AZIZ KI AUKATAA MSHAHARA WA MILIONI 97 KWA MWEZI?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 51

  • @CantonaKunona
    @CantonaKunona 17 วันที่ผ่านมา +10

    Aondoke ila asiende simba ❤

  • @africakaka7217
    @africakaka7217 16 วันที่ผ่านมา +2

    Kama kweli Aziz k ataripwa pesa hiyo basi league yetu imepanda , na sio kupanda tu basi kombe la CAF litakuja hapa TANZANIA . Kati ya SIMBA SC ama YANGA SC . MW/MUNGU IBARIKI LEAGUE YETU TUFIKE MBALI ZAIDI YA HAPA🙏

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 16 วันที่ผ่านมา +5

    Wanipemimi hiyo nafasi jamani,daah, hela zote hizi. Mi hata50 tu.

  • @PendoPetro-jl1zx
    @PendoPetro-jl1zx 16 วันที่ผ่านมา +10

    Aende asitutishe hee

  • @andrewkamese8492
    @andrewkamese8492 16 วันที่ผ่านมา +4

    Master k you hv to go to another club b'cause the bigger offerings that given to him.after the next session he'going to regret myftiend.

  • @julianagowele9163
    @julianagowele9163 16 วันที่ผ่านมา +3

    Mhhhhhh! Mpira unalipa hivyo. Heko kwa wapambanaji

  • @user-yd9ds1zs1i
    @user-yd9ds1zs1i 16 วันที่ผ่านมา +3

    Ndugu mwandish wa Habari tupe live tu mpaka hapo Aziz yanga hawapo nae tena waseme tu ukweli iyo pesa ni kubwa sana mara nyumba ya kuish 😂😂😂😂😂❤

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 16 วันที่ผ่านมา +2

    Jamani aende tu,hiyo pesa ni nyingi mno

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 16 วันที่ผ่านมา +3

    Mkuki ni kwa nguruwe kwa binadamu mchungu😂😂😂😂😂😂😂

  • @rogatemsangi6418
    @rogatemsangi6418 16 วันที่ผ่านมา +1

    Bwege huyo jamaa!

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 16 วันที่ผ่านมา

    Safiii aziz K❤❤❤❤kenge hao

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 16 วันที่ผ่านมา +1

    Asiondoke bwana ukipendwa na Wananchi kuna raha😂😂😂 ukipewa hata mshahara ukiwa mdogo no problem

  • @OscarthomasMwakanyamale
    @OscarthomasMwakanyamale 16 วันที่ผ่านมา +1

    Yangna imeiva ninyi aimtegemei azizi tu

  • @consomatogaudence136
    @consomatogaudence136 16 วันที่ผ่านมา

    💚💛😊

  • @Tg.7_7
    @Tg.7_7 16 วันที่ผ่านมา

    Jemedari mdomo mrefu sana, anaumia nini kwani!?

  • @wahidabakar
    @wahidabakar 16 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂😂

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku 16 วันที่ผ่านมา +1

    Makolo kwinyo tabu Iko pale pale
    Chama tunae na Wala hatuling ki akitik hatutikisiki
    Ki akiwepo tabu Iko pale pale

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 16 วันที่ผ่านมา

      Chama Mpira ameshaumalizia Simba

  • @ericamkoba9101
    @ericamkoba9101 16 วันที่ผ่านมา

    Hana pakuenda uyo Kiki tu izo atabaki

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 16 วันที่ผ่านมา +4

    Yanga wanapenda kiki xana wameona hawaongelew usajili wa cmba umezima wanatafuta kiki

    • @user-yr1dv2oq7r
      @user-yr1dv2oq7r 16 วันที่ผ่านมา

      Sasa simba wamefanya usajili gani

  • @saimonntani6831
    @saimonntani6831 16 วันที่ผ่านมา +3

    Millon 97 mchezaji gani wa africa atakataa?huyo atakuwa chizi.huo ni uuongo mtupu.

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 16 วันที่ผ่านมา +1

      Wanasemaga tu baadae unaskia anawadai😂😂

    • @geofreykayombo401
      @geofreykayombo401 16 วันที่ผ่านมา

      Kawaida sana kwa football,ukiona hivyo ujue ana offer zaidi ya hiyo sehemu nyingine ndio Mana anakataa kama ni kweli.

  • @cngeze
    @cngeze 16 วันที่ผ่านมา

    Huyu atakuwa ameogopa kuondoka na majini😅

  • @happinesspitalis4448
    @happinesspitalis4448 16 วันที่ผ่านมา

    Bwana kama ye anaondoka asepe mbona mayele aliondoka tukajua yanga itayumba ila ndo iko juu mawinguni

  • @user-sn2wz8zs8y
    @user-sn2wz8zs8y 16 วันที่ผ่านมา

    Huyu kijana kalogwa na yanga sio bule kukataa pesa nyingi kiasicho

  • @deusmichael2290
    @deusmichael2290 16 วันที่ผ่านมา

    Soccer la bongo Bongo hilo...kiasi kinachosemwa kwenye media siyo anachopokea mchezaji......

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 16 วันที่ผ่านมา

    Mpira ni maisha mafupi aende tu

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 16 วันที่ผ่านมา

    Anakuaje kama siyo mchaga pesa zote izo bado anawaza

  • @UmmyZakiah
    @UmmyZakiah 16 วันที่ผ่านมา

    ameanza kua na tabia kama za chama kuwasumbua viongozi

  • @leonidaleonard9382
    @leonidaleonard9382 16 วันที่ผ่านมา

    Aondoke tu

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 16 วันที่ผ่านมา +1

    Nimchezaji mzuri ila akitaka kwenda aende na viongozi wasimpe msharaha zaid ya 40m make atakua anatia asala timu mwishowe diarra atasem anataka 50m pacome 60m max aucho 60m tutazitoa wapi?

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 16 วันที่ผ่านมา

      Kabisa Huyu chizi

  • @asifreds8787
    @asifreds8787 16 วันที่ผ่านมา

    😈 👿🏃🏼

  • @Maofamedia
    @Maofamedia 16 วันที่ผ่านมา

    Hizo kiki

  • @user-qe2kl7iz3s
    @user-qe2kl7iz3s 16 วันที่ผ่านมา

    Kitu kitakachoonyesha mafanikio ya timu ni ubingwa na kuuza wachezaji waliovuma kwhyo hata akiondoka bado ni sifa kwa kilabu ya yanga jukumu letu ni kumtengeneza mwingine bora zaidi yake afwate maclahi yake utamu wa soka ikulipe

  • @livematchcentre21
    @livematchcentre21 16 วันที่ผ่านมา +1

    rais wa yanga ni jemedari said?

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 16 วันที่ผ่านมา

    VIONGOZI NI WAONGO SANA

  • @rahmamukhtar521
    @rahmamukhtar521 16 วันที่ผ่านมา

    Nyie nao mmeingia kwenye Habari za Umbea😂😂😂😂
    Mnapotea Sasa
    Mbona hamjasema Tangu Jana,halafu ume copy kwa Kazumari wewe umeshindwahe kufuatilia vyanzo na upo humu humu TANZANIA

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 16 วันที่ผ่านมา +10

    Aende kokote, Yanga ipo hata bila yeye.

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 16 วันที่ผ่านมา +2

    Tulieni sindaano iwaingie c mlicheka kwa chama leo mnalia kwa aziz k🐸🐸🐸🐸🐸🐸

    • @EliaMkumbo-wn7bm
      @EliaMkumbo-wn7bm 16 วันที่ผ่านมา +1

      Koroboi povu la nn na mchezaji wa yanga tuliza mshono we Debora

    • @user-cv4jb1bm6i
      @user-cv4jb1bm6i 16 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂aliondoka mayere mzeee na tukabamba makolo tulieni

    • @TalentMapenzi-ie1dr
      @TalentMapenzi-ie1dr 16 วันที่ผ่านมา

      Tuliza tako Ilo dawa ingie azz haend kokote kolo wew

    • @vickhongole6611
      @vickhongole6611 16 วันที่ผ่านมา

      Sawa debora

    • @EliaMkumbo-wn7bm
      @EliaMkumbo-wn7bm 16 วันที่ผ่านมา

      @@HalimaMaulidi-sv7le haya sema sasa wew Debora si ulikuwa unaropoka ovyo vp Aziz kaenda wapi ww koroboi