#EXCLUSIVE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- #EXCLUSIVE: EX-WIFE wa Q CHIEF AFICHUA KUNYANG'ANYWA WATOTO 2 UINGEREZA - JINI MAHABA LILIVYOMSUMBUA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Sasa dida mpaka hapa kunavitu vingi Sanaa umevificha inaonekana hata kunyang'anywa watoto ilikua sawa kabisa hukuonewa ulikuwa na mauzauza sanaaaa nivile tu hutayaweka wazi
Muombe Allah akustiri, mitihani haimfiki mmoja. Kuna wewe na vizazi vyako, Mwenyezi Mungu akusamehe
Yah mbona aliwahi kusema lakini kwa sasa mwenyezi mungu kamuongoa kamrudia Allah
Akili za kishirikina tatizo kubwa kwa jamii zetu. Mungu atuongoze njia ilio nyooka.
Ameen
Mashallah mashallah ndo inavyotakiwa kurejea kwa Allah kabla ya mauti
Walichukuliwa watoto Kwa sababu ulikuwa hunaakili walikuona hamnazo
Wewe ulie kuwa nazo, hongera yako. Umenizidi akili, Allah akujaalie na akuongezee zaidi na ziada.
Mashallah nimelud Tena kufatilia interview yangu mashaallah wallah nimependa sana ulivyolud kwa allah
Mcharuko mtupu tuache Tu wewe
Kwa Ambae hajawahi ishi ulaya na kujua system za kule hawezi kumuelewa kabisa ...wazungu ni washenzi mbwa kabisa !
Manshallah mzuri sn
Eeeh jamani msiongelee vibaya haya maswala kama hujaishi ulaya huwezi yajua mm yalinikuta kunyanganywa wtt 3 na sikufanya kitu chochote wiki nzima nikalala kituoni siku moja baada ya kujiridhisha wakanirudishia lkn nikawa na social worker miezi 3 pia hawakuona kosa lolote wakaachana na mm kisa mpk leo sikijui kiufupi aya mambo yasikieni tuu
Mie ninavyojuwa kwa serikali ya Ulaya kama mzazi akimnyàngànywa mtoto basi ujuwe wameshafanya uchunguzi wa kutosha kuwa huyo mzazi ana matatizo na hawezi kumlea mtoto ipasavyo, na itakuwa huyo mzazi wamemchunguza na kujiridhisha aidha ana matatizo ni alcoholic au anatumia madaya ya kilevya au anamtesa mtoto au ana ugonjwa wa akili , na wakishachunguza na kujiridhisha basi na atanyàngànywa mtoto na kupelekwa kwenye familia bora ili apate malezi bora, na serikali itakuwa inamlipa ile familia gharama zote za mtoto kila mwezi,kwasababu watoto wa Ulaya wana haki yao ya kutunzwa ipasavyo.
Mental health hiyo ndio maana hao social services waliwachukua 😮😮 mshukuru kama umeungana na watoto wako
Wewe dida umevaa vizuri lakin bint wako kavaa vibaya hebu jaribu kumfundisha bint wako kuvaa vizuri
Kuvaa vizuri ndio kukupeleka mbinguni, ulizaliwa na nguo?, enjoy maisha Acha kuogopa moto. Dini ni uongo hakuna pepo
Wazungu wabaya sana
Kama wabaya mwawatakia Nini!!!
Kwa maelezo yako ni kweli ulikua changamoto ya afya akili ila kikawaida mtu huwezi kujijua
Ulaya malezi yanapewa kipaumbele na ndio maana mama na watoto wanalipwa ukipuyanga tuu wanawachukua
Anataka umarufu tu sifa
Sasa chilah uliish nae muda gani
Aline persson that's coming for you sameting
😂😂😂😂😂😂
Dear mrudie Allah
ukweli wa kumrudia
kuvaa hijab kufanya ibada
halafu kufanya uganga
ni kumshirikisha Allah
ndio kubaya zaidi
hakuna dawa za kiswahili
ktk dini ya uislam
kuna dawa za kisunna
vipi mtume na wema walijitibu..kama kutumia
asali,habat soda
tangawizi,thomu n.k
sura za quran
kama tiba na sio mitishamba
Asalam Alyekum waramahatualha wabarakatuha🎉 mama we tu mwenyezi mungu akupe Afya njemaa ❤️
Wazungu wanajua na ulikuwa haujakaa sawa, washukuru hao wazungu.
Ukhty sio neno la kiislamu na ww ni la kiarabu
Yaani jamani eti "anasoma sheria anasoma finances" 😮
Inawezekana mtu anaweza soma multiple degrees so sio ajabu hata labda ka ulikua hujui
Sasa Futa mchanga machoni Kumbe hujui!!? 😂inawezekana zaidi ya hizo mbili ni wewe tu uwezo wako hata nne inategemea vipindi kuvimeneji je haviingiliani?.
@@aminarajabu5795 humu mitandaoni nmegundua watu kuuliza jambo wasilojua ni mwiko ivyo huanza na kulaumu au kukosoa hatari sana sa mtu anashangaa mtu kusoma vitu multiple yni
@@FahadAbubakari Sio ajabu ila jinsi anavoeleza ndio shida
Bismillah Masha'allah Allah ajuongoe zaid
Anafanana na yule anapikaga mapish oman au ndo huyu🤔
Jamila kizondo auu😂😂😂😂
@@nahlahassan-fd6le uyo uyo🤣🤣
Sio
Naona kama shery makope wa US, Mashallah, mahodari sana nyie
Wanawachukua kuwaleaaaaa au kuwafundisha ushoga mapenz ya jinsia moja?
Kuwaadopt maanake wawe na wazazi wakizungu
Kuadopt ni makubaliano lakini huku wanatabia watt usiwagombe wale usiwapige lakini ukizaa huku lazima upate msongo wa mawazo kwa kuwa upo peke yako sasa yy alivohojiwa alijielezea ndio maana walichukuliwa watoto
Huku kila siku watu wanachukuliwa watt wao usimuazibu mtt wala usimgombe sisi wazazi wa kiafrica hatuna malezi hayo
@@FatimaAli-of4gh safi sana umeiweka sawa nahisi watakuwa wameelewa maana kuna watu hawaelewi kile ambacho huyo mama alikua akikiadidhia wengi wao wamehisi kuwachukua ni kwasababu ya kitu kingine alicho kifanya kumbe iyo tabia wazungu wanayo san hata mimi ninapoishi kuna mdada wakiburundi alijifungua akiwa na myaka 17 alafu mwanae wakampeleka mpeleka mpaka sasa huyo mdada nikama ilapagawa ivi
Waislamu hatusemi ukti. Ukti maana yake nyengine na ni maana mbaya haisemeki. Kama ulikusudia kusema ukhti basi ukosahihi.
Urekebishaji wa vp ilhali mwanao anavaa visivyo ?! Mbona munatupiga makopo jamani ?! Allahu yaallam !
Mashallah mashallah ❤❤❤❤
Imelda hio movie inaitwa Mrs Charterjee Vs Norway
Sasa ww umerejea kwa allah mbn mwanao hajistiri?
Naona kama huna lakiongea bora tunyamalize mana watoto wengi siku hizi hawasii na wengine wazee hawataki bali ndio mitihani Allah awaongoe watoto wote
Hasemi ukweli kwanini ukanyangaywa wanao
SIDE B TAFADHALI
Pole sana ukhty Allah awaongoze watoto wako waelekee ktk na sisi pia wtt wetu mengine tumuachie Allah bin Adam tusimbeze wala kumhukumu huyu ni mwanamke na nusu tumewaona wengi yamewafika maskini Allah atupe subra na nguvu tuwashinde kwa ajili ya Allah.
Poleee saaaanaaa sisi tupo haapa karibu piaa tumeyapitiaa polee saaaanaaa
Pole sana waulaya tunakuelewa pole sana
Sijui Kama Kuna mbwa anaweza kunipokonya mtoto aliyekaa kwenye tumbo langu
Umbwa ulilala nayo kivip unashangaza
Hiyo ya kumuaidi mtu kakuvisha pete harafu kumuacha ilishanikuta na mm nikatupiwa majini mahaba ma mahangaiko
Pole sana mimi kuna mwanaume alinitolea mahari lakini mimi nilikuwa sijui baba angu mkubwa analazima mimi niolewe nae hawajanishauri walikaa wenyewe wakapokea pesa nilipokataa akarudishiwa pesa yake nilipigwa kitu ikifika jioni napandisha mashetani naona watu wote walioshakufa nawataja niliumwa sana
@@FatimaAli-of4ghpole sanaa ALLAH akutibu na akunusuru
@@sabrinakamikazi2142
Alhamdullah ndugu nilipoa nikaolewa na ninaemtaka mie nikaenda kuishi kwao zanzibar akaondoka kuenda ulaya miaka 6 akaniacha huko nikaona mkosi mwengine huo unakuja na akaowa kisha baada ya miaka 6 akanichukua nashukuru saa hii nipo nje ya nchi na nikapata watt wengine Alhamdullah maisha yanaendelea
@@FatimaAli-of4gh Mola hawatupi waja wake.Allah aendeleye kukulinda nawatu wako.
@@sabrinakamikazi2142
Aamin kwa sote
Mungu wangu 😢
Pole sn dida
Ulikuwa kicha kweli na mpaka sasa naona bado hupo Babara yaani hata ukiongea unaonyesha bado unamatatizo ya akili
Mishipa imekusimama kweli, wewe mwenye akili. Allah akuzidishie akili, na akupe maendeleo na hizo akili zako.
Astaghfurillah. Wangekuwa wanaombeana, wewe dada ningeomba Allah akupitishe kwenye huo mtihani uone maumivu yake. Acha haya maneno hujui huyu dada anapambania wangapi!! Hivi unaijua mitihani ya Allah?!.
Astaghfurillah. Wangekuwa wanaombeana, wewe dada ningeomba Allah akupitishe kwenye huo mtihani uone maumivu yake. Acha haya maneno hujui huyu dada anapambania wangapi!! Hivi unaijua mitihani ya Allah?!.
Ibilisi mkubwa hasadi zimekujaa kichwan
Acha uongo
Mungu mkubwa
Pole sana
😢😢😢
Mm nimekuelewa nimekupenda mnoo mdada anaongea vizuri anafunza nimejifunza kitu ❤pole na mingiii dear nimetamani nikuonee una kitu kizuri nimewaza hivyo
Kwa hiyo ulikua na matatizo kweli wazungu waliyaona
Ulikwenda kuzalia Ireland ili upate makaratasi mahali ambapo hukua hata na marafiki.
Story yako inaonyesha kweli ulikua na mental illness, umesema tokea ulipo kua mdogo ulikua unaongea na majini
Sasa mume wake alikuwa wapi wakati huo anapata hio Familiya mpaka wakamchukua
Wanaume huwa hawapendi kulea watoto,
swali zuri sana ila Imelda alikosa kutouliza
Mashalah