elim ya nyota au astrology ni tawi la sayansi km astronomy nanyingine hakuna aya wala hasithi iliyokuja kuharamisha moja kwa moja elim ya nyota ingawa kuna ikhtilaf km zilivyo kwenye mas ala nyingine. wengi wanaopinga elim ya nyota hawajui maana ya elim hii wanaishia kupinga kimazoea . mwenye aya au hadithi yakuharamisha elim ya nyota wailete sote tufaidike.
Huyu ni mimi kabisa, nakumbuka kipindi Nasoma tulikua kwenye project na jamaa a aliye chaguliwa kua Kiongozi hakuudhuria alipata dharua hamuezi amini nilishangaa nimekabidhiwa uongozi na nikisimamia mpaka tulimaliza Salama na kwa wakati sahihi💪💪💪
Stop misleading people hakuna kitu inaitwa nyota sema aya na hadithii for evidence. Dini sii kiswahili nyingi lazima uwe na dhalili kutoka quran ama hadith unapotosha watu watu wanajua dini kuliko wewe hakuna kitu inaitwa nyota kwa dini ya waislamu
Assalamou alaykum sheikh docta sulle mimi nipo kongo durba sasa sheikh samahani kwa kukupigia simu kwani mimi ni mgeni kwako basi sheikh unisaidie n'a namba ambayo mutu aneza kuita nayo unajua kila mutu ana mambo Yake ambayo hawezi akatuma hapo Ila mwalimu naomba msaada wako kuhusu mambo yangu kuhusu maisha yangu ni mimi djibrile
Nawaswahili tulivyowapumbav pale tulipoambiwa kuwa malaika anàkuja kukuuliza maswali ukiwa tumbon nakunamambo utasema ukiwarizk kifo n.k ba hawajiombei tena dùa wanasema kila kitu kashaandik haiwez kubadilik
Allah akuongoze maana daaah Kwa Allah hakuna masihara wala utajiri swali nimoja Allah kafundisha mtume kafundisha maswahaba walifanya after that jua Lika ataefata elihiyo utaulizwa wallahu aalam
@@Catherine-mh8sw. Ndio Mwenyeezi Mungu anakubainishieni kua hapo hapana sheikh wala tiba za kisunna/Allah hamfichi mnafik. Mtu yyte anaefanya shirki usimuamini mpaka kwenye tiba zake hata akikupa mafuta basi usiyaamini km kweli unamukhofu Allah na kukhofia kuingia kwenye shirki.
😂😂Hao wanasema elimuyanyota ni ushirikina achananao sisi tunaojua faida zake tu fundishe ukiona comment zakukosoa somo hilila nyota usimjibu huyonisawa na kisiki 😂😂
Sheikh hili somo ni Pana sana ttz munatueleaga kiufupi,,, basi tunaomba kiundani kabisa,,, mfano mtu anakwambia rangi yako au number zako za bahati alakini anashindwa kukuelezea matumizi yake kwa upana,, na omba muwe tofauti
@@BakariRajabu-ru1bf Ikiwa ni kitu ambacho Kuna watu wanaweza kukitumia vbaya basi sio elimu nzuri. Hii inampelekea mtu kwenye ushirikina hvyo haifai, ndio maana hakuna historia ya mtume kufundisha elimu ya nyota.
Wale wa B tujuane, upo sahihi kabisa 🙌
Wajina ❤️😂😊
Tupo hapa lkn hatuna bahati kwa mapenzi
Yupo sahihi sanaa huyu jamaaa
Nipo apa
Tupoo B
Kwahiyo elufi B tufanye kazi gani ili tupate mafanikio ya halaka
DR.SULE. Mume wangu na mtoto wangu .Wana herufu A.lakini haiyendani kwa ulivo itafsiri...Kama ulivo eleleza labda kuna tatizo .sasa...ninge penda kukuona Nina mengi,.Vipi titapata NO .yako ya Wsap. Tuwasiliane ? Shukhran !🇰🇪
elim ya nyota au astrology ni tawi la sayansi km astronomy nanyingine hakuna aya wala hasithi iliyokuja kuharamisha moja kwa moja elim ya nyota ingawa kuna ikhtilaf km zilivyo kwenye mas ala nyingine. wengi wanaopinga elim ya nyota hawajui maana ya elim hii wanaishia kupinga kimazoea .
mwenye aya au hadithi yakuharamisha elim ya nyota wailete sote tufaidike.
Dr sule cc wa herufi B tufanye kazi gn inayoendana na hiyo nyota na kito gn kinafaa tuvae tafadhali shekh
Doctor sule whatspa number unatangazia watu mbona hauko najibu msg zawatu kwani ni hiyi whatsap inachaguwa watu?
Shehe mm naitwa Amina mume wangu anaitwa yahaya ila ndoa yangu ina misukosuko sana
Wallahi sheikh hiyo yote na herufi umepatia kabisa ni ukweli ninao watu wenye majina hayo na ni hivyo kabisa shukran Allah akuhifadhi
Hey what’s the colour for A,Y & M
Naomba kuuliza swali je kufanya mazoezi ya meditation mazoezi ya kutafakari kwa kufunga macho ni haramu ?
Docta sule herufi a ni kazi Gani akifanya anaweza kufanikiwa
Wallah herufi A ni zote sifa zangu mimi
Huyu ni mimi kabisa, nakumbuka kipindi Nasoma tulikua kwenye project na jamaa a aliye chaguliwa kua Kiongozi hakuudhuria alipata dharua hamuezi amini nilishangaa nimekabidhiwa uongozi na nikisimamia mpaka tulimaliza Salama na kwa wakati sahihi💪💪💪
Duuh...
Ushrikina huu ....
Kama vipi shehe tupe elimu tujue kama sio ushrikina....
Na hiyo mtume kasema kwenye hadithi Au sera
Uko sahihi sana shekh sule
Masuala ya nyota ni shirik
Hahahaha watu wa kuowana nao ni akina nani
Kusoma nyota ni haramu bwana 😢acha kumshirikisha allah mtume amesema atakae jifunza elimu ya nyota amejifunza sehem ya uchaw allah akuongoze
Hahaha Ukty..
😢😢
Sio shirki dada sema hukusoma tu
@@BakariRajabu-ru1bf so unataka kusema hadith ya mtume ni uongo ama ndio mnaita dhaifu ili mpate cha kujitetea na si dhaifu
Umekuwa mjinga kadiri MDA unavyokwenda mrudie Allah Acha shubuha Mzee duniani tunapita.
Huyu mtu asiruhusiwe kuhubiri vitu kama hivi anapotosha watu. Ndugu zangu ni shirki huyu anafanya
Stop misleading people hakuna kitu inaitwa nyota sema aya na hadithii for evidence. Dini sii kiswahili nyingi lazima uwe na dhalili kutoka quran ama hadith unapotosha watu watu wanajua dini kuliko wewe hakuna kitu inaitwa nyota kwa dini ya waislamu
Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah
huyu jamaa kumbe mshirikina
subhanallah
Assalamou alaykum sheikh docta sulle mimi nipo kongo durba sasa sheikh samahani kwa kukupigia simu kwani mimi ni mgeni kwako basi sheikh unisaidie n'a namba ambayo mutu aneza kuita nayo unajua kila mutu ana mambo Yake ambayo hawezi akatuma hapo Ila mwalimu naomba msaada wako kuhusu mambo yangu kuhusu maisha yangu ni mimi djibrile
Uko sa hihi
nimeamini kwenye hiri umenigusa sana sasa nimepata nguvu zaidi ASANTE OSTADHI
Mbona ushirikina huo shekhe wetu ...au vipi hebu tuelimishe kwa hili
🚶🚶
Free Palestine 🇵🇸🇵🇸
Tunahitaji aman dunian,
Peace 🕊️✌️🕊️
🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸
🚶🚶🚶
Nawaswahili tulivyowapumbav pale tulipoambiwa kuwa malaika anàkuja kukuuliza maswali ukiwa tumbon nakunamambo utasema ukiwarizk kifo n.k ba hawajiombei tena dùa wanasema kila kitu kashaandik haiwez kubadilik
Ama kweli hii dalili ya Qiyama elimu ya wachawi
Asantekwamafunzoyako
th-cam.com/video/l2vAJ4TCI2g/w-d-xo.htmlsi=0PkXNTb3erWJ7Hek
Elimu ya nyota katika uislamu ☝️
Kwer kabisa shekhe uengeayo mi Jina langu uanzia m Nina hasira kibul mdogo angu pia anae anzia na a hivyo hivyo😢
Mm n B ninawivu mbya uliofanna n Roho mbya ujkosea🤝
Dr Sulle hujamaliza A rangi na ukitaka kuomba ufanye nini? Please nisaidie. Shukran
Unapotosha umma 😢innalillahi wa inna ilayhi rajiun
Potoka wewe e sie tupo sawa
Kubali kujifunza Wacha ujinga
Umeskia wapi herufi ya jina inatoa ushuhuda wa tabia za mtu..acheni ukapuku mnadanganywa sana dah ila zote njaa tu ixo😊
M nyota yang ya A ila sku nying nlikua nafatilia ila Leo nkaona nimtafte dr.sule sababu namuamini ila hajaielezea Sana herufi ya A
Lohhh Sule amekua atafsiri nyota? Laa haula. Unatuharibia uislamu
KWEli kabisa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Selemani ndio unafanya nn
Dawa ya haqqi sikuzote haipotei Allah atuongoze ila selemani kapotea
Mie nachojua shekhee umesema kweli mwenyezimungu anifanyie wepesi nizidi kutimiza malengo yangu
Achana na huu ni ushirikina
kwani kuna mtu kakulazimisha ufuate u usikilize umelazimishwa mwanga wewe
Endelea shekh wtu waache malimbukeni wasijitambue kisha wapige kelele raisi kawabana.
Asante sana munguakupe Manisha marefu uzidi kutufundisha
Nasie wenye haref za m jmn eh
Allah Subhaanah wataala akuongoze
mimi ni erufi (cirezi) kwenye swala la ku badirika ndo gisi tulivyo mungu atu sahidiye
Hadhaa shirk mwanzo nilikua napenda mawadha yako sasa basi tena umeisha kua katika elim ya shirk hivi umeharibu sasa sikusilizi tena
Asante sana dr sule nimekueleua na nimeshiba masomo yako uko sahihi
Harefi A ni nini anaweza kufanya ili afanikiwe yaani ajishughurishe na nini ili aendelee kimaisha.
Kazi za jeshi,uongozi,uokoaji
Uyu nae siku izi ana potea ,erufi na majina aya usiani na bahati riziki wala busara ya mtu.
Yuko sahihi
Uyu sio mzima chizi kabisaa tena mshenzi mno kasoma wapi kuna elimu ya nyota katika uislamu mpumbavu mkubwa
Ama hiyo hadith ya mtumr hujaona wakati unasoma 😂😂ndio walewale Kasoro majina allah akuongoze
Lakin kina( A) hujawaambia CK Yao ya bahat masaa pia hata rang au waonhawana
Hivi we na mkiristo tofauti yenu Nini wewe mshirikina na mkiristo mshirikina
Uko sahihi kabisa nakubaliyana na wewe ata kwamengiulozungumuza nakwa herufu c nakubaliyananalo
Mwenyez MUNGU azidi kukuongoza vyema
Allah akuongoze maana daaah Kwa Allah hakuna masihara wala utajiri swali nimoja Allah kafundisha mtume kafundisha maswahaba walifanya after that jua Lika ataefata elihiyo utaulizwa wallahu aalam
❤❤
Selemani sele 😮😮😮 sele unatapeli watu leo umekua mchawi
kama hujui tulia mshono kojowa ukalale
Hivi nyinyi masheikh hamuoni aibu kusema mambo kama hayo kwenye Uma wa kiislam??
Navyosikia dini hairuhusu, ila huyu ni shekh wa tatu nasikia anazungumzia mambo haya
@@Catherine-mh8sw ni makosa, uislam hauruhusu hayo mambo, ukiskia masheikh wanafanya hayo mambo ,ujue ni mambo Yao wenyewe .
@@Users2523 anha sawa. Asante
🚶🚶🚶🕊️
Asante ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Innalillahi wa innaa ilayhi rajiuun
Sio kweli
Mmmmh mtihani kweli namtume alifundisha el8mu hiii asaiv atuna mashekh ila washirikina tuu
Nafikiri kama dini hairuhusu , ila huyu ni shekh wa 3 anazungumzia haya mambo. Sasa sijuwi dini inaruhusu au la🫨
@Catherine-mh8sw Dini hairuhusu hawa wajifanya ni Mashekhe lakini si Mashekhe hao ni wapotoshaji haja yao ni pesa tu
@@abuhassan9552 hatari kweli.
@@abuhassan9552 Asante kaka Abu
@@Catherine-mh8sw. Ndio Mwenyeezi Mungu anakubainishieni kua hapo hapana sheikh wala tiba za kisunna/Allah hamfichi mnafik. Mtu yyte anaefanya shirki usimuamini mpaka kwenye tiba zake hata akikupa mafuta basi usiyaamini km kweli unamukhofu Allah na kukhofia kuingia kwenye shirki.
HERUFI S NYOTA YAO SHEKH
Herufi N pia ni N'GOMBE sheikh
😂😂Hao wanasema elimuyanyota ni ushirikina achananao sisi tunaojua faida zake tu fundishe ukiona comment zakukosoa somo hilila nyota usimjibu huyonisawa na kisiki 😂😂
وعَن ابْنِ عبَّاسٍ رضي اللَّه عنْهُما قَالَ: قَال رَسُولُ اللَّه ﷺ: مَنِ اقْتَبَسَ عِلْمًا مِنَ النُّجُومِ اقْتَبَسَ شُعْبَةً مِنَ السِّحْرِ، زَادَ ما زَاد رَوَاهُ أبو داود بإسنادٍ صحيحٍ.
Soma hapo usipoelewa unirudie…af unambie hapo mtume ni kisiki au sio kisiki….maana ndo kasema elimu ya nyota ushirikina
DR SULLE Umekuwa watuletea ushirikina hayo unayo yafanya ni Ushirkini wata kupoteza Watu sasa umefika mbali
😢😢
Mm heruf A na mume wangu herf A pia .
Nyota ya mtume wetu Mohammad S.A.W ni ipi?
Swali zuri
😅😅😅 good question 🤣
🚶🚶🕊️
Tupe elimu sheikh achana visokolokwinyo wasiojua elimu za watu wenye maarifa hii ndo elimu ya watu wanaojitambua
Mmmmh
Asante shukran mungu akubarik pepo
Toa ufafanuzi wa herufi h
Dr Sulle umeamua kujilipua unafwata nyayo za Marehemu Shekhe Yahya 😅😅😅.
Utakuwa sio ushrikina 😢
safii shekhe
Safi ushrikina 😢😢
tupe elimu shekhe
🚶
Sheikh eluf,a, inaendana na eluf gan?
Dkt we nibla nimekusoma sn
Mshirikina kweli uyu
MashaAllah 🙏
Huezi jua mtu nyota yake paka ujue amizaliwa siku gani na mwaka gn na saa ngapi pia kisha ndo unaeza jua nyota yake
Sio kwer 😪😂
Hata jina lake linatosha kumwakilisha
ukiwa na elufi J
mimi niko hivyo c
Suleeeeee unapotea kaka,Sasa ,unakwenda kwenye uchawi kaka ,unapotea
🚶🚶
Nime kuerewa
Mifan yk dkt inyok sn mze
Kweli 🎉
Ndio maana anasema ana pesa kuliko mawaziri kumbe mshirikina
Kweli Mimi nikoivoivo
Dhu! ii mbona hatar
Shukran
Kwari kabisa
tupe elimu
Dr sule matapeli wengi majina yao yananzia na herufi ABC
🤣🤣🤣🤣🤣
@serengetishipping2196 ndugu yangu Mwenyezi Mungu akuzidishie nimecheka kweli kupitia hii coment yako 😅😅😅
Sheikh hili somo ni Pana sana ttz munatueleaga kiufupi,,, basi tunaomba kiundani kabisa,,, mfano mtu anakwambia rangi yako au number zako za bahati alakini anashindwa kukuelezea matumizi yake kwa upana,, na omba muwe tofauti
😢😢
Mmmh kweli watu ni wagumu kuelewa😂😂😂
MashaAllah
Amen.
Acha kupotosha watu elimu ya nyota katika dini ya uislamu hakuna ni shirki uko unapokwenda sasa ni mtihani
Kasome hunaelimu unakosoa vitu hunaelimu navyo
@@allysebarua-gt2ms siwezi kusoma elimu za ushifikina kwa faida gani
Una elimu gani ukiulizwa nyota yako ni ya nini huelewi na huitambui kisha unabisha kama unajua
Mbona elimu ya nyota ipo na iliandikwa na wana zuoni sema wapo watu waitumia vibaya 😅😅😅
@@BakariRajabu-ru1bf Ikiwa ni kitu ambacho Kuna watu wanaweza kukitumia vbaya basi sio elimu nzuri. Hii inampelekea mtu kwenye ushirikina hvyo haifai, ndio maana hakuna historia ya mtume kufundisha elimu ya nyota.
Asalam alayikum w w . ila (A) haukusema siku yabahati na rangi