Vijana wadogo wajihoji sana wengi watalala mauti na wataacha wazazi kwenye simanzi na kujiunganisha na mijianake ya kikahaba hii haitawaacha salama na wazazi wakiwaeleza huyo hafai msikilize mzazi anamaanisha na utaja kumbuka maneno yake
Vijana wa sasa hivi hawasikii la wazazi wala la nani watz msiongee mengi kizazi cha ss hivi hawana adabu na wana kiburi na ndicho kinawapelekea mauti wazazi wanajitahidi kywabeba sana mwisho wa siku wanawaaibisha wazazi inauma sana Mungu awape faraja familia ya Nabii mkuu wapate nguvu
Mmmh maandishi uaianze kuweka dhana kwamba mke ndii chanzo ukuwepo siri wanayi wafiwa na itabaki kwa familia msimpe lawama.mke usione watu wanatemembea au wana utajiri Familia zina mambo mengi mnoo utajiri si utaruzi tena pesa utajiri ndio mbaya zaid tumuachie Mungu ila usihukumu mtu😢
Ila faamu duniani kama mbinguni mengi yatasemwa ila yatasemwa ukweli n'a chakushangaza leo kisema ukweli watu wanafki wana ona ndio vibaya ukweli ni ukweli tu siku zote
Yani huyo mwanamke akija msibani ingekuwa sisi tunampiga makofi hata msiba ukiendelea ashukuru familia hiyo inamjua Mungu angekutana na mataita makofi msibani anayapata vzuri anapita hivi
Ila tu tuwqombee vijana kwa sasa maana vilevi vimekuwa ni sehemu y😊a maisha yao ulaibu wa pombe na vileo vingine vinapelekea kufanya vitendo vya kutisha sana ..Mungu akusahidie na vijana wetu wa sasa mambo yao ni mengi mnoo kulingqna na dunia inavyokwenda kwa sasa vitu vingi vimekuwa kama.ni fashion kwao😢 Mungu awatie nguvu wafiwa na kumpa pumziko la milele marehemu mengine ni masw😊ala.yq familia tupunguze vileo vinapelekea hata kujiuwa unywaji wa.pombe kwa vijana umekithiri
@@rizikimwacha5286 mjinga ww na aliyejwambia nimesema yy mlevi ni nani nimeingelea vijana sijasema yy ni mlevi mm nimeonge I general ss nshaongea unataje ndio mlevi kwahiyo weweww babaake hupo hapo kutafsiri ya wenzio tofauti nimeongelea vija na pia sijakuongelea ww na wewe unaonekana mlevi mlaibu ndio maana umechomeka
Yesu Kristo alituachia msaidizi sio mchungaji wala nabii ni Roho Mtakatifu
Vijana wadogo wajihoji sana wengi watalala mauti na wataacha wazazi kwenye simanzi na kujiunganisha na mijianake ya kikahaba hii haitawaacha salama na wazazi wakiwaeleza huyo hafai msikilize mzazi anamaanisha na utaja kumbuka maneno yake
Vijana wa sasa hivi hawasikii la wazazi wala la nani watz msiongee mengi kizazi cha ss hivi hawana adabu na wana kiburi na ndicho kinawapelekea mauti wazazi wanajitahidi kywabeba sana mwisho wa siku wanawaaibisha wazazi inauma sana Mungu awape faraja familia ya Nabii mkuu wapate nguvu
Kivipi
Uyu dada mbn anaongea vitu tofaut@@sir_ENOCKMACHA
Ayo yote yanatokea wap shangaz 😂😂
Mmmh maandishi uaianze kuweka dhana kwamba mke ndii chanzo ukuwepo siri wanayi wafiwa na itabaki kwa familia msimpe lawama.mke usione watu wanatemembea au wana utajiri
Familia zina mambo mengi mnoo utajiri si utaruzi tena pesa utajiri ndio mbaya zaid tumuachie Mungu ila usihukumu mtu😢
Mengi yata zungumzwa but ukweli anaujua Mungu na madactal
Ila faamu duniani kama mbinguni mengi yatasemwa ila yatasemwa ukweli n'a chakushangaza leo kisema ukweli watu wanafki wana ona ndio vibaya ukweli ni ukweli tu siku zote
Inasikitisha sana
Yani huyo mwanamke akija msibani ingekuwa sisi tunampiga makofi hata msiba ukiendelea ashukuru familia hiyo inamjua Mungu angekutana na mataita makofi msibani anayapata vzuri anapita hivi
Anamjua Mungu Nani hapo
tumuachie mungu
Baba yake kamtowa sacrifice
Outside Christ you walking in the jungle
Well Said, without Doubt! We Need God as we walk on the valley of shadow…..
@@TheNdaki that's true
Ila tu tuwqombee vijana kwa sasa maana vilevi vimekuwa ni sehemu y😊a maisha yao ulaibu wa pombe na vileo vingine vinapelekea kufanya vitendo vya kutisha sana ..Mungu akusahidie na vijana wetu wa sasa mambo yao ni mengi mnoo kulingqna na dunia inavyokwenda kwa sasa vitu vingi vimekuwa kama.ni fashion kwao😢 Mungu awatie nguvu wafiwa na kumpa pumziko la milele marehemu mengine ni masw😊ala.yq familia tupunguze vileo vinapelekea hata kujiuwa unywaji wa.pombe kwa vijana umekithiri
Wewe ni mjinga Sana Aliyekuambia Amelewa Nani Acha kuhukumu kitu ujui
@@rizikimwacha5286 mjinga ww na aliyejwambia nimesema yy mlevi ni nani nimeingelea vijana sijasema yy ni mlevi mm nimeonge I general ss nshaongea unataje ndio mlevi kwahiyo weweww babaake hupo hapo kutafsiri ya wenzio tofauti nimeongelea vija na pia sijakuongelea ww na wewe unaonekana mlevi mlaibu ndio maana umechomeka
@@rizikimwacha5286 urithi wako ni matusi si ndio pita na content yko acha kuputa na comments za wenzio una uhuru wko.pita nao
@@rizikimwacha5286alikuwa mlevi acha ukweli usemwe 😢😢
Freemason
Katolewa na baba yake
Wew una uhakika gan, emu mengine muachie Mungu mwenyew
Jamani usiseme hivyo kifo tu tumshukuru Mungu apumzike kwa amani
Muogope Mungu
Sadaka nzur
😢😢