MANENO ya MWISHO ya MAREHEMU DIRECTOR NISHER ALIJIREKODI VIDEO, ALIFUNGUKA KUHUSU MAISHA ANAYOPITIA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ธ.ค. 2023
- MANENO ya MWISHO ya MAREHEMU DIRECTOR NISHER ALIJIREKODI VIDEO, ALIFUNGUKA KUHUSU MAISHA ANAYOPITIA...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Nmemuelewa sana!!!Apumzike kwa Aman!!! Pambana na Muda!!!! Wakati ukifika utakutamburisha wewe ni Nani❤Tufanye Kazi!!! Tuheshim history!!!Nimependa sana Anamaneno yahekhima God bless him huko Alipo🤲
Nimemuelewa Sana ,ana akili Sana, Pumzika kwa Amani Nisher, forever in our hearts
Eeh Mwenyezi Mungu tunakuomba utunusuru na depression na utusaidie ..R.i.p nic devie
Yeah. Mental health is real 😢
Akili nyingi sn . Mungu akuweke pema
A very sad, after learning the demise of nisher, my sincere condolences to his family and friends, may God give them strength this difficult time.
jamani jamani jamani, mimi imani yangu ni kwamba mtu yoyote anayevaa mipete ya ajabu huwa sina imani nae kwamba anaamini katika MUNGU huyu ninaye muamini na mimi, huwa najua kwamba wana miungu yao, kwa hiyo kwa imani yangu najua huyu alikuwa ni wakala wa shetani kupitia hiyo mipete yake. kwa hiyo kifo chake ni mpango wa mungu aliye muabudu yeye. Msininyambe huo ni mtazamo wangu. but all in all rest in peace nick, hukumu ni juu ya MUNGU na sio mwanadamu.
Dhahabu na kila kitu ni chetu... mbingu yenyewe based on our bible fondation yake ni mawe ya thamani..... tusome biblia
Sawa
Umeongea nonsense lakini nia yako ni kutaka attention. Ngoja tukuache na huo ubongo hollow na imani yako ambayo sijui kama hata unaijua 😠 😡
Nice 🎉🎉
utajiri wa hivi mtakufa mno sis yetu macho
Nisher ulimtumikia mungu dunian hukutaka kumtumikia Mungu wa kweli
Uko very judgemental, pole sana.
Usihukumu ili nawe usije ukahukumiwa
Harmonize chizi tu anamponda daimond nakusema aache utoto safi bro R.I.P❤
Kusema,acha utoto Ni uchiz😂!?chiz ww unaekumbatia utoto,rest in peace Nisher
Duh r.ip nisher 🙏
Rip true word bro
Rest in Paradise
Mmmmh, alikuwa hali sembe kweli huyu mwamba? All in all rest in peace bro
Rest in peace bro
Freemason wacha aende zake kapenda Dunia
He had kids where are they😢😢
R.I.P 😢
Kuna uchid benzi nimeuona au VAR yangu imekosea niipeleke kwa fundi
😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅 namuona chid kwa mbaaal
Alikuwa anaumwa nini?
RIP POLEKI WAFIWA
Harmonize huyu mpe vidonge vyake
Was he married
Naisi hajajiuwa hila kanywa pombe kupitiliza
Nani kakuambia amejiua? Endelea na hisia na ujiue wewe.
Amekataza watu wasiongee ila yeye kasema
Why commit suicide😢😢
Pumzika kwa amani
If not having a wife then hr was a womanizer..Okay was he degree holder or what ever😮😮
You are so judgemental and dumb! Ungesikiliza zaidi kuhusu yeye.
Mbna hamutwambii chanzo cha kifo chake
Alijidhuru au kujijeruhi na kitu chenye ncha kali😢
Mbona maneno ya mwisho ni mipasho badala ya kumtaja muumba wake kwa sala au global mmemlisha maneno kama mtu alipewa nafasi ya kuongea neno la mwisho mbona kaongelea vitu vya ajabu haliyakua ni mtoto wa Nabii 😂😂
Kama huku pata elimu ukanga'ng'ania madrasa huwezi muelewa
@@Ericomtz5asante kwa jibu zuri
Acha kashfa ww nyau
Sio maneno ya mwisho hii ni zamani Sana 😅😅
Kama una akil utaelwa ila kama huna huez elewa
Mmhh ya zaman iyo inamiaka mitano iyo clip😂😂😂 nisha wa sasa hakuwa na mwili huo apo alikua na 27 yrz
Ndo nilikua nashangaa mbna kakonda hivi