sasa nani ako sahii. Waislamu wanafwata Quran ama kila muislamu ako na elimu yake tofauti
hii dini ya kislamu bwana giza na nuru vimechanganywa pamoja, majini nayo yanawekwa sehemu nya watakatifu daaah, imani ya mapangoni kama alivyoipokea muhamadi, uchawi uchawi tu, hii dini niliiachana nayo kitambo sana, uganga na kusoma nyota vyote wao
Tatizo la waslam kuamini majini na ushirikina, Sasa Mungu alimbariki Suleiman utajiri ama Pete ndio ilimpata Suleiman ama Mungu, bila shaka hicho surah tul jini,
Kwani nyie mmekatazwa kuwa washilikina wakati mnafokewa na wazazi wenu mkasome dini mlikimbia sasa acheni kusema vitu msivyo vijua kama mchawi na nyie kuweni wachawi sasa mkaone kama nilahisi
Nyie mnao mkubali kwa uwongo huuu em mulizeni niwapi tukasome haya maneno ili na sisi tujue mbona ataji dalili ya hii stori, wewe ni mshirikina Acha kupotosha watu mche Allah, utaenda kulizwa wewe
Mashaaa allah kwa ilmu dr sule,from mozambique África
Majina Ya ALLAH ukiyatumia Kwa yakini unafanikiwa mm ndo ninavyo tumia na Alhamdulilah
Allah ukuhifadhi ww sulemani wa pili uendelee kutupa elimu
Asee angalau tunapata elim kidogo, Mungu akubariki.
Huyu Dr ana historia nzuri nà elimu kubwa.
Yaa Rab tuoneshe haki utuwezeshe kuifata na utuoneshe batwiil na utiwezeshe kuiepuuka
Waongo sana hawa 😂😂😂
You are magician period
@@charlesgatunzi kweli brother hapa hamna ukweli, kama Suleimani kakosa mali zake vipi kuhusu bibi zake. Ina maana huyo jini alikua akiishi nao kama wake zake, astaghfirllah
@@swalehsaidsaid4721 😂😂😂😂
Sule si utoe dalili ktk quran na sunna, wengi wanaomfata majahili weupeee hawana elimu km yeye, sule muongo na nyinyi wafuasi tamaa ya pesa kwa ushirikina, hata upate pete hupati chochote lkn mpaka Allah akubali, Dr sule ni mshirikina tu.
Amina
Muulize saa wakati Israel mutowaro ana towa roo ina uma
Jamani huyu jamaa Yuko vizur
katika makanisa tuna washirikina wakuu wanatumia vitambaa mafuta navmiujiza za kishetani pia waisilamu Wana madoctor na mashehe washirina kweli hizi ni nyakati za mwisho yesu okoa hiki kizazi
Yesu aokoe kizazi kipi tena wakati mnasema dhambi zenu Yesu kafa nazo??? Dah...😅😅😅
@@ramadhanihudhaifani4376 Haya nimafumbo kakangu kaa huna Roho mtakatifu nikaa kumpikia mbuzi gitaa hataelewa chochote
@@ramadhanihudhaifani4376 unajaribu kuemuelewa yesu kimskitmsikiti hapo hutamuelewa
Jaman naomba mdahalo wa kielimu uwekwe kwenye hili swala..maamumat tunakuwa hatuelewi ikiwa wana wa zuon mnachanganyana.
Niricho gunduwa mashehe weengi erimu ni ndogo sana hongora sure
Dr sure anavitu vingi Sana. Naona sasa kamua kuviachia huru.
Hadithi za Sungura na Fisi😂😂😂
kwaiyo Jini kabeba Pete na Mungu akaruhusu Jini abebe Utawala Wa suleman na Unabii wake😂😂😂 na majini wenzake hawakushituka😂😂
Sule muche Mula wako acha talibisi kuhusiana na masiala ya pete nendakasome acha kuwahadaa watu nakupa Nasha
Kwahiyo ninyi mna majini?
Wewe ni Mfuasi wa Shetani
Kisa hiki hakipo ndani ya Coran.Muongo hui jamaa
Ukimtetea sule nawewe mushiki mpeninasahatu asizidikunanganya
Yona hakuwai Dili na majini kabisa na yona sio yunis wala YESU si issa
unalaana wewe sasa ninani
Mimi naona uko una teteya iyo pète enye unavaa ju iyo pète nia kima chetani
Sio Kweli , hayo ni mambo ya uzushi. Sheikh unamfitini Mwenyezi Mungu uweza wake.. Hayo si Kweli.
Nambie uwelewa wako
Muongo wewe ambae huna elimu ya dini na hutaki kusoma
Suleiman na pete?? Inamaanisha aliabudu shetani sio Mungu. Huu ni uongo kabisa
Jamanini suleiman ati alikua Muslam??? Weeee umeshinda , sule hapo niuongo mtupu tupu
Haya watu wa coments ningependa nanyinyi mutengeneze vidio zenu mseme muyajuwayo yawe ya ukweli wacheni zakuharibu mambo ya wenzenu basi mumezidi
Majini ni mashetani, 😅 Uislamu na mashetani ni mandugu😅😅🙏
Haya yooote yapo kwenye Quran ila Dr. Sule akiyaongea mashekhe uchwala wanaanza kumpinga. Binafsi nampongeza sana Sule kwa kutudhihirisha na kutuonyesha wazi ni namna gani majini na Uislamu vilivyoungana pamoja.
Ndio sababu majini pia waliumbwa ili wamuabudu Mungu lkn wengne waliukubali uislamu nawengne waliasi nakutangaza vita na Mungu
Jidanganye Ivo Ivo toka huko kwenye majini ndugu yangu hakuna kitu km hicho hizo ni hadithi tu. Majini wote ni malaika walioasi(mashetani) na ndio chanzo cha uchawi na mateso mbalimbali duniani.
soûle anaongeya maneno yake kwa akili yake sababu hajatoa andika hata moja la coran sasa hakuna huisiano wa binadam n'a jini ..... sule ni njaaa ya ki maicha atafute kazi afanye apate ugali n'a sio jini sababu jini wana ulimwengu wao n'a sisi wa nadamu tunaulimwengu wetu
acha chuki n'a roho mbaya tafuta elimu .....
@@osmundmtavangushetani ni jini wala sio malaika
malaika hakoseyi anamti mungu
ila jinni kaais kaitwa shetani mana shetani ni sifaaa
kicha mwanadamu akiaswi naye anaitwa shetani
Hayo yapo ndio ndani ya quraan,lakin ni mambo maalum kwa mtu,hiyo pete ilikuwa ni maalum kwa nabii suleiman sio kwa kila muislam,hapo ndipo wanapompinga dr sule
Tatizo wanaosema dr ni mshirikina ni wale watu wasiokuwa na elimu
Kaka yetu sulley ALLAH akuhifadhi sanaaaaa inshaallah
Nikwel mtupu❤
huyu jini aliyejigeuza kufanana na suleiman anaitwa Asmodeus
@@bakarisaidi3022 Jini Korofi kabisa hili Katili halafu Babe kisawasawa. Nimelisomaga it Greek Mythology. Sio mchezo kaka.😁😁😁😁
Hakuna dini hapa kabisa
MashaLLAH DR ALLAH AKULIPE KHERI❤
Uyu jama anailimukubwasan yani alafu history anaijuwa Sana Allah amwihifazi
Majini ndo wanaokufundisha wewe uchawi 😂😂 Dr sule unatumia majini ndo wanaokufundisha uchaw
Yani Mimi namkubali Sana uyu sheee namfatilia Kila kipindi
Mwenyezi mungu akujalie maisha mrefu
Ubalikiwe
DK, sule yupo sahihi kabisa na pia nasoma baazi ya mambo kutoka kwake, kwakweli mungu ambariki sana🙏 DK sule
Mungu yupi wa majini, mbona unapotea bwana mdogo
Uyu anatumia uchaw kaka open your eyes
Ila waislam wengi ni wajinga sana mnafurahi mnavyodanganywa na huyu MCHAWI anaongea maneno matupu bila uthibitisho kutoka kutoka kwenye Qur'ani na Hadithi
Yani ni muongo sana huyu jamaa
Allah akuzidishie kheri
msiojua achenii kuongea vtu ambvyo amvielew kukaa kmy n bora kwenu hzo kaxhfa zenu aznafaida yyte
Dr ayo Majin ya mungu yapi?
Tuambie ayo
aya yote upatikana kwenye quran ila kwenye biblia aipo kwaiyo waislamu kazi mnayo
uwongo mtupu amna kitabu cha MUNGU apo
Dr. Sule Bahari ya Elimu.Mashaallah tunajivunia kuwa na ww ktk Elimu ya dini Allah akupe umri wenye manufaa
kati ya masheihk ninao wakubali niwewe tu
Mashaallaa Dr sule ana maarifa mengi sana
Ninayo hio inaitwa busati la nabii sleman
Amina🤲🤲God the greatest🙏🙏
sulle ya kwako unaenda nayo chooni
Jini yupoje...
Allah akupe umri mrefu
Anaebisha hachana nae anajua ni sisi
Pete hirizi etc yote ni shirki
Muandishi ukiwa na sule mbona unakosaanga maswali kama wale wengingi wenye wanatoa prove zote kutoka kwa vitabu kubwa, huyuniwakuchanga watu akili akiwafundisha njia za ushirikina
Aki huyu mtu niwahadithi tu alisikia wapi hiyo stori yote imeandikwa wapi?? Atuoneshee hiyo stori , story teller huju utafikiri alikua hapo, mchongo tu
Nampenda sana Dr Sulle
Huyu ni mchawi mkuu.
Wajinga hawaishagi
Assallam alykum sheikh DR.sule nakuombea kwa Allah akulinde kwa elimu unayotupatia na hao wanaokosoa c katka waislam na wengne si wachamungu
Wewe n'a koroani yenyu ni wa ongo saaaaaaaaaaaana kabisa
Kaka sulemani
Sule acha stori za jaba wewe.
Nabii suleiman aliomba ufalme ambao hauto tokea baada yke na allah alimkubalia hio dua. Sasa kuhusu uyo shetani aliechukua ufalme wa suleiman kitu hicho hamna, na shetani au jinn yyte hawez kuchukua sura za mitume.
Acha uongo wewe sheikh sisi hatumufati nabii suleiman
Mashallah
Aya basi yunusi.mfuate na yunusi.
Sasa nikama utajiri wa suleimani aijatoka kwa mungu
Suleiman aliomba huo ufalme kwa Allah nasangaa unavosema kapata ufalme kwa hiyo pete
Tupe andiko kama usemayo yana ukweli
Makafiri awaelewi apo wanaona kama uwongo sababu aipo kwenye billia Quran kitabu cha mungu
mavi wewe kwahiyo tutumie majini kuwa matajiri
Dini Yetu Ya Kiislamu Ina Misingi Yake...Quran Tumeihifadhi, Hayo Maneno Dr. Umeyatoa Wapi?? Hizo Habari za Pete Hazipo Na Kwa Yule Anaemfuata Huyu Shekhe Atoe Ushahidi Katika Quran...Kisa Kilichopo cha Nabii Suleiman Ni Chengine Na Kinaongelea Mambo Mengine Kabisa...
Hizi Habari Za Pete Umetoa Wapi??
SULE WACHA BANGI
HAKUNA HATA DALILI KISA KIMETOKA WAPI TUMESOMA ULIPOSOMA NA TUKASOMA AMBAPO HUJASOMA VISA VYAKO NI KATIKA VITABU VYA MAYAHUDI
Haya mayahudi hawasem ivo😮😮😮😮
Swali; Uislamu uko na version ngapi? Dr. Ako na elimu yake , wengine waislamu wako na elimu yao. Sasa nani ako sahii. Waislamu wanafwata Quran ama kila muislamu ako na elimu yake tofauti
Leta dalili
Huyu mtu ni muongo sana
Mjinga ww elimu huna kaa pembeni cc tule gombo adimu
Acha chuki kafiri ww
Huwz kumuelewa sisi tunamuelew
Allahumma barikiffiki.
Huyu kaacha masuala ya kuwakumbusha waislam yuu ya kuogopea akhera yeye ameshikilia pete pete pete.... yangu peteeeee utadhani Juma Bhalo.
😂😂😂😂nimecheka sana mbona juma bhalo
hii dini ya kislamu bwana giza na nuru vimechanganywa pamoja, majini nayo yanawekwa sehemu nya watakatifu daaah, imani ya mapangoni kama alivyoipokea muhamadi, uchawi uchawi tu, hii dini niliiachana nayo kitambo sana, uganga na kusoma nyota vyote wao
Tatizo la waslam kuamini majini na ushirikina, Sasa Mungu alimbariki Suleiman utajiri ama Pete ndio ilimpata Suleiman ama Mungu, bila shaka hicho surah tul jini,
Kwani nyie mmekatazwa kuwa washilikina wakati mnafokewa na wazazi wenu mkasome dini mlikimbia sasa acheni kusema vitu msivyo vijua kama mchawi na nyie kuweni wachawi sasa mkaone kama nilahisi
Kutegemea kiumbe kinyume n'a Allah,ni ushirikina,Mambo ya mapete si kweli
We sule nenda katk qur an tunayoufta au kidgo haipo sawa suleiman vp nenda kuelimisha kwakutumia kur an iyo hadisi eti
Mashek tz kulumbana dhidi din hakufai .someni vitabu vya Allah hakuna atakae kuongopea na masheh waongopeaji.
Mbona Hamutufungui Kusema Ukweli Mashekhe zetu Ndiomana mashekhe Hawana Njaa Wanajua Mambo mengi Ekeni mambo Mwaaaa
Lakini nabii sleiman alikuja kimbindi cha washirikina na nabii muhamadi kipindi cha sayanc je hapo vip
Wewe achauwongo unaizaririsha diniyetu
Tuta sikia mengi sana mengi ila waslam Tusiime IL tuepupe uzushi .
Allah akulinde uzidi kuelimisha wasiojua inshaallah
Wewe huna akili huyu sule sio shehee ni mchawi.
Inshallah
Sasa wewe sule sasa wewe unamfuataaa nabii suleimani au nabii Muhammad i
Wanaobisha hawajuwi dini ya kiislam
Nyie mnao mkubali kwa uwongo huuu em mulizeni niwapi tukasome haya maneno ili na sisi tujue mbona ataji dalili ya hii stori, wewe ni mshirikina Acha kupotosha watu mche Allah, utaenda kulizwa wewe
Leta na wewe uwongo wako tukusikilize kama ni lahisi
Kwa hiy sheikh anatak kumaanish km utajir wa nabii Suleiman unatoka kweny pete na sio kwa mwenyezimungu. Ila ma sheikh ban
Tanua akili yako
6:54 nayajuwa mengi kupitia ww kaka
mufahamu kinachoongelewa
Mashallah