UKIYAFANYA MAMBO HAYA UNAKUWA TAJIRI | SHEIKH OTHMAN MICHAEL

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 147

  • @rehemamsuri7102
    @rehemamsuri7102 7 หลายเดือนก่อน +11

    Mashallah,, Mwezi Mungu akuhifadhi shekh wetu,, mimi binafsi najifunza mengi kupitia wewe.

  • @user-pr1wl4de3p
    @user-pr1wl4de3p 8 หลายเดือนก่อน +16

    Mashaallah mashaallah shukran sana shekh wetu Allah akupe afya njema na umri mref

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y 8 หลายเดือนก่อน +10

    ALLAH mtukufu akujalie mwisho mwema shehk wetu twakupenda kwajili ya ALLAH

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 7 หลายเดือนก่อน +16

    Maa sha Allah Sheikh nakupenda unspohubiri hutoi mapivu ya mate, mishipa ya shingo haikusimami, hupayuki, hufumbi mimacho, hutishi watu, unaelemisha taratibu kwa sauti ya upole na unafahamika. Masheikh wengine lazima povu la mdomo linawatoka, makelele kama anagombana, wanarusha mikono kama wanajifunza boxing, wanafumba macho kama wakonkanisani wanaomba. Weye raha kukusikiliza. Weye nibmwalimu wa saikolojia ya watu hasa. Allah atupe njia iliyonyooka.

    • @samirahassani8606
      @samirahassani8606 6 หลายเดือนก่อน

      Mashallah

    • @IMRANSTORIES136
      @IMRANSTORIES136 6 หลายเดือนก่อน

      Umenivunja mbavu Dada!!

    • @user-fi9gm2et5r
      @user-fi9gm2et5r 6 หลายเดือนก่อน +1

      Nimecheka kwa saut daah eti hutoki mate hufumbi macho 😂😂😂

    • @gazahhosni8976
      @gazahhosni8976 5 หลายเดือนก่อน +2

      Wacha bangi

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 5 หลายเดือนก่อน +3

      kweli hii ni bangi haswa cjui kwanin ametoa kashifa ivo subhannallah tumuogopeni Allah masheikh wote wana nafasi zao heshima muhim

  • @user-fr6gj3xe6n
    @user-fr6gj3xe6n 8 หลายเดือนก่อน +4

    Mashaallah tabarakallah shekh letu proud of you

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan6170 8 หลายเดือนก่อน +4

    Alhamdulilahi Shekh wangu napenda sana kusikiliza mawaiza Yako amahakika hakuna siku sipati faida ila Leo umeongea mambo mengi sana Tena ya msingi zaidi Allah akubariki Akuhifadhi uzidi kutupa Elimu zaidi ya hapa

  • @ashurakabura7268
    @ashurakabura7268 7 หลายเดือนก่อน +3

    Allah akuhifadh sheikh wetu,awape subra katika huyo mtihani,

  • @user-uo1bu4jw2d
    @user-uo1bu4jw2d 3 หลายเดือนก่อน

    Mashallah..Sheikh Othman Mungu akupe kila kilicho katika dhamiri yako..na akupe nguvu ya kutuombea na sisi Aamin..

  • @ntangiregemfuruki5478
    @ntangiregemfuruki5478 3 หลายเดือนก่อน

    Shekh haydar basi bba.tutatekeleza majaaliwa yetu.maneno mazito.subhanallah.wafadi wsmtume

  • @Silaji57Warambo
    @Silaji57Warambo 3 หลายเดือนก่อน

    Asantesana sheikhe othuman kwaelimu uliyotufikishia INSHAALLAH ALLAH AKURIPEKILALAKHERI

  • @saumusulaiman4742
    @saumusulaiman4742 6 หลายเดือนก่อน +2

    Maashaalah shukuran shekher Allah abaariki❤🥰❤🙏

  • @NyirahabimanaNasimu
    @NyirahabimanaNasimu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh assalamu alaykumu warhamatullah wabarakatuh niliwahi kukusikiliza niko rwanda alakini namimi sifanikie ninakamata mutaji nakosa kwenye inaenda basi sheikh nisaidie ju bwana arisha nicukia ju yakukosa kazi na frw

  • @TandikoHadija
    @TandikoHadija หลายเดือนก่อน

    Mashaallah shekhe wangu naomba uniombee duwa majini wachafu watoke mwilini nipate stara

  • @user-mm8mx6qn3u
    @user-mm8mx6qn3u 6 หลายเดือนก่อน +2

    Asww akika tunashukurusana allah akuzidishiye zaidi nasi utatufundisha ili tufaulu wengine

  • @KhadijaMussa-ux4be
    @KhadijaMussa-ux4be 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah shekhe wangu mwenyezimungu atakulipa inshaallah

  • @user-lp5zw6bb5d
    @user-lp5zw6bb5d 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kwa kutufunza masomo tusioyajua Allah s,w,t, akuxidishie

  • @Ruqayyah-ft1gu
    @Ruqayyah-ft1gu หลายเดือนก่อน

    SHEKH Othman mimi napigia muhuri hapo kwenye sadaka ya kulisha chakula hapo yaani pale nimetia nia tu kabla hata sijapika ALLAH kanionesha majibu.

  • @user-hz6in1hk9l
    @user-hz6in1hk9l 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah ALLaH akulip shekhe wetu .azid na sisi kutupa ilmu ili ya Qoro'an ya Allah 🙏

  • @mariammvungi7149
    @mariammvungi7149 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mashaallah kpz cha wengi

  • @mwanaiditwaha-jf6lg
    @mwanaiditwaha-jf6lg 4 หลายเดือนก่อน

    Allah akulipe pepo ya juu kesho Akhera tunanufaika sana na elimu yako shekh

  • @lugnahnassor1504
    @lugnahnassor1504 6 หลายเดือนก่อน

    Allah akuhifadh sheikh kwa ajili yetu tunakupenda kwa ajili ya allah unatufundisha mengi. Yanayo tusaidia

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 5 หลายเดือนก่อน

    Pole Kwa Msiba, Tumuombe ALLAH Akukuzie.Amiina.

  • @ntangiregemfuruki5478
    @ntangiregemfuruki5478 3 หลายเดือนก่อน

    ShEKH OTHMAN TUNAKUOMBA TAFADHALI SANA.HAO MASHEKHE PLS WAPATE MRADI WOWOTE WASIMAMIE WATOTO WAO AU MKE WAO.KAKA MAYKO TUTAWACHANGIA.KWANU MTEGEMEA ROHO NI NIMASKINI.NAOMBA RAFHI SANA

  • @user-lm5bj4pd6h
    @user-lm5bj4pd6h 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuzidishie afya njema na uzima akujaalie umri mrefu nakupenda kwaajili ya Allah

  • @ntangiregemfuruki5478
    @ntangiregemfuruki5478 3 หลายเดือนก่อน

    Khekh mayko
    Allah subhana alulinde akupe amani yamoyo wako na furaha ya nafsi yako.umetutowa machozi.asante.kwa darsa kubwa.mlipaji subhana akulipe❤😢😂

  • @neemahalima5440
    @neemahalima5440 6 หลายเดือนก่อน

    Mashalla mwalimu ,tunajifunza na kubarikiwa sana mungu akubariki

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 5 หลายเดือนก่อน

    ALLAH AKBAR, ALLAHU AKBAR, ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR, ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR.Alhamndulillah

  • @MealiiMohamed-pb7ol
    @MealiiMohamed-pb7ol 8 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah shekh Allah atuzidishie sote in sha allah

  • @evaristimkopwaji1130
    @evaristimkopwaji1130 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @neemamihiko5429
    @neemamihiko5429 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah

  • @Kondoa805
    @Kondoa805 5 หลายเดือนก่อน

    Mashallah tabarakallah Allah Jazakàllah kheri ❤

  • @faridaali2820
    @faridaali2820 4 หลายเดือนก่อน

    Allah akujalie umri ln sha Allah 🤲🤲

  • @OmAn-cz8kt
    @OmAn-cz8kt 9 วันที่ผ่านมา

    Mashallah

  • @mukhtarmusa2704
    @mukhtarmusa2704 5 หลายเดือนก่อน

    Mashââ Allâh !
    Jazââka llâhu Kheir.

  • @user-hm6hy6rr1h
    @user-hm6hy6rr1h 4 หลายเดือนก่อน

    Shukran sheh aallah akubarik

  • @user-br6mo6it8c
    @user-br6mo6it8c 3 หลายเดือนก่อน

    Mashallah shukran y'a Sheikh

  • @Asha-fm5hw
    @Asha-fm5hw 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallaah allaah akujaze kila lenye heri

  • @user-zo9ne7bi3p
    @user-zo9ne7bi3p 5 หลายเดือนก่อน

    Jazakallah kheir

  • @AishaKansime-wt3np
    @AishaKansime-wt3np 6 หลายเดือนก่อน

    Assalam alaikum ww sheikh Allah akulipe zaidi duniani Na adhéra

  • @user-jw5oj6tu8i
    @user-jw5oj6tu8i 4 หลายเดือนก่อน

    Jazaka Allah khayr mwalim

  • @user-zk6mn5is7y
    @user-zk6mn5is7y หลายเดือนก่อน

    Maa shaa Allaah

  • @user-xf5sd4bt2v
    @user-xf5sd4bt2v 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah mungu akubarik naomba mimi msaada

  • @latifamohammed-qp5zl
    @latifamohammed-qp5zl 4 หลายเดือนก่อน

    Allah akubariki wewe na familia yako

  • @user-ew4vk9qs5b
    @user-ew4vk9qs5b 5 หลายเดือนก่อน

    Allah akumpe maishamarefu

  • @Anuuuiioioioop
    @Anuuuiioioioop 4 หลายเดือนก่อน

    Kheihe ahsante naomba zako tafadhali

  • @binthasan7532
    @binthasan7532 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah , mashaallah

  • @user-ve3wu5jn1l
    @user-ve3wu5jn1l 5 หลายเดือนก่อน

    Mashalaa jazakalah heri

  • @saudinearalhasa2674
    @saudinearalhasa2674 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah mashaallah

  • @user-su6pn3zh8y
    @user-su6pn3zh8y 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah dalili naziona

  • @saidrashiddias
    @saidrashiddias 3 หลายเดือนก่อน

    Allahu Akbar

  • @MwanapiliAthumani-zp1bs
    @MwanapiliAthumani-zp1bs หลายเดือนก่อน

    Masha Allah

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah❤❤❤

  • @user-ni8ci5gs1z
    @user-ni8ci5gs1z 28 วันที่ผ่านมา

    Shekh samahani Sana nilikuwa na shida na namba yako ya simu Niko oman mtt WA boss wangu kawa haeleweki gafra Tu mara Yuko sawa mara hayuko sawa

  • @marimyussuf3374
    @marimyussuf3374 3 หลายเดือนก่อน

    Swadakta sheikh othman kama mm nshaajiriwa sehem zaid ya tatu ila sifiki ata wiki mbil kunaingia fitina na kuondok sehem iyo 😢

  • @faridambarak7903
    @faridambarak7903 หลายเดือนก่อน

    Subha😢Allaah❤

  • @user-wd2wn7qz9z
    @user-wd2wn7qz9z 5 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulilah sheh mm ninamitihani sn nasijui ntakuoata wap

    • @user-hh7uz4so9i
      @user-hh7uz4so9i 4 หลายเดือนก่อน

      Piga hizo namba natumai utampatia

  • @kelvionthermal4885
    @kelvionthermal4885 6 หลายเดือนก่อน +33

    Mimi piano ulinisaidi natokea kenya nilikaa miaka sita bila ya mtoto nikafatilia ruqya yako ya live nikiwa qatar nikajihisi mwili tofauti nilifika kenya vacation sikumaliza miezi miwili Alhamdulilah mke wangu aka shika mimba shukran sheikh othman

    • @HusseinBahati-wb1gz
      @HusseinBahati-wb1gz 5 หลายเดือนก่อน +4

      Takbiiir !!!!Allahu Akbar

    • @mwalisuleih1164
      @mwalisuleih1164 3 หลายเดือนก่อน +1

      Masha'Allah ❤❤❤❤❤Alhamdulillah

    • @azizashiundu5778
      @azizashiundu5778 3 หลายเดือนก่อน +2

      Takbiiir ❤❤ Allah Akbar

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y 8 หลายเดือนก่อน +1

    🌺

  • @LydiaKedeke
    @LydiaKedeke 2 หลายเดือนก่อน

    Asalaam alekm mimi nimeshukuru mimejivuza mengi nisio yajua

  • @NiyukuriAthuman-wf7vu
    @NiyukuriAthuman-wf7vu หลายเดือนก่อน

    Asalam alekku utuombee na sisi ambao hatui kusoma

  • @Edebsantube
    @Edebsantube 4 หลายเดือนก่อน

    Ameen 🤲🤲🤲

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y 8 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤❤🎉🎉

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 5 หลายเดือนก่อน

    Utajiri bila Ku mcha Mungu ni bure,Mimi niambie njia ya kupata Pepo

  • @AnnoyedBakedCustard-mm7xh
    @AnnoyedBakedCustard-mm7xh 5 หลายเดือนก่อน

    Mpaka na me imenigusa kupitia kisa ulichokisimulia mwenyz mung akupe maisha malefu zaidii kipenz cha wengii

    • @user-lp5zw6bb5d
      @user-lp5zw6bb5d 3 หลายเดือนก่อน

      Jaxakumla kheran shukran ustadh othman Michael

  • @jayclassic291
    @jayclassic291 3 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh mim nakufatiliya san nakupendag san baba yangu

  • @user-id6fk9hr9q
    @user-id6fk9hr9q 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mashalla mm ni mkristo lakini napenda mafundisho yakooo

  • @irambonasaidi3417
    @irambonasaidi3417 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asalamwalaykum warahmatullah wabarakatuh sheikh ninaswali vip kwa sisi hatujafikia juzu hilo?mana juzu moja limesha tushinda kumaliza tufany je? natamani sana nisome juzu zote 30 ila nimekua mtu mkubwa sasa shukran kwa darsa

    • @rashdabdulazizi4193
      @rashdabdulazizi4193 7 หลายเดือนก่อน +1

      jitahidi usome elimu Haina ukubwa Wala hainamwisho pambana upate faida

  • @King_cestdjibril_01
    @King_cestdjibril_01 6 หลายเดือนก่อน

    Asalam alayikum warhamaturullah wabarakatuh
    Sheikh nawumwa niko RWANDA Unaweza ukanisaidia ukanitibu

  • @Salma-kb1xr
    @Salma-kb1xr 4 หลายเดือนก่อน

    Mwalim mimi sijuwi kusoma surat waqia illa yassin najuw nitasoma ingine ao

  • @ashandege4841
    @ashandege4841 5 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah shekh,napenda niulize hii surat Waqia unaisoma yote?au kina aya za kusoma?

  • @ZubeirTahir-ep1tp
    @ZubeirTahir-ep1tp 6 หลายเดือนก่อน

    Namftilia sana sana lakini namuona yupo kwenye mambo ya Kidunia tuu.
    Ni maoni yangu

    • @nurukavumbi2477
      @nurukavumbi2477 5 หลายเดือนก่อน

      Nikweli yuko kwa mambo ya kidunia kwa sisi sote tuko duniani na yanayo tusumbua ni imani na challenge za duniani. Yuko sawa sana huyu sheikh. ALLAHU AKBAR.

  • @allymwanyai968
    @allymwanyai968 หลายเดือนก่อน

    Na kwa mfaano mtu hajui kusoma

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona kuna siku ulisema chanzo cha utajiri wako ulienda sehemu kusomea huko Oman kuna mtu ikuzawadia kiasi cha pesa

    • @annakbunga8377
      @annakbunga8377 5 หลายเดือนก่อน

      Inawezekana ujuwe kila mtu anasiri yake ya Maishs code

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed1589 6 หลายเดือนก่อน +1

    Badala ya kukimbilia utajiri kwanza waase watu wamrudie allah uasi umezidi.watu hawaswali maovu yamezidi dhilma zimezidi badala uwaambie walete istighfara kwa wingi unawadanganya kama mapasta wauza mafuta ya upako.

    • @kheiramour2973
      @kheiramour2973 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kwan kumsaidia mtu kuna tatzo gan

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 6 หลายเดือนก่อน

      @@kheiramour2973 hajala dola zako ndo maana unaongea hivyo

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 7 หลายเดือนก่อน +1

    Masheikh wa mjini bwana sheikh walabighishe watu ktk kupata uchamungu haya mambo ya watu kuwa matajiri wameshakuwa matajiri na tunaona wanayofanya nifisadi tu ktk dunia

    • @mayaniphilipo9256
      @mayaniphilipo9256 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kwan Dini Haitak Waislam Kuwa Matajiri?
      Na Ni Lazima Kila Shekh Mjini Asaidie Waislam Jambo Hilo Hilo!?

    • @selemankishema5780
      @selemankishema5780 7 หลายเดือนก่อน

      @@mayaniphilipo9256 uislam inahitaji saana matajiri lakini hawa matapeli wanatumia uislam kuibia watu alafu we mwenyewe unaona jinsi gani waislam wanakuwa matajiri lakini saana lakini ndio tunakuwa wapumbavu kila siku ona waarabu walivyo matajiri naona ujinga waliokuwa nao kwa mambo ya kifakhari ulishaona asie muislam anafadhili vitu vya kipumbavu? Na hawa masheikh ndio watu wa mambo ya ufakhari tu

  • @user-hm6hy6rr1h
    @user-hm6hy6rr1h 4 หลายเดือนก่อน

    Asalam alykm sheh ss tumitak tum namb ip

  • @issakakwaya-ch4dc
    @issakakwaya-ch4dc หลายเดือนก่อน

    Salam halehkum chehe, mimi Nina shida ya kuto kujuwa kusoma koruhani nifanye je ?

  • @user-ve8mr1jk8r
    @user-ve8mr1jk8r 21 วันที่ผ่านมา

    Shekh unapatikana wapi

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j 5 หลายเดือนก่อน

    Mie nahisi tuwe na imani na hizo sura alotupa tuzisome na kuamka usiku ili Allah atusaidie kama alivyompa yeye Sheikh Michael. Tuwe na imani kwa aliyotuelekeza.

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed1589 6 หลายเดือนก่อน

    Mimba ikifika mwanamke akashindwa kuzaa anapigwa sindano ya uchungu au kisu wacha uongo.

  • @mamafahad2782
    @mamafahad2782 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi natakaa nijee hapo hapoo kupataa Ahuwenii kupitiaa wewee Dawaaa

  • @ZubeirTahir-ep1tp
    @ZubeirTahir-ep1tp 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa yupo kwenye pesa tuuui

  • @kheiramour2973
    @kheiramour2973 6 หลายเดือนก่อน

    Shekh othman jina linakuja nani

  • @annakbunga8377
    @annakbunga8377 5 หลายเดือนก่อน

    Number jina linatoka nani nataka nitume sadaka yng

  • @SharifaSharifa-fo1ps
    @SharifaSharifa-fo1ps 5 หลายเดือนก่อน

    Nakama aliekuhusudu humjui unafanyeje?

  • @user-xf5sd4bt2v
    @user-xf5sd4bt2v 6 หลายเดือนก่อน

    Mimi nnatamani nipate kingamuzi cha azamu na msahafu Tu wa tafri Tu naomb

  • @DannielMwakyusa-vm8sc
    @DannielMwakyusa-vm8sc 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa Kama hujafika huko kwenye Surat yasini inakuwajee

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed1589 6 หลายเดือนก่อน

    Uislam unatuambia tutafute au kumuomba allah radhi yake na rizki waasia maana yake rizki pana.uislam hautufundishi kuomba utajiri na fedha nyingi hayo ni yako na waninga wenzio.mnatuletea mambo ya mapasta wauza mafuta ya upako kudanganya watu watakuwa matajiri.oh cjui pokea benzi pokea nyumba upuuzi na ushenzi mtupu.

  • @user-cw1vl3hx5d
    @user-cw1vl3hx5d 6 หลายเดือนก่อน

    Salam aleikum ningependa kujua kusoma qoran mimi nilisilimiswa sijajua kusoma kwa hivyo kama utanifunza nita furahi

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 5 หลายเดือนก่อน

      Nenda madrasa akufunze wap unania kweli

  • @user-do8yb7ff3v
    @user-do8yb7ff3v 7 หลายเดือนก่อน +1

    Shekh nikisoma baada ya ishaa ni sawa?

  • @DannielMwakyusa-vm8sc
    @DannielMwakyusa-vm8sc 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa wengine hatujafika hukoo

  • @allysaidshaban7734
    @allysaidshaban7734 8 หลายเดือนก่อน +2

    Ww mbona hui tajir

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 8 หลายเดือนก่อน +2

      Unamjua au unaongea tu hivi mtu anamiliki nyumba ya gorafa na magari ya kifahari sio tajiri Unajua anamiliki sh ngapi nenda kwake ndo utajua nitajiri au masikin

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@tanzaniaonmzamiloon8627Kuna watu wapo kupinga tu... Duh tubadilike. Hata huyo sheikh hamjui anamsemea....

    • @AbdillahSaleh-og1gu
      @AbdillahSaleh-og1gu 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@tanzaniaonmzamiloon8627sasa utajiri wa Sheikh Michael utafaidika nao nini? Wewe unapewa ilimu kumbe wajua zaidi ya mwalimu. Sub'hanaAllah

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 7 หลายเดือนก่อน

      Huyu Sheikh ni Tajiri ndugu. Ana majumba na magorofa na Range rova. Na gari za kawaida

    • @mornasaidtindwa3622
      @mornasaidtindwa3622 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ayo maneno mazuri ansyo tupa niutajiri tosha

  • @kabwefrancine99
    @kabwefrancine99 5 หลายเดือนก่อน

    nasisi wasiyo kuwa wa hislam tufanyaje?

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 6 หลายเดือนก่อน +3

    Wacha kuhubiri utajiri wa Dunia,hubiri utajiri wa binguni, utajiri wa Dunia bila uchaji Mungu ni bure

    • @dvdndsng
      @dvdndsng 3 หลายเดือนก่อน

      We vip unamatatizo gani

    • @AwadhSaidMohamed
      @AwadhSaidMohamed 23 วันที่ผ่านมา

      Wewe hubiri utajiri wako wa mbinguni

    • @user-gn9rh7sw7r
      @user-gn9rh7sw7r 14 วันที่ผ่านมา

      Hata Mw Mungu anasema niombeni nitawajibu,omba,afya,uzima ,mali. Na mengine yenye kumpendeza Allahsw.

  • @njokiissa1271
    @njokiissa1271 5 หลายเดือนก่อน

    Quran dawa 😢

  • @Silaji57Warambo
    @Silaji57Warambo 3 หลายเดือนก่อน

    Asantesana sheikhe othuman kwaelimu uliyotufikishia INSHAALLAH ALLAH AKURIPEKILALAKHERI

  • @user-iz7yc1di6n
    @user-iz7yc1di6n 2 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah

  • @user-nu6ux3wo1o
    @user-nu6ux3wo1o 4 หลายเดือนก่อน

    Mashallah sheikh

  • @sadanimubona5485
    @sadanimubona5485 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah

  • @DannielMwakyusa-vm8sc
    @DannielMwakyusa-vm8sc 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa Kama hujafika huko kwenye Surat yasini inakuwajee