Hakuna kitu inaitwa nyota bro sisi ni waislamu tuna amini kitabu chetu cha quraani. Niambie aya gani ya qurani imesema mambo ya nyota. Risiki mungu aliandikia waja wake wakiwa hawaja saliwa. Hiki ulisitoa wapi ndugu are you not a Muslim
Daa she Mimi ni miungoni wa izo nyota jina langu zakia sasa nimeguswa na izo kazi ulizo zitaja Mimi ni fundi cherehani na ninajushuulisha na shuguli za biashara ya kilimo ndio kazi zangu uwa sitaki kabisa kazi za kuajiliwa uko sahihi kabisa lakini nilikua sijui ninanyota Gani Asante nitakutafuta
Naomba kueleweshwa, helufi ni N tar, ni 26 septemba, nyota yangu ni lpi?
Shekhe Sule nimekuelewa kwa uzuri , mimi ni herufi N, na mpenzi wangu ni herufi M je huyo ni mtu sahihi kwangu
Hakuna kitu inaitwa nyota bro sisi ni waislamu tuna amini kitabu chetu cha quraani. Niambie aya gani ya qurani imesema mambo ya nyota. Risiki mungu aliandikia waja wake wakiwa hawaja saliwa. Hiki ulisitoa wapi ndugu are you not a Muslim
mashaallah shekhe
ASante ni sana baba B N Z
Ustd vua kanzu na kofia ju wadhalilisha uislamu...this is not islamic
Vaa wewe kanzu uje uongee.
😂😂😂😂😂❤❤ ukweli mtupu huyu ni mimi ukweli jamani duu huyu mzehe ukweli kabisa na mahusiano ya miaka3 ukweli mtupu 😂😂Duu
Mm naisubiria herufi u
Je unaijuej sa nyota yako kama heruf ya mwanzo inatofautiana kbs na nyota ya tareh ulozaliw nayo??
Dr nakubali sana lakini kwa mada hii sikuelewi kabisa,,,Nyota ya n'gombe !??
Assalam alaykum
Sheikh nakupata vp jaman
Nina shida na ww
Sasa si umesema tusiajiliwe uwo uhasibu je itakuaje
Sheikh Mimi nipo miongoni mwahiyo nyota lakin sioni hizo daliliza kufanikiwa nisahidie hap
Mim mpenzi wang herufi H je ni sahihi alafu mimi z
Mimi nifundi wa kusuka je siko sahihi na nina herufi B
Kweli kabisa
Asant saan dr sulle
Nisaidie sulle wetu
G
Ustd vua kanzu na kofia ju wadhalilisha uislamu...this is not islamic
Vaa wewe uelezeee ,,, nyokoo wewe kiupande wangu ni heruf Z nyot ya ngombe hna baya 100% kanipatia
😂😂😂😂umemkomesha mwanga uyo mie kanipatia @@ZalhaRashid-o6z
Mimi.naisubiria herufi M
Daa she Mimi ni miungoni wa izo nyota jina langu zakia sasa nimeguswa na izo kazi ulizo zitaja Mimi ni fundi cherehani na ninajushuulisha na shuguli za biashara ya kilimo ndio kazi zangu uwa sitaki kabisa kazi za kuajiliwa uko sahihi kabisa lakini nilikua sijui ninanyota Gani Asante nitakutafuta
Mimi pia jina langu ni zakia je nikifanya biashara ya kilimo nitafanikwa??
Assalam aleykum
Sasa shee iy pete vp naipata je