WAZUNGU WACHOYO| NILITEMBEA KWA MIGUU NAOGOPA KUOMBA PESA YA NAULI | ENDOMETRIOSIS INATESA WENGI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ส.ค. 2023
- Miss Tourism wetu ametueleza mengi namna mtandao wa kijamii ulivyomkutanisha na mume wake, maisha ya marekani, familia na utofauti wa utamaduni.
Tabia ambazo zinarudisha nyuma wadada wengi wa kitanzania kwenye mahusiano
Thank you Asha-Irene for allowing this to be online.
www.oda.international
❤UNATAKIWA KUTUMIA YOUR OWN VOICE❤❤Ni muhimu sana.
Mlivoo fanana warembo wa kitanzania❤❤❤❤
Shena hongera sana kwa hii channel nimekua naangalia sana lakini sijapata fursa ya ku comment. Interview nzuri sana na dada ate ameichangamsha sana.
Ahsante sana
Shukran
Shena mimi sitaki mume nataka kazi tu coz ninakipaji cha kusuka sana
Thank you both of you warembo
I love it!
This is a great interview. I’m glad for interviewee’s openness and for her being very frank. Niko Marekani na ameeleza ukweli wa mambo mengi
hongera kwa kipindi wahoji pia wabongo wanaoishi hapa tz na east africa
Dada ni mrembo na anaeleza vizuri sana na kwa kiswahili 🙌🏾❤️
Naukizingatia ni mtoto wakiume wapekee na ni lastborn aloo😢😢
Mimi niko belgium, sema sio kwa kuolewa , na nina watoto 3 na ninatunza mwenyewe niko hapa miaka 20
Dada ni mcheshi Sana yaani dada shena uyo dada me nimempenda bure kwakweli i'la wantanzania niwazuri jamani acha wazungu wachanganyikiwe dada shena mauwa yenu mmenoga sana
Pole sana dear
Nawapenda sana huwa najifunza kitu dada❤
Hii show ni real asanteni kwa upendo na kucheka nawapenda
Dada ungekua unataja hizo online dating! Hizo best apps ! Naomba utuambie
Napenda Kipindi chako Sister
Nimekupenda bure Dada Asha 😘
Mremboooo Shennah nakupenda 👌
Nafurahia vipindi vyako ❤
😂😂😂is narudi for us😂😂❤❤.
Daah kulea huku jmn💞💞💞
Hongera dada interview nzuri
Namjua Asha ni mtu charming mno. Nilisoma nae mzumbe morogoro
Hongera sana hadi raha
Keep it up na mwenyezi mungu atakufanyia wepesi
Nimeipenda hii interview ni miongoni mwa wadau wako ambao nafuatilia kuna kitu najifunza sana kupitia interview zako
Ahsante sana
Shena tafadhali naomba no yako kunamambo nataka tuongee
Nakupenda sana kwa ubunifu wako
Mungu akubariki Shena
Nawapenda🥰🥰
your good my darling. I like your interview
Uvumilivu na kujua unachotaka is the key. na mambo ya 50/50 ndio ukubali tu yaani kama wanavyo sema wenyewe what are you bringing to the table
Dada umenichekesha hiyo ulitembea kwa miguu yaaani nimecheka sana 😂😂😂😂
Uyu dada sio mzima 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti kibonge alikuwa vizuri namshukuru Mungu
Love you sis
She is beautifull
Story nzuri sana❤
Mie da Asha nakukubali sana
IRENI NIMEPENDA SANAA NYELE ZAKO. UMEPENDEZA.
warembo wa kitanzania❤❤
Shena asante
Mnafanya jambo jema sana kwa Elimu hii , Good work!
Thank you so much 🙏
Wakina asha awajawai poaw
Kuolewa na mzungu Tena,hakika pole sana Dadangu.haya majamaa yametutesa sana,BADO unalala nalo linaweza kukunyonga anytime.haramu kabisa,utumwa Tena dadeki.
Hii ni comment ya Chuki na Ubaguzi
🤣
Shindwaaaaa
Hongera dada
wow
Nakupenda bure Una maneno ya sukar
Nice
Nami napenda siku Moja tuongee.
Nipo TANZANIA.
Je, unafanya kipindi na sisi tunaokaa Tanzania
Amina n'a Pia na mimi nasubiri muujiza wangu shena.
Pokea my kwa jina la Yesu kristo 😍
Kama hitaji la moyo wako mama utapata. Endelea kujinenea mneno mazuri ya kuupata hicho unachohitaji Mungu akupiganie na kukuonekania
@@asharamadhani3462hahaha ndo mana nmeshangaa nilikuona maeneo ya msikitin apo baruti miaka hiyoo nyuma uko
❤️
Yes pride sio kitu kizuri,ndo kilimshusha lucifer
So acha Mungu hapendi
Mzungu sio mchoyo, bali wanaishi 50/50 hawana utegemezi na uparasites . Inabidi ufanye kazi ili uwezi kuishi vizuri
I wish one day nizae n mzungu
Mie nafurahi tuu
Kibonge alikuwa vzr 😂😂😂
❤❤❤❤❤
🥰🥰🥰
Hiyo nimeipenda mimi niko capetown
😢😢😢
Story tamu sana 😂😂😂
Yaan maisha yake ya ndoa na mamamkwe ndo namm napitia na mkwe wangu yaan mda mwingine nawaza hata kurud kwetu tz
Duh pole
Nimependa msimamo wake
Namm napitia hayo na mama mkwe wangu yaan nafikilia kurud kwet tz sometimes 😢
Najifunza
Nakufuatilia sema Leo niko maeneo fulani network sio nzur
Yani stori nzuri sana ninayo yangu na Mimi jamani waah
Karibu dear
Tutashukuru
+4367764790884 WhatsApp me please
,,😂😂😂yaan huyu dada anachekeshaa, kwahyo dada yetu ukajikuta madamee mlipia bill🤣🤣🤣 inafurahisha Hadi raha
Ashaa ujaachaa uchiziii wakoo....😂😂😂😂
Ilikuwa surprise nzuri sana❤
Kila siku nakosa live zako jmn😪
Mesuma Bado ipo😆😆😆nmecheka sana
Hellow sister please Dada irine anatumia linki ipi you tube
Mm nimeolea na mdutch ni shida mbona wadada wengi ua wanaachana nao?
Mchungaji sheh omarijojo
Shena hongera kwa kipindi
Shukran 🙏🤝
duh hapo kwenye ngumi hapo😁😁😁😂😂😂😂
Mdogo wangu wanaume ni watu wa ajabu tu mme akiacha mke ua anaongea vibaya aonekane mzuri tu
Shena umependeza
Ninafurahia kipindi chako shena
Mm naitwa Editha nina story yangu sijajua nafanyaje mpaka naongea masibu yangu
Tuandikie WhatsApp +4367764790884
Shena naomba namba yako ya waspu
Yaani America 🇺🇸, Europe , kulea mtoto hakuna wa kukusaidia , Kijedajeda tuu. Mie kilinikuta siku nimejifungua Tena kwa C-Section alafu siku narudi home kulikuwa na Party kwa shemeji yangu than Mama mkwe akamwambia Mume wangu eti mwambie mkeo apitie kw Kaka yako tuone mtoto, heee 🙄😭, nilijisikia vibaya nimefik home hakuna wakunipikia mana mume wangu alikuwa anaingia kazini mchana anatoka usikuu, nilipambana mwenyewe na Mume wangu hadi mwanangu kakua. It’s not eas for real
Pole dia wangu. Ndio tumechagua kuolewa mbali ni uvumilivu unahitajika ❤❤❤❤
Pole sana , ni kweli kabisa hakuna usaidizi wa watoto wa watoto mie nipo Texas miaka 20 sasa nimezaa watoto 3 na kulea wote mwenyewe
Mama mkwe katisha .. pole ni changamoto
Kweli kabisa
Woow Hongera sana
Jamani hii Experience ya 20 yrs Naomba tupate nondo hapa 🙏
Ila Irene anachekeshaaa,kwahiyo ukashusha mzigoo 🤣🤣🤣🤣🤣
Napenda sana kipindi chako
Sasa mkipenda Wazungu tu sisi je?
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Mama mkwe anagugu😅😅
Yani mtangazaji ana bonge la puaa
Mwe, na pua yangu inakuuma 🤦🏾♀️🤦🏾♀️
Acha ushamba apo ulipo ujui kuumba hata nzi sio vizur
huna adabu we yako tuonyeshe tuyoneee
Achana nae hana akili
Wee huna kasoro mwenzetu
Dada habali ?mimi ninashida na wewe kwasababu Nina hitaji ma elekezo kuhusu jambo fulani
Ongea kishwahili
Shena naomba kuuliza katika mahojiono yote ambayo unafanya sijawahi kusikia swala la kupima UKIMWI kati ya wenza wanaokutana
Mahojiano na Patric alieleza hilo swala
❤
Nakufuatilia sema Leo niko maeneo fulani network sio nzur
Nimependa kipindi chako nipo Malaysia
😂