MILLARD AYO AFIKA KWENYE JUMBA LA BILIONEA MULOKOZI "SIO YA NDOTO ZANGU, ANAKUJA KUKAA MFANYAKAZI"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2024
- EPISODE ONE: Wengi waliniandikia wakitaka kuliona Jumba hili bila kupitishwa harakaharaka tofauti na video nyingi mitandaoni zilivyolionesha, nikwambie tu nimefika hapa na nimehakikisha napita kila kona...
Ni nyumba yenye hadhi ya Presidental ambayo wengi wanaweza kufikiri ndio nyumba ya ndoto zake lakini hapana, mwenyewe anasema hii nyumba ameijenga kwa ajili ya Mfanyakazi wake.
Hii ni episode ya kwanza tu ya kukuonesha jumba lenyewe, episode ya pili ni mahojiano maalum na Mulokozi kujua alikoanzia hadi alipofikia, fanya kubonyeza subscribe kwenye TH-cam ya millardayo kujionea yajayo yanayofurahisha.
Millard we jamaa unajua sana kufanya presentation aiseee hii habari nimeiona kwenye channel kadhaa but the way unavyoipresent now nahisi sijaiona aiseee
ASANTE SANA MARJEBY
very clear kabisa👌
Ngoja nikusaidie kuitaja ilikuwa global tv nikaavhana kuangalia nikasema mzee Millard akienda ntaichek l.Jamaa yuko serious sio wale wenzake
Kabisa jamaa anajua balaaa
Mwijaku yuko wapi hahha😂😂
Aliyegundua hii nyumba imejengwa kwa ajili ya biashara agonge like .coz hii nyumba inaweza pangishwa kwa ajili ya matumizi ya presidential na ikamuingizia pesa nyingi tu kwakuwa huyu ni tajiri mwenye kufikiria Sana ,matajiri huwa hawafanyi vitu kwa makusudi .all in all big up kaka umewainspire matajiri na wachacharikaji wengi
Una Akili sana Mkuu 😅
Kwakweli kwa hili nimejiona mjinga kabisa! Huyu kaka ana aakili jmn 🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Unajidai ndio umefikiliiiiiiiaaaaa acha izo fikilia viwanda na wewe ujenge
This is how the rich stay rich
Hata mwenyewe kasema hivyo hivyo.. itakuwa hukusikia
Mungu amjalie mme wangu na liziki tufike mbali🙏
❤❤
😂😂😂😂unachekesha
Amen
Sema akujalie wewe mwenyewe sio mme wako
Lakini sio hapo
Atukuzwe Mungu milele kwa ajili ya billionaire David Mulokozi. Amina🙏🙏🙏
Wahaya Shikamoo
Na mimi nitjenga nyumba nzuri zaidi ya hii siku moja
Amen and Amen 🙏🙏
Inshallah
In Shaa Allah
Inshallaha ndugu yangu inawezekana kabisa ,usife moyo pambana na hakika Mwenyezi Mungu yu pamoja na wewe daima
InshaaAllah
MashaAllah 🎉🎉🎉tufanye kazi jamani...hatuezi kuwa mabilionea wote,ila tunaweza kuwa na maisha bora
Ma sha Allah, KWENYE vinywaji vya kulevya ....nyie vipi......
Hakika
True
Mulokozi anaonekan si tajir wa Mali tuu hata Moyo mzuri anao the way alivyo humble Mungu ampe zaid na zaid
NI KWELI
Kumbe umeliona?
Hakika
@@millardayoTZAkaka vipi
Mwenyezi mungu akujalie zaidi ya iyo bro✌️ appreciate 🤲🙏 frm 🇿🇦
Milady watu tunakuamini saana unajitofautisha saana na media online zingine salute BROO🙌
ASANTE SANA MARIAM
Hongera sana usisahau kutoa sadaka kanisani
Alie ona Millard anageuza maji ya afya,. ili yaonekane vizuri weka like apa
Maji yenyewe hayanywi kudadeki
Roho mbaya hiyo.
Yaani hilo tu ndo umeona kati ya yote yaliyo onyeshwa???
Vijana tufanye kazi sana kuliko tulivyowahi kufanya maishani. Hatuna muda wa kupoteza kwenye jambo lolote ,wanawake wapo na wanaume wapo ( Starehe zipo ). Pia tumpe Mungu nafasi ya kwanza kabla ya jambo lolote. Hatujui huyu alipataje mali, tumemjua baada ya mafanikio yake. Tufanye kazi. Asante @Millard Ayo , kwa kuwa jicho letu kuona yanayojili duniani.
Unataka kusema tuache kuomba namba za madem
shida siyo kufanya shida ni kuimiliki pesa na namna ya kuisimamia
@@ackshuba8679😂😂😂😂😂
@@francisthomas3289tuna paswa kuwa na adabu na pesa ase maana bila hivyo haya tutayasikia Kama movie
Hongera kaka ww unaishi🤝mvumilivu hula mbivu 👏👏👏
Much inspired by the way the housegirl is being treated in this family. This will give you more payback!
Very true ,In most luxurious home they forget this aspect it was really beautiful to see that .
Kila mpambanaji Mungu uumpa kadili ya juhudi zake hongera Bilioner umeweza umeweza umeweza tena
Millard Ayo unaweza unaweza unaweza tena, yo the best presenter in Tanzania and Abroad, I do like your work🎉
Milad na wewe mungu akupe sikumoja tutaona nyumba yako nzuri sana ..hongera kwa kazi nzuri❤❤❤
Milady watu tunakuamini saana unajitofautisha saana na media online zingine salute BROO🙌 na Uko humble ndo maana hata wanaokupa mahojiano wanakuamini
SHUKRANI MARIAM !! MUCHLOVE
Kipindi nipo chuoni Augustine tulikuwa tunamwiya CR was taifa,tunakupenda na tunakukubali San bro❤
Hongera Sana billionaire Mwenangu Mabilinea Wenzangu tukutane hapa
😂😂😂
Wallah hakia MUNGU MUNGU amuweke huyu baba kwakuona tu chumba cha mfanya kazi wa ndani inaonyesha anaupendo na watu wote bila kuchaguwa ❤️❤️❤️❤️❤️
Nawaza hivi na housegirl wa nyumba hio atakuwa msumbufu pia?😢
Mungu amueke atakuwa na maadui Sasa
@@muslimahbossnetworktz😂😂😂😂😂
@@muslimahbossnetworktzsio rahisi hao huwa wanalipwa pesa ndefu mpaka kuacha kazi unaona hasara
...@@muslimahbossnetworktz...Huwezi kujua , anaweza kufikiria kumpindua mama mwenye nyumba..!..🤣🤣🤣
Bismillah...Masha'allah ...mngu nijaalie. Na. Mimi siku Moja nipate kile ulichokikusudia Kwangu..❤❤.... tupambane. Vijana..uyu Kaka MNGU ampe afya njema na ulinzi wake. ☑️📌
Vitu vya haramu ndiyo zenye pesa
@@aishamsandawe3029 we ndo umesema
Ndiyo huoni ni biashara ya pombe halafu unasema bismilah
@@aishamsandawe3029umesema hivo sababu unajuwa hauwe yamiliki😂😂😂😂😂
Tajiri Yesu akutunze Mr Mlokozi si rahis tajiri kujishusha jaman uzidi kufanikiwa very inspiring
Hii nyumba nzuri mwambie anipatie kazi kwenye kiwanda chake
Shukran Millard ayo na tajiri Kwa kutupa mda wote huo na hajikwez ni mnyenyekevo ishii sana tajiri 🙌
Kaka mulokozii kama utabahatika kupitia hizi comment naomba unisaidie milioni mbili tu nimalizie kukarabatii nyumba ya mama anguuu😢😢
Mi ata milango ndio nmekwama
We acha TU ndugu yangu wengine tualala nje Bora wewe una hi ho kianzio
Acha uombaomba
Hongera xana mulokozi
@@letthedeadburythedead2148 Asantee ndugu
This is Amazing 👏 🙌 😍
Millard Ayo you're the best Presenter,I salute You.
Uyu bro looks humble and I liked the way alivyokuwa anajibu..more grace bro .
Siyo kama mwijaku, gorofa moja kelele nyingi,,wapo watu wenye pesa kama mulokozi, very simple , and inspiring.
Power of money pazia linafunguka kwa umeme aloo tusake ela
Millard ulivyosema "hapa ni wapi" , nkamkumbuka mwl wa matheeee. Hongera sana to this guy... good-hearted and very inspirational
Aiseeeeeeeh aiseeeeeh congratulation my brother milad unajua sanaaa uyo brother aiseee Kama nyumb za wasaniii Kama kris brown Yan mbelee tu kumb ata bongo wapo aiseeee izo furniture Ni balaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤😮😮😮😮
Nimeangalia investors wengi sana. I came to conclusion huyu Mulokozi ana rank top 10 Tanzania for the best mansion lakini at least top 30 in Africa 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Kuna watu wan na mansion ww sem uyu majaa anajua style na decorations that all ukiwa unajua hv vitu vzr ata km unapesa kdg nyumb yakmitakua ya tofaut
❤ huyu jamaa anaishi kama maraika.vijana tutafute pesa
Ukiacha "TBC UKWELI NA UHAKIKA" sasa Tuna "MILLARD AYO UKWELI MTUPU"mimi Binafsi nikisikia kuna habari inayotrend mitandaoni kama nisipoiona Kwa MILLARD AYO Wala ata sihangaiki tena kupoteza Bando Langu MUCH RESPECT BRO MILLARD MIMI NI MMOJA WA VIJANA NINAEKUPENDA SANA 🙏🙏
Big up sana kwa kaka yetu Mulokozi!! You really inspired many young people to become successful just like you💯big up sana kwa Mtu mzima the Rude boi’ kaka Millard Ayo!! Ebwana unaweza sana✊🏾
Eeeh! Mwenyezi Mungu nikumbuke nami unapowapa wengine ufari mkuu namna hii
Achana na ya duniani
From kenya. This is so amazing. Great Content Millard🙏
bless u karibu Tanzania
PAMOJA SANA FRED
Congratulations to Mr David aka Mulokozi.Ninamfahamu 2015 hivi alikuwa na hustle za kawaida sana Arusha.Ni mkristo pia na mpole kama alivyo! Akiona comment hii lazima atavuta hisia akiwa Arusha hicho kipindi cha kujitafuta.
Mungu awabariki watu wote wanaojituma kwa bidii na kumtegemea yeye,,hongera sana kaka mulokozi kwa kazi nzuri
Mungu akupe maisha marefu kaka mulokozi ni mtu mwenye moyo safi na unatupa hamasa vijana
Jmn nimependa sanaaaa kuna watu wanaish mwijaku atulie sasa hii ndio nyumb sasa alf amn makelele meng amn sifa nying neno la mwish tufanye kaz kwa bidii 🎉
😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅
KAZI NZURI MILARD.. TUNAOMBA SIKU MOJA UFANYE MAHOJIANO NA CAMERA MAN WAKO... JAMAA ANACHUA VIDEO KWA VIWANGO VYA JUU SANAAAAAA
ASANTE SANA SONGWE !!
Hii nimeipenda sana
🔥🔥🔥
@@millardayoTZAHi Millard ayo
@@millardayoTZAKAZI nzuri🇰🇪
Mr Mlokozi ! Hongera naendelea kutafakari ukuu wa Mungu kupitia kwako kwa uweza wa Mungu naamini najivika imani hio Mungu attendance kwa wkt songe mbele br
Mungu akuzidishie akupe na afya njema wakwetu akika mungu amejibu maombi yako daaah nimebak mdomo waz kw ela zilizotumika apo kwenye ujenz
To me, it looks like luxury resorts & future luxury air BnB, the owner he's a real visionary man. Congratulations & salut for this incredible investment. Thanks, Millard, for this amazing interview. God bless.
Ma Shaa Allah
He already mention that
Airbnb babati huko porini😂
@@ahz6907 huko ndo sehemu za kupumzika haswa.
Much respect kwako milard pamoja na cameraman wako mungu akuzidishie kipaji na akupe uvumilivu katika kazi zako
Mpeni salam Yule chawa Mwinjaku anaetupigia kelele kajenga nyumba ya 1.3bilion mwambiye Kuna mwamba huku hatar Masha Allah
Dakika ya 19-21. Nilikuwa nasubiri kusikia kwa hamu saana kuhusu music aliyonayo na ameikata kiu yangu nakujua kuwa jamaa ni mtu makini. Hii kitu BOSE LIFESTYLE ni zaidi ya muziki. Bei moto lakini sound quality is a such rejuvenating one. Haina mpinzani
Jmn kuna watu wanaishi nyie hongera mulokozi mungu akubarikii😢😢
Hongera sana Millard kwa interview yenye tija kwetu sote.
Sasa nisaidie nipate namba ya kaka mulokozi anisaidie jambo fulani ktk ushauri.
Kaka Millard kwa kweli hakuna anaeweza kuifikia kazi yako you are the number One.
More congratulations to you and my brother mulokozi
Ifike mahali nimshukur mungu kwa hatua nilonayo.. Na nitafika hutua hii InshaAllah.
Hili ni kasri sio nyumba Mungu amzidishie hii ni motisha itasafanya vijana wafanye kazi kwa bidii angalau kuwa sehemu nzuri ya kulala baada ya kazi
Mungu nipe uvumilivu 🙏🙏🙏niepushe na tamaa najua nitafika tu
Utafika wapi, labda mbinguni!
@@marceljohnkimaty4986 sawa Mungu
Haki ya mama nitafute pesa...unyama unyama unyama mara trillion..glass house my dream house kbla sijafa must kutimiza ndoto zangu ntakua naangalia kipande kila asbh kunitia moyo lazima nipambane...mulokozi asante uninistua nianze mapambano
Mafanikio ni Siri lkn kufanikiwa sio Siri✍️
Tajiri yupo vizuri,angekuwa tajiri mwingine,ungesikia nawahi airport,tutaongea siku nyingine😂😂😂😂🎉
Duh!!!🎉🎉🎉🎉
Nimependa sana alivyo humble hasa pale alipowaambia wale wadada sijui ni wadada wa kazi au veep kwamba "samahani tunataka tuje na huku" yaani katumia lugha nzuri sana.
Watching live from kenya Nrb kweli pesa sabuni ya roho
Kazi nzuri broo ayooo tusake pesa na pongez kwako broo mlokozi Mungu akuzidishie mara mia zaidi
Brother Mulokozi, safi sana, nyumba nzuri yenye thamani kubwa, furniture zenye thamani ya hatari, vito vyenye thamani ya hatari, security ya hali ya juu, kikubwa zaidi ni kwamba you are very cool huna kelele na mtu.
May God bless you, brother.
Dah watu wanaishi ila usichunguze kapata vip 😊😊
Jumba zuri kweli. Exposure pia inasaidia
Hongera sana kaka mulokozi hujatuangusha kabisa,you have inspired many of us.
Uwatenganishe vyumba hao vijana wa kiume.
Ushauri wa bure
Otherwise unanisha kijana wangu.
Pastor Joel Irunde.
He is so blessed, baraka zimepata mtumiaji.. Mungu unikumbuke na Mimi🙏
MUNGU ambariki mulokozi, nimejifunza kitu ngoja tupambane inawezekana Amen
Umejifunza nn
Mungu akuwekee ufurahie maisha ya dunia ..mana amekubalik
Daah, yaani kungekua hamna kufa watu wangekula maisha sana, hiyo tv tu mimi ningekua kwangu
hahaha 😅 lasima watu wakufe na wache via ndunia
Yesu azidi kumtunza na kumfanikisha Amina😊
Sema Millard huwa tunapenda sana na kumiss interview unazozifanya wewe mwenyewe.
Nimefurahia sana hii interview!🎉
Mulokozi Hongera sana sana. Ujenge kila Region Hiyo ni Hardwork and Taste of your choice. W nerd Many Brothers like you.God bless you more and more so you Also Give charity in Billions.
Milard your humbleness will take you higher and higher may God humble you more
much respect mulokozi halafu anaonekana hana majigambo na ni bilionea tunashukuru sana kutuwakilisha kwenye nchi za watu wajue tz pia wanaweza vipi diamond yuko wapi na vicheni vyake ni machinga
😂😂😂et machinga jmn
Jamaa yuko very humble aiseee Mungu ambariki...Nice job Millard❤
Tajiri mungu akuzidhishiye tunataman kuwa kama wew
Hongera kaka Milard Ayo, wewe ni mfano mzuri kwa vijana wote wanaopambana.Kazi nzuri.
Mungu ambariki mulokoz azid kufanya vitu vizur Zaid ila sisi wengne sjui tutafanikiwa Lin maana madeni nimengi sana Kila ukipata pesa zote zinaishia kwenye madeni kaka Millard ayo naomba unisaidie kuongea na brother huwenda akanisaidia mtaji walau kidog na mm nipambane
Daah kwel yote yatapita lakin tuwe realistic coz hata hilo neno lenyewe la MUNGU liko halisi,kuna watu wanaishi kile watu wa MUNGU tulistahili tuishi hapa dunian na huko tunakoamin tutaishi tena tuishi yaliyo juu sana ya viwango tunavyovifikiria,kimsing tupambane umasikini sio tafsiri ya IMANI ya kwel japo najua hatuwez kua wote matajiri kwa ajil ya kufanya maisha kua balanced.Waliofanikiwa yapasa tuwaappreciate tu kuanza kujudge njia walizopitia kupata utajiri ni kudumaza uwezo wetu wa asili tulowekewa na MUNGU katika kupambania viwango bora vya mafanikio yetu.
Mwenyewe karudi kulichkua sai anakodisha 😂
Kabisa
Well said
Kuna watu wanaishi Jaman Mashaallah Mashaallah hongera kaka umetisha
Wallah tena na kuna sisi tunasindikiza tuu😢
😢😢😢😢
Kuna sisi tumekuja kutembea😂😂😂😂
Yaan hatare tz kama mbele
kuna sis tunaojificha😅
Ahsante Mulokozi una jina zuri wazazi walikupa una hela nahekima na ufahamu pia unajua unalofanya Mungu aendelee kukutetea tunataman kuchta hekima yako
Life Alien…
Far more than inspiration🔥,
Millard…apo kwenye vitu zangu🤣 ,
Huu mwaka hee🤝🤝🤝🤝💐💐💐🥀🥀🥀🥀chukua maua yako tajiri
It's the David I know... Bravo bravo Bro! Glory to GOD.
Tajiri yupo Vizuri anaonekana mnyenyekevu kukupa muda wake tu huyo ni Binadamu❤❤
Jamaa is very humble na hii itamwinua zaidi
Nimemwelewwa sana jamaa yuko vizuri sana. Mnyenyekevu, mcha Mungu, ana fikra huru, ana kila sifa ya uzarendo kwa nchi yake, nimeshindwa kumtofautisha na Luge. Big up sana bro. Naomba mawasiliano kuna mambo uweze kunisaidia
Duuh kuna kuishi na kuishia👏👏👏👏👏 hongera sana kwake
Kuishi na kukaa
Kuna wanao ishi duniani na tupo tunao kaa duniani 😂😂😂😂
😂😂
Wadada sasa hapo, mmh Mungu aniepushe na tamaa. Ila Mambo kama haya wanayaeeza wenzetu wazungu, wabongo umetangaza Vita. Mungu aendelee kukusaidia. Millard nampenda huyu kaka, Mungu akutunze na akujalie lililo la kheri na familia yako
Mimi sisemi kitu Basiii 😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏Nashukuru MUNGU Brother David Mulokozi Uliwahi kuniambia ya miyoni kabisa kuhusu kipaji changu na ukanitia Moyo sanaaa MENGINEYO NAPAMBANA HUKU NIKISUBIRIA WAKATI WA MUNGU....... UBARIKIWE SANA MY FRIEND 💪🎸🎤🎹🎺
Much respect Millard Ayo 🙏God bless you from UAE 🇰🇼
So nice nimependa Sana mungu azidi kukulinda akupe Afya njema na family yako, nimependa tu unapenda watt wako so nice, mngekuwa wa baba wote kama huyu jamaa mkatunza tu watt wenu mngetupunguzia mzigo ma single mother na sie tu kafanya maendeleo kama tujenga ata nyumba ya viumba 3😢
Ni kweli my dear ila nikwambie kitu hao watoto sio mzigo kwako ni baraka hizo mungu amekupa
Safi sana kila mtu kapewa na mwenyezi mungu kwa kiasi Apendacho hongera kwa kuwekeza nyumbani TZ
Ivi kama uyu baba ni x wako si😂unaweza jiua 😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂
Muonyesheni mwijaku,,,TV na meza tu milioni 100,,,,c mchezoo na uwasikii wala nn watu km hawa
Awajaj Wala nn
Dah mtu unaweza kumkufuru Mungu jmn SS wengine tunasindikiza wenzetu dunian 😭😭😭 nisamehe Mungu wangu 🙏
Yaan huy baba sizan km Kuna star wa bongo anamfikia
Yan weng n malimbuken lkn huyu kaka very silence 🤐
Mwijaku aje aone pool tu kkkkkkkk maana kile kisima cha uzima 😂😂😂 maneno mengi
Kudadeki tv million 60 jaman up Mr mlokoz💪💪
Inspiration.💯
So nice hongera sana sana ujenzi si rahisi ubarikiwe wote
Millard ayo umetisha sanaa mtu wangu wa nguvu☑️☑️
Alhamdulillah cyo tu kuangalia ila tumejifunza kitu kutoka hapo Allah atujalie umri mrefu wa kuweza kufanya ambavyo atatujaalia kuvifanya na kupata mafanikio.
Mungu ni mwema maishanisafali ndefu
Aisee, sisi tunaopenda nyumba unatufanya tusilale kwa mawazo. Aisee . Hongera Tajiri
Mungu azidi kukubariki Mulokozi usiache kumtegemea Kristo Yeye ndiye kila kitu kwako
Yaani kuoparate system za nyumba tu lazima IT anaejielewa, Mulokozi ni next level 🎉🎉🎉
Your the best when comes to interviews, Millard one day you will come to interview me too in my multimillion mansion in Mwanza, one day and i,ll remind you of this comment
It will happen in the might name of Jesus
@@patrickKitambo amen 🙏 i appreciate