Elia Mtishibi - Ninashukuru (Live Recorded Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ม.ค. 2024
- Umbali huu,Uzima,afya,akili njem,Roho wake,familia,kazi, biashara,Wokovu,haki, neema, na mambo mengine mengi siwezi kuyamaliza nikiyaorodhesha ni mambo ambayo MUNGU amenifanyia na ninamaanisha kusema kwamba siwezi kuelezea ndani yangu ikainuka sauti ya shukurani na wimbo huu ni zao la shukurani moyoni mwangu karibu kuungana na mimi kumuinulia Yesu shukurani kutoka kwenye kilindi cha Mioyo yetu..
Wimbo huu ulirekodiwa katika ibada ya #MANINCHRIST (MACHE2023) #THEFULLARMOUROFGOD ninaombi yangu ukafanyike ibada kwenye maisha yako..
Special Thanks 1st to JESUS THE KING
2nd to the team MUSICIANS
Md 1@Erick kanju on main
Md 2 @am_kusula on auxiliary
@hezekiahkalisti on layers
@Jerry on organs
@john ntete music arrangement
@Amos belvin on bass
@Ben ngowi bassist 2.
@Nahum gideon on Sollo
@Izack on rythm
@ibrahim on drum
Aux post production @Ndege
Vocals Sopranos
@Jojo
@Glory
@mercy chilijila
Altos
@iam_milgel
@marry Fashola
@Catherine Sebastian
Tenor
@Emmanuel Robert
@Paul Peter
@Wisdom Stanslaus
@emma fransic
Audio capturing,mixing and mastering
@SADOCK ELIAS from B&W productions
Video production
@SP VISUALS
sound engineering
@Emmanuel Balisidya and Shepherd music Technology (Rhoden danda)
lights
by PETER LIGHTS (peter jilala)
Uniform design
Suluvazi
Venue
New vine Church - เพลง
Penye Nia pananjia mtumishi mtishibi umepasua mawimbi baba Mungu azidi kukuinua aisee .......Asante ooooooooh safi sana 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Tanzania nchi yangu inawatu wazuri sana,tena wanaompenda Mungu wenye vipaji vikubwa sana na wameamua kumtumikia Mungu
Hatimae wimbo niliokuwa nausubir sana huu hapa❤..ninashukuru is 🔥.. ninashukuru ni ibada, ninashukuru ni maneno ya moyo wangu😢😊.
Barikiwa Sana Mtumishi Eliya
Haziwezi tosha karatasi kuandika uzuri wako, ninashukuru ninashukuru
Haziwezi tosha ndimi elfu kuzitaja sifa zako, ninashukuru ninashukuru
Hayawezi tosha mahesabu kuhesabu wema wako ninashukuru ninashukuru
Umenileta, kwenye mlima huu wa uzima ,ninashukuru ninashukuru
Mahali pasipo na mashindano ndipo mi nawewe ninashukuru ninashukuru
Palipo maninio ya baraka, na umande ya mvua yako ninashukuru ninashukuru
Kwenye mikono ya mwindaji hazikupatikana nyama zangu ninashukuru ninashukuru
Umeniiua miguu yangu kama ya kulungu ninashukuru ninashukuru
Umeniokoa na makucha ya Simba na dubu ninashukuru ninashukuru
Asante ooh , Asante ooh
Na inua mkono ninakushukuru kwa wema wako.
Ubarikiwe mno
Ooh 😭😭WEWE ni muujiza Tisha Elia
Oooh Barikiwaa Sanaaa 🙌
Ongela kijana
Ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU Ibada hii njema sana
Huu wimbo umenifanya nilie sana.... Barikiwa sanaaa mtumishi
Kaka Mungu akuinue zaidi na zaidi
Mungu akubariki xn,, ndg, u made it
The greatest song from the greatest man of GOD 🙌
Hongera kijana na muona Mary anazidi kuchana
Eliaa naomba jina l mpig ngoma
Ninashukuru yesu
Nimebarikiwa sana na wimbo huu kaka Elia. MUNGU AZIDI kukupa mafunuo zaidi yatakayogusa maisha ya watu wengi zaidi
My grateful 🙏🏽
❤❤
😢😢😢😢😢 Yesu wewe ni Mungu ninakushukuru
Thank you Lord for this minister in our time, May God increase you Mtishbi. All love🎉
Wimbo mzur wa mguso, barikiwa mno Minister Elia
Powerful be blessed bro 😢
This song is my testimony 🥹🥹🥹God has been so good....yaan makaratasi hayatoshi kuandika uzuri wake Mungu
Zangu tu ni shukurani❤❤❤🙏🙏🙏
Glory to God !keep listening and share the good work❤
❤❤❤
MUNGU akubaliki 🙏🏿🙏🏿🙏🏿ujumbe mzuri
Asante oooh 🙌🏿
Kwa kweli kutoka moyoni naungana na wewe Yesu asante saaan maana amenifanyia kicheko kwenye maisha yangu mwanzo wa mwa huu nilichosubiri kwa miaka sita nashukuru Mungu saaaan tena saaan
🙏🙏🙏ninashukuru
Thank you Sir
God has done it again.
I 1st Heard your song sitara....in Arusha at a conference Gloryland and I was Soo blessed ❤❤
More Grace Sir.
Hudumu yako izindi kukua na kubwa BARAKA kwa wengine.
From Mombasa Kenya.
Asantee Elia kwa wimbo mdhurii, ubarikiwe mnoo❤
Yesu akutunze mtu wa Mungu
Wimbo juu umenibariki sana kaka🙏🙏Mungu akuinue zaidi
Kaka kaka kaka kakaaaaaa MUNGU amekuinua aise😢😢 hii ni ya pekee mpangilio wa sauti jamani 😊 nimebarikiwa sana naludi ludia kwenye Asante oh Asante ooohoo😂❤❤❤❤❤❤❤
YESU NINASHUKURU🙌🙌🙌
Nina ninashukuru....
My God this man is something else glory to God for such blessing of this song tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu may this song reach many for his glory
Another worship hitting song from my brother elia mtishibi ninashukuru
Natafta lyricx ya huu wimbo siipat jmn maneno mengine syaskii vzr 😢
Maneno ya part gani?
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Asee Mungu wa mbinguni akuweke umenibariki asee
God is good,kwa kweli ninashukuru🙏🏿
❤
Eliya MUNGU akutunze sana twendelee kumtukuza huyu MUNGU..Tumain ilikuwa imebeba watu wakuu sana wa ufalme wa MUNGU
Amen brother
Amen amen hakika Mungu Yupo pamoja na wewe kaka
Collabo na zoravo sasa …bwana akubariki
We keep enjoying the Grace of GOD working over your life Mann in CHRIST. Keep the Fire Burning And Always Keep Humble and The Cloth of Humility.
Bado Haujaona pale Unaenda Hata sasa Haijafika thelusi ya pale BWANA anakupeleka.
Unaonja tu Maonjo machache ya Kile BWANA amekuandalia. Ni kama unachungulia tu na kuiona nchi ya ahadi My Bro maziwa na Asali ziko Mbele.
Humility and Humbleness zitakuweka sana hapo mda mrefu
Hakika haziwezi tosha karatasi, Barikiwa sana mtumishi wa Jehovah😢
Amen Ainuliwe Yesu
🎉🔥🔥🔥🔥🔥
Niliungoja kwa hamu sana, be blessed
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🙌❤❤🙏🙏
✊✊✊✊✊✊✊
❤❤❤❤❤❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥
Haleluya Haleluya
Very revelatory words.
Ahsanteee Oooh.
Thank you Lord Jesus.
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Amen 🙌🙌🙌 nakupenda sana mtumishi
🔥
God bless you man of God kwa kazi nzur
#NINASHUKURU
Katika mikoano ya muwindaji hazikupatikana nyama zangu! Bwana umeniokoa dhidi ya makucha ya simba na dubu
HALLELUJAH 🙏
What a blessing.... Lord am grateful 🙏🙏
🔥🔥🔥🔥🔥
ASANTE SANA KWA WIMBO HUU WA SHUKRANI
❤❤❤❤❤
YOU ARE BLESSED MAN OF GOD
Wimbo wangu 🔥
THE WAITING IS OVER CHAKULA HIKI HAPA ✍️✍️🙏
God bless you
Complete package, such a masterpiece from man of God Elia mtishibi-Glory glory!! your indeed a blessing to this generation-Umenibariki
Hallelujah Glory to The king Jesus keep on loving God
Nashukuru sana kwa neema ya ajabu iliyowekwa ndani yako. nyimbo zako zinainua sana huduma yangu na kutotaka kukata tamaa. Sitaki kujua Nikoje au nitakuwaje🖐️Ila nainua mikono nakushukuru kwa wema wako❤️❤️
Mungu aendelee kukutunza ,ubarikiwe sana
Barikiwa sana mtu wa Mungu 🙏
Hakika Mungu nashukur mnooo
Great job!! Kazi nzuri sana wooow!!!🔥🔥🔥
Ninashukuruu 🙏🙏🙏
Naeza pata wapi lyrics ya huu wimbo mtumishi wa Mungu
Your blessed Man of God TANZANIA 🇹🇿 TUNAJIVUNIA KUWA NA WEWE
NINASHUKURU BWANA 🙏♥️
Hallelujah hallelujah 🙌
Ninashukuru
Tunajivunia wewe 💃 👏
Ninashukuru 🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Really 🙏🙏🙏🙏
Baraka kubwa sana ❤🔥🎺
Wimbo wanguuu❤❤❤🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥
Elia Naheshimu mnoooo kile Mungu ameweka ndani yako🙏
Asante kwa wimbo huo
Hallelujah Hallelujah
Barikiwa sana Ndugu 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Very Powerful
Glory to God MOG
Ameeeeeen nimeusubiria sana
Napenda unavyoimba na kucheza UTUKUFU kwa MUNGU barikiwa sana 🔥
Ainuliwe Yesu sana
Amen Amen
His faithfulness abides forever! Hazitoshi ndimi elfu🙌🙌🙌🙌🙌
Itoshe kusema tu ni Halleluyah....Barikiwa sana..ndg yangu 🙏🙏🙏
The SONG IS nashukuru mjombaaaa👊👊👊👊👊👊👊👊🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Mjomba mjomba
😍😍hata dunia ingekua kitabu haingetosha wala hakuna wino utakaotosha kuandika wema wabwana😇😇
Am grateful
Nainua mikono Nina kushukuru kwa wema wako ❤🙌🙌
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 congratulation my brother keep up
Hakika nina shukuru Mungu. haziwezi tosha ndimi elfu🙏🙏🙌👏👏👏👏
🎉Mwanza oyee eee ni mebarikiwa sana Mungu anainua huduma yake ......
I just find my self crying for his love and kindness in ma life...best song ever
Hallelujah Glory to Jesus keep on loving God
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤✨️✨️✨️🔥🔥🔥🔥🔥🔥
God has done it once again ....what a song ...Be blessed man of God🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥.