Nyota ya Bahati zaidi | Nyota 3 zenye bahati zaidi | Zipi nyota zenye bahati zaidi?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- Katika video hii utajifunza na kufahamu ni zipi nyota za bahati kuu 3 zenye bahati zaidi na maelekezo ya sababu kwa nini zina bahati kuliko zingine na wewe unaweza kuwa na ujamaa gani nazo.
Nyota ipi ina bahati zaidi?
Nyota zipi zina bahati zaidi?
Nyota ya bahati?
Ipi nyota yenye pesa zaidi?
• Nyota yenye pesa zaidi?
Mimi naitwa Mpala Zabibu Cécilia, mama yangu anaitwa BENDA wa kongomani. Samahani nilitaka nijue kitu kuhusu nyota au bahati yangu
Minataka niulize Mimi Punda Nisaidie Kuwusu Hio Nyota Nanyota Tunaendana Asante
Mkubwa samahani naomba mimi nimezaliwa tarehe 8/1/1990, jina langu BAHATI Janvier sijui nyitayangu hebu nisaidiye
Mbuzi
Bahati nyota yako ni ng'ombe asili yako ni udogo
Walker Scott Allen Shirley Lewis Maria
Umeongea ukwer kabisa ndomana mim nampenda sana daimond? Na tunapendana na tunaendana Sana Yan,,kumbe nyota zetu zinaendana ,, mashalah
I love you
@@Isaac-wk1gv I love you too
9/December 😂😂
So ingekua uongo kama ungekua humpendi diamond? Kweli tunahitaji elim 😂
Hahahaha
Jamani mbn nachanganyikiwa Mimi nyota yangu sijui sasa
Simba piga kelele
Mkbwa mm nimezaliwa trh 26/11/1987 nitazamie nyota yangu
Kwaiyo nyota ya pili na ya kwanza zikiwa pamoja inakuweje?
Shukran sana mm nyota yangu ni ya mizani Libra ntajitahi sana kwa maelekezo yako❤❤❤
We swaiba wangu mizani
Asante sana mwalimu Ndomahana niki omba sana mambo yangu yana funguka sana kumbe mizani inabidi tuombe sana
Asee kweli mizani mafanikio yangu ni kusali saana
mikama nyota yangu sielewa kama na nyota mbili
Kma huna bahati utakarabisha vip nyota yako
Angalia katika video hii inazungumzia hali za nyota
th-cam.com/video/gZqol4f94k0/w-d-xo.html
Nyota ya mshale kwenye uzinzi sjaelewa na mizimu sjui inakusumbua au ushukuru kwa mungu hapo imekaaje ufafanuzi kdgo mwalimu
Nikitaka kusafisha nyota yaku ni fanye nini
Rejea kwenye playlist ya nyota nimefundisha. Bonyeza hapa th-cam.com/video/4UDlbBSeVWU/w-d-xo.html&ab_channel=RakimsSpiritual
Mimi naitwa neema mama yangu Sofia sijui nyota yangu imekaaje
Mwalimu mbona mnatuchanganya mimi najua nyota inayotawaliwa na Jupiter na Neptune ni samaki mshare inatawaliwa na neptune kila mtu anasema lake
Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah
Mimi ni Christine Awonda naulisa mtu hujua aje nyota yake sababu mimi sijui nyota yangu naomba unielimishe
Sisi wa nyota za mapacha unatuwela wap kaka😅
Mm tarehe ni mshale, jina ni mizani mbona mambo hayaendi
Maalim me ni simba pls naomba tuonane unisaidie🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Bonyeza hapa www.youtube.com/@rakimsspiritual/about
Malim tareh 1 mwezi wa 8Vp nyota yng
It is wonderful 🌹
Asylm alykum naitwa omary kassimu mama anaitwa salama nyota yangu sihifaham naomba unisaidie
Wasiliana nasi kwa uchambuzi wa nyota
Nataka kujua kuhusu ili jina geofrey elizeus
Ng,e tutumie vipi nyota zetu??
Tufundishe jinsi ya kurekebisha Nini uliye nae
Jamani ata nyota ya libra uje huichambue kaka
Leo ndo nnegundua kumbe nna nyota ya bahati
mm ni leo yaani simba ndo maana niko mkali kwa betting
Naomba kujua nyota yangu ya jina Mohamed
Kumbe ndomana nampendaga harmonize kumbe…😂
Habari yako, naomba kuuliza mimi naitwa hosiana Godfrey, mama yangu anaitwa Elhaika jeremia nimezaliwa jumapili 1 december naomba uniambie niolewe na mtu mwenye nyota gani na nifanye biashara gani asantee
Wasiliana nasi kupitia 0783930601 kwa uchambuzi wa nyota binafsi
❤@@rakimsspiritual
Nisaidie na mm sijui nyota yng nimezaliwa tarehe 23/12/1996 naitwa dhuha
Wasiliana nasi kupitia 0783930601 kwa uchambuzi wa nyota binafsi
Naitwa Aneth nyota yangu siijui nisaidie 🙏
Nisaidie mie nyota yangu ni samaki
Upande gani?
Kwakweli mim mpaka sasa sijijui nyota yangu tar 27, 10 , 1989 mara scorpion mara Taurus naombeni kujua 😢
Scorpion
nyota haitizamwi kwa tarehe ya kuzaliwa wala mwezi ila ni mwezi wa kiarabu tuu
31/12 nyota yangu n ipi
Mm ya Simba uwi Jamani ubalikiwe
Yamm namume Wang nyota moja lakini mambo yetu magumu Sana pesa kwetu zinapita tu
Kufanana nyota ni kuelemeza mizani sehemu moja
Majina ya hao watu je
Sagittarius 🏹 ndio nyota yangu
Asante mkubwa sasa hii nyota ina baraka? Ama
❤❤❤❤na mimi ni nyota ya mshale
Majina ya hao watu
Kumbe ndio maana kajala akiwa na Harmonise anampush nyota yake ni Leo Simba jike
Kajala nyota yake ni kaa na sio simba
Mkuu mimi nimezaliwa tarehe 25/06/1993 nyota yangu ni ipi?
Una nyota ya nge siku yako ya bahati ni alhamis yangi ya bahati ni nyekundu
Nikaa sio ngee
Mi nimezaliwa 1 mwezi 1 mwaka 1989 naomba kujuwa nyota yako hapo ikoje naomba jibu tafadhali
Mbuzi
Mimi Nina nyota ya mzani lakini hamna lolote
Naeza juaje nyota yangu naitwa samweli
Niya mizani
Si kweli
@@rakimsspiritual kwanini si kweli mbona jina lake linaAnza na herufi s
@@rakimsspiritual naomba uniambiye jina grâce ni G
Nyota ya mizani inaherufi gani
Mwenye nyota yangu ya simba ila nivibuli ss 😢
Tafuta pete ya Ruby huwa ina balance temper na kuleta utulivu wa akili.
Vizur
Mkuu kwema mimi nimezaliwa mwezi wa 7 kialfabet herufi yangu ni ya 7 ni G.unaweza nielezea kitu nielewe
Nipe namba yako ya wasap
Nyota yangu mizan lakin sielew ni fanye nini kiongoz
Sali sana hata mm ni libra pia
Shukran
Mimi na Mpenzi wangu nyota yetu ni moja wote ni Mshale je tunaendana na tunaweza kupata mafanikio?
Betry haiwezi kufanya kazi ikiwa utagusa upande wa kichwa peke yake... Which means ukiwa nae ni sawa na kutokuwa nae tu.
Samahan mm nnanyota ya ng'ombe lakin mumewang ananyota ya punda alafu tushazaa na nikwer atuelewan ivi nifanyaje jaman mm nampenda samahan naomba nisaidie
Kila mmoja wenu anatakiwa kubalance nyota yake na kila mmoja wenu ampe mwenzie nafasi ya kuwa yeye kama yeye..
Mtaenda sawa, lakini mkishirikishana mambo hamna kheri kwenu
Jitahidin muishi ki maamrisho na muache makatazo imani ndio msingi wa maisha bora mkiishi kwa kumuhofu allah hakutakua na hayo mnayo pitia mwanamke jishushe na uwe mtiifu kwa mumeo na ukisali muombee pia ushaur bila ibadan haisadii.
Mimi nipo kwenye nyota ya simba ila nimeandamwa na jini mahaba
0783930601
Asnt me simba
Sawa natajitahidi kusali mimi mizani
0783930601
Maalim napataje mawasiliano yako
0783930601
Reo
Mashallah mie ni simba og ❤❤
SIMBA WA NYIKA NAMI PIA from Kenya
Hey naweza kufaham aje nyota yangu ni yipi
Rejea katika playlist ya nyota
Haya nimekuja kuuliza hapa nitajuaje kama niko na jini mahaba ndugu maana niko na nyote ya simba
Jini hatambuliwi kwa kuangalia nyota mkuu.... Kwa uchambuzi wa nyota na mwili utalipia.. unaweza kuwasiliana nami kwa whatsapp
Asalamwaleku cheikh
4:32 5:21
Mm nimezaliwa tarehe 3 mwezi wa 1 2003
Ingia google uandike neno "horoscope signs"
Mmmh nimesikiliza kwa makini weeee Sijasikia Mashuke😢😢
Ipo kwenye majaliwa tofauti na bahati zaidi.
😂😂😂pole sana ipo siki utasikia
Shukrani sana mwalimu kwa darasa lako
Asante ubarikiwe
Mim jina langu estar nyota yangu niainagani
Ingia google uandike neno horoscope signs kisha angalia tarehe na mwezi wako wa kuzaliwa vinaingia kwenye nyota ipi
Mimi na maswali kwako
Jini wa Mali ni mgani?
Nitakupataje
0783930601
❤❤❤❤❤ good 👍 fact
Sawa Asante 🥰
Samahani mwalim naomba muongozo wako hivi tr 20 mwezi 8 ni nyota ya ? Na siku ya bahati ni ipi? Na pete ya bahati ni ipi na hupendeza kuvaliwa kidole kip?
Maan dr nyota ni mhimili wa maisha nawewe ndie katufunza ipasavyo kuhusu nyota hivyo usituchoke kutusaidia
Rejea video hii kwanza th-cam.com/video/gZqol4f94k0/w-d-xo.html
Kisha fuatilia hapa th-cam.com/video/jWqUI_C06tU/w-d-xo.html utapata kujua kila unachotaka kuhusu nyota yako
@@rakimsspiritual
@@rakimsspiritual
Myota yang mie ya simba
Basi jitahidi kuzingatia maelekezo
mi nyotayangu kama siekewi najuina kama na nyita mbili
6-6-1987 je mimi nyota yangu ipi
Kaa😂
Mapacha
Mimi Nyota Yangu Jua 🌕
Hakuna nyota ya jua😂
Kwani wewe ni Simba
🙏🙏🙏🙏🙏
Mimi ni Sagittarius..Saidia nyota yangu ingae tena
Wasiliana nasi
@@rakimsspiritualmawasiliano plss tupate kujua mengi😊 mm
kaka samahani mimi naitwa asia nafanya biashala haziendi nimejihangaikia lakini nimeambiwa nyota yangu yakiza jenaweza kuitenge nezavipi
Samahani mwalim je mwenye nyota ya SIMBA ni mtu alie zaliwa tarehe ngap had tarehe ngap ya mwez gani?
Angalia kwenye hii video kipengele cha nyota ya simba nimeonyesha tarehe kwenye video.
Sisi punda 😱😱
Kabebe mzigo😂😂
😂
🤣🤣🤣
Mimi sijui nyota yangu please nijuze
Umezaliwa mwezi upo na tarehe gani? Kisha nitakwambia nyota yako
tareh 28/1/200 naitwa mahmoud
Nimependa uchambuzi wako
Asante tupo Pamoja
Nipe namba zako
Majina ya mshale ni kama
Endelea kutufuatilia.
Amesema ukweli kabisa
Kabisaaaa yaani makee najraibu kulinganisha na mambo nayopitia nayo yaona haki asema kweli hasa
Je unawezaje kujua kama nyota yako ni simba kwa kuangalia miezi au herufi
shukran sana mwalimu mpendwa nyota yngu ni mizani ntajitahidi kwa ulio yasema asante
Tuko pamoja na Ubarikiwe.
Nataman kupata mawasiliano tafadhal
Wasiliana nasi kwa whatsapp 0783930601
Asante sana Rakims tupo pamoja kitambo
Mimi ni simba na ninapenda sana getting
Nishauri maana astro projection bado aijanisaidia kwa maisha ya kimwili yani pesa
Okay, Astral projection faida zake huanza pale mtu anapokuwa kaweza kutoka je wewe umeshaweza kutoka?
Kuhusu simba well kuna mida sahihi ambayo kila nyota inaweza kutumia kwa kupatia bahati yake nitakuja kuelekeza.
Vp nawasiliana nawe?
0783930601
Salaam likum wewe unapatikana wapi?
A Santé sana ,ile haunja tuma namba Yako , hautujuwi wapi unapatikana