Wazungu siyo wabahili. Hawajalelewa kusaidia mtu ambae ana nguvu zake na mikono na miguu yote miwili. Maana huyo hafai kupewa anafaa kujitafutia. Hapo ndipo tunapishania. Siyo ubahili huo au ubinafsi huo. Bongo tunalelea watu wavivu kupitiliza
Mimi wangu ndo amekuja ameona interview ananiuliza apo wanasemaje🤣🤣baada ya kukutania kwenye dating site miaka 3 kwa mawasiliano ndo amekuja anaondoka mwezi wa kwanza nimefurah sana...pia amesema anawapenda🤗🤗🤗
Ka uselfish ka wazungu ndio kanako saidia wenzetu kuto kuwa tegemezi Africa tunakufa masikini au unaishiwa kabisa sababu ya kutegemea na kutegemewa napenda life style Yao Ila kwa Nyumbani Africa hakuna namna utatoa tu ili upate Amani pia maana tofauti na hapo maisha yako yanageuka ahadi ya deni wakati ulitakiwa kutoa kwa moyo au kusuport ulichonacho mweee😊
Yaaan kupitia huyu dd nmepata tumaini na takiwa kuwa mvumilivu naamini nitapata aliye seriously na mwenye mapenzi pia mwenye hofu na mungu nakupnd dada ❤
@@godliverdennis8723 Kweli kabisa mwanangu, ni vizuri sana kuwajua watu culture yao. Wenzetu hawana tabia ya kusaidia extended family kama sisi jinsi tulivyo. Pia wako makini sana kwenye matumizi ya pesa. (Budget) hata serikali zao ziko makini sana.
@@kissamwamunyange1018 ingia afro weka pics ambazo zinakuweka na muonekano wa asili zaidi,andika profile yako vizuri uelezee haswa lengo la kuingia kwenye mtandao huo
@@godliverdennis8723 sio issue ya kanisani,hapa ni public Kila mtu anaangalia, wote wanahojiwa hapa Wanavaa watakavuo lkn sio kuonyesha maungo Yao,for what? Tena wazuri ,warembo hasa,ila wamevaa nadhifu!
Wazungu siyo wabahili. Hawajalelewa kusaidia mtu ambae ana nguvu zake na mikono na miguu yote miwili. Maana huyo hafai kupewa anafaa kujitafutia.
Hapo ndipo tunapishania. Siyo ubahili huo au ubinafsi huo. Bongo tunalelea watu wavivu kupitiliza
Mimi wangu ndo amekuja ameona interview ananiuliza apo wanasemaje🤣🤣baada ya kukutania kwenye dating site miaka 3 kwa mawasiliano ndo amekuja anaondoka mwezi wa kwanza nimefurah sana...pia amesema anawapenda🤗🤗🤗
Ahsante dear
Karibu kwa kipindi utupe Experience yako pia isaidie wengine
+4367764790884
Uyo...harudi😂😂😂😂
Hongera sana
@@tahiyasaidi6532😂😂
@@tahiyasaidi6532mmmh Tahiya 😅
Kipindi kizuri sana, dear shena naomba unisaidie namna ya kuwasiliana na mdada alieenda sweden alimpandia ndege mtu wakwe🙏
Hongera sana kwa uwazi wako story yako inafurahishà
Wish you all the best dear ❤
Ka uselfish ka wazungu ndio kanako saidia wenzetu kuto kuwa tegemezi Africa tunakufa masikini au unaishiwa kabisa sababu ya kutegemea na kutegemewa napenda life style Yao Ila kwa Nyumbani Africa hakuna namna utatoa tu ili upate Amani pia maana tofauti na hapo maisha yako yanageuka ahadi ya deni wakati ulitakiwa kutoa kwa moyo au kusuport ulichonacho mweee😊
Ni kweli kabisa
Raha ya Mzungu mkae pamoja sasa yeye yuko ulaya wewe tz vumbi jamani
Yaaan kupitia huyu dd nmepata tumaini na takiwa kuwa mvumilivu naamini nitapata aliye seriously na mwenye mapenzi pia mwenye hofu na mungu nakupnd dada ❤
Wanaowatafuta Wazungu, watafute wenyewe ili kukidhi tastes zao. Kitonga inaponza!
Fact😊
Nawapenda😍😍😍
❤❤❤❤❤
Shena ninawatch sasa hivi
Huyu anaongea kama sada uliwahi kufanya nae interview, .yule alosema alimwambia mzungu wake awe anatuma hela kila mwezi kwa wazazi wake
❤️❤️❤️❤️
Shena mlete shendwa jamani
Huyo dada hakika ni mzuri
Thanks alot😊
Dada black beauty
Thanks ❤
My sweet soul momy💕💕💕💕
Thanks sweet daughter ❤❤❤
Hongera sana dada 🎉🎉🎉🎉
❤
Thanks😊
Tunashukuru Kwa taarifa!
Watu hapa huwa wanahojiwa wamevaa vzr, dada mrembo ila hii nguo Kwa hapa hapana , ukweli usemwe!
Kwahio utafanifanya nini sasa?
Huez mpangia mtu cha kuvaa anajua ako n interview na hio ndo choice yake kaa kwa kutulia
@@bobboris4859thanks kwa kunisaidia😊
Hiyo ni culture yao na ndiyo maana wanafika mbali
Basi nilikuwa sijui naanza kuwaelewa taratibu😅
@@godliverdennis8723
Kweli kabisa mwanangu, ni vizuri sana kuwajua watu culture yao. Wenzetu hawana tabia ya kusaidia extended family kama sisi jinsi tulivyo.
Pia wako makini sana kwenye matumizi ya pesa. (Budget) hata serikali zao ziko makini sana.
Ucheke utiwe pesa nimecheka
Jaman MUNGU atuangalie nasis tunahitaji
Utapata dear muhimu kuwa mvumilivu upate kitu cha uhakika
Hata Mimi natamani kupata
. Mungu aweke wepesi mwaka 2024. Na sijuh mnawapataje?
@@kissamwamunyange1018 ingia afro weka pics ambazo zinakuweka na muonekano wa asili zaidi,andika profile yako vizuri uelezee haswa lengo la kuingia kwenye mtandao huo
@@godliverdennis8723 Ameen
Naamin mungu yupo dd mambo yote yatakuwa sawa
Habari Dada unajiungaje hii dating site mm natamani kujua
Afro introductions kuna option ya kulipia na pia unaweza kutumia bure
Ku dating na wazungu jmn inataka moyo kama uyu wa kwangu ata no ajanipa anasema ana nichunguza jmn uiiiii 😂😂😂😂 ni kuchart fb tu😢
😂😂😂 atakupa tu soon we kuwa mpole
@@godliverdennis8723 hakika nimejiona wa baraka Asante Dada MUNGU mwaminifu atakuacha 🙏
Be careful anaweza kuwa tapeli huyo. Endelea kutafuta hapo hujapata mtu bado kuchunguzana kwa mtandao ndo nn??
You are right Brenda
@@brendajulius2995 ndo mwaka sasa jmn na miezi mitano cn no ya baby 🙌
nimependa rangi yake na tabasamu, ni mrembo haswa.
😊😊😊shukrani
Kwakua kavaa uchi eti angejistir usngesem kitu
@@nahlahassan-fd6leWe hebu niache fatilia maisha yako,au umetumwa kibaraka wa kuzimu?
Gharama ni ngapi kuingia kwenye hizo deting
Ingia afro
Sh ngapi afro @@godliverdennis8723
Mh ww dada unaehojiwa ndio nguo gan iyo yakuvaa kweny interview? tikiti maji zote nje😂😂😂mbona anaewahoji hajianiki kam ivo??
Bora hata ningekuwa na hizo tikiti maji,haya uwanja ni wako jimwage dada
Kwan ameambiwa hapa kuna maonyesho ya mavazi?? Tikiti maji anazijua? Makadiriko tu hana lolote
Dada zetu wana shida sana, kwa sababu mtindi bado haujavurugwa sana ameamua kutususia hadharani. Ama kweli limbukeni akipata utamjua.
mbona makasiriko, sasa mtindi si wake, wewe ina kuhumab nini , mtchuuuuu
Duh😂
Hapana,hiyo nguo sio sawa Kwa hapa bwana usitetee Kila kitu
Sasa sio sawa kwani hapa kanisani ndugu punguza makasiriko utakufa na stress za nguo za watu mbona kuna watu wapo uchi tu humu ije kuwa mimi
@@godliverdennis8723 sio issue ya kanisani,hapa ni public Kila mtu anaangalia, wote wanahojiwa hapa Wanavaa watakavuo lkn sio kuonyesha maungo Yao,for what?
Tena wazuri ,warembo hasa,ila wamevaa nadhifu!
Tuko mawindoni siku nasi tutakuja hapa
Amen 🙏 nawaombea
😅😅😅😅😅😅
Asant kwa taarifa ila hiyo nguo hata mm mtazamaji naona aibu hmm
Kwan lazima utazame?
Fumba macho dada
Mimi nitapeliwa million tano Sina amu
Pole aiseee
😂😂😂😂
Daaaaah!pole sana kipnz