Dada shena Mungu akubariki japokuwa mapito tunayopitia ni mengi katika safari ya maisha ya kupata wenza na pia tujaribu kukubaliana na Hali halisi acha aende pengine sio mpango wa Mungu sisi huwa tunafosi unaona kabisa vitu haviendi lakini unalazimisha kumbe huyo sio wako lazima huyo atoke ili Mungu akuletee aliye wako Ila mimi Sina kabisa ndoto na watu weupe yani hata sijawahi kufikiria na siko tayari unatupa moyo Sana Dada Shena Asante
Huyo ni mimi kabisa huko online😂 yaani akiwa available na mimi nipo, lkn ukijifanya jiwe na mm nakua chuma kabisa. Woiii sibembelez mtu japo nataka mzungu aisee.
Kupoteza time kwenye mausiano hata wanaume wanapitia sana kikubwa wote wanatakiwa kuamka unaona unadate na mtu anakuchulia fresh powa powa shega shega move on na mambo yako utakutana na mtu sahihi mbele kwa mbele uko
Indeed life sucks.... Nikakutana na kaka mmoja mjerumani early this year, akanialika Germany ila passport yangu haikutoka... Hadi sasa bado. Tukakubaliana yeye aje anitembelee lakini LIFE SUCKS😂nikagundua hana interest nami kabisa. Nikamwacha sasa nimerudi soko miezi minane baadaye. Hopefully wakati huu nitapata wa kwangu😊
nmependa mifano ya izo nchi tabia umeziweka kwa makabila yetu sasa mtu akitaka kujuwa vzur afanye tu utafit wa maisha ya wapare wachaga wazaramo 😄 nakushauri anda vdeo uwaelezee mataifa mbali mbali kwa mfumo uo watu watapata elim kubwa sana
Ila shena ni pis kali bhna maashaallah tabarakallah ❤❤❤❤❤❤
Yaan leo umenifunza sana ubarikiwe
Dada shena Mungu akubariki japokuwa mapito tunayopitia ni mengi katika safari ya maisha ya kupata wenza na pia tujaribu kukubaliana na Hali halisi acha aende pengine sio mpango wa Mungu sisi huwa tunafosi unaona kabisa vitu haviendi lakini unalazimisha kumbe huyo sio wako lazima huyo atoke ili Mungu akuletee aliye wako Ila mimi Sina kabisa ndoto na watu weupe yani hata sijawahi kufikiria na siko tayari unatupa moyo Sana Dada Shena Asante
Mrembo wetu tunakupata vizuri sana.... Mungu akuweke sana.
Nimependa hiyo " life sucks" nimependa msimamo wako asiye kuthamini achana naye 100%
Kabisaaa tena atokomeee 😁
Hakika
Shena I love you
hi
Thanks for your assistance!, sister
Safi sana Shena. Life sucks. Tit for tat. Tupeni sifa za wanaume wa Norway na Uturuki😂😅
Huyo ni mimi kabisa huko online😂 yaani akiwa available na mimi nipo, lkn ukijifanya jiwe na mm nakua chuma kabisa. Woiii sibembelez mtu japo nataka mzungu aisee.
Asante kwa kweli. Unanifanana ila sijui kuingia kwenye hiyo mitandao.
Nielekeze dear ni search
Asante Sana
Ahsante madame
Kupoteza time kwenye mausiano hata wanaume wanapitia sana kikubwa wote wanatakiwa kuamka unaona unadate na mtu anakuchulia fresh powa powa shega shega
move on na mambo yako utakutana na mtu sahihi mbele kwa mbele uko
Well said kaka
Indeed life sucks.... Nikakutana na kaka mmoja mjerumani early this year, akanialika Germany ila passport yangu haikutoka... Hadi sasa bado. Tukakubaliana yeye aje anitembelee lakini LIFE SUCKS😂nikagundua hana interest nami kabisa. Nikamwacha sasa nimerudi soko miezi minane baadaye. Hopefully wakati huu nitapata wa kwangu😊
Asante mumy Kwa somo
Ulifanya vizuri kuachana nae mapema(tahadhari kabla ya athari)
Hongera shena tupo pamoja dear
Nakependa ❤. najikuta nacheka mwenyewe kwa story
Nimekuelewa sana dada shena❤
Nimependa sana
Unazidi kuwa cute da shena😘
Kumbe na wewe umesshapatikana. Ila ni yapi umeshadanganya mtu wako ili mradi amani idumu ama mambo yasogee
Napenda sana story zako
😂😂😂 nimeipenda hiyo
Mi kuna mwanaume aliniambia kama unataka kuwa na mimi nenda shule kwanza, ananiimbia nyimbo ya dully sykes😢
Shule ya lugha ni sawa
Kazi iendelee shena❤tunakupenda🎉🎉🎉
Nawapenda ❤️
Sema dada angu nimekuzooom kwakwel unauzuri wa asili sana aliebahatika kuwa na wewe kongole kwake....
nmependa mifano ya izo nchi tabia umeziweka kwa makabila yetu sasa mtu akitaka kujuwa vzur afanye tu utafit wa maisha ya wapare wachaga wazaramo 😄 nakushauri anda vdeo uwaelezee mataifa mbali mbali kwa mfumo uo watu watapata elim kubwa sana
Nitafanya hivyo 😁
😢
Nimependa hiyo LIFE SUCKS 😅Haha
Nimependa iyo life sucks😅😅 jamani mpake upate mtu sahihi tunakutana na mengi
Mnoo
Nimemrudishia life sucks yake 😁
@@OfficialDatingAssistance😂😂
San
Napata email ila nikitaka kujibu inakataa naambiwa niingize visa card so sielewi pls nielekeze ndugu
😂😂 mbona life sacks
Kama nimme wako Ila yeye ameshatangulia ulaya lakini hakujali Tena unaweza ukafanya nini
Nimependa stores Yako dada shenna
Hahaha Shena unanipaga raha Sana jmn kuna huyo mzungu nina miez 3 nae Ila hataki kuja watsup yupo serious kwel au ndo life suck🤣🤣
Muongezee competitors 😁
Yaani mtu akikuona wa nini mwambie wengine wanakuhitaji
Naomba nielekeze jinsi ya kulipia please, au nipe no yako ya whatsapp
Nami natamani nipate mweza nipe maelekezo
Nina Kuelewa Dana vakukaye
Kwakweli kipindi kizuri Shena naomba namba yako
Mdogowangu natamani na mimi nipate mwenzangu ila tatizo uku nilipo natumia wi-fi tu ata masoko tu sijui yaliko unanisaidiaje mpenzi ili namm nijalibu
Una story nzuri sana .ww ni muslim unampaje muslim mwenzio kupitia dating?
Muslim dating apps zipo
😂😂ila shena life sucks
Kuna wanaume wanajikutagq😅
Shwain
🤣🤣🤣
Tushakaribia
❤️
Natamani kupata mweza nielekeze
Life sucks😂😂😂😂
Life sucks🤣🤣🤣🤣
🤭😂🤣🤩😆 for really life sucks 😅😂 watu Shena ulimpatia life sucks yaani tit for tat haa