Elia Mtishibi Ft Bella Kombo - Nakujia (Official Live Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- • Elia Mtishibi Ft Bella...
1samwel 17:45 Ndipo Daudi akamwambia yule Mfilisti, Wewe unanijia mimi na upanga, na fumo, na mkuki, bali mimi ninakujia wewe kwa jina la BWANA wa majeshi, Mungu wa majeshi ya Israeli uliowatukana.
MWAKA HUU HATUENDI KIENYEJI
TUNAENDA KWA JINA LA BWANA NA MALANGO YAKUFUNGUKIE...
Nakujia by Elia Mtishibi ft Bella kombo karibu nisaidie kushea
Wimbo huu ulirekodiwa katika ibada ya #MANINCHRIST (MACHE2023) #THEFULLARMOUROFGOD ninaombi yangu ukafanyike ibada kwenye maisha yako..
Special Thanks 1st to JESUS THE KING
2nd to the team MUSICIANS
Md 1@Erick kanju on main and arranger of the song
Md 2 @am_kusula on auxiliary
@hezekiahkalisti on layers
@Jerry on organs
@Amos belvin on bass
@Nahum gideon on Sollo
@Izack on rythm
@ibrahim on drum
Vocals Sopranos
@Jojo
@Glory
@mercy chilijila
Altos
@iam_milgel
@marry Fashola
@Catherine Sebastian
Tenor
@Emmanuel Robert
@Paul Peter
@Wisdom Stanslaus
@emma fransic
Audio capturing,mixing and mastering
@SADOCK ELIAS from B&W productions
Video production
@SP VISUALS
sound engineering
@Emmanuel Balisidya and Shepherd music Technology (Rhoden danda)
Uniform design
Suluvazi
Venue
New vine Church
Maelekezo haya niliyapokea kwa Bwana kwajili Yakila mmoja atakaeamini. akasema Kabla ya mtu kufanya chochote kitamkie nakujia kwa jina la bwana i.e ukiamka tu Unakiri NINAKUJIA KWA JINA LA BWANA EWE SIKU YANGU, nakujia kwa jina la bwana Ewe BIASHARA YANGU.. fuata maelekezo haya na utakua shahidi wa Malango yako kufunguka
Aminaaaa🙏🙏🙏
Wimbo mzuri ujumbe mzuri mziki mzuri
Amen 🙏
Amen
Amenn
Nakujia
By Elia Mtishibi ft Bella Kombo
Nakujia kwa jina la Bwana
Bwana wa majeshi ee malango yangu
Nakujia kwa jina la Bwana
Bwana wa majeshi ewe kazi yangu
Nakujia kwa jina la Bwana
Bwana wa majeshi ee malango yangu
Nakujia kwa jina la Bwana
Bwana wa majeshi ee masomo yangu
Nakujia kwa jina la Bwana
Bwana wa majeshi ee adui yangu
Nakujia kwa jina la Bwana
Bwana wa majeshi ee malango yangu X4
Najua umejipanga vizuri kunikabili ewe Goliathi
Nawewe umasikini umejipanga sawasawa kunidhalilisha
Niimekuja sana kwa akili zangu, ukanishindaa
Ila amebarikiwa ajaye kwa jina la Bwana
ni juu ya vyote
Ila amebarikiwa ajaye kwa jina la Bwana
ni juu ya vyote
Nakujia kwa jina la Bwana
Bwana wa majeshi ee malango yangu X4
Bwana ametupaa funguo za mbinguni, funguo za mbinguni
ALL: Funguo za mbinguni
Lolote lile tutakalo fungua hapa duniani na mbinguni
ALL: Limefunguliwa
Nakujia kwa jina la Bwana
Bwana wa majeshi ee malango yangu
Ninakuja kwa jina la Bwana
Bwana wa majeshi
Nakujia kwa jina la Bwana
Bwana wa majeshi ee malango yangu X4
Malango yangu
ALL: Funguka, funguka, funguka
Funguka, kwa jina la Bwana X4
Wamtumainio Bwana ni kama
ALL: Mlima zayuni hawatatingizika
Milele Amina X4
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 uwiiiii
Awesome!!!
Youl lot it
Jamani tuwe makini tunapoandika Jina MUNGU AU BWANA kwani tunapaswa kuanza na herufi kubwa MUNGU awabariki wapendwa.
Ndio ni Muhimu kabisaa, barikiwa
Ubariwe sana kwa elimu nzur
Ameeeen
àmina 🙏
Ila Bella Kombo Anajua nyieee hadi kazid
Bwana ametupa wimbo wa taifa kwa majira haya
Amen pastor let's go
Ni kwa JINA LA YESU TU si vinginevyo
Glory to JESUS CHRIST
Kenya we are blessed really by God's anointing upon Tanzania 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tanzania has good gospel artist. Tanzania is blessed.
Hallelujah Glory to the King 🙌🙌🙌
Drum iko very powerful there is power of God behind of it, Mbarikiwe Kazi nzuri sana
❤❤my best part "wamtumainio Bwana ni kama mlima sayuni hawatatikisika"
Nakujia kwa jina la bwana bwana wa majeshi ewe ada ya chuoni kwangu🙏🏽... Nimekuja kwa akili zangu ukanishinda sasa naja kwa jina la aliye juu ya vyote...JINA LA YESU.🙌
Amen
Amen na iwe ivo INJ
More Grace Bella ft Elia mungu awabariki Sanaa ... watching from Kenya
This song is so powerful
Jana nmeusikiliza kupitia Zion impact redio wakatoa na neno la biblia waliousimamia
Suddenly i got hope from it,since then mpk saiv naimba huo wimbo ndan ya moyo wangu
1samwel 17:45❤
,😭😭😭😭 eiiii mimi nimeshiba kaka...this is powerful
Aiiiih!!! This song!! 🙌🙌 May God bless you my brother Elijah... nakujia kwa jina la Bwana wa majeshii eeh masomo yangu sikia!! Maisha yangu funguka kwa jina la Bwana ❤❤
Hallelujah Glory to the King 🙌🙌🙌
Safi Sanaaaa . Kazi nzuri.. glory to God.. nawapenda sana. Yanii nimewaelewa. Mungu azidi kuwatumia zaidi... Karibuni sana ( Ukerewe) UK ya Mwanza..
Huu wimbo naupenda sana jamani. Mungu Awabariki sana sana. Bella umeshambulia sana rogooo 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 rogoooooooo
Kakakakkakaakkakkaak ainuliwe Yesu mnoo
I love this song sichoki kuisikiliza kila siku kila saaa inanipa ujasiri Sana .... MUNGU awabariki Sana Sana kabisa❤❤❤❤❤
Woow be blessed Elia, Bella I like this chemistry, namwona rafiki angu akimtukuza MUNGU my classmate Maria ❤, I Love you all, nakujia kwa jina la BWANA napokea piaa
Lemme tell you about this guy's psyche, He actually owned the song.
Nawapenda sana mbarikiwe na Jehova!! Mafuta ya Roho Mtakatifu yaongezeke zaid juu yenu!
My brother keep moving your blessed abundantly 🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥
Glory to God !keep listening and share the good work
Umebarikiwa sana Eliya
Jamaaaaniiiiii huu ni Wimbo ni shida sana kwa shetani. NABARIKIWA SAAAANAAAAAAAA, UWII YESU NAKUPENDA KILA SIKU. ubarikiwe mtumishi hakika BWANA alikupa message kubwa mno
Amen
Barikiwaa sana mtumishi huu wimbo wamoto sana❤
What a powerful ministration 🔥🔥🔥..nakujia kwa jina la Bwana..eeeeh malango yangu.. Malango yangu funguka😍😍😍🙌🙌🙌🙌🙌🙌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Glory to God
Baraka Kusula MD, i can hear your effects, Minister Elia your ministry is absolutely amazing
Aii nawapenda Sana nyinyi watanzania muongezeje Sana
❤❤Be blessed. GLORY TO GOD let's share the kingdom news
Eish....what a combo....Nakujia kwa jina la Bwana wa majeshi eeh malango yangu
Mlima wowote uliopo mbele yangu nasem hiviiiii..."nakujia Kwa jina la Bwana wa majeshi"
🙏🙌🙌❤
Great song 🎶🎶🥳🥳🥳... Nakujia katika Jina la Yesu 👌❤️❤️❤️... More grace Elia and Bella
Amen let's share the good work
Sheesh🔥🔥man of God this is powerful. Mungu awabariki sana🙏
Be blessed. GLORY TO GOD let's share the kingdom news❤
Hongera sana bro.Wamtumainio BWANA NI KAMA MLIMA SAYUNI HAWATATIKISIKA MILELE
Be blessed. GLORY TO GOD let's share the kingdom news
Nakujia kwajina la Bwana Bwana wa majeshii eeenh fedha zangu amen❤❤❤❤
Good song brother.....mungu akakuinue zaidi.
WITHOUT DOUBT, THE BASSISTS ARE BORN AGAIN🙌🙌 HALLELUJAH
Be blessed. GLORY TO GOD let's share the kingdom news
Big up brother.. it's 🔥🔥🔥🔥
What a blessing song jameni🎉🎉🎉
Barikiwa Sana mtumishi wa mungu Elia mtishibi nyimbo nzuri San mungu azidi kukutumia na kukuinua viwango na viwango amen🙏🙏(NAKUJIA KWA JINA LA BWANA) Mungu akubariki
Hallelujah Glory to the King 🙌🙌🙌
POWERFUL SONG🎯......,,NATEMBEA NA UKIRI HUU KATIKA JINA YESU
Amen malango yafunguke
WOW.. Na Mungu azidi kuwainua katika maisha na huduma yenu..
Nakujia kwa jina la BWANA wa majeshi.
Be blessed. GLORY TO GOD let's share the kingdom news
Powerful song ...best music arrangement ..drums ya kiwango cha rami❤
🙌🙏
Namuona Drumist, mdogo wangu keep it up.
my brother your my no1 singer in gospel tanzania ,beloved brother unanibless sana na watu wengi sana and inspiration to youth your songs zinanguvu na ujumbe wa Mungu ubarkiwe sana elia mtishibishi.
We confess in Jesus name, all our life is thy name. Mpokee maua yenu 🎉🎉🎉 na Mungu awazidishie
Be blessed. GLORY TO GOD let's share the kingdom news
What a wonderful revelations , nakujia ee malango yangu
God bless you man of God
being the first to hear this song is all I want....coming for all my enemies in the name of JESUS
th-cam.com/video/DStvy1XSjpA/w-d-xo.htmlsi=efvCbOCvzchivuUK
1samwel 17:45 Ndipo Daudi akamwambia yule Mfilisti, Wewe unanijia mimi na upanga, na fumo, na mkuki, bali mimi ninakujia wewe kwa jina la BWANA wa majeshi, Mungu wa majeshi ya Israeli uliowatukana.
MWAKA HUU HATUENDI KIENYEJI
TUNAENDA KWA JINA LA BWANA NA MALANGO YAKUFUNGUKIE...
Nakujia by Elia Mtishibi ft Bella kombo karibu nisaidie kushea
Kaka 🔥 .,, AMEN kubwa GOD BLESS YOU BRO
AMEN Bros@@daudimpango4807
AMEN
@@eliamtishibi4129
Mtumishi Elia nakujia kwajina la BWANA Wa MAJESHI Ubarikiwe sana kwa nyimbo hii mtumishi tungo zako zinagusa🔥🔥🔥🔥
Ni Yesu apewe utukufu
🔥🔥Nakujia Kwa Jina la Bwana Wa Majeshi Eh Adui Yangu
Haya matano sio mawe, Ni kombora za Mjeshi💯🔥
Safi tumchape makombora
🎉🎉🎉🎉🎉🎉my brother
wamtumainiao bwana,nikama mlima sayuni🔥🔥🔥🔥
The song that i will be singing every day i wake up,God bless you for this song
GREAT WORK!🙌🙌
Thank you so much 😀
The song is 🔥🔥🔥🔥
Beautiful song .. goosebumps
Huu wimbo umepandisha viwango vyangu vya kiimani sana,ubarkiwe mtumishi Eliya Mtishbi
i blessed with your song brother
Kindly show the congregation as well.
My Prayer Song this Season!!! No Settling For Less!!!!!❤ Blessings To You Minister Elia And Bella Mob Love From Nairobi 🇰🇪
Be blessed. GLORY TO GOD let's share the kingdom news
Perfect one❤❤❤
This song is my anthem its my season may God bless you man of God much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Glory to God !keep listening and share the good work❤❤❤
Ujumbe mzuri nmebarikiwa 👬🏼
Watesi wangu wote Nawajia kwa Jina la BWANA YESU ALIYE HAI
This song came at the right time …. Thanks MOG and WOG mmebarikiwa sana
Woohoo nice 👍♥️
Thank you! 😃
Hongera sana Mtu wa Mungu azidishe hayo mafuta mara dufu.
Amen let's share the good work
I can feel the KADO arrangements kwenye finishing
Uwiiih
Be blessed man of God.
Am blessed
Amen, glory to God🙏🔥
Kenya tunabarikiwa
Funguka malangoooooo kwa jina la Bwana
Yafunguke
wamtumainio bwana nikama mlima sayiuni hawato tikisika milele amina 🤗
Be blessed. GLORY TO GOD let's share the kingdom news
Waooow!! What a nice and powerful song 🔥 🔥 🔥
God bless you mtishibi for this song
Wow this new dropout blesses me a lot am just wondering where was I the whole week...........Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu.
Glory to God !keep listening and share the good work❤
Ukiri mkuu sana 🙌🏾
🎉Be blessed. GLORY TO GOD let's share the kingdom news
Eh eh eh 🙌❤️
Hii ni kubwa sana Neema izidi sana kwako my craziest brother
Glory to Jesus
My favorite song of the Year to me!. Keep on going Elia! Your fellow Mwanza Christian we love you!.
Nice one.the instrumentalists are great.back up woow
Appreciated
This song makes me proclaim everything through Jesus name
Asee Mungu azidi tu kukuinua hii imenibarki sana lazima malango yafungue mwaka huu God bless you ndugu yangu
Lazima, hakuna unyonge
@@eliamtishibi4129Amen
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nakujia🔥🔥🔥
Wimbo mzuri sana,Bwana akuinue zaidi na zaidi
Be blessed. GLORY TO GOD let's share the kingdom news
Huyo ni mimi ambaye nilikuja kwa akili zangu,sasa hivi ninakujia kwa jina la Bwana,Bwana Mungu wa majeshi,Goriath lazima nikuangushe tu na nikupige knock out.
Sijui hata nasikiliza mara ngapi kwa siku huu wimbo
Mungu akubariki mno
Nimeirudia tena na tena hakika Bwana awainue sanaaa
Be blessed. GLORY TO GOD let's share the kingdom news
I'm blessed by this song...God bless you ministers of God
Hallelujah Glory to the King 🙌🙌🙌
Powerful..nimebarikiwa nakujia wewe asui yangu .nthe chorus is a prayer
Drummer 🥁🔥🔥🔥🔥🔥 nakujia kwa jina la Bwana
Be blessed. GLORY TO GOD let's share the kingdom news
Mungu wale wote wanaonifanyia uovu uwapige kwa jina la Bwana
Very powerful annointed music
Glory to God !keep listening and share the good work
God bless you huwa nakupenda sna kaka❤❤❤
Be blessed. GLORY TO GOD let's share the kingdom news😊
Powerful 🔥
Naskia kubarikiwa sana. Mungu awazidishie kwa wimbo wa kuinua namna hii, much love from Kenya
Bee blessed brother