Shekhe,Allah akutangulie na akufanyie wepes katika kaz zako,mm n nyota ya Punda tabia zoote za punda ninazo,ninampenz herufi B nifanyeje tuweze kuishi vzr.
As alykm. Mm ninanyota yang'ombe, lakini CNA bahati kilamtu ananichukia, hata niseme ukweli upi nadharaulika. Mpaka wangu wa kuwazaa wananichukia, hawanipendi. Wananitolea ma.neno ya udhalilishaji, hata jirani hawanipendi. CNA Raha ya MAISHA ndugu zangu wa kuzaliwa tumbo moja wananichukia nisaidie Sheikh Kwanza nope kasoro yangu nn, na nifanyeje ili niwe na bahati Kama wenzangu.
Shekhe,Allah akutangulie na akufanyie wepes katika kaz zako,mm n nyota ya Punda tabia zoote za punda ninazo,ninampenz herufi B nifanyeje tuweze kuishi vzr.
Wewe ulikula pesa zangu alifu tatu ukuniletea mafuta wwe nimrongo mungu atakuona siku ya kiama haki hailiwe hakiyangu itaeleya pesa natafuta Kwa dhiki wewe Wala Bure wewe sie muisalamu wa haki
shikamoo sheikh. Mimi jina langu linaanza na herufi Z lkn nimezawa mwezi 6 tarehe 13
Samahan sheikh! Ukiizaliwa mwezi wa 6 lkn Jima AMY nyota yako ilikua ipi?
Shekhe habari pole na majukumu,naitwa khadija tarehe ya kuzaliwa 19 mwezi 11,mwaka 1981,naomba kujua nyota yangu shekhe
Naubishi ndio asri yetu 😊😊😊
Allah akulipe
Duuh😲😲😲shkh..umesema kweli mia fil mia....kujua mambo kbla hayajatokea..hdi naogopa sasa kwli ukarimu subra..vyote sahihi
nimekubali yote uliyoyasema asilimia100 ALLAH akuzidishie
Shekh naomba kufaham unahitaji vigezo Gani Ili kujua nyota ya mtuu
Shehe.naomba.niulize.nyota.ya.ngombe.majina.yao.yanaanza.na.herufi.gani
Shekhe,Allah akutangulie na akufanyie wepes katika kaz zako,mm n nyota ya Punda tabia zoote za punda ninazo,ninampenz herufi B nifanyeje tuweze kuishi vzr.
Mafusho mushtaka ni aje in English?
As alykm. Mm ninanyota yang'ombe, lakini CNA bahati kilamtu ananichukia, hata niseme ukweli upi nadharaulika. Mpaka wangu wa kuwazaa wananichukia, hawanipendi. Wananitolea ma.neno ya udhalilishaji, hata jirani hawanipendi. CNA Raha ya MAISHA ndugu zangu wa kuzaliwa tumbo moja wananichukia nisaidie Sheikh Kwanza nope kasoro yangu nn, na nifanyeje ili niwe na bahati Kama wenzangu.
Shekhe,Allah akutangulie na akufanyie wepes katika kaz zako,mm n nyota ya Punda tabia zoote za punda ninazo,ninampenz herufi B nifanyeje tuweze kuishi vzr.
Asalykum shekh Wang nashukur sana kwakunielewesha
Assalamu alaykum shekh wangu mm ninanyota yangombe mume ananyota ya punda hatuelewani mume kidogo mahasira mara tunapigana mateke na mapembe nifanyeje
Sasa ulisena n'ge akiwa na ng,ombe anakuwa vzur kwwny mapenzi Sasa mbona huku kwwny n,gombe mbona anaendana na Simba Sasa hp vipi
Sheikh vipindi vyako kwenye Utube nilini na lini, napenda kufatilia Ila napata vilivyokwisha pita
Haswaa tu ataanika uku halafu inatuma ela mwenzio anakula tu
Nani Pete ngapi mbili au moja na wanaume uvaaji wa Pete ni rangi Gani ya kithoo
Kwa wakiristu wanatumia sura gani ya maandiko
Very well spoken
Exactly on point 👍
Thank you....🙏
Hapo kwa ukaidi😂😂😂 nikitaka langu ni hilo hilo
Je mm ni ndoo na mke ni ngombe nafanyaje maana hatukai kwa maelewano nifanyeje?
Asalam alaikum da bibi yutoka burundi nomba namba yako ya wasape
Ndio tabia zao kweli
Shehee naomba nataka mawasiliano yako
Mimi ndiyo nimezaliwa ngombe nyota
Huyo mimi kabisaa ila nyota yangu ilikua imechezewa
Hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Me nimezaliwa 25/5/1991 je nyota yangu ni ipi?
Ng'ombe
Asalaam alaikum warahmatulahi wabarakatuh
Naomba tafsiri ya watu wana fanana majina yao kinyota jina s&s n&n
Mimi ndiyo nimezaliwa ngombe nyota
Assalamualaikum sheikhe naminakupenda
Nyota ikizimwa ufanyeje?
Nifate
Kabisa hapo umesema ❤❤❤
Nataka namba niko mwanafunzi wako
Thanks a lot for letting us know
Yaaani huyu mimi kabisaaa
Dini inaruhusu mambo haya?
Shukran Shekhe
Mimi nimezaliwa mwezi wa kumi
Alhamdulillah sheikh
Assalamualaikum shekhe Abalqaasim
Ameen
👍👍 MASHALLAH
As,alaykum shekh
Mimi kabisaaaa
Aslam alaikum
Namba yako pliz
Namazugumuzo naww
Marshall mimi swaleh nimeelewa leo nyota nyangu ngo. Mbe naomba kujua uvaaji wa Pete rangi Gani
Wewe ulikula pesa zangu alifu tatu ukuniletea mafuta wwe nimrongo mungu atakuona siku ya kiama haki hailiwe hakiyangu itaeleya pesa natafuta Kwa dhiki wewe Wala Bure wewe sie muisalamu wa haki