VIDEO IKIONYESHA MWANZO MWISHO MWILI WA NISHER ULIVYOAGWA HADI KUZIKWA NYUMBANI KWA NABII GEORDAVIE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ธ.ค. 2023

ความคิดเห็น • 117

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 7 หลายเดือนก่อน +8

    Arie muona hamorapa msibani agonge like hapa chinii😂😂

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 7 หลายเดือนก่อน +29

    Nyie hamumjui NABII anaumia ndani kwa ndani ambayo ni mbaya sana sana,tumwombee Mungu amtie nguvu asijepata shida ya shinikizo la Damu.Baba Mwenyezi Mungu akutie nguvu na familia yako katika kipindi hiki kigumu. pole baba pole.najua unaumia lakini huna jinsi.Achana na maneno ya watu wa mitandaoni angalia Mungu nae akutie Nguvu

  • @peemsafi6068
    @peemsafi6068 7 หลายเดือนก่อน +10

    Anaye jua siku ya mwisho ni mungu tuu sisi ni viumbe vyake pumzika kwa amani kaka NISHER

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 7 หลายเดือนก่อน +1

    Poleni sana wanafamilia, mungu awatie nguvu huku tukimuombea marehemu pumziko la milele: "BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA.... AMEN"

  • @athanasyohana8720
    @athanasyohana8720 7 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani naona maajabu.ni msiba ama ni nini.

  • @user-um7kj5kf6p
    @user-um7kj5kf6p 7 หลายเดือนก่อน +1

    Poleni Sana mungu awatie nguvu makusudi ya mungu hayazuiriki kila.mtu ataondoka kwa jinsi.yake faraja ya mungu..iwe.nanyi

  • @user-wj6zt6sc2x
    @user-wj6zt6sc2x 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu awasamehe bure nyote Mungu mwenyewe ndy ajuae ukweli wala cy binadam

  • @alicemama9099
    @alicemama9099 7 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana wote, shemeji yangu mpendwa na ndugu yangu Anenyise. Ndugu yako wa KDC Moshi. Mtoto wetu spumzike kwa amani.

  • @josephemmanuel388
    @josephemmanuel388 7 หลายเดือนก่อน +12

    wanamwinamia mwanadamu

  • @user-kp2uu7em2d
    @user-kp2uu7em2d 7 หลายเดือนก่อน

    Aisee3!!!! Utamalza watoto nawe Mungu atakulp jinsi unavyotenda w Jiandae t huna loloteee😅😅😅😅😅😅

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ila daaah!!!' mbona kama na mashaka kwa hili!!!!

  • @KALULUALLI
    @KALULUALLI 7 หลายเดือนก่อน +3

    Wakristo mjifunze uongo wa Geodavie hakuweza kumfufua mwanawe

    • @sophiamhando7281
      @sophiamhando7281 7 หลายเดือนก่อน

      Kumbe alikua anafufuaga??

    • @user-lz5bx7eu4d
      @user-lz5bx7eu4d 6 หลายเดือนก่อน

      Acha kuingilia mambo yawatu kima wewe

    • @user-lz5bx7eu4d
      @user-lz5bx7eu4d 6 หลายเดือนก่อน

      Tena wewe chunga domo lako

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mzee ana zambi huyu na huyo dadaake na nguo yakubana ila wew baba kwani mbona ss maskini tunaisha utamaliza watoto kutoa kafara rudisha mali hata usipojaza kanisa ili uishi kwa amani watoto wako wataisha nibola ungezaa wengi basi😊

    • @SalumMfaume-on2ks
      @SalumMfaume-on2ks 7 หลายเดือนก่อน

      njia nimoja wakuu kwaiyo kila mt ajiandae tusisemane kwan mungu ndiyo ajuae

    • @pip_rake
      @pip_rake 7 หลายเดือนก่อน

      Wengi kama wangapi?

    • @davidcharlesi3570
      @davidcharlesi3570 6 หลายเดือนก่อน

      Uko sawa jamaa Mungu anawaona.Anakoelekea anamalza familia shetan hana urafk na binadamu....

  • @user-me7yj1hu8v
    @user-me7yj1hu8v 7 หลายเดือนก่อน

    Ultimate experience

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es 7 หลายเดือนก่อน +1

    Amen..baba

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 7 หลายเดือนก่อน +1

    Rest in peace NISHER ❤️😭😭

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 7 หลายเดือนก่อน +7

    NAMHURUMIA SANA NABII MKUU, ILA HANA LA KUFANYA

    • @user-ob1pk8zi6u
      @user-ob1pk8zi6u 7 หลายเดือนก่อน

      Pole Sana baba

    • @user-ob1pk8zi6u
      @user-ob1pk8zi6u 7 หลายเดือนก่อน

      Ila mungu amtie nguvu

    • @issakawaya8315
      @issakawaya8315 7 หลายเดือนก่อน

      Na bii mku aja Muongezea siku ya ku ishi mwanaye.sote ni mali ya Mungu

    • @user-if3jx2dm7x
      @user-if3jx2dm7x 7 หลายเดือนก่อน

      Poleni sana wanafamilia wote Mungu awe faraja kwenu

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 7 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu anisamehe kwa hiki nilichokiwaza😭😭😭😭

    • @stratonlyari9563
      @stratonlyari9563 7 หลายเดือนก่อน

      The same to me .the way I see have something am thinking ,_ _ but not ,++

    • @samiraaindi
      @samiraaindi 7 หลายเดือนก่อน +1

      R.I.P Nisher😭😂

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nabii kashindwa kulumdisha mwanee mungu anisamehee bulee ila alisemaga mwenyewe Nabii😢

    • @neemamabiki3923
      @neemamabiki3923 7 หลายเดือนก่อน

      Unajielewa wewe au unakurupuka tu,kuna nabii aliwahi fufua mtu zaidi ya yesu??acha ushamba wa mitandaoni.

  • @davidsimbeye1548
    @davidsimbeye1548 7 หลายเดือนก่อน +1

    Pole Sana baba yangu kwa msiba mkubwa Mungu akutie nguvu baba 😭😭😭🎂

  • @ErickSeurisambeke
    @ErickSeurisambeke 6 หลายเดือนก่อน

    Hatukujua alikufa na nn tulisikia kifo bc ila atukujua alikufa na nn

  • @user-zf9db6ft5i
    @user-zf9db6ft5i 7 หลายเดือนก่อน +2

    😊pumzika kwa amani

  • @sonicaghendewa9886
    @sonicaghendewa9886 7 หลายเดือนก่อน +4

    Kiukweli uyu Mdogo wake Wa kike ni noma
    Kauzu hasa sijawahi kuona
    Wakati yeye ndio alikua karibu na maremu sanaaaa enzi za uhai wake lakin mhhhh
    Kauzu kwakweli 😢

    • @aishaabrahaman9957
      @aishaabrahaman9957 7 หลายเดือนก่อน

      Anajua kujikaza ila ana maumivu sana huyo nipo ivo pakitokea kitu silii lakini maumivu unaweza kufa moyo unaniaga sanaa😊

    • @Judy-dy4zt
      @Judy-dy4zt 7 หลายเดือนก่อน

      Kauzu aswa

    • @user-cw3vu8mu3k
      @user-cw3vu8mu3k 7 หลายเดือนก่อน +1

      Watu wengi wanaona hivyo kweli jicho kavu sana sijuii kama kaka alikuwa anakera sana kias ambacho Mungu alimpo mpenda jina la bwana libarikiwe maisha yaendelee

    • @mbanaoyaaweso8029
      @mbanaoyaaweso8029 7 หลายเดือนก่อน +1

      kakumbuka na kujilembaaa jmn kwel

    • @SekelaJakson-ls7dd
      @SekelaJakson-ls7dd 7 หลายเดือนก่อน

      Yan mi nmeshangaa ad nmehis kama uwenda akili yake haiko timamu

  • @prophetislael5265
    @prophetislael5265 7 หลายเดือนก่อน +2

    Nimekuja kugundua masikini wanahasila sana nawatu walio fanikiwa YAN MTU MWENYE PESA AKIFIWA UTASIKIA FREEMASON
    LAKIN AKIFIWA MASKINI UTASIKIWA MASIKIN WOTE HAKUNA ATAKAE SEMA KUWA AMETOA FREEMASON

  • @user-me7yj1hu8v
    @user-me7yj1hu8v 7 หลายเดือนก่อน

    Family Knows all money 💰 will make people to be come crazy 🤪

  • @jamesmulokozi9429
    @jamesmulokozi9429 7 หลายเดือนก่อน +3

    Sad

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 7 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji hamshiki mkono mke wake au sio jamani ila poleni sana

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 7 หลายเดือนก่อน

    Hamorapaa naye yumo😂😂

  • @elionoradavid4704
    @elionoradavid4704 7 หลายเดือนก่อน +8

    Mbona dada ake ananguvu ivo yaan mkavu kichizi

    • @HappinessSawe
      @HappinessSawe 7 หลายเดือนก่อน +3

      Duuh emagine kaka yake af anakua na nguvu hivyo

    • @antoinekatembo8520
      @antoinekatembo8520 7 หลายเดือนก่อน

      SI NI MWEZI WA DECEMBER ALAFU MMMHH…!!

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 7 หลายเดือนก่อน

      Si unajua tena

  • @siphaeljoseph2156
    @siphaeljoseph2156 7 หลายเดือนก่อน

    rest easy young bro, Mungu awatie nguvu Familia Nabii Mkuu

  • @RukiaSamalu-kv5gy
    @RukiaSamalu-kv5gy 7 หลายเดือนก่อน +1

    Poleni jamani

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 7 หลายเดือนก่อน

    Kumbe nisher alikua mtoto wa geordave!!!' sikulijua hili

  • @user-mz1xw8my8f
    @user-mz1xw8my8f 7 หลายเดือนก่อน

    Pole baba

  • @emmymwashitete3332
    @emmymwashitete3332 7 หลายเดือนก่อน

    Monika noma no chozi kwa kaka yake ametisha

  • @florafilbert3288
    @florafilbert3288 7 หลายเดือนก่อน

    Mke wa marehemu hajaonekana

  • @floramongi1410
    @floramongi1410 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wanafunzi wa yesu walimuuliza yesu tutawajuaje watu wako? Yesu a kasema mtawajua kwa matunda yao na hata kwa shetani kuna matunda ndo haya kijana kufa akiwa mdogo tukaneni mnavyoweza ila huyu nabii ni freemasoni mkubwa na katoa mwanae kafara hakuna utajiri wa Mungu ulio ainahiyo ya geodavie iko siku watu watatoa hesabu

    • @user-pn7jd5kp8t
      @user-pn7jd5kp8t 7 หลายเดือนก่อน

      Poleni saanah 😢

    • @SamwelMollel-br9md
      @SamwelMollel-br9md 3 หลายเดือนก่อน

      Wwe malaya unasemaje siku ukiolewa utajitambuwa

  • @saididodi3988
    @saididodi3988 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu amempenda zaid

  • @feristadaudi6599
    @feristadaudi6599 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mtumishi bwana akupe kushida

  • @pachachidy4346
    @pachachidy4346 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wa kwanza naomba like

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nabii mkuu akipita Lazima tuinamishe shingo??

  • @rebecahlaizer6449
    @rebecahlaizer6449 7 หลายเดือนก่อน +1

    Pole Sana dr . comments zinatisha Ila jitie moyo baba .watanzania ck hizi hawana uchungu na misiba ya wengine.ila waombee

    • @janembiro3057
      @janembiro3057 7 หลายเดือนก่อน

      Tunaambiwa tusihukumu ni dhambi.Mungu awatie nguvu wazazi wake

    • @floramongi1410
      @floramongi1410 7 หลายเดือนก่อน

      Biblia insema wanadamu watahukumu hata Malika Hilo ni pepo limelipa sadaka kuzimu mtaona atakayo fanya

    • @SalamaNauthar
      @SalamaNauthar 7 หลายเดือนก่อน

      Wafiwa wenyewe inaonyesha wazi kabisa hawana uchungu na Msiba wa ndugu yao' iweje sisi?

  • @ThomasEmmanuel-to5mz
    @ThomasEmmanuel-to5mz 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu awape faraja kipindi kigumu hiki kwenu

  • @user-hc2te7oi9m
    @user-hc2te7oi9m 7 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana😂😂

  • @user-ob1pk8zi6u
    @user-ob1pk8zi6u 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ni mungu kampa uvumilivu ndio maana.ajalia.unajua.tena.awawaumini walivyo

  • @zairaisaid6389
    @zairaisaid6389 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wengine wanamsema mdada dada yake marehemu kua aonyesh kuumia na msiba ila kiukweli uchungu wa mtu upo katika moyo wake akuna asieumia atakapofiwa na ndugu yake au mtu wake wa karibu Au aloozooea ila tu Mungu samtaim anamtia nguvu mana atafanyaje hana jinsi ata akifanya kazi ya kulia tu kujigalagaza tu ni kazi bure isitoshe msiba tokea alipokufa mtu kalia sana mpaka sasa machozi yamekauka ndio ivo jamani

    • @clemensiadaniel8479
      @clemensiadaniel8479 7 หลายเดือนก่อน

      Upo correct ndugu siyo haumii anajikaza tu utashanga akiwa home muda wote ni wakulia maana huyu ni damu Yao imetoweka

  • @user-im1vc5bz1j
    @user-im1vc5bz1j 7 หลายเดือนก่อน

    R.I.P

  • @ahlamsaleh670
    @ahlamsaleh670 7 หลายเดือนก่อน

    Hamorapa nai eti analia 😂

  • @johnhosea6389
    @johnhosea6389 7 หลายเดือนก่อน

    Godi monica anakufaw

  • @francisfrednand2475
    @francisfrednand2475 7 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana baba

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ivi uyo bint anaakili timamu kwel mbona anatabasam mda wote na blich zake haumii kuondekewa na kakaake😢😢

    • @mouldykomba1852
      @mouldykomba1852 7 หลายเดือนก่อน

      Ndivyo alivyo

    • @mouldykomba1852
      @mouldykomba1852 7 หลายเดือนก่อน

      Ndivyo alivyo

    • @williamalphonce3534
      @williamalphonce3534 6 หลายเดือนก่อน

      Kwaio akilia kaka ake anarudi?

    • @SekelaJakson-ls7dd
      @SekelaJakson-ls7dd 6 หลายเดือนก่อน

      @@williamalphonce3534 we si mwenzie tu ndo wake wale mnaocheka misiban🤣🤣

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k 7 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wamejaji sana uvaaji wa monica na ugumu wa kumwombolezea kaka yake ana nguvu sana ila mimi sijaona kama nikosa alivyo vaa

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 7 หลายเดือนก่อน

      Kama kila anachoona mtu ni sawa ndio sawa basi hakuna kisichokuwa sawa!😂

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 7 หลายเดือนก่อน

    Wanafamilia wengine wanainjoi baba anajua hana wasi kafara io

  • @sophiamhando7281
    @sophiamhando7281 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe wafiwa siku hizi wana nguvu za kupakwa hadi makeup😮😮

    • @IMANWILLIAM-bl2ui
      @IMANWILLIAM-bl2ui 7 หลายเดือนก่อน +1

      tafuta ela uone kama haiwezekani

    • @SalamaNauthar
      @SalamaNauthar 7 หลายเดือนก่อน

      Na mie nashangaa ndugu yangu!!!!

  • @RJurumboRJurembo-df5uv
    @RJurumboRJurembo-df5uv 7 หลายเดือนก่อน

    Asipoacha kufuru lake bado atapokea mapigo ajue Yesu ndio nabii mkuu na mkuu wa wote,heshima na adhama ni zake milele sio huyo binadamu kama mm

  • @ChugaKazi-rb2ts
    @ChugaKazi-rb2ts 7 หลายเดือนก่อน

    Eti karibu baba karibu mama misiba ya matajiri bana

  • @user-kr3jg6iy7w
    @user-kr3jg6iy7w 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo Monica hata kujilegeza uongo uongo amna yaani kama mwaume!jamaniii

    • @verohmchihiyo5029
      @verohmchihiyo5029 7 หลายเดือนก่อน +1

      Akishajilegeza vya uongo ili itokee nn, fikiri kabla ya kuropoka uswe mtu wakupigilia msumari kwenye maumivu ya wenzako.. unataka ajilegeze vya uongo unafikir ni maigizo hayo

  • @branicemunyanya
    @branicemunyanya 7 หลายเดือนก่อน +1

    Eeeii wana inamia binadamu😮poleni sana jamani magumu na uchungu ila mungu awape nguvu

  • @BetriceKitalika-zf1jp
    @BetriceKitalika-zf1jp 7 หลายเดือนก่อน

    Ee M/Mungu Nakuomba umtie nguvu Nabii Mkuu ,Roho Mtakatifu Uwe mfariji wa familia hii katika JINA LA YESU ALIYE HAI. AMEN.

  • @user-rg9xg2kz8t
    @user-rg9xg2kz8t 7 หลายเดือนก่อน

    Mbona watoto wa marehemu nisher nasikia alikuwa na mwana mke na watoto sasa mbona kwenye kuaga sijaona na mwenye wasifu sijasikia kuhusu watoto na mke jmn why ?

    • @mariedelarie873
      @mariedelarie873 7 หลายเดือนก่อน

      Hata mke wake sijamuona wala kusikia wazifu wake

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 7 หลายเดือนก่อน

    Wanawake hatujui roho za wanaume wanaume wengi wanatanaa za pesa bola amuue mwanae kisa pesa utakufa na wew na mali za filimasoni zitaisha familia ibaki maskini inaumiza kimtoa mtoto wako kafara mama ndo anaumia

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 7 หลายเดือนก่อน

      Hivi mna uhakika au kwakuw maon ni uhuru wa mtu

  • @user-zd3pz4yc8r
    @user-zd3pz4yc8r 7 หลายเดือนก่อน

    sasa badala MTU ulie unanificha ficha

    • @user-ob1pk8zi6u
      @user-ob1pk8zi6u 7 หลายเดือนก่อน

      Mungkin kamfunika

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-ob1pk8zi6u🤣🤣🤣

  • @Neverbeensame
    @Neverbeensame 7 หลายเดือนก่อน +1

    Majitu yamekuwa maigizaji eeeh Mungu uturehemu

  • @janembiro3057
    @janembiro3057 7 หลายเดือนก่อน +1

    Pumzika kwa amani Nickel

  • @RJurumboRJurembo-df5uv
    @RJurumboRJurembo-df5uv 7 หลายเดือนก่อน

    Asipoacha kufuru lake bado atapokea mapigo ajue Yesu ndio nabii mkuu na mkuu wa wote,heshima na adhama ni zake milele sio huyo binadamu kama mm