Woyeeeeee😢😢😢😢😢, mm aki waaaaaa mm Nancy' natesega, nasaidia watu waaaaaa lakini asante ni kuniblock weeeeeee mm.nimmbambanaji kweli...yote unayosema ni kweli ,weeeeeee 😢😢😢
Umenigusa kabisa 🙌 Mimi ni B, niliwahi kuwa na mpenzi mwenye herufi N. Tulikaa ktk mapenzi kwa muda wa miaka 5,mwaka wa 6 nikamuoa. Na mimi ndio nilikuwa mwanaume wa kwanza kumuoa. Maisha ya ndoa yalikuwa mazuri sana, ila kitu cha ajabu, hatukumaliza mwaka. Tuliachana baada ya kwenda kwao kujifungua na hakurudi kwangu tena kutokana na sababu ambazo mpaka leo sijazifahamu.
Woyeeeeee😢😢😢😢😢, mm aki waaaaaa mm Nancy' natesega, nasaidia watu waaaaaa lakini asante ni kuniblock weeeeeee mm.nimmbambanaji kweli...yote unayosema ni kweli ,weeeeeee 😢😢😢
Jamani mbona me sitaki kuachika kwa mme wangu
Haki brother hapa umenigusa me
Kwaio utafanyaje ili msiweze kuachana
Je N akimuoaN itakuwaje udongo kwa udongo
Umenigusa kabisa 🙌
Mimi ni B, niliwahi kuwa na mpenzi mwenye herufi N. Tulikaa ktk mapenzi kwa muda wa miaka 5,mwaka wa 6 nikamuoa. Na mimi ndio nilikuwa mwanaume wa kwanza kumuoa. Maisha ya ndoa yalikuwa mazuri sana, ila kitu cha ajabu, hatukumaliza mwaka. Tuliachana baada ya kwenda kwao kujifungua na hakurudi kwangu tena kutokana na sababu ambazo mpaka leo sijazifahamu.
Jamani kila kitu is about me
je erufi n na h zinaendana
Mm n mume h je tutaachana
Jeee akipendaA❤❤❤
Haendani kabisa na na herufi A
Jaman nafulah umelizungumzia jina langu la n
😂😂😂😂😂 kumbe
Duh kama umenisema mie
Nshapenda kwa M😢
Mimi ni pacha naitwa dotto,jina lingine naitwa N,na hayo yute huwa nayatimia,sas hapo nyota yangu ni nini
@@dottopaul6738Jina ulilozaliwa nalo ndo jina lako
Mh 😢
Mimi nataka kujuwa mwinyi inasimama herufi gani ?
Kama akiolewa na Herufi B jee maana mimi ninampenzi Mimi ni B yeye ni N
Mtaachana
Mimi naishi na s umesema anawez kufa sijaelew
@@NusuraDamassndio atakufa pale ukimkataa na yeye bado anaakushikilia hakuachi ,patamu apo 😅