Dr.Ipyana - NAWEZAJE KUNYAMAZA//NAMNA HII SIJAONA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
  • #dripyana #Jesus #NAWEZAJEKUNYAMAZA
    Dr. Ipyana Kibona (MD) is a Gospel Worship Minister from Tanzania, with the heart for Jesus Christ.
    Through devotional songs inspired by The Holy Spirit, Dr. Ipyana is dedicated to be a vessel used by The Almighty God to spread the Good News of the Gospel and build The Kingdom of God in the hearts of men.
    His God-given ministry, GRAND IBADA serves to create and foster a Heaven-like environment on earth, raise an Altar for God, inspire and teach how to express reverence to God and build a conducive climate, through which God can tend the hearts of HIS people.
    #NawezajeKunyamaza
    #DrIpyana
    NAWEZAJE KUNYAMAZA is the latest instalment from the highly acclaimed Holy Spirit filled live recording album “The Tabernacle”.
    This song expresses a prophetic praise to the Almighty God, describing how one cannot contain their joyful child-like feeling over the mighty things The Lord has done.
    As a child fails to contain their excitement when given gifts or taken to experience something they have longed for awhile or what they did not expect.
    Such is the experience, which in turn provokes a thanksgiving in us, prompting an undignified child-like praise to our God, not withholding honor for our God, because of the way and the magnitude of the acts of God.
    CONNECT / Partner with DR.IPYANA through your offering
    WAVE/TERRA/MPESA
    +255754637055 - only whatsup
    Name: IPYANA PETER KIBONA
    Wire transfer
    ACC # : 0152294745700
    Bank : CRDB
    Swiftcode : CORUTZTZ
    LYRICS
    Sijaona namna hii
    Eeeh namna hii, sijaona namna hii

    Nawezaje kunyamaza?
    Wakati Umefanya
    Eeh namna hii, sijaona namna hii
    Nawezaje kutulia?
    Wakati Umefanya
    Eeh namna hii, sijaona namna hii

    Mataifa yatetemeka
    Kwa Matendo Yako MAKUBWA
    Aiyeee! Namna hii?
    Sijaona namna hii

    Dunia inashangazwa
    Kwa Matendo Yako MAKUBWA
    We’ YESU, namna hii?
    Sijaona namna hii

    Nawezaje kunyamaza?
    Wakati Umefanya
    Eeeh namna hii?
    Sijaona namna hii

    Nawezaje kutulia?
    Wakati Umefanya
    Eeeh namna hii?
    Sijaona namna hii


    Nawezaje kunyamaza?
    Wakati Umefanya
    Haiwee! namna hii?
    Sijaona namna hii

    Nawezaje kutulia?
    Wakati Umefanya
    Haiwee! namna hii?
    Sijaona namna hii

    Nawezaje kunyamaza?
    Wakati Umefanya
    We’ YESU namna hii?
    Sijaona namna hii

    Nawezaje kutulia?
    Wakati Umefanya
    We’ YESU! namna hii?
    Sijaona namna hii

    We’ YESU! namna hii?
    Sijaona namna hii

    Haiwee! namna hii,
    Sijaona namna hii

    Eeh namna hii?
    Sijaona namna hii
    More of

ความคิดเห็น • 2.5K

  • @SamsaiMedia
    @SamsaiMedia 2 หลายเดือนก่อน +1650

    Anyone from Kenya Tupia like hapa maze🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @eliufoosimonchuri4160
      @eliufoosimonchuri4160 2 หลายเดือนก่อน +14

      Our brothers and sisters mko safi sana. Many blessings to you. Namna hii hatujawahi ona.

    • @winymaomond2430
      @winymaomond2430 2 หลายเดือนก่อน +13

      Tuko🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @nancynjeri4348
      @nancynjeri4348 2 หลายเดือนก่อน +9

      Tuko ndani 🇰🇪🇰🇪

    • @wafabian8116
      @wafabian8116 2 หลายเดือนก่อน +9

      Niko Niko🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nasiwezi kunyamaza

    • @marygokune2351
      @marygokune2351 2 หลายเดือนก่อน +7

      Here🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @sophiaasenga298
    @sophiaasenga298 2 หลายเดือนก่อน +925

    Nawezaje kunyamaza. Naitwa Sophia Anselmu Asenga. Yesu aliniponya Asma na pumu iliyonitesa Kwa miaka 18. Jamani nitawezaje kunyamaza wakati kaniponya. Nakumbuka ulikuwa ikinibana, unabanwa kisawa Sawa ukweli ukweli. Glory to God. I glorify lord Jesus

    • @petermushi4024
      @petermushi4024 2 หลายเดือนก่อน +11

      🎉🎉🎉 unawezaje kutulia

    • @userbridgitnkatha
      @userbridgitnkatha 2 หลายเดือนก่อน +13

      I can't keep quiet Lord,, you have already done it ❤🙏🙏 from Kenya 🇰🇪❤

    • @ritaaliela7401
      @ritaaliela7401 2 หลายเดือนก่อน +5

      Sifa kwa Yesu

    • @marthawillium2547
      @marthawillium2547 2 หลายเดือนก่อน +10

      Oooh wooow.Yesu please keep this testimony for the future

    • @helenyohana1892
      @helenyohana1892 2 หลายเดือนก่อน +3

      Amen❤🙏

  • @denisbongore3098
    @denisbongore3098 2 หลายเดือนก่อน +352

    Waliojanzwa nguvu za Mungu kupitia huu wimbo tunaomba like jmn 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 atuwezi kunyamaza Yesuuuuuuuuu tunakupenda

    • @leonidamichael2664
      @leonidamichael2664 หลายเดือนก่อน +2

      The crying the happynes the feeling is unexplainable

  • @MagrethAndrew-hj5ur
    @MagrethAndrew-hj5ur 2 หลายเดือนก่อน +493

    Naweza kunyamaza wakati Mungu amenitendea makubwa, mwaka 2022 ujauzito uliharibika na miezi saba nilitoka damu mpaka ikabaki moja nikaa ICU siku tatu na kuongeza damu unit 11, kiufupi nilichungulia kaburi, nikashonwa shingo ya kizazi na nikaambiwa sitakiwi kubeba mimba ndani ya mwaka.mmoja, lakini baada ya miezi miwili tu nikabeba ujauzito mwingine na 2023 mwezi wa 11 nikapokea bby girl wangu mrembo sana, yuleyule wa kike niliyempoteza, nawezaja kunyamaza mimi, uponyaji nilipata, sikufa kabla ya mpango wa Mungu na bby ninaye!

    • @HellenKahema
      @HellenKahema 2 หลายเดือนก่อน

      😭😭😭😭😭

    • @dr_muyoka
      @dr_muyoka 2 หลายเดือนก่อน +8

      Amen dadangu. Asante kwa ushuuda wako. Utanyamazaje ilhali Mungu amekutendea makuu? Jina lake litukuzwe milele na milele, Amen. 🙏🙌

    • @upendokikwelele620
      @upendokikwelele620 2 หลายเดือนก่อน +2

      Hongera Sana hapo huwezi kunyamaza

    • @pendopaul8011
      @pendopaul8011 2 หลายเดือนก่อน

      😢😢😢😢😢😢😢🙌🙌

    • @NatovuakiThomas
      @NatovuakiThomas 2 หลายเดือนก่อน +1

      Glory to God
      Hongera sana dada

  • @AlphonceDM
    @AlphonceDM 2 หลายเดือนก่อน +154

    Wale tulinaoangalia hii baada ya kuona Dr Ipyana akiwa amepiganiwa na Bwana baada ya kupata ajali mbaya ya Kifo lakin bado halalamiki anatutia moyo nione like za kutoshaaaa❤❤❤❤ Hatuwezi Kunyamaza

  • @nvpmedia6467
    @nvpmedia6467 2 หลายเดือนก่อน +715

    Tanzania like ziko wapi 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Tz Tunashindwa kunyamaza ni Makubwa anayo tutendea uyu Mungu

    • @ministerHappyAllan
      @ministerHappyAllan 2 หลายเดือนก่อน +5

      TUNAWEZAJE KUTULIA

    • @EmileLugendo
      @EmileLugendo 2 หลายเดือนก่อน +5

      Nawezaje kutulia Bwana

    • @julianalameck9045
      @julianalameck9045 2 หลายเดือนก่อน +7

      🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿

    • @leoniajohn8676
      @leoniajohn8676 2 หลายเดือนก่อน +3

      Nawezaje kutulia

    • @jasminesungura8730
      @jasminesungura8730 2 หลายเดือนก่อน +1

      🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @ruthwangari1207
    @ruthwangari1207 2 หลายเดือนก่อน +664

    If you want Dr.Ipyana to visit Kenya for a worship night gonga like

    • @b.emmaqulate
      @b.emmaqulate 2 หลายเดือนก่อน +5

      @dr.Ipyana should see this

    • @lizgesare2614
      @lizgesare2614 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kwani Ni Wa Wich country

    • @sallypeter1407
      @sallypeter1407 2 หลายเดือนก่อน

      Tz​@@lizgesare2614

    • @sarahwawuda5164
      @sarahwawuda5164 2 หลายเดือนก่อน

      Tanzania ​@@lizgesare2614

    • @b.emmaqulate
      @b.emmaqulate 2 หลายเดือนก่อน

      @@lizgesare2614 Tanzania

  • @matildaotieno7288
    @matildaotieno7288 2 หลายเดือนก่อน +133

    Kenyan mko wapi tupige kelele hatuezi kunyamaza , ametenda 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @deborahkabwe6057
    @deborahkabwe6057 2 หลายเดือนก่อน +281

    Nilipata ajali nikapasuka kichwani nikapoteza kumbukumbu kwa muda wa mwezi mzima. Yesu alinirejeshea Tena . Kumbukumbu . Nawezaje kunyamaza

    • @MaryLaizer-zy6nm
      @MaryLaizer-zy6nm 2 หลายเดือนก่อน +3

      🙌🙌🙌

    • @judyndaula6343
      @judyndaula6343 หลายเดือนก่อน +2

      Glory be to God🙏

    • @ansilalulehana4715
      @ansilalulehana4715 หลายเดือนก่อน +2

      Jamani jina la Bwana libarikiwe

    • @frankmbindi6362
      @frankmbindi6362 หลายเดือนก่อน +1

      Dah nilijua ni mm tu

    • @Mr_batuku
      @Mr_batuku หลายเดือนก่อน +2

      Na usinyamaze sifa zake na zivume siku zote

  • @OlivaMoshi
    @OlivaMoshi 2 หลายเดือนก่อน +129

    Nawezaje kunyamaza wakati nilikatiwa tamaa na kuwa sitaolewa wala sitazaa, na mimi pia nikajikatia tamaa kabisa. Pale nilipoishia Mungu ndio akaanzia! uuuwii Mungu akanishangaza na kuwashangaza watesi wangu. Mbele ya macho yao nikaolewa na God fearing man haswa tena muhubiri wa injili yeye na familia yake. Yaani nimeandaliwa meza mbele ya watesi. Mume ambaye ukimuangalia unaanza kulia tena machozi ya shukrani kwa Mungu. Jamani am blessed and I have the best Christian marriage. Wakwe watumishi yaani namtumikia Mungu kwa ushindi mkuu. Siwezi kunyamaza na kuwaambia mabinti kuwa Yesu bado anao waume bora kwa ajili yao. Mungu wangu anatenda zaidi ya tuombavyo na tuwazavyo!!!! Yesu hajaishiwa na hatokaa aishiwe. Acha tumtangaze huyu Yesu ya kuwa matendo yake yanatisha kama nini!!!

    • @LeahJoshuwa
      @LeahJoshuwa หลายเดือนก่อน +1

      Oliva barikiwa sana

    • @magdalenamaziku9691
      @magdalenamaziku9691 หลายเดือนก่อน +1

      SIFA NA UTUKUFU URUDI KWA MUNGU, Nashangalia na kuconnect na kibali hiki kwa Jina La Yesu

    • @magdalenamaziku9691
      @magdalenamaziku9691 หลายเดือนก่อน +1

      SIFA NA UTUKUFU URUDI KWA MUNGU, Nashangalia na kuconnect na kibali hiki kwa Jina La Yesu

    • @deborasimon422
      @deborasimon422 หลายเดือนก่อน

      Haleluya Atukuzwe Mungu

    • @GaudenciaMatutu
      @GaudenciaMatutu หลายเดือนก่อน

      Napokeaa hii Kwa viwangoo

  • @irenemwikali7400
    @irenemwikali7400 2 หลายเดือนก่อน +202

    Sitaweza kunyamaza, Yesu amenitendea Amen 🙏🙏. Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wapi likes

    • @fredrickojiambo254
      @fredrickojiambo254 หลายเดือนก่อน +1

      Sijaona namna hiii I can't be silent 🔕🔕

  • @user-Joykananu
    @user-Joykananu 2 หลายเดือนก่อน +106

    I will be back with a testimony soon. God please remember me, I want to be part of this testimony. Someone please like my comment.

    • @kerubonancy5057
      @kerubonancy5057 หลายเดือนก่อน

      Amen receive your testimony in Jesus name

  • @GraceNafula-n1h
    @GraceNafula-n1h 2 หลายเดือนก่อน +258

    Nawazaje kunyamaza wakati amenipa mtoto wakati tuiliitwa taasa mimi na mume wangu👪

    • @DIGNAJASTIN-dl8yj
      @DIGNAJASTIN-dl8yj 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu sio kama wanadamu nivwatofauti kabisa

    • @epifaniamilinga2848
      @epifaniamilinga2848 2 หลายเดือนก่อน

      Mungi yu mwema.Hongera

    • @vanesamedard1689
      @vanesamedard1689 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu Mwaminifu 🙏

    • @soniamkumbwa5540
      @soniamkumbwa5540 2 หลายเดือนก่อน

      Hallelujah. Hakuna lililo gumu kwa Mungu

    • @MiliamNgozi
      @MiliamNgozi 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ee Mungu wangu anitende na.mimi

  • @DCH-681
    @DCH-681 2 หลายเดือนก่อน +52

    Nawezaje kunyamanza wakati umefanya sijaona namna hii ❤❤❤❤❤❤❤❤ 2024, I got my visa and traveled, my wife got promoted, sijaona namna hiii, asante Yesu

  • @gracepaul5901
    @gracepaul5901 2 หลายเดือนก่อน +52

    Nilipata ajari mbaya sana nikielekea kazini nikiwa speed sana. Gari iliacha njia na kugonga Mti, kisha ikageuka na kurudi nilikotoka na kuniangusha tairi kushoto mbele na nyuma zikabaki ringi tupu.Mungu wangu akanitoa mzima kabisaa. Nikiwa naelekea Nairobi na Bus kampuni Easy coach baada ya Gari yetu kuondoka.
    ASB mlima wa Mayumayu uliyeyuka na kua matope, nyumba na ❤magari baadhi ikiwemo Bus LA Easy coach vikafunikwa na zaidi ya Watu 250 kufa.
    Nilipata attack ya kishindwa kupumua na kuvimba mwili wote nikiwa naendesha Gari . Mungu aliwezesha alinifikisha hadi getini kwangu. Hatimae hali ikazidi kua ngumu lakini niliweza kufikishwa hospital nikapata tiba ya dharula.
    Eeh Yesu ninakutenda dhambi kwa mawazo, maneno, matendo na kutitimiza amri zako. *Nisamehe Bwana*
    NAWEZAJE KUNYAMAZA SASA?

  • @ebenezerchristopher9605
    @ebenezerchristopher9605 2 หลายเดือนก่อน +96

    Tunawezaje kunyamaza wakati Mungu umemuokoa mtumishi wako Dr. Ipyna na mauti ya ajali ❤️🙌🙌🙌

  • @BlessingBaraka-i1s
    @BlessingBaraka-i1s 2 หลายเดือนก่อน +133

    Nawezaje kunyamaza na yeye aliniponya kwa mlipuko wa bomu 2013 sahi najivunia Yeye pekee ndani ya maisha yangu, ni Blessing from Kenya🇰🇪

    • @CatherineNzeki
      @CatherineNzeki 2 หลายเดือนก่อน

      AMINA.UTUKUFU KWA MUNGU

    • @FATUMANgala-j1z
      @FATUMANgala-j1z หลายเดือนก่อน

      Amen sifa zimrudie mungu

  • @benignendayizigiye224
    @benignendayizigiye224 2 หลายเดือนก่อน +82

    Nawezaje kunyamanza wakati Mungu katuokoa kwenye ajali ya Ndege with my brother and sister😭😭…na na tumezaliwa 3 tu ….nawezaje kutulia na wakati umefanya namna hii Bwana sijaona namna hiii😭😭

    • @graceilahamis7017
      @graceilahamis7017 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hakika Mungu ni mkubwa

    • @syrinemwikali7700
      @syrinemwikali7700 หลายเดือนก่อน +1

      Wow what a testimony
      Glory glory glory to the Most High God 🙌 🙏

    • @benignendayizigiye224
      @benignendayizigiye224 หลายเดือนก่อน +1

      @@syrinemwikali7700 amen Glory to our almight God🙏🏾🧎🏻‍♀️

    • @benignendayizigiye224
      @benignendayizigiye224 หลายเดือนก่อน

      @@graceilahamis7017 sana tutaendelea kusema ukuu wake 🧎🏻‍♀️🙏🏾

    • @benignendayizigiye224
      @benignendayizigiye224 หลายเดือนก่อน

      @@graceilahamis7017Mungu apewe sifa na nitaendelea kumshkuru Mungu kila nikikumbuka hilo 🧎🏻‍♀️🙏🏾

  • @MsMamemy
    @MsMamemy 2 หลายเดือนก่อน +40

    Jamani likes hazitoshi huu wimbo ni zaidi ya deliverance... Huyu mtumishi wa Mungu azidi kulindwa na damu ya Yesu na he is unstoppable hata shetani alipotaka kumzuia kwenda kuhudumu Rwanda hakuweza... Sijaona likes za kutosha from Rwanda let's thank God for the life of Dr Ipyana... Thumbs up from 🇷🇼🇹🇿🇰🇪🇺🇬.... Let love lead

  • @leah_km
    @leah_km 2 หลายเดือนก่อน +96

    Nawezaje kunyamaza mimi jaman 🥹 hapa dar nilkuja na kibeg tu cha mgongoni na kiswaswadu ila sasa Mungu amenipa kaz ya kufanya chumba chenye vitu vya kutosha 😭 na kabat lilolojaa nguo 🥹🥹😭😭 mimi ni nan jmn!!
    Leo Mungu kanipa na biashara yangu kabisa ndugu zangu wakija dar wanafikia dar na wanakula had wanasaza Ooh Lord!! Hi ni kubwa sana kwangu
    NAWEZAJE KUNYAMAZA MIMI 😭😭🙏

    • @SophiaChande
      @SophiaChande 2 หลายเดือนก่อน

      Be blessed Leah ❤️

    • @ZakiaSaid-wp6pm
      @ZakiaSaid-wp6pm หลายเดือนก่อน

      Mungu mkubwa nahisi kulia machozi ya furaha Kwa ushuhuda huu😢

    • @lennykamau8100
      @lennykamau8100 หลายเดือนก่อน

      Na sifa zimrejee mwenyezi mungu

    • @FATUMANgala-j1z
      @FATUMANgala-j1z หลายเดือนก่อน

      God bless you more

    • @joycelanda8987
      @joycelanda8987 3 วันที่ผ่านมา

      Oh Hallelujah!! Praise the Lord!!!

  • @jackeminja9694
    @jackeminja9694 2 หลายเดือนก่อน +97

    Anyone from Tanzania likes here.

  • @praiseandworship6293
    @praiseandworship6293 2 หลายเดือนก่อน +169

    Whoever reading this,God knows what you are facing through, He heard your cry, He is going to deliver you. Just trust in him. Amen

  • @ingozescopion
    @ingozescopion 2 หลายเดือนก่อน +65

    Nawezaje kunyamaza wakati aliniponya na uraibu wa kamari na uvutaji wa bangi

  • @ireneleonard4739
    @ireneleonard4739 2 หลายเดือนก่อน +93

    Nawezaje kunyamaza wakati Mungu ametenda makubwa kwangu nimehangaika n hormonal imbalance for 10 years n finally Mungu ametenda jambo jipya kwangu ! Tripplets on their way 🙏🙏🙏🙏naachaje kumsifu huyu Mungu mwenye matendo makubwa kwangu !!haikua rahisi kusubiri ila 18.08. 2024 God did it 🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️

    • @dorynfao
      @dorynfao 2 หลายเดือนก่อน

      Glory to God🎉🎉🎉

    • @sarahoden1344
      @sarahoden1344 หลายเดือนก่อน

      Hongera mamy shuhuda hzi zinanitia nguvu

    • @judyndaula6343
      @judyndaula6343 หลายเดือนก่อน

      Glory be to God🙏🙏🙏🙏

    • @annafoya3851
      @annafoya3851 หลายเดือนก่อน

      Glory be to God🙏

    • @RebecaKamwela-j1g
      @RebecaKamwela-j1g หลายเดือนก่อน

      Groly to GOD.

  • @jacklinejuvenal2364
    @jacklinejuvenal2364 2 หลายเดือนก่อน +27

    Mungu BABA, ameniokoa na ajari mbaya , Lori limetugonga nilikuwa kwenye daladala.Hakika siwezi kunyamaza kama wengine wamefariki Mimi npo hai 🥺🥺🙏🙏😔

  • @saudaantony9152
    @saudaantony9152 2 หลายเดือนก่อน +41

    kwenye huu wimbo najisikia kulia tu😭😭😭😭😭😭 Mungu yupo jamanii tusichoke kumshukuru na kumwabudu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @faithmwangi6204
    @faithmwangi6204 2 หลายเดือนก่อน +83

    Like from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    I can't get enough of this song😊.It is timely.I cannot afford to be silent to my God.The things He has done and the things He's doing are marvelous in my eyes.

  • @sylviadanford9138
    @sylviadanford9138 2 หลายเดือนก่อน +46

    Nimetaza video hii Leo Leo usiku nikapokea pesa ya mtaji wa biashara ambao kisutegemea kama ntapata🎉❤😁nawezaje kunyamaza Yehova wakati umefanya kwangu...Glory to Jesus ,ubarikiwe sana Mtumishi hakika Bwana anakutumia kweli.Miujiza imekuja kwangu kama nilivyosema siku unatangaza unatoa hivi karibuni nikasema utoapo hii nyimbo Ije na muujiza wangu na God did❤❤❤fireeeeeee

  • @denisbongore3098
    @denisbongore3098 2 หลายเดือนก่อน +96

    Wooooooooiiiiiiiii jmn mm huu wimbo naweza usikiliza ata kwa siku mara saba kama wako walioupenda huu wimbo kama mm naomba like zenu nimeshindwa kunyamaza jmn!!!!!!!

    • @festobumi
      @festobumi หลายเดือนก่อน +1

      umekua sehemu ya maisha yangu! yaaan ashukuriwe Mungu❤❤❤❤❤

  • @Olivier_Ndanyuzwe
    @Olivier_Ndanyuzwe 2 หลายเดือนก่อน +38

    Heavenly Father I pray that you keep the person reading this alive, safe, healthy and financially blessed Amen 🙏.

  • @keziahmumina4507
    @keziahmumina4507 2 หลายเดือนก่อน +64

    Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 loves you Doc Ipyana.. praying for your speedy recovery

  • @REHEMACONERIOCOSTANCE
    @REHEMACONERIOCOSTANCE 2 หลายเดือนก่อน +22

    Naweza kunyamaza mim jmn wakat Mungu hamenitendea mumewangu alipo fariki ndug wa mumewangu walinipokonya kila kitu na mpka watt wangu wakawakata kbs nikawa sijui watt wangu watasomaje na wataishije, lkn Yesu halitenda akatoka mtu wa kuwasomesha watt wangu wote wa 3 tena shule za boding, jmn naweza kunyamaza mim zaid yakulitukuza jina lake

  • @elizabethjohnson4089
    @elizabethjohnson4089 2 หลายเดือนก่อน +31

    Ee Yesu sijaona namna hii siwezi kunyamaza, mengi uliyotenda kwenye maisha yangu, umenipa wazazi, umenipa mume, umenipa watoto wawili wazuri, umenipa kazi nzuri yenye heshima, na umenipa wadogo wazurii , Yesu siwez kunyamaza

  • @Lioness_2407
    @Lioness_2407 2 หลายเดือนก่อน +70

    Nawezaje kunyamaza..Mungu umemponya mwanangu aliekua na matundu kwenye moyo mawili, nilikua nampeleka clinic Muhimbili kila baada ya miezi miwili...tangu kuzaliwa...now ana miaka 8 amepona bila operation wala dawa za hospitali...siwezi kunyamaza kabisaaa....eeeeh namna hii sijaona namna hii Yesu🙌🙌🙇

    • @FridaMwita
      @FridaMwita 2 หลายเดือนก่อน +2

      I can feel dear,siwez kunyamaza pia sickle cell,miez kumi na Moja Sasa mwanangu hajalala hospitali wala kuona mlango wa hosp,hajaongezewa damu,I ntank God for this,ilikua Kila week hosp Kila baada ya miez miwil tunalazwa anaongezewa damu.siwez kunyamaza mim😢

    • @Lioness_2407
      @Lioness_2407 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@FridaMwita halafu mtu aje kuniambia et Yesu ni scam..aaah hapana jamani siwezi kunyamaza kabisaa huu wimbo naweza nikausikiliza siku mzima nisichoke kipenzi,Yesu ni mzuri mnoo🔥🔥🙌

    • @SophiaChande
      @SophiaChande 2 หลายเดือนก่อน +1

      ❤❤❤❤

    • @mselledamas9078
      @mselledamas9078 หลายเดือนก่อน +1

      Ooooh haleluya ninalia kushukuru kwaajili yako

    • @Lioness_2407
      @Lioness_2407 หลายเดือนก่อน

      @@mselledamas9078 ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeen 🙌

  • @AnnalesiaFredrick-n5v
    @AnnalesiaFredrick-n5v 8 วันที่ผ่านมา +5

    14 October 2024, soon nitarudi hapa kumshuhudia huyu Mungu....

  • @yvonnekwikiriza9107
    @yvonnekwikiriza9107 2 หลายเดือนก่อน +65

    Here after Dr. Ipyana's public announcement of the accident. Shetani atashindwa milele. JESUS CHRIST is enthroned forever more AMEN.

    • @moseshunja1792
      @moseshunja1792 2 หลายเดือนก่อน +2

      Ashashindwa, hana nguvu. Mungu ni mwema.

    • @yvonnekwikiriza9107
      @yvonnekwikiriza9107 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@moseshunja1792 AMEN

    • @naomiicks5178
      @naomiicks5178 หลายเดือนก่อน +1

      Amen, don’t touch my anointed and do them no harm. Says the Lord psalm 105:15 so the Devil has to pay. He will not die but live to declare the goodness of the lord in the land of the living. May the angels of the lord protect him day and Night and his family too . We cover him with the blood of Jesus

    • @bambe117
      @bambe117 หลายเดือนก่อน

      Number yake inapatikanaje

  • @lenahbrooke6096
    @lenahbrooke6096 2 หลายเดือนก่อน +38

    How can I not talk about Him when He has literally protected me from my evil workmates 🙏🙏😭😭😭😭

    • @anethteodos6208
      @anethteodos6208 2 หลายเดือนก่อน

      Yesu akutetee😢

    • @emmyhellen727
      @emmyhellen727 วันที่ผ่านมา

      Mungu azidi kukutetea na
      Ushindi ni wako

  • @lizpallangyo8057
    @lizpallangyo8057 2 หลายเดือนก่อน +43

    Nawezaje kunyamaza hali Mungu amemponya Dr.Ipyana na roho ya mauti,
    nimekumbuka Mungu alivyoniokoa na ajali ya mauti,gari ya Noah iliponigonga na kunirusha mbele na kunipitia juu hadi leo nipo hai nina nguvu,namtukuza Mungu

  • @mammai6798
    @mammai6798 หลายเดือนก่อน +23

    Nawezaje kunyamaza
    Wkt Nilimuona Mungu live alivoshuka haraka kuniokoa baada ya kugonga Treni na gari lng tena nikiwa na firstborn wng wa miezi tuu alienizawadia Mungu baada ya uzazi kusumbua muda mrefu lkn hatukufa wala kuumia ! Ingawa gari lilikuwa hoi !

  • @WycliffeMugoye
    @WycliffeMugoye 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Nawezaje Kunyamaza 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 the least in the house of the Lord is great than greatest in the darkness. I Love y’all who Loves Jesus a Christ.

  • @markkyalo8583
    @markkyalo8583 2 หลายเดือนก่อน +36

    Lot's of love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪God is lifting you for the sake of our generation!
    more Grace

    • @puritymakena2842
      @puritymakena2842 2 หลายเดือนก่อน +2

      🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @BeatriceOchieng-t2w
      @BeatriceOchieng-t2w 4 วันที่ผ่านมา

  • @zebedayombera8213
    @zebedayombera8213 2 หลายเดือนก่อน +30

    Nawezaje kunyamanza umenitendea makubwa from rwanda 🇷🇼 like zetu ziko wapi tukishukuru mungu wetu tumeona rwanda 🇷🇼

  • @barakazakayo7000
    @barakazakayo7000 2 หลายเดือนก่อน +170

    Tuliokua tunaisubiria hii video tujuane jmn🙏🙏🙏🙏 Nawezaje kunyamazaa sasa❤❤❤ Barikiwaa sanaa Kaka Dr Ipyana❣️❣️❣️🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏

    • @goddiegilbert2147
      @goddiegilbert2147 2 หลายเดือนก่อน +2

      Nipo hapa kaka

    • @barakazakayo7000
      @barakazakayo7000 2 หลายเดือนก่อน

      @@goddiegilbert2147 Ameen sanaa kaka Barikiwaa 🙏🙏🙏🙏

    • @NadhiriBlessing
      @NadhiriBlessing 2 หลายเดือนก่อน +1

      Tupoooooo😅

    • @barakazakayo7000
      @barakazakayo7000 2 หลายเดือนก่อน

      @@NadhiriBlessing Ameeen kaka ♥️🙏🙏

    • @winnieprice5014
      @winnieprice5014 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nimewasili hapa hallelujah 🎉

  • @MercyKundu-te7zi
    @MercyKundu-te7zi หลายเดือนก่อน +35

    Niligonjeka kanza ya macho na ilikuwa imebaki one week na nikufe nilitolewa jicho moja sai niko na nko mzima na hilo jicho moja praise God 🙏🏾nitawezaje kunyamaza mm , Kenya's 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @rosemarympatamali5172
    @rosemarympatamali5172 หลายเดือนก่อน +16

    Yesu aliyenipa watoto nawezaje kunyamanza sijaona Namna hiii❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @geraldinho240
    @geraldinho240 2 หลายเดือนก่อน +33

    Nawezaje kulia wakati mungu umefanya Kama unamkubali dr ipyana tujuane like zene 👍👍👍

  • @sikolianafula
    @sikolianafula 2 หลายเดือนก่อน +45

    2 weeks to my graduation
    Indeed the journey was not a walk in the park but my God did it for me
    Financially and in everything
    Jamani nawezaje kunyamaza🙇
    Blessings🥳

    • @b.emmaqulate
      @b.emmaqulate 2 หลายเดือนก่อน +1

      Congratulations Mwana mhana❤ God has done it

    • @sikolianafula
      @sikolianafula 2 หลายเดือนก่อน

      @@b.emmaqulate amen yaya

    • @alicemwangi4909
      @alicemwangi4909 2 หลายเดือนก่อน

      🎉🎉🎉Nashangilia na kumpa Mfalme wa Amani ibada ya Sifa amenitendea siwezi kunyamaza🙏🙏🙏🙏

    • @antussatemba6676
      @antussatemba6676 2 หลายเดือนก่อน

      Cangatulation dr🎉❤

  • @pascalinamwabena99
    @pascalinamwabena99 2 หลายเดือนก่อน +32

    Sijaiona namna hii kwa taifa kama Tanzania kuinua watu wenye Roho ya uamsho wa kumuinua Mungu kwa ibada ya nyimbo nzuri namna hii sitoweza kunyamaza... Mungu akutunze chombo kiteule cha Mungu wetu shukrani apewe Mungu ametupendelea TZ

    • @CatherineNzeki
      @CatherineNzeki 2 หลายเดือนก่อน

      AMINA.HUU NI USHUHUDA HALI YA JUU

    • @antussatemba6676
      @antussatemba6676 2 หลายเดือนก่อน

      @@CatherineNzekiamen❤

  • @joyceassey2347
    @joyceassey2347 2 หลายเดือนก่อน +20

    Sitaweza kunyamaza Mungu anakwenda kunipa kazi nzuri ,,,nitarudi hapa hapa kupiga kelele zaidi siku si nyingi

    • @JoyceHaule-o7b
      @JoyceHaule-o7b หลายเดือนก่อน +1

      Amina amina

    • @joyceassey2347
      @joyceassey2347 หลายเดือนก่อน +2

      Here I am kupiga kelele na uyu Mungu jaman,,ametenda kwa kishindo acheni tu🙏🙏🙏🙏

    • @joyceassey2347
      @joyceassey2347 หลายเดือนก่อน

      @@JoyceHaule-o7b Mungu amejibu

  • @kapeljjkapeljj5407
    @kapeljjkapeljj5407 2 หลายเดือนก่อน +12

    Nilinyimwa visa mara 3 nikakata tamaa finaly mara ya4 nikapewa kirahis kabisa now niko US sjaona namna hii woow Glory to God

  • @anngithere7951
    @anngithere7951 2 หลายเดือนก่อน +28

    Siwezi kunyamaza kwa yale Mungu ametenda ntaimba nitaruka nitacheza kwa sababu ametenda eeeiiiii kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @chrystonegybe1077
    @chrystonegybe1077 2 หลายเดือนก่อน +32

    🇰🇪🇰🇪This new song by Dr. Ipyana is nothing short of heavenly. The lyrics and melody touch the heart and lift the spirit. Every note of this song resonates with pure worship and praise. It's a beautiful reminder of the joy and hope we find in our faith. Truly uplifting thank you for this incredible blessing Man of God it's already hitting here in Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Siwezi nyamaza

  • @NzwallaNzwalla-t9v
    @NzwallaNzwalla-t9v 27 วันที่ผ่านมา +5

    najua sijachelewa sana naomba hata like moja, mimi siwezi kunyamaza🙇

  • @JoyceHaule-o7b
    @JoyceHaule-o7b หลายเดือนก่อน +12

    Nawezaje kunyamaza 2002 Mungu alinipinya na ajali mbaya ya tren Dodoma Mungu alinipa kazi nzuri serikalini nimetumikia miaka 34 leo nimestaafu kwa usalama bila shida yeyote nawezaje kunyamaza

  • @lydiawambui6470
    @lydiawambui6470 2 หลายเดือนก่อน +14

    Suffered depression since 2018 but am very free know,siwezi nyamaza....God has done it again

  • @boazdanken
    @boazdanken 2 หลายเดือนก่อน +58

    Namna hii sijaona namna God Bless you Mtumishi wa Mungu

    • @Israviwa7777
      @Israviwa7777 2 หลายเดือนก่อน +6

      Barikiwa zaidi Boaz Danken

    • @siashayo6466
      @siashayo6466 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hakika hatuwezi kunyamaza mtumishi

    • @antussatemba6676
      @antussatemba6676 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sijaona namna hiii blessing over blessing❤❤❤❤

    • @collinsshitandi6176
      @collinsshitandi6176 หลายเดือนก่อน +1

      Barikiwa sana pia mtumishi wa Mungu.

    • @DavidMugunda
      @DavidMugunda หลายเดือนก่อน

      Furaha festival Mbeya ❤❤❤

  • @jackeminja9694
    @jackeminja9694 2 หลายเดือนก่อน +50

    Dr ipyana ameshindwa kunyamazaa na amemtukuza Mungu hata kwa Hali aliyopitia siku ya uzinduzi WA nyimbo badooo Mungu amemtendea Nami cwez kunyamaza kumtukuz Mungu kwa ajili yake...Glory to God Bwana amejivika utukufu na heshima..Mungu yupo jamani

    • @tumainirwela6488
      @tumainirwela6488 2 หลายเดือนก่อน +1

      Alipitia hali gani?

    • @neboughtkalwila
      @neboughtkalwila 2 หลายเดือนก่อน

      @@tumainirwela6488 angalia video amepost kwenye akaunti yake, alipata ajali mbaya sana, Bwana kamtoa salama, ijapo alijeruhiwa

    • @reginakaniki4209
      @reginakaniki4209 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@tumainirwela6488alipata ajali my kagongwa na gari

    • @antussatemba6676
      @antussatemba6676 2 หลายเดือนก่อน

      @@tumainirwela6488alipata ajalii

  • @anjelineo.ms.osindi9007
    @anjelineo.ms.osindi9007 2 หลายเดือนก่อน +32

    Just like the Samaritan woman in the book of John who couldn't keep quiet after meeting Jesus,,NAWEZAJE KUNYAMAZA JAMANI?

    • @annblessed111
      @annblessed111 2 หลายเดือนก่อน

      Amen my sister

  • @FayzaF-y6y
    @FayzaF-y6y หลายเดือนก่อน +6

    Uliyenipa ujauzito full term miezi tisa adi Sasa napoelekea kwenye kujifungia na kwenda kumpokea mtoto wangu wa kiume niwewe tu umefanya...nakutumainia bwana siwezi nyamaza wala kutulia kwa Yale umetenda na utakayotenda Amina

  • @BettyGeorge-el1gb
    @BettyGeorge-el1gb 2 หลายเดือนก่อน +18

    Nawezaje kutulia wakati Yesu umefanya umenipa mume , umenipa kazi, umenipa na biashara kubwa, umewaokoa ndugu zangu. Na ulevi umemponya baba 😭😭😭 ee Yesu nmna hii sjaona namna hii🙌🏽🙌🏽

    • @antussatemba6676
      @antussatemba6676 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sifa na utukufu n kwake ninaomba akatende nakwawengine wanaoteseka🙏🙏

    • @BettyGeorge-el1gb
      @BettyGeorge-el1gb 2 หลายเดือนก่อน

      Amen and ameeen 🙏🏿

    • @richardsangano6592
      @richardsangano6592 หลายเดือนก่อน

      Mungu nimwema

    • @LightneesAgustino-q8t
      @LightneesAgustino-q8t 21 วันที่ผ่านมา

      Wimbo unanibaliki sana ♥️❤️♥️♥️

  • @Sheddiengomar
    @Sheddiengomar 2 หลายเดือนก่อน +72

    Kama unaupenda wimbo huuu basiii eka emoji ya love kuashiria kuuupenda wimbo huuu

    • @RachelNgalya
      @RachelNgalya 2 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤❤❤

    • @nabenderodgers1954
      @nabenderodgers1954 2 หลายเดือนก่อน

      Nawezaje kweli wee, moto pasi

    • @lutumbinduta1702
      @lutumbinduta1702 2 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤

    • @lutumbinduta1702
      @lutumbinduta1702 2 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤❤❤❤

    • @EmileLugendo
      @EmileLugendo 2 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤❤❤

  • @benbaratv4718
    @benbaratv4718 2 หลายเดือนก่อน +45

    like za dr ipyana hapa

  • @carlosmatto615
    @carlosmatto615 2 หลายเดือนก่อน +17

    Nawezaje kunyamaza wakati Mungu amenitendea makubwa katika maisha haya. Kwanza kabisa nimepona pumu iliyonisumbua kwa muda mrefu,Mungu aliniokoa katika ajali ambayo ingechukua uhai wangu. Pia,wengi walizani sitaweza kusoma kabisa lakini Mungu amenifunulia njia . Sitachoka kumtukuza Huyu Mungu aliye Mfalme wa Mbingu na Nchi.🙏

  • @HappyShirima-k9t
    @HappyShirima-k9t หลายเดือนก่อน +9

    Nawezaje kunyamaza Mungu wakati ulimponya baba angu mzazi ambae tuliangaika nae sio chini ya Miaka miwili alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo pamoja na inni ila mpaka Sasa baba angu Bado yupo na anaendelea vizuri eeeeh Mungu naomba uzid kumpigania baba angu Kila iitwapo leo nampenda sana baba angu ❤🙏

  • @JastFinancial02
    @JastFinancial02 หลายเดือนก่อน +5

    Kama umebarikiwa Sana na wimbo huu gonna like hapa, me nimebarikiwa SANA❤ JESUS

  • @marymwahalende5128
    @marymwahalende5128 2 หลายเดือนก่อน +35

    Huu wimbo imetoka siku ambayo nashukuru mungu kwa kuniongezea mwaka hakika nawezaje kinyamaza wakati yeye amenivusha na mengi tangu mwaka jana

    • @CatherineNzeki
      @CatherineNzeki 2 หลายเดือนก่อน

      AMINA SIFA NA UTUKUFU KWA MUNGU

  • @nasrahgdjuma930
    @nasrahgdjuma930 2 หลายเดือนก่อน +32

    Psalms 149:3 says, “Let them praise his name with dancing…Praise him with tambourine and dance…”3 In 2 Samuel 6:14-22, David dances before the Lord with all his might, providing us with a wonderful example of what it truly means to surrender to God in worship. Amen Amen

  • @hakizimanasylvie5772
    @hakizimanasylvie5772 2 หลายเดือนก่อน +10

    Nawezaje kunyamanza kwa matendo makuu ulio nitendea 😭😭😭😭umenipigania umenitetea mpaka sasa tumaini langu ni ww YESU Christo,,,,,nawezaje kutulia kwa ulinzi wako juu ya familia yangu ninachoomba badilisha history ya familia yangu 😭😭usituache BABA yetu

  • @josephinejoseph799
    @josephinejoseph799 2 หลายเดือนก่อน +10

    Nawazaje kunyamaza . Yesu aliniponya kivyimba cha mukichwa. He is our healer

  • @NdalimaPaul
    @NdalimaPaul หลายเดือนก่อน +6

    Namshukuru mung kwa matendo yake daima siwezi kunyamaza nitalitumuza jina lk milele kwa kumponya mke wng🙏🙏🙏⛪❤️ 2:07

  • @herosonsylivester5165
    @herosonsylivester5165 2 หลายเดือนก่อน +11

    Hivi kwa mfano nanyamazaje wakati Yesu aliniponya ugonjwa nikapona kabisa kabisa 😭😭😭🕺🏿🕺🏿

  • @samwelelias-z3c
    @samwelelias-z3c 2 หลายเดือนก่อน +16

    Nawezaje Kunyamaza na kutulia kwa huyu Mungu jamani.... Aliyenifaulisha Mitihani yangu ya chuo 2023 miongoni mwa wanafunzi wa tano (5/43). Ninampenda Mungu jamn kwa kuwa anasikia maombi yetu. Nitamtukuza siku zote Na kwa wimbo sitanyamaza.Barikiwa sana Anointed Man of God. Hakika utavikwa taji kubwa MBINGUNI

  • @gilbertgithaiga6810
    @gilbertgithaiga6810 2 หลายเดือนก่อน +25

    Truly Dr Ipyana as the word says,the Lord is saying, you will live long to see the goodness of God in the land of the living...
    Thanks for this song 🇰🇪

  • @judithtz3509
    @judithtz3509 2 หลายเดือนก่อน +24

    Nawezaje kunyamaza Kwa vile tu Yesu alovyonitoa katika maisha ya mateso ya tatizo lakukosa choo,miaka kwa miaka ikifika swala la haja kubwa kwangu,ulikua ni msiba,madaktari uwezo wao uliishia kwenye hamna namna yakupona isipokua upasuaji,Yesu Kwa damu Yako umeniponya bureee,mimi Judith ni mzimaa mzimaa,mimi niliekua nakaa mawiki bila kupata choo,nanikija kukipata ni maumivu makali,lkn Leo Ninapata choo kawaida Kwa amani,nawezaje kunyamaza jamani wakati tatizo hili limechukua maisha wa wengine na mm umeniponya kabisaaaa.

    • @SophiaChande
      @SophiaChande 2 หลายเดือนก่อน

      Amen be blessed Judith ❤️

    • @antussatemba6676
      @antussatemba6676 2 หลายเดือนก่อน

      Blessing❤❤

    • @joycelanda8987
      @joycelanda8987 17 วันที่ผ่านมา

      Amen! Glory to God!

  • @TrasielifasiElisha-c8x
    @TrasielifasiElisha-c8x 2 หลายเดือนก่อน +7

    Naitwa trasi elifasi nawezaje kunyamanza na ikiwa Mungu Amemsaidia mdogo wangu kupata ajira Sifa na utukufu vimludie Mungu 👏👏👏

  • @sophiaabukutsa5739
    @sophiaabukutsa5739 2 หลายเดือนก่อน +29

    Nawezaje kunyamaza wakati umefanya🙌 Sophie here +254 Been trusting God for a job it had taken lonnnnng,but who is like our God,in his own way in his own time He has done it for me❤

    • @eglajebichii4543
      @eglajebichii4543 2 หลายเดือนก่อน +1

      Tapping this blessing in Jesus name 🙏🙏

    • @BrendaBoke-t3m
      @BrendaBoke-t3m 2 หลายเดือนก่อน

      What God cannot do, doesn't exist.

  • @wamuyunguthari1523
    @wamuyunguthari1523 2 หลายเดือนก่อน +17

    Just seen your message over the accident.
    This is a true testimony that you are ordained to minister through songs.
    Quick recovery 🇰🇪🇰🇪🙏🙏

  • @begukulemosobe9685
    @begukulemosobe9685 2 หลายเดือนก่อน +22

    Mungu akuponye mtumishi wake mapema, nawezaje kunyamaza wakati Mungu amefanya kwa kukuokoa na mauti

    • @CatherineNzeki
      @CatherineNzeki 2 หลายเดือนก่อน +1

      AMINA NA ATAZIDI KUMPA MAISHA MAREFU ILI AMUIMBIE NA KUMTUMIKIA

  • @beckyanswerkusimba
    @beckyanswerkusimba หลายเดือนก่อน +9

    Dear Diary
    14th Sept 2024
    "Amenipa Kicheko"

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba6670 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu ana Watu jamani.. like za Kenya team gulf njooni muone Yesu anaenda ❤❤🇸🇦🇸🇦🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @shyrosueTumaini
    @shyrosueTumaini 2 หลายเดือนก่อน +14

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪siwezi na sitawahi nyamaza kushuhudia Yale Mungu amefanya in my life......

  • @kipkiruigillie4332
    @kipkiruigillie4332 2 หลายเดือนก่อน +20

    Emmanuel Peter kwenye bass yuko hatari Sana ,kepha mndeme the MD pia anafanya kazi safiii 🔥 huku Kenya 🇰🇪 Moore love.. wimbo huu wa baraka na mvuto sana God bless you servant of the Lord Dr lpyana ...kenya ns twende na likes kama zotee

  • @Rein-98y
    @Rein-98y 2 หลายเดือนก่อน +12

    Who is hear after watching the video ya how dr ipyana got an accident hours to the release of this song??
    Quick recovery mtumishi

  • @Matilda-qs5eo
    @Matilda-qs5eo 2 หลายเดือนก่อน +16

    Hakika Mungu ni mwema siwezi nyamaza kusimulia ukuu wake..siku ya tarehe 5August 2024 ameniepusha na ajali tukiwa tunarejea nyumbani kutoka kazini gari yetu iligongwa kwa nyuma ila Mkono wa Mungu ni mkuu mno tulifika salama wachache warijeruhiwa..

    • @neboughtkalwila
      @neboughtkalwila 2 หลายเดือนก่อน +1

      Bwana ni mwema sana, utukufu ni kwake

    • @Matilda-qs5eo
      @Matilda-qs5eo 2 หลายเดือนก่อน

      Amen

    • @antussatemba6676
      @antussatemba6676 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu ni mwema❤

  • @NessiJasonJournalist
    @NessiJasonJournalist 2 หลายเดือนก่อน +9

    Nitaweza aje kunyamaza wakati amenipa ushindi ,nimenyamazia kilio kwa miaka miwili sasa siwezi kunyamazia furaha,sijaona namna hii,,walioniahidi kilio huu mwaka nasherehekea ushindi na mungu kawanyamazisha,Mungu ni mkuu,Mungu yupo guys❤

  • @littlephina33
    @littlephina33 2 หลายเดือนก่อน +24

    Hakika hatuwezi nyamaza Kwa anavyofanya... Nimempoteza Mama yangu mwaka Jana na ni mzazi niliyebaki nae Ila huyu Baba amefanya makubwa.. quick recovery nisivyotegemea, amesimama Nami kwa namna ya ajabu, now Niko na furaha, amenipa watu ambao wamesimama kama wazazi kwangu.... Oooh Mungu wa namna sijaona

    • @DicksonNelson-d1f
      @DicksonNelson-d1f 2 หลายเดือนก่อน +1

      Pole

    • @EliasBoniphace-oi4ww
      @EliasBoniphace-oi4ww 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwakweli wimbo huu ukawe faraja kwako 🤝

    • @littlephina33
      @littlephina33 2 หลายเดือนก่อน

      @@DicksonNelson-d1f 🙏❤️

    • @littlephina33
      @littlephina33 2 หลายเดือนก่อน

      @@EliasBoniphace-oi4ww 🙏❤️

    • @littlephina33
      @littlephina33 2 หลายเดือนก่อน

      @@DicksonNelson-d1f 🙏❤️

  • @fridah-w8b
    @fridah-w8b 2 หลายเดือนก่อน +17

    Hallelujah. Umefanya Mungu wangu. Thank you Father ❤❤❤,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @puritymakena2842
      @puritymakena2842 2 หลายเดือนก่อน +1

      🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @joycechelulei5194
      @joycechelulei5194 2 หลายเดือนก่อน

      🎉🎉🎉 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @EliasBoniphace-oi4ww
    @EliasBoniphace-oi4ww 2 หลายเดือนก่อน +8

    Nawezaje kunyamaza kwakweli, nlikaa miaka 7 bila majibu ya jambo langu, hatimae Yesu alinijibu,, Lazima nisinyamaze kabsa🙏🙏

  • @janeleennjeri7851
    @janeleennjeri7851 2 หลายเดือนก่อน +6

    Kwa kweli siwezi kunyamaza...sijaona matendo ya namna hii...🙌🙌🙏🙏ooh glory be the most high siwezi kutulia kamwe kwa maana nmeuona mko wake bwana maishani mwangu 😢😢nlipo fikiria nimefika mwisho kumbe ndo ulikua mwanzo wako Jehovah..kwa kweli sifa na shukrani ni zako baba yangu...nayakabidhi maisha yangu kwako familia yangu naikabidhi mkononi mwako mungu baba...sio kwa nguvu zangu mbali ni uwezo na matendo yako katika maisha yangu yesu kristo..nakutumainia bwana 🙌🙌🙏 🙏..🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @BrotherHoodMentality
    @BrotherHoodMentality 2 หลายเดือนก่อน +9

    I believe this is the Swahili version of Jesus Iye 🔥🙌🏽❤🇰🇪

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 2 หลายเดือนก่อน +11

    Adui ameshindwa kukuangamiza kwenye ajali ya gari! Kweli atuwezi kunyamaza wakati YESU amefanya.

  • @AngelaOrinaBosibori
    @AngelaOrinaBosibori 2 หลายเดือนก่อน +4

    Aki jameni tutembelee 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪. God is great Nawezaje kunyamaza.❤😊

  • @N.Monique-d1n
    @N.Monique-d1n 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kenyans lets take this song to a million views😊😊😊we will sing at the end of the year again giving thanks to God cz we trust God He's going to do big thing to us🙏

  • @ianjesse8525
    @ianjesse8525 2 หลายเดือนก่อน +5

    I cnt have enough this song siwezi tulia kama bwana yesu amefanya love from Kenya 🇰🇪

  • @avrilnyambura3395
    @avrilnyambura3395 2 หลายเดือนก่อน +3

    Naweza aje kunyamaza wakati alinipa mtoto and proved to me he is a miracle working God and Jehova rapha

  • @SmartDigital-j6s
    @SmartDigital-j6s 2 หลายเดือนก่อน +10

    piga keleleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee bila kunyamaza , mataifa yote gonga like

  • @janethnarsis188
    @janethnarsis188 2 หลายเดือนก่อน +9

    Haijalishi unapitia nini USINYAMAZEE msifu Mungu hata katika mapito yako
    Muamini kuwa amefanya
    Ameen

  • @butwawestonmwailubi
    @butwawestonmwailubi 2 หลายเดือนก่อน +24

    Ahsante MUNGU...NAMNA HII SIJAONA , MUNGU UTUKUZWE MILELE YOTE

  • @MulasiKizungu
    @MulasiKizungu 2 หลายเดือนก่อน +8

    Germany niko hapa Mungu amefanya Nawezaje kunyamanza

  • @MagdaleneKemboi
    @MagdaleneKemboi 3 วันที่ผ่านมา +1

    Naweza kunyamaza,aiyeeee