Hao viongozi wanaovamia madanguro hii sasa ndio kazi ya kulifuatilia kwa kina na kutoa majibu ya kueleweka. Kama mnaweza kuzunguka magesti usiku na Polisi tusaidieni haya mambo .Haya ndio sasa uharibifu wa mazingira.
@@رقيهالخصيبي Sijasema sababu ya madada poa usininukuu vibaya.Nimesema haya ya watoto ndio haswa ya kuyatilia mkazo kufuatilia kwa kina na iwekwe adhabu kali na ifutwe dhamana kwa mbakaji na hao viongozi wawadhibiti Polisi kuacha kuharibu kesi ya mbakaji. Hii ndio haswa neno langu
NA WANAO KAMATWA NA POLISI WANAKUTWA. HIVYOHIVYO WAMEKUFA MIKONONI MWA POLISI HAO POLISI WAUAJI KAMA WAUAJI WENGINE ILA WAO HAWAKAMATWI WALA KUWAJIBISHWA
Lugumi alipewa ela afunge CCTV camera yeye akala hela yote na serikali iko comfortable lakini at least ingesaidia kupata mwanzo hakuna asiyejulikana bhana kila siku hao hao
Mimi ninavyoona ni haya mambo ya ushurikina tu mkibahatika kukamata mmoja akisema ni mashariti kutoka kwa mganga tafadhalini mhakikishe anawapeleka kwa huyo mganga wauawe wote hadharani huenda watu wakaigopa
Tatizo nimalezi. Kwa wazazi. Au family. Hayapo sawa matokeo yake uvutaji Bangi na pombe chafu. Umezidi sana. Kisha kuwa na makundi ya vijana wasema hovyo nawenye tatizo la Afya ya Akiri kipo. Kitu chakufanya endapo tutasimamia wajbu. wetu viongozi sasa
Mh Serikali haiwezi kushindwa najua hilo na sina shaka na serikali yangu lakini wazazi wazazi wazazi watoto hawa ni wetu sote sio eti kwa kuwa sio wako yaani si vibaya kumhoji mtu anayeongozana na binti ambaye wewe unaona kuna mashaka jamani mabinti zetu ni wadogo hawawezi pembua mambo, lakini pia kwa serikali yetu kwa maaendeleo haya ya sayansi na teknolojia hebu tutumie hizi changamoto kuwa wabunifu wa namna ya kutambua matukio ya kiarifu kama haya tuache kuhisi hisi au kushuku CCTV Canera zinashida gani kuwekwa kwenye maeneo yote hatarishi?
Inamaana polisi watashindwa kufanya uchunguzi ??? Kuanzia walipotika watoto wawili hadi zakiemu alipo bakia mmoja haku Mjengo wowote wenye cctv camera Kweli 🤔🤔! Mkifanya hivyo atajulikana tuu
Alafu nsikie ati tz tuna amani amani ipi hapa nchi hii kila leo mauaji ya kutisha mara albino kutolewa viungo sasa wengine hoo tanzania tuko na amani nchi zote nikuombs mungu tu
Duu tatizo lanchii hii mtuakibaka anyonywe serekali aitaki kufanya hivoo wanyonywee sio kumfunga jela akale ugali waburee watu wamekuwa suguuu watoto wetu wataisha jamani Sheria iwe kali
Ujue kuna ile hali serikali inatakiwa iwe kali mpaka mtu aogope kufanya uhalifu sa Hivi kuna kucheka cheka sana matukio yapo mengi na inakua kama kawaida tu
Inalilah wainalilah rajuuni poleni sana family
Poleni sana wafiwa.Pumzika kwa amani maraika wa Mungu.Serikali ipo macho
Mwenyezi Mungu atusadie sisi wenyewe hatuwezi
Hao viongozi wanaovamia madanguro hii sasa ndio kazi ya kulifuatilia kwa kina na kutoa majibu ya kueleweka. Kama mnaweza kuzunguka magesti usiku na Polisi tusaidieni haya mambo .Haya ndio sasa uharibifu wa mazingira.
Sio kweli watoto walikuwa wanabakwa kabla haujatokea msako wa madada powa msitafute sababu kwahiyo wewe unataka wanawake waendelee kujiuza
@@رقيهالخصيبي Sijasema sababu ya madada poa usininukuu vibaya.Nimesema haya ya watoto ndio haswa ya kuyatilia mkazo kufuatilia kwa kina na iwekwe adhabu kali na ifutwe dhamana kwa mbakaji na hao viongozi wawadhibiti Polisi kuacha kuharibu kesi ya mbakaji. Hii ndio haswa neno langu
Acha ujinga
NA WANAO KAMATWA NA POLISI WANAKUTWA. HIVYOHIVYO WAMEKUFA MIKONONI MWA POLISI HAO POLISI WAUAJI KAMA WAUAJI WENGINE ILA WAO HAWAKAMATWI WALA KUWAJIBISHWA
Jamani tunelekea wapi Dunia ya sasa 😭😭😭😭😭tuwalinde vipi watoto wetu 😭😭😭 hatuna aman hata wakiwepo shuleni, eee, Mungu tuokoe kwa haya majanga
Hatari KUBWA sana tuweni makini
R.I.P poleni sana wafiwa
Wakibaka na kuua wanapata faida gani 😢😢 nao wakikutwa wauwawe
Hata sijui wanapata faida gan daah roho za kuua sijui wanatoa wap jamn
@@momosaid6193 imani za kishirikina labda
Inalilaahi wainalilah rajighun polen wazazi pamoja na jamaa zenu
Hongereni sanaaa
Lugumi alipewa ela afunge CCTV camera yeye akala hela yote na serikali iko comfortable lakini at least ingesaidia kupata mwanzo hakuna asiyejulikana bhana kila siku hao hao
Lugumi gani
Kwa kweli ni mitihani mzito yarabi atulindie watoto wetu
Mimi ninavyoona ni haya mambo ya ushurikina tu mkibahatika kukamata mmoja akisema ni mashariti kutoka kwa mganga tafadhalini mhakikishe anawapeleka kwa huyo mganga wauawe wote hadharani huenda watu wakaigopa
😢😢😢😢
Tatizo nimalezi. Kwa wazazi. Au family. Hayapo sawa matokeo yake uvutaji Bangi na pombe chafu. Umezidi sana. Kisha kuwa na makundi ya vijana wasema hovyo nawenye tatizo la Afya ya Akiri kipo. Kitu chakufanya endapo tutasimamia wajbu. wetu viongozi sasa
😢😢
Inna lilah waina ilah rajiuun
Mh Serikali haiwezi kushindwa najua hilo na sina shaka na serikali yangu lakini wazazi wazazi wazazi watoto hawa ni wetu sote sio eti kwa kuwa sio wako yaani si vibaya kumhoji mtu anayeongozana na binti ambaye wewe unaona kuna mashaka jamani mabinti zetu ni wadogo hawawezi pembua mambo,
lakini pia kwa serikali yetu kwa maaendeleo haya ya sayansi na teknolojia hebu tutumie hizi changamoto kuwa wabunifu wa namna ya kutambua matukio ya kiarifu kama haya tuache kuhisi hisi au kushuku CCTV Canera zinashida gani kuwekwa kwenye maeneo yote hatarishi?
Inamaana polisi watashindwa kufanya uchunguzi ???
Kuanzia walipotika watoto wawili hadi zakiemu alipo bakia mmoja haku Mjengo wowote wenye cctv camera Kweli 🤔🤔! Mkifanya hivyo atajulikana tuu
LA PANYA ROAD HALIJAISHA VIZURI LIMEKUJA LA MAUAJI YA WATOTO😢😢
😭😭😭😭😭wauliwe
Kuna shida kwenye malezi ya watoto... wengi wanajilea wenyewe... familia zimesambaratika sana... Mungu tusaidie sana
Kabisa huu usingle mother na usingle father
Wala sio kulea muombe tuu mungu yasikukute
So sad😢
Inaumiza zaid ya sana..
Uchaguzi unakaribia mijitu inatoa kafara tyu
Shida nikwamba nyie mumewakamata madada poa wakati hao ndo walikuwa wanamaliza ugumu.haya sasa
Acha kutetea ujinga wewe
Kwahiyo ugum ndo wachukue viungo vya mwili au
mmbakaji wewe
😢😢😢😢😢😢daaa aisee
Hii nchi mnaongea sana kwa Nini msiweke camera mitaani ?
Nani anajali ? Wakati fedha zote zaenda kwenye matumbo yao
@@jumakapilima7295 nchi ya laana nchi ya Mavi kunuka!
Sixtus mapunda ulikuw mbunge wa kwetu mbinga mjini 2015
Mauaji yanakithiri SANA...UTEKAJI,UBAKAJI...Kila kukicha akina mama wanalia.
Hili swala samia???
Alafu nsikie ati tz tuna amani amani ipi hapa nchi hii kila leo mauaji ya kutisha mara albino kutolewa viungo sasa wengine hoo tanzania tuko na amani nchi zote nikuombs mungu tu
Acheni maneno
hapa atuwasiki hata kidogo wanahojita haki za minadamu,sasa sijui wanatetea mambo gani?maana yangekua matukio mengine tungehona press aharaka sana.
Kuna kipindi difenda zilikuwa zinatembea uhalifu umezidi
Nyie wauwaji kwan huko majumban kwenu hakuna watoto adi muue watoto wawenzenu
Sasa panaitajika C CT V camera inatisha kabisa hii Hali
🎉❤😅😮
Hivi mbona uchaguzi ukianza haya matukio yanazidi?
Huku kwetu yombo machimbo pia kuna balaa la kupigwa mapanga
Duu tatizo lanchii hii mtuakibaka anyonywe serekali aitaki kufanya hivoo wanyonywee sio kumfunga jela akale ugali waburee watu wamekuwa suguuu watoto wetu wataisha jamani Sheria iwe kali
Wazazi pamoja na walezi tuongeze umakini kwa vijana wetu. Matamanio ya utajiri yanapelekea binadam tunakuwa zaidi ya wanyama.
Temeke Kuna Nini?
Familia Linda watoto wako hao Ni rasilimali
Eti sio mambo ya serikali na mambo yenu nyie wazazi mshirikiane ,,,sijui kama mmesikia hii kauli au
Bac nchi haina ulinz
Ujue kuna ile hali serikali inatakiwa iwe kali mpaka mtu aogope kufanya uhalifu sa Hivi kuna kucheka cheka sana matukio yapo mengi na inakua kama kawaida tu
😭😭😭😭
😢😢
😢😢😢😢
😢😢😢