Ifahamike ya kua wananchi wa Paje na Jambiani hawapingi ujenzi wa hicho kiwanja ila wanataka itafutwe sehemu nyengine kutoka kutoka Jambiani hadi Muyuni ni zaidi ha kilometres 20 kuwafidia shamba ni aula kuliko kuwafidia nyumba ambazo watu wanaishi. Na ukweli hasa Kisauni inatosha International Airport ya nini kujitia gahrama kujenga International Airport mbili!
Ardhi mali ya serekali au mali ya sirikali mana mabango yashawekwa tayari kuzuia halafu unaambiwa sirikali haifanyi jambo bila kushirikishwa mwanachi angeshirikishwa tangu mnataka kupima
Ya nn kujenga air port mbili kisiwa kidogo hicho jamani viongozi tumieni uwezo wa kufikiri mukijenga air port ya pili kipato kitapunguwa mtu anatumia 800000 kwa kuja kuchukuwa mgeni airport mjini kutoka shamba Jengeni barabara
@@hassnsalim5156 Nyiye pigeni KURA na kupigwa viboko baada ya Kura baada ya hapo hakuna mtu anaye kujuweni subirini tena miaka mitano hebu wacheni UJINGAaaaa na mchezo huo huo unaendelea…..😀
Mimi nashangaa znz'unguja bado ndogo kiwanja kimoja kinatosha ikiwa kipo kiwanja cha ndege chajeshi tayari.! Maana zanziba sio kiwanja cha vitata mpaka ueneze viwanja vya ndege. Kama tatizo ni kupunguza masafa ya umbali bridge kujenga kunatosha ama reli za treni basi.
Nchi imeshauzwa nyie nendeni mwanaromango hapo ni wawekezaje ndio wenye nchi mliwatoa waarabu wamekuja waarabu weusi bora wale waarabu haikuhi kufanya dhulma kama hiyo
Uyo sio raisi ni rahisi mwinyi ungejenga ikamaliza uwo wazamani kuna barabara tele nyembamba tanueni njia gari zipite huku na huku zakwenda tu ziwe zake na kurudi ziwe kwake munajenga njia nyembamba halafu munazingua
Wajengeeni Wananchi wenu nyumba za kuishi nzuri baada ya kuwadhalilisha . Wazungu imekuwa bora kuliko Wananchi hapo Unguja. Wananchi hawana kauli yoyote kwa kila kitu wanachokitaka kwenye maisha yao hawakipati. Airport hiyo itakuwa ya Wazungu tuu wakitoka kwenye ndege moja kwa moja baharini. Hii Unguja itakuja kuzama siku moja. Wacheni kudhulum watu.
Jamani hiii dunia tunapita tunaondok na sanda nyeupe uwemtu wa serekal sio serekal nyanda yetu nimoja ubao wetu ni mmoja kilakitu unakiyacha mali ya mwenyenzi mungu allah ndie mmiliki wa kilakitu kwani yeye kamba uwonavo vitu vyote vya duniani vyote mmiliki ni yeye allh kwa iv tutumie akiri
DAH HII NDIO AFRIKA NYEUSI KWAHYO ARDHI WAO WANAWEKA BICONS NA KIONGOZI UNASEMA SERIKALI HAIJAAMUA?KWELI HUU SI ULAGHAI,,,KWANI ARDHI HAIKO KWA SERIKALI?
Najisikia kichefuchefu kwa serikali hii jamani viwanjahivo nataka kutuuza kwa wageni au vipi maana tayari mmeha jenga huko kaskazin kiwanja kipo Maashaallah Inter national Airport yakifakhari inatosha watu wanalka njaa Nyinyi najenga majengo yatakaliwa nani au huo uwanja watu watakula acheni ufisadi kufusidi mali zawananchi hakuna Ardhi ya serikali Ardhi zote zina wenyewe tangu enzi zamababu zetu
Bikon wameeka miaka 7 iliyopita na wakati walipokuja kuomba eneo walikuja na kauli wapatiwe eneo la kujenga kituo cha uokozi maana tupo kwenye ukanda wa pwani tuna watalii wengi. Hili bango unaloliona wameweka mwaka jana na baadhi ya bikon wameweka juzi hata wiki 1 haijamaliza. Kuna watu wapo kuzitumia hizo arshi toka 1978 kaka.
Kwani kuna haja gani unapotaka kujenga nyumba yako ushauriane na watoto wako wakati kila mtu unamuwekea chumba chake ...... Jenga nyumba BABA ukifa sisi watoto ndio warithi wako..... ijenge iwe na thamani ukiondoka itusaidie soteeeeee.
Nina kuomba ww wazir wa ardhi kwa akili yako nenda kwa wasikilize wana nchiì wa jambian na wa paje haraka iweze kanavyo huko ndiyo unguja ilipo ahhhhaaa mķonnĝooo
Ifahamike ya kua wananchi wa Paje na Jambiani hawapingi ujenzi wa hicho kiwanja ila wanataka itafutwe sehemu nyengine kutoka kutoka Jambiani hadi Muyuni ni zaidi ha kilometres 20 kuwafidia shamba ni aula kuliko kuwafidia nyumba ambazo watu wanaishi.
Na ukweli hasa Kisauni inatosha International Airport ya nini kujitia gahrama kujenga International Airport mbili!
Imewashinda ya Pemba tu
Kweli kabisa airport moja inatosha ,,
Ni vyema wakajenga barabara tu.hakuna haja ya Airport.
Kutoka Paje mpaka town ni dakika 50 tu kukiwa na Good Road.
Uchaguzi unakuja mtachagua tena Ccm 😅😅😂
Serekali hii baada kujenga viwanda watu wakapata ajira wanawakandamiza raiya wallah maisha magumu kula kupata kwa tabu wao wanaona powa tuu
Watu wanalia njaa wao ndio kwanza wanawakandamiza maskini daa poleni wazibabaria wenzangu
Mwinyi bana hvi Hana Imani hana mnafiki wallahi sasa wtu kwenye makazi yao munawaondosha
Ardhi mali ya serekali au mali ya sirikali mana mabango yashawekwa tayari kuzuia halafu unaambiwa sirikali haifanyi jambo bila kushirikishwa mwanachi angeshirikishwa tangu mnataka kupima
Walipwe sehemu zao za makazi wasiwadhulumu hao ni wananchi wao
Kiufupi ni uwonevu Airport nyengine yanini zanzibar imekuwa NGOROGORO
Ya nn kujenga air port mbili kisiwa kidogo hicho jamani viongozi tumieni uwezo wa kufikiri mukijenga air port ya pili kipato kitapunguwa mtu anatumia 800000 kwa kuja kuchukuwa mgeni airport mjini kutoka shamba Jengeni barabara
Sidhani kama Kuna haja ya kijenga airport Kwa geographia ya unguja hizo PESA wengali Jenga Barbara na hospitali
Mh mwinyi Jenga uwanja wa ndenge usibabaike na kelele .hayo ndiyo maendeleo tupo pamoja 👏👏
Serikali sikiliza wananchi ndio wapiga kura wenu pls
@@hassnsalim5156 Nyiye pigeni KURA na kupigwa viboko baada ya Kura baada ya hapo hakuna mtu anaye kujuweni subirini tena miaka mitano hebu wacheni UJINGAaaaa na mchezo huo huo unaendelea…..😀
Mimi nashangaa znz'unguja bado ndogo kiwanja kimoja kinatosha ikiwa kipo kiwanja cha ndege chajeshi tayari.! Maana zanziba sio kiwanja cha vitata mpaka ueneze viwanja vya ndege. Kama tatizo ni kupunguza masafa ya umbali bridge kujenga kunatosha ama reli za treni basi.
Nchi imeshauzwa nyie nendeni mwanaromango hapo ni wawekezaje ndio wenye nchi mliwatoa waarabu wamekuja waarabu weusi bora wale waarabu haikuhi kufanya dhulma kama hiyo
Kwa hapo Unguja haina haja kweli ya Airport nyengine. Hizo pesa waongezeeni mishahara Wananchi.
Wananchi wenyewe hatuna uwezo wa kupanda ndege
@@bukharysaid 🤣🤣🤣 Zimewekwa kwa wageni wanao ingiya nyiye mpande magari mabovu Wananchi maskini.
@@awatifalghanim1106 Kwa kweli mtihani😂😂
Waziri ardhi nenda kawasikilize wananchi wako pls.....
Watu wasiwe na wasiwasi na maamuzi ya Serikali hayajatoka ili hali mabango ya kuwakataza kutumia maeneo yamepachikwa. Jamani!
Uyo sio raisi ni rahisi mwinyi ungejenga ikamaliza uwo wazamani kuna barabara tele nyembamba tanueni njia gari zipite huku na huku zakwenda tu ziwe zake na kurudi ziwe kwake munajenga njia nyembamba halafu munazingua
Wajengeeni Wananchi wenu nyumba za kuishi nzuri baada ya kuwadhalilisha . Wazungu imekuwa bora kuliko Wananchi hapo Unguja. Wananchi hawana kauli yoyote kwa kila kitu wanachokitaka kwenye maisha yao hawakipati. Airport hiyo itakuwa ya Wazungu tuu wakitoka kwenye ndege moja kwa moja baharini. Hii Unguja itakuja kuzama siku moja. Wacheni kudhulum watu.
Mapenda mzee wa kwanza
Jamani hiii dunia tunapita tunaondok na sanda nyeupe uwemtu wa serekal sio serekal nyanda yetu nimoja ubao wetu ni mmoja kilakitu unakiyacha mali ya mwenyenzi mungu allah ndie mmiliki wa kilakitu kwani yeye kamba uwonavo vitu vyote vya duniani vyote mmiliki ni yeye allh kwa iv tutumie akiri
DAH HII NDIO AFRIKA NYEUSI KWAHYO ARDHI WAO WANAWEKA BICONS NA KIONGOZI UNASEMA SERIKALI HAIJAAMUA?KWELI HUU SI ULAGHAI,,,KWANI ARDHI HAIKO KWA SERIKALI?
Viongozi Africa hawawajali watu wao ,, wanawaona kama nyani tuu , hili ndio tatizo la Africa nzima
Ardhi mali ya serikali je Watu ni mai ya nani?sio serikali mnaambiwa nyie watu ni mali ya MUNGU
Ivi airport ya kiembesamaki na kigunda mnataka kuongeza nyengine? Khaaa kwa wasafiri gn? Hebu kajengeni kile cha pemba kwanza
Kwani sie hatujajua tu kama tuliondoa mkoloni mweupe na sasa karudi Kwa mlago mwengne Kwa muafrika
Najisikia kichefuchefu kwa serikali hii jamani viwanjahivo nataka kutuuza kwa wageni au vipi maana tayari mmeha jenga huko kaskazin kiwanja kipo Maashaallah Inter national Airport yakifakhari inatosha watu wanalka njaa Nyinyi najenga majengo yatakaliwa nani au huo uwanja watu watakula acheni ufisadi kufusidi mali zawananchi hakuna Ardhi ya serikali Ardhi zote zina wenyewe tangu enzi zamababu zetu
Ccm hoyeeee 😂😂😂😂
Na uonevu na unyanyasaji wa mkololi wa kileo ccm oyee😂😂😂
Wewe unaona makelele ila munatukandamiz maisha magumu
Watu wanadanganya lakini bikon si zipo
Bikon wameeka miaka 7 iliyopita na wakati walipokuja kuomba eneo walikuja na kauli wapatiwe eneo la kujenga kituo cha uokozi maana tupo kwenye ukanda wa pwani tuna watalii wengi.
Hili bango unaloliona wameweka mwaka jana na baadhi ya bikon wameweka juzi hata wiki 1 haijamaliza.
Kuna watu wapo kuzitumia hizo arshi toka 1978 kaka.
Kwani kuna haja gani unapotaka kujenga nyumba yako ushauriane na watoto wako wakati kila mtu unamuwekea chumba chake ......
Jenga nyumba BABA ukifa sisi watoto ndio warithi wako..... ijenge iwe na thamani ukiondoka itusaidie soteeeeee.
Nyie wezi 2
Israfu hiyo uwanja wandege SI upo Kuna haja gani kupoteza pesa za wananchi na ardhi kubwa kutumika bila umuhimu uwanja tulionao unatosha
hawa ccm dah, ccm paje uwanja wa ndege wa nini?
Uonevu serekali punguzeni ku2mia mabavu ungwana u2mike sio sahihi
Ww muongo bwana munataka kuondosha wtu kwenye makazi wkt hata alama mumeshaweka
Wanataka kutia umaskini wananchi wao tu
Kwani hujui kama bado ww ni koloni tu..
Wapeni fidia inayostahili hao wananchi, uwanja wa ndege ujengwe.
Nchi mali ya wawekezaji kama mlikua hamjui Tanzania ime funguliwa iko wazi wananchi sisi kama mifugo
wazungu mpaka uko juu pia washajaa,naona mwisho mutakimbilia mtule
Nahukunungwi tayar weshakuja na madoza Yao kuchukuwa viwanja vya watu wanasena mali ya serekali Sasa tukajengewap tukae wap au tujengeeni nyumba tukae
Hi nchi mali ya wawekezaji😅😅 maeneo wame chukua wazungu na Waarabu wa nje ya nchi
@@ilynpayne7491 utalii/ utalia time ndio hii. Athar haiji haraka hasa kwa mambo makubwa na endelevu.
Watu wa tunguu kibele washachoka kuhusu barabara
Ana Hashuo mwnyi
Mnaibishia serikali?
Sasa hawa wananchi hii mipoli wanaibakishia
Wawalipe tuu
😂😂
Mitihaniiii
Serikali ya Wezi
Mazali washaanza hao watamaliza mzeee tukae tuone.
Sawa mkuu
Yangu Macho tu
Nasie mali yanani
HATA SIJUI TUNAELEKEA WAPI.HALAHALA MTI NA MACHO
Yametimia wala bado
Wacha zulma haidumu ww kwacha mwenyewe umedhulumu
Sawa baba
Mzee wa mabati ondoka
Nina kuomba ww wazir wa ardhi kwa akili yako nenda kwa wasikilize wana nchiì wa jambian na wa paje haraka iweze kanavyo huko ndiyo unguja ilipo ahhhhaaa mķonnĝooo
Serikal yet ni sikivu naamn rais wet atatatua hili kwa hekima na busara