Dr.Ipyana - NAWEZAJE KUNYAMAZA//NAMNA HII SIJAONA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- #dripyana #Jesus #NAWEZAJEKUNYAMAZA
Dr. Ipyana Kibona (MD) is a Gospel Worship Minister from Tanzania, with the heart for Jesus Christ.
Through devotional songs inspired by The Holy Spirit, Dr. Ipyana is dedicated to be a vessel used by The Almighty God to spread the Good News of the Gospel and build The Kingdom of God in the hearts of men.
His God-given ministry, GRAND IBADA serves to create and foster a Heaven-like environment on earth, raise an Altar for God, inspire and teach how to express reverence to God and build a conducive climate, through which God can tend the hearts of HIS people.
#NawezajeKunyamaza
#DrIpyana
NAWEZAJE KUNYAMAZA is the latest instalment from the highly acclaimed Holy Spirit filled live recording album “The Tabernacle”.
This song expresses a prophetic praise to the Almighty God, describing how one cannot contain their joyful child-like feeling over the mighty things The Lord has done.
As a child fails to contain their excitement when given gifts or taken to experience something they have longed for awhile or what they did not expect.
Such is the experience, which in turn provokes a thanksgiving in us, prompting an undignified child-like praise to our God, not withholding honor for our God, because of the way and the magnitude of the acts of God.
CONNECT / Partner with DR.IPYANA through your offering
WAVE/TERRA/MPESA
+255754637055 - only whatsup
Name: IPYANA PETER KIBONA
Wire transfer
ACC # : 0152294745700
Bank : CRDB
Swiftcode : CORUTZTZ
LYRICS
Sijaona namna hii
Eeeh namna hii, sijaona namna hii
Nawezaje kunyamaza?
Wakati Umefanya
Eeh namna hii, sijaona namna hii
Nawezaje kutulia?
Wakati Umefanya
Eeh namna hii, sijaona namna hii
Mataifa yatetemeka
Kwa Matendo Yako MAKUBWA
Aiyeee! Namna hii?
Sijaona namna hii
Dunia inashangazwa
Kwa Matendo Yako MAKUBWA
We’ YESU, namna hii?
Sijaona namna hii
Nawezaje kunyamaza?
Wakati Umefanya
Eeeh namna hii?
Sijaona namna hii
Nawezaje kutulia?
Wakati Umefanya
Eeeh namna hii?
Sijaona namna hii
Nawezaje kunyamaza?
Wakati Umefanya
Haiwee! namna hii?
Sijaona namna hii
Nawezaje kutulia?
Wakati Umefanya
Haiwee! namna hii?
Sijaona namna hii
Nawezaje kunyamaza?
Wakati Umefanya
We’ YESU namna hii?
Sijaona namna hii
Nawezaje kutulia?
Wakati Umefanya
We’ YESU! namna hii?
Sijaona namna hii
We’ YESU! namna hii?
Sijaona namna hii
Haiwee! namna hii,
Sijaona namna hii
Eeh namna hii?
Sijaona namna hii
More of
Anyone from Kenya Tupia like hapa maze🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Our brothers and sisters mko safi sana. Many blessings to you. Namna hii hatujawahi ona.
Tuko🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tuko ndani 🇰🇪🇰🇪
Niko Niko🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nasiwezi kunyamaza
Here🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nawezaje kunyamaza. Naitwa Sophia Anselmu Asenga. Yesu aliniponya Asma na pumu iliyonitesa Kwa miaka 18. Jamani nitawezaje kunyamaza wakati kaniponya. Nakumbuka ulikuwa ikinibana, unabanwa kisawa Sawa ukweli ukweli. Glory to God. I glorify lord Jesus
🎉🎉🎉 unawezaje kutulia
I can't keep quiet Lord,, you have already done it ❤🙏🙏 from Kenya 🇰🇪❤
Sifa kwa Yesu
Oooh wooow.Yesu please keep this testimony for the future
Amen❤🙏
Waliojanzwa nguvu za Mungu kupitia huu wimbo tunaomba like jmn 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 atuwezi kunyamaza Yesuuuuuuuuu tunakupenda
The crying the happynes the feeling is unexplainable
Naweza kunyamaza wakati Mungu amenitendea makubwa, mwaka 2022 ujauzito uliharibika na miezi saba nilitoka damu mpaka ikabaki moja nikaa ICU siku tatu na kuongeza damu unit 11, kiufupi nilichungulia kaburi, nikashonwa shingo ya kizazi na nikaambiwa sitakiwi kubeba mimba ndani ya mwaka.mmoja, lakini baada ya miezi miwili tu nikabeba ujauzito mwingine na 2023 mwezi wa 11 nikapokea bby girl wangu mrembo sana, yuleyule wa kike niliyempoteza, nawezaja kunyamaza mimi, uponyaji nilipata, sikufa kabla ya mpango wa Mungu na bby ninaye!
😭😭😭😭😭
Amen dadangu. Asante kwa ushuuda wako. Utanyamazaje ilhali Mungu amekutendea makuu? Jina lake litukuzwe milele na milele, Amen. 🙏🙌
Hongera Sana hapo huwezi kunyamaza
😢😢😢😢😢😢😢🙌🙌
Glory to God
Hongera sana dada
Wale tulinaoangalia hii baada ya kuona Dr Ipyana akiwa amepiganiwa na Bwana baada ya kupata ajali mbaya ya Kifo lakin bado halalamiki anatutia moyo nione like za kutoshaaaa❤❤❤❤ Hatuwezi Kunyamaza
Tanzania like ziko wapi 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Tz Tunashindwa kunyamaza ni Makubwa anayo tutendea uyu Mungu
TUNAWEZAJE KUTULIA
Nawezaje kutulia Bwana
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿
Nawezaje kutulia
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
If you want Dr.Ipyana to visit Kenya for a worship night gonga like
@dr.Ipyana should see this
Kwani Ni Wa Wich country
Tz@@lizgesare2614
Tanzania @@lizgesare2614
@@lizgesare2614 Tanzania
Kenyan mko wapi tupige kelele hatuezi kunyamaza , ametenda 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nilipata ajali nikapasuka kichwani nikapoteza kumbukumbu kwa muda wa mwezi mzima. Yesu alinirejeshea Tena . Kumbukumbu . Nawezaje kunyamaza
🙌🙌🙌
Glory be to God🙏
Jamani jina la Bwana libarikiwe
Dah nilijua ni mm tu
Na usinyamaze sifa zake na zivume siku zote
Nawezaje kunyamaza wakati nilikatiwa tamaa na kuwa sitaolewa wala sitazaa, na mimi pia nikajikatia tamaa kabisa. Pale nilipoishia Mungu ndio akaanzia! uuuwii Mungu akanishangaza na kuwashangaza watesi wangu. Mbele ya macho yao nikaolewa na God fearing man haswa tena muhubiri wa injili yeye na familia yake. Yaani nimeandaliwa meza mbele ya watesi. Mume ambaye ukimuangalia unaanza kulia tena machozi ya shukrani kwa Mungu. Jamani am blessed and I have the best Christian marriage. Wakwe watumishi yaani namtumikia Mungu kwa ushindi mkuu. Siwezi kunyamaza na kuwaambia mabinti kuwa Yesu bado anao waume bora kwa ajili yao. Mungu wangu anatenda zaidi ya tuombavyo na tuwazavyo!!!! Yesu hajaishiwa na hatokaa aishiwe. Acha tumtangaze huyu Yesu ya kuwa matendo yake yanatisha kama nini!!!
Oliva barikiwa sana
SIFA NA UTUKUFU URUDI KWA MUNGU, Nashangalia na kuconnect na kibali hiki kwa Jina La Yesu
SIFA NA UTUKUFU URUDI KWA MUNGU, Nashangalia na kuconnect na kibali hiki kwa Jina La Yesu
Haleluya Atukuzwe Mungu
Napokeaa hii Kwa viwangoo
Sitaweza kunyamaza, Yesu amenitendea Amen 🙏🙏. Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wapi likes
Sijaona namna hiii I can't be silent 🔕🔕
I will be back with a testimony soon. God please remember me, I want to be part of this testimony. Someone please like my comment.
Amen receive your testimony in Jesus name
Nawazaje kunyamaza wakati amenipa mtoto wakati tuiliitwa taasa mimi na mume wangu👪
Mungu sio kama wanadamu nivwatofauti kabisa
Mungi yu mwema.Hongera
Mungu Mwaminifu 🙏
Hallelujah. Hakuna lililo gumu kwa Mungu
Ee Mungu wangu anitende na.mimi
Nawezaje kunyamanza wakati umefanya sijaona namna hii ❤❤❤❤❤❤❤❤ 2024, I got my visa and traveled, my wife got promoted, sijaona namna hiii, asante Yesu
Nilipata ajari mbaya sana nikielekea kazini nikiwa speed sana. Gari iliacha njia na kugonga Mti, kisha ikageuka na kurudi nilikotoka na kuniangusha tairi kushoto mbele na nyuma zikabaki ringi tupu.Mungu wangu akanitoa mzima kabisaa. Nikiwa naelekea Nairobi na Bus kampuni Easy coach baada ya Gari yetu kuondoka.
ASB mlima wa Mayumayu uliyeyuka na kua matope, nyumba na ❤magari baadhi ikiwemo Bus LA Easy coach vikafunikwa na zaidi ya Watu 250 kufa.
Nilipata attack ya kishindwa kupumua na kuvimba mwili wote nikiwa naendesha Gari . Mungu aliwezesha alinifikisha hadi getini kwangu. Hatimae hali ikazidi kua ngumu lakini niliweza kufikishwa hospital nikapata tiba ya dharula.
Eeh Yesu ninakutenda dhambi kwa mawazo, maneno, matendo na kutitimiza amri zako. *Nisamehe Bwana*
NAWEZAJE KUNYAMAZA SASA?
Tunawezaje kunyamaza wakati Mungu umemuokoa mtumishi wako Dr. Ipyna na mauti ya ajali ❤️🙌🙌🙌
Nawezaje kunyamaza na yeye aliniponya kwa mlipuko wa bomu 2013 sahi najivunia Yeye pekee ndani ya maisha yangu, ni Blessing from Kenya🇰🇪
AMINA.UTUKUFU KWA MUNGU
Amen sifa zimrudie mungu
Nawezaje kunyamanza wakati Mungu katuokoa kwenye ajali ya Ndege with my brother and sister😭😭…na na tumezaliwa 3 tu ….nawezaje kutulia na wakati umefanya namna hii Bwana sijaona namna hiii😭😭
Hakika Mungu ni mkubwa
Wow what a testimony
Glory glory glory to the Most High God 🙌 🙏
@@syrinemwikali7700 amen Glory to our almight God🙏🏾🧎🏻♀️
@@graceilahamis7017 sana tutaendelea kusema ukuu wake 🧎🏻♀️🙏🏾
@@graceilahamis7017Mungu apewe sifa na nitaendelea kumshkuru Mungu kila nikikumbuka hilo 🧎🏻♀️🙏🏾
Jamani likes hazitoshi huu wimbo ni zaidi ya deliverance... Huyu mtumishi wa Mungu azidi kulindwa na damu ya Yesu na he is unstoppable hata shetani alipotaka kumzuia kwenda kuhudumu Rwanda hakuweza... Sijaona likes za kutosha from Rwanda let's thank God for the life of Dr Ipyana... Thumbs up from 🇷🇼🇹🇿🇰🇪🇺🇬.... Let love lead
Nawezaje kunyamaza mimi jaman 🥹 hapa dar nilkuja na kibeg tu cha mgongoni na kiswaswadu ila sasa Mungu amenipa kaz ya kufanya chumba chenye vitu vya kutosha 😭 na kabat lilolojaa nguo 🥹🥹😭😭 mimi ni nan jmn!!
Leo Mungu kanipa na biashara yangu kabisa ndugu zangu wakija dar wanafikia dar na wanakula had wanasaza Ooh Lord!! Hi ni kubwa sana kwangu
NAWEZAJE KUNYAMAZA MIMI 😭😭🙏
Be blessed Leah ❤️
Mungu mkubwa nahisi kulia machozi ya furaha Kwa ushuhuda huu😢
Na sifa zimrejee mwenyezi mungu
God bless you more
Oh Hallelujah!! Praise the Lord!!!
Anyone from Tanzania likes here.
Whoever reading this,God knows what you are facing through, He heard your cry, He is going to deliver you. Just trust in him. Amen
Amen
Amen
Amen,am singing the song with much joy because I know He will do it for me
Amen
Ameen
Nawezaje kunyamaza wakati aliniponya na uraibu wa kamari na uvutaji wa bangi
Nawezaje kunyamaza wakati Mungu ametenda makubwa kwangu nimehangaika n hormonal imbalance for 10 years n finally Mungu ametenda jambo jipya kwangu ! Tripplets on their way 🙏🙏🙏🙏naachaje kumsifu huyu Mungu mwenye matendo makubwa kwangu !!haikua rahisi kusubiri ila 18.08. 2024 God did it 🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️
Glory to God🎉🎉🎉
Hongera mamy shuhuda hzi zinanitia nguvu
Glory be to God🙏🙏🙏🙏
Glory be to God🙏
Groly to GOD.
Mungu BABA, ameniokoa na ajari mbaya , Lori limetugonga nilikuwa kwenye daladala.Hakika siwezi kunyamaza kama wengine wamefariki Mimi npo hai 🥺🥺🙏🙏😔
kwenye huu wimbo najisikia kulia tu😭😭😭😭😭😭 Mungu yupo jamanii tusichoke kumshukuru na kumwabudu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Like from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I can't get enough of this song😊.It is timely.I cannot afford to be silent to my God.The things He has done and the things He's doing are marvelous in my eyes.
Nimetaza video hii Leo Leo usiku nikapokea pesa ya mtaji wa biashara ambao kisutegemea kama ntapata🎉❤😁nawezaje kunyamaza Yehova wakati umefanya kwangu...Glory to Jesus ,ubarikiwe sana Mtumishi hakika Bwana anakutumia kweli.Miujiza imekuja kwangu kama nilivyosema siku unatangaza unatoa hivi karibuni nikasema utoapo hii nyimbo Ije na muujiza wangu na God did❤❤❤fireeeeeee
Wooooooooiiiiiiiii jmn mm huu wimbo naweza usikiliza ata kwa siku mara saba kama wako walioupenda huu wimbo kama mm naomba like zenu nimeshindwa kunyamaza jmn!!!!!!!
umekua sehemu ya maisha yangu! yaaan ashukuriwe Mungu❤❤❤❤❤
Heavenly Father I pray that you keep the person reading this alive, safe, healthy and financially blessed Amen 🙏.
Amen🙏🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏
Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 loves you Doc Ipyana.. praying for your speedy recovery
Naweza kunyamaza mim jmn wakat Mungu hamenitendea mumewangu alipo fariki ndug wa mumewangu walinipokonya kila kitu na mpka watt wangu wakawakata kbs nikawa sijui watt wangu watasomaje na wataishije, lkn Yesu halitenda akatoka mtu wa kuwasomesha watt wangu wote wa 3 tena shule za boding, jmn naweza kunyamaza mim zaid yakulitukuza jina lake
Ee Yesu sijaona namna hii siwezi kunyamaza, mengi uliyotenda kwenye maisha yangu, umenipa wazazi, umenipa mume, umenipa watoto wawili wazuri, umenipa kazi nzuri yenye heshima, na umenipa wadogo wazurii , Yesu siwez kunyamaza
Nawezaje kunyamaza..Mungu umemponya mwanangu aliekua na matundu kwenye moyo mawili, nilikua nampeleka clinic Muhimbili kila baada ya miezi miwili...tangu kuzaliwa...now ana miaka 8 amepona bila operation wala dawa za hospitali...siwezi kunyamaza kabisaaa....eeeeh namna hii sijaona namna hii Yesu🙌🙌🙇
I can feel dear,siwez kunyamaza pia sickle cell,miez kumi na Moja Sasa mwanangu hajalala hospitali wala kuona mlango wa hosp,hajaongezewa damu,I ntank God for this,ilikua Kila week hosp Kila baada ya miez miwil tunalazwa anaongezewa damu.siwez kunyamaza mim😢
@@FridaMwita halafu mtu aje kuniambia et Yesu ni scam..aaah hapana jamani siwezi kunyamaza kabisaa huu wimbo naweza nikausikiliza siku mzima nisichoke kipenzi,Yesu ni mzuri mnoo🔥🔥🙌
❤❤❤❤
Ooooh haleluya ninalia kushukuru kwaajili yako
@@mselledamas9078 ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeen 🙌
14 October 2024, soon nitarudi hapa kumshuhudia huyu Mungu....
Here after Dr. Ipyana's public announcement of the accident. Shetani atashindwa milele. JESUS CHRIST is enthroned forever more AMEN.
Ashashindwa, hana nguvu. Mungu ni mwema.
@@moseshunja1792 AMEN
Amen, don’t touch my anointed and do them no harm. Says the Lord psalm 105:15 so the Devil has to pay. He will not die but live to declare the goodness of the lord in the land of the living. May the angels of the lord protect him day and Night and his family too . We cover him with the blood of Jesus
Number yake inapatikanaje
How can I not talk about Him when He has literally protected me from my evil workmates 🙏🙏😭😭😭😭
Yesu akutetee😢
Mungu azidi kukutetea na
Ushindi ni wako
Nawezaje kunyamaza hali Mungu amemponya Dr.Ipyana na roho ya mauti,
nimekumbuka Mungu alivyoniokoa na ajali ya mauti,gari ya Noah iliponigonga na kunirusha mbele na kunipitia juu hadi leo nipo hai nina nguvu,namtukuza Mungu
Nawezaje kunyamaza
Wkt Nilimuona Mungu live alivoshuka haraka kuniokoa baada ya kugonga Treni na gari lng tena nikiwa na firstborn wng wa miezi tuu alienizawadia Mungu baada ya uzazi kusumbua muda mrefu lkn hatukufa wala kuumia ! Ingawa gari lilikuwa hoi !
Sifa kwa mungu
Nawezaje Kunyamaza 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 the least in the house of the Lord is great than greatest in the darkness. I Love y’all who Loves Jesus a Christ.
Lot's of love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪God is lifting you for the sake of our generation!
more Grace
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤
Nawezaje kunyamanza umenitendea makubwa from rwanda 🇷🇼 like zetu ziko wapi tukishukuru mungu wetu tumeona rwanda 🇷🇼
Tuliokua tunaisubiria hii video tujuane jmn🙏🙏🙏🙏 Nawezaje kunyamazaa sasa❤❤❤ Barikiwaa sanaa Kaka Dr Ipyana❣️❣️❣️🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏
Nipo hapa kaka
@@goddiegilbert2147 Ameen sanaa kaka Barikiwaa 🙏🙏🙏🙏
Tupoooooo😅
@@NadhiriBlessing Ameeen kaka ♥️🙏🙏
Nimewasili hapa hallelujah 🎉
Niligonjeka kanza ya macho na ilikuwa imebaki one week na nikufe nilitolewa jicho moja sai niko na nko mzima na hilo jicho moja praise God 🙏🏾nitawezaje kunyamaza mm , Kenya's 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
glory to God
Glory be to God
Yesu aliyenipa watoto nawezaje kunyamanza sijaona Namna hiii❤❤❤❤❤❤❤❤
Nawezaje kulia wakati mungu umefanya Kama unamkubali dr ipyana tujuane like zene 👍👍👍
2 weeks to my graduation
Indeed the journey was not a walk in the park but my God did it for me
Financially and in everything
Jamani nawezaje kunyamaza🙇
Blessings🥳
Congratulations Mwana mhana❤ God has done it
@@b.emmaqulate amen yaya
🎉🎉🎉Nashangilia na kumpa Mfalme wa Amani ibada ya Sifa amenitendea siwezi kunyamaza🙏🙏🙏🙏
Cangatulation dr🎉❤
Sijaiona namna hii kwa taifa kama Tanzania kuinua watu wenye Roho ya uamsho wa kumuinua Mungu kwa ibada ya nyimbo nzuri namna hii sitoweza kunyamaza... Mungu akutunze chombo kiteule cha Mungu wetu shukrani apewe Mungu ametupendelea TZ
AMINA.HUU NI USHUHUDA HALI YA JUU
@@CatherineNzekiamen❤
Sitaweza kunyamaza Mungu anakwenda kunipa kazi nzuri ,,,nitarudi hapa hapa kupiga kelele zaidi siku si nyingi
Amina amina
Here I am kupiga kelele na uyu Mungu jaman,,ametenda kwa kishindo acheni tu🙏🙏🙏🙏
@@JoyceHaule-o7b Mungu amejibu
Nilinyimwa visa mara 3 nikakata tamaa finaly mara ya4 nikapewa kirahis kabisa now niko US sjaona namna hii woow Glory to God
Siwezi kunyamaza kwa yale Mungu ametenda ntaimba nitaruka nitacheza kwa sababu ametenda eeeiiiii kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪This new song by Dr. Ipyana is nothing short of heavenly. The lyrics and melody touch the heart and lift the spirit. Every note of this song resonates with pure worship and praise. It's a beautiful reminder of the joy and hope we find in our faith. Truly uplifting thank you for this incredible blessing Man of God it's already hitting here in Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Siwezi nyamaza
najua sijachelewa sana naomba hata like moja, mimi siwezi kunyamaza🙇
Nawezaje kunyamaza 2002 Mungu alinipinya na ajali mbaya ya tren Dodoma Mungu alinipa kazi nzuri serikalini nimetumikia miaka 34 leo nimestaafu kwa usalama bila shida yeyote nawezaje kunyamaza
Suffered depression since 2018 but am very free know,siwezi nyamaza....God has done it again
Namna hii sijaona namna God Bless you Mtumishi wa Mungu
Barikiwa zaidi Boaz Danken
Hakika hatuwezi kunyamaza mtumishi
Sijaona namna hiii blessing over blessing❤❤❤❤
Barikiwa sana pia mtumishi wa Mungu.
Furaha festival Mbeya ❤❤❤
Dr ipyana ameshindwa kunyamazaa na amemtukuza Mungu hata kwa Hali aliyopitia siku ya uzinduzi WA nyimbo badooo Mungu amemtendea Nami cwez kunyamaza kumtukuz Mungu kwa ajili yake...Glory to God Bwana amejivika utukufu na heshima..Mungu yupo jamani
Alipitia hali gani?
@@tumainirwela6488 angalia video amepost kwenye akaunti yake, alipata ajali mbaya sana, Bwana kamtoa salama, ijapo alijeruhiwa
@@tumainirwela6488alipata ajali my kagongwa na gari
@@tumainirwela6488alipata ajalii
Just like the Samaritan woman in the book of John who couldn't keep quiet after meeting Jesus,,NAWEZAJE KUNYAMAZA JAMANI?
Amen my sister
Uliyenipa ujauzito full term miezi tisa adi Sasa napoelekea kwenye kujifungia na kwenda kumpokea mtoto wangu wa kiume niwewe tu umefanya...nakutumainia bwana siwezi nyamaza wala kutulia kwa Yale umetenda na utakayotenda Amina
Nawezaje kutulia wakati Yesu umefanya umenipa mume , umenipa kazi, umenipa na biashara kubwa, umewaokoa ndugu zangu. Na ulevi umemponya baba 😭😭😭 ee Yesu nmna hii sjaona namna hii🙌🏽🙌🏽
Sifa na utukufu n kwake ninaomba akatende nakwawengine wanaoteseka🙏🙏
Amen and ameeen 🙏🏿
Mungu nimwema
Wimbo unanibaliki sana ♥️❤️♥️♥️
Kama unaupenda wimbo huuu basiii eka emoji ya love kuashiria kuuupenda wimbo huuu
❤❤❤❤❤❤
Nawezaje kweli wee, moto pasi
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
like za dr ipyana hapa
Nawezaje kunyamaza wakati Mungu amenitendea makubwa katika maisha haya. Kwanza kabisa nimepona pumu iliyonisumbua kwa muda mrefu,Mungu aliniokoa katika ajali ambayo ingechukua uhai wangu. Pia,wengi walizani sitaweza kusoma kabisa lakini Mungu amenifunulia njia . Sitachoka kumtukuza Huyu Mungu aliye Mfalme wa Mbingu na Nchi.🙏
Nawezaje kunyamaza Mungu wakati ulimponya baba angu mzazi ambae tuliangaika nae sio chini ya Miaka miwili alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo pamoja na inni ila mpaka Sasa baba angu Bado yupo na anaendelea vizuri eeeeh Mungu naomba uzid kumpigania baba angu Kila iitwapo leo nampenda sana baba angu ❤🙏
Kama umebarikiwa Sana na wimbo huu gonna like hapa, me nimebarikiwa SANA❤ JESUS
Huu wimbo imetoka siku ambayo nashukuru mungu kwa kuniongezea mwaka hakika nawezaje kinyamaza wakati yeye amenivusha na mengi tangu mwaka jana
AMINA SIFA NA UTUKUFU KWA MUNGU
Psalms 149:3 says, “Let them praise his name with dancing…Praise him with tambourine and dance…”3 In 2 Samuel 6:14-22, David dances before the Lord with all his might, providing us with a wonderful example of what it truly means to surrender to God in worship. Amen Amen
Nawezaje kunyamanza kwa matendo makuu ulio nitendea 😭😭😭😭umenipigania umenitetea mpaka sasa tumaini langu ni ww YESU Christo,,,,,nawezaje kutulia kwa ulinzi wako juu ya familia yangu ninachoomba badilisha history ya familia yangu 😭😭usituache BABA yetu
Nawazaje kunyamaza . Yesu aliniponya kivyimba cha mukichwa. He is our healer
Namshukuru mung kwa matendo yake daima siwezi kunyamaza nitalitumuza jina lk milele kwa kumponya mke wng🙏🙏🙏⛪❤️ 2:07
Hivi kwa mfano nanyamazaje wakati Yesu aliniponya ugonjwa nikapona kabisa kabisa 😭😭😭🕺🏿🕺🏿
Nawezaje Kunyamaza na kutulia kwa huyu Mungu jamani.... Aliyenifaulisha Mitihani yangu ya chuo 2023 miongoni mwa wanafunzi wa tano (5/43). Ninampenda Mungu jamn kwa kuwa anasikia maombi yetu. Nitamtukuza siku zote Na kwa wimbo sitanyamaza.Barikiwa sana Anointed Man of God. Hakika utavikwa taji kubwa MBINGUNI
Truly Dr Ipyana as the word says,the Lord is saying, you will live long to see the goodness of God in the land of the living...
Thanks for this song 🇰🇪
Nawezaje kunyamaza Kwa vile tu Yesu alovyonitoa katika maisha ya mateso ya tatizo lakukosa choo,miaka kwa miaka ikifika swala la haja kubwa kwangu,ulikua ni msiba,madaktari uwezo wao uliishia kwenye hamna namna yakupona isipokua upasuaji,Yesu Kwa damu Yako umeniponya bureee,mimi Judith ni mzimaa mzimaa,mimi niliekua nakaa mawiki bila kupata choo,nanikija kukipata ni maumivu makali,lkn Leo Ninapata choo kawaida Kwa amani,nawezaje kunyamaza jamani wakati tatizo hili limechukua maisha wa wengine na mm umeniponya kabisaaaa.
Amen be blessed Judith ❤️
Blessing❤❤
Amen! Glory to God!
Naitwa trasi elifasi nawezaje kunyamanza na ikiwa Mungu Amemsaidia mdogo wangu kupata ajira Sifa na utukufu vimludie Mungu 👏👏👏
Nawezaje kunyamaza wakati umefanya🙌 Sophie here +254 Been trusting God for a job it had taken lonnnnng,but who is like our God,in his own way in his own time He has done it for me❤
Tapping this blessing in Jesus name 🙏🙏
What God cannot do, doesn't exist.
Just seen your message over the accident.
This is a true testimony that you are ordained to minister through songs.
Quick recovery 🇰🇪🇰🇪🙏🙏
Mungu akuponye mtumishi wake mapema, nawezaje kunyamaza wakati Mungu amefanya kwa kukuokoa na mauti
AMINA NA ATAZIDI KUMPA MAISHA MAREFU ILI AMUIMBIE NA KUMTUMIKIA
Dear Diary
14th Sept 2024
"Amenipa Kicheko"
Mungu ana Watu jamani.. like za Kenya team gulf njooni muone Yesu anaenda ❤❤🇸🇦🇸🇦🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪siwezi na sitawahi nyamaza kushuhudia Yale Mungu amefanya in my life......
Emmanuel Peter kwenye bass yuko hatari Sana ,kepha mndeme the MD pia anafanya kazi safiii 🔥 huku Kenya 🇰🇪 Moore love.. wimbo huu wa baraka na mvuto sana God bless you servant of the Lord Dr lpyana ...kenya ns twende na likes kama zotee
Who is hear after watching the video ya how dr ipyana got an accident hours to the release of this song??
Quick recovery mtumishi
Hakika Mungu ni mwema siwezi nyamaza kusimulia ukuu wake..siku ya tarehe 5August 2024 ameniepusha na ajali tukiwa tunarejea nyumbani kutoka kazini gari yetu iligongwa kwa nyuma ila Mkono wa Mungu ni mkuu mno tulifika salama wachache warijeruhiwa..
Bwana ni mwema sana, utukufu ni kwake
Amen
Mungu ni mwema❤
Nitaweza aje kunyamaza wakati amenipa ushindi ,nimenyamazia kilio kwa miaka miwili sasa siwezi kunyamazia furaha,sijaona namna hii,,walioniahidi kilio huu mwaka nasherehekea ushindi na mungu kawanyamazisha,Mungu ni mkuu,Mungu yupo guys❤
Hakika hatuwezi nyamaza Kwa anavyofanya... Nimempoteza Mama yangu mwaka Jana na ni mzazi niliyebaki nae Ila huyu Baba amefanya makubwa.. quick recovery nisivyotegemea, amesimama Nami kwa namna ya ajabu, now Niko na furaha, amenipa watu ambao wamesimama kama wazazi kwangu.... Oooh Mungu wa namna sijaona
Pole
Kwakweli wimbo huu ukawe faraja kwako 🤝
@@DicksonNelson-d1f 🙏❤️
@@EliasBoniphace-oi4ww 🙏❤️
@@DicksonNelson-d1f 🙏❤️
Hallelujah. Umefanya Mungu wangu. Thank you Father ❤❤❤,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🎉🎉🎉 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Nawezaje kunyamaza kwakweli, nlikaa miaka 7 bila majibu ya jambo langu, hatimae Yesu alinijibu,, Lazima nisinyamaze kabsa🙏🙏
Kwa kweli siwezi kunyamaza...sijaona matendo ya namna hii...🙌🙌🙏🙏ooh glory be the most high siwezi kutulia kamwe kwa maana nmeuona mko wake bwana maishani mwangu 😢😢nlipo fikiria nimefika mwisho kumbe ndo ulikua mwanzo wako Jehovah..kwa kweli sifa na shukrani ni zako baba yangu...nayakabidhi maisha yangu kwako familia yangu naikabidhi mkononi mwako mungu baba...sio kwa nguvu zangu mbali ni uwezo na matendo yako katika maisha yangu yesu kristo..nakutumainia bwana 🙌🙌🙏 🙏..🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I believe this is the Swahili version of Jesus Iye 🔥🙌🏽❤🇰🇪
Adui ameshindwa kukuangamiza kwenye ajali ya gari! Kweli atuwezi kunyamaza wakati YESU amefanya.
Aki jameni tutembelee 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪. God is great Nawezaje kunyamaza.❤😊
Kenyans lets take this song to a million views😊😊😊we will sing at the end of the year again giving thanks to God cz we trust God He's going to do big thing to us🙏
I cnt have enough this song siwezi tulia kama bwana yesu amefanya love from Kenya 🇰🇪
Naweza aje kunyamaza wakati alinipa mtoto and proved to me he is a miracle working God and Jehova rapha
piga keleleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee bila kunyamaza , mataifa yote gonga like
Haijalishi unapitia nini USINYAMAZEE msifu Mungu hata katika mapito yako
Muamini kuwa amefanya
Ameen
Ahsante MUNGU...NAMNA HII SIJAONA , MUNGU UTUKUZWE MILELE YOTE
Germany niko hapa Mungu amefanya Nawezaje kunyamanza
Naweza kunyamaza,aiyeeee