MILLARD AYO AFIKA KWENYE JUMBA LA BILIONEA MULOKOZI "SIO YA NDOTO ZANGU, ANAKUJA KUKAA MFANYAKAZI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2024
  • EPISODE ONE: Wengi waliniandikia wakitaka kuliona Jumba hili bila kupitishwa harakaharaka tofauti na video nyingi mitandaoni zilivyolionesha, nikwambie tu nimefika hapa na nimehakikisha napita kila kona...
    Ni nyumba yenye hadhi ya Presidental ambayo wengi wanaweza kufikiri ndio nyumba ya ndoto zake lakini hapana, mwenyewe anasema hii nyumba ameijenga kwa ajili ya Mfanyakazi wake.
    Hii ni episode ya kwanza tu ya kukuonesha jumba lenyewe, episode ya pili ni mahojiano maalum na Mulokozi kujua alikoanzia hadi alipofikia, fanya kubonyeza subscribe kwenye TH-cam ya millardayo kujionea yajayo yanayofurahisha.

ความคิดเห็น • 1.6K

  • @Marjeby
    @Marjeby 3 หลายเดือนก่อน +288

    Millard we jamaa unajua sana kufanya presentation aiseee hii habari nimeiona kwenye channel kadhaa but the way unavyoipresent now nahisi sijaiona aiseee

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  3 หลายเดือนก่อน +75

      ASANTE SANA MARJEBY

    • @coleinvee3181
      @coleinvee3181 3 หลายเดือนก่อน +4

      very clear kabisa👌

    • @hassanhancha1413
      @hassanhancha1413 3 หลายเดือนก่อน +3

      Ngoja nikusaidie kuitaja ilikuwa global tv nikaavhana kuangalia nikasema mzee Millard akienda ntaichek l.Jamaa yuko serious sio wale wenzake

    • @mdachiog5211
      @mdachiog5211 3 หลายเดือนก่อน +2

      Kabisa jamaa anajua balaaa

    • @shukurudenis8922
      @shukurudenis8922 3 หลายเดือนก่อน +4

      Mwijaku yuko wapi hahha😂😂

  • @user-jk8vs4eh8i
    @user-jk8vs4eh8i 3 หลายเดือนก่อน +68

    Aliyegundua hii nyumba imejengwa kwa ajili ya biashara agonge like .coz hii nyumba inaweza pangishwa kwa ajili ya matumizi ya presidential na ikamuingizia pesa nyingi tu kwakuwa huyu ni tajiri mwenye kufikiria Sana ,matajiri huwa hawafanyi vitu kwa makusudi .all in all big up kaka umewainspire matajiri na wachacharikaji wengi

    • @erickmachua8829
      @erickmachua8829 3 หลายเดือนก่อน +3

      Una Akili sana Mkuu 😅

    • @marianajohn5415
      @marianajohn5415 3 หลายเดือนก่อน

      Kwakweli kwa hili nimejiona mjinga kabisa! Huyu kaka ana aakili jmn 🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻

    • @aziziatumanially424
      @aziziatumanially424 3 หลายเดือนก่อน +2

      Unajidai ndio umefikiliiiiiiiaaaaa acha izo fikilia viwanda na wewe ujenge

    • @palistrofruly
      @palistrofruly 3 หลายเดือนก่อน

      This is how the rich stay rich

    • @badmanno.1650
      @badmanno.1650 3 หลายเดือนก่อน

      Hata mwenyewe kasema hivyo hivyo.. itakuwa hukusikia

  • @samiamazoea9348
    @samiamazoea9348 3 หลายเดือนก่อน +100

    Mungu amjalie mme wangu na liziki tufike mbali🙏

    • @user-lc7lj5lh3d
      @user-lc7lj5lh3d 3 หลายเดือนก่อน +1

      ❤❤

    • @evaristmandilindi6147
      @evaristmandilindi6147 3 หลายเดือนก่อน +3

      😂😂😂😂unachekesha

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 หลายเดือนก่อน

      Amen

    • @pilichuli4449
      @pilichuli4449 3 หลายเดือนก่อน +1

      Sema akujalie wewe mwenyewe sio mme wako

    • @meshacksway866
      @meshacksway866 3 หลายเดือนก่อน

      Lakini sio hapo

  • @deogratiuslwamboya4032
    @deogratiuslwamboya4032 3 หลายเดือนก่อน +52

    Atukuzwe Mungu milele kwa ajili ya billionaire David Mulokozi. Amina🙏🙏🙏

    • @nururaymond5
      @nururaymond5 หลายเดือนก่อน

      Wahaya Shikamoo

  • @augustinofifi
    @augustinofifi 3 หลายเดือนก่อน +166

    Na mimi nitjenga nyumba nzuri zaidi ya hii siku moja

    • @mauwashadrack8624
      @mauwashadrack8624 3 หลายเดือนก่อน +3

      Amen and Amen 🙏🙏

    • @ReshimaAbdalla
      @ReshimaAbdalla 3 หลายเดือนก่อน +3

      Inshallah

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 3 หลายเดือนก่อน +3

      In Shaa Allah

    • @user-un5bo6ks1q
      @user-un5bo6ks1q 3 หลายเดือนก่อน +1

      Inshallaha ndugu yangu inawezekana kabisa ,usife moyo pambana na hakika Mwenyezi Mungu yu pamoja na wewe daima

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 3 หลายเดือนก่อน +1

      InshaaAllah

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 หลายเดือนก่อน +78

    MashaAllah 🎉🎉🎉tufanye kazi jamani...hatuezi kuwa mabilionea wote,ila tunaweza kuwa na maisha bora

    • @hassanussein1817
      @hassanussein1817 3 หลายเดือนก่อน

      Ma sha Allah, KWENYE vinywaji vya kulevya ....nyie vipi......

    • @ndiiyolazaro1125
      @ndiiyolazaro1125 3 หลายเดือนก่อน

      Hakika

    • @sophyodago5062
      @sophyodago5062 3 หลายเดือนก่อน

      True

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 3 หลายเดือนก่อน +108

    Mulokozi anaonekan si tajir wa Mali tuu hata Moyo mzuri anao the way alivyo humble Mungu ampe zaid na zaid

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  3 หลายเดือนก่อน +11

      NI KWELI

    • @edinaleonidace5523
      @edinaleonidace5523 3 หลายเดือนก่อน +2

      Kumbe umeliona?

    • @ndiiyolazaro1125
      @ndiiyolazaro1125 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hakika

    • @zuanshimchina2278
      @zuanshimchina2278 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@millardayoTZAkaka vipi

    • @user-vu9ee7yg1j
      @user-vu9ee7yg1j 3 หลายเดือนก่อน

      Mwenyezi mungu akujalie zaidi ya iyo bro✌️ appreciate 🤲🙏 frm 🇿🇦

  • @mariamhamad7624
    @mariamhamad7624 3 หลายเดือนก่อน +37

    Milady watu tunakuamini saana unajitofautisha saana na media online zingine salute BROO🙌

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  3 หลายเดือนก่อน +8

      ASANTE SANA MARIAM

  • @MoringiElsa
    @MoringiElsa 3 หลายเดือนก่อน +26

    Hongera sana usisahau kutoa sadaka kanisani

  • @user-lw7sy2gy9d
    @user-lw7sy2gy9d 3 หลายเดือนก่อน +87

    Alie ona Millard anageuza maji ya afya,. ili yaonekane vizuri weka like apa

    • @saidseleman3269
      @saidseleman3269 3 หลายเดือนก่อน +1

      Maji yenyewe hayanywi kudadeki

    • @giressentumwa6906
      @giressentumwa6906 2 หลายเดือนก่อน

      Roho mbaya hiyo.
      Yaani hilo tu ndo umeona kati ya yote yaliyo onyeshwa???

  • @OteshaTime_Services
    @OteshaTime_Services 3 หลายเดือนก่อน +54

    Vijana tufanye kazi sana kuliko tulivyowahi kufanya maishani. Hatuna muda wa kupoteza kwenye jambo lolote ,wanawake wapo na wanaume wapo ( Starehe zipo ). Pia tumpe Mungu nafasi ya kwanza kabla ya jambo lolote. Hatujui huyu alipataje mali, tumemjua baada ya mafanikio yake. Tufanye kazi. Asante @Millard Ayo , kwa kuwa jicho letu kuona yanayojili duniani.

    • @ackshuba8679
      @ackshuba8679 3 หลายเดือนก่อน +3

      Unataka kusema tuache kuomba namba za madem

    • @francisthomas3289
      @francisthomas3289 3 หลายเดือนก่อน +2

      shida siyo kufanya shida ni kuimiliki pesa na namna ya kuisimamia

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@ackshuba8679😂😂😂😂😂

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@francisthomas3289tuna paswa kuwa na adabu na pesa ase maana bila hivyo haya tutayasikia Kama movie

    • @user-uc1fj9wg6n
      @user-uc1fj9wg6n 3 หลายเดือนก่อน +2

      Hongera kaka ww unaishi🤝mvumilivu hula mbivu 👏👏👏

  • @francismkini5963
    @francismkini5963 3 หลายเดือนก่อน +64

    Much inspired by the way the housegirl is being treated in this family. This will give you more payback!

    • @AlineWamishi
      @AlineWamishi 3 หลายเดือนก่อน +5

      Very true ,In most luxurious home they forget this aspect it was really beautiful to see that .

  • @castoriarogatus3675
    @castoriarogatus3675 3 หลายเดือนก่อน +22

    Kila mpambanaji Mungu uumpa kadili ya juhudi zake hongera Bilioner umeweza umeweza umeweza tena

  • @daisynyerere5730
    @daisynyerere5730 3 หลายเดือนก่อน +3

    Millard Ayo unaweza unaweza unaweza tena, yo the best presenter in Tanzania and Abroad, I do like your work🎉

  • @evaakyoo3009
    @evaakyoo3009 2 หลายเดือนก่อน +4

    Milad na wewe mungu akupe sikumoja tutaona nyumba yako nzuri sana ..hongera kwa kazi nzuri❤❤❤

  • @mariamhamad7624
    @mariamhamad7624 3 หลายเดือนก่อน +14

    Milady watu tunakuamini saana unajitofautisha saana na media online zingine salute BROO🙌 na Uko humble ndo maana hata wanaokupa mahojiano wanakuamini

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  3 หลายเดือนก่อน +2

      SHUKRANI MARIAM !! MUCHLOVE

    • @user-zr8dj5xj1q
      @user-zr8dj5xj1q 3 หลายเดือนก่อน

      Kipindi nipo chuoni Augustine tulikuwa tunamwiya CR was taifa,tunakupenda na tunakukubali San bro❤

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 2 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera Sana billionaire Mwenangu Mabilinea Wenzangu tukutane hapa
    😂😂😂

  • @kanezajoella6663
    @kanezajoella6663 3 หลายเดือนก่อน +25

    Wallah hakia MUNGU MUNGU amuweke huyu baba kwakuona tu chumba cha mfanya kazi wa ndani inaonyesha anaupendo na watu wote bila kuchaguwa ❤️❤️❤️❤️❤️

    • @muslimahbossnetworktz
      @muslimahbossnetworktz 3 หลายเดือนก่อน +3

      Nawaza hivi na housegirl wa nyumba hio atakuwa msumbufu pia?😢

    • @joycekaguo8476
      @joycekaguo8476 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu amueke atakuwa na maadui Sasa

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@muslimahbossnetworktz😂😂😂😂😂

    • @user-ok9yn2ze9g
      @user-ok9yn2ze9g 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@muslimahbossnetworktzsio rahisi hao huwa wanalipwa pesa ndefu mpaka kuacha kazi unaona hasara

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 3 หลายเดือนก่อน +2

      ...​@@muslimahbossnetworktz...Huwezi kujua , anaweza kufikiria kumpindua mama mwenye nyumba..!..🤣🤣🤣

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 3 หลายเดือนก่อน +17

    Bismillah...Masha'allah ...mngu nijaalie. Na. Mimi siku Moja nipate kile ulichokikusudia Kwangu..❤❤.... tupambane. Vijana..uyu Kaka MNGU ampe afya njema na ulinzi wake. ☑️📌

    • @aishamsandawe3029
      @aishamsandawe3029 3 หลายเดือนก่อน +1

      Vitu vya haramu ndiyo zenye pesa

    • @ZalhathamohdSaid-qn4jj
      @ZalhathamohdSaid-qn4jj 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@aishamsandawe3029 we ndo umesema

    • @aishamsandawe3029
      @aishamsandawe3029 3 หลายเดือนก่อน

      Ndiyo huoni ni biashara ya pombe halafu unasema bismilah

    • @giressentumwa6906
      @giressentumwa6906 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@aishamsandawe3029umesema hivo sababu unajuwa hauwe yamiliki😂😂😂😂😂

  • @jacklineminja2022
    @jacklineminja2022 3 หลายเดือนก่อน +17

    Tajiri Yesu akutunze Mr Mlokozi si rahis tajiri kujishusha jaman uzidi kufanikiwa very inspiring

  • @dottomarikatv780
    @dottomarikatv780 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hii nyumba nzuri mwambie anipatie kazi kwenye kiwanda chake

  • @emmaemmanuel2844
    @emmaemmanuel2844 3 หลายเดือนก่อน +14

    Shukran Millard ayo na tajiri Kwa kutupa mda wote huo na hajikwez ni mnyenyekevo ishii sana tajiri 🙌

  • @hamisaally968
    @hamisaally968 3 หลายเดือนก่อน +76

    Kaka mulokozii kama utabahatika kupitia hizi comment naomba unisaidie milioni mbili tu nimalizie kukarabatii nyumba ya mama anguuu😢😢

    • @user-vd2lm9ng1g
      @user-vd2lm9ng1g 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mi ata milango ndio nmekwama

    • @user-xz9zg2yk6m
      @user-xz9zg2yk6m 3 หลายเดือนก่อน +1

      We acha TU ndugu yangu wengine tualala nje Bora wewe una hi ho kianzio

    • @letthedeadburythedead2148
      @letthedeadburythedead2148 3 หลายเดือนก่อน +4

      Acha uombaomba

    • @user-ux6hg1xb1e
      @user-ux6hg1xb1e 3 หลายเดือนก่อน

      Hongera xana mulokozi

    • @hamisaally968
      @hamisaally968 3 หลายเดือนก่อน

      @@letthedeadburythedead2148 Asantee ndugu

  • @giftwandi3918
    @giftwandi3918 3 หลายเดือนก่อน +27

    This is Amazing 👏 🙌 😍
    Millard Ayo you're the best Presenter,I salute You.

  • @abraham92268
    @abraham92268 3 หลายเดือนก่อน +12

    Uyu bro looks humble and I liked the way alivyokuwa anajibu..more grace bro .
    Siyo kama mwijaku, gorofa moja kelele nyingi,,wapo watu wenye pesa kama mulokozi, very simple , and inspiring.

  • @upendosalimu2050
    @upendosalimu2050 3 หลายเดือนก่อน +22

    Power of money pazia linafunguka kwa umeme aloo tusake ela

  • @forgottengaze
    @forgottengaze 3 หลายเดือนก่อน +7

    Millard ulivyosema "hapa ni wapi" , nkamkumbuka mwl wa matheeee. Hongera sana to this guy... good-hearted and very inspirational

  • @user-kp5xd7wx5r
    @user-kp5xd7wx5r 3 หลายเดือนก่อน +8

    Aiseeeeeeeh aiseeeeeh congratulation my brother milad unajua sanaaa uyo brother aiseee Kama nyumb za wasaniii Kama kris brown Yan mbelee tu kumb ata bongo wapo aiseeee izo furniture Ni balaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤😮😮😮😮

  • @missdija4959
    @missdija4959 3 หลายเดือนก่อน +3

    Nimeangalia investors wengi sana. I came to conclusion huyu Mulokozi ana rank top 10 Tanzania for the best mansion lakini at least top 30 in Africa 🙌🏽🙌🏽🙌🏽

    • @RiddoRiddo-jj1bx
      @RiddoRiddo-jj1bx 3 หลายเดือนก่อน

      Kuna watu wan na mansion ww sem uyu majaa anajua style na decorations that all ukiwa unajua hv vitu vzr ata km unapesa kdg nyumb yakmitakua ya tofaut

  • @CNM-hw1ns
    @CNM-hw1ns 3 หลายเดือนก่อน +8

    ❤ huyu jamaa anaishi kama maraika.vijana tutafute pesa

  • @talents7934
    @talents7934 3 หลายเดือนก่อน +24

    Ukiacha "TBC UKWELI NA UHAKIKA" sasa Tuna "MILLARD AYO UKWELI MTUPU"mimi Binafsi nikisikia kuna habari inayotrend mitandaoni kama nisipoiona Kwa MILLARD AYO Wala ata sihangaiki tena kupoteza Bando Langu MUCH RESPECT BRO MILLARD MIMI NI MMOJA WA VIJANA NINAEKUPENDA SANA 🙏🙏

  • @kennyraphael9839
    @kennyraphael9839 3 หลายเดือนก่อน +24

    Big up sana kwa kaka yetu Mulokozi!! You really inspired many young people to become successful just like you💯big up sana kwa Mtu mzima the Rude boi’ kaka Millard Ayo!! Ebwana unaweza sana✊🏾

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 3 หลายเดือนก่อน +12

    Eeeh! Mwenyezi Mungu nikumbuke nami unapowapa wengine ufari mkuu namna hii

  • @fredohhkrop
    @fredohhkrop 3 หลายเดือนก่อน +55

    From kenya. This is so amazing. Great Content Millard🙏

  • @sadikijani4307
    @sadikijani4307 3 หลายเดือนก่อน +10

    Congratulations to Mr David aka Mulokozi.Ninamfahamu 2015 hivi alikuwa na hustle za kawaida sana Arusha.Ni mkristo pia na mpole kama alivyo! Akiona comment hii lazima atavuta hisia akiwa Arusha hicho kipindi cha kujitafuta.

  • @user-cn7fh8if3o
    @user-cn7fh8if3o 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu awabariki watu wote wanaojituma kwa bidii na kumtegemea yeye,,hongera sana kaka mulokozi kwa kazi nzuri

  • @user-yx6yb4dj9b
    @user-yx6yb4dj9b 3 หลายเดือนก่อน +12

    Mungu akupe maisha marefu kaka mulokozi ni mtu mwenye moyo safi na unatupa hamasa vijana

  • @Happy-tx7p
    @Happy-tx7p 3 หลายเดือนก่อน +13

    Jmn nimependa sanaaaa kuna watu wanaish mwijaku atulie sasa hii ndio nyumb sasa alf amn makelele meng amn sifa nying neno la mwish tufanye kaz kwa bidii 🎉

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅

  • @songweairport7602
    @songweairport7602 3 หลายเดือนก่อน +92

    KAZI NZURI MILARD.. TUNAOMBA SIKU MOJA UFANYE MAHOJIANO NA CAMERA MAN WAKO... JAMAA ANACHUA VIDEO KWA VIWANGO VYA JUU SANAAAAAA

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  3 หลายเดือนก่อน +11

      ASANTE SANA SONGWE !!

    • @rajabupetermoses7338
      @rajabupetermoses7338 3 หลายเดือนก่อน +2

      Hii nimeipenda sana

    • @tafutampenzi1653
      @tafutampenzi1653 3 หลายเดือนก่อน

      🔥🔥🔥

    • @chepkirui-vn1bu
      @chepkirui-vn1bu 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@millardayoTZAHi Millard ayo

    • @chepkirui-vn1bu
      @chepkirui-vn1bu 3 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@millardayoTZAKAZI nzuri🇰🇪

  • @jobleynewtonanyimike9161
    @jobleynewtonanyimike9161 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mr Mlokozi ! Hongera naendelea kutafakari ukuu wa Mungu kupitia kwako kwa uweza wa Mungu naamini najivika imani hio Mungu attendance kwa wkt songe mbele br

  • @user-nj8gu4yx9j
    @user-nj8gu4yx9j 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akuzidishie akupe na afya njema wakwetu akika mungu amejibu maombi yako daaah nimebak mdomo waz kw ela zilizotumika apo kwenye ujenz

  • @razackndeze-pv5bm
    @razackndeze-pv5bm 3 หลายเดือนก่อน +50

    To me, it looks like luxury resorts & future luxury air BnB, the owner he's a real visionary man. Congratulations & salut for this incredible investment. Thanks, Millard, for this amazing interview. God bless.

    • @user-tt3lx7ly2m
      @user-tt3lx7ly2m 3 หลายเดือนก่อน

      Ma Shaa Allah

    • @Juke995
      @Juke995 3 หลายเดือนก่อน +2

      He already mention that

    • @MALDINIMALYYA-nd6lt
      @MALDINIMALYYA-nd6lt 3 หลายเดือนก่อน

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 หลายเดือนก่อน

      Airbnb babati huko porini😂

    • @razackndeze-pv5bm
      @razackndeze-pv5bm 3 หลายเดือนก่อน

      @@ahz6907 huko ndo sehemu za kupumzika haswa.

  • @muhii63
    @muhii63 3 หลายเดือนก่อน +39

    Much respect kwako milard pamoja na cameraman wako mungu akuzidishie kipaji na akupe uvumilivu katika kazi zako

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mpeni salam Yule chawa Mwinjaku anaetupigia kelele kajenga nyumba ya 1.3bilion mwambiye Kuna mwamba huku hatar Masha Allah

  • @abelg2488
    @abelg2488 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dakika ya 19-21. Nilikuwa nasubiri kusikia kwa hamu saana kuhusu music aliyonayo na ameikata kiu yangu nakujua kuwa jamaa ni mtu makini. Hii kitu BOSE LIFESTYLE ni zaidi ya muziki. Bei moto lakini sound quality is a such rejuvenating one. Haina mpinzani

  • @sharifasaidy6399
    @sharifasaidy6399 3 หลายเดือนก่อน +8

    Jmn kuna watu wanaishi nyie hongera mulokozi mungu akubarikii😢😢

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 3 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana Millard kwa interview yenye tija kwetu sote.
    Sasa nisaidie nipate namba ya kaka mulokozi anisaidie jambo fulani ktk ushauri.
    Kaka Millard kwa kweli hakuna anaeweza kuifikia kazi yako you are the number One.
    More congratulations to you and my brother mulokozi

  • @agnesngasa-ig5xw
    @agnesngasa-ig5xw 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ifike mahali nimshukur mungu kwa hatua nilonayo.. Na nitafika hutua hii InshaAllah.

  • @mamt7489
    @mamt7489 3 หลายเดือนก่อน +7

    Hili ni kasri sio nyumba Mungu amzidishie hii ni motisha itasafanya vijana wafanye kazi kwa bidii angalau kuwa sehemu nzuri ya kulala baada ya kazi

  • @Daniella249
    @Daniella249 3 หลายเดือนก่อน +9

    Mungu nipe uvumilivu 🙏🙏🙏niepushe na tamaa najua nitafika tu

    • @marceljohnkimaty4986
      @marceljohnkimaty4986 หลายเดือนก่อน

      Utafika wapi, labda mbinguni!

    • @Daniella249
      @Daniella249 หลายเดือนก่อน

      @@marceljohnkimaty4986 sawa Mungu

  • @brendazayumba235
    @brendazayumba235 3 หลายเดือนก่อน +4

    Haki ya mama nitafute pesa...unyama unyama unyama mara trillion..glass house my dream house kbla sijafa must kutimiza ndoto zangu ntakua naangalia kipande kila asbh kunitia moyo lazima nipambane...mulokozi asante uninistua nianze mapambano

    • @msafirimaulidi5054
      @msafirimaulidi5054 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mafanikio ni Siri lkn kufanikiwa sio Siri✍️

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tajiri yupo vizuri,angekuwa tajiri mwingine,ungesikia nawahi airport,tutaongea siku nyingine😂😂😂😂🎉

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 3 หลายเดือนก่อน +1

    Duh!!!🎉🎉🎉🎉
    Nimependa sana alivyo humble hasa pale alipowaambia wale wadada sijui ni wadada wa kazi au veep kwamba "samahani tunataka tuje na huku" yaani katumia lugha nzuri sana.

  • @abiudwamalwa8180
    @abiudwamalwa8180 3 หลายเดือนก่อน +10

    Watching live from kenya Nrb kweli pesa sabuni ya roho

  • @user-kw6zo8tt5g
    @user-kw6zo8tt5g 3 หลายเดือนก่อน +8

    Kazi nzuri broo ayooo tusake pesa na pongez kwako broo mlokozi Mungu akuzidishie mara mia zaidi

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 3 หลายเดือนก่อน +2

    Brother Mulokozi, safi sana, nyumba nzuri yenye thamani kubwa, furniture zenye thamani ya hatari, vito vyenye thamani ya hatari, security ya hali ya juu, kikubwa zaidi ni kwamba you are very cool huna kelele na mtu.
    May God bless you, brother.

  • @kambiyusufu2776
    @kambiyusufu2776 3 หลายเดือนก่อน +2

    Dah watu wanaishi ila usichunguze kapata vip 😊😊

  • @explorewithbertin
    @explorewithbertin 3 หลายเดือนก่อน +13

    Jumba zuri kweli. Exposure pia inasaidia

  • @jovinathasavoie8018
    @jovinathasavoie8018 3 หลายเดือนก่อน +17

    Hongera sana kaka mulokozi hujatuangusha kabisa,you have inspired many of us.

  • @joelirunde2823
    @joelirunde2823 20 วันที่ผ่านมา

    Uwatenganishe vyumba hao vijana wa kiume.
    Ushauri wa bure
    Otherwise unanisha kijana wangu.
    Pastor Joel Irunde.

  • @magrethmwanga15
    @magrethmwanga15 3 หลายเดือนก่อน +1

    He is so blessed, baraka zimepata mtumiaji.. Mungu unikumbuke na Mimi🙏

  • @jacksonpriva7664
    @jacksonpriva7664 3 หลายเดือนก่อน +6

    MUNGU ambariki mulokozi, nimejifunza kitu ngoja tupambane inawezekana Amen

  • @joycekaguo8476
    @joycekaguo8476 3 หลายเดือนก่อน +8

    Mungu akuwekee ufurahie maisha ya dunia ..mana amekubalik

  • @user-ci8zd6ij7c
    @user-ci8zd6ij7c 3 หลายเดือนก่อน +5

    Daah, yaani kungekua hamna kufa watu wangekula maisha sana, hiyo tv tu mimi ningekua kwangu

    • @evansokemwa6587
      @evansokemwa6587 3 หลายเดือนก่อน

      hahaha 😅 lasima watu wakufe na wache via ndunia

  • @einotilarashi6178
    @einotilarashi6178 หลายเดือนก่อน

    Yesu azidi kumtunza na kumfanikisha Amina😊

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 3 หลายเดือนก่อน +4

    Sema Millard huwa tunapenda sana na kumiss interview unazozifanya wewe mwenyewe.
    Nimefurahia sana hii interview!🎉

  • @bharyasarbjit1187
    @bharyasarbjit1187 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mulokozi Hongera sana sana. Ujenge kila Region Hiyo ni Hardwork and Taste of your choice. W nerd Many Brothers like you.God bless you more and more so you Also Give charity in Billions.

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 3 หลายเดือนก่อน +5

    Milard your humbleness will take you higher and higher may God humble you more

  • @user-yj5sz9tl2b
    @user-yj5sz9tl2b 3 หลายเดือนก่อน +1

    much respect mulokozi halafu anaonekana hana majigambo na ni bilionea tunashukuru sana kutuwakilisha kwenye nchi za watu wajue tz pia wanaweza vipi diamond yuko wapi na vicheni vyake ni machinga

  • @suzan4200
    @suzan4200 3 หลายเดือนก่อน +6

    Jamaa yuko very humble aiseee Mungu ambariki...Nice job Millard❤

  • @victamacha5526
    @victamacha5526 3 หลายเดือนก่อน +26

    Tajiri mungu akuzidhishiye tunataman kuwa kama wew

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera kaka Milard Ayo, wewe ni mfano mzuri kwa vijana wote wanaopambana.Kazi nzuri.

  • @LucasEvodi-xj1of
    @LucasEvodi-xj1of 12 วันที่ผ่านมา

    Mungu ambariki mulokoz azid kufanya vitu vizur Zaid ila sisi wengne sjui tutafanikiwa Lin maana madeni nimengi sana Kila ukipata pesa zote zinaishia kwenye madeni kaka Millard ayo naomba unisaidie kuongea na brother huwenda akanisaidia mtaji walau kidog na mm nipambane

  • @mathewben9983
    @mathewben9983 3 หลายเดือนก่อน +49

    Daah kwel yote yatapita lakin tuwe realistic coz hata hilo neno lenyewe la MUNGU liko halisi,kuna watu wanaishi kile watu wa MUNGU tulistahili tuishi hapa dunian na huko tunakoamin tutaishi tena tuishi yaliyo juu sana ya viwango tunavyovifikiria,kimsing tupambane umasikini sio tafsiri ya IMANI ya kwel japo najua hatuwez kua wote matajiri kwa ajil ya kufanya maisha kua balanced.Waliofanikiwa yapasa tuwaappreciate tu kuanza kujudge njia walizopitia kupata utajiri ni kudumaza uwezo wetu wa asili tulowekewa na MUNGU katika kupambania viwango bora vya mafanikio yetu.

    • @badifundi6089
      @badifundi6089 3 หลายเดือนก่อน

      Mwenyewe karudi kulichkua sai anakodisha 😂

    • @neemakessy7527
      @neemakessy7527 3 หลายเดือนก่อน

      Kabisa

    • @user-hz7gb5sm9w
      @user-hz7gb5sm9w 3 หลายเดือนก่อน

      Well said

  • @bintabou828
    @bintabou828 3 หลายเดือนก่อน +16

    Kuna watu wanaishi Jaman Mashaallah Mashaallah hongera kaka umetisha

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 3 หลายเดือนก่อน

      Wallah tena na kuna sisi tunasindikiza tuu😢

    • @uchebetz7284
      @uchebetz7284 3 หลายเดือนก่อน

      😢😢😢😢

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 3 หลายเดือนก่อน

      Kuna sisi tumekuja kutembea😂😂😂😂

    • @salmabamba2751
      @salmabamba2751 2 หลายเดือนก่อน

      Yaan hatare tz kama mbele

    • @nevaloya9460
      @nevaloya9460 หลายเดือนก่อน

      kuna sis tunaojificha😅

  • @joysempiluka9846
    @joysempiluka9846 3 หลายเดือนก่อน +4

    Ahsante Mulokozi una jina zuri wazazi walikupa una hela nahekima na ufahamu pia unajua unalofanya Mungu aendelee kukutetea tunataman kuchta hekima yako

  • @festomsechu
    @festomsechu 19 วันที่ผ่านมา

    Life Alien…
    Far more than inspiration🔥,
    Millard…apo kwenye vitu zangu🤣 ,

  • @ZAMB334
    @ZAMB334 3 หลายเดือนก่อน +7

    Huu mwaka hee🤝🤝🤝🤝💐💐💐🥀🥀🥀🥀chukua maua yako tajiri

  • @agnessinga8222
    @agnessinga8222 3 หลายเดือนก่อน +18

    It's the David I know... Bravo bravo Bro! Glory to GOD.

  • @jerrymassawe1561
    @jerrymassawe1561 3 หลายเดือนก่อน +12

    Tajiri yupo Vizuri anaonekana mnyenyekevu kukupa muda wake tu huyo ni Binadamu❤❤

  • @katarinachristopher8562
    @katarinachristopher8562 3 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa is very humble na hii itamwinua zaidi

  • @mafikiritwinzi8856
    @mafikiritwinzi8856 2 หลายเดือนก่อน

    Nimemwelewwa sana jamaa yuko vizuri sana. Mnyenyekevu, mcha Mungu, ana fikra huru, ana kila sifa ya uzarendo kwa nchi yake, nimeshindwa kumtofautisha na Luge. Big up sana bro. Naomba mawasiliano kuna mambo uweze kunisaidia

  • @user-dk4pt6lo7q
    @user-dk4pt6lo7q 3 หลายเดือนก่อน +22

    Duuh kuna kuishi na kuishia👏👏👏👏👏 hongera sana kwake

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 3 หลายเดือนก่อน +3

      Kuishi na kukaa
      Kuna wanao ishi duniani na tupo tunao kaa duniani 😂😂😂😂

    • @saadashoje313
      @saadashoje313 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂

  • @user-xc4or2vp6l
    @user-xc4or2vp6l 3 หลายเดือนก่อน

    Wadada sasa hapo, mmh Mungu aniepushe na tamaa. Ila Mambo kama haya wanayaeeza wenzetu wazungu, wabongo umetangaza Vita. Mungu aendelee kukusaidia. Millard nampenda huyu kaka, Mungu akutunze na akujalie lililo la kheri na familia yako

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi sisemi kitu Basiii 😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏Nashukuru MUNGU Brother David Mulokozi Uliwahi kuniambia ya miyoni kabisa kuhusu kipaji changu na ukanitia Moyo sanaaa MENGINEYO NAPAMBANA HUKU NIKISUBIRIA WAKATI WA MUNGU....... UBARIKIWE SANA MY FRIEND 💪🎸🎤🎹🎺

  • @haleemaoman8389
    @haleemaoman8389 3 หลายเดือนก่อน +10

    Much respect Millard Ayo 🙏God bless you from UAE 🇰🇼

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 3 หลายเดือนก่อน +6

    So nice nimependa Sana mungu azidi kukulinda akupe Afya njema na family yako, nimependa tu unapenda watt wako so nice, mngekuwa wa baba wote kama huyu jamaa mkatunza tu watt wenu mngetupunguzia mzigo ma single mother na sie tu kafanya maendeleo kama tujenga ata nyumba ya viumba 3😢

    • @anneedward3673
      @anneedward3673 3 หลายเดือนก่อน +2

      Ni kweli my dear ila nikwambie kitu hao watoto sio mzigo kwako ni baraka hizo mungu amekupa

  • @videralfred8889
    @videralfred8889 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana kila mtu kapewa na mwenyezi mungu kwa kiasi Apendacho hongera kwa kuwekeza nyumbani TZ

  • @user-tv2rm6ux8y
    @user-tv2rm6ux8y 3 หลายเดือนก่อน +5

    Ivi kama uyu baba ni x wako si😂unaweza jiua 😂😂😂😂😂

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 3 หลายเดือนก่อน +44

    Muonyesheni mwijaku,,,TV na meza tu milioni 100,,,,c mchezoo na uwasikii wala nn watu km hawa

    • @joycekaguo8476
      @joycekaguo8476 3 หลายเดือนก่อน

      Awajaj Wala nn

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de 3 หลายเดือนก่อน +6

      Dah mtu unaweza kumkufuru Mungu jmn SS wengine tunasindikiza wenzetu dunian 😭😭😭 nisamehe Mungu wangu 🙏

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 3 หลายเดือนก่อน +7

      Yaan huy baba sizan km Kuna star wa bongo anamfikia

    • @user-hs2jn9jb9v
      @user-hs2jn9jb9v 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yan weng n malimbuken lkn huyu kaka very silence 🤐

    • @yama_virginhairthequeen1065
      @yama_virginhairthequeen1065 3 หลายเดือนก่อน +5

      Mwijaku aje aone pool tu kkkkkkkk maana kile kisima cha uzima 😂😂😂 maneno mengi

  • @user-uw4pu9nm1u
    @user-uw4pu9nm1u 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kudadeki tv million 60 jaman up Mr mlokoz💪💪

  • @user-ht7qh7zk8q
    @user-ht7qh7zk8q 3 หลายเดือนก่อน +10

    Inspiration.💯

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 3 หลายเดือนก่อน +5

    So nice hongera sana sana ujenzi si rahisi ubarikiwe wote

  • @user-uw4pu9nm1u
    @user-uw4pu9nm1u 3 หลายเดือนก่อน +2

    Millard ayo umetisha sanaa mtu wangu wa nguvu☑️☑️

  • @user-vn8rf6qy9q
    @user-vn8rf6qy9q 3 หลายเดือนก่อน +1

    Alhamdulillah cyo tu kuangalia ila tumejifunza kitu kutoka hapo Allah atujalie umri mrefu wa kuweza kufanya ambavyo atatujaalia kuvifanya na kupata mafanikio.

  • @StephanoDaniel-es5tv
    @StephanoDaniel-es5tv 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu ni mwema maishanisafali ndefu

  • @user-nt8nc4pf7b
    @user-nt8nc4pf7b 3 หลายเดือนก่อน +8

    Aisee, sisi tunaopenda nyumba unatufanya tusilale kwa mawazo. Aisee . Hongera Tajiri

  • @hellenlimo3208
    @hellenlimo3208 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu azidi kukubariki Mulokozi usiache kumtegemea Kristo Yeye ndiye kila kitu kwako

  • @mtuithomson9515
    @mtuithomson9515 หลายเดือนก่อน

    Yaani kuoparate system za nyumba tu lazima IT anaejielewa, Mulokozi ni next level 🎉🎉🎉

  • @Truly_Afrikan
    @Truly_Afrikan 3 หลายเดือนก่อน +9

    Your the best when comes to interviews, Millard one day you will come to interview me too in my multimillion mansion in Mwanza, one day and i,ll remind you of this comment

    • @patrickKitambo
      @patrickKitambo 3 หลายเดือนก่อน +1

      It will happen in the might name of Jesus

    • @Truly_Afrikan
      @Truly_Afrikan 3 หลายเดือนก่อน

      @@patrickKitambo amen 🙏 i appreciate