DR.SULLE WENYE MAJINA YA B.N.Z WANATAKIWA KUFANYA KAZI HIZI NDIO WATAFANIKIWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
  • #drsulle #tanzania #islaamic

ความคิดเห็น • 28

  • @NeemaMatta
    @NeemaMatta 13 วันที่ผ่านมา

    Naomba kueleweshwa, helufi ni N tar, ni 26 septemba, nyota yangu ni lpi?

  • @nasrahassan7272
    @nasrahassan7272 26 วันที่ผ่านมา

    Shekhe Sule nimekuelewa kwa uzuri , mimi ni herufi N, na mpenzi wangu ni herufi M je huyo ni mtu sahihi kwangu

  • @AliHassan-wt6jn
    @AliHassan-wt6jn 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna kitu inaitwa nyota bro sisi ni waislamu tuna amini kitabu chetu cha quraani. Niambie aya gani ya qurani imesema mambo ya nyota. Risiki mungu aliandikia waja wake wakiwa hawaja saliwa. Hiki ulisitoa wapi ndugu are you not a Muslim

  • @NurathAthumani-bq4iw
    @NurathAthumani-bq4iw 18 วันที่ผ่านมา

    mashaallah shekhe

  • @AsumaniTeam
    @AsumaniTeam หลายเดือนก่อน +1

    ASante ni sana baba B N Z

  • @abeidjuma1855
    @abeidjuma1855 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ustd vua kanzu na kofia ju wadhalilisha uislamu...this is not islamic

    • @berry4726
      @berry4726 7 หลายเดือนก่อน

      Vaa wewe kanzu uje uongee.

  • @budodianthony8094
    @budodianthony8094 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂❤❤ ukweli mtupu huyu ni mimi ukweli jamani duu huyu mzehe ukweli kabisa na mahusiano ya miaka3 ukweli mtupu 😂😂Duu

  • @ggohf7004
    @ggohf7004 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mm naisubiria herufi u

  • @NestoryMisalaba-lu9ox
    @NestoryMisalaba-lu9ox 3 หลายเดือนก่อน

    Je unaijuej sa nyota yako kama heruf ya mwanzo inatofautiana kbs na nyota ya tareh ulozaliw nayo??

  • @HamzaMketo
    @HamzaMketo 7 หลายเดือนก่อน

    Dr nakubali sana lakini kwa mada hii sikuelewi kabisa,,,Nyota ya n'gombe !??

  • @NurathNassor
    @NurathNassor 4 หลายเดือนก่อน

    Assalam alaykum
    Sheikh nakupata vp jaman
    Nina shida na ww

  • @Zlfa-y2p
    @Zlfa-y2p 7 หลายเดือนก่อน

    Sasa si umesema tusiajiliwe uwo uhasibu je itakuaje

  • @Nasmajumanne-g2b
    @Nasmajumanne-g2b 7 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Mimi nipo miongoni mwahiyo nyota lakin sioni hizo daliliza kufanikiwa nisahidie hap

  • @ZaynabMtepa
    @ZaynabMtepa 3 หลายเดือนก่อน

    Mim mpenzi wang herufi H je ni sahihi alafu mimi z

  • @BerthelGeorge
    @BerthelGeorge 6 หลายเดือนก่อน

    Mimi nifundi wa kusuka je siko sahihi na nina herufi B

  • @SadikiShekiondo
    @SadikiShekiondo หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa

  • @BridgetMajaliwa
    @BridgetMajaliwa 3 หลายเดือนก่อน

    Asant saan dr sulle

  • @LucyGichuhi-ij8sl
    @LucyGichuhi-ij8sl 6 หลายเดือนก่อน

    Nisaidie sulle wetu

  • @zabibu-xx5xz
    @zabibu-xx5xz 4 หลายเดือนก่อน

    G

  • @abeidjuma1855
    @abeidjuma1855 7 หลายเดือนก่อน

    Ustd vua kanzu na kofia ju wadhalilisha uislamu...this is not islamic

    • @ZalhaRashid-o6z
      @ZalhaRashid-o6z 7 หลายเดือนก่อน +1

      Vaa wewe uelezeee ,,, nyokoo wewe kiupande wangu ni heruf Z nyot ya ngombe hna baya 100% kanipatia

    • @ziadakatundu-cv4mg
      @ziadakatundu-cv4mg 15 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂umemkomesha mwanga uyo mie kanipatia ​@@ZalhaRashid-o6z

  • @MasomeAbell-cr1um
    @MasomeAbell-cr1um 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi.naisubiria herufi M

  • @zakiajuma2022
    @zakiajuma2022 6 หลายเดือนก่อน

    Daa she Mimi ni miungoni wa izo nyota jina langu zakia sasa nimeguswa na izo kazi ulizo zitaja Mimi ni fundi cherehani na ninajushuulisha na shuguli za biashara ya kilimo ndio kazi zangu uwa sitaki kabisa kazi za kuajiliwa uko sahihi kabisa lakini nilikua sijui ninanyota Gani Asante nitakutafuta

    • @ZakiaDeogratious
      @ZakiaDeogratious 27 วันที่ผ่านมา

      Mimi pia jina langu ni zakia je nikifanya biashara ya kilimo nitafanikwa??

  • @ZugaSaid-xe3px
    @ZugaSaid-xe3px 3 หลายเดือนก่อน

    Assalam aleykum

    • @ZugaSaid-xe3px
      @ZugaSaid-xe3px 3 หลายเดือนก่อน

      Sasa shee iy pete vp naipata je