MAKONDA;WAMEJARIBU KUNIUA/WALITUMA DRONE/MIMI NAISHI KWA MIUJIZA/KUNA MTU NILIOKOA MTOTO WAKE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 เม.ย. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Naomba viongozi wengine wamwige huyu kiongozi, tutafika mbali, nashauri maaskari msikilizeni mtafanikiwa na wote tutakula mema ya nchi. Nimejifunza vitu vingi sana kwake❤❤❤.❤❤❤❤❤
Uwongozi ni passion,
Mungu wa mbinguni akulinde na kukutunza MH Makonda,
Kiukweli mkutano wako na kamati ya usalama Arusha imeshiba...
Asante sana Mh Makonda
This is what I call standard of leadership.
Kiongozi yuko kazini, anafanya kazi.
Absolutely brother
Huyu ni bonge la kiongozi, ana Akili kubwa mno, nampenda sana makonda. Najifunza mengi sana kwake.
CREATIVE LEADER, MUWAZI, MKWELI UNAONGEA NA UNAOWAONGOZA EPUKA SANA BRUTALITY WASIKILIZE, WAWEZESHE, WANANCHI WAPATE HAKI YAO!! AHSANTE MKUU
Hii speech ya makonda ilipaswa kuchapishwa na kusambazwa. Imejitosheleza hasa.
I real appreciate brother Paul. Kile unafanya ndilo kusudi la maisha yako ndiyo maana you don't care who says what you still do the same. May my living God preserve you and keep you alive to finish your cause in life.
hongera Mh Makonda ,nanukuu
"Huwezi kumnyoshea mtu kidole kabla hujamwezesha ,ukabaki kumtuhumu na kumlaumu wakati mazingira yake ya kazi hata huyajui" 🙏
Nakuombea mema Mr makonda unanibariki sana brother kwa sababu unafanya kazi ukimaanisha kabisa, unatamani siku moja nchi yetu iwe kwenye position fulani hivi. Big up RC napendezwa sana na ufanyaji kazi wako
Ndugu Makonda Mungu akulinde utekeleze majukumu yako kwa jina la Yesu Kristo.
Tunakuombea Dua nyingi sn mheshimiwa makonda .Allhumma rijna minaari saliimiin .kaka piga kazi . Uko sahihi kabisa mungu akupe umri mrefu sn
Hii ni genuinely speech sir makonda hawa askari kama hawataelewa na kujifunzi hii seminar ni ya madini tupu, laana ya raia inawamaliza askari.madaktari mahakimu
Nani kama wewe magufuli amesaliwa tena mungu ninani awesi kutuacha tuumie mama Samia alijua mwenye kuokoa Arusha ni makonda kwa Sasa maendeleo itatufikia ❤❤❤❤
Mungu akupe afya njema Mwanawane Makonda
Mungu akubariki Kiongozi Makonda your a Leader tenda mema ni akiba ktk uzee wako
Hongera sana Mh Makonda kwa kazi nzuri.
Wananchi wanahitaji huduma nzuri kwa jeshi la polisi .Ndipo wananchi watakuwa na imani za kutowa taarifa zao kwa jeshi la Polisi kwa hiyo hapo mashirikiano yanahitajika.Ahsante.
Very high standard of leadership very easy to understand him
Long live makonda.. long live Mpina,... long live Chalamila.... long live vijana wazalrndo na mlio tayari kuwa na amani
Ni kweli kabisa hata uwe na pesa nyinyi usomeshe watoto shule za galama ila pesa Yako sio ya halali ujuwe na watoto wako watapata elimu ambayo Sio halali na mwisho wa siku na laana tu hata uwe na nini
Mungu akubariki sana muheshimiwa makonda
Makonda nakuelewa kaka yangu hongera Sana
Ubarikiwe bro ,kwa ujasili wa kuhubiri madhara ya rushwa.
Mheshimiwa makonda kila nafasi ukipewa unaziba gepu,wapo wavimba macho hawataki kupambana na kazi zao wanapbana na wewe kukushusha chini,mungu akutangulie
Big up brother, Hongereni kwa kikao kizuri.
Mheshimiwa Rc mimi binafsi nakuelewa sana kwa kupenda ukweli na kuwasaidia maskini, yani katika Taifa hili ni watu watatu tuu ndio mnanikosha wewe Luhaga mpina, na ADVOCATE BAKI MWABUKUSI nyie ni wazalendo katika Taifa hili. Nawapenda sana.
Mungu awe na ww
Hakika wew ni kiongoz na mwenye hofu ya mungu
This man is genious
Huyu ni kiongozi shupavu mungu akulinde makonda wewe ni mtetezi wa wanyonge live long
mwashimiwa makonda dalasa kubwa san kwa jeshi la polisi saf kaka yangu makonda mungu akubaliki san
Very wise Mhe Makonda, Mwenyezi Mungu akushike Mkono 🙏🏼🙏🏼
T😊😊
😊😊
Wanaokusema wanachuki binafsi
When Dr Samia retire this man will become a president our future leader, keep getting experience I like u Mr Makonda
I meant that I wish one day RC Makonda to become our future president
Mungu huwatumia watu ktk kazi yake,ww ni sauti ya watanzania wanyonge mungu aendele kukupa ujasili,nguvu na afya njema.
Allah akulinde kakangu namini yote yatoka moyoni,huna udini utu ndio wKo,uko kwa dua zetu,hata huko kenya tuko pamoja siku moja nitakutafuta nikusalimie,Inshaallah
Piga kazi mheshimiwa, Mungu akulinde.
Very talented ❤
Nice speech
Mungu akutunze Makonda
Nichangamoto kaka tunatamani hata kama haiwezekani kwa asilimia zote japo wapunguze kupokea rushwa tena ya kulazimisha Mungu atusaidie
mbaka na mkumbuka baba magufuli kweli mlikuwa na ajenda moja nakupa kula yangu ya urais 2025.
Kwa kweli kamanda umeongea hali halisi ubarikiwe sana
Safi sana
Makonda makonda makonda mm nakuombea wewe ni rahis wa badae
Good RC
Makonda God bless you
Ni kiongozi wa ukweli kabisa nipo nje ya tanzania namfuatilia sana huyu Jamaa mama amwangalie aaimwachie jembe I'll Safi sana
Ana akili sana.
Handsome unaongea Kama ulivyo brooh mola mlinde makonda wetu dhidi ya maadui mabaya wasiotakia Tanzania maisha mema
Safi sana kiongozi wetu shafisha Arusha kabisa mungu Ako na wewe wengi anakuombea sana wewe ni magufuli simira ya magufuli ni umepewa na mungu sisi zote tunakuombea mwema mungu akuzaidia sana kwa KAZI yako unaofanya
Makonda kiukweli ni kiongozi bora ila anamapangufu yake kama binaadamu mwingine sio mtu anayezingatia maneno yake aseme sehemu gani na amwambie nani ila ukija kwenye suala la utendaji ni mfano wa kuigwa hongera sana brother makonda
Aliyomary hakuna binadamu aliyomkamilifu hata mungu aliumba vilema wa kila aina hayo ni ya kawaida mpe Makonda Maua yake mwanawane
Endelea kumwamini Mungu na kumtegemea hatakuacha hakika,,
KWA moyo huo mkuu nakuhakikishia utafika mbali.....
Makonda baba wakazi Mungu akutie nguvu shetani hana nafasi kwako
Arusha tumepona mungu akuwepushe na maadui unafaa kuwa raisi na utakuwa kwa uweso wa mwenyezi mungu
mambo Hayo yalikua Zenji sio Arusha 😢 Arusha watu wote wizi sawa.thanks
Ndugu zangu MUNGU awasaidie viongozi wetu waelewe mtu anaposema ametishiwa usalama wake vyombo husika wafatilie kuoko maisha yao kila mtu anastahili kuishi bila kujua itikadi zake
Pika kwenye mchono😂 😂😂
Wataelewa tu
HONGERA KAKA MAKONDA
Kila Mara najaribu kufatilia taarifa zako uko very smart..shida ni wasimamizi wako ndo watakuangusha
Mh makonda hongera kwa kuwamasisha mkoa lakin angalia wafugaji tunateseka sana
Makonda njoo ktk uislam kabla hujachelewa naamini pepo itakua makaz yako
Pepo ipo tu na anaetoa Pepo ni MUNGU
Broo wewe nikiongozi mkubwa sana siku zijazo mungu akulinde sana ninacho amino wewe ni raisi wa miaka ijayo mungu akufunike na maadii wabaya kiongoz wangu
Unaeleweka sana
Nakuelewa kiongoz hakika mungu hatokupungukia Kwa unachokifana❤
Well done.
❤️ ALHAMDULILLAH❤️Afya njema kamanda makonda 🇹🇿
Wewe ni Kiongozi ulirbarikiwa ndugu Makonda
Safi Sana makonda
Good be with you.
Jembe letu la kaskazini mola akulinde daima kaka!! We nimoja ya familia yangu kaka makonda!!
Good image of Arusha,
Yan mweshimiwa kila sekta uko vizur
Mimi niko nje ya tanzania kwa sasa jeshi letu la polisi liko vinzur sana sio kama zaman
Mama kama alijua mkombozi wa ccm ni Makonda anastahili kwa nguvu za Mungu nasmini nchi yetu itaendelea kuwa na amani
Huyu uenez walikosea ila huku ndo uwezo wake unaonekana ,waziri mkuu pia anatosha
Kazi nzuri sana Rc.
CREATIVE LEADER
Umeongea maneno mazito Na yamsingi Sana ushauri Na maelekezo sahihi
Ninakuombea tu mkuu wakati wote napia muda wote.Maana sina cha kusema juu ya maneno yako picha ya uongozi wako
I see a visionary leader
your very good leader
Issue mh konda ataongea lakini polisi kwenye suala la rushwa wana pepo,mfano polisi ni rafiki yako lakini anakukuta na kosa la ki trafiki barabarani lakini atakuchomekea kwa mwenzake lengo utoe tu
Ana kona kona amenyooka kama ruler ya primary school.
Ni hana sio ana
Upo sahh mh makonda
Kiongozi aliye bora ,asante sana
Mh Unaongea Vizuri Sana na huu ndio Upendo Safi Sana Kuwekana Sawa kwajiri ya Maendeleo ya Taifa letu .
Mwambie na mama awape mishahala mizuli watoke kwenye tamaa za lushwa polisi wetu niwazuli tatizo mishahala midogo
Jamani mlio karibu na Makonda mwambieni ametoka Namanga kuna jambo ajaona ama ajaambiwa Tunapakiana kwenye noa kama magogo gari ya wato 8 tunajazana wati 11 niaibu kwa wageni wanao ingia nnchini kupitia mpaka wa namanga
Kwa Arusha kukomesha wizi ujambazi utapeli uuwaji hovyo babà yangu fanya kazi
Hujashindikana kuuwawa Serikali ya Tanzania iko makini muombe Mungu acha kuleta sintofahamu tumia busara yale mambo uliosema siku ya ugeni ungeweza kusema kwenye vikao vya siri
Muheshimiwa makonda ukiendelea hivi hata uraisi wa taifa la tanzania unafaa kabisa mkuu
Nakukubali siku zote
Sio kiki aliyofanya ni makubwa
Polis na hospitals zimekuwa sehem za hovyo sana na huduma mbovu na za kukatisha tamaa.
Mh.mkuu wa mkoa naomba uanze na kituo Cha Murieti kina madudu mwanzo mwisho nakuomba usipuuze Hilo
Wewe ni kiongozi wa kuigwa uliyeteuliwa na Mungu
Kiongozi bora
👊👍✌️.
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen Makonda yesu kristo ni mwokozi
Daa umeniliza mkuu wa mkoa😢😢😢😢makonda.
Hakuna kitakachobadilika chini ya katiba hii mbovu isiyoruhusu ushindani halali wa kisiasa