NABII GEO DAVIE ALIVYOMZUNGUMZIA MWANAE NISHER AMBAYE AMEFARIKI “NGUMU KUSEMA, ALIACHA BONGOFLEVA”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ธ.ค. 2023

ความคิดเห็น • 378

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 7 หลายเดือนก่อน +8

    Pole sana Nabii mkuu Geordavie Mungu akutie nguvu katika wakati huu mgumu.

  • @lilyrose7983
    @lilyrose7983 6 หลายเดือนก่อน +11

    Unajua kichaa anachekesha akiwa kwa jirani.R.l.P Nisher 😭😭 Poleni wafiwa 🙏

    • @user-gb5vz6wm2q
      @user-gb5vz6wm2q 6 หลายเดือนก่อน

      Wengine wanamcheka kichaa aliyepo ndani ya familia yao

  • @user-ho8xz6tx8t
    @user-ho8xz6tx8t 7 หลายเดือนก่อน +11

    😢😢😢 mungu akuzidishie maarifa dady

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 7 หลายเดือนก่อน +21

    Pole sana Nabii mtumishi wa Mungu Bwana Yesu awafariji na awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 7 หลายเดือนก่อน +11

    Pole nabii kwa mtihani wa msiba, mungu atakuvusha tu

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 7 หลายเดือนก่อน

    Pole sana Mtumishi Mungu ashughulike na hixo mbwa xinaxomshambulia Mtumishi kwa kashfa.

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 7 หลายเดือนก่อน +23

    Mungu ndiye ajuaye siri zote.

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu 7 หลายเดือนก่อน +3

    Poleni sana mungu ampumzishe kwa amani

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 7 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana kwa msiba mr davie

  • @jacobmgao-hi7rj
    @jacobmgao-hi7rj 6 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana mungu awatie nguvu

  • @MawazoMwamba-fz5hr
    @MawazoMwamba-fz5hr 7 หลายเดือนก่อน +6

    Pole sana Nabii 😭😭😭

  • @ImanuelMwaipaja-wf7xq
    @ImanuelMwaipaja-wf7xq 7 หลายเดือนก่อน

    Pole mzee jodave kwakipindi kigumu mungu atakulinda

  • @annamrema2861
    @annamrema2861 7 หลายเดือนก่อน

    Pole Baba Mungu akupe nguvu kiukweli inauma

  • @rosedaniel1981
    @rosedaniel1981 7 หลายเดือนก่อน +16

    Kwann watu mnakuwa wepesi wakutoa hukumu hv jmn 😢hamjui kuwa kifo ni lazima kwa kila binaadam

  • @BAHATIKIBA-ul6wx
    @BAHATIKIBA-ul6wx 7 หลายเดือนก่อน +8

    Pole Xan Nabii Kwa Kufiwa Na Kjn Wako Kwa Kweli Mungu Akupe Nguvu Na Ujasiri Katika Kipind Hiki Kigumu Mungu Amlaze Mahali Pema Peponi😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @ssam3385
      @ssam3385 7 หลายเดือนก่อน

      Pole bb mungu amlazembinguni

    • @samiraaindi
      @samiraaindi 7 หลายเดือนก่อน +1

      pole kwa msiba Davie.

  • @MojamojaMojamoja-lw2ph
    @MojamojaMojamoja-lw2ph 7 หลายเดือนก่อน +18

    Pole sana baba ni gumu kulipokea lkn tumeumbiwa 😢

  • @user-bw7df5km1u
    @user-bw7df5km1u 7 หลายเดือนก่อน +3

    Pole sana mungu akutie nguv u,mshukuru mungu kwakila jambo

  • @VeronicaMacha-pl3xt
    @VeronicaMacha-pl3xt 7 หลายเดือนก่อน +19

    Anajua mwenyewe aliyeketi mahali pa juu palipoinuka kuliko vyote,🙏

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 7 หลายเดือนก่อน

    Pole mtumishi wa MUNGU

  • @joycerichard9274
    @joycerichard9274 7 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana baba yangu

  • @onanarosse9657
    @onanarosse9657 7 หลายเดือนก่อน +2

    Poleni sana familia

  • @kerrychristophers1595
    @kerrychristophers1595 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana Daddy

  • @HappynessLevocatus
    @HappynessLevocatus 7 หลายเดือนก่อน

    Pole sana nabii mkuu

  • @AMINASAIDI-mx7rs
    @AMINASAIDI-mx7rs 7 หลายเดือนก่อน

    Pole San baba yetu .

  • @salamakitule-3856
    @salamakitule-3856 7 หลายเดือนก่อน

    Pole sana kea mitihani

  • @officiallugano8991
    @officiallugano8991 7 หลายเดือนก่อน

    Daaaa pole sana

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 7 หลายเดือนก่อน +11

    Tayari, unaanza kuvuna ulichokipanda. Hongera sana Nabii uchwara

    • @malichanda3146
      @malichanda3146 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hahahaha 🤣🤣🤣 umeona eeh mbona hajamfufua 😂😂😂

    • @ericmellau3783
      @ericmellau3783 7 หลายเดือนก่อน

      Uktoa baba ake kua nabii bado mungu atabak kua mung tu hata kama maomb yake,yako, mm hayakujibiwa kama tulivokua tunataka, baba kua nabii aizui mungu kutenda kaz ake

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 7 หลายเดือนก่อน +4

    Innalilah wainnalilah rajiuun! Pole sana Nabii Dev!

    • @user-rd3zg5ze5k
      @user-rd3zg5ze5k 7 หลายเดือนก่อน +1

      Nabii wa mchongo uyoo acheni kufuru

    • @SimbaSimba-fo9pd
      @SimbaSimba-fo9pd 7 หลายเดือนก่อน +1

      subhanallah hivi wewe ni mwislam gani kwa kutoa pole kwa hili jiti jofavi laana za mwenyezi mungu ziwe juu yake

    • @drsilo
      @drsilo 7 หลายเดือนก่อน

      Ww cio muislam acha kuposti mavitu yanayotia hila uislam ww

  • @DiannaMsekeni
    @DiannaMsekeni 6 หลายเดือนก่อน

    Pole mtumishi kwa msiba wa kijana wako jina la bwana lihimidiwe

  • @priscamavura8135
    @priscamavura8135 7 หลายเดือนก่อน

    Poleni Sana familia

  • @ANNETTVSHOW
    @ANNETTVSHOW 6 หลายเดือนก่อน

    😢😢 pole sana

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 7 หลายเดือนก่อน +1

    Pole kwa wafiwa Ndugu jamaa na marafiki

  • @BahatiSunga-yk9qf
    @BahatiSunga-yk9qf 6 หลายเดือนก่อน

    Pole sana PLOFET kwa kuondokewa na kijana wako

  • @JONAISMARTINESAM-vs4jy
    @JONAISMARTINESAM-vs4jy 7 หลายเดือนก่อน

    Daaah,,,, kafaje yaani???????? Poleni sana jmn!!! Inauma sana!!

  • @AishaNgoyi-vi2ku
    @AishaNgoyi-vi2ku 7 หลายเดือนก่อน

    Pole sana baba

  • @camillah1097
    @camillah1097 7 หลายเดือนก่อน +30

    Pole sana baba Mungu akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mwana

    • @advinofficial6570
      @advinofficial6570 7 หลายเดือนก่อน

      Camillah

    • @samiraaindi
      @samiraaindi 7 หลายเดือนก่อน +1

      R.I.PNisher 😭

    • @abbassaid9305
      @abbassaid9305 7 หลายเดือนก่อน

      Mtumishi wa mungu watoto wakiume wanavaa heren na yeye kama baba anasapot kama sio ushetani ni kitu gani

    • @saturinimushi4746
      @saturinimushi4746 7 หลายเดือนก่อน

      Someni Kitabu Cha Mathayo Ile Sura ya 16: Mstari wa 26-27
      Mtakuja kunishukuru❤

    • @faithmapondo7370
      @faithmapondo7370 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@abbassaid9305Sasa yeye afanyaje

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu 7 หลายเดือนก่อน +11

    Ukila vya watu na vyako IPO sku vitaliwa..,

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 7 หลายเดือนก่อน +40

    Mungu awasamehe wote wanaoongea ujinga kuhusu huyu mtumishi wa Mungu. Mungu awabariki sana

    • @GeofreyEmpire-qu8ez
      @GeofreyEmpire-qu8ez 7 หลายเดือนก่อน +1

      Mwisho wa mwaka kweli duh

    • @samsonsamson7936
      @samsonsamson7936 7 หลายเดือนก่อน +2

      We una uhakika gani kuwa yanayoongelewa siyo ya kweli?

    • @edwardmaguluko6541
      @edwardmaguluko6541 7 หลายเดือนก่อน +6

      Nabii kashindwa kutabiri kifo cha mwanae

    • @letthedeadburythedead2148
      @letthedeadburythedead2148 7 หลายเดือนก่อน +4

      Mtumishi wa mungu wako

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 7 หลายเดือนก่อน +4

      Mtumishi wa Mungu ama tapeli ana waibia waumini

  • @jacquelinefrankie5309
    @jacquelinefrankie5309 7 หลายเดือนก่อน

    Pole nabii .rip broh nisher

  • @felistaantoni5446
    @felistaantoni5446 7 หลายเดือนก่อน

    Pole sana babaangu kipenzi

  • @dullyblack38
    @dullyblack38 6 หลายเดือนก่อน

    ni hv tu baba alikua superstar kuliko mwanae. hyo haikuwa sawa kimentalii. na chengine pia nisher ni kweli alikua mbele ya mdaa ila tatizo lilikua sapoti ni ndogo ya wasanii na media mapinduzi ya red camera zilipoanza iyo ilimfanya ajione kategwa na industry. all in all Rip young blood nisher

  • @agnestemu8382
    @agnestemu8382 7 หลายเดือนก่อน

    Aiseeee😢😢😢😢

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma178 7 หลายเดือนก่อน +7

    Acha Mungu afanye kazi yake, mapenzi yake

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 6 หลายเดือนก่อน

    Alikuwa andisamu jamani khaa❤❤❤😭😭😭😭😭😭

  • @eliannko
    @eliannko 7 หลายเดือนก่อน +11

    mungu mtie nguvu nabii mkuu katika kipindi kigumu hiki

    • @ahmedbashash3672
      @ahmedbashash3672 7 หลายเดือนก่อน +1

      Majambazi tu

    • @fidodido9578
      @fidodido9578 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hakuna mkuu ila MUNGU

  • @user-rq4jo8lb1l
    @user-rq4jo8lb1l 6 หลายเดือนก่อน

    Pole xn

  • @user-jc5oj6fw2c
    @user-jc5oj6fw2c 7 หลายเดือนก่อน +1

    Pole baba yangu MUNGU wa mbigu na nchi akutie nguvu

    • @EliechiKimario-bv1gz
      @EliechiKimario-bv1gz 6 หลายเดือนก่อน

      Hkn ch fremasoni kifo ni kifo hakuna mahali pameandikwa watumishi au watoto wao hawatakufa poleni sanna wafiwa

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 7 หลายเดือนก่อน +8

    Mda wao huu wanazik watoto tu

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 7 หลายเดือนก่อน +2

    😢😢😢

  • @user-dq4qr9bh5e
    @user-dq4qr9bh5e 7 หลายเดือนก่อน

    mungu mwenyewe

  • @ahmedbashash3672
    @ahmedbashash3672 7 หลายเดือนก่อน +10

    Kashamtoa kafara mtoto wake baba lenyewe shetani eti nabii mashetani wachaafu na matapeli

    • @AniaSawaki
      @AniaSawaki 7 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂 jameniiiiiiii

  • @faridadumasalhathoseni
    @faridadumasalhathoseni 6 หลายเดือนก่อน

    😢❤

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 7 หลายเดือนก่อน +37

    Huyu nabii muongo sana sema watu hawalijuity yupo firimasoni ndomna katoa kafara

    • @user-cw6kk2rw8f
      @user-cw6kk2rw8f 7 หลายเดือนก่อน

      Huyu ndo mtumishi wa Mungu daa ama kweli dunia Mungu tuulumie sana

    • @glorymassawe5659
      @glorymassawe5659 6 หลายเดือนก่อน +5

      Siku yakikukuta utafunga huo mdomo

    • @zainabumartin9520
      @zainabumartin9520 6 หลายเดือนก่อน

      @@glorymassawe5659 lbda ukutane namizimu yako sio mimi

    • @zainabumartin9520
      @zainabumartin9520 6 หลายเดือนก่อน +1

      Tuma nauchawi wenu waki frmasoni haunifiki

    • @zainabumartin9520
      @zainabumartin9520 6 หลายเดือนก่อน

      Eti kufunga mdomo wako ndo utafunga munadanganya watu kuwatapeli eti munawaombea uongo mtupu

  • @user-nv1nd3up5o
    @user-nv1nd3up5o 6 หลายเดือนก่อน

    😢😢

  • @user-rk8cf7cd5x
    @user-rk8cf7cd5x 6 หลายเดือนก่อน +1

    Rip kuzimuuuuuuuuu

  • @RuthyTemu-ev5li
    @RuthyTemu-ev5li 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akutie nguvu baba pole sanaa na wanaohukumu wajue wao sio Mungu waache Mungu ahukumu

  • @user-ue3jx3by9i
    @user-ue3jx3by9i 7 หลายเดือนก่อน +8

    Ndungu zangu wa Tanzania Tujaribu kutumia vizuri hii mitandao natupunguze ukari wa maneno sisi wa Tanzania jaman hatuja ubwa hv watanzabia tunasifika kwa ukarim na upendo hivi tumefikia handi kubishana na mungu kuchukua haki yake juzi Mme msema vibaya baba yetu mpendwa mpango mpaka mkawasha mishumaa ukasema mnavo jua lakin juzi mmeumbuka na baba wa watu alivo barikiwa kuanamoyo wa kuhimili uchafu wa midomo yetu wa Tanzania wasio na hekima aliwaombea2 kwa mungu awasamehe na mm naungana na makam wangu mungu awajalie mwisho mwema

    • @gmbrown1429
      @gmbrown1429 7 หลายเดือนก่อน

      Kafara iyo

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 6 หลายเดือนก่อน

      Usilaumu wananchi, kabla hujahukumu lazima ufikiri kwanza, watanzania yule ni kiongoziwao wanahaki yakuuliza kisha wajibiwe, kumbuka na kwa magufuri walidanganywa hivohivo kumbe mzee alituacha haya sasa je wajifunze nini sasa.

  • @fatma4628
    @fatma4628 7 หลายเดือนก่อน +8

    Mpigie yesu simu Mzee 😂😂amrudishe

    • @user-rd3zg5ze5k
      @user-rd3zg5ze5k 7 หลายเดือนก่อน

      3:37

    • @immajungu5190
      @immajungu5190 6 หลายเดือนก่อน

      Acha kufuru fatma hzo kejel n mbaya sana plz omba msamaha

    • @fatma4628
      @fatma4628 6 หลายเดือนก่อน

      @@immajungu5190 sasa msamaha gani wakati baba yake anasema alionana na yesu wewe acha mungu hataniwi bana ama pia wewe ushaonana na yesu

  • @laxmajor
    @laxmajor 6 หลายเดือนก่อน +1

    Dar siyo pow😭

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 7 หลายเดือนก่อน

    Rest in Peace

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 7 หลายเดือนก่อน +1

    ...😢😢😢😢😢

  • @user-ux8gd8mj2e
    @user-ux8gd8mj2e 6 หลายเดือนก่อน

    Kufa kawaida wote tutaondoka tuache Iman potofu.

  • @omarcarlos4595
    @omarcarlos4595 7 หลายเดือนก่อน +3

    Hapo ndo utaelewa kuwa kifo ni haki kutoka kwa muumba.Hakuna atakayenusurika na kifo. Nii hi njia ambayo kila mmoja atapitia tu. Ni suala la muda bwana ametwaa

  • @imaniyohana
    @imaniyohana 7 หลายเดือนก่อน +4

    Bro mbn hii interview ya mda sana af mbn Kam umeandk kuwa kamhoji baada ya msiba

  • @chrotildamathias9610
    @chrotildamathias9610 6 หลายเดือนก่อน

    Pole nabiii wangu nakupenda

  • @user-or2xn4bp7o
    @user-or2xn4bp7o 7 หลายเดือนก่อน +1

    ii dunia jamn 😥

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 7 หลายเดือนก่อน +9

    Mshua wake anajua alichokifanya!

    • @allymwilu8089
      @allymwilu8089 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂blv dat

  • @EmpireMoviesNseries
    @EmpireMoviesNseries 7 หลายเดือนก่อน +9

    R.I.P mengine tumwachie muumbaji😢

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 7 หลายเดือนก่อน +8

    Hii interview haihusiani na msiba ni kabla ya mwanae kufariki

  • @hilidentamale9778
    @hilidentamale9778 7 หลายเดือนก่อน +4

    Na huo ndo mwanzo na bado tutaona mengi

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 7 หลายเดือนก่อน +6

    Wangapi walikua hawaamini karumba hakua frmasoni leohii ndowana amini

  • @SelinaPaschal-vq2iy
    @SelinaPaschal-vq2iy 7 หลายเดือนก่อน +6

    Hivi mnazani kuua mtoto wake nirahisi acheni ujinga na Imani potofu

    • @Mkinga_og
      @Mkinga_og 7 หลายเดือนก่อน

      Acha ukenge watu wanamuua mama mzazi sembuse mtoto, we unavohisi uyu mzee ni mtu mwenye imani gani, "yesu alinitokea live" we ulisikia wapi

    • @SelinaPaschal-vq2iy
      @SelinaPaschal-vq2iy 7 หลายเดือนก่อน +1

      @@Mkinga_og bro pambana na hali yako akiri yako ukiijaza ushirikina basi Kila kifo utasema umelogwa mara kafara ashindwe kumtoa since akiwa mdogo aje amtoe now hayo nimapenzi ya MUNGU nothing else bro,,,,shame on u😏

    • @marthamollel9859
      @marthamollel9859 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ukikaa na maneno ya Mtandao utashindwa kufanya kazi huo ni uvivu wa fikira ukiona mtu kafanikiwa ooohh freemason . Kila mmoja atauonja umauti🙏🙏

    • @SelinaPaschal-vq2iy
      @SelinaPaschal-vq2iy 6 หลายเดือนก่อน

      @@marthamollel9859 point,,,,,Yani watu huwa hawafikilii

  • @user-iq1re6dj8n
    @user-iq1re6dj8n 7 หลายเดือนก่อน

    Rahisi Sana kuwa unajuwa nini alifanya mpaka afike apo alipo

  • @hadjamussa1626
    @hadjamussa1626 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tofauti Kati ya mtu na mtu ni ufahamu mungu ni mwema

  • @anenragnesmunis8490
    @anenragnesmunis8490 7 หลายเดือนก่อน

    Hatari

  • @limymasele21
    @limymasele21 7 หลายเดือนก่อน

    Sipendi hii hali sasa hivi wa pili ndiyo anakuwa wa kwanza anaenda kubeba majukumu mazito sana yaliyokuwa yanafanywa na kaka wa miaka 34 alikuwa mkubwa huy😢😢😢

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 7 หลายเดือนก่อน +9

    Mzee katoa kafara ndio stetani alivyo ukimtumikia lazma utoe kafara natamani watu wajue huyu jamaa ni muabudu shetani kabisa yani

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 5 หลายเดือนก่อน

    Baba hasa familia yangu inakupa pole sana

  • @idrisamapesa2732
    @idrisamapesa2732 7 หลายเดือนก่อน +13

    Tayar mambo yamekaa sawa kwa bwana mchungaji

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 7 หลายเดือนก่อน +1

      Acha ujinga Kila mtu anafiwa wewe, umaskini usikufanye kupayuka

    • @frankmlalila1705
      @frankmlalila1705 7 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

    • @LailaLaila-kg2qd
      @LailaLaila-kg2qd 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ujakosea wng

    • @idrisamapesa2732
      @idrisamapesa2732 7 หลายเดือนก่อน +1

      Mbona unaumizwa ktk hilo au ndo wale wale 😄😄😄 kenge ww

    • @malichanda3146
      @malichanda3146 7 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂 kabisa

  • @RenatusLeonardMillambo
    @RenatusLeonardMillambo 7 หลายเดือนก่อน +12

    Mbivu na mbichi...zitajulikana.........MUNGU NA ATUKUZWE....mana njia zetu anazijua vema....ziwe za kweli au lah!!!

  • @ibrahimnganyule5367
    @ibrahimnganyule5367 7 หลายเดือนก่อน

    Hivi mnaocoment kejeli hamjawahi poteza ndugu zenu

  • @Josephkp629
    @Josephkp629 6 หลายเดือนก่อน

    Kumbe nisher alikuwa mwanae😊

  • @abnermailos8043
    @abnermailos8043 7 หลายเดือนก่อน

    Hope Moyo mkuu

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 7 หลายเดือนก่อน +3

    Nlijua wataanza freemason upuuzi mtupu

  • @franckswedi5664
    @franckswedi5664 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu ndo ana juwa ukweli

  • @furahamangi4715
    @furahamangi4715 6 หลายเดือนก่อน

    Polen kwa yote 😭🙏🙏

  • @Hajer-be2kh
    @Hajer-be2kh 7 หลายเดือนก่อน

    Huwa kabila gn huyu baba mashaallah mzuri na Pole kwa kufiwa

    • @MaryCaroly-zl1ei
      @MaryCaroly-zl1ei 7 หลายเดือนก่อน

      Ni mnyaturu from singida

  • @eliamwakimage5389
    @eliamwakimage5389 6 หลายเดือนก่อน

    Mtoto wa Nabii.... Ananda mziki wa Bongo fleva... Nabii wa mungu yupo tu anaangalia. Mungu mrehemu Nisher uko alipo. Revelation 14:13

    • @naigeorge7765
      @naigeorge7765 6 หลายเดือนก่อน

      Uombee sana watoto wako unafikiri ni kazi rahisi.Au unaweza kutumia nguvu mtoto wako awe utakavyo wewe.Ni neema ya MUNGU tu ndio inaweza kufanya hivyo.Kwahiyo mtoto wako akiwa ana njia zake anabadilika kuwa mtoto wako.

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 6 หลายเดือนก่อน

    R.I.P😔

  • @wilsonlazaro4048
    @wilsonlazaro4048 7 หลายเดือนก่อน +2

    Naomba wote mnao msema vibaya huyu baba mtubu na kuomba msamaha msipo fanya hivyo nanyie mtapatwa na misiba Hadi mshangae mtafiwa au mtakufanyie wenyewe ili iwefundisho m mekosa chaku sema kwani ni la zima mseme na tamani ni ngekua karibu nanyie ni wakate hizo dimi zenu

    • @gabrielkimario1891
      @gabrielkimario1891 7 หลายเดือนก่อน

      Acha kutisha watu,,Wewe unayeona wamekosea waombee kwa Mungu,,na Mungu hayupo hivyo unavyofikiria ndugu

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq 7 หลายเดือนก่อน

    Rip mkuu

  • @StephanoAkyoo
    @StephanoAkyoo 6 หลายเดือนก่อน

    Wakati wa mwisho kutakuwako...na manabii wengi wa uongo na kweli, na wapo kuwapoteza hata Walio wateule....watafanya ishara, miujiza, na maajabu ya kufanana kabisa na yake ya kimbingunii......IWENI NA AKILI🤏

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 7 หลายเดือนก่อน +3

    Frimason Katolewaaaa😢😢😢 heeeeee

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 7 หลายเดือนก่อน +1

      Weweee kumbe Bado unaulimbukeni hivyo, wajinga ndiyo wanaamini haya mambo,

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi3334 7 หลายเดือนก่อน

    Mmmh

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 7 หลายเดือนก่อน +10

    Msiba ni ule wa kule manyara. Huo ni msiba wakawaida sana

    • @summahthedon3511
      @summahthedon3511 7 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe ni matako kabisa😢😢😢😢msiba ni msiba tu

    • @lizashagilliard2336
      @lizashagilliard2336 7 หลายเดือนก่อน

      Shame on you

    • @EmmanuelNyinyigwa
      @EmmanuelNyinyigwa 7 หลายเดือนก่อน

      @@summahthedon3511 kinge wewe

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 7 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@summahthedon3511Bado haijamtosha mpe lingine

    • @summahthedon3511
      @summahthedon3511 7 หลายเดือนก่อน +1

      Yaani wewe ningekupata Mikononi mwangu ningekufilimba mbwa wewe sura Kama chapati iliyo kauka kukamamake zako

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu Wa mbinguni,akufariji,,,binadamu WA na maneno meng😂

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe nguvu kipindi hiki Cha msiba wa mwanao nabii mkuu nakupenda nakupenda na nakupenda sana, wanaokuongelea vibaya wacha wajipe shughuli hawana yankufanya na ukiwachunguza wachovu ndio Wana maneno mengi yasiyo na maana Wala faida, mungu atawalipeni kwa midomo na maneno yenu machafu sisi tunasonga mbele. Viumbe km nyie hamkosekanagi jmn

  • @vaikaayagadiel520
    @vaikaayagadiel520 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ukiwa muislamu hufi/hufiwi, ndimi ndimi zichungeni

  • @user-ks8oy9lt7z
    @user-ks8oy9lt7z 7 หลายเดือนก่อน +4

    Hee nabii anashindwa kuzuia mwanae asifariki lakini wengine anawaambia anawaombea wawe salama makubwa

    • @faithjonesmeena4679
      @faithjonesmeena4679 7 หลายเดือนก่อน

      Walikufa watoto wa ayubu na alikua mwema Sana mwachon pa bwana. Mitihan huja kwa njia mbali mbali

    • @user-ks8oy9lt7z
      @user-ks8oy9lt7z 7 หลายเดือนก่อน

      Mjinga huamini kila neno lakini mwerevu huangalia sana aendavyo

    • @mwigarleysaid5406
      @mwigarleysaid5406 7 หลายเดือนก่อน

      Kwani mganga wako hajafiwa?

    • @user-ks8oy9lt7z
      @user-ks8oy9lt7z 7 หลายเดือนก่อน

      @@mwigarleysaid5406 alaa kumbe uyu mganga wenu sio?

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 7 หลายเดือนก่อน +3

    Sinabii mbona hajarudisha roho yake kamakweli mponyaji