Hapo watakuondoa mapema tu wananchi wengi tunategemea mkaa Sasa Kwa vile upo karibu na Mama Samia Mpigie ashushe bei ya Gas mpaka 12000 tsh kwa Mtungi mdogo
Mkuu mwambie mke wako apikie mkaa mwezi mmoja tu, nenda kule kijijini ambapo gari la mkaa halifiki, pole sana mkuu umeshiba cheo mapema angalia watu masikini.
Me niliwambia mapema watu wakishateuliwa wanasahau Hali za wananchi ukitaka wananchi watumie ges shusheni bei mtungi uwe Bure halafu gesi ndio muuze ndio mtoe marufuku zenu
Hapo hatuungi mkono hoja hizo yaani kipato changu kwa siku hakizidi hata elf5 Sasa hii tutaishi vipi gesi elf25 kujaza mtungi mdogo Sasa nijaze gesi ,sembe nitanuua kwa kipato kipi Tena !! Hatukatai kuacha kutumia mkaa nabali inabidi m ,boreshe kwanza miundo mbinu yakupata gesi iwe rafiki na gharama nafuu
Mungu anisamehe bure @Lakn huyu jamaa hafai kabisa kuwa kiongozi kwa ngazi husika hivi ajui kama kwa kauli yake hii inaenda kutuongezea ugumu wa Maisha acha jeuri ww maisha hayaendi hivyo
Akili yako ni sawa na ulivyo pewa kazi hiyo unadhani hao wanauza mkaa na kubeba kwa pikipiki wao awahana familia ama kweli Mwnyezi Mungu atu hurumie hivi wewe kama kiongozi uwezi kuongea Pumba kama hizo
Wakishapata vyeo wanajisahau sana hawa , wazazi wake wanapikia nn na hao wenye pikipiki ndio ajira zao naiwakika hii laana Iko siku itakutafuna ,mama mtu gani huyu umetuwekea ????
Hiyo ni kuwazibia ridhiki walala hoi hebu kaaa jifikirie tena, watu wanapata iziki kwa kukodishwa kubeba mkaaa hamuwezi kulazimisha watu kutumia Gesi hivi UNAJUA BEI YA GESI,?? kwa nini kutesa wananchi kwenye nchi yao??
Samaani lakini, hivi Tanzania ni nchi yetu kweli watanzania ama kuna watu binafsi wamejimilikisha na sisi tumekuwa watumwa na ngombe wa kukamuliwa maziwa kupita uwezo wetu wa kuzalisha ama ni nini kinaendelea Tanzania. Hii nchi ni kweli inaendeshwa kwa matakwa na ushauli wa watanzania ama nini? Naishia hapo TU mwenye jibu atanipa mimi sielewi kabisa
Kwa maisha halisi ya watanzania tumekuwa ngombe wa kukamuliwa maziwa kwa wingi kuliko uwezo wetu wa kuzalisha hiyo gesi kuitaja ni raisi TU ila uliza bei utajuwa haunjuwi na ukinuna utatumia muda gani ni tazo. Sasa kwa sheria hizi zinazoumiza watu je wananchi tuna wawakilishi kweli? Kazi ya wabunge ni nini ndani ya bunge
Kiumweli mkaa kwenye pikipiki ni hatari, unakuta amepakia magumia sita dereva hajakaa sawa ni hatari kwa usalama, au utakuta mwingine kapakia magunia mawili marefu usawa wa gari hatoshi eneo la pikipiki anachukua upande mzima wa barabara gari haziwezi kumpita mwendo wa pikipiki ni mdogo gari linaanza kuhangaika kumpita kutumia upande mwingine wa barabara hiyo yote inasababisha ajali barabarani, tunaweza kufanya ubishi wa kumkosoa kiongozi lakini ukweli unabaki palepale tupende kufata sheria za usalama
Ukiona mtu anabeba mkaa sio kama anapenda bali majukumu yanamlazimu afanye kazi hizo kama Serikali inawahurumia kweli iwakusanye iwape Elimu ya ujasiliamali Kisha iwape mikopo uone kama Kuna ambaye atabeba huo mkaa
We una lopoka sasa gesii sh 4000 mkaaa sh 1000 bas waambie wauzaa gesii wauzeee sh 10000 mtungi mdogo apo saw lakini una zuiya mkaa alafu au wap watu ela ya gesiii sasa sisi tunakuelewajee ww
Wee pumbavu unakaa nyumba ya bure,gari ya bure, gas ya kupikia ya bure,watoto wako wanasoma bure mpaka kunya bure navyote ni kodi zetu wananchi leo huna huruma na wanaokulisha usimuige makonda haumuwezi mnatafuta sifa kijinga
Kupunguza matumizi ya mkaa ni sawa kabisa Kwa ustawi wa mazingira lakini kabla ni vema kuweka mazingira rafiki Ili Kila Mtanzania aweze Kununua gesi. 1. Shusheni bei ya gesi 2. Sapotini nishati mbadala kama artificial mkaa n.k 3. Anzisheni kiwanda Cha majiko yanayotumia pumba za nafaka na maranda ya mbao.
Sasa jamani tutaishije baba mbona nyinyi watu wangazi za juu mnatunyanyasa watu wachini dar mkaa ndio kila kitu kwasisi wahali ya chini hapo umebugi aise ges tutumie wengine wahali ya chini uwezo huo hatuna
Muheshimiwa magoti Sheria hiyo naona NI dhulma kwa sababu gari la tajiri.tajiri kampa dereva kwa mkataba afate Sheria za nchi dereva hakufuata Sheria kisawni la mvunja Sheria. Muheshimiwa tazama Sheria usije ukafanya dhulma
Hapo watakuondoa mapema tu wananchi wengi tunategemea mkaa Sasa Kwa vile upo karibu na Mama Samia Mpigie ashushe bei ya Gas mpaka 12000 tsh kwa Mtungi mdogo
😂😂😂 kweli kabisa
Umeshiba ss ni muda wako na ww kurudi kijijini uone maisha ya mkaa, bora ungepigana gesi na umeme vishuke
Mkuu mwambie mke wako apikie mkaa mwezi mmoja tu, nenda kule kijijini ambapo gari la mkaa halifiki, pole sana mkuu umeshiba cheo mapema angalia watu masikini.
ndo tatizo la watanzania wengi,hata achaguliwe yule maskini akishapata cheo tu anasahau kuna watu maskini katika nchi.
Watu wenye vyeo vyao hawaitambui thamani ya mtu masikini, hawatambui shida tunazopitia, inaumiza sana hii😒
Hio pikipiki yenyewe haifiki hio thamani ya milion moja mtu aje alipe faini hio milion moja😎
Wazazi wako wanatumia Nini huko kwenu upon kwenye Raha umesahau
Hana jinsi yeye anafata sheria kwani alotungasheli ni wengine yaya anasimamiatu. Pengine moyoni inamuuma ila hanajinsi
Kwa nini aseme yeye ina maana hana uchungu na wananchi@@HanifaOman-oo4pl
kubadilika muhimu acheni upuuzi huo watu.watoke kwenye matumizi ya mkaa
Tumuulize kwanza gesi huko nyumban kwenu ulipo zaliwa wengine hawajui hata ges itakuwaje
Naona sasa kunasiku mtaamka mtasema nimalfuku kuwepo bodaboda kuwepo,maana hatahao boda wanawatoto wanajipatia kipato,kwahiyo akiambiwa apeleke hata junia Moja akodi Gali sio,mnaangalia kwakua mnaishi nakodi zetu,sasa watoa Kodi ndo mnawaumiza,msilewe madalaka.
Mbona umeshiba mapema sana umeanza kubweka mapema
Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa mkaa kwetu wananchi ndio heri kwetu kuliko huo umeme
Mama toa huyu , wananchi wako na wapiga kula wako ndio wanaumia
Da! Cjawahi ona DC kama huyu wa kauli za hivi Mh: Rais tuletee DC mwingine huyu kasahau aliko toka 😂
😂😂 mkuu waachie tu watafute maisha, watu wanategemea waendeshe familia kwa kubeba mkaa
Hapa Magoti umechemka katka Hilo sasa hivi utaundiwa zengwe
Sasa mtu anagunia moja la mkaa akodi gari kupeleka nyumbani daah hatari sana
Me niliwambia mapema watu wakishateuliwa wanasahau Hali za wananchi ukitaka wananchi watumie ges shusheni bei mtungi uwe Bure halafu gesi ndio muuze ndio mtoe marufuku zenu
kweli kabisa
Hapo hatuungi mkono hoja hizo yaani kipato changu kwa siku hakizidi hata elf5 Sasa hii tutaishi vipi gesi elf25 kujaza mtungi mdogo Sasa nijaze gesi ,sembe nitanuua kwa kipato kipi Tena !!
Hatukatai kuacha kutumia mkaa nabali inabidi m ,boreshe kwanza miundo mbinu yakupata gesi iwe rafiki na gharama nafuu
Huyu kilema nae kumbe ni mpumbavu sana
Mtu mwenyewe sasa yaani kuna wakati baadhi ya viongozi wanawalazimisha watu watende zambi tuuuu 😢😢😢😢
Uyu nae katoka wapi🤣🤣🤣🤣 nyerere alixhindwa utaweza wewe weka taratibu wa2 walipe mapato iyo milioni unayo ila hii inchii bwana😪
tatizo kubwa anawalazimisha watu kitu ambacho ndo uchumi kua waache bila kuwapa mbada wa kazi nyengine.
Uyu nae anajiona kamaliza analopoka tuu
Mungu anisamehe bure @Lakn huyu jamaa hafai kabisa kuwa kiongozi kwa ngazi husika hivi ajui kama kwa kauli yake hii inaenda kutuongezea ugumu wa Maisha acha jeuri ww maisha hayaendi hivyo
Akili yako ni sawa na ulivyo pewa kazi hiyo unadhani hao wanauza mkaa na kubeba kwa pikipiki wao awahana familia ama kweli Mwnyezi Mungu atu hurumie hivi wewe kama kiongozi uwezi kuongea Pumba kama hizo
Kwahiyo Gas imeshuka bei
Poleni xana wanakisarawe wamewaletea madenge huyo pambaneni nae na chogo lake kana kiazi utamu😂😂😂
kazi ipo
Hao tu waliopo hapo wanaomsikiliza akiwaangalia hali zao wana uwezo wa kumiliki gari la kubebea mkaa au kupikia gesi 😅😅😅 achana na walioko kijijini😅😅😅
Tizama kenya sasa hivi kinachoendelea
Wakishapata vyeo wanajisahau sana hawa , wazazi wake wanapikia nn na hao wenye pikipiki ndio ajira zao naiwakika hii laana Iko siku itakutafuna ,mama mtu gani huyu umetuwekea ????
Rais towa huyo atakuaribia na wananchi wanakupenda towa huyo mpekazi yakulinda getini
Hii inchi hii😢 ipo cku tutachinjana tu sio kwakupelekeshana huku mnatufanya ng'ombe wenu sio
Anza kushusha bei ya gesi kwanza au mwambie huyo alie ku
Kasha sahau uyo
Hiyo ni kuwazibia ridhiki walala hoi hebu kaaa jifikirie tena, watu wanapata iziki kwa kukodishwa kubeba mkaaa hamuwezi kulazimisha watu kutumia Gesi hivi UNAJUA BEI YA GESI,?? kwa nini kutesa wananchi kwenye nchi yao??
Mh. Unachanganya mambo.
Eh Tanzania weee wapi tunaelekea😮
Samaani lakini, hivi Tanzania ni nchi yetu kweli watanzania ama kuna watu binafsi wamejimilikisha na sisi tumekuwa watumwa na ngombe wa kukamuliwa maziwa kupita uwezo wetu wa kuzalisha ama ni nini kinaendelea Tanzania. Hii nchi ni kweli inaendeshwa kwa matakwa na ushauli wa watanzania ama nini? Naishia hapo TU mwenye jibu atanipa mimi sielewi kabisa
Ata gec wagawe Bure tuifate wirayani na baaz ya watu awatoweza Sasa wape ajila awo wa mkaa wa pkpk
Unatafuta kiki
Bora uondoke upelekwe mikoani
Mungu hakukosea kukuumba hvyo ungekuwa mzima ungetesa watu
Usiongelee uumbaji wa MUNGU ndugu,
😂😂😂😂😂😂
Huyu nduze vp
Mnaona mkaa tu viongozi wetu ,maisha ya wananchi aaaha madini kule saivi hakuna kiongozi anasema lolote mbuga zetu za wanyama na vitu vingine aaaah
Katoa wapi hiyo sheria??
Unajifanya mungu mtu uwo mkaa mtakao taufisha mnaenda kusaga juice mywe na ukoo wenu
Kwani hakuna kazi zingine za kufanya mkuu umeona mkaa tu?
ivi mkuu mbona unaongea kibabe ivyo
Huyu jamaa anakurupuka
Siku gesi ikiwa tsh 5000 kwa kale kamtungi kadogo, hata kama kuwa na mkaa upigwe kifungo miaka 50 itakuwa sawa.
Wewe ni kichaa
🥃🍺
Haaaa haaaaa dah! Pikipiki mnawaonea
😂😂😂 kazi munayo naona wananchi wote amjalidhika sura zenu zinaonekana wote hamuna fulaha 😢
Kwa maisha halisi ya watanzania tumekuwa ngombe wa kukamuliwa maziwa kwa wingi kuliko uwezo wetu wa kuzalisha hiyo gesi kuitaja ni raisi TU ila uliza bei utajuwa haunjuwi na ukinuna utatumia muda gani ni tazo. Sasa kwa sheria hizi zinazoumiza watu je wananchi tuna wawakilishi kweli? Kazi ya wabunge ni nini ndani ya bunge
He kwa hiyo maharage makavu tutapikia gesi au
Unaongea kirahisi kwamba utataifisha pikipiki na magari
Mbona mapema sana,?
Kuna saa viongozi wanahisi kila anachowaza huko kwake basi ni sheria.
yaani huyu mkuu wa wilaya angevaa viatu vya wale jamaa wanaobeba mkaa asinheonhea hcho anachosema
Uta anza kuzarauliwa Sasa hivi
Sikupingi lakini hao wasimamizi ndio itakuwa njia ya wao kupata kula
Kuna nin tena jamani!!
Hiki kiwango Niaje 😅
Sasa hapo itakuwaje!!
Huna sifa yakuwa kiongoz
Kiongozi ungefanya uchunguzi wa maisha ya watu vijijini
Ila mchi yetu sasa kunabaaza yawanasiasa wanaipoteza asa mtu ndio kitu kinachomuigizia Hera wew umekaa tu fikilia wee
mbona huja sema ya serikali nayo vipi hujaelekeza mkuu
Mama nae na watu wake jmn
Wananchi wengi wanategemea mkaa itakuaje
Wengi kipato chetu ni kidogo Sana na utafutaji wetu ni mgumu sana. Hapo sheria hiyo ipo kutugandamiza tu sisi wa hali yavchi
Acha tu maisha yamekua magumu Kwa sis Kuna mda tunatamani kuhama nchi
We nae furaha imekzd kiasi unaanza kutafta sifa
Gesi inauzwaje
Achakunyanyasa watu wahali yachini unafikiri familia zawatu hao watakula wapi achakujiona umefika
Ushaleta majiko ya gesi?IPO gesi rahisi?
Kiumweli mkaa kwenye pikipiki ni hatari, unakuta amepakia magumia sita dereva hajakaa sawa ni hatari kwa usalama, au utakuta mwingine kapakia magunia mawili marefu usawa wa gari hatoshi eneo la pikipiki anachukua upande mzima wa barabara gari haziwezi kumpita mwendo wa pikipiki ni mdogo gari linaanza kuhangaika kumpita kutumia upande mwingine wa barabara hiyo yote inasababisha ajali barabarani, tunaweza kufanya ubishi wa kumkosoa kiongozi lakini ukweli unabaki palepale tupende kufata sheria za usalama
Ukiona mtu anabeba mkaa sio kama anapenda bali majukumu yanamlazimu afanye kazi hizo kama Serikali inawahurumia kweli iwakusanye iwape Elimu ya ujasiliamali Kisha iwape mikopo uone kama Kuna ambaye atabeba huo mkaa
We una lopoka sasa gesii sh 4000 mkaaa sh 1000 bas waambie wauzaa gesii wauzeee sh 10000 mtungi mdogo apo saw lakini una zuiya mkaa alafu au wap watu ela ya gesiii sasa sisi tunakuelewajee ww
Uyu kifude kumanyoko zako utaondoka apo
Hahahaha mi nasoma tu comment!!
We unaumwa ,wape ajira acha kujipendekeza,kwa rais,nchi imewashindwa kama mnataka shusha bei ya ges 4:04
Hii nchi bhana asa mfekiria hao wanaobeba kujipatia ridhiki wakafanye kazi Gani au ndo wimbi la wasiona ajili lizid kuongezeka 🚮
Bado zamu yako nawewe utabeba mkaa tu utabebaje uta juwa yutakutwisha mgongoni mpaka useme pooo ngoja kibarua kiishe labda uibe saana
Kumbe ka pumbavu ...kila mtu anauwezo wakukodi gali ivi vilaza mnavitoaga wapi
Viti maalumu
Wee pumbavu unakaa nyumba ya bure,gari ya bure, gas ya kupikia ya bure,watoto wako wanasoma bure mpaka kunya bure navyote ni kodi zetu wananchi leo huna huruma na wanaokulisha usimuige makonda haumuwezi mnatafuta sifa kijinga
Wewe ropoka tu mzazi wako kijijin anatumia ges
Sura bovu kumbe na roho yako
Umekuja kuaribu ccm wewe
Hajashauriwa vizuri
inawezekana katoka usingizi then ndo kaongea utumbo huu
Kupunguza matumizi ya mkaa ni sawa kabisa Kwa ustawi wa mazingira lakini kabla ni vema kuweka mazingira rafiki Ili Kila Mtanzania aweze Kununua gesi.
1. Shusheni bei ya gesi
2. Sapotini nishati mbadala kama artificial mkaa n.k
3. Anzisheni kiwanda Cha majiko yanayotumia pumba za nafaka na maranda ya mbao.
Haujipendi wewe
Sasa jamani tutaishije baba mbona nyinyi watu wangazi za juu mnatunyanyasa watu wachini dar mkaa ndio kila kitu kwasisi wahali ya chini hapo umebugi aise ges tutumie wengine wahali ya chini uwezo huo hatuna
Muheshimiwa magoti Sheria hiyo naona NI dhulma kwa sababu gari la tajiri.tajiri kampa dereva kwa mkataba afate Sheria za nchi dereva hakufuata Sheria kisawni la mvunja Sheria.
Muheshimiwa tazama Sheria usije ukafanya dhulma
Hufai wewe
Kisa yeye anatumia gesi free
Mbona anaongea kama vile tupo UAE hajui kua hapo ni tz
Mbona mkipata madaraka mnajisahi sana nyie